Tatizo ninyi ni wanasiasa maneno matam Utendaji ZERO
@shatonyonge3 ай бұрын
njooni Kenya tuwafunze elimu ya kupambana na hawa watu.
@verdianabanabi22053 ай бұрын
Amengea boss wa asiyetaka kulipa kodi aende au ahamie Burundi. Ila ipo day.
@omaryyusuf94053 ай бұрын
Ondowenii wamachingaa kariakoo unataka kufanya biasharaa kariakoo kodii fremuu
@chingychingy20663 ай бұрын
Viongozi wa tz mnatia hasira sana
@ANNAKISIGA-pc5qs3 ай бұрын
We mwinguru kinachoemdelea kemya soon kinakuja huku
@houmdmajid-ur9dp3 ай бұрын
Tunamkaid mungu aliesema mwanamke sio kiongozi haya ndio madhara yake sahiv kila sekta wizii tu
@amedeustesha59473 ай бұрын
Kwani pesa za kuendesha serikali lazina itoke tuu Kwa mlipakodi. Tunacho taka ni Kodi za watu iwe sehemu tuu ila tuna madini, tunabandari, tuna mbuga, tuna bahari mkiweka usimamizi usio na wizi mbona watanzania watafurahia. Punguzeni pia Mishahara yenu punguzeni safari na misafara ondoeni sherehe za kiserikali zisizo na faida Kwa mtanzania wa kawaida hizo hela mu bust miradi ya serikali
@MOSKTO.tm.3 ай бұрын
💪🏾
@abec25323 ай бұрын
UCHAWA UNAIUA 🇹🇿 TANZANIA
@sawackmlinga3 ай бұрын
Kila mwaka mnanunua magari Mapya ya kila toleo toka Toyota hamuoni kua ni gharama pia
@melanialeonard40313 ай бұрын
Mizizi ishafika kwenye mwamba urafi wa mali za hii nchi hautaisha nyoka paka haizai ngendere kulen maisha ikiwezekana weken utawala wa kifalme maana ndio mfumo uliopo
@SospeterjohnWasaga3 ай бұрын
Hii siyo Tanzania iliyokusudiwa na mwenyezi mungu Tunamadini ya Aina tofauti hapa nchini tunamaziwa makuu tunabandari mbuga na vivutio mbalimbali Mirada ya selikali amblyopia inajiendesha kutokana na malipo ya wanaopata huduma hizo kama hospitali,maj,Tasco umeme,ndege ,meli,vivuko mbali mbali,na miladi mingine ambayo pia lazima Kunafaida inayopatikana kutokana na hiyo miladi, sijaweka mikopo ya mabillion yanayo kopwa nje silikali hiyo hiyo bado inakusanya Kandi mbali mbali kwa watumishi na wafanya biashara wakubwa kwa wadogo Lakin bado nchi inadidimia na maisha ya raia wake yanatia huruma hebu nduguzetu mliopewa dhamana jitafakalini
@msafirimiracle66133 ай бұрын
Acha mambo yako sio wote watoto wa mama,mi mtoto wa BABA
@FadhiliMnyonge3 ай бұрын
Mmesikiliza Ila hamtekelezi
@GilbertJohn-fz6jh3 ай бұрын
REJECT THE BILL ,TUINGIE KWA BUNGE, tuibe iyo fimbo, na viti
@christinenyagiro66623 ай бұрын
Hili ni bunge la CCM tu mbunge wa wanainchi alikuwa Mpina basi endelea kutuumiza mtafika mwisho wako mwakani ndiyo utajua nateso unayowapa wanainchi masikini ninyi wabunge wa CCM.
@AdamMhina-uq3mq3 ай бұрын
akuna jipya,,, +254 wanajitambua sana asee
@LizenMaker3 ай бұрын
Kweli
@samvande20023 ай бұрын
Viva kenya youth
@adamukiwelo28823 ай бұрын
punguzeni matumizi makubwa serikalini hizo gari za m 550 hazitakiwi tumieni rav4.
@tasukutechnologies25733 ай бұрын
Siyo kweli TRA vichwa ngumu sana, kama nyinyi mnasikiliza TRA hawasikilizi
@TanganyikaChakupewa3 ай бұрын
Kwann huyu jamaaa asiondoke hiyoo nafas
@AgathaJumanne3 ай бұрын
Wanaorudisha nyuma sio hao ila ninyinyi baadhi ya viongozi mliopewa Nafasi na hamzitumii kwa masrahi mapana ya Taifa letu na mnafanya hivyo kwaaajili ya Masrahi yenu binafsi
@titonkwabi74303 ай бұрын
Unaongea lugha moja na nani!!Utitiri wa kodi kila kukicha!
@AbdillahSOthman3 ай бұрын
Mnataka watu wafanye km Kenya muwaue
@AnjelaMwamakula3 ай бұрын
Yani serekali inatuumiza sana jamani 😂😂😂😂😂
@aediayumgo85463 ай бұрын
Wewe ipo siku yako 😲😲🖍️🤮😂
@IshumiPhilip3 ай бұрын
Issue sio kullipa kodi.tunataka kodi iwee rafiki sio mlevi mmoja wa TRA anatoka huko na kubambizkia kodi.nq issue ya VAT inchi nyingi zinatumia single digiti uwezi jenga nchi kwa kutumia kodi kubwa tujifunze kwanchi za Asia
@mashaulirichard3 ай бұрын
amna waziri apa zipo stor 2
@yasiniSwedi-qg5oc3 ай бұрын
Nchi hainadila ipokamandege iliopotezaa mawasiliano
@abdulikilala59023 ай бұрын
Ww kiongozi korokoro tu kusikiliza sio shida je mmepunguza hizo service lady
@christinenyagiro66623 ай бұрын
Kwani pesa ambazo raisi anakopa kila siku na wewe Mwigulu mnazipeleka wapi?
@nizarrama2253 ай бұрын
Swali moja kama hizo kodi mnazokusanya zinaenda kutekeleza miradi ya maendeleo ya taifa, je hizo pesa mnazokopa nje zinaenda wapi.?
@geofreybakina60103 ай бұрын
Wakati wenye shibe mnaongea,mungu na huongea na wenye njaa. Uzuri hiyo ni seat ya daladala
@smilemediatz3 ай бұрын
Aisee mnashusha hamshushi tupeni jibu moja maana kila siku mnaongea pumba tu
@GeorgeElias-p5o3 ай бұрын
Mtoto wale anatembea na gari la milion 500, na walinzi😢
@RahimAbeid3 ай бұрын
Kwaiyo bola watu wanyonyeke ili miladi ieende kweli mbona amna uluma na wananchi
@BernardMwakipesile-nq5ze3 ай бұрын
Sasa hivi wananchi wanajielewa sasa hivi anaye tamani kiti ajiaamini pia kukumbana na changamoto za wananchi asije akaanza kulalamika akiwa kwenye kiti
@khadi-z4o3 ай бұрын
ANATETEYA TONGE YAKETU HAPA BASI.UONGO MTUPU😂
@JosephJoseph-tz8cj3 ай бұрын
Tulipa kodi
@RamadhanAthuman-d4c3 ай бұрын
Acha tuumie tu maana hatuna akili Kenya shikamoon
@innocentpius80833 ай бұрын
Hivi uyu anaongea nin uyu mpka nachukia
@christinenyagiro66623 ай бұрын
Wewe Mwigulu unataka wafanyabiashara ili wewe biashara zako ziendelee. Sasa hayo makodi uliyowawekea?
@peterdaimon-ug6fd3 ай бұрын
Nyie ilitakiwa muongoze wakenya hamjali wanainchi
@AhamedyKibarati3 ай бұрын
Si alisema tuamie Burundi mwambie tutaama mwakani
@abdulikilala59023 ай бұрын
Acha porojo za kizamani na sisi ipo siku tutakinukisha nyiye subirini
@JumaMbaga-sd5yi3 ай бұрын
Acha porojo nyingi tumesikia hoja zao zijibu
@emmanuelmodest74573 ай бұрын
MBONA BAJETI YA MAGARI YENU YA M500 HAISHUSHWI ILI TUPUNGUZE MZIGO KWA WANANCHI WALIPA KODI
@marconzilankoma75813 ай бұрын
Hakuna kituu
@barakarobert10293 ай бұрын
Mwiz ww kumbuka ipo cku yako fala ww kama mnatekeleza miradi why kila cku mnaenda kukopa nje
@KenethKeneth-iz7os3 ай бұрын
😢
@shadrackjuliuskaboya52393 ай бұрын
*mwiguru maana yake ni juuu mbinguni kwa kabila la kisukima mikoa ya kanda ya ziwa Tanzania*
@laizerpello5093 ай бұрын
Unachoongea haingii hata akili Wala haina afya njema kwa wafanyabiashara wetu
@maggiechristopher88173 ай бұрын
Jambazi mkubwa, peleka u******ge huko. Kodi zinaenda wapi? Pesa za CAG zipo wapi? Mnapiga hela mnawapa mzigo walipa kodi.
@selemankishema57803 ай бұрын
Wewe ulivyoongeza mia tano kwenye ulimshirikisha? Pumbavu
@Grolia-ux5ds3 ай бұрын
Mbona huna majibu umebaki na ngonjera
@bernardboniphace13803 ай бұрын
Yani ilijinga siku likitoka malakani nchi itakua nadila
@thomas-kx4dq3 ай бұрын
Nenda kafungue wewe duka halafu jiwekee Kodi uone
@smilemediatz3 ай бұрын
Mnatusikiliza ila hamtekelizi
@victaboy72733 ай бұрын
Upumbavu mtupu
@edgarbebwa61123 ай бұрын
Serikali inawasikiliza matajiri tu wala sio wafanyabiashara wadogowadogo kama wamachinga. Pia acheni uwongo
@houmdmajid-ur9dp3 ай бұрын
Mjinga tu hy hana llt mwizii
@amospatrick11793 ай бұрын
Kama hela unazokusanya zinaenda kwenye miradi ya maendeleo hizo unazokopa zinaenda wapi?
@cassimjohar26633 ай бұрын
Huju jamaa muongo sana msani sana hajali
@justinmashala69443 ай бұрын
Kusikiliza bila kutoa majibu ya matatizo ni kazi bure... Fix the problems nyinyi wanasiasa..
@MatronaThomas-wz5si3 ай бұрын
Tatizo kodi zitumike kiualisia ili mikopo ipungue Magufuli aliweza na Machinga akawapa vitambulisho
@mwanjalimfaume63803 ай бұрын
Punguzeni Matumizi ya Serikali Yamekuwa makubwa mno
@SimonKimathi-w2j3 ай бұрын
Mnatokwa povu tu. Unasema mkipunguza vat mtakosa Pesaro za Mirada ilikuwaje mkapitisha sheria za kuwalipa wenza was vio going mkijuwa wazi bad night was ufaika wa Kodiak kupitia kwa wenza wao???? Mnao ngea utumbo tuu
@batashqiraa99363 ай бұрын
Serikali ya tz iangalie na ijifunze kutoka kenya,
@BamBam-q6l3 ай бұрын
Jazeni matumbo yenu ila kesho yenu kwa mwenyezi MUNGU mtavuna mlicho kipnd pumbavu zenu na uchaguzi una kuja ss fanyeni km mwaka efumbili na kumi wanachi wagoma kupiga kula nyie kula mnaenda kuchukua kwa wafungwa alf mnasem mmeshinda pumbavu nyie
@christinenyagiro66623 ай бұрын
Mmekataa kwahiyo muwauwe wafanyabiashara wewe hunaumiza sana wanainchi mbona hamjapunguza hata kitu. Unaumiza wanainchi vibaya sana. Wewe kiburi kinakusumbua sana unaona wanainchi kama watumwa tu. Tangu umekalia uwaziri wa fedha umefurahi kuwakomoa wanainchi.
@user-sr9js6rj5v3 ай бұрын
Hao wabunge na wao tunataka wakwate kodi za kutumia mali za umma wao ni kustarehe na kufisadi uchumi wa TZ na firimbi nyingi tu.
@AthumaniMohamed-bj6um3 ай бұрын
Yani mnatia hasila kiukweli tufe bila yasiku zetu hivi Kama nikweli lengo lenutulipe kodi tuendeshe nchi yetu hio mikopo mnayo kopa kila siku inaenda wp unajua nyie Yani daaaah
@stanlleysanga1133 ай бұрын
Kuna wakat utafika watu watabebwa na ambulance kama wabunge wa kenya Mnaongea maneno mazuri ila utekelezaji zero Kila siku kod zinapanda
@allykassim11203 ай бұрын
selikali yetu kila kukicha inabuni itatoza vp kodi kwa wananchi sio kubuni vyanzo vingine vya ukusanyaji kukiwa na lasilimali nyingi za nnchi
@whatisthetruth.87933 ай бұрын
Maneno ndio hayo hayo kila siku . Hana jipya huyu tundu la choo
@nkafumedia3 ай бұрын
Msenge huyo
@mudub0etz3 ай бұрын
Kuma uyu. Hana p0int
@hellenmassawe72843 ай бұрын
Toka lini ukasikia kilio Cha wenye njaaa
@deogratiaskatinda92323 ай бұрын
Mtu wa hovyo sana huyu katika nchi yetu
@alexbujenja27503 ай бұрын
Nimeipenda hii hatujatekeleza sababu ya KIBURI😂😂😂😂😂 hapo mwigulu umesema ukweli wako na Serikali yako.
@gasparlubaga58663 ай бұрын
Migomo inaturudisha nyuma kivipi wakati wafanyabiashara wamelimbikiziwa kodi lukuki
@NdageKitahama3 ай бұрын
Yaani ww ilitakiwa ujiuzuru mapema Sana tumekuchoka Sana bac haoni hata aibu nchi Ina rasilimali nyingi lakini mmeshindwa kubuni mbinu mpya za kukusanya Kodi mmebaki kurundikia wananchi makodi Kodi zenyewe wananchi wanalipa alafu zinaibiwa ufisadi umezidi Sana katika mawaziri ww hifai kabisa kuwa waziri
@hibachi97693 ай бұрын
Huyu ni zao la upinde 🌈
@LusajoKabuka3 ай бұрын
Tuombe safari zipungue mabalozi wanafanya Nini sk Moja tuone ameenda na wakulima wadogo
@mukhtarnasser68373 ай бұрын
As per said Mr Chemba if VAT FROM 18 % to less , 600 billions will be lessen in budget , so that 500 billions from where will come out to buy Luxury Car for Government people , he is not ready to bring down price OF GOODS, for people if VAT LESS, just playing Politics
@saburikilonzo25933 ай бұрын
Wabunge hamkatwi Kodi, mnajipandishia mishahara mnavyotaka, Kodi utitiri kuwamaliza wananchi...matokeo yake fedha zinaliwa tuuuuuu. Kulipa kodi kuendane na kubana matumizi kuanzia wabunge na serikali kwa ujumla tuone maendeleo
@chrissmodo56303 ай бұрын
Kodi kwa mfanya biashara tanzania Tra Resen Zima moto Service levi Ushuru wataka Ushuru wa bango la biashara Reseni ya mazao ya misitu Maliasili kwa wale wanauza plywood ,mdf,marine boad,na furniture
@matiredms9173 ай бұрын
Nyie sio wawakilishi wa Wananchi. Mliteuliwa na Magufuli na siyo wananchi. Mongo wewe.
@alluminiumexperttz.12mview133 ай бұрын
Mwigulu tatizo lake ni kiongozi wa marakaratasi tu hajui kitu kuhusu wananchi.
@nurunewz1033 ай бұрын
Unaongea kisiasa: kama wewe ni mchumi mbona hautumii “SMART” unapoongea na wafanyabiashara/Bunge?
@shadrackjuliuskaboya52393 ай бұрын
Yaani hapa nimeelewa kuwa wamachinga watolewe kweli hilo soko sio lenu nyie wenye maduka
@ofreyking59753 ай бұрын
Kila mwaka mnanunua magari ya garama kubwa yann mnatumia hela nyingi kwa anasa alafu mnakuja kutukamua sisi acheni siasa yafanyien kazi mambo mlioambiwa afu punguzen anasa zenu
@RamadhaniMadanga-ne7jk3 ай бұрын
Yaaani Tanzania ni kichwa Cha mwenda wazimu
@meshacknyandongo5773 ай бұрын
Hatuna viongozi hapa
@SelemanChande-bv5ne3 ай бұрын
Maneno ya matumaini tu 😄
@SimonMzigoye3 ай бұрын
Maabara nane mlitekeleza makubaliano
@NdageKitahama3 ай бұрын
Pesa zinakusanywa kwa Kodi zetu nyingi zinaibiwa
@BarakaWiliam-hx9nk3 ай бұрын
Mwigulu mwizi tuu
@thomasgabriel5883 ай бұрын
Hili lifala kweli
@thabitngangila85623 ай бұрын
254.good County 255.bado sanaaa
@MujuniKamugisha3 ай бұрын
Amia kenya
@mannabu93333 ай бұрын
Hawa dawa yao 2025 msiwachague tenaaa ccm
@PhilipoMwita-wc1ku3 ай бұрын
Wanazungumzia sana Kodi kwa wafanya biashara lkn hamzungumzii bandali inaingiza shingap au utalii shingap au migodi shingapi Aisee nyie ccm Nyererewaka 1995 alisema wananchi wanataka MABADILIKO WASIPOYAONA NDANI YA CCM WATAYATAFUTA NJE YA CCM
@sebastianmwita-nw9vj3 ай бұрын
Mwanza service Levi wanadai mpaka Na mahakama ukikutwa hujalipa unahukumiwa kwenda jela je Ni sawa