Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: / azamtvtz ►INSTAGRAM: / azamsports2 ►TWITTER: / azamtvtz ►FACEBOOK: / azamtvtz ►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
Пікірлер: 73
@williamdetkvant13132 жыл бұрын
Ulitujali sana Mzee wetu,na ulitupenda sana,Mungu akujalie afya njema na nyota yako ing'are kwa vijana wako hadija na khamisi,maana hukutumia cheo chako kwa watoto kuzarau askari,walikuwa na nidhamu ma uncle na tumewamiss sana(ku)
@yasameja2241Ай бұрын
Hongera 🎉 saana kwa utumishi uliotukuka Big up Lt. General Ambassador Abdulrahman Shimbo Tunakutakia maisha mazuri na mapumziko mema pamoja na familia
@ndeshukurwakaaya43852 жыл бұрын
Mungu aendelee kukupa maisha marefu MH - MWADHIMU MKUU JWT ABDRAHAMANI. Umewaridhisha/IMPART watu na hasa vijana tunu uliyoipata katika maisha yako ya kulitumikia Taifa 🇹🇿. . Moyo wako ulioutoa hata mimi binafsi umenijenga na kunipa matumaini ya kutimiza ndoto zangu.. Nia yako njema toka mwanzo imetikisa. Amaizing GREAT HEART. SUPERB
@RamadhanAli Жыл бұрын
Bonge la makala, aisee!!! Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi ana historia nzuri sana. Nimejifunza mengi kutoka kwake. Mola amjaalie umri wenye wingi wa afya njema katika maisha yake.
@jumannemlacha74292 жыл бұрын
Balozi anapoongea unatamani asimalize.Nimefurahi sana kumsikia kwa ufasaha L.General Abulrahimani Shimbo.Mungu aendelee kumtunza Jemedari huyu.
@chidiomari.652 жыл бұрын
Allah ampe umri mrefu🤲, Im watching kutoka Finland 🇫🇮🇫🇮🤝
@felixmagulu61422 жыл бұрын
Hongera sana Mzee wetu, Hakika Jeshi letu ni la kujivunia.
@rafoursamiol52445 күн бұрын
Hakika inapendeza kusikiliza 🎉
@stephenaxwessp70875 ай бұрын
Asante sana Kwa haya mahojiano mazuri sana. Nimetamani kuendelea kumsikiliza. Nasikitika kidogo mtangazaji hajamuuliza mzee kuhusu operation ya Anjuan visiwa Vya Comoros ambayo Kama sikosei ni operation yake ya mwisho kuelekea kustaafu. Lakini pia nilitamani mzee aulizwe kuhusu tuhuma za matumizi ya fedha na ukwasi aliotuhumiwa kuwa nao miaka ya mwisho ya utumishi wake Kama mnadhimu. Mzee anaakili nyingi, afya timamu na anaonekana kuwa na hekima nyingi Mungu ambariki na atubariki Kama taifa kuwa na wazee Kama hawa
@mohamedkondo-tq2bm5 ай бұрын
Wazee wa zamani wanakumbukumbu kweli mzee anahathia utafikiri vitu kafanya jana kumbe imepita miaka mingi.
@marylibaba258925 күн бұрын
NI KWELI
@marylibaba258925 күн бұрын
JAMANI,JAMANIIII
@marylibaba258925 күн бұрын
MUNGU ANAKUPENDA SANAAAAA
@marylibaba258925 күн бұрын
MAJARIBU HAYOOOO
@thelixyn13152 жыл бұрын
Huyu mzee ni noma🔥🔥🔥💪👏
@freddymtashi50203 ай бұрын
Haya ndo mambo jamii inahitaji simlizi za Mashujaa wetu. Siyo mnatuletea habari za kina mayele na majini hizo hazupi afya ktk Taifa. Simlizi za namna hii yaani zinakupakutamani kuwa mwanajeshi.
@marylibaba258925 күн бұрын
TANZANIA NDIYO HIYOOOO NIAMANI TUUUU
@juliusmlula16585 ай бұрын
Hata mm Alinisadia kwenda kusoma nje huko Canada Mungu ambariki alikuwa Hana kinyongo
@yahyahamad18022 жыл бұрын
Ahsante mzee abdulrahman allah akufanyie wepesi kwa kila jambo na familia yako
@marylibaba258925 күн бұрын
HAWALALI JAMANI
@marylibaba258925 күн бұрын
HONGERA SANA
@michaelndilima62104 ай бұрын
Hongera sana mkuu kwa kazi nzuri
@user-xi7oe1xr9j6 ай бұрын
Napenda sana kuwa mwanajeshi ila nafasi hazipo
@marylibaba258925 күн бұрын
TUWAOMBEE SANA
@marylibaba258925 күн бұрын
Uwiiiiii
@marylibaba258925 күн бұрын
NIKAZI NGUMU SANA
@marylibaba258925 күн бұрын
WACHAAA
@abdulrahmanmwadini59252 жыл бұрын
Wewe Mzee unanisisimua hongeraaa
@marylibaba258925 күн бұрын
❤Amen
@jumamwanga66345 ай бұрын
Afande Inanikumbusha Machungu Sana Na Kazi Kubwa Huko Seychelles Tukipigana Sana Na Askari Wa Kukodi Maeneo Ya Port Lawi ,Bousezuu Nawashukuru Wote Tulio Bali Hai Na Wewe Afande Wetu
@marylibaba258925 күн бұрын
HEEEEEEEE SAFI SANA
@marylibaba258925 күн бұрын
Ahaaaaa
@marylibaba258925 күн бұрын
DUUUUUH
@isackmgema73764 ай бұрын
What an interview 🎉
@mutahangarwasamwel46432 жыл бұрын
Nakukubari ruteni jenelali
@marylibaba258925 күн бұрын
HONGERA SANA MUNGU YU PAMOJA NAWE
@hasaabdi71994 ай бұрын
Maashallah kiboko
@marylibaba258925 күн бұрын
NIKWELI KABISA
@yahyahamad18022 жыл бұрын
Azam naona mkiwa manfanya mahojiano ni vyema mueke na clip za muhusika wakati alipokua kwenye majukumu muhusika ni ushauri tu
@marylibaba258925 күн бұрын
❤❤❤❤
@marylibaba258925 күн бұрын
CHEZEA J.W.T.Z WEYEEEE😂
@marylibaba258925 күн бұрын
MUNGU MLINDE SANA
@marylibaba258925 күн бұрын
HAKUNA KULALA
@marylibaba258925 күн бұрын
KARAMAAAAA
@vanpzle67106 ай бұрын
Nafurahi kumsikia huyu Kamanda.
@marylibaba258925 күн бұрын
POLENI SANA
@marylibaba258925 күн бұрын
NIKWELI KABISA WANAFANYA HIVYO
@marylibaba258925 күн бұрын
KWAKUMBUKUMBU TUUUU HAUJAMBO
@marylibaba258925 күн бұрын
NI AMANI TELE MUNGU WALINDE SANA
@marylibaba258925 күн бұрын
POKEA MAUA YAKOOOO
@marylibaba258925 күн бұрын
HATA VITANDA HAWANA HABARI NAZO
@marylibaba258925 күн бұрын
MUNGU TULINDE WATU WAKO KUPITIA J.W.T.Z
@marylibaba258925 күн бұрын
HONGERENI
@marylibaba258925 күн бұрын
UAMINIFU
@marylibaba258925 күн бұрын
MLIWAKOMESHA
@marylibaba258925 күн бұрын
NIMEKUBALI KILA MTU KAPEWA KARAMA YAKE
@marylibaba258925 күн бұрын
MUNGU AWALINDE YAANI MWAKA MZIMA HAUJUI KITANDA
@lawskuli98765 ай бұрын
Jina lake ni Abulrahmani au Abdulrahmani ?
@hazjay46712 жыл бұрын
Wengi Mwamsifia ila Wakat Wake Alikua Ana Nguvu Kuliko #GENERAL Na Walipga Pesa Sana Za Wanajeshi Waliokua Wakienda Nje
@josephlorri4315 ай бұрын
Hata mimi nilisikia hvo, General Mwamunyange ana hofu sana ya Mungu,.. sijui kwa nini hayo niliyoyasikia yalitokea