KIKWETE ASIMULIA SWALI ALILOULIZWA NA MJUKUU WAKE "KWANINI MAGUFULI KACHUKUA KAZI YAKO?"

  Рет қаралды 461,331

Millard Ayo

Millard Ayo

2 жыл бұрын

Rais Mstaafu wa Tanzania, Dr. Jakaya Kikwete amewasihi Wastaafu nchini kujishughulisha na shughuli mbalimbali na kufanya mazoezi badala ya kutumia muda mwingi kulala tu ili kuepusha miili na ubongo kutochoka haraka.
Dr. Kikwete ametoa rai hiyo wakati wa shughuli za kuwaaga Askari Wastaafu Wilayani Chalinze ambapo Rais huyo Mstaafu alikuwa Mgeni rasmi.

Пікірлер: 527
@salamashabani7922
@salamashabani7922 2 жыл бұрын
MZEE MSTAARABU KABISA MWENYE NYOTA YA NGAO YA TAIFA HASA!!! MWENYE UMOJA AMANI UPENDO NA MSHIKAMANO BADO TUNAKUPENDA SANA KIPENZI CHA WENGI MUNGU AKUPE AFYA NJEMA NA UMRI MREFU WENYE MANUFAA INSHAALLAH🙏
@Khadija-qr4cr
@Khadija-qr4cr 2 жыл бұрын
Mashaallah tunakukumbuka rais mstaafu mungu akupe maisha marefu
@andersonchongoma1723
@andersonchongoma1723 Жыл бұрын
Ahsante ,umekiri kuwa muda wako mwingi umemtumia nyumbani kwako msoga ,kweli ni jambo kubwa Mh Jakaya Kikwete ni mwenyeji na mkazi wa msoga ...huu ni ushahidi ...anakaa na wajukuuu ....hongera saaana ...
@mbwanarajab4756
@mbwanarajab4756 2 жыл бұрын
Safi Sana , mstaaf Kikwete , Mungu akujaalie na akupe roho ya Imani na huruma kwa watu.
@lispafulgence9983
@lispafulgence9983 2 жыл бұрын
Leo barakoa zipo wapi🤣🤣🤣🤣
@kindulijumanne7632
@kindulijumanne7632 2 жыл бұрын
Mzee nimeipenda hiyo ya kumsaau dem wako big up couz hauna makuu sisi tunapenda
@fatmasalim8293
@fatmasalim8293 2 жыл бұрын
Mashallah nakupenda sana akhuyi kikwete wewe ni mtu mwenye hekma mashallah 🥰🥰🥰🥰🇴🇲
@juliussilvestar8988
@juliussilvestar8988 2 жыл бұрын
Watanzania tujenge tabia ya kuwapenda viongozi wetu.Mpuuzi ana comment eti hana legacy viongozi wote wa Tanzania wana legacy.Hiyo amani tuliopata tuu inatosha kuwa shukuru wapo wenzetu leo wanatamani waishi hivi.Tembea kwa wenzetu muone tuache ujinga lets appreciate what our leaders do.
@davidcurtis8556
@davidcurtis8556 2 жыл бұрын
Siungi mkono kama kuna alietoa lugha isiyo rasmi ispokuwa kama amani tulishakuwa nayo je hatupaswi kuendelea kiuchumi? Tunaishia kusema amani tu inatosha wakati kama nchi inaamani inatakiwa ipige hatua kiuchumi kwa kasi maana amani ndio njia salama kuelekea kwenye uchumi sasa toka mwaka 61 inchi imepata uhuru na wengune hatukuwepo mpaka sasa tunazeeka hatuoni mabadiliko yanayoenda na kasi ya kitu kinachoitwa inch yenyr amani na usalama lakin uchumi 0 uchumi wa china na Tanzania miaka yanyuma ilikuwa sawa leo huwezi tu ukalinganisha hata kusema tuliwah kukingana unaweza ukaonekana chizi namna walivyotuacha. Hv ardhi yetu unaweza kulinganisha hata na dubai tu!! Lakin kwavile walijiona wao ni masikini wanamafuta tu na hawana vivutio wala ardhi nzuri yenye rotuba wakajipanga ili kuifanya nchi yao iwe ya vivutio moja jengo refu kuliko yote duniani, mahoteli ya kifahari chini ya bahari majumba ndani ya bahari na sasa wanatengeneza mlima mrefu, mlima wa kutengeneza wakati sisi tunayo bureee ya asili lkn haina faida kiuchumi, hata kilimanjaro mountain bado sana mapato yanayoingia pala huwezi kulinganisha na mapato yanayoingia misri kwenye piramid zao tuna vivutio bora na vingi duniani lkn haitusaidii kiuchumi tuna gas lkn haina msaada kwetu tuna madini ghali duniani na hayapatikani sehemu yoyote duniani zaidi ya Tanzania lkn bado masikin tu, huku kuwatetea viongozi wanakuja nao wanahalalisha tu kuwatanzania wao wanataka amani tu basi, amani tunayo tayari sasa tunataka uchumi.
@raphaeltesha8248
@raphaeltesha8248 2 жыл бұрын
Hongera baba kwa mawaidha mazuri. Bado tunakumic sana . You are such a gentle and blessed mentor for our generation
@yonagerard5834
@yonagerard5834 Жыл бұрын
Big up Jk nakuelewaga mnooo
@sumisumi8181
@sumisumi8181 2 жыл бұрын
😁😁😁😁 uyu Mzee yuko funny mno
@zalfahashimu9393
@zalfahashimu9393 2 жыл бұрын
Hongereni wastafu
@nunumrisho6548
@nunumrisho6548 12 күн бұрын
Hongera sana kaka
@aishandwata2207
@aishandwata2207 2 жыл бұрын
Allah akupe afye njema
@saidlwambo2152
@saidlwambo2152 2 жыл бұрын
Mzee Ismail Hongera.
@yusufmohamed8874
@yusufmohamed8874 2 жыл бұрын
Good idea
@onlygame5110
@onlygame5110 2 жыл бұрын
Mzee hongera kwako ulifanya mazuri mengi naamini kila mwananchi kwakipindi chako aliishi maisha fulani mazuri.mimi binafsi natamani siku moja nipate nafasi walau ya kushika mkono ✋ wako nipate baraka zako Mkwere japo niko Kenya.nitamuomba Mungu anifanikishe #weye wimfalme mkulu
@stevensosipita2851
@stevensosipita2851 2 жыл бұрын
MIMI KAMA MIMI NAPINGANA NA WEWE SIKU ZOTE ULICHOKIFANYA AWAMU YAKO YA 4 NI UFISADI ULIOKIDHIRI NA HIVI SASA BADO HUTULII BADO UNACHOKO CHOKO KUMBUKA HII NCHI SIYO YAKO WALA SIYO YA MAKAMBA WALA YA KINANA TULIA NYUMBANI NA WAJUKUU ZAKO USIJIVUNJIE HESHIMA YAKO
@magdalenapeter419
@magdalenapeter419 2 жыл бұрын
☝🏻
@laghtnesphilipo489
@laghtnesphilipo489 2 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu Rais wangu nimpendae jk,
@MeenaHassan-fd9vv
@MeenaHassan-fd9vv Ай бұрын
Tunsmsubiria afe huyo mzeee
@josephkweka8463
@josephkweka8463 2 жыл бұрын
Mzee Kikwete MUNGU akuzidishie hekima busara na afya njema.
@osodowilberforce2321
@osodowilberforce2321 2 жыл бұрын
Asante sana Mhe.Rais Mstaafu kwa mawaidha mazuri uliyo wapatia hawo askari wastaafu.
@sadikidaudi1223
@sadikidaudi1223 2 жыл бұрын
Hapo Kama ulikua unatenda Haki wala hunawasiwasi ila Kama ulitumikia jeshi Kama fimbo yakunyanyasa wengine Muda wa amli ushakwisha
@alexbenedict5378
@alexbenedict5378 2 жыл бұрын
Yes prezdent
@tibubandar413
@tibubandar413 2 жыл бұрын
Hongera JK
@elibarikimbise1896
@elibarikimbise1896 2 жыл бұрын
Mungu akupe maisha mema.
@salimmgwame9504
@salimmgwame9504 2 жыл бұрын
Muheshmiwa mtahafu Kikwete anaongea vizuri Sana na anafurahisha, Kati yawatu wanaokupenda muheshmiwa namimi Nino.
@manasengobei9968
@manasengobei9968 2 жыл бұрын
Huyu mzee Ni mnzuri kwenye kuongea lakini vitendo hamna kabisa kwenye utawala wake kuna rushwa za ajabu na za kutisha ziliibuka lakini hakuchukua jukumu, kazi yake ilikuwa ni kutabasamu tu.
@azizawadh5973
@azizawadh5973 2 жыл бұрын
@@manasengobei9968 kwani rushwa imeisha lini
@andrewtamba6671
@andrewtamba6671 2 жыл бұрын
During your time every one was happy na smiling! Still Loving you Dady and may the Almighty God prolong your life and keep you heathy
@manasengobei9968
@manasengobei9968 2 жыл бұрын
My friend we don't need happiness, we need development, happiness is not vital when people live under poverty, poor social services poor infrastructures and so forth.
@gracegrace6200
@gracegrace6200 2 жыл бұрын
Not everyone please take that back. Only few corrupt individuals were happy. Kikwete was supposed to be in jail, to insult Tanzanians he was rewarded a house.
@joezeno8
@joezeno8 2 жыл бұрын
@@manasengobei9968 I agree with you
@OfficialD.K
@OfficialD.K 2 жыл бұрын
kzbin.info/door/MGlrUfUXqXog-g1HA_EcGw
@luganomunuwavanu9369
@luganomunuwavanu9369 Жыл бұрын
Mmmmh
@duniawadunia4824
@duniawadunia4824 2 жыл бұрын
Hii ndo Tanzania 🇹🇿 nchi yenye udongo wenye dhambi wanalisaka sana taji la ushindi. Naona comments za watanzania ni matusi tu ila mzee unabusara.
@salmamrembo4360
@salmamrembo4360 2 жыл бұрын
Mstaafu raisi wetu kipenzi mtani wangu mie nakupenda sana nakuombea dua
@bjzee1981
@bjzee1981 2 жыл бұрын
Kwani wana staafu kwa umri gani mbona bado wadogo hivi wengine
@revocatusmashimba1347
@revocatusmashimba1347 2 жыл бұрын
Barakoa kumbe maigizo2 leo jamaa wamegoma kuzivaa wamesha sh2ka Mjulishen na mam.
@mahmoodalghefeili5370
@mahmoodalghefeili5370 2 жыл бұрын
Chanjo nazo tutakoma ss tulokuwa nchi za watu maana uku wafanyakaz wanasindano zao wao wenyew wanasindano zao
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 жыл бұрын
@@mahmoodalghefeili5370 MALAYA WACHA FITNA HUNA UJUWALO.
@airinsumeno2490
@airinsumeno2490 2 жыл бұрын
Nlichoona ni keki inafanana na jeneza
@mussamligo8918
@mussamligo8918 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@iscmusicteam6082
@iscmusicteam6082 2 жыл бұрын
Vizuri sana
@benedictmrisho5947
@benedictmrisho5947 2 жыл бұрын
Mwalimu mzuri wa maisha. Unafaa kuwatia watu ❤️. Walioondoka moyo hupata faraja.
@yohanabundala9162
@yohanabundala9162 2 жыл бұрын
Kikweli nakupenda sana kipindi cha uongozi wako hatukua na maisha magum kama sasa, Natamani ugombee tena 2025
@ebenezerchurchsupremetv9490
@ebenezerchurchsupremetv9490 2 жыл бұрын
Hujui usemalo
@RecapAI
@RecapAI 2 жыл бұрын
Defacto ruller
@solomonadams6337
@solomonadams6337 2 жыл бұрын
Wewe umekaa Zanzibar lakini bado hujui kiswahili hakuna neno badala katika kiswahili bali kuna neno linaloitwa baada...ni neno linalotoka katika lugha ya kiarabu...💯👌thanks
@justinerichard6823
@justinerichard6823 2 жыл бұрын
Saffiii
@charlesmakuri792
@charlesmakuri792 2 жыл бұрын
Huyu mwamba aliongoza Kama maraika rakini watu bado walileta upinzani
@eveassey5162
@eveassey5162 2 жыл бұрын
Ukifanya kazi nzuri, watakupenda tu na moyo wako utakushuhudia tuu una pendwa, okay karibu
@jacobmakono4399
@jacobmakono4399 2 жыл бұрын
..utafikiri hajafanya Yale!!
@rahelmnyone4936
@rahelmnyone4936 2 жыл бұрын
Hahahaha Yan
@salimharrasy7047
@salimharrasy7047 2 жыл бұрын
Nchi inajengwa na wana Nchi. Mkiwageuzia maisha wanyonge ni ishara ya Nchi kupata mafanikio. Uraiani kuna maisha magumu. Huli unachotaka unakula ulichokipata.
@hidayambarka6514
@hidayambarka6514 4 ай бұрын
2025 mjengon kikwete allah akitufikishaa 🎉🎉❤❤
@ShamsiMikdad-bj7me
@ShamsiMikdad-bj7me 5 ай бұрын
Allah akupe mwisho mwema raisi wetu mstaafu
@husseinyusuph2751
@husseinyusuph2751 2 жыл бұрын
Hata magufuli watu walimtukana Leo nashangaa watu wanamchafua kikwete ukichunguza hao watu enzi za kikwete waliokuwa wananyonyonya sijui hizi sifa walisikia wapi acheni kumchafua watu mungu ndie anajua siri za kila mtu dunia
@shadyakimaro3245
@shadyakimaro3245 2 жыл бұрын
Mzeee wa USIPOKUBALI KULIWA HULIII!!;🤣🤣🤣
@collinmshana8029
@collinmshana8029 2 жыл бұрын
Kama matusi mitandaoni ni tabia zenu hata akifufuka magufuli mtamtukana tu
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 2 жыл бұрын
😶😶🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
@rasheedmbaraka7199
@rasheedmbaraka7199 2 жыл бұрын
Long life jakaya
@bjzee1981
@bjzee1981 2 жыл бұрын
Ni mara ya Kwanza kwanini. Na kwanini keki inafanana na jeneza
@yasintakahamba1320
@yasintakahamba1320 2 жыл бұрын
Bola ndio iwe ishala ya yeye kutoka duniani aende kuzimu afate roho za watu alio watoa yeye
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 2 жыл бұрын
@@yasintakahamba1320 😂😂
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 жыл бұрын
Hahaha 😂 😂 😂
@mosesmzakwe7774
@mosesmzakwe7774 2 жыл бұрын
Walichokitaka wamefanikisha
@wazirisaid8326
@wazirisaid8326 2 жыл бұрын
BJzee 19,Swali Hilo unawauliza waandaaji wa sherehe au waalikwa?Always offensive mind makes people foolish like you!!
@augustantiruka8603
@augustantiruka8603 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂nimecheka sana kwa habari za wajukuu.kumbe wanao chezea cm ma game wako wengi jamani Hongera sana Mzee baba Rais wetu mstaafu tunakupenda sana hufi leo wala kesho huna makuu na mtu moyo wako haujui kukasirika na moyo ndiko kwenye chemi chemi ya uzima wa mtu, Moyo ndiyo Pharmacy ya kila mtu,kama moyo ukiubebesha vinyongo,uka ukosesha Armani,ujue unatafuta kifo ila kama uki upa Armani utaishi mpaka vizazi vingi
@tanzaniamycountry9308
@tanzaniamycountry9308 2 жыл бұрын
Mwenyez Mungu akuweke Sana Mzee wangu, hekima na busara zako n muhimu Sana Kwa wa Tz
@muddymiusic1624
@muddymiusic1624 2 жыл бұрын
💪 namkubali
@radhiasalum7156
@radhiasalum7156 2 жыл бұрын
Yani mzee umejikuna kisha umekata keki kisha uyo mtu umemlisha na mkono🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️😀
@mwanagwakyala3213
@mwanagwakyala3213 2 жыл бұрын
Raia ndio kila kitu ndio maana mwngine anaitwa kiongoz ,shida ni pale kiongoz anasahau yupo pale Kwa ajili ya Nan au nn ,hapo ndio changamoto
@gracejoseph9451
@gracejoseph9451 2 жыл бұрын
Wao mpaka nikamic chalinze
@elibarikimbise1896
@elibarikimbise1896 2 жыл бұрын
Mzee baba nakupenda Sana mtu was mungu.
@rahelmnyone4936
@rahelmnyone4936 2 жыл бұрын
Cc wapare tunasema, kidudu kilichotulia ndo kinachokula mbegu
@andrewmagwila1602
@andrewmagwila1602 2 жыл бұрын
Jakaya baba hongera sana Kwa busara zako na hekima zako mm binafsi nakukumbuka sana Mungu akuweke baba
@johnnyahi4875
@johnnyahi4875 2 жыл бұрын
Sawa
@peterandrew2795
@peterandrew2795 2 жыл бұрын
Nakupenda sana jk uko makini sana
@timothbenard8213
@timothbenard8213 2 жыл бұрын
Polis wasasa wazush tuuu
@marymfugwa847
@marymfugwa847 2 жыл бұрын
Hakuna anae taka kustafu ila hakuna namna.
@paulebby1552
@paulebby1552 2 жыл бұрын
Kujishughulisha muhim bwana tusisahau wake 😂😂
@prosperkullaya6721
@prosperkullaya6721 2 жыл бұрын
Hongera sana baba Naomba Ile ahadi yako ulipo Kuja USA pale kwa Mwakawago turudi nyumbani utatupa kazi nimerudi na ninaujuzi wa uchunguzi wa vifo from USA since 93 Naomba nisaidie baba nisiidie nchi yangu kwa ujuzi nilio upata USA
@themessengertz1237
@themessengertz1237 2 жыл бұрын
Tuchunguzie kifo cha Jpm kwanza
@martinhinda5233
@martinhinda5233 2 жыл бұрын
Tuanze na kifo cha JPM
@mahmoodalghefeili5370
@mahmoodalghefeili5370 2 жыл бұрын
@@martinhinda5233 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mahmoodalghefeili5370
@mahmoodalghefeili5370 2 жыл бұрын
@@themessengertz1237 sasa c kashazikwa🤣🤣🤣
@themessengertz1237
@themessengertz1237 2 жыл бұрын
@@mahmoodalghefeili5370 uchunguzi wa vifo huwa haujali mtu kashaoza au kabaki mifupa muulize mtaalamu, kuna kesi za vifo zina miaka zaidi ya 30
@radhiasalum7156
@radhiasalum7156 2 жыл бұрын
Aliona hapo mzee kabla ya kukata keki amejikuna kidogo kisha kakata keki😀😀😀🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
@vonexmobile9116
@vonexmobile9116 2 жыл бұрын
Safi sana Kikwete kazi iendelee
@heyumi2340
@heyumi2340 2 жыл бұрын
kazi iendelee
@luciamgila4353
@luciamgila4353 Жыл бұрын
Mungu akulinde
@omariadam8839
@omariadam8839 2 жыл бұрын
Naikumbuka ile slogan ya maisha Bora kwakila mtanzania, ilikua niharakati za kuiendeleza kazi walizo asisi wazee wa nchi hi nyerer na karume. Nataka kusema maneno yako yataishi kwetu mzee KIKWETE, usijali mama Samia yupo kazi iendelee
@fredrickmwegole7337
@fredrickmwegole7337 Жыл бұрын
Kwaiyo akiulizwa tu hata na mtu umesha mtoa bongo hii
@aishasaidchekeche9262
@aishasaidchekeche9262 2 жыл бұрын
Kweli kabisa raha sana kuwa n.a. wanao n.a. wajukuu zako 🤲🙏😍❤❣👍
@hidayambarka6514
@hidayambarka6514 4 ай бұрын
Hamna anaesahau mke sema nivijimambo tu
@dativadaud4300
@dativadaud4300 2 жыл бұрын
Keki mh!
@jameskabalo6285
@jameskabalo6285 2 жыл бұрын
Tapeli
@benedictmrisho2361
@benedictmrisho2361 2 жыл бұрын
Kisima cha hekima
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 2 жыл бұрын
waTz Tuache Unafiki
@nsengiyumvaismael4348
@nsengiyumvaismael4348 2 жыл бұрын
Hi
@emanuelishija6334
@emanuelishija6334 2 жыл бұрын
Mhmm
@deonicemollel4205
@deonicemollel4205 2 жыл бұрын
🤣🤣ni kweli ase kipindi Cha corona nimekaa nyumbn miezi Sita ivi kweli mimi ni WA kumtongoza mke wangu na kumuambia sijaowa 🤒🤒
@dorisselembo1225
@dorisselembo1225 2 жыл бұрын
Rest in peace Magufuli forever in ♥️
@leilahasani3118
@leilahasani3118 2 жыл бұрын
Nyie wanafki tu hamnalolote na Ndio Dalili ya wanafki mlivyo hta angekfriki Jakaya akaingia Kagufuri Ingekuwa kila day Ni Rest in peace Jk
@alimussa2655
@alimussa2655 2 жыл бұрын
@@leilahasani3118 😂😂 wanafki mnoo
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 2 жыл бұрын
We naye magufuli katokea wapi hapa sasa..mxieq
@magdalenapeter419
@magdalenapeter419 2 жыл бұрын
@@leilahasani3118 wewe ndiyo mnafiki nani ulimskia alisema Mkapa Rest and peace?
@leilahasani3118
@leilahasani3118 2 жыл бұрын
@@magdalenapeter419 Hunalolote nyie ndie mliegeuza wimbo wa chama nyie Mkaanza imba '' Tumeipenda wenyewa wacha tuisome number"
@phare_tz
@phare_tz 2 жыл бұрын
Duh
@omaryayoub2838
@omaryayoub2838 2 жыл бұрын
Mungu akupe miaka 100 Rais wangu kipenzi.
@sakinaamani1486
@sakinaamani1486 2 жыл бұрын
Nyhso zenye huzuni ujue maisha ya kazi n matamu
@umojaninguvukubwa631
@umojaninguvukubwa631 2 жыл бұрын
Hayo ndio anayoyapenda kikwwtw
@avatar3879
@avatar3879 2 жыл бұрын
Sikh moja cousins wangu walicheza sembuleni mpaka babu akasema ajisikia mgonjwa
@jumaharuna9899
@jumaharuna9899 2 жыл бұрын
Hongera rais wetu mstaaf ,hunaga sifa ya kujimwambafai2,,, uko vixuri
@masakamgalla9273
@masakamgalla9273 2 жыл бұрын
Kuna kajamaa ka maroon coat kamepiga norinda hadi raha🙈
@bjzee1981
@bjzee1981 2 жыл бұрын
Watu wana zeeka na sura zao
@wazirisaid8326
@wazirisaid8326 2 жыл бұрын
Ukiwa na moyo Safi sura yako haiwezi kukunjanakunjana wala kukosa nuru
@bonabonaza5066
@bonabonaza5066 Жыл бұрын
Pesa zetu za wavyuja jasho zinatumika mungu unaona au? huoni ?mungu wetuu
@hamadiselemani8665
@hamadiselemani8665 2 жыл бұрын
Nasaa Nzuri Sana
@wazirisaid8326
@wazirisaid8326 2 жыл бұрын
You still look young and healthy my dad JK, I wish you should come again in 2035 after our beloved president Mama Samia's retirement.During your time every body was smiling even those who are now abusing you.May the almighty Allah keep you healthy and young forever.
@hajihassan5433
@hajihassan5433 2 жыл бұрын
Unampenda sana lakini kumpenda zaidi ni kumuacha apumzike. Kwa nini usimtaje Samia aendelee. Heshimu Katiba.
@gracegrace6200
@gracegrace6200 2 жыл бұрын
Not everybody was smiling, the few selective ones. The looters, thieves and corrupts, probably you were one of them. Majority of Tanzanians suffered so much under Kikwete. Himself and his brother Membe enjoyed unnecessarily trips to Europe using public money. History will judge them
@edwarddavid8076
@edwarddavid8076 2 жыл бұрын
Eheheeeee! hm! Never
@manasengobei9968
@manasengobei9968 2 жыл бұрын
I don't understand if you are a human being or not, how can you praise Kikwete in that way, this president was more than corrupt person.
@wazirisaid8326
@wazirisaid8326 2 жыл бұрын
@@gracegrace6200 Is there any problem for using the public money for the public interests? You have nothing to hate him than personal hateness and no one can change you because no one is forced to believe what you believe in. Don't hate people unnecessarily my sister Grace.
@salmaathuman9156
@salmaathuman9156 2 жыл бұрын
Hahaha huyu mzee bhana
@FFf-wq5fr
@FFf-wq5fr 2 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
@TamuzaKale
@TamuzaKale 2 жыл бұрын
Kuna watu wanateseka kwa komenti zao. Huyo wanamtesekea, anacheka kwa tabasamu kubwa. Jifunze kuishi na sio kuishia!
@wazirisaid8326
@wazirisaid8326 2 жыл бұрын
Muddyb, Wana chuki binafsi hao,wanasumbuliwa na Yale mambo flani flan. wanamchukia mtu asiyekuwa na habari nao na wala hawalingani na hadhi yake.
@TamuzaKale
@TamuzaKale 2 жыл бұрын
@@wazirisaid8326 Roho chafu!
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 жыл бұрын
@@wazirisaid8326 NA WENGINE NI MALAYA WAUZA UCHI 2 🤣🤣🤣🤣
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 жыл бұрын
@@TamuzaKale CHAFU SANA MARADHI HAYO HAWAPONI MPAKA WAFE.
@TamuzaKale
@TamuzaKale 2 жыл бұрын
@@salimmalaka256 Yaani!
@karimsolyambingu6335
@karimsolyambingu6335 2 жыл бұрын
MUNGU AKUPE UMRI MREFU MH.JK RAIS WA “MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA” HAKIKA MAISHA YALIKUWA BORA! 😊
@yohanabundala9162
@yohanabundala9162 2 жыл бұрын
Hicho kwenye glass ni kitu gani
@deokessy6596
@deokessy6596 2 жыл бұрын
True dady
@jonasstephano7680
@jonasstephano7680 2 жыл бұрын
Uyu ndo kiongoz wangu bora
@elishakayagwa9371
@elishakayagwa9371 Жыл бұрын
Ndiyo maana ulideal naye na sasa unaiongoza nchi kwa kutumia kivuli chako kwa maslahi ya biashara zako
@danielbarickmunishi3785
@danielbarickmunishi3785 2 жыл бұрын
Wapi DC
@enickosanga4921
@enickosanga4921 2 жыл бұрын
Aaaah ila hii nchi kazi tunayo wanyonge
@mahmoodalghefeili5370
@mahmoodalghefeili5370 2 жыл бұрын
Yaaan mhhhh
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 2 жыл бұрын
its not only Tanzania, many nations in the world. to solve all these mess we need to start on ourselves then we pray so GOD will intervene for HiS Will to be expressed. other than that, we will keep crying, blaming and poking
@azizawadh5973
@azizawadh5973 2 жыл бұрын
Mnyonge wewe tu sisi sio wanyonge
@enickosanga4921
@enickosanga4921 2 жыл бұрын
@@azizawadh5973 si unapewa za kula kwa mwezi ndo maana unasema hivo au
@focuseric4109
@focuseric4109 2 жыл бұрын
Mbays sana sana nyoka
39kgのガリガリが踊る絵文字ダンス/39kg boney emoji dance#dance #ダンス #にんげんっていいな
00:16
💀Skeleton Ninja🥷【にんげんっていいなチャンネル】
Рет қаралды 8 МЛН
Я обещал подарить ему самокат!
01:00
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 8 МЛН
SIRI YA MAKONDA NA UONGOZI WAKE ARUSHA, SABABU YA WATU KUMTAKA
12:38
"UMEPATA UBUNGE TU, UKAMUACHA MUMEO, TULIA NIKUPASHE WEWE" - MBUNGE KEISSY
6:07
PART 1: MZEE MAKAMBA AMVUNJA MBAVU KIKWETE HADI MACHOZI YAMEMTOKA...
20:48
Salama Na JK Ep48 | MSOGA UNO PART 2
29:35
YahStoneTown
Рет қаралды 289 М.