This documentary was created in association with AMDT (AGRICULTURE MARKETS DEVELOPMENT TRUST)
Пікірлер: 39
@FeruziIsa-nc5vo2 ай бұрын
Nyie watu siasa mnaweka mbele sana kuliko elimu halisi kwa mkulima
@user-qq2hl2co2h9 күн бұрын
Naomba namba hili nipate ushari zaidi
@mlionea10 ай бұрын
Mbona mnasema kilo za mafuta! Semeni litres!!!!!!!!
@landiismollel40753 жыл бұрын
Nimekuelewa sana.Be blessed sana
@WelibertPeter3 ай бұрын
Habar mkoa wa shin,yanga mbegu ip inahimili hali za mkoa huo
@josiahkulwa34 Жыл бұрын
Nice project
@rodickajonas94254 жыл бұрын
Nahitaji mbegu hizo za chotara nazipataje kwa hapa dar nahitaji hata kesho jaman
@mwachambigeorge77286 жыл бұрын
Niko na shamba karibu na chemichemi kama mita 1000, 1km. Nataka chimba kisima ndio niweze fanya biashara kilimo ila sehemu kubwa la hilo shamba, 90%, ni mlima. Unaweza nipa ushauri gani mimea naweza zangatia, pumping system na kadhalika
@raikitema7732 Жыл бұрын
Mbegu ya hybrid inafananaje, mtuoneshe
@salehesalim6310 Жыл бұрын
Naweza kuchanganya alizeti na mahindi shamba moja
@shelamsongwe85003 жыл бұрын
Hiyo mbegu inaitwaje
@eyeandisinclair8212 жыл бұрын
Why put the title in English when the narration is all Swahilli ?
Bengu ya choratara inapatikana kila mkoa au ni singida tuuh
@fundi92082 жыл бұрын
Naomba namba simu nahitaji ushauri wa zao la arizet
@loatalothi87846 жыл бұрын
Tunahitaji uhalisia zaidi kwani inagharimu sana
@emanuelhermantv97256 жыл бұрын
MBEGU kilo moja ni kiasi gani?
@anordherman30596 жыл бұрын
hiyo mbegu ipo kote nchini??
@zulfachanga11224 жыл бұрын
Hizo mbegu zinapatikana wapi
@joharhamisi91404 жыл бұрын
Mi napenda kulima kilomo cha alizeti
@loatalothi87846 жыл бұрын
Bado kuna shida hiyo mbegu chotara mnaipigia debe lakini Leo hii kuna watu wanalia kwa sababu wameshawishika na tumeambulia kilio bado kuna kizunguzungu kuhusu mbegu IPI inamafuta mengi
@kilimobiashara93616 жыл бұрын
Eneo gani watu wametumia ikawasumbua? Sisi jukumu letu ni kufikisha taarifa zenye manufaa kwa jamii hatuna maslahi zaidi ya hayo, tumeona mafanikio ya mbegu chotara kote tulipowatembelea wakulima
@loatalothi87846 жыл бұрын
Kiteto Manyara tumelima baada ya habari hizo lakini kila mtu anajuta na kusema bora angelima ile mbegu ambayo siyo chotara,sasa sijui hii mbegu ni ya maeneo mengine tu isipokuwa wakulima wa kiteto
@Migrationdesanimaux23 күн бұрын
Hii@@kilimobiashara9361
@hassanponelaponela2195 жыл бұрын
wapi napata mashine ya kukamua alizet kwadar??
@ramadhangwago56802 жыл бұрын
Kariakoo gerezani stendi ya mwendo kasi .
@yusuphmussa5544 жыл бұрын
Jaman mnatumia dawa gani kuua magugu
@saidabdallah31936 жыл бұрын
well it doesn't make sense, kilo 20 alizeti zilete kilo 30 za mafuta!!?
@kilimobiashara93616 жыл бұрын
umetoa wapi hiyo taarifa, kwa mfano kama itakua kilo 20 basi mafuta yatakua asilimia asilimia 40 ya kilo 20 ambayo ni sawa na kilo 8
@buyambakassaja85376 жыл бұрын
taarifa hiyo katoa kwa huyo mkulima wa Singida, Bw. Lema...yawezekana hana takwimu sahihi
@saidabdallah31936 жыл бұрын
Nmeitoa kwa huyo mkulima anahojiwa, im sure hamkuipitia vizuri hiyo video kabla hamjaiupload au aliyekuwa na jukumu hilo alipuuzia. Ni wazi kabisa mkulima alikosea ama hana taarifa sahihi.
@simionnyengele4282 жыл бұрын
@@saidabdallah3193 mmeshindwa kutofautisha kati ya Lita na kilo,hapo ndiko mnashindwa kuelewana.mkulima amesema kilo 20 zinatoa Lita30 na sio kilo.
Naomba namba simu nahitaji ushauri wa zao la arizet
@mwachambigeorge77286 жыл бұрын
Niko na shamba karibu na chemichemi kama mita 1000, 1km. Nataka chimba kisima ndio niweze fanya biashara kilimo ila sehemu kubwa la hilo shamba, 90%, ni mlima. Unaweza nipa ushauri gani mimea naweza zangatia, pumping system na kadhalika
@kilimobiashara93616 жыл бұрын
Piga namba ya simu iliyo kwenye kipindi utahudumiwa