hakika Taifa tupo msibani na hiyo lugha ngumu uliyonena umetutendea haki wana wa Nchi hii …Baba wa Mbinguni akutunze na kukupa ulinzi daima Wakili Mwabukuzi… Barikiwa sana …
@seifmohd5357
Asante sana mkuu tunakuelewa sana Mungu azidi kukupa nguvu ili uweze kututetea wanyonge cc
@user-zj4ii6uf7t
Hongera sn Kaka yangu mwabukusi kwa kulipigania hili Taifa bila hivyo Taifa letu tutalipoteza,tunamshukru sn kwa kutuamsha watanganyika na watanzania kwa ujumla!!!Mungu wa mbinguni azidi kukubariki na kukukingia kwa Kila hatali,, MUNGU mbariki mwabukusi Mungu ibariki Tanganyika Mungu ibariki Tz yetu tusonge mbele kwa ajili ya nchi yetu tuko pamoja
@justice607
Mimi ni mwenyekiti wa Ccm, mkoa flani lakini nakubali nondo zako Advocate
@batwelimahenge7850
Asate mkuu
@danielmpanguko759
Umeongea sahihi sana Kaka Mwabukusi, kutembea na bahasha za kuomba ajira kila siku haina tofauti na maandamano.
@user-py9jj5yr9l
Mungu azidi kukupa maisha marefu najifunzaga mengi sana kwako
@dominiclyamchai9561
Mwabukusi WAPE VIDONGE VYAOOOO,TEMA MADINI MWANANGU.NCHI HII IMEKWISHA KABISA.
@faustinebahenobi3412
Uyo ndo mwambukusi msomi makini
@user-rr1ds9jm1q
Safi sana ongea ukweli
@davidtuya9586
Asante Sana mwabukusi mungu akubariki
@KingBuddah-nx3ui
MWABUKUSI NAKUKUBARI SANA WEWE MZARENDO WA UKWELI C MNAFIKI
@jesaminzo
Huwa sijutii kupoteza bando langu kukusikiliza Hon Advocate Mwabukusi❤
@yussuph-lx7cu
Mwabukusi ni Martin Luther king wa TANZANIA ,HONGERA MWABUKUZI ,,WEWE NI MKOMBOZI WA TANZANIA YETU ,CCM WAMEGEUKA KUWA WAKOLONI WEUSI
@deniccgabriel6153
Mwabukusi nakuelewa sana CCM kwasasa ni mwenda wazim na uyo mmamma wao
@MACHOYATAI-jk6fu
Asante MUNGU akubariki mwabukusi
@sportsnewjs433021 күн бұрын
CCM ni HATARI sana kwa uhai wa Taifa letu la Tanzania 🇹🇿 kwa sasa