Kwass kinachoendlea kusema kweli lisu Yuko sahihi kabisa nchi yetu inachewa sana
@DUBLE-LAFF23 сағат бұрын
Minaamini tumpe kuraaa❤❤ lisu nch itabadilik
@GeraldMakalala-z2c4 күн бұрын
Lisu usizimungumzie MAGUFURI kabisa Magufuri alikuwa levo nyingine
@malugukushaha67645 күн бұрын
Lala salama mzalendo JPM 😢, the hero and true son of Africa.
@leymanleyman74264 сағат бұрын
Huyu si ndie alikuwa akimponda magufuli saa hii amegeuka acha ujinga ww.
@StellaKaluwa5 күн бұрын
🎉Magufuli Amekufa lakini lakini bado ANAISHI kwenye MIOYO ya WATANZANIA kama ulikua hujui
@GambasonLuselegasi4 күн бұрын
Sema na moyo wako
@brigethsauzand39265 күн бұрын
Usipende sana kumsema Magufuli mwenyekiti utaharibu hata kama unahisi alikutendea mabaya. Magufuli anapendwa na kukumbukwa sana wananchi wanaweza wasikuelewe
@DenisHassan-b5x5 күн бұрын
Usipomuelewa ww tutamuelew.sisi
@MashakaMagesa5 күн бұрын
Kweli kabisa alifanya makubwa JPM
@EmmanuelUsele-vf2fx5 күн бұрын
mimi sipend amguse magu
@witneskilinda50345 күн бұрын
Magufuli hakuwa Mungu! alikuwa mwanadamu kama Mimi na wewe
@IbrahimMwakasembe-mu5fv5 күн бұрын
Mimi sikumuelewa Magufuri
@w40584 күн бұрын
Wewe kelele Magufuli muuwaji wa kila kitu mshenzi mmoja hasidi mkubwa dhalim muuwaji alopeleka majeshi Zanzibar bora MMungu alivyo sikia dua zetu
MATENDO 12:21--23 21.Basi siku Moja iliyoazimiwa, Herode akajivika mavazi ya kifalme, akaketi katika kiti cha enzi, akatoa hotuba mbele yao. 22. Watu wakapiga kelele, wakisema, Ni sauti ya Mungu, Si sauti ya mwanadamu. 23. Mara Malaika wa Bwana akampiga, Kwa sababu hakumpa Mungu Utukufu, Akaliwa na chango, akatokwa na roho.
@RwegoshoraPatt-os2ik4 күн бұрын
Kweli umejifunga kibwebwe
@KangaMaluguru5 күн бұрын
Tunakupenda sana ila unapomsema vibaya MAGUFULI unapoteza 40% ya kura zako.Kumbuka Magu ni kipenzi cha watanzania wengi.Nakushauri epuka kujitia doa kwa kumsema vibaya Magu.Hata kama ni mbaya kwako jifanye unasapoti sera yake.
@johnsosy31284 күн бұрын
Au anyamaze kabisa asimuongelee
@kefakaduma27583 сағат бұрын
Inabidi na sisi watu wa bala tukachukue urais zanzibar tuuze bandari zao
@rehemashabhay89465 күн бұрын
List ukitaka watu wakuelewe wacha kumsema Mugufuli...
Hawezi kuacha kumzungumzia kwasababu nisehemu ya historia yake
@NeemaSimion-x4z3 күн бұрын
Toa sela hayo tunayajua mheshimiwa usilete vita maana hiyo sio sera na huna cha kuzuia akitaka watatoka tuu. Ila mama anajali utuu.pia pkpk ni zetu za hela yetu leta selaaa.
@tumainilyimo3 күн бұрын
Hela zako na nani? Au na wewe mwizi
@mckobatz586114 сағат бұрын
Anko Lisu wakati unataka kusema unachoamini kuwa ni ukweli na sio kuweka chembe ya unafiki kwa kuwa maybe we sio miongoni mwao kumbuka walicholiswa watanzania na waafrika wengi kupitia dini na elimu kimeshaondoa asili ya mwafrika hivyo better ujizoeshe kuzungumza katika lugha yao wapo watu wanaipenda chadema na wanakupenda wewe ila wanaamini ni dhambi kuzungumza madhaifu ya marehemu ambaye ni mtu kama wewe katika madhaifu yake anayo mazuri yake as long as ameshapita kwenye hii stage ya maisha muache tu apumzike stick to the solutions watu wanataka majibu na mipango nini utafanya kuendesha nchi kupitia rasilimali ambazo wapo mafisadi wachache wananufaika nazo don't talk about the dead
@YusuphIddy-h2d3 күн бұрын
Lisu kwenyekamoenizako magufuli usimzungumzie tunakupenda lakini ukimsema marehemu utakua unakosea we pambana na walio hai
@ZaituniNyanje22 сағат бұрын
Lissu wewe ni mtu poa sana lakini mbona mdomo wako unaaza kunikosea usi mtaje kabisa baba magufuli please 🙏
@kashangakuroka99728 минут бұрын
Kwani asimteje yye alikua MUNGU
@kashangakuroka99728 минут бұрын
Mbona Nyerere anatajwa
@rosetreffert41795 күн бұрын
Lisu unakosea sana unapomtaja Magufuli sema yoote ila Magufuli,no....pambana na hali yako ya sasa hivi unatakiwa base sana kwenye sera zako za kutafuta uongozi
@danielbachuta1574 күн бұрын
Kwani magufuli alikuwa Mungu?
@DottoRamadhan-f9x5 күн бұрын
Sikia bosi lisu tunakuamini ila ushauli magufili alikuwa bonge la laisi nakuomba ukitaka kutikisa tanzania acha kumtaja aliekufa magufuli hayupo tena ogea misingi ya nchi hata mmi nipo pamoja nawwe
@AlyAbass-g8o5 күн бұрын
Wewe mnafki magufuli ulimponda weee Leo unamfia mama piga Kazi lisu aka lime aljzet huko ikungi hana kazi za kufanya
@kudratabuu11035 күн бұрын
Mimi na amiini mungu humpa amtakae wew endelea kusema uongo aikusaidiii kabsa
@KareemMkobe5 күн бұрын
Wanakukanyaga nn dada bandari si zimeuzwa kwer
@SamMtaresi4 күн бұрын
Kwako ww n uongo kwasababu umeajiriwa.... ✌️✌️✌️ Ukikua utaacha
@EdwinEdward-ze2eq4 күн бұрын
Kwakweli kiongozi anatakiwa awe na upendo kwa nchi na watu wake
@ErickErick-rx4fxКүн бұрын
Aki yamungu samiya atutuuza adi ssi 😢😢😢
@JuniorNdaba-d1mСағат бұрын
Wewe ndiye mkombozi wanchi hii
@CumaEmedi4 күн бұрын
Lete sera Archana kuongea mambo ya mtu alie Kufa dini yetu ataki kumuongelea marehemu wee Sema ukichukua nchi machoko wataongezeka mpaka maofisini😊
@NeemaMkwemba-ws9du5 күн бұрын
Wewe ckiliza alafu chagua pumba na Mchele,,akili kichwani mwako, Kama yanamuhusu sawa Kama unaona anadanganya ni wewe tu, utajua mwenyewe,
@JoshuaMwelinde2 күн бұрын
Tunataka uwe rais wetu wa Tanzania na katiba ibadilishwe kabsa ila sijui ukiwa rais utafanyafanyaje kurudisha bandali na kilicho kuwa chetu kudi mikononi mwetu mbona tumekuwa watumwa kupitia wageni wainje ya nchi yetu wazawa mtuko wapi??????????
@w40584 күн бұрын
Hilo Magufuli ndie aliyeshiriki kumpiga risasi Lissu nyie wapumbavu wakubwa wote yeye na huyo Samia hawana tafauti
@mwambakibucheche11193 күн бұрын
Na bado wapangaji tunalipa kodi ya jengo. Alaf wanajiita miungu watu. Nikiburi cha uzima tu.
@MussaSuleiman-ui9fy4 күн бұрын
Lissu ongea sera zako kama huna hoja kaaa kimya sera zako hazijulikani nini utawafanyia watanzania ? Ushoga umetangaza hadharani kuwa wewe unapenda kufru hii unataka nchi hii kuipeleka huko
@salvationagano30813 сағат бұрын
Lisu oyee
@chiefndatu18954 күн бұрын
Saut za watu zinaharibu ni utoto wazimiwe maiki!!!
@VibeScott5 күн бұрын
Sisi kama wazalendo tunajua uchungu wa nchi hi ila machawa wa serikali ndiyo ivyo
@Wami-Sababisho4 күн бұрын
Lisu akirudia maneno ya MAGUFULI ananikera sana,yeye ndio wa kwanza kumpinga leo maneno yake yanakuwa yakitolea mfano.
@johnsosy31284 күн бұрын
Achanana Magufuli anapendwa mmno na hauta faidika na chochote kumsema vibaya zaidi itakupa hasaratu. Mseme kwa mazuri watu wanaompenda watakuja kwako utapata uungwaji mkono wa ajabu utashangaa. Mabaya yake achananayo hayakusaidii kisiasa. Kwani Magu mwenyewe hayupo
@EdwardMasalu-fk5se6 күн бұрын
Sawa kabisa,tunakupata,
@greysonmatembo28026 күн бұрын
Jani uyu mwenyekiti anawajaza sumu wananchi😂😂😂😂😅 nabidi apimwe akili😅😅
@Danielkashatila20246 күн бұрын
Hakuna uongo hapo
@JosephJackson-f1s5 күн бұрын
We ndo huna akili endelea kusema maisha magumu mapimbi ambao hawana akili
@JosephJackson-f1s5 күн бұрын
We ndo huna akili huyu mama kila cku yuko kwenye ndege afu inaendelea kusema maisha magumu
@DenisHassan-b5x5 күн бұрын
Hakuna uongo hapo nahc ww hauna uzalendo ila una yako binafc
@MashakaMagesa5 күн бұрын
Kwani pikipiki hauzioni
@ShabaniShabaniTv-dp5xq3 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤
@BahatiHilary2 күн бұрын
Mbona hoja zako ni kumsema Rais wetu tu huna sera nyingine.
@Abihudi-e4c2 сағат бұрын
😢😢😢😢
@MashakaMagesa5 күн бұрын
Ela za kununua pikipiki ni bora wangenunua madawa kwenye Zahanati na vituo vya afya wananchi wanaangaika madawa hakuna.
@w40584 күн бұрын
Mie mpenzi wa wengi kwasababu anasema kweli time imefika wakati tuachaneni ubinafsi tuungane na Allaah atusaidie sote kuwaondoa CCM
@enockshombe63114 күн бұрын
Watanzania tunaamini uongo kuliko ukweli maana tunaimani ya kindoa mapenzi yakiisha yanabaki mazoea ccm mapenzi na wananchi yalisha Keisha yalisha b,ki mazoea hata uongre vipi hawats kuelewa Hao , sawa na mwanamke nuolewa anateswa kuondoka anasema watoto wangu watabaki na nani wakati maisha yapo mikononi mwa Mungu SI kwa binadamu
@davidwatson68214 күн бұрын
Duuh, mheshimiwa hata kama unamchukia Magufuli kiasi gani, siyo kumsema vibaya kiasi hicho, we tangaza tuu sera zako watu watakuelewa
@achawanunetv11676 күн бұрын
NI KWELI KABISA MTU AKIWA RAIS WA TAIFA LA TANZANIA 🇹🇿 HUWA WANAUONA KAMA MUNGU WAO. YANI AKUNA NCHI INAYO JAA UJINGA KAMA TANZANIA KWA KAMBO YA KUWAPAMBA VIONGOZI WAO, YANI MTU AKILA AKASHIBA UTAMSIKIA AKISEMA " ASANTE RAIS SAMIA LEO NIMESHIBA" YANI UJINGA MWINGI SANA
@JosephMwaitete6 күн бұрын
HATA MUDA HUU WAPO WANAOMUONA HUYU LISU KAMA MUNGU, KILA MTU ANA MTAZAMO WAKE USILAZIMISHE ATAKACHO MTU
@Danielkashatila20246 күн бұрын
Kwa kweli Tanzania tumepotoka sana
@adrophwilliam32255 күн бұрын
Wana ccm ndiyo wenye ujinga wa kumuona mtu kama mungu
@SaleheNgoli5 күн бұрын
Hamanchi
@TeddyCyprian-o1s5 күн бұрын
Nyie Wana ccm ndo munatakiwa kupimwa hakili hamuelewi kinacho semwa kwani bandali hazijauzwa au Hadi muzee na nyie
@DenisHassan-b5x5 күн бұрын
Unajua kisa cha kumpeleka hamfuley polepole ubalozin akili zake km za tundu lisu walijua hilo
@JamaliMalike19 сағат бұрын
Asante
@w40584 күн бұрын
Lakini msisahau na wamasai na Watanganyika nao wamejazwa Zanzibar mpaka masheha wakuu wa polisi nafasi nyeti zote Zanzibar zimeshikwa na Watanganyika lakini Mheshimiwa Wetu Mkombozi Wetu wa Watanganyika na Wazanzibari
@Gidion-f8i4 күн бұрын
Umejaaliw sana wee mzee
@MohamediAthumani-ub8nn5 күн бұрын
Lisu kwa magufuli unakosea sana magu alikuwa mzalendo sana zaidi yako jifunze uzalendo kwa magu
@donaldmwahalende48415 күн бұрын
Wasio julikana vp
@iddysekamba5 күн бұрын
Uzalendo gani alikuwa nao
@Zuwenamachela5 күн бұрын
Dikteta mkubwa magufuli nchi hii haijawahi kutokea
@Zuwenamachela5 күн бұрын
Kwahyo huyu nae ni kicha mbn kila siku maneno hayo tu lete sera za chama chako mwendawazim wewe Leo Rais Samia unamwita kichaa lkn ndo alokurejesha Tanzania bwege wewe kilemaa bora ungekufilia mbali maana wew ni fitna ya nchi hii
@Zuwenamachela5 күн бұрын
Hana uzalendo wowte dicteta mkubwa
@valentinoswenya7484 күн бұрын
Hata spika job ndugai alishawai sema hayo yote
@josephinamarko33234 күн бұрын
😂😂😂😂😂hapo naona aibu mm yaan inaonekana hapo watu wanamsanif tu hako pamoja nae wanamchochea aongee udobwedo wake umutoke😂😂😂
@Gidion-f8i4 күн бұрын
Ww Bado upo gizan sali San utafunguliw
@josephinamarko332314 сағат бұрын
@@Gidion-f8ipolee 😂😂
@placidpeter67756 күн бұрын
Raisi mtarajiwa
@SaleheNgoli5 күн бұрын
Rais wa vichaa
@tumainilyimo3 күн бұрын
@@SaleheNgolikichaa ni wewe usiyeona nchi inaharibika
@HaikaFoya3 күн бұрын
mwandishi siyo kweli mnafiki wewe.
@BakariMkwawa5 күн бұрын
RIP MAGU
@nihifadhimpalala6395 күн бұрын
Wananchi wanatakuwa wapigwe kodi had wafe tutawaliwe upua akili ziko kenya ukitaja magu unakosea kwani c alitaka kumuua huyo au nonyi akili mmeshikiwa
@RevocatusNdokeji4 күн бұрын
Mm nipo na lisu lkn lisuu mwache magufuli .....ukitaka kupendwa Zaid mwache magu
@VitusTumwesige13 сағат бұрын
Aisee
@StumaiAbdallah3 күн бұрын
Hayaaa
@rambostalon28885 күн бұрын
✌️🔥🔥
@abassjuma62484 күн бұрын
Unafikiria kushambulia viongozi wa kuu wa kitafa kwa matusi ndio kingozi bora? Huna busara
Magu muache apumzike Kwa Amani hatakama alikukosea mseme na maziri alo yafanya uyaseme wewe mwenyewe ukipewa nchi Lazima uwe mkatili tu maana kila aitwae baba hutetea tumbo Lake kwanza .😋
Nimegundua upinzani Tanzania hakuna Lissu alikuwa anatafuta pa kusemea tu Wala haeleweki
@vaskosamweli35565 күн бұрын
Unakutana na kikund Cha wa2 wanasema mitano tena
@deonicemollel42052 сағат бұрын
Ukimsikiliza lissu kwa makini kuna sehemu anaongea ukweli mf:bandari uwanja n mengine ukweli kbs nchi ya hovyo pkpk zinanunuliwa na kuna sehemu brbrn ni mbovu hizo ela kwnn wasitumie kutengenza mabarabar
@eliahedward749014 сағат бұрын
Hiy ni sera au majungu
@JamesRohomoja5 күн бұрын
Hiv anayosema ni kweli? Kama kweli basi tujipepole nchihiii
@emanuelsichone80275 күн бұрын
Apimwe akili babu Yako mamae
@salummakadi3114 күн бұрын
Huyu NI mnyaturu og
@nihifadhimpalala6395 күн бұрын
Yaani comments za humu ndani unahundua tz hakuna watu wenye akili n lisu na wengine wachache.
@samwelnevele77965 күн бұрын
Koma kabisa mbwa mweusi wewe huna jipya
@ramadhanmwandambotuntufye59725 күн бұрын
Kichaa kapewa rungu Sasa, ni kuropoka tu, ruzuku anapokea sijui pesa zinatoka wapi? Nacho kiona hapo ni chuki tu dhidi ya uarabu na uislamu. Kila kitu mwarabu, bandari ilikuwa mikononi mwa wazungu hatujusikia kelele, waarabu kubinafsishiwa kelele. Tumekuelewa tutapiga kura ya maslahi na wala hamtashinda wabaguzi wakubwa nyinyi.
@SalimMohamedFaraj5 күн бұрын
Huyu mzee sijawahi kimsikia hata siku moja akizungumzia sera ya chama chake
@SaleheNgoli5 күн бұрын
Huyu ni kichaa
@AbdallahMohammed-u2v6 күн бұрын
Mwandawazimu kaanza wazimu wake huyu Chadema hawana kiongozi
@JosephJackson-f1s5 күн бұрын
Hongera wew ambaye siyo mwendawazimu
@AmbasonKalenga5 күн бұрын
Huwezi kumuelewa wanaomuelewa ni wale wenyeakili kubwa tu
@dullayomwinyi33595 күн бұрын
Wa bibi yako sio
@Robust785 күн бұрын
yaani watu wengine bhana wanachefua sana, mtu akisema kweli mnamwita mwendawazimu, unaona raha watanganyika kufanyiwa mabaya yote hayo? hata kama unamaslahi binafsi bora ukae kimya kuliko kujaribu kulikinga jua kwa viganja. safari hii hatukubali ngo!
@sakoson9574 күн бұрын
Inamaana bimkubwa ni kichaaaaaa
@MwanaishaShattry5 күн бұрын
Weye huna sera zaidi ya kuwasema waliokufa na walio madarakani? Hebu tupe sera zako itafanya nini ukiprlewa Nchi hii utafanya nini? Muungano utadumu na kama hutaki rudi kwenu Mkoani ukafanye nchi yako weye mchonganishi tu. Huna sera za kutufurahisha ila uchochezi unapenda kuchonganisha ila Mungu atakushinda na atakushindilia soon. Huna nia njema na Nchi hii. Utalaanika Mungu atakufedhehesha. Utakufa kwa pressure.
@EmanuerKalori3 күн бұрын
Mimi ni Chadem lakn kumsema vibaya mjomba Magu ni bora ufe ww
@JosephMwaitete6 күн бұрын
Magufuli alisema, "masharti yaliyowekwa kwenye mkataba wa bandarini ya ovyo,ni kichaa tu atakayeyakubali," alichokikataa ni masharti ya mkataba, je bandari imbebinafsishwa kwa masharti ya awali au kuna mabadiliko?
@EliaMunuo-u7o4 күн бұрын
Huna kitu ww ,mamluki tu hao
@SeifuMapembe16 сағат бұрын
Samia ela atoa wap
@Gidion-f8i4 күн бұрын
ivi mkuu mbona arush hufik huku natamani nikuone tuuu
@SaidLukoloma5 күн бұрын
Ccm inatuumiza sana
@SALVATORYJMSIGWS4 күн бұрын
Ila kiukweli ccm kwasasa haina maana
@YusufSwaibu5 күн бұрын
Ucha ujinga tangaza sera za chama chako mpumbavu mkubwa wewe taja sera za uzalendo ili watu wakuelewe tulikuwa na mzalendo makufuli ila kwa akili Yako fupi Kila siku unamtaja makufuli kwa mabaya wapinzani niwajinga sana nilitegemea ungekuwa na sera Kama Rais wa Bukinafaso tukuelewe lakini unatangaza kutaka marehemu na watu wengine pumbaaaavu
@MashakaMagesa5 күн бұрын
Jenga hoja Matusi ya Nini Nchi ni yetu sote
@instakiller12685 күн бұрын
We fala na chama chenu Cha kisenge hicho Mafisiem mtakoma Mwaka huu