HYBRID SUNFLOWER SEEDS PERFORMANCE IN TANZANIA

  Рет қаралды 32,117

Kilimo Biashara

Kilimo Biashara

6 жыл бұрын

This documentary was created in association with AMDT (AGRICULTURE MARKETS DEVELOPMENT TRUST)

Пікірлер: 39
@FeruziIsa-nc5vo
@FeruziIsa-nc5vo 2 ай бұрын
Nyie watu siasa mnaweka mbele sana kuliko elimu halisi kwa mkulima
@user-qq2hl2co2h
@user-qq2hl2co2h 9 күн бұрын
Naomba namba hili nipate ushari zaidi
@mlionea
@mlionea 10 ай бұрын
Mbona mnasema kilo za mafuta! Semeni litres!!!!!!!!
@landiismollel4075
@landiismollel4075 3 жыл бұрын
Nimekuelewa sana.Be blessed sana
@WelibertPeter
@WelibertPeter 3 ай бұрын
Habar mkoa wa shin,yanga mbegu ip inahimili hali za mkoa huo
@josiahkulwa34
@josiahkulwa34 Жыл бұрын
Nice project
@rodickajonas9425
@rodickajonas9425 4 жыл бұрын
Nahitaji mbegu hizo za chotara nazipataje kwa hapa dar nahitaji hata kesho jaman
@mwachambigeorge7728
@mwachambigeorge7728 6 жыл бұрын
Niko na shamba karibu na chemichemi kama mita 1000, 1km. Nataka chimba kisima ndio niweze fanya biashara kilimo ila sehemu kubwa la hilo shamba, 90%, ni mlima. Unaweza nipa ushauri gani mimea naweza zangatia, pumping system na kadhalika
@raikitema7732
@raikitema7732 Жыл бұрын
Mbegu ya hybrid inafananaje, mtuoneshe
@salehesalim6310
@salehesalim6310 Жыл бұрын
Naweza kuchanganya alizeti na mahindi shamba moja
@shelamsongwe8500
@shelamsongwe8500 3 жыл бұрын
Hiyo mbegu inaitwaje
@eyeandisinclair821
@eyeandisinclair821 2 жыл бұрын
Why put the title in English when the narration is all Swahilli ?
@julitabulali20
@julitabulali20 2 жыл бұрын
Lema nimekupata nikiwa Mkuranga Pwani. Wasalimie Mtinko
@barakakilomenitv4279
@barakakilomenitv4279 6 жыл бұрын
Bengu ya choratara inapatikana kila mkoa au ni singida tuuh
@fundi9208
@fundi9208 2 жыл бұрын
Naomba namba simu nahitaji ushauri wa zao la arizet
@loatalothi8784
@loatalothi8784 6 жыл бұрын
Tunahitaji uhalisia zaidi kwani inagharimu sana
@emanuelhermantv9725
@emanuelhermantv9725 6 жыл бұрын
MBEGU kilo moja ni kiasi gani?
@anordherman3059
@anordherman3059 6 жыл бұрын
hiyo mbegu ipo kote nchini??
@zulfachanga1122
@zulfachanga1122 4 жыл бұрын
Hizo mbegu zinapatikana wapi
@joharhamisi9140
@joharhamisi9140 4 жыл бұрын
Mi napenda kulima kilomo cha alizeti
@loatalothi8784
@loatalothi8784 6 жыл бұрын
Bado kuna shida hiyo mbegu chotara mnaipigia debe lakini Leo hii kuna watu wanalia kwa sababu wameshawishika na tumeambulia kilio bado kuna kizunguzungu kuhusu mbegu IPI inamafuta mengi
@kilimobiashara9361
@kilimobiashara9361 6 жыл бұрын
Eneo gani watu wametumia ikawasumbua? Sisi jukumu letu ni kufikisha taarifa zenye manufaa kwa jamii hatuna maslahi zaidi ya hayo, tumeona mafanikio ya mbegu chotara kote tulipowatembelea wakulima
@loatalothi8784
@loatalothi8784 6 жыл бұрын
Kiteto Manyara tumelima baada ya habari hizo lakini kila mtu anajuta na kusema bora angelima ile mbegu ambayo siyo chotara,sasa sijui hii mbegu ni ya maeneo mengine tu isipokuwa wakulima wa kiteto
@Migrationdesanimaux
@Migrationdesanimaux 23 күн бұрын
Hii​@@kilimobiashara9361
@hassanponelaponela219
@hassanponelaponela219 5 жыл бұрын
wapi napata mashine ya kukamua alizet kwadar??
@ramadhangwago5680
@ramadhangwago5680 2 жыл бұрын
Kariakoo gerezani stendi ya mwendo kasi .
@yusuphmussa554
@yusuphmussa554 4 жыл бұрын
Jaman mnatumia dawa gani kuua magugu
@saidabdallah3193
@saidabdallah3193 6 жыл бұрын
well it doesn't make sense, kilo 20 alizeti zilete kilo 30 za mafuta!!?
@kilimobiashara9361
@kilimobiashara9361 6 жыл бұрын
umetoa wapi hiyo taarifa, kwa mfano kama itakua kilo 20 basi mafuta yatakua asilimia asilimia 40 ya kilo 20 ambayo ni sawa na kilo 8
@buyambakassaja8537
@buyambakassaja8537 6 жыл бұрын
taarifa hiyo katoa kwa huyo mkulima wa Singida, Bw. Lema...yawezekana hana takwimu sahihi
@saidabdallah3193
@saidabdallah3193 6 жыл бұрын
Nmeitoa kwa huyo mkulima anahojiwa, im sure hamkuipitia vizuri hiyo video kabla hamjaiupload au aliyekuwa na jukumu hilo alipuuzia. Ni wazi kabisa mkulima alikosea ama hana taarifa sahihi.
@simionnyengele428
@simionnyengele428 2 жыл бұрын
@@saidabdallah3193 mmeshindwa kutofautisha kati ya Lita na kilo,hapo ndiko mnashindwa kuelewana.mkulima amesema kilo 20 zinatoa Lita30 na sio kilo.
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele 4 жыл бұрын
WAPI NITAPA ARDHI NILIME ALIZETI TUWASILIANE edwardmkwelele@gmail.com
@fundi9208
@fundi9208 2 жыл бұрын
Naomba namba simu nahitaji ushauri wa zao la arizet
@mwachambigeorge7728
@mwachambigeorge7728 6 жыл бұрын
Niko na shamba karibu na chemichemi kama mita 1000, 1km. Nataka chimba kisima ndio niweze fanya biashara kilimo ila sehemu kubwa la hilo shamba, 90%, ni mlima. Unaweza nipa ushauri gani mimea naweza zangatia, pumping system na kadhalika
@kilimobiashara9361
@kilimobiashara9361 6 жыл бұрын
Piga namba ya simu iliyo kwenye kipindi utahudumiwa
@emanuelhermantv9725
@emanuelhermantv9725 6 жыл бұрын
Mwachambi George, yah inawezakana.
@emanuelhermantv9725
@emanuelhermantv9725 6 жыл бұрын
Mwachambi George, yah inawezakana.
Jakaya Mrisho Kikwete Foundation (JMKF)  - Kijana Leo Episode 012
55:02
Jakaya Mrisho Kikwete Foundation
Рет қаралды 1,6 М.
KILIMO BORA UVUNAJI ALIZETI
26:46
Startvkilimobora
Рет қаралды 9 М.
Happy 4th of July 😂
00:12
Alyssa's Ways
Рет қаралды 70 МЛН
마시멜로우로 체감되는 요즘 물가
00:20
진영민yeongmin
Рет қаралды 35 МЛН
Зачем он туда залез?
00:25
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 3,3 МЛН
Vijana na Kilimo
26:34
Kilimo Biashara
Рет қаралды 4,8 М.
MBEGU ZA MITI
9:06
Kilimo Biashara
Рет қаралды 7 М.
#TBC: KILIMO CHA ALIZETI MKOANI SINGIDA
27:08
TBConline
Рет қаралды 1,1 М.
SIRI YA KUMILIKI KIWANDA KWA MTAJI WA KUANZIA MILIONI SITA
18:20
TanTrade Tanzania
Рет қаралды 25 М.
Tazama alichotendewa Mama huyu na YESU WA EKARISTI
7:26
Tumaini_Tv
Рет қаралды 187 М.
KILIMO CHA ALIZETI (S01 E02)
29:41
Kilimo Biashara
Рет қаралды 40 М.
GADDAFI AWADH - MFUGAJI SAMAKI
10:31
ANSAF - Agricultural Non State Actors Forum
Рет қаралды 81 М.
Happy 4th of July 😂
00:12
Alyssa's Ways
Рет қаралды 70 МЛН