Watu wawili ambao wamefanikiwa kuleta uchawa adi serikalini😂😂
@KS-iw7qv9 ай бұрын
Inginia HERSI akili nyingi......GSM ni GROUP OF COMPANY
@drmussa12209 ай бұрын
kzbin.info/www/bejne/hF61coKLfN2Sj8ksi=4y49PV8sKnWQbZPY MAAJABU YA MTI WA MNAZI kzbin.info/www/bejne/hF61coKLfN2Sj8ksi=4y49PV8sKnWQbZPY
@pacomezouzoua91759 ай бұрын
Hensi said enginier a.k.a mr genius appriciation sana brother
@tukuyufm9 ай бұрын
Tanzania kuna vijana kweli.
@piniellaizer-t7b9 ай бұрын
mtaalamu sanaa Mr Kassim Majaliwa
@hydo80279 ай бұрын
Hizi milioni milioni inakuwaje me ata laki sina😢😢😢😢
@chingaboy11499 ай бұрын
Uolewe utapata😂😂😂😂
@Manyanyatv85519 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@davidmathew17149 ай бұрын
@@chingaboy1149😂😂😂😂
@RobertChacha-hb9re9 ай бұрын
Ndg wewe tulia tu ikiwezekana ahidi jezi
@westcijosh9 ай бұрын
Pambana
@CopperBelt9 ай бұрын
Tanzania nchi ya amani sana mnapendana sana na Endeleeni kuitunza amani yenu hamna ukabila na hamna udini na hiii ndo imewafikisha hapo
@ChenchiKing9 ай бұрын
Yan Kumbe Mwijaku Mpak Kingereza Unajuw
@gustavompemba17819 ай бұрын
Mtu kasoma
@christinewomanoffaith54799 ай бұрын
Ana degree 2 ,udsm na mzumbe Ila aliona mizinguo mtaani akajiongeza 😂
@Omy-dou9 ай бұрын
More genius majinu ya enginear nkukubal sana
@omanmct1359 ай бұрын
Mwijaku anachekesha sana😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Dipeson7009 ай бұрын
Nyie mnaskiliza joti lakin, karia kaingia chini ya siti🤣🤣🤣
@ManenoMmbucwa9 ай бұрын
Yaani nyie Ndo kituko cha mwaka inchi nawasomi wote hao munashidwa kubuni taratibu za kuwapa raia kipato munakalia upumbavu tu Kama uhu
@jamesdismas48849 ай бұрын
kaka unawaza kama mim 😂😂😂😂😂
@mikemutabuzi36659 ай бұрын
Joti video za kucheza umama zinakushuka, Pambana na joti Dume madili yamwagike, Achana na ujike kupitiliza, Watz kama so Africa, zile zinatushusha.
@wycliffemuchika86359 ай бұрын
Request them please ask them to have something
@evamwambapa52519 ай бұрын
Jaman hizi hela wangekuwa wanachangia vitanda vya wa mama uko hospital za serikali km mange anavolalamika wamama wanazalia chini na kula kitanda kimoja watu wawili doh
@shundisammir80849 ай бұрын
Kila mmoja na mawazo yake.Weee unawaza madawati,kuna mwenzako nae anawaza matibabu. Hivyo elewa,kama wangechangia hili,kuna wengine wangelalama tuchangie lile.Ishi na msimamo wako kuwa,kila kitu kinakwenda kwa mipango ya wanao liona kwao,narudia "KWAO"ni la muhimu kwa wakati huo.
@sylvestercameo62639 ай бұрын
Kuna mama mmoja alichukua mafuta ya gharama kubwa akampaka Yesu Kristu miguu yake. Lakini mwanafunzi wake mmoja kwa unafiki na wivu akamshutumu huyo mama akidai ni heri angeuza mafuta hayo na fedha wakagawiwa maskini. Bwana Yesu akajibu kwamba mama huyu.katenda jambo lililo jema, kwani ninyi maskini mnao siku zote! Tusije tukafikia mahali tukalalamikia hata michango ya harusi tukidai ingekusanywa vikanunuliwa vitanda hospitali I. Kila jambo la kijamii Lina umuhimu wake.
@sylvestercameo62639 ай бұрын
Kuna mama mmoja alinunua mafuta ya gharama kubwa akampaka Yesu Kristu miguu yake. Mwanafunzi wake mmoja kwa unafiki na wivu akamshutumu huyo mama akidai ni heri angeuza mafuta hayo na fedha wakagawiwa maskini. Bwana Yesu Hali akijua unafiki wake akasema mama huyu katenda jambo lililo jema, kwani maskini mnao miongoni mwenu kila siku. Kila jambo litendekalo katika jamii lina umuhimu na nafasi yake. Vinginevyo tutalalamikia hata michango ya harusi tukidai ikanunue vitanda hospitali I!
@godfreykarata37109 ай бұрын
Mwijaku apana😂😂😂
@JacobMarton-bb5nd9 ай бұрын
aliemuona karia chini ya meza amtoe. .. ila joti hapana
@vero579 ай бұрын
Babalevo tumbo hiyoo 😂😂
@Mastoryy9 ай бұрын
Wewe mimi naahidi Baku jero tu!!😮 Aiongezeki
@christinanickson21639 ай бұрын
❤
@Freedom_fighters8989 ай бұрын
Kama nchi tunasafari ndefu sana. Hakuka u -serious kwenye mambo ya serious kabisa! Very shame
@mellahbrain2958 ай бұрын
😂😂😂😂😂 yes yes of course
@methewbuzuruga-eg8oz9 ай бұрын
Kama ccm mmechemka hivi ili mambo yenu yaande swa lazima muwalete mwijagu na baba levo maanake chama hakina nguvu tena kinatembelea rime
@hassansaul70989 ай бұрын
JOTI, eti karia kaingia chini ya siti😅😅😅😅😅
@robertzamani56129 ай бұрын
Natamani siku Moja ingefanyika harambee kama hii ya kuchangia madawati ya wanafunzi katika shule zetu tungepunguza tatizo la wanafunzi kukaa chini
@ManenoMmbucwa9 ай бұрын
Munatuweka haibu mnooo
@aymanbahdela99 ай бұрын
Karia hatumuoni apa 🤣🤣🤣 4:27
@chingychingy20669 ай бұрын
Nchi aiko serious ii
@alzawahirabdallah22999 ай бұрын
Sasa mbona km wanalazimishana kuchangia
@giztony20099 ай бұрын
If we have an any representative here hili jinga linasemaga lina degree mbili halafu haliwezi kusema sentensi moja ya kingereza!poor mwijaku
@jdanny4979 ай бұрын
Hii nchi wajinga ni wengi that's why una ona upumbavu mwingi
@YoshuaSeverino9 ай бұрын
Kwa hiyo kuwa na degree mbili ndio anyoshe kiingereza vizuri? Kwani ni mtaalamu wa lugha ya English? Elimu yake imemfanya awe mbunifu na kupata kipato kizuri sana hata cha kuzidi maprofesa wanaojua kiingereza
@Faustine_Charles9 ай бұрын
Joti anashindwa kutofautisha sehemu inayohitaji comedy na inayohitaji protocal. Tatizo ni elimu.
@yusufmwangichannel66929 ай бұрын
Wewe ndie elimu huna. Kwenye mchango kunaitaji comedy ili kuwachangamsha na kuwachekesha walio hudhuria ili we rahisi kutoa mchango wakiwa na nyuso za furaha, unless uwe ni mchango wa mazishi au mchango wa mgonjwa na bado pia hapo watu watachekeshana
@JumaOmary-ou3oc9 ай бұрын
Machawa wakitetea ugari😅😅😅
@Kabeya4109 ай бұрын
Weee joti huna ADABU HUYU NI WAZIRI MKUU KILA UKITAMKA TAMKA CHEO CHAKE KAMILI MAANA WE KILA UKITAJA UNAMKATISHA ATI MUHESHIWA WAZIRI. sasa waziri wa nini muwe na Adabu. Huyo siyo mtoto mwenzio
@petermando9179 ай бұрын
Sasa watu wanachangia alf majitu yanakuja kujamba uwanjani
@ibrahimaziz71589 ай бұрын
Ss mnaona uchawa unavolipa
@sabihaibrahim1439 ай бұрын
😂machawa wakimaliza kuchangisha wamepata za kwao 50 m😂
@nacetsiringa13349 ай бұрын
Mbona SIMBA sijawaona😅😅
@leokamil62849 ай бұрын
Ndio watanzania na mambo tunayopenda kuyaona 🚮
@patrickKitambo9 ай бұрын
Kwel ni aibu sana na ujinga hali ya juu... Nchi yenye rasiliamli nying kama hii inachangia michango kwaajil ya timu
@AnnoyedMarsh-ex9xx9 ай бұрын
wengine wanarazimishwa
@tyronemofekeng71529 ай бұрын
Hawa jamaa ujinga wao unawasaidia
@sitimohd21369 ай бұрын
Mwijaku😂
@JULIUSMASANJA-f2l9 ай бұрын
MILADI AYO NAOMBA NAMBA YA BABA LEVO.KUNA ISHU BINAFSI YA FEDHA. SHAKAZA KIBAHA
@David-s6y8k9 ай бұрын
Sasa Zile digre za mwijaku nizanini kweli !
@christinewomanoffaith54799 ай бұрын
Hazikumsaidia akajiongeza
@ernestgeorge84129 ай бұрын
Hizi ni nyakat za mwijaku na B levo majumba joti pumzika tuu maana naona unatumia nguvu nyingi Sana kuchekesha hauna mvuto kwa sasa kaa pembeni tuu
@r14kgroup689 ай бұрын
Hapo mmekula shavu
@aziza90939 ай бұрын
Hiyonifujabaf😅😅
@richardmagaka95259 ай бұрын
Mtafute karia hadi apatikane kazi kupigapiga faini tu watu na timu afu yeye anaishia mitini zote anazofainisha anataka azijengee kwake tu
@chazyjacks6739 ай бұрын
😂😂😂
@samuelcharles37969 ай бұрын
😅😅😅😅😅
@IzackThomas9 ай бұрын
Hahahaha
@philemonmagesa55489 ай бұрын
Ni mchango wa nn ndugu zangu???
@FatumaMohamedi-t6t9 ай бұрын
Ni timu za taifa znazofuzu kwenda mashindano ya nje km taifa star waogeleaji wakimbiaji n.k.