KIPINDI HOTUBA YA MWENYEKITI WA CCM RAIS DKT JOHN MAGUFULI 13 DEC 2016

  Рет қаралды 58,274

Ikulu Tanzania

Ikulu Tanzania

Күн бұрын

Пікірлер: 14
@seniorriganya590
@seniorriganya590 7 жыл бұрын
CCM Mbele kwa Mbele!!!!
@johnmacha2194
@johnmacha2194 7 жыл бұрын
CCM oyeeee!
@freadoctor4459
@freadoctor4459 7 жыл бұрын
nawatakia wapendwa woote christmas njemana heri ya mwaka mpya.nawapenda wote.
@SalmaSalma-nb2cv
@SalmaSalma-nb2cv 4 жыл бұрын
Apo mulipoondoka ndio mafisad yakaanza membe,kinana nawengine
@ashrafmberwa8740
@ashrafmberwa8740 6 жыл бұрын
ninoma
@maishatv7514
@maishatv7514 7 жыл бұрын
kidumu chama cha mapinduzi..
@mzeruhusseinabdallah1756
@mzeruhusseinabdallah1756 7 жыл бұрын
. .
@barakambise9052
@barakambise9052 7 жыл бұрын
Nina swali kidogo, mbona hotuba zote za mheshimiwa Rais zinafanana, kila mahali anasema watumishi hewa, wanafunzi hewa, uchumi unakua kwa 7.2% /7.9% , tunajenga reli, tumenunua ndege, n.k na hakuna mtu anamweleza kuwa tayari wananchi wanajua tayari, washauri wake wana kazi gani? kila mahali anahutubia the same. hata alivyokua anapiga campaign, the same speech, mshaurini Rais, this is information age, so hakuna haja ya kurudia hotuba moja mwaka mzima.
@kiharasadiki7009
@kiharasadiki7009 7 жыл бұрын
baraka mbise ,wekahutuba yakotuisikie,huendaikawayamana
@barakambise9052
@barakambise9052 7 жыл бұрын
Kihara Sadiki Nielewe tu kaka, mim wala sina shida na Rais, anafanya kazi nzuri sana, ila pale anapokosea lazima tuseme, so wew unaona ni sawa anavyorudia kitu ambacho alishakisema na watu wakaskia? haipendezi kila anapokua kwenye mkusanyiko wowote ule, hata alipokua kenya, anaongea the same speech, !
@modernfarming5938
@modernfarming5938 7 жыл бұрын
baraka mbise sometime mnakosa maswali ya msingi ..weka hotuba yako tuisikie
@barakambise9052
@barakambise9052 7 жыл бұрын
Basi wew baki ulivyo tu sasa naona tunapishana maoni
@dr.erickjmazyala8905
@dr.erickjmazyala8905 7 жыл бұрын
Baraka, watz hawakawii kuyasahau yaliyopita, hivyo ni lazima aendelee kuwakumbusha changamoto anazoendelea kuzitatua, na pia kuwakumbusha dira ya awamu yake ili hata mtoto mdogo ajue hivyo na wanaomsaidia waelewe na kutekeleza hivyo!
Всё пошло не по плану 😮
00:36
Miracle
Рет қаралды 1,6 МЛН
VAMPIRE DESTROYED GIRL???? 😱
00:56
INO
Рет қаралды 7 МЛН
Когда отец одевает ребёнка @JaySharon
00:16
История одного вокалиста
Рет қаралды 14 МЛН
HOTUBA YA RAIS DKT JOHN POMBE MAGUFULI AFUNGUA  UWANJA WA NDEGE WA BUKOBA
1:15:19
0CTOBER 31,2016 ZIARA YA MH RAIS MAGUFULI NCHINI KENYA PARTY ONE
56:16
Hotuba ya Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa  Dodoma 23 Julai 2016
1:21:42
Ikulu Tanzania
Рет қаралды 19 М.