Pastor CASSIAN Mungu wa mbinguni akutie nguvu kwa kujitoa kufa na kupona kukemea na kufunua watumishi matapeli kama hao,ubarikiwe sana sana.
@ruthhamisi29022 күн бұрын
Ni kampeni na ajenda ya shetani katika makanisa ili waache njia ya yesu,tuombe sana na tusome biblia tuijue kweli ya yesu na ituweke huru, Mungu akubariki mtumishi PASCAL kukemea haya Yesu anarudi
@Ushindiemmanuelushindi2 күн бұрын
Watu kama Cassian wanahitajika sana Tanzania jamani katika jina la yesu ❤❤❤
@fedhajoseph7687Күн бұрын
Kweli kabisa
@georgekifyasi1205Күн бұрын
Oooh Mungu wangu,hizi nyakati za mwisho kwahakika Yesu anarudi jihadharini enyi wanadamu
@paulpastory1193Күн бұрын
Mungu akutie nguvu Baba msema kweli Pascal Casiani Tunakuombe
@beatricemwashiti77632 күн бұрын
Mungu aziyakiwi, wanakuja kuchafuwa jina la yesu ata wachafulishe jina la yesu, Mungu atabaki kuwa Mungu
@LylianeBaumaLylyКүн бұрын
Hoo yesu tusaidiye😢😢😢 kwanyakati za zamwisho tutayaona mengi na kuyasikiya huyu siyo mutumishi wa Mungu kweli alaaniwe kupotosha tu watu Mungu nipe mwisho mwema mutumishi wa Mungu ubarikiwe
@leticiamakoye4871Күн бұрын
AMINA . BWANA YESU kiristo wa nazaleti akulinde pasical casiani. BWANA awakemee watu Kama Hawa ktk taifa letu.ubarikiwe Ubarikiwe casian na watumishi wote wanaoihubiri kweli ya BWANA na utakatifu.
@PastorVitalisSheshe2 күн бұрын
Mtumishi Ubarikiwe sana.Isaya. 58:1 ukosawa.
@user-ck5hx8pr5vКүн бұрын
Aminaaaaaaaaaaaaaaaaa pasta mungu akutie nguvu
@user-ow9hn7xs3u14 сағат бұрын
Nakupenda sana una hubiri injili ya kweli mungu akupe siku nyingi sana
@AlfredyLimu2 күн бұрын
Asante sana mtumishi wa MUNGU endelea kuisema kweli wakupona wapone na wakupotea wapotee
@JacklineMoti2 күн бұрын
Mungu aturehemu hivi na watu wanasema amen 😢😢
@ruthhamisi29022 күн бұрын
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa,ndivyo yesu alisema,
@EsterbernardoVumo-kn2xv8 сағат бұрын
Amina Mtumishi Wa Mungu Na MunguAkubsriki Sana.
@DanielNasibu2 күн бұрын
Ubalikiwe mtumishi Dunia imefika mwisho mungu atusaidie
@PeterSimoni-th2re17 сағат бұрын
Ninakuelewa sana brother Mungu akulinde na wabaya
@user-ow9hn7xs3u14 сағат бұрын
Mungu ukutangulie mbele safi sana pasical cassian ulindwe na mungu alie hai
@AmaniMushi-c2u7 сағат бұрын
Amina mtumishi wa Mungu. Namimi nina ungana na wew kuwa na ALAANIWE
@samyotimotheo372 күн бұрын
Mungu akubariki sana na aendelee kukupa ujasiri
@michaelmshighati843211 сағат бұрын
Hongera kwakusema ukweli Mtumishi wa Mungu
@elizabethndabhantinya8 сағат бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi
@chantalmariesony29965 сағат бұрын
Pastor Paschal namupa 10000000 points ❤❤❤❤❤❤
@jovettedenise25912 күн бұрын
Mungu akulinde na akupe uwezo na mamulaka yakuyiendesha zayidi injili ya ukweli kupitiya madabahu haya wengi tumepona.usichoke wala usinyamanze na Mungu atuwezeshe tukushike mukono ili injili iwafikiye wengi❤❤❤
Mimi poster wngu ni cassian pekee uyo ndyo nitamsikiza mpaka mwisho...kwasababu mafundisho ya pascal cassian na mnabii wengine yako tofauti sana....mungu akulinde kakaangu na akutie nguvu nyingi uwendeleze maubiri yako...
@MahraKhan-gd7pb2 күн бұрын
Yn kwel wafuasi wake ni misukule kbs Mungu twakuomba tufungue fahamu zetu watu hao wametekwa ufahamu kwel kiboko ya wachawi alaamiwe ni shetani kbs
@user-cr6fc7nt8k2 күн бұрын
Walaaniwe kabsa mungu ashushe mafuriko wasombwe na waumini wake
@EnaraMfwangoКүн бұрын
Amen na mung azid kukulind
@user-ed2jz5ym9uКүн бұрын
Ubarikiwe sana utalipwa usipo zimia moyo
@mbezisalasala9536Күн бұрын
Watu wengi hawataki kuambiwa ukweli. Utasikia huyu naye anahukumu amekua Mungu? Tuko kwenye nyakati za mwisho watu wameziba masikio. Baba unaipambania injili ya kweli Mungu akubariki sana
@bibishemartha43782 күн бұрын
Kabisa walaaniwe wote sana ✍️
@WillyBanzi2 күн бұрын
Barikiwa mtu wa Mungu,maana huu upepo wa manabii na mitume feki baada ya kiwaelekeza watu kwa Mungu ili wajitegemee kiroho wao makanisani kiila siku nimelogwa,mara nimetapika mjusi,mara nimemwaga mafuta yaani perception za kiushirikina,uganga,na kishetani makanisani
@JofreyDamson-nm6ecКүн бұрын
Sema mtumishi ,watu wamegeka wanafanya biashara
@geegalax6479Күн бұрын
Watumishi wa kweli tuongeze bidii ya maombi na kuyakemea haya. Pia tuendelee kuwafundisha Wana wetu kweli ya Mungu
@selestinahongoa4332Күн бұрын
Mtumishi uko vizuri , naomba maana ya LV kama hiyo kwenye tshet uliyo Vaa.
Sema kweliiii mtumishi wa MUNGU Ev.Cassian ili tupone Saa imefika nayo Sasa ipo ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweliiii.Mungu ni roho wote wamwabuduo imewapasa kumwabudu katika roho na kweliiii Damu ya Yesu Kristo mwana wa MUNGU alie hai itufunike!!!
@RobsonEnock2 күн бұрын
Hakika mwana wa mungu yu karibu zidi kuwahubiria wakuokoka waokoke atakaye shupaza shingo lake atajijua Amina mtumishi uko sawa.
@ruthhamisi29022 күн бұрын
Mwenye masikio na asikie
@EmmyJerremiah-jy2lz2 күн бұрын
😂😂😂Ila hii dunia bana kweli watu wametekwa jamaa anaongea ujinga alafu watu wanasema ameen .... paschal usinyamaze sema baba
@user-ss8mn8wu5r2 күн бұрын
Kweli watu wamefungwq jamani😂
@edisonemmanuel-2 күн бұрын
We acha tu
@protasdmassawe2 күн бұрын
😢😢 Mungu atusaidie.
@joshuaandrew3862 күн бұрын
Ni Amina na kweli, Ubarikiwe Sana sana MUNGU azidi kukutumia kwaajili ya KUOKOA nafsi zilizo potea
@halimaomary-f7h18 сағат бұрын
Baba wataje wote niachie mwamposa wang😘
@NTEMI-OBURUDANI2 күн бұрын
Ameni ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
@user-ow9hn7xs3u13 сағат бұрын
Natamani kujifunza sana kutoka kwako cassian
@isayamwashibanda58192 күн бұрын
MUNGU atunusulu Dunia imeishaa
@henrysizya2392 күн бұрын
Duh! Hii ni kama comedy flani hivi, Mungu atusaidie
@elizabethndabhantinya8 сағат бұрын
Amina kubwa
@michaelwanyanga19 сағат бұрын
Feed the flock of God which is among you, taking the oversight thereof, not by constraint, but willingly; not for filthy lucre, but of a ready mind; Neither as being lords over God's heritage, but being ensamples to the flock (1Pet.5:2-3). KIBOKO YA WACHAWI, repent soon very soon, God has seen you!❤
@JosephTherathiniКүн бұрын
Pascal uko sawa.
@Edwin-tw3yj2 күн бұрын
Uko sawa-sawa
@SuzyMuhando-yf8do2 күн бұрын
Mungu atusaiye jamani nimeumia Yesu tusaidiye
@JoshuaGoliama2 күн бұрын
Semaji la tz Cassian my role moddle
@justerkamala393319 сағат бұрын
Mmh 😢😢😢, watu wanaangamia kwakukosa maarifa
@RehemaValerian16 сағат бұрын
Mungu akubariki Sana katika huduma yako yaan unahubiri injili ya kweli ya Yesu kristo🙏🙏🙏
@user-nz4ff6dq4tКүн бұрын
Kiboko ya wachawi mwenyewe anazungumza mambo mambaya na watu wanazidi kufuatia niatari
@elvisbaraka144421 сағат бұрын
Kweli mtumishi Cassian
@LillianMunyaka2 күн бұрын
Mungu akusaidie sana
@JumaKabe2 күн бұрын
Ubalikiwe Sana baba nakupenda sana kwa ukweli wako
@sarahkeivaly33512 күн бұрын
Mtumishi Cassian, Mungu akutie nguvu sana, Zidi kukemea na kukaripia na kuonya kwa nguvu zote; Kiukweli tuko mwishoni sana, Mungu alisaidie kanisa lake
@vicentraphael899Күн бұрын
Kweli kabisa baba unachosema huyu kama ahubili watu kwenda mbinguni huyu sio wa mungu.
@user-cr6fc7nt8k2 күн бұрын
Mwenye macho haambiwi tazama..tuliambiwa tutawajuwa kwa matendo.kiboko ya wachawi siyo nabii wa kweli ni shetan kabsa.aya mavazi tayari na kauli yake ni mapepo tosha....wa2 wanakimbilia miujiza awafati mungu
@kashindimwaliasha47622 күн бұрын
Amen 🙏🙏
@festomanga3482 күн бұрын
Neema ya mungu itu saidie sana awa manabiiiiiii
@stewartmdebe431421 сағат бұрын
MUNGU AWE NAWE DAIMA UBARIKIWE SANA
@emilianagodwine61382 күн бұрын
Dah hatar hiyo Mungu atufungue Macho.
@uredipeter4122 күн бұрын
Nikweli kabisa ndugu mtumishi
@WillyBanzi2 күн бұрын
Hapa kuna ajenda ya kuzimisha kanisa la kweli makanisani kilichopo sasa hivi kila ibada ni kunywa mafuta,kula keki,kukamatana uchwawi,kutapika mijusi, as if duniani tunaishi milele mchungaji hakuna hata siku moja awakumbushe watu wake kama kuna hukumu siku moja na kuzidi kujitakasa.Ukiona upo na mtumishi wa aina hiyo ujue you're in wrong place.
@RizikiWisongata2 күн бұрын
Amen
@JacksonMbitesСағат бұрын
Manabii wa Uongo wamezidi sana
@MabelKaaya-hl2jeКүн бұрын
Nyakati za HATARI sana
@SmilingFreshwaterLake-tg5qp22 сағат бұрын
Mungu wangu Huyu Dominique ni shetani
@janemhangomhango584120 сағат бұрын
Amelaaniwa kweri huyu mtu jamani 😭😭😭
@benjaminmahega2 күн бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi kweli siku za mwisho zimefika
@user-jl5un4wf3u2 күн бұрын
Hakuna duniani pote etikiongoziwake hamuhubili Mungu badala yake anapiga ramulitu nakuibiawatu. fedhazao.
@gilliansiara332437 минут бұрын
Kwani ujui,unakwenda kwa alie juu ya ulitoka kwake,kiboko Sasa unataka kujua member wake Tena,waarabu wa Pemba,profesa wa manabii eh,bagamoyo, Tanga,Pemba,Sasa ni lamu Mombasa tukimaliza hapo kikichuja sijui ni wapi ????lakini atakuja mwingine huyu anashusha moto,atakuja sina hofu asifiwe Yesu
@nyangibokeКүн бұрын
Akemei dhambi daah
@beautykimetule38882 күн бұрын
Mmm haya makubwa ,,Mungu TUSAIDIE KUOMBA
@paschalcassianoriginal94112 күн бұрын
@@beautykimetule3888 amen
@chantalmariesony29963 сағат бұрын
sio laki rafiki yangu alimuomba million 8 uyo alaniwe kweli
@ngelelanangale67982 күн бұрын
Jamani injili imevamiwa na waganga wa kienyeji na wataalamu wa majini na kujipachika utummishi wa Mungu
@MakaliusNgua-vb5sb2 күн бұрын
MUNGU atusaidie hasa wale walio kwenye kanisa ilo yani kamawamefungwa akili zao naumia sana kuwawaona watu wanavyo songwa songwa na uyu na nabii
@happnesskitumbo57132 күн бұрын
Ninasikia kulia machozi nikiwahurumia hao waumini ni kama kondoo waendao machinjioni kuchunjwa bila kujitetea kwa lolote wala hawajielewi Yesu wasaidie watu hao naamini kati Yao wapo wanaotaka kwenda mbinguni na sharti uwe mtakatifu ingawa kwa maelezo ya huyo mchungaji wa uongo yeye Hana mpango wa kwenda mbinguni kwani habari za utakatifu haziwezi.
@asminmakoha68892 күн бұрын
Niuruma Sana MUNGU apiganie watu wake
@maulidi84792 күн бұрын
Jaamaa anaongea ukweliii mzee wa kiboko ya wachawi 😂😂😂
@martinahlighare64952 күн бұрын
Watatumia maneno ya watumishi walioitwa kwa kweli na roho ili kulaghai na kupotosha kanisa. Wanajisi hao, umbwa mwitu waliojivisha ngozi ya kondoo. Ezekiel 13;7, Mathew 23:28, 23:27. Tujihadhari nao. Mtumishi ubiri kikamilifu na kusema kosa lao usirudi nyuma.
@chrithicksambo228719 сағат бұрын
Wachungaji waliobaki Duniani hapa ni wawili TU Cassian na Mwakipesile
@user-eb3hf1lm9e13 сағат бұрын
Mhuuuu hii ni sokomoko duh shetani lenye mapembe kabsa
@BestBisandaКүн бұрын
wao wanajifanya wanasaidia watu pesa mbona hawatoi huduma bure? Mungu atusaidie maana dunia inakwenda kulemewa
@geitandelwa2992 күн бұрын
Tonight sadaka yy anataka hela wee
@rosemarymwanitega79262 күн бұрын
Damu ya YESU KRISTO ikufunike Mtumishi inasikitisha Sana jamani tusimame kuwaombea watu watoke kwenye makanisa ya udanganyifu
@SmaTV-forlife8 сағат бұрын
Nyakati za ujinga Mungu alijifanya (ALIJIFANYA) hazioni, cool down the Judgment of the Most High God is coming soon...
@nyangibokeКүн бұрын
Huyu kweli nishetani
@ruthhamisi29022 күн бұрын
Sema tupone mtumishi
@user-cr6fc7nt8k2 күн бұрын
Alafu uyo kiboko ya wachawi amejiblichi mwanaume mzima anajiita nabii anapaka mafuta ya kujiblichi kama mwanamke
@user-gm4qi3nn9n9 сағат бұрын
Shida hatusomi vitabu tunataka miiujiza
@personalitiesan98062 күн бұрын
Mh ....mm na mwaka sasa sijaenda church Yan wachungaji siku Hz wanazingua mnooo
@LucyKapinga-fg4dk2 күн бұрын
Omba MUNGU Akuelekeze Usiseme Ivyo Wapo Bado ambao Wanamtumaini MUNGU Vizurii Omba Atakufahamisha