Ulitujali sana Mzee wetu,na ulitupenda sana,Mungu akujalie afya njema na nyota yako ing'are kwa vijana wako hadija na khamisi,maana hukutumia cheo chako kwa watoto kuzarau askari,walikuwa na nidhamu ma uncle na tumewamiss sana(ku)
@jumannemlacha74292 жыл бұрын
Balozi anapoongea unatamani asimalize.Nimefurahi sana kumsikia kwa ufasaha L.General Abulrahimani Shimbo.Mungu aendelee kumtunza Jemedari huyu.
@yasameja22417 ай бұрын
Hongera 🎉 saana kwa utumishi uliotukuka Big up Lt. General Ambassador Abdulrahman Shimbo Tunakutakia maisha mazuri na mapumziko mema pamoja na familia
@ndeshukurwakaaya43852 жыл бұрын
Mungu aendelee kukupa maisha marefu MH - MWADHIMU MKUU JWT ABDRAHAMANI. Umewaridhisha/IMPART watu na hasa vijana tunu uliyoipata katika maisha yako ya kulitumikia Taifa 🇹🇿. . Moyo wako ulioutoa hata mimi binafsi umenijenga na kunipa matumaini ya kutimiza ndoto zangu.. Nia yako njema toka mwanzo imetikisa. Amaizing GREAT HEART. SUPERB
@stephenaxwessp708711 ай бұрын
Asante sana Kwa haya mahojiano mazuri sana. Nimetamani kuendelea kumsikiliza. Nasikitika kidogo mtangazaji hajamuuliza mzee kuhusu operation ya Anjuan visiwa Vya Comoros ambayo Kama sikosei ni operation yake ya mwisho kuelekea kustaafu. Lakini pia nilitamani mzee aulizwe kuhusu tuhuma za matumizi ya fedha na ukwasi aliotuhumiwa kuwa nao miaka ya mwisho ya utumishi wake Kama mnadhimu. Mzee anaakili nyingi, afya timamu na anaonekana kuwa na hekima nyingi Mungu ambariki na atubariki Kama taifa kuwa na wazee Kama hawa
@RamadhanAli2 жыл бұрын
Bonge la makala, aisee!!! Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi ana historia nzuri sana. Nimejifunza mengi kutoka kwake. Mola amjaalie umri wenye wingi wa afya njema katika maisha yake.
@rafoursamiol52446 ай бұрын
Hakika inapendeza kusikiliza 🎉
@chidiomari.653 жыл бұрын
Allah ampe umri mrefu🤲, Im watching kutoka Finland 🇫🇮🇫🇮🤝
@felixmagulu61423 жыл бұрын
Hongera sana Mzee wetu, Hakika Jeshi letu ni la kujivunia.
@michaelndilima621010 ай бұрын
Hongera sana mkuu kwa kazi nzuri
@juliusmlula165811 ай бұрын
Hata mm Alinisadia kwenda kusoma nje huko Canada Mungu ambariki alikuwa Hana kinyongo
@thelixyn13153 жыл бұрын
Huyu mzee ni noma🔥🔥🔥💪👏
@mohamedkondo-tq2bm Жыл бұрын
Wazee wa zamani wanakumbukumbu kweli mzee anahathia utafikiri vitu kafanya jana kumbe imepita miaka mingi.
@isackmgema737611 ай бұрын
What an interview 🎉
@yahyahamad18023 жыл бұрын
Ahsante mzee abdulrahman allah akufanyie wepesi kwa kila jambo na familia yako
@freddymtashi50209 ай бұрын
Haya ndo mambo jamii inahitaji simlizi za Mashujaa wetu. Siyo mnatuletea habari za kina mayele na majini hizo hazupi afya ktk Taifa. Simlizi za namna hii yaani zinakupakutamani kuwa mwanajeshi.
@marylibaba25897 ай бұрын
NI KWELI
@marylibaba25897 ай бұрын
❤Amen
@LeonardWilliamGenerali Жыл бұрын
Napenda sana kuwa mwanajeshi ila nafasi hazipo
@abdulrahmanmwadini59252 жыл бұрын
Wewe Mzee unanisisimua hongeraaa
@marylibaba25897 ай бұрын
JAMANI,JAMANIIII
@marylibaba25897 ай бұрын
HONGERA SANA
@ZuhuraOmar-x5t5 ай бұрын
Mzee mkarimu sana nilipata bahati ya kukutana naye akiwa baloz
@marylibaba25897 ай бұрын
MAJARIBU HAYOOOO
@mutahangarwasamwel46433 жыл бұрын
Nakukubari ruteni jenelali
@h77-f8m11 ай бұрын
Maashallah kiboko
@marylibaba25897 ай бұрын
DUUUUUH
@marylibaba25897 ай бұрын
MUNGU ANAKUPENDA SANAAAAA
@marylibaba25897 ай бұрын
Uwiiiiii
@marylibaba25897 ай бұрын
NIKAZI NGUMU SANA
@marylibaba25897 ай бұрын
❤❤❤❤
@marylibaba25897 ай бұрын
TANZANIA NDIYO HIYOOOO NIAMANI TUUUU
@marylibaba25897 ай бұрын
HAWALALI JAMANI
@marylibaba25897 ай бұрын
Ahaaaaa
@marylibaba25897 ай бұрын
TUWAOMBEE SANA
@marylibaba25897 ай бұрын
HEEEEEEEE SAFI SANA
@elipidtesha54664 ай бұрын
Background sound ya nini Kwenye mahojiano
@marylibaba25897 ай бұрын
WACHAAA
@marylibaba25897 ай бұрын
NIKWELI KABISA
@marylibaba25897 ай бұрын
HONGERA SANA MUNGU YU PAMOJA NAWE
@vanpzle6710 Жыл бұрын
Nafurahi kumsikia huyu Kamanda.
@MkwizuMajidi5 ай бұрын
mwamba huyo
@jumamwanga663411 ай бұрын
Afande Inanikumbusha Machungu Sana Na Kazi Kubwa Huko Seychelles Tukipigana Sana Na Askari Wa Kukodi Maeneo Ya Port Lawi ,Bousezuu Nawashukuru Wote Tulio Bali Hai Na Wewe Afande Wetu
@marylibaba25897 ай бұрын
HAKUNA KULALA
@marylibaba25897 ай бұрын
NIKWELI KABISA WANAFANYA HIVYO
@marylibaba25897 ай бұрын
CHEZEA J.W.T.Z WEYEEEE😂
@marylibaba25897 ай бұрын
MUNGU MLINDE SANA
@marylibaba25897 ай бұрын
HONGERENI
@marylibaba25897 ай бұрын
KUMBEEEE
@marylibaba25897 ай бұрын
KWAKUMBUKUMBU TUUUU HAUJAMBO
@marylibaba25897 ай бұрын
POLENI SANA
@marylibaba25897 ай бұрын
UAMINIFU
@marylibaba25897 ай бұрын
HATA VITANDA HAWANA HABARI NAZO
@marylibaba25897 ай бұрын
POKEA MAUA YAKOOOO
@marylibaba25897 ай бұрын
KARAMAAAAA
@marylibaba25897 ай бұрын
MLIWAKOMESHA
@marylibaba25897 ай бұрын
MUNGU TULINDE WATU WAKO KUPITIA J.W.T.Z
@yahyahamad18023 жыл бұрын
Azam naona mkiwa manfanya mahojiano ni vyema mueke na clip za muhusika wakati alipokua kwenye majukumu muhusika ni ushauri tu
@lawskuli987611 ай бұрын
Jina lake ni Abulrahmani au Abdulrahmani ?
@marylibaba25897 ай бұрын
NI AMANI TELE MUNGU WALINDE SANA
@marylibaba25897 ай бұрын
NIMEKUBALI KILA MTU KAPEWA KARAMA YAKE
@marylibaba25897 ай бұрын
MUNGU AWALINDE YAANI MWAKA MZIMA HAUJUI KITANDA
@marylibaba25897 ай бұрын
KATULIA KABISA ANAONGEA KWA FURAHA KABISA
@marylibaba25897 ай бұрын
BUSARA
@marylibaba25897 ай бұрын
NUNDU ZAKUTOSHA
@hazjay46712 жыл бұрын
Wengi Mwamsifia ila Wakat Wake Alikua Ana Nguvu Kuliko #GENERAL Na Walipga Pesa Sana Za Wanajeshi Waliokua Wakienda Nje
@josephlorri43111 ай бұрын
Hata mimi nilisikia hvo, General Mwamunyange ana hofu sana ya Mungu,.. sijui kwa nini hayo niliyoyasikia yalitokea
@marylibaba25897 ай бұрын
UNAKUMBUKA KILA KITU WEWE KIPAJICHAKO KINATISHA
@yusufmohamed88743 жыл бұрын
Utumishi ulio tukuka mzee wetu
@elifadilykagossy10303 жыл бұрын
Amesahau kuwa alikua acaunt pale same pia kasomea Maore