Tamaaa mkataa pazuri Simba life nzuri unataka vyatamaa
@athumaninasoroathumaninasoro2 ай бұрын
Simba ❤❤❤❤❤❤❤
@KwellyRyoba-xp6yr2 ай бұрын
Jamani tuelewe nchi ya Tanzania bado hijafahamika kbs kwamba kuna mpira unachezwa.Kuna nchi na baadhi ya watu.weupe hawaamini watanzania wanajua kucheza mpira.Huyo Lawi ametoka timu ya coastal ambayo hata tz ni mashaka sasa iweje akaeleweka huko Ubelgiji.Hao wamemharibia lawi wamrudishe Coast acheze shirikisho japo hiyo round moja apate uzoefu na umri ni mdogo one time mambo yatakuwa yes attendance kuko ulaya.
@CikeTanzania2 ай бұрын
Fundisho hilo Simba mleteni fasta Mpanzu.
@mosesbukwimba2 ай бұрын
bora elia mpanzu kuliko lawi 7:56 8:01 8:03 8:03 8:03 8:05 8:05
@gracemtango2 ай бұрын
Hahahaha simba mungu anatutetea sana
@salimmalaka2562 ай бұрын
SIMBA BEBA WOTE HAO ❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ UBAYA UBWELA UBWELA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Da .ilaa mbona wanatuchukuliaa POA.POA wa african footballer
@AnnoyedDove-oo3kk2 ай бұрын
Alikuwa mr kulakula😂😂
@anithawidambe75432 ай бұрын
NGOMA NI BORA SANA SIMBA MSIMWACHE. NA KOCHA USIWATENGE WACHEZA UTAUA VIPAJI VYA WACHEZAJI JARIBU KUWACHEZESHA WOTE. ILI WASIKATE TAMAA.
@gibrilmongi56462 ай бұрын
Simba waachane nafredy wamchukue mpanzu
@ErickIsrael-f2u2 ай бұрын
Lazima waludi Simba
@SirajiRashidy2 ай бұрын
Duuh 😊😅😮
@MchungajiNzelani2 ай бұрын
Adebayo Aliiringia simba sasa atacheza singida mambo haya
@madukaj.j.69992 ай бұрын
Kazi aondoke aje Lawi
@NyasanaTv-ol4ix2 ай бұрын
Hili liwe fundisho kwa wengine
@AlfaniMichael2 ай бұрын
Kabisaa tamaa zinawaponza wanawafelisha vijana ona sasa
@IlhamKhalid-mt3jp2 ай бұрын
Fct❤❤❤❤
@DanielChaula2 ай бұрын
Ilifaa abaki tu kama mchezaji wa simba then akafanye tu majalibio basi
@CareenTemba2 ай бұрын
Usitukane wakunga angali uzazi ungalipo michezo ni mzunguko kama neno MTAKUJA
@Eliahsingo-e8u2 ай бұрын
Halaka mpanzu na law Acha fredy na ngoma apo
@anithawidambe75432 ай бұрын
HIZO NI TAMAA ZA VIONGOZI NA MCHEZAJI. WACHEZAJI MSIWE MNADANGANYWA. KUNA WATU WAMEKAA KUHARIBU WACHEZAJI.
@JohnNyarara2 ай бұрын
Kwenye mpira hakuna hakuna uchawi, wanaosema kwenye mpira Kuna uchawi ni mambo yaliyopitwa na wakati
@MarthaBura-or8fe2 ай бұрын
Alishidwa kibu itakuwa yeye
@SamwelRashid2 ай бұрын
Law Tamaa zimemponza mjinga kweli akalime
@EMANUELNYOLOBIMAKANYANGA2 ай бұрын
Mwacheni akome kabisa zile ni tamaa za mzee fisi
@IlhamKhalid-mt3jp2 ай бұрын
💯 ❤❤❤❤❤❤
@salimmalaka2562 ай бұрын
VP MMEGEUKA MAHAKIMU???
@fetychina39692 ай бұрын
😅😅😂
@NyasanaTv-ol4ix2 ай бұрын
Ngoja akome
@salimmalaka2562 ай бұрын
HAKUNA KUKOMOWANA HAO VIJANA WADOGO TIMU INAYOWEZA IWACHUKUWE
@kiboshokiboshomungumkubwa77892 ай бұрын
Huyu sio mpanzu ni panzi
@Cristiano.UR1232 ай бұрын
Lawi na Elie MPANZU hatuwataki 😂
@KwellyRyoba-xp6yr2 ай бұрын
@user-br7lh1yq5m Kwa kweli hata mm sioni haja ya kuwaleta wawaache watange na njia waendelee zao huko.Hao mawakala wao ndio walochangia wachezaji wote wailing kuikacha simba ,mpanzu alikwenda kutimiza ndoto zake na Lawi tamaa za wakala .wawaache watajifunza wkt mwingine watakapo pata timu zingine.
@salimmalaka2562 ай бұрын
KAMA WAZURI KWA NINI MUWAKOMOWA NA KUWEKA VISASI??? AU NYIE MATOPOLO MNAINGILIA MAMBO YA KIIVURUGA SIMBA???
@ekimnkande28732 ай бұрын
Hivi vitu vina taratibu kanuni na sheria vinapotolewa na watu wanaoingiza Mia.mbili mfukoni ni shida sijui lakini watu tunajua kesi ya simba na costal na TFF sasa inapotolewa na watu baking sijui impact itakuwa wapi
@Cristiano.UR1232 ай бұрын
KIMENUKA 😂😂
@salimmalaka2562 ай бұрын
WACHA UTOPOLO BANAA
@YohanaJumanne-v3v2 ай бұрын
Rit Simba wange mpata Elie mpanzu ilikua goood Mo dewji fanya kweri Gsm anakuonea wivu sakata la Lameck Lawi ni chano ni Gsm kawekeza Costal sasa msimu huu akae tu atulie bila team kihelehele cha mchezaji kwani angegima kama Yusuph Kagoma na Awesu ange baki Simba tu uji kaukologa sasa aunyweeee
@RoseMuniss-y5q2 ай бұрын
Awesu kasharud kmc😂😂😂
@kassioothemiracle16882 ай бұрын
@@RoseMuniss-y5qnoma 😂😂😂😂
@MLEGULA2 ай бұрын
Anakuja Yanga huyo
@LinusKyando2 ай бұрын
LAWI SI ANARUDI COASTAL,MPANZU ANARUDI VITA
@HajeebasJr2 ай бұрын
Mpanuzu sio mchezaji wa vita kwan kwasasa yukohuru hata yanga munaweza kumchukua