Mwenyezi mungu anajua jambo kabla alijatokea kama kweli binadamu ameusika mwenyezi mungu atalipa
@annasolomon9855Ай бұрын
Mungu keshalipa kwa juu ya mauaji ya kunnyonga na kuchinja wairani wenzake, alishazoea kufanya kawaida kaka kugusa pabaya 😂😂
@festokivuyo7121Ай бұрын
Huyu alie kufa aliuwa watu wengi sana km ni mtu kafanya hifo si mbaya
@ggohf7004Ай бұрын
Allah alipanga kifo chake kiwe ktk ajali .Inalilahi wainailayhirajiun..Allah ampe hatma njema
@FatumaMuyaАй бұрын
Amiin
@LastdayJesu4153Ай бұрын
Amina
@EmmanuelLupojaАй бұрын
Hata sisi tunajua Mungu kafanya hivyo
@happynesbaemuhappynes8813Ай бұрын
Amiin
@Sonia_abassАй бұрын
Amiin
@humoudali530Ай бұрын
Pumzika kwa amani❤❤
@IsayaMwanyajile-iw8jfАй бұрын
Mungu awarehemu.
@rabomunde3550Ай бұрын
Innaalillahi wainnaa ilayhir Rajioun mwamba mwendo kaumaliza sisi tulio baki kazi iendelee
@KassimAlly-xp4dzАй бұрын
Jamaa alikua mwamba kwa wazungu
@user-xw5uq4fr8xАй бұрын
Roho yangu imeuma sana Kwa president Huyu mungu amlaze mahali pema
@ramadhanmahongole9293Ай бұрын
Inakuuma nini una undugu nae au ndo ule utumwa wa kifikra wewe ukifa mtu gani kutoka Iran ataumia acha izo fikra
@abdillahiharuna0029Ай бұрын
@@ramadhanmahongole9293duh kwer kua uyaone
@Official83640Ай бұрын
@@ramadhanmahongole9293 Umetusahau Wabongo kwa shobo za kushobokea Nchi za watu😂😂😂😂😂
@daudimichael7338Ай бұрын
Pole sana, una undugu naye?
@josephmwabange9633Ай бұрын
Mahala pema , nani kakwambia , soma yohana 14:1... , ukiwa nje ya hapo unafikiri utaenda mbingu ipi
@ngendakumanajeanmarrie7490Ай бұрын
Nimesikitika nakifo charais mungu awape nguvu wana nchi lran
@FatumaMuyaАй бұрын
Amiin
@muddymuzungu4357Ай бұрын
Amiiiin🙏
@joellongidare8280Ай бұрын
Mungu wa isiraeli achezewi ebrahimu mbabe alitukana taifa la mungu majmbu ndio hayo
@fadhilngalanda7520Ай бұрын
@@joellongidare8280kwahiyo wewe mbongo Mungu wako ni yupi inaonekana wewe huna Mungu
@fadhilimusa9732Ай бұрын
@@joellongidare8280kuna mungu wa israeli? Miungu wako wangapi? Acha ushirikina wa kijinga
@remidusmwanandenje-yy5gsАй бұрын
🙌🙌 Siku ikifika ata ulale siku nzima kitandani utasepa 2 😢 kazi ya mungu haina makosa wapumzike kwa amani 🙏🙏🙏
@traitorzedon5352Ай бұрын
Tuombe dua Mungu ampe hatma njema aendako
@chikusangalala7759Ай бұрын
Waombee ndungu zako duwa hapo ulipo huja wahii kuwaimbea ndungu zako duwa toka watangulie mbere za haki😂
@SarahShao-jw1upАй бұрын
HATMA njema kwa ukatili wake!!!! Tafuta kazi za kufanya ...achana na comments za kijinga kama hizi!!
@abdillahiharuna0029Ай бұрын
@@SarahShao-jw1upukatiri gani alishaa wahi fanya au nichuki zako binafsi2
@SmilingCityMap-xb9mdАй бұрын
Ukuwa Kwa upanga wauwawa Kwa upanga @@abdillahiharuna0029
@user-qy7he6cl8wАй бұрын
Baada ya Kufa Hukumu hamna cha Dua wala nini
@ibrahimthani6685Ай бұрын
Innalilahi wainna ilahiy rajioun ALLAH awalaze mahala pema peponi Awajaalie pepo ya firdaus
@user-tf7sp4qe6tАй бұрын
Mbona mnatoa mawazo ya kufikirika enyi wachambuzi ajali inaweza kumpata mtu yeyote. Tunawapa pole wananchi wa Iran.
@victaboy7273Ай бұрын
Hawa hamna kitu
@hamidamussa-sy4fmАй бұрын
Pole
@uwimana6533Ай бұрын
@@victaboy7273 umefata nini sasa 😂😂
@mkorinto7629Ай бұрын
SnS mmekua professional sana, nimefurahi kusikia uchambuzi kutoka kwa watu 3 tofauti ukilinganisha na mwanzo.Kudos
@Gerardirankunda2885Ай бұрын
Sns nawakubali san🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤❤🙏🙏
@brianbaltazar6198Ай бұрын
Sky upo vizuri sana nakupa maua yako ww pamoja na dj smaa..
@user-rt1wf6se5fАй бұрын
Dj sma upo vzur unasimamisha ukweli usimame na ndio unachokiongea huwa kinakuja vile vile nakufuatilia sana kweny fues simamia ukweli bro usweke uvungu hata siku moja mungu akubariki na aly masubi pia mungu akubarik bila kusahau sky.
@aminaali792Ай бұрын
💯
@jerryndondole1965Ай бұрын
Bingwa wa Logic
@nguyamtwartz5413Ай бұрын
Innalillah wainailaih rajioun,, Sisi niwa mwenyezi mungu nakwake tutarejea,,
@user-ox5jc6oq6sАй бұрын
Poleni sana tuko pamoja kwenye maombolezo ya kifo cha Rais tuache vyombo vya usalama vya Iran vitoe taarifa ila zipo sababu za kufanya uchunzi juu ya kifo cha Rais
@user-sj1rf8ij7fАй бұрын
Raisi pia nae ni binadamu anaweza kupatwa na lolote saa yoyote.. na ajali zimeshatokea nyingi sna. Raisi sio Mungu
@gibbs1320Ай бұрын
Pole pole naona Millard Ayo ameanza kupotea kwenye rada. SnS ndiyo kila kitu kwa sasa. Hii ndiyo shida ya kuwa CHAWA
@user-jj3os9bx6mАй бұрын
Malipo hapahapa islaeli ni taifa la mungu Iran inafadhili hezbola na hammas
@KalimagiFeruziАй бұрын
Siokweli
@gleadchitela4334Ай бұрын
Kweli kabisa wanafadhiri magaid
@user-yn6yu9zl1pАй бұрын
Sio kweli duniya mzima ni ya MUNGU awo waiziraili wanawauwa watu wasio na hatiya
@mohamedally1594Ай бұрын
Do not trust the media. Learn to balance issues. Try to think for yourself, decide(have a conclusion for yourself)for yourself . The world is full of evil. What is true can tell you its a lie and vise versa. 🙏
@mozasultan1676Ай бұрын
Mashoga wenzenu
@abdillahchikota4303Ай бұрын
Sns mnaizidi dw wallah..allah awatie nguvu zaidi inshallah
Sorry sky naona mnayapa uzito mataifa ya Europe na Asia but Africa mnaisahau congo tunaomba uchambuzi pia🙏
@ngokaomary5123Ай бұрын
lnna lillahy wainna illahy rajiun ..mbele yake nyuma yetu!!!
@user-eg1ts2fu9zАй бұрын
Nakubali sana uchambuzi wenu sns.
@Brandina-ub9uoАй бұрын
Mungu wa ibrahimu isacka na yakobo
@mohamedmanga8391Ай бұрын
Utaelewa vizuri iwapo hao panya wenu wamehusika na yakobo hausikani na hawa wenye kuanzisha uhanisi.
@FestusJchunya-hc3hvАй бұрын
Yes wameua ua sana wengine na wao wameuawa!!
@billskeez92Ай бұрын
Combination yakibabe sana🔥👌
@baytomАй бұрын
Jehovah ndiye Mungu
@yohana1242Ай бұрын
iyo ni luha tu kiyahudi yehova kwa kizungu God kwa kiswahili mungu kwa kiarabu Allah kwaio mungu ni mmoja tu ndo muumbaji wa kilakitu
@yohana1242Ай бұрын
Usituletee udini apa
@user-qv3rf9mc7gАй бұрын
Jehovah ni mume wa mama yako
@bonifacesauly1909Ай бұрын
Big up to you guys mmetishaaaa
@user-nb6yh2bn9yАй бұрын
Hii mbaya saana unajisifu unajua kutengeneza silaha kalii arafu Haujui kujirinda mwenyewe niaibu ilioje wanakuminya tuu Kama kakuku frani Hivi 😞😞😞
@martinisadru9899Ай бұрын
Hizo siraha zenyewe wanazounda wa iran, ni wa iran, wenye asili ya Israel. iran atafeli, siku zote,, unategemea raisi ajae atakua na misimamo kama huyu aliekufa? Lazima atakua muoga tu.
@godwinkileo7702Ай бұрын
😅
@SamweliJacob-bm2ijАй бұрын
Acheni ukuma nyie mbuzi mbona magufuli alikufa amkuongea kifo kipo ata wewe utakufa kwan uyu ndo rais wakwanza kufa kwenye mataifa makubwa kama iran? Acheni ushoga nyinyi
@SAM_163Ай бұрын
DJ ASMA ANAUMIA NDANI KWA NDANI KWA NAMNA ALIVYOKUWA ANAMSIFIA HUYU JAMAA NA ULINZI WAKE LAKINI LEO AMEKUWA ASSASSINATED TOO EASY 😢
@LastdayJesu4153Ай бұрын
Iran wangejua ndani ya vyombo vyao vya ulinzi wanamayaudi wengi wangetulia
@Brandina-ub9uoАй бұрын
Cheza na mungu wa islael
@saddykambonanaungamkonobas2539Ай бұрын
Nmeumia sana KIFO Cha baba ibrahim
@KhamisMohd-sj7ijАй бұрын
INNALILLAH WAINNA ILAYHI RAJIUN
@raymrashАй бұрын
Henry nakukubali sana
@user-im1jg3rm3tАй бұрын
Israel ni Taifa la Mungu
@sadikathumani1003Ай бұрын
taifa la Mungu hata tz ni taifa la Mungu itagemea na uelewa wako wa kuchakata mambo binafsi siamini coz Mungu gani huyo anaruhusu kuua watu wasio kuwa na hitia watoto wadogo wamama na wazee huyo sio Mungu wakweli!
@aishaarusha894Ай бұрын
Atujakataa ni taifa teule la ushoga nauwaji
@salimshirr5561Ай бұрын
Kama Israel taifa la mungu ,je taifa lako ni lamajini ?
@annasolomon9855Ай бұрын
@@sadikathumani1003akuanzae mmalize 😂😂 walianza wao Israel inasafisha! Kwani Kule Israel Hamasi waliua kuku? Waliua raia na watu wasiokuwa na hatia pia.. mama na watoto , wanawake hata wazee.. unapocoment Rudi nyuma ufikir mara mbili, na hao Hamasi ndio waliolianzisha. Israel wakaenda mpaka Asubuhi 😅😅😅😅😅😅😅
@sadikathumani1003Ай бұрын
@@annasolomon9855 umejibu kishabiki sana lkn hutumii lojik
@cyriluskaijage4227Ай бұрын
@Henry is a very critical analyst 🔥
@RaphaelJicksonАй бұрын
Daaah!! Nimeumia sana mungu amlaze Mahali pema peponi
@abuuiqrimah1125Ай бұрын
Kaka sky uko sawa
@SamweliJacob-bm2ijАй бұрын
Mungu amlaze mahali pema peponi
@DafiMohamed-dz8xkАй бұрын
Kila jambo baya au zuri ni mungu wachochezi hawakosekani toka enzi za mitume kikubwa kumuombea dua
@abdullahchabukila6686Ай бұрын
Dah 😢
@chachajulius4481Ай бұрын
Duuh 🔥🔥🔥🔥
@johnndegwa67Ай бұрын
Mungu amurehemu, Allah ampe hatma Yake insha'Allah
@ZabronMarkoАй бұрын
Polen Sana kwa kifo cha Rais wa Iran mungu awatangulie katika hich kipnd kigum RIP
@user-vd6fu6rv9rАй бұрын
Ameen
@GeorgeChitemo-kt8swАй бұрын
Safi sana hii huwezi kushindana na Israel ukashinda Israel taifa teule la Mungu
@bakarirajabu3783Ай бұрын
Taifa la mashoga
@GeorgeChitemo-kt8swАй бұрын
@@bakarirajabu3783 wewe ndio unasema
@NanaMasalago-rh4owАй бұрын
Munguu gani dajjal au?
@lookmanlookman6297Ай бұрын
Subirini siku zenu zinakaribia
@ephraimwadaudi2867Ай бұрын
Hilo sahau
@aaa64sa13Ай бұрын
Inalillahi waina ilayhi rajioun. Allah amlaze pahala pema kwenye wema. Amiin ya Rab 🤲
@FatumaMuyaАй бұрын
Amiin🤲🤲🤲🤲
@SmilingCityMap-xb9mdАй бұрын
Kwa hakika hawekwi wala hatalazwa pema popote mungu atamweka anapostahili kulingana na matendo yake
@EmmanuelSima-qz1gdАй бұрын
Sns 👊 wachambuz 🔥🔥🔥
@allymohammedfundi584Ай бұрын
Innaalilaah
@user-lt9yx2mh9kАй бұрын
😢😢😢allah awarehem
@subirajohn728Ай бұрын
Innalilahy wainnalilah rajiuun! Mwenyezimungu awajalie kauli thabiti! Poleni Sana Wana Iran wote Mwenyezimungu awasimamie msiba mzito huu, yalitukuta Sisi tuliondokewa na Rais wetu kipenzi cha wengi JPM! Mwenyezimungu awarehemu Marehemu wote awaondolee adhabu ya kaburi! Ameen!
@user-vs7vv7xd2fАй бұрын
Inna lillah waina ilayhi rajiuun
@SaidyMwajeka-tr7ojАй бұрын
Very nice guys
@saidizuberiissa7286Ай бұрын
Dah😢😢😢😢😢
@Gulfnas1Ай бұрын
Muda wao kuishi hapa duniani umefika mwisho same to us, muda ukifika tutaondoka pia!! But suspicious zipo kbsaa only time will tell.. poleni sana watu wa Iran, OIC, BRICS, SCO na global south kwa ujumla...
@fadhilisuleАй бұрын
Atollah aminey achukue iyo nchi haraka sana
@jerryndondole1965Ай бұрын
Sma ni bingwa wa ku read between the lines which wachambuzi wengi bongo hawana hiki kitu Sma ni genius
@eben_ezer8853Ай бұрын
Kutokana na hii ajali na nikiwa katika hizi nchi za hawa watu kama mwafrika nimejifunza Kuna Aina nne za watu,,,, Kuna watu wanaojua kinachoendelea duniani, wale ambao hawajui kabisa kinachoendelea, wale wanaojua na wanajifanya hawajui,, na wale ambao hawajui na wanajifanya kujua,, na wale wanaoendesha kila kinachoendelea,,,,,, ogopa MUNGU, TEKNOLOJIA, na WANADAMU 🤫🤫🤫
@valeymendrad6297Ай бұрын
au waisrael wanavosemaga ukipambana nao unapambana na Mungu ni mweli!!???maana hakuna mwanadam anaweza zuia mipango ya Mungu
@mohayussuf2057Ай бұрын
Innalillahi waina illahimu rajiun
@SAMA-jw4frАй бұрын
Nakubali sana DJSma ndio ivo ivo mossad wamefanya yao
@@user-wr6uz1rx1okwani hezibollah kafanya nini rafah inaangamizwa kule mbona hawafanyi hivyo
@pascalmanyama2304Ай бұрын
Mmechambua vizuri ila kwa mimi nilivyoangalia bado naona hali mbaya ya hewa ndio tatizo kubwa la ile ajali,na la pili yawezekana chombo kilikuwa na tatizo la kiufundi,Iran waliwekewa vikwazo vingi pamoja na kutouziwa spare parts,ile Bell helicopter ni ya mmarekani,hata bongo zilikuwepo za jw na polisi, ina miaka kama 25 hivi,zimeshatokea ajali nyingi za ndege na kuuwa makamanda kadhaa,shida kubwa vipuri japo wanajitahidi kutengeneza vya kwao.sns mmeeleza kuwa mbona hizo zingine hazikuanguka?.Helicopter zinapokuwa zinaongozana ki usalama zinaachiana distance kilometa kadhaa.Dhana ya kuwa ilipigwa si rahisi labda kwa silaha nzito sababu pale milima ni mikubwa hivyo ni terrain,ilikuwa juu sana na ukungu ule huwezi kuiona kwa macho,utasikia mlio tuu.Ukiangalia mabaki yake utaona sehemu ya nyuma kwenye tail rotor au ki mkia ipo kawaida nyuma ya fuselage kama vile ilitua kawaida,kama ingekuwa imepigwa ingesambaratika kila kitu kingesambaa ki vyake.
@user-qq6mv6vh3eАй бұрын
Apumzike kwa amani
@moseskulola6913Ай бұрын
Mimi ni mucristo sina hata matadiso na we Eslam nakupa siku Mimi nawaombea mungu sana dungu zangu wa Eslam..tangu Jana usiku bilipoigine nyumbani kwangu mke wangu alikuwa naagalia TV CNN live nikaona ..nilistuka sana Mimi Raisi kamahle alli .alikuwa .alikuwa mdomoni kwangu sana tangu zamani ...here's mungu turumihe
@JoalAlma-ci1hiАй бұрын
Safi saaan hii ndo maan ya ukristo ubinadamu amani safi saan umeuonyesha mfano wa zehebu ya kikristo
@mohamedally1594Ай бұрын
Maturity/ukomavu. Usilazimishwe na watu juu ya tabia ya mtu. Mwenyezi Mungu katupa akili ya kujua baya na zuri. Ni sisi kuitumia kujua mbaya nani na mzuri ni nani
@ibnhamduun3173Ай бұрын
Hao Mashia Wairan sio waislamu
@sautisevarino1656Ай бұрын
Hii ngumu sana aisee
@AMENMUSHI-wt4liАй бұрын
Mmmmm
@mossyfimbo3577Ай бұрын
Iya Y
@user-is7pj2fb4uАй бұрын
Inalillahi wainaillay rajium
@khamisjumazume8477Ай бұрын
Inaa Lilah wainna ilaih Raajiuun
@salumadam2862Ай бұрын
😢😢
@rahmahassan7510Ай бұрын
Innalillah wainna ilayh rajiuun
@user-jj3os9bx6mАй бұрын
Ahadi ya mungu na wanadamu ni kifo
@malkavoice2570Ай бұрын
Anawezaje kugombana na israel alisahau kama Israel ni nchi ya ahadi au?!
@abdulrahimali2639Ай бұрын
Innalillah wainna ilayrajiun
@simonuriyo7968Ай бұрын
Huu ni wakati wa Maandiko yanatimia, yoyote atakaye tishia Amani ya Wana wa Israel, ajue Mungu yupo Mbinguni sisi wateule tunatsyarshwa kwa ujio wa 2 wa Kristo, halafu Mungu wanatimiza Maandiko yake na Wana wa Israel, Simon Uriyo Capetown
@Gamba177Ай бұрын
Mungu awalaze pahala pema aminnn
@SmilingCityMap-xb9mdАй бұрын
,mungu sio boy wako hata unamtuma amweke pema yeye mwenyewe anajua wajibu wake anajua makao ya wauaji yalipo
@fidelfidel-jz4iwАй бұрын
Hii dunia ina shida sanaa ukweli huwa hakuna blabla tu hiyo helicopter sio ndogo hata kuna hali ya hewa mbaya itakujulisha hali ya hewa ni hatari hilo tulijue sawa na baharini utajulishwa hali mbaya .
@zaralsham3257Ай бұрын
hakika wana iran wanapitia kipindi kigumu kuondokewa na raisi wao akiwa madarakani wameumia😥kam sis watz tulivoumia kwa magufuli ,, Allah awaweke anapostahili poleni wana irani hyu jama alikuwa smart sana
@chikusangalala7759Ай бұрын
Walicho kitakq wame kipata chezea Israel 🇮🇱 wewe hicho kinaitwa jibu kwa duniani
@aishaarusha894Ай бұрын
@@chikusangalala7759we naye hakuna mtu ambaye hatokufa yeye katangulia nawao watafata mungu ni moja hakika hakuna cha kubakia apa duniani
@mohamedally1594Ай бұрын
@@chikusangalala7759Usiruhusu kuwa manipulated na media. Kama mtanzania mwenzangu kilicho bora zaidi ni kuitetea Tanzania na watu wote regardless of their religion.
@adolfufedinandi2534Ай бұрын
magufuli uliumia wewe
@zaralsham3257Ай бұрын
@@adolfufedinandi2534 jina lenywe2 adofu nzwala 😂😂Mungu akubariki wew na uzao wa tumbo lako Ameen🙏love youuuu🥰
Innalillah wainnaillah rajiuun Allah ampe kauli thabit na poleni Sana ndugu zetu wa Iran huu ni msiba mzito mungu awape subra
@victorgerryson2695Ай бұрын
wew n mwarab?
@aishaarusha894Ай бұрын
Victor acha chuki wewe na wewe utakufa hivo hivo utakosa wa kukupa pole
@ibnhamduun3173Ай бұрын
Shia ni kafiri si waislam
@aishaarusha894Ай бұрын
@@ibnhamduun3173 wewe tena hakimu astaghafiruallah mungu ndo mjuzi wa yote allah ampe jana rais wa irani
@user-is7pj2fb4uАй бұрын
Watu mnaochangia hapa jueni yupo mungu na ndiye unjue kifo cha kila mmoja
@samwelshepa8443Ай бұрын
Technology ipo juu sana. Kumbuka hili vuguvugu la kivita linaloendelea na hadi sasa hata mavumbuzi ya silaha ni mengi ambapo zaidi hata ya silaha za mionzi na DNA tracking. Ngoja tusubiri huenda tutasikia mengi.
@worldhappiness1181Ай бұрын
Dj sma na mwenzie, honest the way mnavochambua hizi habar, mkipewa kitengo cha upelelez maalum wa kivita, 95% mnaimudu, na itakua mathubut
@JeanMaliloАй бұрын
Rudi shule, kusifia ujinga tu
@ibnhamduun3173Ай бұрын
Alhmdulillah, tunamshukuru Allah kwa kufa kafiri muovu wa kishia. Mashia ni makafiri kama makafiri wengine.
@pvoiceofficialtv7630Ай бұрын
wewe punguza ukali wa maneno shekh
@ibnhamduun3173Ай бұрын
Mashia ni makafiri tu hata ukichukia@@pvoiceofficialtv7630
@alawikihema8676Ай бұрын
Muogope Mwenyez Mungu
@ibnhamduun3173Ай бұрын
Mim namuogopa na namuomba Anidumishe ila na wew umuogope ili uache kutetea makafiri wakishia@@alawikihema8676
@ibnhamduun3173Ай бұрын
@@pvoiceofficialtv7630 kumbe kusema kweli ndio ukali wa maneno, sasa kama Mashia makafiri tusiseme, hao ni makafiri tu
@EmanuelMnubiАй бұрын
atari sana
@user-io3qu5zs8mАй бұрын
Nimesikitika sana kiukweli Allah amlaze mahala pema, nilimkubali sana huru mwamba
@mtemiwantobo2967Ай бұрын
Sijapenda kabisa uchambuzi kupitia simu sauiti haitoki vizuri kwann msikae wote studio kama zaman shida nini bro
@user-xc6ls9xn8hАй бұрын
Polen sana wairan uchunguz ufanyike
@hanifa9153Ай бұрын
Innalillah wainna ilayh rajioun 😢😢😢
@user-nk4oq4ek9yАй бұрын
Inasikitisha sanaa jmn poleni sanaa ndugu zetu wa iran
@kassimhussain5034Ай бұрын
Subhanallah mimi ninachoweza kusema huo nimpango maalum uliyopangwa na mataifa ya maghribi , uchunguzi uendee but utapokamilika ikibainika kweli maghribi wamehusika basi nyuklia zifanye kazi potelea mbali .
@fadhililihinda6491Ай бұрын
Hizo nuclear zenyewe zilianza kutengenezwa na hao hao unao waita Magharibi, unadhani hawana ant dots zake? Hata pia ikigundulika ni wao, Iran wanaweza kuwafanya nini? Sanasana watapigwa tukio lingine tena; Magharibi na Israel ndio wanao run hi dunia, hata haya mawasiliano tunayo yafanya hapa ni teknolojia zao. Wapo mbele ya muda, wanaishi kwenye dunia yao