👏👏👏💪💪🌎🌎 hii sasa ndio nyimbo bora ya maombolezo yakumwaga baba yetu Magufuri. Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu kwa umoja wenu mlio ufanya na kutuletea the best song at the write time. God bless you all the time.
@hellenminja37343 жыл бұрын
Wimbo bora kbs wa kumlilia baba yetu Mungu awabariki sana😭😭😭😭
@agustinoezekiel3673 жыл бұрын
Hakika
@dorcahogeto15443 жыл бұрын
Napenda jinsi hizi choir tatu zimekuja pamoja kuimba wimbo wa faraja.... mungu atupe faraja sote
@mariamjaphet5553 жыл бұрын
Mungu azidi kutuunganisha baada ya pigo hili nimefarijika na umoja huu katika kuomboleza .Mungu ampumzishe mahali pema shujaa wetu JOHN POMBE MAGUFULI
@Mirampaul3 жыл бұрын
😭😭😭this is true love surely ❤ Tanzania you really loved your president ❤ may God give you comfort and wipe your tears.. from kenya 🇰🇪 we are mourning together.
@hilgathjoshua88043 жыл бұрын
Mungu yupo tunashukuru kwa muda tulioishi nae rais wetu 🇹🇿🇹🇿🇹🇿💔
@ipajam93 жыл бұрын
Umenena Vema Hilgath Joshua. Ashukuriwe Mungu kwa muda aliotupa tukawa naye.
@Wakio2313 жыл бұрын
Naomba Mungu faraja kwa taifa Tanzania, Tanzania is blessed in Jesus Name no weapon formed against Tanzania shall prosper. The devil is a liar, wipe their tears and heal their hearts God. Much love from Kenya 🇰🇪
@sylviaoum29433 жыл бұрын
Amen Amen..be blessed
@ruthmmambwe52443 жыл бұрын
Rest in peace mzee Magufuli.. Zambia mourns with you 🇿🇲🤝🇹🇿
@ipajam93 жыл бұрын
Thank you Ruth.
@geraldlaurent74653 жыл бұрын
Tanks sister
@shemlaattorneys54363 жыл бұрын
hii nyimbo inanikumbusha kipindi cha Nyerere, Eee Mungu mlaze Raisi wetu Magufuli
@berithaandersonn22343 жыл бұрын
Mmefanya vizuri sana, I remember the Nyerere version of this song
@elizabethkisamba79613 жыл бұрын
Nenda rais wetu kapumzike. Pole mama Janeth na familia na Watanzania wote. Asanteni waimbaji. God bless you.
@giftlwila99673 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭 Amina Asante kwa UMOJA HUU.
@itmaster72793 жыл бұрын
Ni vizuri sana kuwa na umoja, ila usiishie katika nyimbo za maombolezo tu. Mnaweza tengeneza wimbo ambao mkiungana, mtafanya vizuri na wimbo huo ukawatoa sana. Na huo ndio umoja ambao kanisa, kwaya na wakristo tunatakiwa kuwa nao. Mfano mzuri tunaweza ona kundi la Joyous Cellebration na Solly Mahlangu wanavyoshirikiana
@jorophecharles97333 жыл бұрын
Reminds me of Nyerere' s death when the song with this rhythm was the first to be aired by TBC.Very sad for this untimely death of our Genius President.There must be somewhere we as Tanzanians have done wrong to deserve this unbearable punishment.Let us turn and repent to our GOD seeking his mercy and start afresh.
@mwana45993 жыл бұрын
I can't say more.
@grancebeuty24433 жыл бұрын
Da oliver unanibariki sana
@HumanBeing-pj4hm3 жыл бұрын
To Him who sits on the throne and unto the King; be all the honor and glory now and forever more amen.
@mecksonmgeyekwa69873 жыл бұрын
Media zimeshindwa kuupiga wimbo mzuri huu kwann?
@jenifervenis68783 жыл бұрын
Ahsante Yesu kwa maisha ya baba yetu
@orenisrael8233 жыл бұрын
💔💔💔💔💔💔🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿Asanteni saana kwa ushirikiano wenu
@neemaadrian42693 жыл бұрын
Tumelia tunalia na tunaendelea kulia pumzika john
@levinamachui92933 жыл бұрын
Mungu atusaidie watanzania kwa kipindi hiki kigumu kwetu😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@tajaelmichael2273 жыл бұрын
Hakika kilio chetu sio bure Mungu ndio tegemeo letu
@petersanagaya29163 жыл бұрын
Safi sana kwa umoja wenu huu Mungu atakuwa pamoja nasi Tanzania
@yeremiarichard47553 жыл бұрын
RIP Baba vita umevipiga hadi ulimwengu umetingisika kweli Mungu awe faraja kwa families yako na wote wakupendao
@gracy05ful3 жыл бұрын
Now this is a perfect tribute... so beautifully sang💔
@rahabumshani86713 жыл бұрын
Kifo hichi jmn bac tuu kama yupo baba yetu 😭😭😭 but any way R.I.P our president 💔😭
@jerrybuya3694 Жыл бұрын
Faraja nzuri MBARIKIWE
@charlesgasper22433 жыл бұрын
Heri wema hawangalipo maumivu yawaTanzania hayapimiki Ila tunamatumaini Mungu ni waupendo
@kalobeflix3 жыл бұрын
Wimbo mzuri saaana wanikumbusha 1999 wakati wa msiba wa
@agapesaligawesasaligawesa27813 жыл бұрын
Wawoooo . So speechless. Mungu awabariki sana
@yasintamakongoro94583 жыл бұрын
Mmenikumbusha msiba wa babu yangu baba wataifa
@ruisetom11503 жыл бұрын
Mungu abadirishe na Uganda na Rwanda Kua n Risi kama Magufuri wende baba Africa yote inaria kweri
@yasintamakongoro59573 жыл бұрын
kwaheri rais wangu
@joshualazaro52753 жыл бұрын
Mbarikiwe sana kwa umoja huu. Ni kweli tumepoteza Jembe ila Mungu anabaki kuwa Mungu...
@florenceakola67213 жыл бұрын
mimi Niko Kenya huu Wimbo Ninapo huzikiliza na tiririka machozi nyingi sana muparikiwe watumishi wa Mungu awape nguvu mlipoteza shujaa mimi nilimpenda sana magufuli
@florenceakola67213 жыл бұрын
ninausikiliza wimbo huu kwanzia asubui mpaka jioni
@fransavinhonacmela8273 жыл бұрын
Umependeza Sana huu Wimbo kwenye Huu #Msiba wa Baba wa #Taifa umetupa faraja sana Asanteni kwa #Corable matata
@vicentrevocatus93533 жыл бұрын
Pengo kubwa tutamkumbuka kamwe,
@carolinenanjakho92803 жыл бұрын
Wimbo mzuri kabisa wa kumuaga kiongozi wetu mungu ailaze roho yake pema.
@elveenwealth60813 жыл бұрын
Poleni sana Wantanzania.Bwana awafariji. Africa Tumempoteza Kiongozi Shupavu sana.
@candidadilemile58823 жыл бұрын
Mwanga wa milele amwangazie Astarehe kwa Amani Roho ya Magufuli na roho za marehemu wengine wapate rehema kwa Mungu wapumzike kwa Amani AMINA.
@papangoda2293 жыл бұрын
Yua best song god bless
@jefredyfrednandy58803 жыл бұрын
Kwa umoja huu mungu atakuwaa pamoja nas
@immamburu3 жыл бұрын
Shalom Mungu upo🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@lilianwilfred32713 жыл бұрын
Mungu awabiriki watumishi
@busaraclemence44472 жыл бұрын
Huu wimbo bora aliimbiwa JK nyerere na Sasa akaimbiwa JPM... THE BEST EVER
@antonyndinga88902 жыл бұрын
nitapata wpi nakala ya wimbo Kama huu wa Mwl Nyerere
@nelsonmariki19813 жыл бұрын
Mbarikiwe
@onelife78503 жыл бұрын
Chang’ombe ninalia nanyi. Nimehubiri kwenu miaka ya nyuma. Naona mumeendelea sana
@danielmboya86333 жыл бұрын
Mimi nashukuru kwa kunikumbusha nikiwa darasa la tatu mwaka 1999 nyimbo hiii ili tumika kwenye maombolezo nyerere mungu awabariki sana
@ruisetom11503 жыл бұрын
Uziri na utamu wamutu Mungu amupokee
@koolNgulia3 жыл бұрын
So touching! so Befitting! so beautiful. May H.E Magufuli rest in power
@vicentkebula66703 жыл бұрын
MBARIKIWE SANA. NYIMBO ZIMEIMBWA ILA HII IMEKUWA NZURI KULIKO." RAHA YA MILELE UMPE EE BWANA NA MWANGA WA MILELE UMWANGAZIE, MPENDWA WETU HAYATI JPM APUMZIKE KWA AMANI. AMINA"
@deejosephkingi36763 жыл бұрын
Binadamu mavumbi,na mavumbini tutarudi.R.i.p our dear president Hon.JPM
@suzanfelix80653 жыл бұрын
Tunalia ,tunalia tunaliaaaa😭😭😭😭😩😩Tanzania katutoka rais magufuri
@ednamadebele2143 жыл бұрын
R.I.p my prs
@benardwanjia34063 жыл бұрын
You pple of Tanzania truly loved your president,may God comfort you.Aisee nimependezwa na upendo wenu
@augustuss45033 жыл бұрын
Thank you for the love and support you guys have shown us, God bless Africa🙏🏾
@apocalypse199amenjesus-chr23 жыл бұрын
RIP ! Jesus Christ is Lord.
@lilianodhiambo36943 жыл бұрын
😭😭😭😭💔💔💔💔 lala salama..it is well ..God is above all..it shall be well with people of Tanzania and African at large ...together we are mourning a real son of Africa a true leader..rest in power jpm💪💪💪
@atanasmkondya59523 жыл бұрын
Mungu atujalie nguvu katika kipindi hiki kigumu
@josephkaranja5774 Жыл бұрын
Powerful
@jmwaka93162 жыл бұрын
Je mnaweza ku upload na ile Kama hii ya Julius nyerere? Nilipenda sana. Nimekuwa nikisearch kwa muda mrefu miaka na miaka siipati ile ya Julias nyerere kwa sauti hii.
@mcndimbotv85393 жыл бұрын
Asanteni kwa kazi nzuri as always. Tumepoteza jembe
@EmmyJeruto-o4z10 ай бұрын
Continue resting our hero!!!😢😢
@johnmanisi84273 жыл бұрын
Mungu azidi kutufariji
@carolinejohn92013 жыл бұрын
My his soul Rest In Peace our legendary 💔
@monicaboay22563 жыл бұрын
The comb🔥🔥🔥
@yonasshechonge45493 жыл бұрын
Mungu ibariki 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@macknnko66173 жыл бұрын
Mungu awabariki kwa utumishi wenu
@josephinegwambasa17813 жыл бұрын
😔 bado naona kama ni ndoto
@elinihakigodfrey6653 жыл бұрын
R.I.P President
@violetkirumbi26903 жыл бұрын
My best gospel singers! asanteni sana.
@RandB_Channel3 жыл бұрын
Very sad 😥😞😭😭😭😭😭
@atufungo35853 жыл бұрын
Mungu awabarikii mnooo
@josephatmualuko96863 жыл бұрын
Rest in peace rais Magufuli...
@tinnashemetili85963 жыл бұрын
R.I.P
@silviangwego36213 жыл бұрын
😭😭😭😭
@kevintheonest28113 жыл бұрын
💔💔💔💔
@nurumwangoka74243 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭
@ireneshemhina63383 жыл бұрын
😭😭😭💔💔🙏
@nurumwangoka74243 жыл бұрын
😭😭😭😭🙆🙆🙆🙆🙆
@WAKYELA3 жыл бұрын
R I P
@kedricksiame61673 жыл бұрын
Nimbo zuli
@kalobeflix3 жыл бұрын
Wimbo mzuri saaana wanikumbusha 1999 wakati wa msiba wa