Yani ww baba nakupenda sana maneno yako yani unaongea ya kweli 🎉🎉🎉❤❤
@SbahHiai3 ай бұрын
Swadata Maneno yako mapenzi haya rongwi 😊😊 kupenda ndio maradhi
@fatumahassan88342 жыл бұрын
Kweli baba dayamod🙏🙏🙏🙏🙏🙏👋👋👋👋❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@tabumpate97622 жыл бұрын
Hongera mzee abdul umeongea pointi sana
@raneemAl-zx9yy2 жыл бұрын
Baba Asante wafahamishie hawo
@adrofinamhongora19902 жыл бұрын
Mungu akutunze umeongea sahihi kikubwa maelewano tuu
@beatriceochanda85162 жыл бұрын
Msiangalia rangi ama umbo .....mke mwema anatoka kwa Mungu
@khadijamohammed28552 жыл бұрын
Safii
@redempternzisajohn10002 жыл бұрын
True sio urembo heshima na maelewano
@wabisabi_72 жыл бұрын
😂😂 Huyu Mzee bwana, eti Mtoto ana mauno feni
@shukujaibu71432 жыл бұрын
Baba nasibu uko sahihi. Hapo hakuna uchawi wala Dawa kimemywakia zuchu waliopita 'na sifa zao 'na shepu zao sasa hizi manongayembe.
@jamilaezekiel61742 жыл бұрын
Safi sana zuchu anajua mambo
@jeromemwenda27022 жыл бұрын
👏👏👏
@mohammadoman89632 жыл бұрын
Umeongea kweli baba
@NaZ-xf1gr2 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏
@tabumpate97622 жыл бұрын
Dawa inendana na matendo mazuri unayomfanyia mume
@sistersade90392 жыл бұрын
Kwani mwanamke lazima awe mzuri wa sura na body ndio awe anastahiki kuolewa? Ingekuwa hivo basi wengi wasingeolewa. Hao walopita, wakae bila ya mapambo yoyote ikisha tuone kama wana uzuri wa ajabu. Labda daimond kapenda uhalisia wa Zuchu na tabia zake kama anavosema mzee Abul. Kila mtu na nyota yake, sio uzuri wa sura wala umbo la mwili.
@bahatimwamasika69882 жыл бұрын
Upo sahihi mzee Abdul
@mohammadoman89632 жыл бұрын
Hamna wanawake wenye sura na umbo wengi wao watembea tu mtaani na uzuri wao hawana soko wamebaki kuangaika mitandaoni na Wanawake wasio na sura ndio wanaojuwa kuwaendo wanaume na ndio maana mnawaona majumbani kwenye ndoa zao
@RehemaKatana-m6l2 ай бұрын
Kabsaa yani
@receptionifabeach13292 жыл бұрын
Zanzibar Kuna maadili mema
@fatuamjafary49592 жыл бұрын
Baba unaongea safi
@kwazulu52402 жыл бұрын
😀😀😀😀
@farhannahkulishwaburekunam5360 Жыл бұрын
Unajua zuchu anambra daimond maadili ya ki8slam na heshima hao wengine wal8kuwa hawana time sasa huyu wameelewa tabiya wako kama watoto wanacheza kama watoto wanacheza sasa daimond sasa hapo kinamfurushia hiyo
@evakabete29442 жыл бұрын
Kumbe zuchu ni mzanzibar
@jacklinewilliam35472 жыл бұрын
Kwani kabla ya wema zari mobeto tanasha huko nyuma akuwanawengine tena wakawaida tuu nyie zuchu bwana anafaa sana naturally na wazur mbona wote wameachana
@mohammadoman89632 жыл бұрын
Wambie hao
@hdusysceusbskdk2 жыл бұрын
Baba umeongea ukweli kabisa mtoto kafunzwa nawazazi
@christinakalume62782 жыл бұрын
Zuchu mrembo kuliko wote
@zainaamili77372 жыл бұрын
Us in to
@RehemaKatana-m6l2 ай бұрын
Yani mzee umeongea kwel..wàambie ukwel uzuri Wa mwamamke Sio rangi Wala shape
@julianapetro38972 жыл бұрын
Diamond kiukweli zuchu hamuendani wemwenyewe kwasura umemshinda khaa nn unatafuta lakini hhii ndio ile mtu anatafuta pa kufia hahaha
@fatmaahmed86372 жыл бұрын
Baba bado tu hadi leo kwa haya yote,eti ni mtu n bos wake..maajabu makubwa hayaa
@josephlorri4312 жыл бұрын
Kama mwana,born town mwenyewe
@SIMULIZIZONE2 жыл бұрын
Anakwambia "kitamboo"
@rebeccafatuma77112 жыл бұрын
Jamani walio sema aholewi Sasa muone mapenzi nikama kipofu licha ya nasibu kuohawa wanawake wa kila aina pia wazuri Ila kamupenda zuchu 🤣🤣🤣
@shukujaibu71432 жыл бұрын
Mtajiju zuchu huyoooooo
@marymwai40722 жыл бұрын
A family with no values. Si mama or baba. Wote ni wazuri kwa diamond. Wisdom should be gotten from parents but diamond's have failed. Diamond see uncles, anties for advice if not so enda kwa kadhi akusaidie na hekima
@monikananjala98062 жыл бұрын
But it's Holly month of Ramadan Kareem why don't you pull down Diamond 💎💎 and baby mama's and girlfriends 😂😂 saumu yenu fake Sana 😏😏