Kweli angeweza kua omba omba mungu akubariki makonda na sisi watanzania tupo pamoja na nyinyi ktk ujenzi wa taifa.
@binkhalifa695627 күн бұрын
Allah akulipe mkuu
@jogoomohamed26525 ай бұрын
Mtu muhimu sana kwenye hili taifa.Mkuu Paul Makonda.Nakuombea kheri napia ulinzi wa MWENYEZI MUNGU wakati wote
@YakoboLohay-cs8jn5 ай бұрын
Po O
@FikiriMloka-ft3yf4 ай бұрын
Huyu ndiyo rais mtarajiwa 2030
@jogoomohamed26524 ай бұрын
@@FikiriMloka-ft3yf Hakika tukifanikiwa napia baraka zake MWENYEZI MUNGU huwa zinafuata sehemu zenye maombi ya wengi.Naamini 2030 Mkuu Paul Makonda yatatimia
@bahatigewa41635 ай бұрын
Makooooondaaaaa mungu akupe maisha marefuuuu
@user-nb2ez3bj3v5 ай бұрын
Mungu akuzidishie kaka Paul makonda
@mudhihirugara88455 ай бұрын
Makonda umenikumbusha magufuli unahuruma mungu akujalie
@mornasaidtindwa36225 ай бұрын
Kwakweli adi machozi yana nilenga
@IbrahimDavid-yn1gl5 ай бұрын
Makonda Mungu akubariki saaana endelea katika zamu hiyo ni nafasi yako umewekwa na Mungu ,Mungu ibariki Tanzania na viongozi wetu wote.
@mputaostin30775 ай бұрын
KAKA makonda Mungu AKUBARIKI sana kwa haya unayoyatenda. Nakukumbuka ulimsaidia Pascal cassian.
@iddihamisi63205 ай бұрын
Unamuweka mpaka ndani mlemavu kisa kudai haki yake imeniuma sana😢
@abdallahmakombo38665 ай бұрын
Alienda kukopa lkn
@medsonulendo42215 ай бұрын
Makonda kwenye utendaji na maamuzi yupo vizur
@eggysulle79885 ай бұрын
WASUKUMA wanahuruma sana kwakwel,🔥🔥
@zuweinaalhabsya87735 ай бұрын
Wanahuruma na wakarim Sana wasukuma halafu wasafi Sana
@AbdallahBahati-cl9rk10 күн бұрын
Vidio
@eggysulle79889 күн бұрын
@@zuweinaalhabsya8773 kabisa
@LucyKapinga-fg4dk5 ай бұрын
Amen Mungu Amtangulie
@hassanalshaqsi67075 ай бұрын
Good work brother MAKONDA Your the best
@user-km1gv2kr6w5 ай бұрын
Bora umerudi makonda niliomba mungu sana urudishwe
@MaterlingMtui-oz8fp9 күн бұрын
Mridhi wa makufuli, makonda nakupenda , Mungu akuinue
@laurugumba44412 ай бұрын
Makonda mungu akulinde na akutunze binafsi unanikosha sana kwa kazi unayofanya wewe ni mchapakazi mungu atakuinua viwango vingine vya juu zaidi 🎉🎉🎉🎉
@musasabuu2808Ай бұрын
Makonda ni kiongozi naiona picha ya magufuli napomtizama mh.makonda namna anasikiliza shida za watu nakuzfanyia kazi mwenyezi mungu amubaliki xna
@perfectark62925 ай бұрын
Mungu Amupe roho ya rais aliyopit Magufuriiii
@raymondnlelwa4275 ай бұрын
Lakini pesa hizi za kugawa kama njugu zinatoka wapi kwani?
@rosetreffert41795 ай бұрын
@@raymondnlelwa427acha wivu kutoa ni moyo hata waweza kusaidia !!!cha muhimu amesaidika
@GervasiMwacha25 күн бұрын
Safi sana kiongozi.
@songeza3 ай бұрын
Yaani Makonda Mungu akubariki tena akuzidishie umri mrefu uishi usaidie wanyonge vaa kwa nguvu zote viatu vya hayati mpendws wetu Magu tunamkumbuka hasa nawe unapochukua hatua zake dah
@aishamzeehamissi685925 күн бұрын
Makonda na slaha 1wa Ardhi mungu awawekee mamasamia twataka watu kama hawa watetezi allwaa atawalipa na Rais wetuu
@audaxbizimana80845 ай бұрын
Piga salute dadadekiiiiiiii Heko makonda
@user-om5go9nj6n5 ай бұрын
I wish even kenya tukuwe na mtu kama uyu. I can see this guy to be the president one day.
@ZainabMilanzi4 күн бұрын
Mungu akulinde uje uwe raisi magufuri
@thabitdaudi98155 ай бұрын
Metaphorically namuona mama samia alikua amekaa kinyonge sana watu wanamchukulia poa ghafla akasema mnanijua kwel?? Akatoa AK47 akafyatua risasi, ile risasi iliyotoka pale is MAKONDA. GOD BLESS THIS MAN
@estellemwai54024 ай бұрын
True
@MHDFURNITURE-jn2rx5 ай бұрын
mwaka ntakaonskia makonda anagombea uraisi hapa tz kula yakwanza yakwangu
@user-mb3wg8vm3b4 күн бұрын
hongela makonda unasitaili kua rais
@user-og9jt3mg4c5 ай бұрын
Mungu akubariki sana kwa kumpa mtaji huyo kijana
@mussashemganga58035 ай бұрын
Mungu akuongoze kaka kwenye safari zako nalufia tena huna kaka ukifa huozi mkuu
@saeedally2685 ай бұрын
Makonda anafaa kuwa rais haswaa anapiga kazi kweli kweli
@EzraStephano-lp6qr5 ай бұрын
Hakika tunaitaji viongozi kama Hawa kwenye taifa letu.
@BarakaBrayson-rk2wf9 күн бұрын
Makonda apewe mauwa yake🎉🎉🎉
@selemanikilupy14685 ай бұрын
Mimi Toka najuwa masuala ya siasa watu wangu ndani ya Ccm ni wawili tu KANGI & MAKONDA
@hajihassan54335 ай бұрын
Makonda sawa lakini Kagi yule mwizi pale Magereza.
@bahatigewa41635 ай бұрын
Mungu amjalie kheri raisi wetu samia suluhu, mungu akujalie kheri dume la madume paul makonda
@user-xl7tb9xr9t5 ай бұрын
Kaka paul may God bless you ❤continue
@alisonikihedu96145 ай бұрын
Makonda mbona unaniweka njiapanda kunamda naichukia ccm lakini nikkuona roho yangu inatulia sababu ninaona nuru
@AbubakaryOmarАй бұрын
Wasukuma wanahofu ya. Mungu hongeren mlojaliwa
@AleiHadji-js3ed5 ай бұрын
Makonda Katibu Mkuu mpya wa ccm muwe pamoja na kina mchengerwa musifarakanishwe
@ElneySheddy-is1dv5 ай бұрын
Hakika makonda nimaraika ajae💪🙏🤝✍️
@SaadiyaMohammad-og5bg17 күн бұрын
Mungu akupatea maisha marefu makoda mungu Yuko naww mungu akulindia na mahasidia
@user-fu9ef1qf8z5 ай бұрын
Mungu akubaliki makonda pia niombe upite na kwenye wiraya ya ukerewe please mweshimiwa
@SophiaKaaya27 күн бұрын
Makonda mungu akulinde uwanyooshe walioshindikana hawo ni zaidi ya majambazi
@esterelias81375 ай бұрын
Nakupenda baba makonda fanya kazi
@futurekavugha37682 күн бұрын
Mwenyenzi mungu akuweke mokonda
@user-nv9jn7xc4f5 ай бұрын
Safi brother makonda
@user-nz6pj6gp7z4 ай бұрын
Maa shaa Allah❤ good job bro makonda
@AhlamKilemaАй бұрын
Mungu hakubariki...makonda
@khadijakimana88094 ай бұрын
Makonda, Mungu akukumbuke na wewe kwenye shida zako🤲
@JohnGamma5 ай бұрын
Mungu akufany uishi milele
@AminaBakari-ds4dp8 күн бұрын
Makonda jamani mungu akulipe baba unanikumbusha baba Jpm
@muna11655 ай бұрын
Daaa makonda mungu akubariki sana
@MatronaThomas-wz5si5 ай бұрын
Ubarikiwe Makonda
@alfredmhana2355 ай бұрын
Mungu akusaidie kamanda makonda.
@SaadiyaMohammad-og5bg17 күн бұрын
Mungu wangu huyo mtoto aminitowa machozia siwakuthulumia mungu msaidia
@user-mc6um1it1r5 ай бұрын
Baba mungu akubariki sana yani naomba mungu mwaka ujao ugombanie urais
@AllyGibu-cz2vo5 ай бұрын
Urais atagombea Samia akitoka madarakani hawezi kugombea na bosi wake
@bahatibushiri16105 ай бұрын
Daaaah makonda ubarikiwe❤❤
@ShamsaNassoro-zm8yoАй бұрын
Mungu akubariki makonda
@willydugilo32584 ай бұрын
Kwa tunao ona kuwa kazi inayofanywa na ndugu yetu ni njema na yakutia moyo wanyonge!! Japo wanafikiwa wachache!! Kwanini tusimuombe kuungana nae kwa kuunda japo ka group!! Kwaajili ya kuunga mkomo anachokifanya!! Kwana huo ndio mpango wa mungu!! Kuchukuliana kwa taabu zetu!! Kuna ndugu zetu wengi wanapitia magumu sana!! Tushiriki japo kwa kidogo tunachopata!! Wazo tu!!
@RahimaMct-ik8mr5 ай бұрын
Apewe ulinzi 😢 masin dah mwenyenzi mungun akuzidishie huruma na wanyonge
@JAPHETHDauson29 күн бұрын
Mungu akulinde kilasilaha itakayo imuka juu Yako isifanikiwe
@issasefu52995 ай бұрын
Mungu akubariki kaka ❤
@mediavumbi92435 ай бұрын
Mubarikiwe sana
@christainc.52175 ай бұрын
Mungu akubariiki kaka
@charlesdaffa-hk9cd2 ай бұрын
Safi sana Young Magufuli
@user-vb5ci7io5s5 ай бұрын
Namuona magufuli karud ndan ya NCHI yetu Asante mungu
@DaynessSteven-yr4ud5 ай бұрын
Da huu moyo nizaidi ya mioyo hongera kaka
@WinifridaJonathan-cq2nwАй бұрын
Makonda Mungu akulinde sana hatutaki maumivu tena angalau unatupunguzia ule uchungu moyon😢😢
@queenmunny2445 ай бұрын
Mungu akubarik ❤❤ baba
@user-sc4sp6ko2s5 ай бұрын
Kaka makonda Mungu akuongoze kiongozi wetu
@gilbertshirima26845 ай бұрын
Hizo hela anatoa wapi?
@lokendomneni70455 ай бұрын
God bless you Makonda
@mussamdoe46195 ай бұрын
Mkuu Mr mackonda ujio wako wakuja Tanga tunakuomba fika wilaya ya korogwe Kijiji Cha mazinde Kuna shida nyingi zinasababishwa na diwani Kuna lushwa imekisiri Kila upande juu ya diwani malalamoko mengi yanamhusu njoo tufunguke ujiskilizie keamaskio naikiwezekana uondoke nae
@mamilooutukufu35165 ай бұрын
Wew ni musa ulietumwa lwa wana wa Israel (Tanzania) Ombi langu ni moja tu mpe uraisi uyu mjoli wako Watanzania wote sabbu si kwa utetezi huu
@user-ci6oh4cm7j5 ай бұрын
Ila siomenti Kwa huyu dogo mlemavu ,makonda mungu akubariki
@getrudankole74455 ай бұрын
Kanda ya ziwa Mungu aliweka kitu kwao , Yaani ukarimu na upendo wanaongoza , Mungu akulinde Makonda nilisubiri kwa hamu urejee ,Gombea urais .
@user-si2yt4sh6o5 ай бұрын
Mungu amupiganie makonda awe hais wa awamu ya saba 🙏🙏
@Ernestlaiza5 ай бұрын
Tokaaa hapa
@user-qk5gh5ns9m5 ай бұрын
Uishi maisha marefu baba makonda👏
@NeemaMgoliАй бұрын
Nimekupenda. Bule makonda
@NeemaMassawe-qg6kf29 күн бұрын
Makoda umekua hodar sana baba munqu akulinde
@giffttymlemwa4523Ай бұрын
God bless ....
@chuilion30995 ай бұрын
Kaka makonda ninashida nawewe sana tenasana,nitakupataje
@JAPHETHDauson29 күн бұрын
Kabisa kama Mungu Aishivyo
@dorahmushi-we6ts5 ай бұрын
Makonda Mungu azidi kukuinua mtumishi wake😭🙏
@halimaauthman93245 ай бұрын
Kilema mnamuweka ndani hamna huruma 😢
@dottothomas-je6jk27 күн бұрын
Jaman utu hatuna tena ee mungu agalia watu wakoswa marifaa
@user-mp4yt7ps5q5 ай бұрын
Makonda Mungu akulinde
@user-qt5xq6fk6o4 ай бұрын
Rais Samia hongera kwa kupata mchapa KAZI mzuri mambo kama haya ndio wanayoyata watanzania kutatuliwa shida zao hapo kwa hapo sio kwenda kwenye ofisi zao wakakufukuza kama sio mtanzania mwenzao.