Sikua Na mpango wa kupiga kura. Ila ukkgombea MAKIGOMBEA MAKONDA ntaenda kupiga kura
@user-wi8og3sv4j5 ай бұрын
Mpaka mzee anatia huruma na ametumikia kwa uaminifu
@RubenMtuwaMungu-bz8ee5 ай бұрын
Sheria za utumishi wa umma ni dhaifu inapaswa zifanyiwe amendment
@kassimmuktarymurji42425 ай бұрын
Katika kitu chaakili ulichosema kifanyiwe kazi amendment
@froma37325 ай бұрын
Wakili msomi unasoma hiyo
@user-zc2ms4wl6r5 ай бұрын
Sawa kabisa
@othumanomari15895 ай бұрын
Nssf 😪😪. Mpaka nimeamua niwaachie michango yangu
@salumjumaruhaga25135 ай бұрын
Wazanzibari wanakungoja kwa ham
@user-ss5wb3sj1i5 ай бұрын
Mungu akubariki baba yetu ameteseka kwa malipo yake. Amepata Muujiza.
@marundaye36135 ай бұрын
Makonda , Mungu akupiganie . Dr Samia oyeeeee!
@lauriankajugusi17765 ай бұрын
Watanzania wote tujiulize, Mh.Makonda kaumbwa na Mungu yupi,nasi hususan wake walio na nafasi za kuweza kuyafanya haya yaliyo mema kwa wenzao na sisi tumeumbwa na Mungu yupi!? Hii yatukumbusha Hayati Magufuri! Ee Mungu mwenye huruma tuongezee watu wa aina ya Makonda, angalau 100, alafu waangazie viongozi wenye mamlaka ya kuwateua ili wawaudumie wananchi kwa mtindo huu wa Makonda wawaone atakuwa amempunguzia amigo mkubwa kijana huyu mwema.Mungu tutunzie mwanao huyu, maana yu capita ktk njia zikupendezazo.Amina..
@AbdallahYanga-yu2or5 ай бұрын
Angenifaa kuwa waziri mkuu namuelewa sana pambana tupo pamoja
@KaburuKimath-eu5nf4 ай бұрын
Makonda kiukweli nakukubali unatenda haki
@usembiphonedar56325 ай бұрын
Mnacheka na ccm! Hizo hela anazogawa Makonda kumbukeni baada ya uchaguzi mtazitapika zote kwa tozo na kodi kubwa!
@maryfranknamkumba91825 ай бұрын
CCM Mungu anawaona honestly loooh aibu
@Paultapuka5 ай бұрын
Mungu ukulinde makonda ❤
@katambimfalimbega38085 ай бұрын
Hao watu wa Alizi mnawalea
@salumjumaruhaga25135 ай бұрын
Kwa hiyo bila makonda ilikuwa ndio basi tena
@user-zc2ms4wl6r5 ай бұрын
Du kweli
@simumbaken49025 ай бұрын
One komando
@shamimukanju84024 ай бұрын
Makonda nakuelewa piga kazi,
@user-ze6lx9ng6s5 ай бұрын
hawa mafisadi mawaziri na wakurungenzi mungu awalaani kabisa,, RIP JPM
@mwarabumbarak43425 ай бұрын
Lakini wakati huo 2005 si magufuli alikuwepo
@usembiphonedar56325 ай бұрын
Huyo Makonda yupo kwa muda tu akishakamilisha kuivusha ccm na mafisadi wake kwenye uchaguzi ujao hamtamuona Makonda kwenye nafasi hiyo! Mbona umeme mgao kila siku! maji shida? Dawa ya ccm ni kuikataa ccm na mafisadi wake wote uchaguzi ujao.
@maulidasaa94075 ай бұрын
Tunakukubali lkn usiwafosi watu kwe kutua Hela zao kwani pengine roho zao zina kinyogo
@emmanuelmlowe-ew7gx5 ай бұрын
Kama hawataki kufosiwa walikuwa wanasubiri nn tangu 2005?.siwalitaka afe?.
@emmanuelmlowe-ew7gx5 ай бұрын
Makonda ni jAJI wa mahakama kuu
@user-zi1gp6dc2q5 ай бұрын
Makonda kaumbwa naule udongo origino wamungu maana hakuna kama makonda nawanao mtukana wanajitukana wenyewe makonda chanja mbuga babaa mzungu wakisukuma
@daudkhatib-qn5tr5 ай бұрын
Kwani kunamtu alieumbwaa na udongo feki
@allyabdalla42285 ай бұрын
Kaka etu makonda unajitahidi kupambana ila uwe makini Kuna watu hawaguswi nchii Ni waungu wa aridhini
@JlmwinukaOnlineTv5 ай бұрын
Mungu akulinde makonda❤
@SimaRuta5 ай бұрын
😢
@user-xx8jx6tb7d5 ай бұрын
MUNGU ATAKUSIMAMIA KWA KAZI NZURI NA PIA UTAZID KULINDWA KWA LAANA NZUR KUTOKA KWA WAZEE KAMA HAO, BABU ZETU, MUNGU AZIDI KUKUPIGANIA KWA KILA LENYE SHARI.
@isacklaurent89485 ай бұрын
MUHESHIMIWA MAKONDA MUNGU AKUPE AMANI WEW NA KIZAZI CHAKO CHOTE MAISHA YAKO YTE
@sophiaamnaay97265 ай бұрын
Hivi hao waliosababusha walalamikaji hao kukwama ndo inaishia hapo au wanachukuliwa hatua baada ya hapo?. Sioni hatua kwa wahalifu hao ila ni wahusika kusaidiwa tu.
@user-cu3dg8xd7q5 ай бұрын
Watu wanaumia kwa sababu ya Fisiem hapo hapo wanasema Fisiem hoyeee😅😅😅😅😅😅 Nchi inavilaza ndio Mtaji wa wana Fisiemu😅😅😅
@user-xx8jx6tb7d5 ай бұрын
Yaan hapo Safi sana hapo kwa hapo ama kweli malpo ni hapa hapa kwa Mungu hakuna kinachoshndkana utazulumu ila ipo cku Mungu atawaletea mtetez hvyo mama yetu aliongozwa na Mungu ili amchague huyu baba ili aweze kutetea wanyonge, 2005 had Sasa jiulze wamepita viongoz wangap.
@kassimmuktarymurji42425 ай бұрын
Mheshimiwa makonda chimba makaburi hata sehemu yamakaburi mengine utakuta mazombi yako hai ndani ya makaburi,piga kazi makonda watanzania wako nyuma yako
@anthonytido5 ай бұрын
❤
@user-vy6st5ki2v5 ай бұрын
Makonda mungu akubariki uje na kilolo uone mkoa iringa
@elibarikimollel71495 ай бұрын
Ona watendaji wa serikali walivyo na roho mbaya kiasi cha kupata laana kirahisi kabisa kisa kutokua na utaratibu wa makabidhiano ya ofisi ni kuhama na kuwaza wizi tu! Miaka 19 baba yuko barabarani nyie watoto mko ofisini na viyoyozi! Wote mliohusika na uzembe Hata mkilindwa hamtaacha kukinywea kikombe hichohicho!
@user-nn6zq1ok7i5 ай бұрын
WAFANYAKZI WENGI WANALIA NA CCM
@josephdogani34195 ай бұрын
Tstixo la nchi hii ni ccm.bila kurudisha namlaka kwa wananchi kwa kuiondoa ccm madarakani.hsiwezekani chana kipo madarakani miakavzaidi ya 53l leo kila kona ni malalamiko. Ccm haiwezi tena muleta ahueni yeyote ktk maisha yetu.huyu mskonda anachokifanya no jsanii tu es kuntsfutia mama kura. Mfimo mzima umroza Kiiini cha matatizo no kukosekana j kwa uchaguzi huru na haki. Sasa anachokifanya huyu ni kuwaambia watanzania kuwa hiki chaama hakina ufumbuzi wa matatizo.kimedhindwa kuongoza na hakitegemeki tena. Naomba mniambie nyinyi mnaomshabikia ccm kwa hapa tulipo fikia mnaskili timamu kweli Kwanza uonevu nabfhuruma ndio mtindo wao wa kubaki madarakani.? Watu wamrkata Tamara mpaka wapeleke matatizo kwa meenezi. Huyu sasa anaingilia utendaji wa serikali. Toka lini ktk nchin iliyopata uhuru miaka zaidi ya 60 watu wafikie hstua ya kupeleka matatizo kea mwenezi
@usembiphonedar56325 ай бұрын
Wizara ya ardhi nchi nzima ni mazurumati! Ndiyo yanatengeza migogoro ya ardhi! Mungu ayalaani! na ccm yao!
@user-tn6iw6dm5z5 ай бұрын
Watukama hawa ilitakiwa kufukuzwa ndoo dawa yao makufuri hoyee ningetamani mawazo ya makufuri na nyelele waenziwe
@BIGCHENDREADLOCKS5 ай бұрын
Ndo serikali ya ccm
@KaroliMagana5 ай бұрын
Niyafurahi nikiona mrejesho wa kupatiwa haki zao wote unao wasikilizaga
@dicksonshenkalwa54705 ай бұрын
Aibuu, hivi kweli ccm ipo kihalali?
@emmanuelmlowe-ew7gx5 ай бұрын
Makonda abaki mahakama zifutwe makonda anatosha
@mwanyongamama44075 ай бұрын
Hapo sasa
@marthamungure17775 ай бұрын
Makonda hawezi kugombea uraisi, hana ufahamu wa kutosha.
@mtahogarashid84885 ай бұрын
Safi Makonda sasa ninayo Kadi ya Ccm ya elecklonic kulaleki chapa kaz hadi kieleweke.
@emmanuelmlowe-ew7gx5 ай бұрын
Mahakama zote zifutwe abaki makonda
@leokamil62845 ай бұрын
Toka 2005 walikuwa wakibadilishana tu hata aibu hamna loh
@valenakomba76865 ай бұрын
PESA SOTE WANAKULA WENYEWE TUU UKUTE HUYO MEYA ANAJUWA ZAIDI KUHUSU HIZO PESA . NDIYO MAANA ANASEMA . ATAONGEA NA MKUU WA MKOA. LAKINI.WASIJE WAKAMKATA HIZO LAKI NNE.
@user-xq1cx7qg5s5 ай бұрын
Nimependa namna CDE P.Makonda anavyosikiliza kero za wanyonge
@ShabaniMukose5 ай бұрын
Makonda kazi unayo fanya ni nzuri saana. lakini je' serekali iliopo sasa inajielewa? Mambo haya yote yaliofanyika serekali ikowapi?
@user-nn6zq1ok7i5 ай бұрын
UMEME WAPI
@richardchawenda59385 ай бұрын
Makonda kaka MUNGU akubariki sana wewe na uzao wako kaka
@user-cu3dg8xd7q5 ай бұрын
Hii nchi bado ya ajabu sanaa sanaa
@isayaanthon70635 ай бұрын
Mheshimiwa Makonda sasa ni dhahiri umuhimu wa katiba mpya itakayo hakikisha uwajibikaji wa watumishi wa uma inahitajika. Mshauri mama asaidie watanzania mara moja kwa zote kupitia marekebisho wa katiba. Immagine kwa mapenzi ya Mungu Makonda hayupo, huoni hizi jitihada zitapita na ninyi? Tuachieni bible(Katiba) ili majina yenu yaishi milele
@emakoresahili5 ай бұрын
Hivi Hawa watendaji wakoje lakini?? Yaan tangu 2005 Mzee kastaafu hadi leo Mzee anatafuta haki yake. Hivi mkoje lkn??
@fathimadaid34295 ай бұрын
Nakama wangempa ndani ya muda wala asingezeheka huvo
@richardchawenda59385 ай бұрын
ni wana roho mbaya saana
@sophiaamnaay97265 ай бұрын
Mhusika amechukuliwa hatua gani kwa kosa la hivi?
@user-wi8og3sv4j5 ай бұрын
Mwenezi naomba kuuliza maafisa utumishi wa uma hawafutilii hata mikutank yako ,huwafuatilii kama wanawachukulia hatua hao wanaowavuruga wananchi?
@user-nn6zq1ok7i5 ай бұрын
NI MFUMO waliouweka unawaruhusu Tunahitaji MFUMO MPYA KATIBA MPYA
@user-fc5qq4je3l5 ай бұрын
ningekutana na katibu makonda ninaneno mojatu lakusema kwake
@venantrugabela67985 ай бұрын
Propaganda ndo dawa yake hiyo😂😂😂
@dicksonshenkalwa54705 ай бұрын
Makonda huoni CCM ndiyo inatengeneza matatizo Na haiyatatui bado wasema CCM OYEE hivi mnaweza jitafakari kweli. Nikuambie kifo cha CCM hata cha Idi Amini kitakuwa na nafuu. Jamani CCM jitafakari I.
@sophiaamnaay97265 ай бұрын
Hongera kwako kwa kuona hilo. Wenzio wamefunikwa na giza nene hawaoni hilo
@radhiasalum71565 ай бұрын
Miaka kumi na tisa duuuu,
@katambimfalimbega38085 ай бұрын
Viongozi wa chama Aiza hawawezi kuwasimamia watumishi waliopo chini yao au wakisema wanazalailika ndo maana shida hizi
@katabaroonlinetv96885 ай бұрын
Kipofu kasanuka 😂😂😂
@omaryjudasymwanga71725 ай бұрын
Kwani kati ya mzee na chama nani alitangulia kua hapo mbona nikama hao nivijana wanajuaje chama kinahaki wakati huyo mzee ndio kama waasisi wa chama hivi vijamaa vingine ni vilaza na rushwa ndio mipango badilini sharia kamateni haya majitu yafungwe
@msomaliwilliam5 ай бұрын
Makonda nakukubali
@kassimmuktarymurji42425 ай бұрын
Ukisikia vitu vingine vinauma sana na makonda ww ni simba wa haki za watanzania ccm itakukumbuka 100 to come
@froma37325 ай бұрын
Sio kesho aende iwee story
@salimmalaka2565 ай бұрын
HAYO MALIPO WAONGEZEWE NA 25% JU KILA MWAKA KWA KUCHELEWESHWA KULIPA MILIONI MOJA YA MIAKA HIYO SIO SAWA NA YA SASA.
@user-pz5mf7ks9j5 ай бұрын
MAKONDA, MAMA SAMIA AKIMALIZA MUDA WAKE NA ULIWA HAI CHUKUA NCHI TUTAKUPA KULA
@swibewilliam49395 ай бұрын
kiténgo chà propaganda. tubuni. kuna uwezekano umesababißha maisha ya watu wengine kwà kufànya kazi kwa kiténgo chà propaganda.....
@user-eg4hk9pg5o5 ай бұрын
Jembe kama jembe
@user-zp1ij9rq9v5 ай бұрын
Kama nchiyetu singe kua nahaya tungekua kama dubai
@mwanyongamama44075 ай бұрын
Libidi MUNGU Aone Nyakati na majira
@ignasnyembo12565 ай бұрын
John pombe Joseph junior
@karolikisaka89915 ай бұрын
Drama za ccm Enyi watu hii ni aibu
@jumannentimizi90005 ай бұрын
MAKONDA UNAFANYA KAZI NZURI SANA ILA TUNAKUPA MZIGO MKUBWA SANA MAANA WEWE NDIYO UMEKUWA MAHAKAMA,PIA UMEKUWA HAKIMU NDYO UFAHAMU KUWA HUKU CHINI HAKUNA WATU KABISA NA NCHI HII NI KUBWA HAUTAWEZA KUMALIZA MATATIZO YOTE UNAPOTOKA WATU WANARUDI KULEKULE.TENA WANADAI NENDENI KWA MAKONDA HII NI HATARI SANA
@tibbsminja25755 ай бұрын
Ndio maana Katiba mpya Katiba mpya itaweka sheria mezani. Haya afanyayo Makonda Aka Bashite kwani wakuu wa Mkoa , wa Wilaya, Wabunge, Mawaziri/Manaibu Husika na wizara, Polisi, Mahakama wanalipwa mishahara nini kazi zao?? Hii inq maana kuna UOZO mkubwa sana ndani ya Serikali ya CCM na Bashite siye anweza kuyamaliza!! Na dhahiri wateule wake Rais ni wabonu kiasi kikubwa! Katiba Katiba mpya na tune huru. Rais umenena mahali kuwa mabalozi wasiingilie chaguzi nini unachokiogopa na hautoi hata senti moja
@rev.josephatmagori72095 ай бұрын
Mhe. Makonda uko sawa, usipofanya unachofanya, wananchi watakimbilia kwa mwingine. Watendaji ndani ya Serikali na Halmashauri wakuvumilie tu. Mkia wa m uzi hufagia unapolala.
@valenakomba76865 ай бұрын
TENA HUYO MAKAMBAAÄ
@user-lc6ce8pb9b5 ай бұрын
hili jinamizi kbs, bumbuli wanaifanya ndo wenyewe hawataki kungo"ka madalakani