Huyu kweli ni mlithi wa shakhe Othman Maalim mashaallah
@bindawood9785 жыл бұрын
Maashaallah,tunatakiwa tuige mambo mema,Alhamdulillah kijana anaelekea vizuri Allah azidi kumuelekeza.
@riziwanirashidnkumbilwa76225 жыл бұрын
Allah Akbar yaa Allah yaa Arahman mjalie Sheik wa Allah na simwingine ila Sheik Othman Maalim kwani yeye ni mfano wa kuigwa na barak na aman ziwe juu yake hapa duniani na kesho Akhera
@shailakipingu11125 жыл бұрын
Allahu akbar mwenyenzi mungu aje na mimi a nijarie watoto wema kama mfano wao
@almassoud31095 жыл бұрын
Mashaalah. Hawa ndio vijana wanye influence. Allah atupe vizazi vyema vyenye khof nae
@samarsadry4044 жыл бұрын
Amiin
@didachidy13253 жыл бұрын
Ameen
@maulidibnjuma95755 жыл бұрын
ALLAH Akbar,, yaarabi nakuomba uniongoze ktk njia iliyonyooka wallahi natamani kua kama muswadiq na vijana wngine wny maadili mema ya kiislam 😢 😢
@fama00434 жыл бұрын
Allah akuwezeshe in shaa Allah fatanafasilmutanafisun
@salmamwalimu24384 жыл бұрын
Masha Allah Allah awazidishie tena nate.
@fatumahassan86054 жыл бұрын
Allahumma amiin,ALLAH AKUJAALIE
@KhadijaKhadija-gc5su4 жыл бұрын
Amin
@salmaahmed3214 жыл бұрын
Ameen
@muniranatai80575 жыл бұрын
Mashaaaaaallah..... Sheikh Othman ni kipenzi cha waislam ......huzigusa nafsi za waislam na kukuza Iman zetu....... Huko ndiko nawe unakoelekea ......Allah akujalie In Shaa Allah
@mody-guyngido27925 жыл бұрын
MashaAllah Allah Azidi kukufungua kifua chako na Akupe Elimu Zaidi Uwe mfano wakuigwa hata wewe.
@allychuotv25205 жыл бұрын
Allah Akbar... Allah amuhifadhi Shekh Othamn Maalim na pia amuongeze maalim Swidq
@yussufhaji33355 жыл бұрын
Mashaallah nimempenda sana mungu akubariki pia sheikh Othman maalim kwavijana kufuata nyayo zako
Man'sha Allah Mola akudhidishie elmu yenye manfa akupe kifuwa chenye kuhifadhi sana wawe wengi mfano wko wenye Kuiga wenye khayri kama Hao Mwenyezi mungu Ghaz'wajallah akudhidishieni khayri ln shaa Allah 🙏🙏🙏
@alihamad63055 жыл бұрын
kila la khri
@mbirikau67074 жыл бұрын
Mola akudhidishie
@ahmedali03335 жыл бұрын
Mashallah jazakaallahu kher daaaah huyu shekhe yaaani ni kama othman maaaalim mashallah tulikuwa tunaomba mutuweeekee mawaidha yake inshallah natumai ujumbe utakuwa umefika inshallah
@RiyadhTvOnlineZnz5 жыл бұрын
Insha ALLAH kuanzia wiki ijayo utayaona
@mwanasuwes49365 жыл бұрын
MashaAllah Mwenyezimungu akujaalie kila lenye kher
@ntakirutimanamaisara45295 жыл бұрын
Masha Allah mwezimungu haziwajaala akuzidishe elmu apate kuyifikishia wangine inshaallah
@ukweliunauma45705 жыл бұрын
Mashallah jitahidi Sana na kua mkweli Allah atakuzidishia ameen
@seiflitonela4945 жыл бұрын
Mashallwah Hongereni sana Riyadh TvZnz kwa kutuhabarisha habari zenye heri.
@umaimaalharthy35815 жыл бұрын
Salut sana kwa Othman maalim Allah amjalie afya njema na umli mlefu sheikh wetu kipenzi Othman maalim
@samarsadry4044 жыл бұрын
Amiin
@sarahmohamed3375 жыл бұрын
Masha Allah Masha Allah Thuma Masha Allah.Allah Akuhifadhi kakangu katika Uislamu🙏🙏🙏
@rafiuiliyasa24164 жыл бұрын
Mashaall
@mwanakombaabbas935 жыл бұрын
Ma shaa Allah sauti yake inafanana kweli na sh othman maalim haswa anaposoma qur'an ma shaa Allah Allah azidi kumuongoza na vizazi vyetu in shaa Allah
@AliAli-vv7pk5 жыл бұрын
Mashaa Allah kijana mungu akulinde na husda na vijicho vya watu wabaya.... ((Ameen))
@fahadlauni58544 жыл бұрын
Mungu akuongeze innshaallah
@fatmajumaa10695 жыл бұрын
Allah akulinde na maadui akupe umri wa maisha marefu innsha allah
@ashurasaidi30385 жыл бұрын
Maashaallah ivi ndo adhari nzur zinazotakiwa kuziacha dunian sheikh othuman maalim hongera kwako una da'awa nzur kiasi kwamb adi kuongea anaongea uyu kijan anaongea kam sheikh maalim
@hamisamaundi56615 жыл бұрын
Mashallah mashallah, mwenyezi mungu akuendeleze kakaangu, future sheikh othman 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@mutaladjasmini48155 жыл бұрын
Kabisa mpaka raha Masha Allah
@swabriali45835 жыл бұрын
MashaAllah Mola akuhifadhi pamoja na waislamu wote.
@hadijakhamis29504 жыл бұрын
Ameen
@aminatatu56924 жыл бұрын
Amin
@abdillahbakar98505 жыл бұрын
Allah amlipe kila LA kher katika kazi yake ya uhadhir
@zainabamiri89244 жыл бұрын
Masha'Allah anaongea kiarabu vizuri Sana Kama muarabu vile
@khadijaali-gm4yw5 күн бұрын
Mashaallah Mashaallah Mashaallah, Allah atupe wepesi nasi katika kutekeleza ya kheri .
@zulfahhussein5055 жыл бұрын
MashaAllaah tabarakaAllaah Allaah azidi kumuongoza na Neema zake na kuongoza vizazi vingine ....
@EshaHamd-ed9yv4 ай бұрын
Mashaallah Allah akuepushe na Mahasadi wa Kibinaadam na Majini.Allah akupe umri mrefu
@saulikinahi67034 жыл бұрын
Mie ni mkristo ila kiukweli hua nina Muelewa na kumpenda Sana SHK Othman Maalimu, Mungu amjelie kheri na umri mrefu 🙏
@maryamsaid13072 ай бұрын
Ameena
@mohamedali43475 жыл бұрын
Mashaallah kila mtu anapenda kumuiga shekh othman maalim
@rizikikhamiss5355 жыл бұрын
Maashallah mungu akuzidishie fahamu na akuepushe na husda za walimwengu
@RiyadhTvOnlineZnz5 жыл бұрын
Aaaaamin
@ukhtysakinaa76644 жыл бұрын
Allahumma amiin
@salehsuleiman12185 жыл бұрын
Hakika mm nampenda sana sheikh Othman Maalim na Allah atuwekee nuru yetu hii aihifadh na mabaya amuondoshee mazito amletee wepes Wa kila jambo.
@mwanashamwatasa80605 жыл бұрын
Yallah yarrab nijalie kizazi changu kiwe kumuogopa na kuncha mungu na uwanyalie wawe wenya kuhifadhi Quran
@yusufmbaruk68865 жыл бұрын
Mashaaaaaaaaaaaaallaaaaa Allah akubaarik akuzidishie zaid nazaidiiiiiiii ahsante sanaaaaaaaaa
@amriomari98675 жыл бұрын
Masha allah
@cholobolivia19895 жыл бұрын
Mashallah mungu akubariki na akuzidishie elimu amiiin
@saidjuma97824 жыл бұрын
MASHA ALLAH.... MWENYEZI MUNGU AKUEPUSHE NA HASAD ZA WATU WABAYA... NA SISI WENGINE MUNGU ATUPE TWAUFIQ NA FAMILIA ZENU.... AMIIIN
@muhammadahmedaliyyu38545 жыл бұрын
Man'sha Allah man'sha Allahu jazak'um llah khayri👍 💞
@bakarishaha73315 жыл бұрын
Naam , hakika unakilasababu yakulinganishwa na Maalim, shekh Othamn. Allah awazidishie Maarifa zaid na zaid.
@umikulthumhamisi83114 жыл бұрын
Maa Asha Allah mungu akuzidishie innsha Allah
@mussajuma96985 жыл бұрын
mashallah tunamuomba sheikh Muswaddiq atupe namba yake tunamuhitaji maeneo ya Mfenesini huku aje atupe miski ya roho , sisi ni watu wake tunaomkubali kama tulivyomkubali sheikh othman maalim mashallah
@RiyadhTvOnlineZnz5 жыл бұрын
Insha ALLAH asiliana nasi +255 772 854520
@rashidbusanya71665 жыл бұрын
Nataman niwe ivo ila sidhan kama nitaweza kufikia ivo maashaa Allah
@abdulramadhan9815 жыл бұрын
Unaweza jitihada2 Akhy
@mohammedduba48344 жыл бұрын
Rashid Busanya unaweza kaka Rashid Busanya kwa nia na bidii ya kusoma kama unasoma
@jaliakamote54854 жыл бұрын
Usikate tamaa hakuna alozaliwa anaweza,Allah akuongoze nawe tia nia.
@jenifergreen46264 жыл бұрын
Muhimu nia kama unayo basii biidhnillah utafikia
@aminatatu56924 жыл бұрын
Usijali kaka yangu jita idi utiyeniya allah atakura isishiya
@aboubakarmansour11894 жыл бұрын
Maashaallah Mungu azid kutuongoz vijan ktk uislam, Allah ampe kila la Kheri sheikh Othman Maalim
@mutaladjasmini48155 жыл бұрын
Masha Allah kheri kaka yangu
@mohammedhassanabdulkhadir62834 жыл бұрын
Masha Allah hiyi ndio mfano mzuri inshallah mungu atujaaliye tuige mfano Kama huu inshallah.keeep going mungu Yuko nawewe inshallah
@mirajiissa46035 жыл бұрын
Maa shaa Allah, mwenyez mungu akujaalie uzidi elimu zaidi na zaidi , Allah akujaalie afya njema , Allah akujaalie hekma na busara , hakika umejaaliwa .
@jafaribori6014 жыл бұрын
Alhamdulih, kwakweli nimefurahi sana kwani sikuzote nilipo msikiza Othman maalim nilimuombea duwa aishi muda mrefu na usio na uzee mbaya na aishi daima ndani utaratibu wake huohuo wa Imani na huduma kwa waislam aishi kwawepesi WA rizki na kujitosheleza yeye familia yake pamoja na jamaa zake na mwishowe kama mwenyezi mungu akitaka kumchukuwa basi azidi kumtia kiu na hamasa ya kumpenda,kumtukuza Allah na kuineza elimu alieirith kutoka kwa mitume yetu na kiongozi wetu wa umma wa kislamu nabii wetu Mohamad sws, Onja yangu ya ujinga haitonikatisha tamaa kwakuambiwa ukweli nao ukweli nimsumeno nakila akuelimishae ujuwe nayeyepia alielimiswa kwa nijia tofauti tena wengine hupitia mazito zaidi, hivyo sitosita hasilani nasitojidhulumu nafsi yangu kwakujiekea kusema kuwa WEWE KIJANA NAKUPENDA SANA NA HUYO OTHMANI MAALIM , WALLAH MOLLA NDIE SHAHIDI JUU YA MAHABA YANGU KWENU NAWENGINE WOTE MNAOFANANA KATIKA ELIMU HIYO JQPO MIE SINA NA NIMIONGONI YAWALE WAZEE WALIOUTIA UJANA WAO KWENYE ONJO LA UJINGA NA KUZEEKA NAO; MWENYEZIMUNGU MWINGI WA REHMA ANIWEKE KARIBU NAMI PAMOJA NA WAJA WEMA.
@sophiakapolo15255 жыл бұрын
Mashaallah m/mungu akuongoze vyema
@sallyzreshiz205 жыл бұрын
mashaAllah mashaAllah mashaAllah baraka Allahu fik ya Akhuyi Hapo kwa Qiraa Ipo sawa Kabisa Tabaraka Ar Rahman
@saidhoki65025 жыл бұрын
Ahmdulillah ndugu nimependa kuaiga watuwema nimependa nami naiga mungu ainyanyue darjayako f dunia all akhera Allah human amin
@abdanshakuranrajab97184 жыл бұрын
ما شاء الله. بارك الله فيك يا شيخ صادق. أسأل الله أن يوفق مما تحب و ترضا . كل سنة و انت طيب.
@yahyaburhan47984 жыл бұрын
Mashallah allah akudhidishiye
@faizabaishe51724 жыл бұрын
MaashAllah Alhamdulilah Allah atuongeze katika njia ilonyoka shukran Sana
@s.m.jawadida88684 жыл бұрын
Amin Amin Amin Ya Rabal Enlamin
@wlkmwlkm84865 жыл бұрын
MashaAllah,hao ndio Watoto wakujivunia sio mtoto alelewa na taraabu na wasanii. Allah akulipe kila la kher kijina na akuepushe na hasadi
@jasminjuma63903 жыл бұрын
Mash Allah tabarakallah sheikh othman mdogo Allah akuhifadhi
@shariffalwi2256 Жыл бұрын
Mashaalah Mwenyezmngu atupe masheikh Athmani Maalim wengi inshaalah.
@asiasalimkapalato74635 жыл бұрын
Mashhaalah kweli ume muhusudu Othman maalim
@TheBlkk100mk3 жыл бұрын
Mashalllah yupo vizuri. Na si yeye tu, hata wewe unaye muhoji upo vizuri. Muna nafasi ya kuwa wazuri zaidi ya hapo na mimi nawaombea muzidi kuwa wazuri.
@samsungjsevenprime57174 жыл бұрын
Mashaallah Allah akuzidishie umri na afya njema uzidi kufata nyendo mzr na kujifananisha na masheikhe wetu Hizi ndio nyendo na sifa na umaarufu na mambo mazuri yenye kuelimisha jamii waislam
@foodcook3626 Жыл бұрын
Mashaallah tabarakallah kheri kwa binti utakayemuoa na kheri kwa atakayekuoza ila nakuombea kwa Allah aiweke nafsi yako mbali na matamanivo na shaitwani rajimu na aimarishe jina lako ki matendo in'shaallahu ta'ala natamani kupeana mkono na wewe live siku ya kiama baada yakuingia jana pamoja na huyo mpashaji habari karimu ambaye Allah amemfanya kisababu cha kukufahamu kimukhutasari allahumma amiina
@KhanifaSawani-bo8xd10 ай бұрын
MashaAllah
@nadhrajumamassoudmassoud86925 жыл бұрын
Muswadkq hongera sana Allah akuzidixhie
@mudytozy50845 жыл бұрын
Mashallh mungu akuzidishie kheriii
@mselemsalim19865 жыл бұрын
ALLAH NASI ATUEZESHE ATUPE VIZAZ VYEMA KM HIV...
@hadijakhamis29504 жыл бұрын
Allahumma Ameen
@kassimfadhili45695 жыл бұрын
Allah atufanyie wepes Inshaallah kuwapata vijana wengi kama huyu.
@rashidzahran78203 жыл бұрын
Good ustaadh mdogo wangu mungu akuweke na ukuzidishiye elimu
@daudipaulomatanga64795 жыл бұрын
mashaallah nakuombea kwa allah akuzidishie elim
@muhsinabdullah71135 жыл бұрын
Mashallah jazakallah kheir
@mayedmohammed55544 жыл бұрын
Manshallah Allah ampe pepo sheikh othman kwa kuwapa wanetu elim ya milele
@masodkhamis88084 жыл бұрын
Maashaallah Allah akupe wepesi ktk kutafuta ilmu zaidi...ila usimkate jina sheikh ukamwita Othman..muite kwa heshma...
@mgenijuma40854 жыл бұрын
ma shaa allah. allah tubariki ss pamoja na vizazi vyetu utuongoze kufanya mema in shaa allah
@zulfajuma98975 жыл бұрын
Mashaallah mashaallah, jazakha llahu khery
@khamisijuma48425 жыл бұрын
Mashaallah Allah ambariki na mola atufungulie milango ya elimu atulide na hasadi
@habibahmatano18155 жыл бұрын
Ma sha Allah mungu akuzidishie
@salumkhamis78185 жыл бұрын
Duh ebwanae MASHAALLAH zawadi hizi ALLAH anatuletea
@harounali16265 жыл бұрын
Siku nyingine tanguliza Mashaallaah na jitahid hiyo Duh ipotee katika ulimi wako. Biidhnikallah hilo lina wezekana.
@alibakar39765 жыл бұрын
Masha Allah mungu ambark kwa Rhma xake
@saudmohammed33905 жыл бұрын
Maa shaaa Allah umejitahidi Allah akujalie elimu zaidi. Amini
@abdulramadhan9815 жыл бұрын
ماشالله جزكالله خير أختى
@mkalimussa18465 жыл бұрын
saf kijana mwenzet mungu akujalie ivo ivo na sisi mungu atujalie tuongoze njia ilo nyooka
@nailahabibu88924 жыл бұрын
Maaa shaa Allah Allah Akupe afya na umri mref hakika ww ni mfan wa kuigwa
@hadijaseif3294 жыл бұрын
Yaarabbi nijaalie mtoto wa kiume nanimleevema awe mtoto mwema kamaivi mashaallah.
@hawaacosta73465 жыл бұрын
Allah akupe wingi wa dini in shaa Allah. Kwani na sisi twawaombea watoto wetu wawe wema.
@jasminali59214 жыл бұрын
Mashaa Allah tabarakallah Allah akijaalia afya njema
@mohamedsadiqi14995 жыл бұрын
masha allah
@salummussa86735 жыл бұрын
Allah akuzidishie ishaallah
@nasraalismailiy51885 жыл бұрын
Nalia na Naumia 😭😭😭nikiona watoto wenzangu wamekulia ktk madili kama haya nikitaman na mm nilivokuwa mdogo na nilikuwa na hamu sana kupita kiasi niwe hivo lkn sikujaaliwa na mpaka sasa sijakata tamaa najua ipo siku japo nimwanamke na watoto lkn ipo siku nitakuwa mwenye kuijua zaid dini yangu na kuisoma quran kama masheikh wengine wakubwa biidhnilah 🤲
@azamansur70865 жыл бұрын
Naam kuluu aamal biniya usikate tamaa Ukhy
@ally17025 жыл бұрын
Allah akupe wepesi in shaa Allah
@bindawood9785 жыл бұрын
Jambo ni nia,ln Shaa Allah utafanikiwa.
@issarachide14745 жыл бұрын
Masha Allah hakuongeze sheikh muswadiki
@alizahranmohd40955 жыл бұрын
usikat tamaaa .ila watt wakazie sana hakikisha unawapenda sana ila wakazie sana utofautishe mapenz na kuwafunza adabu. hilo tu na kuomba dua.wazz wengi wanaendelez mapenz kuleko malezi
@fatmamohd37035 жыл бұрын
Mashaallah mashaallah mashaallah Allah awaongoze na watoto wetu pia wawe miongoni mwa watoto wema na muswadiq Allah amfikishe pale anapotaka kufikia ktk malengo yake
@zakiahamisi29195 жыл бұрын
Masha Allah
@omanseeb86095 жыл бұрын
Mashaaall allah allah atupe watot kama hawa
@mohammedmnkhawal44375 жыл бұрын
Mashallah
@user-kw1zu2dy1h5 жыл бұрын
نريد شباب مثلك , اللهم اهد شباب المسلمين
@husseinmakame80355 жыл бұрын
Mashaallah huna papara na unafahamika.Allah akuzidishieeeh
@user-ln2ht2gt5p5 жыл бұрын
Waislam 2najua kiarabu mashallah mungu a2ongoe
@aliomar56035 жыл бұрын
ريا الزنجباري ni kugha tu hii
@saleheally46855 жыл бұрын
mashallah hawa ndio vijana imara wanaotakiwa katka Uislam kutokana na umahir wake
@allychambale62055 жыл бұрын
Mashaallah Allah akuzidishie
@asnatyahya39795 жыл бұрын
Maa shaa Allah barakaallah
@abeidhamisi50965 жыл бұрын
Mashaa Allah, baraka llah fihi
@fama00434 жыл бұрын
MashaAllah Tabarakallah Allah ihfadhak . Allah amjaze kheri ustadh wake MashaAllah hakuwa na khiyana ya kumkuza kijana huyu jazakallahu kheir ya ustadh