nawatakia wapendwa woote christmas njemana heri ya mwaka mpya.nawapenda wote.
@SalmaSalma-nb2cv4 жыл бұрын
Apo mulipoondoka ndio mafisad yakaanza membe,kinana nawengine
@ashrafmberwa87406 жыл бұрын
ninoma
@maishatv75147 жыл бұрын
kidumu chama cha mapinduzi..
@mzeruhusseinabdallah17567 жыл бұрын
. .
@barakambise90527 жыл бұрын
Nina swali kidogo, mbona hotuba zote za mheshimiwa Rais zinafanana, kila mahali anasema watumishi hewa, wanafunzi hewa, uchumi unakua kwa 7.2% /7.9% , tunajenga reli, tumenunua ndege, n.k na hakuna mtu anamweleza kuwa tayari wananchi wanajua tayari, washauri wake wana kazi gani? kila mahali anahutubia the same. hata alivyokua anapiga campaign, the same speech, mshaurini Rais, this is information age, so hakuna haja ya kurudia hotuba moja mwaka mzima.
Kihara Sadiki Nielewe tu kaka, mim wala sina shida na Rais, anafanya kazi nzuri sana, ila pale anapokosea lazima tuseme, so wew unaona ni sawa anavyorudia kitu ambacho alishakisema na watu wakaskia? haipendezi kila anapokua kwenye mkusanyiko wowote ule, hata alipokua kenya, anaongea the same speech, !
@modernfarming59387 жыл бұрын
baraka mbise sometime mnakosa maswali ya msingi ..weka hotuba yako tuisikie
@barakambise90527 жыл бұрын
Basi wew baki ulivyo tu sasa naona tunapishana maoni
@dr.erickjmazyala89057 жыл бұрын
Baraka, watz hawakawii kuyasahau yaliyopita, hivyo ni lazima aendelee kuwakumbusha changamoto anazoendelea kuzitatua, na pia kuwakumbusha dira ya awamu yake ili hata mtoto mdogo ajue hivyo na wanaomsaidia waelewe na kutekeleza hivyo!