KILIMO CHA ALIZETI (S01 E02)

  Рет қаралды 40,735

Kilimo Biashara

Kilimo Biashara

6 жыл бұрын

Пікірлер: 50
@habibarajabu3537
@habibarajabu3537 5 жыл бұрын
RAJABU LUWONGO Mungu akufanyie wepesi katika shughuli zako za kilimo my Daddy
@loner_wolf
@loner_wolf 4 жыл бұрын
Mama wa BIMA YA MAZAO ni mkenya , kingereza kingi yuko kibiashara sana.... kunautapeli hapa katikati 😂😂😂😂
@anthonykikoli8785
@anthonykikoli8785 2 жыл бұрын
nimeipenda sana kila siku nitaifatilia
@loner_wolf
@loner_wolf 4 жыл бұрын
Hapa naona kunawafanyabiashara ya mbegu na tapeli wa BIMA ya mazao 😂😂😂😂😂 Namm natafuta shamba nakuja huko
@bokimmwamba2322
@bokimmwamba2322 3 жыл бұрын
Brother kwakuwa umepanga kusaidia watu kuna baadhi ya mambo uongeze mfano aina za mbegu nzuri kwa zao huska na ufanisi wake kulingana na hali ya hewa ya maeneo tofauti hatua za kilimo cha zao husika japo mengi ni common but idadi ya mbegu inter raw spacing and intra raw spacing mbolea kwa kila hatua I mean summary yote itasaidia then izo shuhuda zpate nafasi pamoja na mawasiliano ya wataalam wa zao husika ni nzuri but it is great job be blessed brother
@amonzachary2718
@amonzachary2718 2 жыл бұрын
Umetisha boss inaonekana uko na professional kwenye agricultural sector big up
@yusuphmussa554
@yusuphmussa554 4 жыл бұрын
Tatizo hiyo sunflower haijapandwa vizur panda kwa mstar spacing katika mazao in nzuri zaid na inatoa vzur mbigu nzuri ila mnaipanda vibaya......
@nyamahembasarya9858
@nyamahembasarya9858 Жыл бұрын
Navojua mm alizeti ikibeba kubwa utapata kidogo lkn yakiwa ya kawaida unapata zaidi kwa sabu punje zinakuwa nyingi
@alphoncenestorybishirangon1836
@alphoncenestorybishirangon1836 2 жыл бұрын
Safi sana. Ila niombe kwa awamu nyingine jitahidini kupata wakulima wenye elimu ya kutosha ya kanuni bora za kilimo cha Alizeti 🌻. Alizeti huwa haipunguziwi miche, hii ni tafsiri kuwa hajafuata utaalam wa kupanda kwa nafasi na vipimo maalum. Na kama shirika alilolitaja ndo wamemwelekeza kupanda hivyo baada ya wiki 4 aanze kung'oa nyingine basi walikosea na wamempa hasara. Huwezi nunua mbegu bora ukaipanda kwa lengo la baadaye ung'oe miche mingine. Tuwatumie maafisa kilimo waliopo kwenye maeneo yetu.
@theLIFEtheLIGHT123
@theLIFEtheLIGHT123 Жыл бұрын
Samahani, naomba kupata mawasiliano yako niweze kupata ABC za KILIMO CHA ALIZETI. *Stay blessed*
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 2 жыл бұрын
Hiyo ni mbegu gani jamani naomba ukijua najinsi yakuipata
@rinaldaoman7892
@rinaldaoman7892 2 жыл бұрын
Mbona nikila haya mafuta natapika yaani yamenishinda kabisa au yanachakachukiwa vibaya
@monicajoseph4748
@monicajoseph4748 4 жыл бұрын
Naitaji iyo mbegu naipataje
@glovekamuntu2162
@glovekamuntu2162 6 жыл бұрын
Naomba gharama ya mbegu hii kwa kilo. Pia ni vizuri kutoa majibu ya maswali yaliyotolewa kwa wkt,ilikuwasaidia wengine kupata elimu.
@jasamkileo628
@jasamkileo628 3 жыл бұрын
jina la mbegu mtuambie
@yusuphulameck6548
@yusuphulameck6548 3 жыл бұрын
Dodoma mpo sehemu gani
@japhethalfred3569
@japhethalfred3569 4 жыл бұрын
Japheth wa tarime , Mara tunaomb mbegu ili kuzigawa kwawakulima katika kata ya manga
@cheskomsigwa8604
@cheskomsigwa8604 4 жыл бұрын
waelimishaji vipi.mbona nambazenu za sm hamzitoi kwann
@esthertarcian4287
@esthertarcian4287 2 жыл бұрын
Soil test mnafanya
@alfatarimo1466
@alfatarimo1466 3 жыл бұрын
Moshi mko sehem gan
@raginauthor1881
@raginauthor1881 5 жыл бұрын
Dodoma ofisi zipo maeneo gani?
@aswilekibona9861
@aswilekibona9861 2 жыл бұрын
Tabora mbegu zake zinaoatikana wap?
@gracianpanza4069
@gracianpanza4069 3 жыл бұрын
Kilimo cha alizeti kinahitaji mbolea ipi?
@ezekielmbwilo7615
@ezekielmbwilo7615 6 жыл бұрын
Nimekuwa nafuatilia sana vipindi vyenu vinavyo tuelimisha sana vijana, nilikuwa nauliza nitaipstaje mbegu bora ya hybrid ya hysum 33 ya alizeti , hususani sisi tulio mikoani kama mm niliyeko sumbawanga Rukwa.Kama utakuwa na mawasiliano na haowasambazaji wa alizeti tupatie mawasilano yao.
@kilimobiashara9361
@kilimobiashara9361 5 жыл бұрын
Mr Ezekiel tuma ujumbe mfupi +255 713 588 410 utahudumiwa
@kilimobiashara9361
@kilimobiashara9361 5 жыл бұрын
solomon Contact details SDC 0715 751 133 0787 751 133 David Yamagaji Contact details By Trade 0756 850 726
@ezekielmbwilo7615
@ezekielmbwilo7615 6 жыл бұрын
mbegu hizi za alizeti zinapatikana wapi
@jorgejorge5210
@jorgejorge5210 6 жыл бұрын
gunia la alizeti litakua linauzwa bei gani pamoja na mashudu ili ukitoa gharama zako uweze kubakiwa na faida ya shs 900,000
@kilimobiashara9361
@kilimobiashara9361 6 жыл бұрын
Kilo ni TSh. 700 nakuendelea, inategemea na eneo, hii ni bei ya msimu huu 2018
@jorgejorge5210
@jorgejorge5210 6 жыл бұрын
sina hakika na hesabu zenu maana kama kilo ni shs 700 maana yake gunia la kilo 100 = 70000.utahitajika uvune gunia wastani wa gunia 21 kwenye heka moja ili utoe gharama na upate faida ya shs 900,000.wakati mmesema mavuno ni gunia 12 mpaka 15..muda mwingine tuambiane ukweli kama kilimo kiko kwenye damu utalima tu bila kujali ni faida kiasi gani utapata kuliko kuongeza faida za uwongo kuvutia wakulima.
@makoye8388
@makoye8388 2 жыл бұрын
Kilimo Cha Utube ni tofauti kabisa na uhalisia.
@hamoudsaid4865
@hamoudsaid4865 5 жыл бұрын
NAOMBA NIFAHAMU HEKA 1 YA ALIZETI NDEGE WAKISHAMBULIA SANA UNAWEZA KUTOA GUNIA?
@deusikamage7404
@deusikamage7404 2 жыл бұрын
Kilimo biashara program
@deusikamage7404
@deusikamage7404 2 жыл бұрын
Kilimo biasha ra program
@julianasabrere6198
@julianasabrere6198 2 жыл бұрын
Kwenye gunia moja la alizeti unatoa mafuta lita ngapi?
@nyamahembasarya9858
@nyamahembasarya9858 Жыл бұрын
Ni lita 20 hd 23 kwa uzoefu wangu
@athanielkabadi1014
@athanielkabadi1014 4 жыл бұрын
Poa
@racheldaniford3432
@racheldaniford3432 6 жыл бұрын
nahitaji hizo mbegu za alizeti chotara ntapataje na bei zenu pia nataka kujua
@kilimobiashara9361
@kilimobiashara9361 5 жыл бұрын
solomon Contact details SDC 0715 751 133 0787 751 133 David Yamagaji Contact details By Trade 0756 850 726
@sarahkanon5391
@sarahkanon5391 3 жыл бұрын
@@kilimobiashara9361 ok
@glovekamuntu2162
@glovekamuntu2162 6 жыл бұрын
Naomba gharama ya mbegu hii kwa kilo. Pia ni vizuri kutoa majibu ya maswali yaliyotolewa kwa wkt,ilikuwasaidia wengine kupata elimu.
@glovekamuntu2162
@glovekamuntu2162 6 жыл бұрын
Naomba gharama ya mbegu hii kwa kilo. Pia ni vizuri kutoa majibu ya maswali yaliyotolewa kwa wkt,ilikuwasaidia wengine kupata elimu.
@kilimobiashara9361
@kilimobiashara9361 5 жыл бұрын
ushauri wako unazingatiwa
@samsonkitalala4287
@samsonkitalala4287 5 жыл бұрын
Elfu 35
@sarahkanon5391
@sarahkanon5391 3 жыл бұрын
@@samsonkitalala4287 na huku upo na me nipo tuitupe nanjuva hii
@glovekamuntu2162
@glovekamuntu2162 6 жыл бұрын
Naomba gharama ya mbegu hii kwa kilo. Pia ni vizuri kutoa majibu ya maswali yaliyotolewa kwa wkt,ilikuwasaidia wengine kupata elimu.
@kilimobiashara9361
@kilimobiashara9361 5 жыл бұрын
tuma ujumbe mfupi kwenda kwenye namba iliyo kwenye video utajibiwa
@kilimobiashara9361
@kilimobiashara9361 5 жыл бұрын
wasilina na hawa watu kupata taarifa na upatikanaji solomon Contact details SDC 0715 751 133 0787 751 133 David Yamagaji Contact details By Trade 0756 850 726
@sarahkanon5391
@sarahkanon5391 3 жыл бұрын
@@kilimobiashara9361 ok
@gaudancetumaini118
@gaudancetumaini118 2 жыл бұрын
Tanga ofsini zipo maeneo gan
KILIMO  CHA MPUNGA (SHADIDI)
28:35
Kilimo Biashara
Рет қаралды 38 М.
Alex hid in the closet #shorts
00:14
Mihdens
Рет қаралды 13 МЛН
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 184 МЛН
Vijana na Kilimo
26:34
Kilimo Biashara
Рет қаралды 4,8 М.
HYBRID SUNFLOWER SEEDS PERFORMANCE IN TANZANIA
29:48
Kilimo Biashara
Рет қаралды 32 М.
Tanzania kuwekeza kwenye zao la Alizeti
1:10
BBC News Swahili
Рет қаралды 4,8 М.
KILIMO CHA MITI "MIKARATUSI"
26:52
Kilimo Biashara
Рет қаралды 20 М.
SHAMBANI TIKITI MAJI NA MRISHO MPOTO
28:51
TBConline
Рет қаралды 34 М.
RICE POST HARVEST MANAGEMENT FOR COMPETITIVENESS
28:55
Kilimo Biashara
Рет қаралды 8 М.
UFUGAJI WA SAMAKI NA MBEGU ZAKE
28:54
Kilimo Biashara
Рет қаралды 69 М.