No video

KIMEWAKA TLS, MADUDU YAANIKWA SAKATA LA MWABUKUSI, NI AIBU, MAWAKILI KUKIWASHA KUTETEA TASNIA YAO

  Рет қаралды 10,326

Mwanzo TV Plus

Mwanzo TV Plus

Ай бұрын

#TANZANIA: Kimewaka chama cha Mawakili TLS, madudu yaanikwa sakata la kumng'oa Mwabukusi kgombea Urasi wa chama hicho, Mawakili waungana kutetea tasnia yao.
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE KZbin Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram

Пікірлер: 24
@HassanSaburi-ge6ej
@HassanSaburi-ge6ej Ай бұрын
Ninyi ndiyo watetezi wa nchi hii msikubari watu wafanye wanavyotaka kwenye mambo ya msingi yanayoumiza wananchi waajiliwa wa wananchi wamejisahau muda mrefu sana wanahisi wao ndiyo waajiri wanafanya wanavyotaka wanatumia Kodi na rasilimali zetu za nchi kibinafsi zaidi
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b 14 күн бұрын
Mungu Yuko na mwabukusi atamulinda waliomupiga vita mungu atawa futiliya mbali
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 Ай бұрын
Kwa kweli TLS wametia aibu wanasheria hawafuati sheria sasa watu wasio wanasheria watafanya nini? Ndiyo sababu Inchi inajiendea ovyo ovyo tu.
@hildandumbalo5827
@hildandumbalo5827 Ай бұрын
Kabisa Inchi inakwenda hovyo sana ni aibu tupu
@sammykateregga6238
@sammykateregga6238 Ай бұрын
Viongozi wa TLS Make sure mnalinda USOMI wenu. This is the correct time.
@allyfutto8763
@allyfutto8763 29 күн бұрын
Mwabukusi atapigwa vita sababu yeye ni muwazi japo anafaa sana watamtupilia mbali ogopa TZ
@mburuumbe5659
@mburuumbe5659 Ай бұрын
IF JUSTICE FORUM IS INJUSTICE WHO IS SAFE?
@brightontibenda2346
@brightontibenda2346 Ай бұрын
Nobody!
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 Ай бұрын
It is unprecedented 😮
@ceciliamagalabajimmy4391
@ceciliamagalabajimmy4391 Ай бұрын
None
@robertzingu9889
@robertzingu9889 Ай бұрын
Yaani siasa za majitaka za CCM za watu kujipa uongozi bila kuwa na sifa na kuwakata watu wazuri wenye sifa zimeingia hadi kwa TLS, wanasheria na hivyo kunajisi kabisa tasnia yote ya sheria. TLS rudini mstarini, acheni kujinajisi!
@francissimwinga-gb2vd
@francissimwinga-gb2vd Ай бұрын
Ni aibu. Kubwa watu tunao waita wasomi kugeuka kama wanasiasa
@user-lw3tg3yg5b
@user-lw3tg3yg5b Ай бұрын
Siyo wanasiasa ni mazumbukuku ni chi gani isiyo na sheria
@aloycemruma6552
@aloycemruma6552 Ай бұрын
Jamani Kila Mzalendo niwakati wakubafilisha mambo.yote ya kihuni. Hinizambi inafanyika kuharibiu Taifa eawatu waanabu wanalete shida Kila sehem u inaumiza unafikiri ni Akina mabutu wanaongoza. Nnchi. Nilikuwa kwa umakini.wa Mwabukusi machawa watafanya mambo ya ajabu sana
@othannmpoli9896
@othannmpoli9896 Ай бұрын
Wasomi sio jamii ya kujadiliana mambo yaliyowazi inatia shaka kubwa sana kwa jamii inayowategemea!!!!!
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm Ай бұрын
Wanasheria kuwa machawa kunahatarisha nchi nzima sababu ni kitengo kikubwa sana nchini kwenye kudai haki. Sasa ikiwa imekuwa compromized haki haitatendeka kwani watashindwa kutetea nchi na wananchi na maslahi ya Taifa vipasavyo.
@alphoncehanura3255
@alphoncehanura3255 Ай бұрын
The learned fellows when they undress themsleves to show the world how the system have changed the Learned fellows....in TZA. How on Earthy from one party state to Multiparty state ,using same constitution.....??? Halafu useme tuna Law school of Tanganyika au TLS.... where were they, to let that blunder happen......???
@MusaOgwoko
@MusaOgwoko Ай бұрын
Ichi. Ya hajabu
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 Ай бұрын
On that case open mwabukusi Consern tls tanzania low sosayart will be difficulty them to win such case because ccm have plans on that
@ChristerKoku
@ChristerKoku Ай бұрын
Hivi hata huko kwa magwiji wa sheria kuna figisu figisu aibu kubwa yusio ojua sheria tutakimbilia wapi.
@SaidAlly-uh4qw
@SaidAlly-uh4qw Ай бұрын
Nyinyi endeleeni na sarakasi zenu sisi ccm ikiongozwa mama samia tunaendelea kuiongoza nchi mkimaliza kuhusu uchaguzi wa TLS andamaneni tutawapa maaskari wawalinde.. Samia 5 tena
@user-pd5hl9di2q
@user-pd5hl9di2q Ай бұрын
😂😂
@rehemashabhay8946
@rehemashabhay8946 3 күн бұрын
Aibu kwa mawakili..Nyie wa bobezi wa sheria msijihusishe na kashifa za aibu za kuvunja sheria..
PATAELEWEKA: CHADEMA KUWASHTAKI AWADHI NA NYAHOZA
6:25
Mwanzo TV Plus
Рет қаралды 1,5 М.
Survive 100 Days In Nuclear Bunker, Win $500,000
32:21
MrBeast
Рет қаралды 147 МЛН
Magic trick 🪄😁
00:13
Andrey Grechka
Рет қаралды 32 МЛН
Ouch.. 🤕
00:30
Celine & Michiel
Рет қаралды 35 МЛН
BALAA! LISSU AKIRI KUDHULUMIWA SANA NA POLISI
5:18
Mwanzo TV Plus
Рет қаралды 335
WAMETUKOMOA AU WAMEJIKOMOA? SHEIKH KADOGOO AHOJI WATAWALA
17:11
SK Media Online TV
Рет қаралды 9 М.
JUSSA AFICHUA SIRI NZITO YA MUUNGANO
34:06
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 57 М.
Survive 100 Days In Nuclear Bunker, Win $500,000
32:21
MrBeast
Рет қаралды 147 МЛН