Mwenyezi mungu anajua jambo kabla alijatokea kama kweli binadamu ameusika mwenyezi mungu atalipa
@annasolomon985521 күн бұрын
Mungu keshalipa kwa juu ya mauaji ya kunnyonga na kuchinja wairani wenzake, alishazoea kufanya kawaida kaka kugusa pabaya 😂😂
@festokivuyo712121 күн бұрын
Huyu alie kufa aliuwa watu wengi sana km ni mtu kafanya hifo si mbaya
@ggohf700423 күн бұрын
Allah alipanga kifo chake kiwe ktk ajali .Inalilahi wainailayhirajiun..Allah ampe hatma njema
@FatumaMuya23 күн бұрын
Amiin
@LastdayJesu415323 күн бұрын
Amina
@EmmanuelLupoja23 күн бұрын
Hata sisi tunajua Mungu kafanya hivyo
@happynesbaemuhappynes881323 күн бұрын
Amiin
@True2013723 күн бұрын
Amiin
@IsayaMwanyajile-iw8jf23 күн бұрын
Mungu awarehemu.
@rabomunde355023 күн бұрын
Innaalillahi wainnaa ilayhir Rajioun mwamba mwendo kaumaliza sisi tulio baki kazi iendelee
@KassimAlly-xp4dz23 күн бұрын
Jamaa alikua mwamba kwa wazungu
@humoudali53023 күн бұрын
Pumzika kwa amani❤❤
@remidusmwanandenje-yy5gs23 күн бұрын
🙌🙌 Siku ikifika ata ulale siku nzima kitandani utasepa 2 😢 kazi ya mungu haina makosa wapumzike kwa amani 🙏🙏🙏
@brianbaltazar619822 күн бұрын
Sky upo vizuri sana nakupa maua yako ww pamoja na dj smaa..
@traitorzedon535223 күн бұрын
Tuombe dua Mungu ampe hatma njema aendako
@chikusangalala775923 күн бұрын
Waombee ndungu zako duwa hapo ulipo huja wahii kuwaimbea ndungu zako duwa toka watangulie mbere za haki😂
@SarahShao-jw1up23 күн бұрын
HATMA njema kwa ukatili wake!!!! Tafuta kazi za kufanya ...achana na comments za kijinga kama hizi!!
@abdillahiharuna002923 күн бұрын
@@SarahShao-jw1upukatiri gani alishaa wahi fanya au nichuki zako binafsi2
@SmilingCityMap-xb9md23 күн бұрын
Ukuwa Kwa upanga wauwawa Kwa upanga @@abdillahiharuna0029
@user-qy7he6cl8w23 күн бұрын
Baada ya Kufa Hukumu hamna cha Dua wala nini
@ibrahimthani668521 күн бұрын
Innalilahi wainna ilahiy rajioun ALLAH awalaze mahala pema peponi Awajaalie pepo ya firdaus
@ngendakumanajeanmarrie749023 күн бұрын
Nimesikitika nakifo charais mungu awape nguvu wana nchi lran
@FatumaMuya23 күн бұрын
Amiin
@muddymuzungu435723 күн бұрын
Amiiiin🙏
@joellongidare828023 күн бұрын
Mungu wa isiraeli achezewi ebrahimu mbabe alitukana taifa la mungu majmbu ndio hayo
@fadhilngalanda752022 күн бұрын
@@joellongidare8280kwahiyo wewe mbongo Mungu wako ni yupi inaonekana wewe huna Mungu
@fadhilimusa973222 күн бұрын
@@joellongidare8280kuna mungu wa israeli? Miungu wako wangapi? Acha ushirikina wa kijinga
@user-xw5uq4fr8x23 күн бұрын
Roho yangu imeuma sana Kwa president Huyu mungu amlaze mahali pema
@ramadhanmahongole929323 күн бұрын
Inakuuma nini una undugu nae au ndo ule utumwa wa kifikra wewe ukifa mtu gani kutoka Iran ataumia acha izo fikra
@abdillahiharuna002923 күн бұрын
@@ramadhanmahongole9293duh kwer kua uyaone
@Official8364023 күн бұрын
@@ramadhanmahongole9293 Umetusahau Wabongo kwa shobo za kushobokea Nchi za watu😂😂😂😂😂
@daudimichael733823 күн бұрын
Pole sana, una undugu naye?
@josephmwabange963323 күн бұрын
Mahala pema , nani kakwambia , soma yohana 14:1... , ukiwa nje ya hapo unafikiri utaenda mbingu ipi
@user-rt1wf6se5f23 күн бұрын
Dj sma upo vzur unasimamisha ukweli usimame na ndio unachokiongea huwa kinakuja vile vile nakufuatilia sana kweny fues simamia ukweli bro usweke uvungu hata siku moja mungu akubariki na aly masubi pia mungu akubarik bila kusahau sky.
@aminaali79222 күн бұрын
💯
@jerryndondole196520 күн бұрын
Bingwa wa Logic
@abdillahchikota430323 күн бұрын
Sns mnaizidi dw wallah..allah awatie nguvu zaidi inshallah
Poleni sana tuko pamoja kwenye maombolezo ya kifo cha Rais tuache vyombo vya usalama vya Iran vitoe taarifa ila zipo sababu za kufanya uchunzi juu ya kifo cha Rais
@user-tf7sp4qe6t23 күн бұрын
Mbona mnatoa mawazo ya kufikirika enyi wachambuzi ajali inaweza kumpata mtu yeyote. Tunawapa pole wananchi wa Iran.
@victaboy727322 күн бұрын
Hawa hamna kitu
@hamidamussa-sy4fm22 күн бұрын
Pole
@uwimana653322 күн бұрын
@@victaboy7273 umefata nini sasa 😂😂
@Gerardirankunda288523 күн бұрын
Sns nawakubali san🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤❤🙏🙏
@nguyamtwartz541323 күн бұрын
Innalillah wainailaih rajioun,, Sisi niwa mwenyezi mungu nakwake tutarejea,,
@mkorinto762923 күн бұрын
SnS mmekua professional sana, nimefurahi kusikia uchambuzi kutoka kwa watu 3 tofauti ukilinganisha na mwanzo.Kudos
@halimaramadhan200023 күн бұрын
Inalillah wainnailayhi rajiuun
@YustaMfugale21 күн бұрын
Sorry sky naona mnayapa uzito mataifa ya Europe na Asia but Africa mnaisahau congo tunaomba uchambuzi pia🙏
@gibbs132022 күн бұрын
Pole pole naona Millard Ayo ameanza kupotea kwenye rada. SnS ndiyo kila kitu kwa sasa. Hii ndiyo shida ya kuwa CHAWA
@FestusJchunya-hc3hv23 күн бұрын
Yes wameua ua sana wengine na wao wameuawa!!
@ngokaomary512323 күн бұрын
lnna lillahy wainna illahy rajiun ..mbele yake nyuma yetu!!!
@bonifacesauly190923 күн бұрын
Big up to you guys mmetishaaaa
@Brandina-ub9uo23 күн бұрын
Mungu wa ibrahimu isacka na yakobo
@mohamedmanga839122 күн бұрын
Utaelewa vizuri iwapo hao panya wenu wamehusika na yakobo hausikani na hawa wenye kuanzisha uhanisi.
@user-jj3os9bx6m23 күн бұрын
Malipo hapahapa islaeli ni taifa la mungu Iran inafadhili hezbola na hammas
@KalimagiFeruzi23 күн бұрын
Siokweli
@gleadchitela433423 күн бұрын
Kweli kabisa wanafadhiri magaid
@user-yn6yu9zl1p23 күн бұрын
Sio kweli duniya mzima ni ya MUNGU awo waiziraili wanawauwa watu wasio na hatiya
@mohamedally159422 күн бұрын
Do not trust the media. Learn to balance issues. Try to think for yourself, decide(have a conclusion for yourself)for yourself . The world is full of evil. What is true can tell you its a lie and vise versa. 🙏
@mozasultan167622 күн бұрын
Mashoga wenzenu
@user-eg1ts2fu9z23 күн бұрын
Nakubali sana uchambuzi wenu sns.
@aaa64sa1323 күн бұрын
Inalillahi waina ilayhi rajioun. Allah amlaze pahala pema kwenye wema. Amiin ya Rab 🤲
@FatumaMuya23 күн бұрын
Amiin🤲🤲🤲🤲
@SmilingCityMap-xb9md23 күн бұрын
Kwa hakika hawekwi wala hatalazwa pema popote mungu atamweka anapostahili kulingana na matendo yake
@user-sj1rf8ij7f23 күн бұрын
Raisi pia nae ni binadamu anaweza kupatwa na lolote saa yoyote.. na ajali zimeshatokea nyingi sna. Raisi sio Mungu
@baytom23 күн бұрын
Jehovah ndiye Mungu
@yohana124221 күн бұрын
iyo ni luha tu kiyahudi yehova kwa kizungu God kwa kiswahili mungu kwa kiarabu Allah kwaio mungu ni mmoja tu ndo muumbaji wa kilakitu
@yohana124221 күн бұрын
Usituletee udini apa
@user-qv3rf9mc7g20 күн бұрын
Jehovah ni mume wa mama yako
@KhamisMohd-sj7ij22 күн бұрын
INNALILLAH WAINNA ILAYHI RAJIUN
@SaidyMwajeka-tr7oj22 күн бұрын
Very nice guys
@saddykambonanaungamkonobas253922 күн бұрын
Nmeumia sana KIFO Cha baba ibrahim
@billskeez9223 күн бұрын
Combination yakibabe sana🔥👌
@SamweliJacob-bm2ij21 күн бұрын
Mungu amlaze mahali pema peponi
@abdullahchabukila668623 күн бұрын
Dah 😢
@user-hu4sd7bg8n22 күн бұрын
Allah help
@user-nb6yh2bn9y23 күн бұрын
Hii mbaya saana unajisifu unajua kutengeneza silaha kalii arafu Haujui kujirinda mwenyewe niaibu ilioje wanakuminya tuu Kama kakuku frani Hivi 😞😞😞
@martinisadru989923 күн бұрын
Hizo siraha zenyewe wanazounda wa iran, ni wa iran, wenye asili ya Israel. iran atafeli, siku zote,, unategemea raisi ajae atakua na misimamo kama huyu aliekufa? Lazima atakua muoga tu.
@godwinkileo770223 күн бұрын
😅
@SamweliJacob-bm2ij21 күн бұрын
Acheni ukuma nyie mbuzi mbona magufuli alikufa amkuongea kifo kipo ata wewe utakufa kwan uyu ndo rais wakwanza kufa kwenye mataifa makubwa kama iran? Acheni ushoga nyinyi
@RaphaelJickson22 күн бұрын
Daaah!! Nimeumia sana mungu amlaze Mahali pema peponi
@cyriluskaijage422723 күн бұрын
@Henry is a very critical analyst 🔥
@saidgumbo252920 күн бұрын
Innalilah wainnilah rajiuna
@johnndegwa6722 күн бұрын
Mungu amurehemu, Allah ampe hatma Yake insha'Allah
@saidizuberiissa728621 күн бұрын
Dah😢😢😢😢😢
@EmanuelMnubi21 күн бұрын
atari sana
@ZabronMarko19 күн бұрын
Polen Sana kwa kifo cha Rais wa Iran mungu awatangulie katika hich kipnd kigum RIP
@abuuiqrimah112523 күн бұрын
Kaka sky uko sawa
@AMENMUSHI-wt4li22 күн бұрын
Mmmmm
@user-qq6mv6vh3e23 күн бұрын
Apumzike kwa amani
@hamzafishten956023 күн бұрын
Inna ilah waina ilah rajuin
@raymrash23 күн бұрын
Henry nakukubali sana
@user-vd6fu6rv9r23 күн бұрын
Ameen
@Gamba17723 күн бұрын
Mungu awalaze pahala pema aminnn
@SmilingCityMap-xb9md23 күн бұрын
,mungu sio boy wako hata unamtuma amweke pema yeye mwenyewe anajua wajibu wake anajua makao ya wauaji yalipo
@chachajulius448123 күн бұрын
Duuh 🔥🔥🔥🔥
@user-im1jg3rm3t23 күн бұрын
Israel ni Taifa la Mungu
@sadikathumani100323 күн бұрын
taifa la Mungu hata tz ni taifa la Mungu itagemea na uelewa wako wa kuchakata mambo binafsi siamini coz Mungu gani huyo anaruhusu kuua watu wasio kuwa na hitia watoto wadogo wamama na wazee huyo sio Mungu wakweli!
@aishaarusha89423 күн бұрын
Atujakataa ni taifa teule la ushoga nauwaji
@salimshirr556123 күн бұрын
Kama Israel taifa la mungu ,je taifa lako ni lamajini ?
@annasolomon985523 күн бұрын
@@sadikathumani1003akuanzae mmalize 😂😂 walianza wao Israel inasafisha! Kwani Kule Israel Hamasi waliua kuku? Waliua raia na watu wasiokuwa na hatia pia.. mama na watoto , wanawake hata wazee.. unapocoment Rudi nyuma ufikir mara mbili, na hao Hamasi ndio waliolianzisha. Israel wakaenda mpaka Asubuhi 😅😅😅😅😅😅😅
@sadikathumani100323 күн бұрын
@@annasolomon9855 umejibu kishabiki sana lkn hutumii lojik
@user-vs7vv7xd2f23 күн бұрын
Inna lillah waina ilayhi rajiuun
@mossyfimbo357723 күн бұрын
Iya Y
@GeorgeChitemo-kt8sw23 күн бұрын
Safi sana hii huwezi kushindana na Israel ukashinda Israel taifa teule la Mungu
@bakarirajabu378323 күн бұрын
Taifa la mashoga
@GeorgeChitemo-kt8sw23 күн бұрын
@@bakarirajabu3783 wewe ndio unasema
@NanaMasalago-rh4ow23 күн бұрын
Munguu gani dajjal au?
@lookmanlookman629723 күн бұрын
Subirini siku zenu zinakaribia
@ephraimwadaudi286722 күн бұрын
Hilo sahau
@Brandina-ub9uo23 күн бұрын
Cheza na mungu wa islael
@user-lt9yx2mh9k23 күн бұрын
😢😢😢allah awarehem
@SAM_16322 күн бұрын
DJ ASMA ANAUMIA NDANI KWA NDANI KWA NAMNA ALIVYOKUWA ANAMSIFIA HUYU JAMAA NA ULINZI WAKE LAKINI LEO AMEKUWA ASSASSINATED TOO EASY 😢
@salumadam286223 күн бұрын
😢😢
@LastdayJesu415323 күн бұрын
Iran wangejua ndani ya vyombo vyao vya ulinzi wanamayaudi wengi wangetulia
@allymohammedfundi58423 күн бұрын
Innaalilaah
@DafiMohamed-dz8xk23 күн бұрын
Kila jambo baya au zuri ni mungu wachochezi hawakosekani toka enzi za mitume kikubwa kumuombea dua
@SwidikiKabemba22 күн бұрын
Inna lillahi wa Inna ilaihi rajiun
@fadhilisule23 күн бұрын
Atollah aminey achukue iyo nchi haraka sana
@EmmanuelSima-qz1gd23 күн бұрын
Sns 👊 wachambuz 🔥🔥🔥
@sautisevarino165623 күн бұрын
Hii ngumu sana aisee
@SAMA-jw4fr23 күн бұрын
Nakubali sana DJSma ndio ivo ivo mossad wamefanya yao
@@user-wr6uz1rx1okwani hezibollah kafanya nini rafah inaangamizwa kule mbona hawafanyi hivyo
@mtemiwantobo296721 күн бұрын
Sijapenda kabisa uchambuzi kupitia simu sauiti haitoki vizuri kwann msikae wote studio kama zaman shida nini bro
@abdulrahimali263923 күн бұрын
Innalillah wainna ilayrajiun
@mohayussuf205723 күн бұрын
Innalillahi waina illahimu rajiun
@officialkamdudu23 күн бұрын
innalillahi wa innailayhi rajiun
@rahmahassan751023 күн бұрын
Innalillah wainna ilayh rajiuun
@jerryndondole196522 күн бұрын
Sma ni bingwa wa ku read between the lines which wachambuzi wengi bongo hawana hiki kitu Sma ni genius
@amosstimamaroba105423 күн бұрын
😮😮😮😮
@user-is7pj2fb4u23 күн бұрын
Inalillahi wainaillay rajium
@user-jj3os9bx6m23 күн бұрын
Ahadi ya mungu na wanadamu ni kifo
@user-xc6ls9xn8h23 күн бұрын
Polen sana wairan uchunguz ufanyike
@awatifsubeit400723 күн бұрын
Waangalie vizuri inteligence yao huenda mnawasiliti
@martinisadru989923 күн бұрын
Ndani ya serikali ya iran, mabingwa wa technology mbalimbali, Ni wa iran wenye asili ya Israel, mababu zao walihamia miaka mingi sana, ndio maana myahudi anaifahamu vizuri iran, kuliko iran anavoifahamu Israel. Na tukumbuke kua! Mkuu wa majeshi wa Israel, daniel hagar, alisema Israel watalipiza kisasi cha juu! Kwa wakati sahihi, yale mashambulizi walofanya Israel ndani ya iran, ilikua danganya toto tu! Shambulizi lenyewe ni hilo, na bado mengine yanakuja.
@emmadora784823 күн бұрын
Hakuna wasaliti ni ujinga raisi mzima kusafiri Kwa helicopter ya miaka ya 70 huko ,hao watengenezaji wenyewe walishaacha zitumia muda ,Tena unapita kwenye hali mbaya ya hewa ,taifa kubwa lakini hata helicopter za kisasa hakuna
@annasolomon985523 күн бұрын
@emma😂😂😂dora7848
@Rey_D66923 күн бұрын
@emmadora7848 umeongea katka uharisia kaka
@hamidamussa-sy4fm22 күн бұрын
Kweli kabisa
@hanifa915323 күн бұрын
Innalillah wainna ilayh rajioun 😢😢😢
@mataluemmanuel465823 күн бұрын
Nimependa Mwinuka kuongezeka 👏👏
@Gulfnas123 күн бұрын
Muda wao kuishi hapa duniani umefika mwisho same to us, muda ukifika tutaondoka pia!! But suspicious zipo kbsaa only time will tell.. poleni sana watu wa Iran, OIC, BRICS, SCO na global south kwa ujumla...
@khamisjumazume847723 күн бұрын
Inaa Lilah wainna ilaih Raajiuun
@user-is7pj2fb4u23 күн бұрын
Watu mnaochangia hapa jueni yupo mungu na ndiye unjue kifo cha kila mmoja
Dj sma na mwenzie, honest the way mnavochambua hizi habar, mkipewa kitengo cha upelelez maalum wa kivita, 95% mnaimudu, na itakua mathubut
@JeanMalilo23 күн бұрын
Rudi shule, kusifia ujinga tu
@muhammedwakif621623 күн бұрын
Innalilah wainnailahi Rajiun
@malkavoice257022 күн бұрын
Anawezaje kugombana na israel alisahau kama Israel ni nchi ya ahadi au?!
@fidelfidel-jz4iw23 күн бұрын
Hii dunia ina shida sanaa ukweli huwa hakuna blabla tu hiyo helicopter sio ndogo hata kuna hali ya hewa mbaya itakujulisha hali ya hewa ni hatari hilo tulijue sawa na baharini utajulishwa hali mbaya .
@user-nk4oq4ek9y23 күн бұрын
Inasikitisha sanaa jmn poleni sanaa ndugu zetu wa iran
@King_Of_Everything23 күн бұрын
👊✌👍.
@hamphr3y40519 күн бұрын
Kwenye Kipindi Hicho Kipya tunaomba uchambuzi wa Kifo cha Magufuli 🫢
@user-io3qu5zs8m23 күн бұрын
Nimesikitika sana kiukweli Allah amlaze mahala pema, nilimkubali sana huru mwamba
@subirajohn72823 күн бұрын
Innalilahy wainnalilah rajiuun! Mwenyezimungu awajalie kauli thabiti! Poleni Sana Wana Iran wote Mwenyezimungu awasimamie msiba mzito huu, yalitukuta Sisi tuliondokewa na Rais wetu kipenzi cha wengi JPM! Mwenyezimungu awarehemu Marehemu wote awaondolee adhabu ya kaburi! Ameen!
@Issaibrahim-cu1jl23 күн бұрын
Hairuhusiwi kuruka na parachute?
@jerryndondole196522 күн бұрын
Uchambuzi mzuri Sma na Ali
@iddikibwana918522 күн бұрын
Munguu ni muweza wa yoteee
@jacobmathew47523 күн бұрын
Imeniuma sana kama kuna mkono wa mtu mungu atalipa😢