ZUMARI: MNADHIMU MKUU MSTAAFU WA JWTZ - ABULRAHMAN SHIMBO - 30/08/2021

  Рет қаралды 32,415

Azam TV

Azam TV

2 жыл бұрын

Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz

Пікірлер: 73
@williamdetkvant1313
@williamdetkvant1313 2 жыл бұрын
Ulitujali sana Mzee wetu,na ulitupenda sana,Mungu akujalie afya njema na nyota yako ing'are kwa vijana wako hadija na khamisi,maana hukutumia cheo chako kwa watoto kuzarau askari,walikuwa na nidhamu ma uncle na tumewamiss sana(ku)
@yasameja2241
@yasameja2241 Ай бұрын
Hongera 🎉 saana kwa utumishi uliotukuka Big up Lt. General Ambassador Abdulrahman Shimbo Tunakutakia maisha mazuri na mapumziko mema pamoja na familia
@ndeshukurwakaaya4385
@ndeshukurwakaaya4385 2 жыл бұрын
Mungu aendelee kukupa maisha marefu MH - MWADHIMU MKUU JWT ABDRAHAMANI. Umewaridhisha/IMPART watu na hasa vijana tunu uliyoipata katika maisha yako ya kulitumikia Taifa 🇹🇿. . Moyo wako ulioutoa hata mimi binafsi umenijenga na kunipa matumaini ya kutimiza ndoto zangu.. Nia yako njema toka mwanzo imetikisa. Amaizing GREAT HEART. SUPERB
@RamadhanAli
@RamadhanAli Жыл бұрын
Bonge la makala, aisee!!! Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi ana historia nzuri sana. Nimejifunza mengi kutoka kwake. Mola amjaalie umri wenye wingi wa afya njema katika maisha yake.
@jumannemlacha7429
@jumannemlacha7429 2 жыл бұрын
Balozi anapoongea unatamani asimalize.Nimefurahi sana kumsikia kwa ufasaha L.General Abulrahimani Shimbo.Mungu aendelee kumtunza Jemedari huyu.
@chidiomari.65
@chidiomari.65 2 жыл бұрын
Allah ampe umri mrefu🤲, Im watching kutoka Finland 🇫🇮🇫🇮🤝
@felixmagulu6142
@felixmagulu6142 2 жыл бұрын
Hongera sana Mzee wetu, Hakika Jeshi letu ni la kujivunia.
@rafoursamiol5244
@rafoursamiol5244 5 күн бұрын
Hakika inapendeza kusikiliza 🎉
@stephenaxwessp7087
@stephenaxwessp7087 5 ай бұрын
Asante sana Kwa haya mahojiano mazuri sana. Nimetamani kuendelea kumsikiliza. Nasikitika kidogo mtangazaji hajamuuliza mzee kuhusu operation ya Anjuan visiwa Vya Comoros ambayo Kama sikosei ni operation yake ya mwisho kuelekea kustaafu. Lakini pia nilitamani mzee aulizwe kuhusu tuhuma za matumizi ya fedha na ukwasi aliotuhumiwa kuwa nao miaka ya mwisho ya utumishi wake Kama mnadhimu. Mzee anaakili nyingi, afya timamu na anaonekana kuwa na hekima nyingi Mungu ambariki na atubariki Kama taifa kuwa na wazee Kama hawa
@mohamedkondo-tq2bm
@mohamedkondo-tq2bm 5 ай бұрын
Wazee wa zamani wanakumbukumbu kweli mzee anahathia utafikiri vitu kafanya jana kumbe imepita miaka mingi.
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
NI KWELI
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
JAMANI,JAMANIIII
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
MUNGU ANAKUPENDA SANAAAAA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
MAJARIBU HAYOOOO
@thelixyn1315
@thelixyn1315 2 жыл бұрын
Huyu mzee ni noma🔥🔥🔥💪👏
@freddymtashi5020
@freddymtashi5020 3 ай бұрын
Haya ndo mambo jamii inahitaji simlizi za Mashujaa wetu. Siyo mnatuletea habari za kina mayele na majini hizo hazupi afya ktk Taifa. Simlizi za namna hii yaani zinakupakutamani kuwa mwanajeshi.
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
TANZANIA NDIYO HIYOOOO NIAMANI TUUUU
@juliusmlula1658
@juliusmlula1658 5 ай бұрын
Hata mm Alinisadia kwenda kusoma nje huko Canada Mungu ambariki alikuwa Hana kinyongo
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 2 жыл бұрын
Ahsante mzee abdulrahman allah akufanyie wepesi kwa kila jambo na familia yako
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
HAWALALI JAMANI
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
HONGERA SANA
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 4 ай бұрын
Hongera sana mkuu kwa kazi nzuri
@user-xi7oe1xr9j
@user-xi7oe1xr9j 6 ай бұрын
Napenda sana kuwa mwanajeshi ila nafasi hazipo
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
TUWAOMBEE SANA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
Uwiiiiii
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
NIKAZI NGUMU SANA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
WACHAAA
@abdulrahmanmwadini5925
@abdulrahmanmwadini5925 2 жыл бұрын
Wewe Mzee unanisisimua hongeraaa
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
❤Amen
@jumamwanga6634
@jumamwanga6634 5 ай бұрын
Afande Inanikumbusha Machungu Sana Na Kazi Kubwa Huko Seychelles Tukipigana Sana Na Askari Wa Kukodi Maeneo Ya Port Lawi ,Bousezuu Nawashukuru Wote Tulio Bali Hai Na Wewe Afande Wetu
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
HEEEEEEEE SAFI SANA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
Ahaaaaa
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
DUUUUUH
@isackmgema7376
@isackmgema7376 4 ай бұрын
What an interview 🎉
@mutahangarwasamwel4643
@mutahangarwasamwel4643 2 жыл бұрын
Nakukubari ruteni jenelali
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
HONGERA SANA MUNGU YU PAMOJA NAWE
@hasaabdi7199
@hasaabdi7199 4 ай бұрын
Maashallah kiboko
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
NIKWELI KABISA
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 2 жыл бұрын
Azam naona mkiwa manfanya mahojiano ni vyema mueke na clip za muhusika wakati alipokua kwenye majukumu muhusika ni ushauri tu
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
❤❤❤❤
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
CHEZEA J.W.T.Z WEYEEEE😂
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
MUNGU MLINDE SANA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
HAKUNA KULALA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
KARAMAAAAA
@vanpzle6710
@vanpzle6710 6 ай бұрын
Nafurahi kumsikia huyu Kamanda.
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
POLENI SANA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
NIKWELI KABISA WANAFANYA HIVYO
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
KWAKUMBUKUMBU TUUUU HAUJAMBO
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
NI AMANI TELE MUNGU WALINDE SANA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
POKEA MAUA YAKOOOO
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
HATA VITANDA HAWANA HABARI NAZO
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
MUNGU TULINDE WATU WAKO KUPITIA J.W.T.Z
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
HONGERENI
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
UAMINIFU
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
MLIWAKOMESHA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
NIMEKUBALI KILA MTU KAPEWA KARAMA YAKE
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
MUNGU AWALINDE YAANI MWAKA MZIMA HAUJUI KITANDA
@lawskuli9876
@lawskuli9876 5 ай бұрын
Jina lake ni Abulrahmani au Abdulrahmani ?
@hazjay4671
@hazjay4671 2 жыл бұрын
Wengi Mwamsifia ila Wakat Wake Alikua Ana Nguvu Kuliko #GENERAL Na Walipga Pesa Sana Za Wanajeshi Waliokua Wakienda Nje
@josephlorri431
@josephlorri431 5 ай бұрын
Hata mimi nilisikia hvo, General Mwamunyange ana hofu sana ya Mungu,.. sijui kwa nini hayo niliyoyasikia yalitokea
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
KATULIA KABISA ANAONGEA KWA FURAHA KABISA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
KUMBEEEE
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
BUSARA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
NUNDU ZAKUTOSHA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
UNAKUMBUKA KILA KITU WEWE KIPAJICHAKO KINATISHA
@sheikhabdul-raufalmunaawiy3367
@sheikhabdul-raufalmunaawiy3367 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/mXqxpX-viLh5i7c FANYA JEMA MOJA, UPATE DHAWABU KUMI.
@yusufmohamed8874
@yusufmohamed8874 2 жыл бұрын
Utumishi ulio tukuka mzee wetu
@elifadilykagossy1030
@elifadilykagossy1030 2 жыл бұрын
Amesahau kuwa alikua acaunt pale same pia kasomea Maore
@elifadilykagossy1030
@elifadilykagossy1030 2 жыл бұрын
scauti pale same
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
HONGERA SANA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
DUUUUUH
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
NIKWELI KABISA
@marylibaba2589
@marylibaba2589 25 күн бұрын
POLENI SANA
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 6 МЛН
Does size matter? BEACH EDITION
00:32
Mini Katana
Рет қаралды 20 МЛН
MANENO MAZITO YA RAIS KIKWETE KWENYE MAZISHI YA HAYATI MAGUFULI CHATO
30:26
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 6 МЛН