ZUMARI: MNADHIMU MKUU MSTAAFU WA JWTZ - ABULRAHMAN SHIMBO - 30/08/2021

  Рет қаралды 35,917

Azam TV

Azam TV

Күн бұрын

Пікірлер: 76
@williamdetkvant1313
@williamdetkvant1313 3 жыл бұрын
Ulitujali sana Mzee wetu,na ulitupenda sana,Mungu akujalie afya njema na nyota yako ing'are kwa vijana wako hadija na khamisi,maana hukutumia cheo chako kwa watoto kuzarau askari,walikuwa na nidhamu ma uncle na tumewamiss sana(ku)
@jumannemlacha7429
@jumannemlacha7429 2 жыл бұрын
Balozi anapoongea unatamani asimalize.Nimefurahi sana kumsikia kwa ufasaha L.General Abulrahimani Shimbo.Mungu aendelee kumtunza Jemedari huyu.
@yasameja2241
@yasameja2241 7 ай бұрын
Hongera 🎉 saana kwa utumishi uliotukuka Big up Lt. General Ambassador Abdulrahman Shimbo Tunakutakia maisha mazuri na mapumziko mema pamoja na familia
@ndeshukurwakaaya4385
@ndeshukurwakaaya4385 2 жыл бұрын
Mungu aendelee kukupa maisha marefu MH - MWADHIMU MKUU JWT ABDRAHAMANI. Umewaridhisha/IMPART watu na hasa vijana tunu uliyoipata katika maisha yako ya kulitumikia Taifa 🇹🇿. . Moyo wako ulioutoa hata mimi binafsi umenijenga na kunipa matumaini ya kutimiza ndoto zangu.. Nia yako njema toka mwanzo imetikisa. Amaizing GREAT HEART. SUPERB
@stephenaxwessp7087
@stephenaxwessp7087 11 ай бұрын
Asante sana Kwa haya mahojiano mazuri sana. Nimetamani kuendelea kumsikiliza. Nasikitika kidogo mtangazaji hajamuuliza mzee kuhusu operation ya Anjuan visiwa Vya Comoros ambayo Kama sikosei ni operation yake ya mwisho kuelekea kustaafu. Lakini pia nilitamani mzee aulizwe kuhusu tuhuma za matumizi ya fedha na ukwasi aliotuhumiwa kuwa nao miaka ya mwisho ya utumishi wake Kama mnadhimu. Mzee anaakili nyingi, afya timamu na anaonekana kuwa na hekima nyingi Mungu ambariki na atubariki Kama taifa kuwa na wazee Kama hawa
@RamadhanAli
@RamadhanAli 2 жыл бұрын
Bonge la makala, aisee!!! Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi ana historia nzuri sana. Nimejifunza mengi kutoka kwake. Mola amjaalie umri wenye wingi wa afya njema katika maisha yake.
@rafoursamiol5244
@rafoursamiol5244 6 ай бұрын
Hakika inapendeza kusikiliza 🎉
@chidiomari.65
@chidiomari.65 3 жыл бұрын
Allah ampe umri mrefu🤲, Im watching kutoka Finland 🇫🇮🇫🇮🤝
@felixmagulu6142
@felixmagulu6142 3 жыл бұрын
Hongera sana Mzee wetu, Hakika Jeshi letu ni la kujivunia.
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 10 ай бұрын
Hongera sana mkuu kwa kazi nzuri
@juliusmlula1658
@juliusmlula1658 11 ай бұрын
Hata mm Alinisadia kwenda kusoma nje huko Canada Mungu ambariki alikuwa Hana kinyongo
@thelixyn1315
@thelixyn1315 3 жыл бұрын
Huyu mzee ni noma🔥🔥🔥💪👏
@mohamedkondo-tq2bm
@mohamedkondo-tq2bm Жыл бұрын
Wazee wa zamani wanakumbukumbu kweli mzee anahathia utafikiri vitu kafanya jana kumbe imepita miaka mingi.
@isackmgema7376
@isackmgema7376 11 ай бұрын
What an interview 🎉
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 3 жыл бұрын
Ahsante mzee abdulrahman allah akufanyie wepesi kwa kila jambo na familia yako
@freddymtashi5020
@freddymtashi5020 9 ай бұрын
Haya ndo mambo jamii inahitaji simlizi za Mashujaa wetu. Siyo mnatuletea habari za kina mayele na majini hizo hazupi afya ktk Taifa. Simlizi za namna hii yaani zinakupakutamani kuwa mwanajeshi.
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
NI KWELI
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
❤Amen
@LeonardWilliamGenerali
@LeonardWilliamGenerali Жыл бұрын
Napenda sana kuwa mwanajeshi ila nafasi hazipo
@abdulrahmanmwadini5925
@abdulrahmanmwadini5925 2 жыл бұрын
Wewe Mzee unanisisimua hongeraaa
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
JAMANI,JAMANIIII
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
HONGERA SANA
@ZuhuraOmar-x5t
@ZuhuraOmar-x5t 5 ай бұрын
Mzee mkarimu sana nilipata bahati ya kukutana naye akiwa baloz
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
MAJARIBU HAYOOOO
@mutahangarwasamwel4643
@mutahangarwasamwel4643 3 жыл бұрын
Nakukubari ruteni jenelali
@h77-f8m
@h77-f8m 11 ай бұрын
Maashallah kiboko
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
DUUUUUH
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
MUNGU ANAKUPENDA SANAAAAA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
Uwiiiiii
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
NIKAZI NGUMU SANA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
❤❤❤❤
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
TANZANIA NDIYO HIYOOOO NIAMANI TUUUU
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
HAWALALI JAMANI
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
Ahaaaaa
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
TUWAOMBEE SANA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
HEEEEEEEE SAFI SANA
@elipidtesha5466
@elipidtesha5466 4 ай бұрын
Background sound ya nini Kwenye mahojiano
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
WACHAAA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
NIKWELI KABISA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
HONGERA SANA MUNGU YU PAMOJA NAWE
@vanpzle6710
@vanpzle6710 Жыл бұрын
Nafurahi kumsikia huyu Kamanda.
@MkwizuMajidi
@MkwizuMajidi 5 ай бұрын
mwamba huyo
@jumamwanga6634
@jumamwanga6634 11 ай бұрын
Afande Inanikumbusha Machungu Sana Na Kazi Kubwa Huko Seychelles Tukipigana Sana Na Askari Wa Kukodi Maeneo Ya Port Lawi ,Bousezuu Nawashukuru Wote Tulio Bali Hai Na Wewe Afande Wetu
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
HAKUNA KULALA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
NIKWELI KABISA WANAFANYA HIVYO
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
CHEZEA J.W.T.Z WEYEEEE😂
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
MUNGU MLINDE SANA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
HONGERENI
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
KUMBEEEE
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
KWAKUMBUKUMBU TUUUU HAUJAMBO
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
POLENI SANA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
UAMINIFU
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
HATA VITANDA HAWANA HABARI NAZO
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
POKEA MAUA YAKOOOO
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
KARAMAAAAA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
MLIWAKOMESHA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
MUNGU TULINDE WATU WAKO KUPITIA J.W.T.Z
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 3 жыл бұрын
Azam naona mkiwa manfanya mahojiano ni vyema mueke na clip za muhusika wakati alipokua kwenye majukumu muhusika ni ushauri tu
@lawskuli9876
@lawskuli9876 11 ай бұрын
Jina lake ni Abulrahmani au Abdulrahmani ?
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
NI AMANI TELE MUNGU WALINDE SANA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
NIMEKUBALI KILA MTU KAPEWA KARAMA YAKE
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
MUNGU AWALINDE YAANI MWAKA MZIMA HAUJUI KITANDA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
KATULIA KABISA ANAONGEA KWA FURAHA KABISA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
BUSARA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
NUNDU ZAKUTOSHA
@hazjay4671
@hazjay4671 2 жыл бұрын
Wengi Mwamsifia ila Wakat Wake Alikua Ana Nguvu Kuliko #GENERAL Na Walipga Pesa Sana Za Wanajeshi Waliokua Wakienda Nje
@josephlorri431
@josephlorri431 11 ай бұрын
Hata mimi nilisikia hvo, General Mwamunyange ana hofu sana ya Mungu,.. sijui kwa nini hayo niliyoyasikia yalitokea
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
UNAKUMBUKA KILA KITU WEWE KIPAJICHAKO KINATISHA
@yusufmohamed8874
@yusufmohamed8874 3 жыл бұрын
Utumishi ulio tukuka mzee wetu
@elifadilykagossy1030
@elifadilykagossy1030 3 жыл бұрын
Amesahau kuwa alikua acaunt pale same pia kasomea Maore
@elifadilykagossy1030
@elifadilykagossy1030 3 жыл бұрын
scauti pale same
@AlmuzaniyOnlineTV
@AlmuzaniyOnlineTV 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/mXqxpX-viLh5i7c FANYA JEMA MOJA, UPATE DHAWABU KUMI.
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
HONGERA SANA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
NIKWELI KABISA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
POLENI SANA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 7 ай бұрын
DUUUUUH
Quilt Challenge, No Skills, Just Luck#Funnyfamily #Partygames #Funny
00:32
Family Games Media
Рет қаралды 55 МЛН
Леон киллер и Оля Полякова 😹
00:42
Канал Смеха
Рет қаралды 4,7 МЛН
ZUMARI - AZAM TV | Walter Bgoya, Muasisi wa Mkuki na Nyota
55:39
ZUMARI | Anna Abdallah
51:17
Azam TV
Рет қаралды 3,9 М.
WOSIA KWA MNADHIMU MKUU MPYA - AZAM TWO
16:26
Azam TV
Рет қаралды 158 М.