KIJANA MLEMAVU WA MIGUU ALIYEWEKWA NDANI AFUNGUKA KUDHULUMIWA, MAKONDA AMPA MILIONI 2

  Рет қаралды 376,430

Millard Ayo

Millard Ayo

5 ай бұрын

Пікірлер: 285
@HussainMaula-mw8vz
@HussainMaula-mw8vz 5 ай бұрын
Kweli angeweza kua omba omba mungu akubariki makonda na sisi watanzania tupo pamoja na nyinyi ktk ujenzi wa taifa.
@binkhalifa6956
@binkhalifa6956 27 күн бұрын
Allah akulipe mkuu
@jogoomohamed2652
@jogoomohamed2652 5 ай бұрын
Mtu muhimu sana kwenye hili taifa.Mkuu Paul Makonda.Nakuombea kheri napia ulinzi wa MWENYEZI MUNGU wakati wote
@YakoboLohay-cs8jn
@YakoboLohay-cs8jn 5 ай бұрын
Po O
@FikiriMloka-ft3yf
@FikiriMloka-ft3yf 4 ай бұрын
Huyu ndiyo rais mtarajiwa 2030
@jogoomohamed2652
@jogoomohamed2652 4 ай бұрын
@@FikiriMloka-ft3yf Hakika tukifanikiwa napia baraka zake MWENYEZI MUNGU huwa zinafuata sehemu zenye maombi ya wengi.Naamini 2030 Mkuu Paul Makonda yatatimia
@bahatigewa4163
@bahatigewa4163 5 ай бұрын
Makooooondaaaaa mungu akupe maisha marefuuuu
@user-nb2ez3bj3v
@user-nb2ez3bj3v 5 ай бұрын
Mungu akuzidishie kaka Paul makonda
@mudhihirugara8845
@mudhihirugara8845 5 ай бұрын
Makonda umenikumbusha magufuli unahuruma mungu akujalie
@mornasaidtindwa3622
@mornasaidtindwa3622 5 ай бұрын
Kwakweli adi machozi yana nilenga
@IbrahimDavid-yn1gl
@IbrahimDavid-yn1gl 5 ай бұрын
Makonda Mungu akubariki saaana endelea katika zamu hiyo ni nafasi yako umewekwa na Mungu ,Mungu ibariki Tanzania na viongozi wetu wote.
@mputaostin3077
@mputaostin3077 5 ай бұрын
KAKA makonda Mungu AKUBARIKI sana kwa haya unayoyatenda. Nakukumbuka ulimsaidia Pascal cassian.
@iddihamisi6320
@iddihamisi6320 5 ай бұрын
Unamuweka mpaka ndani mlemavu kisa kudai haki yake imeniuma sana😢
@abdallahmakombo3866
@abdallahmakombo3866 5 ай бұрын
Alienda kukopa lkn
@medsonulendo4221
@medsonulendo4221 5 ай бұрын
Makonda kwenye utendaji na maamuzi yupo vizur
@eggysulle7988
@eggysulle7988 5 ай бұрын
WASUKUMA wanahuruma sana kwakwel,🔥🔥
@zuweinaalhabsya8773
@zuweinaalhabsya8773 5 ай бұрын
Wanahuruma na wakarim Sana wasukuma halafu wasafi Sana
@AbdallahBahati-cl9rk
@AbdallahBahati-cl9rk 10 күн бұрын
Vidio
@eggysulle7988
@eggysulle7988 9 күн бұрын
@@zuweinaalhabsya8773 kabisa
@LucyKapinga-fg4dk
@LucyKapinga-fg4dk 5 ай бұрын
Amen Mungu Amtangulie
@hassanalshaqsi6707
@hassanalshaqsi6707 5 ай бұрын
Good work brother MAKONDA Your the best
@user-km1gv2kr6w
@user-km1gv2kr6w 5 ай бұрын
Bora umerudi makonda niliomba mungu sana urudishwe
@MaterlingMtui-oz8fp
@MaterlingMtui-oz8fp 9 күн бұрын
Mridhi wa makufuli, makonda nakupenda , Mungu akuinue
@laurugumba4441
@laurugumba4441 2 ай бұрын
Makonda mungu akulinde na akutunze binafsi unanikosha sana kwa kazi unayofanya wewe ni mchapakazi mungu atakuinua viwango vingine vya juu zaidi 🎉🎉🎉🎉
@musasabuu2808
@musasabuu2808 Ай бұрын
Makonda ni kiongozi naiona picha ya magufuli napomtizama mh.makonda namna anasikiliza shida za watu nakuzfanyia kazi mwenyezi mungu amubaliki xna
@perfectark6292
@perfectark6292 5 ай бұрын
Mungu Amupe roho ya rais aliyopit Magufuriiii
@raymondnlelwa427
@raymondnlelwa427 5 ай бұрын
Lakini pesa hizi za kugawa kama njugu zinatoka wapi kwani?
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 5 ай бұрын
​@@raymondnlelwa427acha wivu kutoa ni moyo hata waweza kusaidia !!!cha muhimu amesaidika
@GervasiMwacha
@GervasiMwacha 25 күн бұрын
Safi sana kiongozi.
@songeza
@songeza 3 ай бұрын
Yaani Makonda Mungu akubariki tena akuzidishie umri mrefu uishi usaidie wanyonge vaa kwa nguvu zote viatu vya hayati mpendws wetu Magu tunamkumbuka hasa nawe unapochukua hatua zake dah
@aishamzeehamissi6859
@aishamzeehamissi6859 25 күн бұрын
Makonda na slaha 1wa Ardhi mungu awawekee mamasamia twataka watu kama hawa watetezi allwaa atawalipa na Rais wetuu
@audaxbizimana8084
@audaxbizimana8084 5 ай бұрын
Piga salute dadadekiiiiiiii Heko makonda
@user-om5go9nj6n
@user-om5go9nj6n 5 ай бұрын
I wish even kenya tukuwe na mtu kama uyu. I can see this guy to be the president one day.
@ZainabMilanzi
@ZainabMilanzi 4 күн бұрын
Mungu akulinde uje uwe raisi magufuri
@thabitdaudi9815
@thabitdaudi9815 5 ай бұрын
Metaphorically namuona mama samia alikua amekaa kinyonge sana watu wanamchukulia poa ghafla akasema mnanijua kwel?? Akatoa AK47 akafyatua risasi, ile risasi iliyotoka pale is MAKONDA. GOD BLESS THIS MAN
@estellemwai5402
@estellemwai5402 4 ай бұрын
True
@MHDFURNITURE-jn2rx
@MHDFURNITURE-jn2rx 5 ай бұрын
mwaka ntakaonskia makonda anagombea uraisi hapa tz kula yakwanza yakwangu
@user-mb3wg8vm3b
@user-mb3wg8vm3b 4 күн бұрын
hongela makonda unasitaili kua rais
@user-og9jt3mg4c
@user-og9jt3mg4c 5 ай бұрын
Mungu akubariki sana kwa kumpa mtaji huyo kijana
@mussashemganga5803
@mussashemganga5803 5 ай бұрын
Mungu akuongoze kaka kwenye safari zako nalufia tena huna kaka ukifa huozi mkuu
@saeedally268
@saeedally268 5 ай бұрын
Makonda anafaa kuwa rais haswaa anapiga kazi kweli kweli
@EzraStephano-lp6qr
@EzraStephano-lp6qr 5 ай бұрын
Hakika tunaitaji viongozi kama Hawa kwenye taifa letu.
@BarakaBrayson-rk2wf
@BarakaBrayson-rk2wf 9 күн бұрын
Makonda apewe mauwa yake🎉🎉🎉
@selemanikilupy1468
@selemanikilupy1468 5 ай бұрын
Mimi Toka najuwa masuala ya siasa watu wangu ndani ya Ccm ni wawili tu KANGI & MAKONDA
@hajihassan5433
@hajihassan5433 5 ай бұрын
Makonda sawa lakini Kagi yule mwizi pale Magereza.
@bahatigewa4163
@bahatigewa4163 5 ай бұрын
Mungu amjalie kheri raisi wetu samia suluhu, mungu akujalie kheri dume la madume paul makonda
@user-xl7tb9xr9t
@user-xl7tb9xr9t 5 ай бұрын
Kaka paul may God bless you ❤continue
@alisonikihedu9614
@alisonikihedu9614 5 ай бұрын
Makonda mbona unaniweka njiapanda kunamda naichukia ccm lakini nikkuona roho yangu inatulia sababu ninaona nuru
@AbubakaryOmar
@AbubakaryOmar Ай бұрын
Wasukuma wanahofu ya. Mungu hongeren mlojaliwa
@AleiHadji-js3ed
@AleiHadji-js3ed 5 ай бұрын
Makonda Katibu Mkuu mpya wa ccm muwe pamoja na kina mchengerwa musifarakanishwe
@ElneySheddy-is1dv
@ElneySheddy-is1dv 5 ай бұрын
Hakika makonda nimaraika ajae💪🙏🤝✍️
@SaadiyaMohammad-og5bg
@SaadiyaMohammad-og5bg 17 күн бұрын
Mungu akupatea maisha marefu makoda mungu Yuko naww mungu akulindia na mahasidia
@user-fu9ef1qf8z
@user-fu9ef1qf8z 5 ай бұрын
Mungu akubaliki makonda pia niombe upite na kwenye wiraya ya ukerewe please mweshimiwa
@SophiaKaaya
@SophiaKaaya 27 күн бұрын
Makonda mungu akulinde uwanyooshe walioshindikana hawo ni zaidi ya majambazi
@esterelias8137
@esterelias8137 5 ай бұрын
Nakupenda baba makonda fanya kazi
@futurekavugha3768
@futurekavugha3768 2 күн бұрын
Mwenyenzi mungu akuweke mokonda
@user-nv9jn7xc4f
@user-nv9jn7xc4f 5 ай бұрын
Safi brother makonda
@user-nz6pj6gp7z
@user-nz6pj6gp7z 4 ай бұрын
Maa shaa Allah❤ good job bro makonda
@AhlamKilema
@AhlamKilema Ай бұрын
Mungu hakubariki...makonda
@khadijakimana8809
@khadijakimana8809 4 ай бұрын
Makonda, Mungu akukumbuke na wewe kwenye shida zako🤲
@JohnGamma
@JohnGamma 5 ай бұрын
Mungu akufany uishi milele
@AminaBakari-ds4dp
@AminaBakari-ds4dp 8 күн бұрын
Makonda jamani mungu akulipe baba unanikumbusha baba Jpm
@muna1165
@muna1165 5 ай бұрын
Daaa makonda mungu akubariki sana
@MatronaThomas-wz5si
@MatronaThomas-wz5si 5 ай бұрын
Ubarikiwe Makonda
@alfredmhana235
@alfredmhana235 5 ай бұрын
Mungu akusaidie kamanda makonda.
@SaadiyaMohammad-og5bg
@SaadiyaMohammad-og5bg 17 күн бұрын
Mungu wangu huyo mtoto aminitowa machozia siwakuthulumia mungu msaidia
@user-mc6um1it1r
@user-mc6um1it1r 5 ай бұрын
Baba mungu akubariki sana yani naomba mungu mwaka ujao ugombanie urais
@AllyGibu-cz2vo
@AllyGibu-cz2vo 5 ай бұрын
Urais atagombea Samia akitoka madarakani hawezi kugombea na bosi wake
@bahatibushiri1610
@bahatibushiri1610 5 ай бұрын
Daaaah makonda ubarikiwe❤❤
@ShamsaNassoro-zm8yo
@ShamsaNassoro-zm8yo Ай бұрын
Mungu akubariki makonda
@willydugilo3258
@willydugilo3258 4 ай бұрын
Kwa tunao ona kuwa kazi inayofanywa na ndugu yetu ni njema na yakutia moyo wanyonge!! Japo wanafikiwa wachache!! Kwanini tusimuombe kuungana nae kwa kuunda japo ka group!! Kwaajili ya kuunga mkomo anachokifanya!! Kwana huo ndio mpango wa mungu!! Kuchukuliana kwa taabu zetu!! Kuna ndugu zetu wengi wanapitia magumu sana!! Tushiriki japo kwa kidogo tunachopata!! Wazo tu!!
@RahimaMct-ik8mr
@RahimaMct-ik8mr 5 ай бұрын
Apewe ulinzi 😢 masin dah mwenyenzi mungun akuzidishie huruma na wanyonge
@JAPHETHDauson
@JAPHETHDauson 29 күн бұрын
Mungu akulinde kilasilaha itakayo imuka juu Yako isifanikiwe
@issasefu5299
@issasefu5299 5 ай бұрын
Mungu akubariki kaka ❤
@mediavumbi9243
@mediavumbi9243 5 ай бұрын
Mubarikiwe sana
@christainc.5217
@christainc.5217 5 ай бұрын
Mungu akubariiki kaka
@charlesdaffa-hk9cd
@charlesdaffa-hk9cd 2 ай бұрын
Safi sana Young Magufuli
@user-vb5ci7io5s
@user-vb5ci7io5s 5 ай бұрын
Namuona magufuli karud ndan ya NCHI yetu Asante mungu
@DaynessSteven-yr4ud
@DaynessSteven-yr4ud 5 ай бұрын
Da huu moyo nizaidi ya mioyo hongera kaka
@WinifridaJonathan-cq2nw
@WinifridaJonathan-cq2nw Ай бұрын
Makonda Mungu akulinde sana hatutaki maumivu tena angalau unatupunguzia ule uchungu moyon😢😢
@queenmunny244
@queenmunny244 5 ай бұрын
Mungu akubarik ❤❤ baba
@user-sc4sp6ko2s
@user-sc4sp6ko2s 5 ай бұрын
Kaka makonda Mungu akuongoze kiongozi wetu
@gilbertshirima2684
@gilbertshirima2684 5 ай бұрын
Hizo hela anatoa wapi?
@lokendomneni7045
@lokendomneni7045 5 ай бұрын
God bless you Makonda
@mussamdoe4619
@mussamdoe4619 5 ай бұрын
Mkuu Mr mackonda ujio wako wakuja Tanga tunakuomba fika wilaya ya korogwe Kijiji Cha mazinde Kuna shida nyingi zinasababishwa na diwani Kuna lushwa imekisiri Kila upande juu ya diwani malalamoko mengi yanamhusu njoo tufunguke ujiskilizie keamaskio naikiwezekana uondoke nae
@mamilooutukufu3516
@mamilooutukufu3516 5 ай бұрын
Wew ni musa ulietumwa lwa wana wa Israel (Tanzania) Ombi langu ni moja tu mpe uraisi uyu mjoli wako Watanzania wote sabbu si kwa utetezi huu
@user-ci6oh4cm7j
@user-ci6oh4cm7j 5 ай бұрын
Ila siomenti Kwa huyu dogo mlemavu ,makonda mungu akubariki
@getrudankole7445
@getrudankole7445 5 ай бұрын
Kanda ya ziwa Mungu aliweka kitu kwao , Yaani ukarimu na upendo wanaongoza , Mungu akulinde Makonda nilisubiri kwa hamu urejee ,Gombea urais .
@user-si2yt4sh6o
@user-si2yt4sh6o 5 ай бұрын
Mungu amupiganie makonda awe hais wa awamu ya saba 🙏🙏
@Ernestlaiza
@Ernestlaiza 5 ай бұрын
Tokaaa hapa
@user-qk5gh5ns9m
@user-qk5gh5ns9m 5 ай бұрын
Uishi maisha marefu baba makonda👏
@NeemaMgoli
@NeemaMgoli Ай бұрын
Nimekupenda. Bule makonda
@NeemaMassawe-qg6kf
@NeemaMassawe-qg6kf 29 күн бұрын
Makoda umekua hodar sana baba munqu akulinde
@giffttymlemwa4523
@giffttymlemwa4523 Ай бұрын
God bless ....
@chuilion3099
@chuilion3099 5 ай бұрын
Kaka makonda ninashida nawewe sana tenasana,nitakupataje
@JAPHETHDauson
@JAPHETHDauson 29 күн бұрын
Kabisa kama Mungu Aishivyo
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 5 ай бұрын
Makonda Mungu azidi kukuinua mtumishi wake😭🙏
@halimaauthman9324
@halimaauthman9324 5 ай бұрын
Kilema mnamuweka ndani hamna huruma 😢
@dottothomas-je6jk
@dottothomas-je6jk 27 күн бұрын
Jaman utu hatuna tena ee mungu agalia watu wakoswa marifaa
@user-mp4yt7ps5q
@user-mp4yt7ps5q 5 ай бұрын
Makonda Mungu akulinde
@user-qt5xq6fk6o
@user-qt5xq6fk6o 4 ай бұрын
Rais Samia hongera kwa kupata mchapa KAZI mzuri mambo kama haya ndio wanayoyata watanzania kutatuliwa shida zao hapo kwa hapo sio kwenda kwenye ofisi zao wakakufukuza kama sio mtanzania mwenzao.
@user-xn4qt3go1n
@user-xn4qt3go1n 4 ай бұрын
Nakukubali xana
@swabrasabry2366
@swabrasabry2366 10 күн бұрын
Vizuri avidumu Mungu tulindie uyu mtu
@RehemaSadik-jn1dd
@RehemaSadik-jn1dd 14 күн бұрын
Kama namuona magufur aisee mungu akulinde poo
@AbuumundhiryMuhmmad
@AbuumundhiryMuhmmad 5 ай бұрын
Makona ulichokifanya kizulisana munguakulipe khery akuongezee ulipopunguza
@britonkanumba6828
@britonkanumba6828 5 ай бұрын
Makonda ni mwambaaaa
@user-qw8tm3jz2u
@user-qw8tm3jz2u 5 ай бұрын
❤❤❤Makonda
@helenamichael9705
@helenamichael9705 2 ай бұрын
Nampenda sana makonda kila nikikuona namkumbuka raisi Magufuri
@user-rf9vn7lz1n
@user-rf9vn7lz1n 5 ай бұрын
Mung akubarik kak uwo ndiy uzalind aliyekuw anafany bab yetu magufuli
@UpendoMwashilindi
@UpendoMwashilindi 2 ай бұрын
Duu ira sisi waremavu tunanyanyasika vibaya muno da nampa pore sana
@pancraskazimoto3028
@pancraskazimoto3028 28 күн бұрын
Hatariii kwakweli mwenyezi MUNGU ndo kinga yetu atuokoe kwakweli😭😭.
@jackoboabunuasi-hb4qc
@jackoboabunuasi-hb4qc 5 ай бұрын
Apa ndo mahali makondaa anaponikoshaaa sanaa
@LawrenceMndimba
@LawrenceMndimba 2 ай бұрын
Very nice
@GraceMhoja-zc7yg
@GraceMhoja-zc7yg 5 ай бұрын
Mpka nmelia jamn Mungu tusaidie
@isaacmanyala3228
@isaacmanyala3228 5 ай бұрын
Siku moja ,Madonna atahualpa raising wa Tanzania.
@PaulinaNangu
@PaulinaNangu Ай бұрын
Mh makonda karibu na kwetu
@MwalimuMwalimu-bv9ws
@MwalimuMwalimu-bv9ws 5 ай бұрын
Pole sna kaka
@user-ik1rd5ts4z
@user-ik1rd5ts4z 8 күн бұрын
Makonda wew NI wa peponi
NAKUPENDA MWALIMU NIKUVALISHE PETE  STEVE MWEUSI
14:04
Mweusi Family
Рет қаралды 4,9 МЛН
孩子多的烦恼?#火影忍者 #家庭 #佐助
00:31
火影忍者一家
Рет қаралды 18 МЛН
Homemade Professional Spy Trick To Unlock A Phone 🔍
00:55
Crafty Champions
Рет қаралды 60 МЛН
Beroemde journalist Julian Assange vrijgelaten
2:51
NOS Jeugdjournaal
Рет қаралды 135 М.