KIBOKO YA WACHAWI KALAANIWA EV PASCHAL CASSIAN

  Рет қаралды 12,173

PASCHAL CASSIAN OFFICIAL  YOUTUBE

PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE

4 күн бұрын

Пікірлер: 243
@costofamily4861
@costofamily4861 2 күн бұрын
Wanaomkubali Cassian Gonga like hapa💪🏻💪🏻
@EbsonMakanika
@EbsonMakanika 2 күн бұрын
Mungu, akubariki,sana,kwa kukemea manabii wa uongo
@EbsonMakanika
@EbsonMakanika 2 күн бұрын
Nami nasema, alaaniwe,
@EbsonMakanika
@EbsonMakanika 2 күн бұрын
Hakika shetani amejidhilisha waziwazi ,kupitia makanisa, Mtumishi,Mungu akuinue sana,pamoja ,Na Mbalikiwa,
@mathiasdioniz5891
@mathiasdioniz5891 2 күн бұрын
Mungu ambariki sana huyu kaka Cassian,
@user-jl1db6lc1w
@user-jl1db6lc1w Күн бұрын
Pastor CASSIAN Mungu wa mbinguni akutie nguvu kwa kujitoa kufa na kupona kukemea na kufunua watumishi matapeli kama hao,ubarikiwe sana sana.
@ruthhamisi2902
@ruthhamisi2902 2 күн бұрын
Ni kampeni na ajenda ya shetani katika makanisa ili waache njia ya yesu,tuombe sana na tusome biblia tuijue kweli ya yesu na ituweke huru, Mungu akubariki mtumishi PASCAL kukemea haya Yesu anarudi
@Ushindiemmanuelushindi
@Ushindiemmanuelushindi 2 күн бұрын
Watu kama Cassian wanahitajika sana Tanzania jamani katika jina la yesu ❤❤❤
@fedhajoseph7687
@fedhajoseph7687 Күн бұрын
Kweli kabisa
@georgekifyasi1205
@georgekifyasi1205 Күн бұрын
Oooh Mungu wangu,hizi nyakati za mwisho kwahakika Yesu anarudi jihadharini enyi wanadamu
@paulpastory1193
@paulpastory1193 Күн бұрын
Mungu akutie nguvu Baba msema kweli Pascal Casiani Tunakuombe
@beatricemwashiti7763
@beatricemwashiti7763 2 күн бұрын
Mungu aziyakiwi, wanakuja kuchafuwa jina la yesu ata wachafulishe jina la yesu, Mungu atabaki kuwa Mungu
@LylianeBaumaLyly
@LylianeBaumaLyly Күн бұрын
Hoo yesu tusaidiye😢😢😢 kwanyakati za zamwisho tutayaona mengi na kuyasikiya huyu siyo mutumishi wa Mungu kweli alaaniwe kupotosha tu watu Mungu nipe mwisho mwema mutumishi wa Mungu ubarikiwe
@leticiamakoye4871
@leticiamakoye4871 Күн бұрын
AMINA . BWANA YESU kiristo wa nazaleti akulinde pasical casiani. BWANA awakemee watu Kama Hawa ktk taifa letu.ubarikiwe Ubarikiwe casian na watumishi wote wanaoihubiri kweli ya BWANA na utakatifu.
@PastorVitalisSheshe
@PastorVitalisSheshe 2 күн бұрын
Mtumishi Ubarikiwe sana.Isaya. 58:1 ukosawa.
@user-ck5hx8pr5v
@user-ck5hx8pr5v Күн бұрын
Aminaaaaaaaaaaaaaaaaa pasta mungu akutie nguvu
@user-ow9hn7xs3u
@user-ow9hn7xs3u 14 сағат бұрын
Nakupenda sana una hubiri injili ya kweli mungu akupe siku nyingi sana
@AlfredyLimu
@AlfredyLimu 2 күн бұрын
Asante sana mtumishi wa MUNGU endelea kuisema kweli wakupona wapone na wakupotea wapotee
@JacklineMoti
@JacklineMoti 2 күн бұрын
Mungu aturehemu hivi na watu wanasema amen 😢😢
@ruthhamisi2902
@ruthhamisi2902 2 күн бұрын
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa,ndivyo yesu alisema,
@EsterbernardoVumo-kn2xv
@EsterbernardoVumo-kn2xv 8 сағат бұрын
Amina Mtumishi Wa Mungu Na MunguAkubsriki Sana.
@DanielNasibu
@DanielNasibu 2 күн бұрын
Ubalikiwe mtumishi Dunia imefika mwisho mungu atusaidie
@PeterSimoni-th2re
@PeterSimoni-th2re 17 сағат бұрын
Ninakuelewa sana brother Mungu akulinde na wabaya
@user-ow9hn7xs3u
@user-ow9hn7xs3u 14 сағат бұрын
Mungu ukutangulie mbele safi sana pasical cassian ulindwe na mungu alie hai
@AmaniMushi-c2u
@AmaniMushi-c2u 7 сағат бұрын
Amina mtumishi wa Mungu. Namimi nina ungana na wew kuwa na ALAANIWE
@samyotimotheo37
@samyotimotheo37 2 күн бұрын
Mungu akubariki sana na aendelee kukupa ujasiri
@michaelmshighati8432
@michaelmshighati8432 11 сағат бұрын
Hongera kwakusema ukweli Mtumishi wa Mungu
@elizabethndabhantinya
@elizabethndabhantinya 8 сағат бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi
@chantalmariesony2996
@chantalmariesony2996 5 сағат бұрын
Pastor Paschal namupa 10000000 points ❤❤❤❤❤❤
@jovettedenise2591
@jovettedenise2591 2 күн бұрын
Mungu akulinde na akupe uwezo na mamulaka yakuyiendesha zayidi injili ya ukweli kupitiya madabahu haya wengi tumepona.usichoke wala usinyamanze na Mungu atuwezeshe tukushike mukono ili injili iwafikiye wengi❤❤❤
@PavlovBestfriend-fb3kh
@PavlovBestfriend-fb3kh 21 сағат бұрын
Kweli kabisaa, barikiwa na Mungu Cassian 🙌🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@michaelsichinga
@michaelsichinga 2 күн бұрын
Amina pasita ashindwe kwa jina la yesu
@fedhajoseph7687
@fedhajoseph7687 Күн бұрын
Nakupenda bure mimi mtumishi cassian unasemaga ukweli baba yangu taji yako nikubwa mbinguni kaka yangu.
@user-cr6fc7nt8k
@user-cr6fc7nt8k 2 күн бұрын
Mimi poster wngu ni cassian pekee uyo ndyo nitamsikiza mpaka mwisho...kwasababu mafundisho ya pascal cassian na mnabii wengine yako tofauti sana....mungu akulinde kakaangu na akutie nguvu nyingi uwendeleze maubiri yako...
@MahraKhan-gd7pb
@MahraKhan-gd7pb 2 күн бұрын
Yn kwel wafuasi wake ni misukule kbs Mungu twakuomba tufungue fahamu zetu watu hao wametekwa ufahamu kwel kiboko ya wachawi alaamiwe ni shetani kbs
@user-cr6fc7nt8k
@user-cr6fc7nt8k 2 күн бұрын
Walaaniwe kabsa mungu ashushe mafuriko wasombwe na waumini wake
@EnaraMfwango
@EnaraMfwango Күн бұрын
Amen na mung azid kukulind
@user-ed2jz5ym9u
@user-ed2jz5ym9u Күн бұрын
Ubarikiwe sana utalipwa usipo zimia moyo
@mbezisalasala9536
@mbezisalasala9536 Күн бұрын
Watu wengi hawataki kuambiwa ukweli. Utasikia huyu naye anahukumu amekua Mungu? Tuko kwenye nyakati za mwisho watu wameziba masikio. Baba unaipambania injili ya kweli Mungu akubariki sana
@bibishemartha4378
@bibishemartha4378 2 күн бұрын
Kabisa walaaniwe wote sana ✍️
@WillyBanzi
@WillyBanzi 2 күн бұрын
Barikiwa mtu wa Mungu,maana huu upepo wa manabii na mitume feki baada ya kiwaelekeza watu kwa Mungu ili wajitegemee kiroho wao makanisani kiila siku nimelogwa,mara nimetapika mjusi,mara nimemwaga mafuta yaani perception za kiushirikina,uganga,na kishetani makanisani
@JofreyDamson-nm6ec
@JofreyDamson-nm6ec Күн бұрын
Sema mtumishi ,watu wamegeka wanafanya biashara
@geegalax6479
@geegalax6479 Күн бұрын
Watumishi wa kweli tuongeze bidii ya maombi na kuyakemea haya. Pia tuendelee kuwafundisha Wana wetu kweli ya Mungu
@selestinahongoa4332
@selestinahongoa4332 Күн бұрын
Mtumishi uko vizuri , naomba maana ya LV kama hiyo kwenye tshet uliyo Vaa.
@evodiajohn7991
@evodiajohn7991 Күн бұрын
Mtumishi paschal hapooo nakuunga mkono kweli huyo ni shetani mzimu kabsaaaaa
@mossesezekiel7862
@mossesezekiel7862 22 сағат бұрын
Sema kweliiii mtumishi wa MUNGU Ev.Cassian ili tupone Saa imefika nayo Sasa ipo ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweliiii.Mungu ni roho wote wamwabuduo imewapasa kumwabudu katika roho na kweliiii Damu ya Yesu Kristo mwana wa MUNGU alie hai itufunike!!!
@RobsonEnock
@RobsonEnock 2 күн бұрын
Hakika mwana wa mungu yu karibu zidi kuwahubiria wakuokoka waokoke atakaye shupaza shingo lake atajijua Amina mtumishi uko sawa.
@ruthhamisi2902
@ruthhamisi2902 2 күн бұрын
Mwenye masikio na asikie
@EmmyJerremiah-jy2lz
@EmmyJerremiah-jy2lz 2 күн бұрын
😂😂😂Ila hii dunia bana kweli watu wametekwa jamaa anaongea ujinga alafu watu wanasema ameen .... paschal usinyamaze sema baba
@user-ss8mn8wu5r
@user-ss8mn8wu5r 2 күн бұрын
Kweli watu wamefungwq jamani😂
@edisonemmanuel-
@edisonemmanuel- 2 күн бұрын
We acha tu
@protasdmassawe
@protasdmassawe 2 күн бұрын
😢😢 Mungu atusaidie.
@joshuaandrew386
@joshuaandrew386 2 күн бұрын
Ni Amina na kweli, Ubarikiwe Sana sana MUNGU azidi kukutumia kwaajili ya KUOKOA nafsi zilizo potea
@halimaomary-f7h
@halimaomary-f7h 18 сағат бұрын
Baba wataje wote niachie mwamposa wang😘
@NTEMI-OBURUDANI
@NTEMI-OBURUDANI 2 күн бұрын
Ameni ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
@user-ow9hn7xs3u
@user-ow9hn7xs3u 13 сағат бұрын
Natamani kujifunza sana kutoka kwako cassian
@isayamwashibanda5819
@isayamwashibanda5819 2 күн бұрын
MUNGU atunusulu Dunia imeishaa
@henrysizya239
@henrysizya239 2 күн бұрын
Duh! Hii ni kama comedy flani hivi, Mungu atusaidie
@elizabethndabhantinya
@elizabethndabhantinya 8 сағат бұрын
Amina kubwa
@michaelwanyanga
@michaelwanyanga 19 сағат бұрын
Feed the flock of God which is among you, taking the oversight thereof, not by constraint, but willingly; not for filthy lucre, but of a ready mind; Neither as being lords over God's heritage, but being ensamples to the flock (1Pet.5:2-3). KIBOKO YA WACHAWI, repent soon very soon, God has seen you!❤
@JosephTherathini
@JosephTherathini Күн бұрын
Pascal uko sawa.
@Edwin-tw3yj
@Edwin-tw3yj 2 күн бұрын
Uko sawa-sawa
@SuzyMuhando-yf8do
@SuzyMuhando-yf8do 2 күн бұрын
Mungu atusaiye jamani nimeumia Yesu tusaidiye
@JoshuaGoliama
@JoshuaGoliama 2 күн бұрын
Semaji la tz Cassian my role moddle
@justerkamala3933
@justerkamala3933 19 сағат бұрын
Mmh 😢😢😢, watu wanaangamia kwakukosa maarifa
@RehemaValerian
@RehemaValerian 16 сағат бұрын
Mungu akubariki Sana katika huduma yako yaan unahubiri injili ya kweli ya Yesu kristo🙏🙏🙏
@user-nz4ff6dq4t
@user-nz4ff6dq4t Күн бұрын
Kiboko ya wachawi mwenyewe anazungumza mambo mambaya na watu wanazidi kufuatia niatari
@elvisbaraka1444
@elvisbaraka1444 21 сағат бұрын
Kweli mtumishi Cassian
@LillianMunyaka
@LillianMunyaka 2 күн бұрын
Mungu akusaidie sana
@JumaKabe
@JumaKabe 2 күн бұрын
Ubalikiwe Sana baba nakupenda sana kwa ukweli wako
@sarahkeivaly3351
@sarahkeivaly3351 2 күн бұрын
Mtumishi Cassian, Mungu akutie nguvu sana, Zidi kukemea na kukaripia na kuonya kwa nguvu zote; Kiukweli tuko mwishoni sana, Mungu alisaidie kanisa lake
@vicentraphael899
@vicentraphael899 Күн бұрын
Kweli kabisa baba unachosema huyu kama ahubili watu kwenda mbinguni huyu sio wa mungu.
@user-cr6fc7nt8k
@user-cr6fc7nt8k 2 күн бұрын
Mwenye macho haambiwi tazama..tuliambiwa tutawajuwa kwa matendo.kiboko ya wachawi siyo nabii wa kweli ni shetan kabsa.aya mavazi tayari na kauli yake ni mapepo tosha....wa2 wanakimbilia miujiza awafati mungu
@kashindimwaliasha4762
@kashindimwaliasha4762 2 күн бұрын
Amen 🙏🙏
@festomanga348
@festomanga348 2 күн бұрын
Neema ya mungu itu saidie sana awa manabiiiiiii
@stewartmdebe4314
@stewartmdebe4314 21 сағат бұрын
MUNGU AWE NAWE DAIMA UBARIKIWE SANA
@emilianagodwine6138
@emilianagodwine6138 2 күн бұрын
Dah hatar hiyo Mungu atufungue Macho.
@uredipeter412
@uredipeter412 2 күн бұрын
Nikweli kabisa ndugu mtumishi
@WillyBanzi
@WillyBanzi 2 күн бұрын
Hapa kuna ajenda ya kuzimisha kanisa la kweli makanisani kilichopo sasa hivi kila ibada ni kunywa mafuta,kula keki,kukamatana uchwawi,kutapika mijusi, as if duniani tunaishi milele mchungaji hakuna hata siku moja awakumbushe watu wake kama kuna hukumu siku moja na kuzidi kujitakasa.Ukiona upo na mtumishi wa aina hiyo ujue you're in wrong place.
@RizikiWisongata
@RizikiWisongata 2 күн бұрын
Amen
@JacksonMbites
@JacksonMbites Сағат бұрын
Manabii wa Uongo wamezidi sana
@MabelKaaya-hl2je
@MabelKaaya-hl2je Күн бұрын
Nyakati za HATARI sana
@SmilingFreshwaterLake-tg5qp
@SmilingFreshwaterLake-tg5qp 22 сағат бұрын
Mungu wangu Huyu Dominique ni shetani
@janemhangomhango5841
@janemhangomhango5841 20 сағат бұрын
Amelaaniwa kweri huyu mtu jamani 😭😭😭
@benjaminmahega
@benjaminmahega 2 күн бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi kweli siku za mwisho zimefika
@user-jl5un4wf3u
@user-jl5un4wf3u 2 күн бұрын
Hakuna duniani pote etikiongoziwake hamuhubili Mungu badala yake anapiga ramulitu nakuibiawatu. fedhazao.
@gilliansiara3324
@gilliansiara3324 37 минут бұрын
Kwani ujui,unakwenda kwa alie juu ya ulitoka kwake,kiboko Sasa unataka kujua member wake Tena,waarabu wa Pemba,profesa wa manabii eh,bagamoyo, Tanga,Pemba,Sasa ni lamu Mombasa tukimaliza hapo kikichuja sijui ni wapi ????lakini atakuja mwingine huyu anashusha moto,atakuja sina hofu asifiwe Yesu
@nyangiboke
@nyangiboke Күн бұрын
Akemei dhambi daah
@beautykimetule3888
@beautykimetule3888 2 күн бұрын
Mmm haya makubwa ,,Mungu TUSAIDIE KUOMBA
@paschalcassianoriginal9411
@paschalcassianoriginal9411 2 күн бұрын
@@beautykimetule3888 amen
@chantalmariesony2996
@chantalmariesony2996 3 сағат бұрын
sio laki rafiki yangu alimuomba million 8 uyo alaniwe kweli
@ngelelanangale6798
@ngelelanangale6798 2 күн бұрын
Jamani injili imevamiwa na waganga wa kienyeji na wataalamu wa majini na kujipachika utummishi wa Mungu
@MakaliusNgua-vb5sb
@MakaliusNgua-vb5sb 2 күн бұрын
MUNGU atusaidie hasa wale walio kwenye kanisa ilo yani kamawamefungwa akili zao naumia sana kuwawaona watu wanavyo songwa songwa na uyu na nabii
@happnesskitumbo5713
@happnesskitumbo5713 2 күн бұрын
Ninasikia kulia machozi nikiwahurumia hao waumini ni kama kondoo waendao machinjioni kuchunjwa bila kujitetea kwa lolote wala hawajielewi Yesu wasaidie watu hao naamini kati Yao wapo wanaotaka kwenda mbinguni na sharti uwe mtakatifu ingawa kwa maelezo ya huyo mchungaji wa uongo yeye Hana mpango wa kwenda mbinguni kwani habari za utakatifu haziwezi.
@asminmakoha6889
@asminmakoha6889 2 күн бұрын
Niuruma Sana MUNGU apiganie watu wake
@maulidi8479
@maulidi8479 2 күн бұрын
Jaamaa anaongea ukweliii mzee wa kiboko ya wachawi 😂😂😂
@martinahlighare6495
@martinahlighare6495 2 күн бұрын
Watatumia maneno ya watumishi walioitwa kwa kweli na roho ili kulaghai na kupotosha kanisa. Wanajisi hao, umbwa mwitu waliojivisha ngozi ya kondoo. Ezekiel 13;7, Mathew 23:28, 23:27. Tujihadhari nao. Mtumishi ubiri kikamilifu na kusema kosa lao usirudi nyuma.
@chrithicksambo2287
@chrithicksambo2287 19 сағат бұрын
Wachungaji waliobaki Duniani hapa ni wawili TU Cassian na Mwakipesile
@user-eb3hf1lm9e
@user-eb3hf1lm9e 13 сағат бұрын
Mhuuuu hii ni sokomoko duh shetani lenye mapembe kabsa
@BestBisanda
@BestBisanda Күн бұрын
wao wanajifanya wanasaidia watu pesa mbona hawatoi huduma bure? Mungu atusaidie maana dunia inakwenda kulemewa
@geitandelwa299
@geitandelwa299 2 күн бұрын
Tonight sadaka yy anataka hela wee
@rosemarymwanitega7926
@rosemarymwanitega7926 2 күн бұрын
Damu ya YESU KRISTO ikufunike Mtumishi inasikitisha Sana jamani tusimame kuwaombea watu watoke kwenye makanisa ya udanganyifu
@SmaTV-forlife
@SmaTV-forlife 8 сағат бұрын
Nyakati za ujinga Mungu alijifanya (ALIJIFANYA) hazioni, cool down the Judgment of the Most High God is coming soon...
@nyangiboke
@nyangiboke Күн бұрын
Huyu kweli nishetani
@ruthhamisi2902
@ruthhamisi2902 2 күн бұрын
Sema tupone mtumishi
@user-cr6fc7nt8k
@user-cr6fc7nt8k 2 күн бұрын
Alafu uyo kiboko ya wachawi amejiblichi mwanaume mzima anajiita nabii anapaka mafuta ya kujiblichi kama mwanamke
@user-gm4qi3nn9n
@user-gm4qi3nn9n 9 сағат бұрын
Shida hatusomi vitabu tunataka miiujiza
@personalitiesan9806
@personalitiesan9806 2 күн бұрын
Mh ....mm na mwaka sasa sijaenda church Yan wachungaji siku Hz wanazingua mnooo
@LucyKapinga-fg4dk
@LucyKapinga-fg4dk 2 күн бұрын
Omba MUNGU Akuelekeze Usiseme Ivyo Wapo Bado ambao Wanamtumaini MUNGU Vizurii Omba Atakufahamisha
@YohanaMchala
@YohanaMchala 2 күн бұрын
Huyu jamaa casiani ilitakiwa, usimseme, unampaisha zadi mjinga huyu
KIMEUMANA CASSIN NA KIBOKO YA WACHAWI KUZALILISHANA HAZALANI EV PASCHAL CASSIAN
1:11:12
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 10 М.
JKLIVE | KDF deployed to streets with CS Aden Duale [PART 2]
24:16
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 13 М.
The child was abused by the clown#Short #Officer Rabbit #angel
00:55
兔子警官
Рет қаралды 22 МЛН
MEGA BOXES ARE BACK!!!
08:53
Brawl Stars
Рет қаралды 35 МЛН
The day of the sea 🌊 🤣❤️ #demariki
00:22
Demariki
Рет қаралды 98 МЛН
SIRI NZITO ZA MANABII WA UONGO ZA FICHULIWA  WAIBIKA  HAZARANI  EV PASCHAL CASSIAN
1:02:31
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 59 М.
CASSIAN AMKEMEA SHEHE SURE  MAJINI ANAPOTISHA EV PASCHAL
1:29:51
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 1,5 М.
I DIDNT KNOW  THIS BUILDING IN CANADA..😪😪 I GOT SCARED HAD TO LEAVE AND RUN AWAY
13:13
KEKI YA UPAKO NIKAFARA YA MWAMPOSA UKWELI WAWEKWA WAZI EV PASCHAL CASSIAN
1:06:31
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 2,4 М.
MKE WANGU ALINI KIMBIA EV PASCHAL CASSIAN
31:44
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 30 М.
RUTO KUPINGA USHOGA NDIO CHAZO CHA MADAMANO  EV PASCHAL CASSIAN
39:17
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 6 М.
NYIMBO HIZI ZA MASHETANI ZA IMBWA MAKANISANI KOTE TAZAMA. EV PASCHAL CASSIAN
45:59
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 333 М.
ЕМУ БОЛЬШЕ НЕ ПРИДЕТСЯ НИЧЕГО ВЫБИРАТЬ😂😂😂
0:39
СЕМЬЯ СТАРОВОЙТОВЫХ 💖 Starovoitov.family
Рет қаралды 1,3 МЛН
Когда все обошлось 😮‍💨 | Королева Двора
0:16
Аминка Витаминка
Рет қаралды 4,2 МЛН
Did you believe it was real? #tiktok
0:25
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 21 МЛН
Сначала скажи, а потом не мамкай 🗿 #shorts
0:16
Вика Андриенко
Рет қаралды 2 МЛН