Chadema Acheni Yoga Haki Haipatikani kilelemama Police Ni Wachache Wananchi Ni Wengi Inapotokea Hivo piganeni Kama Vurugu Na Zianzie Hapo. Mnasema Sana Zaidi Ya Kujitetea
@joselinejonathan88182 ай бұрын
Kumbukeni wenzio wana siraha,
@DonMooFILMES_Express2 ай бұрын
Katika siku ambazo nimeona hawa jamaa wameamua kufungua ni leo.... M! Nimeshangaa sana leo😢
@Werema37602 ай бұрын
■Utaelewa nchic inaelekea wap mwaka kesho.😂 mama akiwa yupo benchi
@SarahShao-jw1up2 ай бұрын
Wasafi ....asanteni sana kwa uchambuzi makini....
@luganomwaigomole74412 ай бұрын
YOU'RE NOW BEST PUNDITS
@JumaMkiji2 ай бұрын
Wanaendelea kuwapa usugu lakini mungu anaupande
@ThobiasMarandu2 ай бұрын
Msichukulie Mzaha Huyo Awadhi Haji Ni Jambazi... Nitashangaa RAIS SAMIA KUMWACHA... I SWEAR!
@mickyjoseph54922 ай бұрын
Hii nchi hatuna jeshi la polisi hao ni green guard,taka taka kabisa.
@plujoncylugano46112 ай бұрын
Jakika Kitenge na wenzio ktk kutangaza mmetutendea haki na kuwatendea haki wanachadema
@hassnsalim51562 ай бұрын
Polisi Tanzania ni shida sana
@ndogoroedson1992 ай бұрын
Polisi hawana shida tatizo waliogongwa huwa wanajifanya wajanja sana na wanajifanya wanajua sana! Na kama wamemgonga sugu safi sana anajifanya anajua sana
@@ndogoroedson199upo sahih mkuu....Tii sheria bila shuruti..no one is above the law
@frankhoffa83562 ай бұрын
Kumanyoko na kuma la mamayako msenge konyolo wewe@@ndogoroedson199
@FidesferdinandikimtiKimati2 ай бұрын
Waandishi ongeeeni tunalihesh jeshi ila wakivuka mipaka rahia atutavumilia iloooo tutapiga kelele nakupaza sautiii zetu
@DonMooFILMES_Express2 ай бұрын
Leo naona maajabu sana WASAFI kuchambua namna hii....😢
@VenaEliki2 ай бұрын
Wasafi hakika leo Niko na nyie nimewapenda buree
@LeonardKajiba2 ай бұрын
Mkitenda haki namna hii Mungu atawakumbuka ktk kazi yenu ya utangazaji
@Igauf32 ай бұрын
Ayayi! That was a waste of taxpayers’ money. It ended up costing them time and resources, which could have been better utilized elsewhere.
@AliSalim-yu4mo2 ай бұрын
Buffaloooo! Solder inthe hot tough Tanzaniaaaa!
@paulswai12372 ай бұрын
Wazee wa minyama Mungu awabariki mnafanya kaz nzr
@MsendoPhinias-xc2jb2 ай бұрын
Sasa naona wasafi tv mmeanza kupevuka niwapongeze akili sana kwahili mmeanza kuthubutu kuzungumza na kutenda haki juu ya haki na usawa wa watanzania, ongereni sana 👏👏👏hili jopo nzima la kipindi hiki
@omarybakunda25542 ай бұрын
Oya sikieni ongezeni idadi ya magazeti mnajua sana kuyasoma.
@mohayussuf20572 ай бұрын
Nchi ya Giza Tanzania polisi wanatumika na ccm
@paulseleman06042 ай бұрын
Duh nchi yangu Tanzania
@EliaMwamengo-uu6ky2 ай бұрын
Wasafi kweli wasafiiii
@mohayussuf20572 ай бұрын
Utawala dhalimu wa CCM inatumia polisi kudhalilisha upinzani
@ezekielmabwai46142 ай бұрын
SERIKALI YA KISHENZI!!!
@wekezauchumi74402 ай бұрын
Tii sheria bila shuruti..no one is above the law
@flova70222 ай бұрын
@@wekezauchumi7440we ndio mpumbbavuu WA mwishooo sanaaa
@TatuCharles-f5m2 ай бұрын
@@wekezauchumi7440kwani we unajua hawakutii c.c.m ni wafisadi tu
Polisi wanatumia kodi za wananchi kutesa wananchi......Je ni mpaka lini?
@wekezauchumi74402 ай бұрын
Kama utaenda kinyume na kuvuka mipaka mi nasema upigwe tu
@JohMalila2 ай бұрын
@@wekezauchumi7440mipka unaijua wew endeleeni tu kumbuka ilii uwe ugali unaanza kua uji ko bomu magaidi vurugu, upotevu wa aman hutengezwa Kwa mda mrefu may be not today ilaaa ukoo mbelee atujui
@AminaMoshi-fp1pc2 ай бұрын
😢😢😢mama aoni?
@AngelMazola2 ай бұрын
Walimlusha ili iweje sasa mbona awa watu wamekuwa hawaheleweki jamani khaa!! Aya wammalizie walizike
@JamaldaudlulyehoJamaldaudlulye2 ай бұрын
hii media sahv napenda sana kwa maana hamna uchawa mnazunguza vitu vya msingi
@TM.Sullusi2 ай бұрын
Huko mlishavuka lini? Kivipi? 😢
@SundayNkaza2 ай бұрын
Jeshi lapolis walitoa naul wapi ya kuwaludisha
@josephmlazier13912 ай бұрын
Tanzania ya MAMA ABDUL ndiyo hiyo sasa 😢😢😢 kila atakaye Sema kilicho tofauti na yeye ni kipigo cha mbwa wa msikitini😢😢 Yaani ninavyomchukiaga dalali KITENGE imagine kwa hili nimewasikiza ad wakamaliza wueh tumeumia kwa tukio hili jamani
@matukutajuma1562 ай бұрын
MIMI CCM NTAFIA HUKO LAKINI KWA HILI KUNA BAADHI MNATUHARIBIA!!😢
@laurentkatambi87992 ай бұрын
Ila mungu yupo naamini atajinu
@TishaniUlanga-bj3nx2 ай бұрын
Kwa mara ya kwanza naona ile point ya freedom of mass media kupitia wasafi
@paultavin31142 ай бұрын
Polisi wanatakiwa wajirekebishe swala la kupiga lipo, sana sana kwa raia wa kawaida ndio limezidi. Muda mwingine hata dhamana kupata ni wanachukulia ni kama hisani
LEO WAKWANZA MIMI NAOMBENI LIKE ZANGU JMN,,,KWANN LKN!????? DUNIA SOTE TUNAIPITA TU KWANN TUNAISHI HIVI LAKNI KEKI YA TAIFA NI.... SO IPO SIKU WAPINZANI NAO WATASHIKA NCHI NAO WATAGEUZA KARATA🙏🏽
@judicalosika76422 ай бұрын
KITENGE, UNAMFAHAMU JEFF KOINANGE!! UNAKARIBIA KUENDANA NAYE LAKINI WEWE UNAKUWA NA KASI ZAID
@agnessangawe38442 ай бұрын
Mama yupo kazini
@evansokemwa65872 ай бұрын
ako kazi aje? saitani wewe
@AyubuChacha-u6u2 ай бұрын
Polen sana ndugu zangu ingawa mimi si mwanasiasa lakin inaumiza sana.
@andrewIzdory-sk4cu2 ай бұрын
Kazi yenye laana.
@hamismabula99342 ай бұрын
Huyu mama anawasha moto ambao kuuzima utamgharimu sana!
@majutoomari74452 ай бұрын
Mpo vizuri
@hassankisuda11892 ай бұрын
Tatizo sio kupigwa tatizo waliotakiwa kuhojiwa ni wengine lakini viongozi wakuu waligoma na kuwakingia vifua, Wakapewa dk 40 lakini wakadharau hayo ndio matokeo ya ujuaji Tii sheria bila shurti uone kama jeshi la polisi litakushambulia bila sababu
@mitanakadorho2356Ай бұрын
Unakubali sasa kuwa katiba yetu ni nzuri si munapigaka kelele eti hii katiba
@ChansaElie2 ай бұрын
Kwanini kichwa cha habari kimekaa kama kushabikia kilichotokea na kukifanya kionekane kawaida?
@paulseleman06042 ай бұрын
Kama polisi wanaweza kuambiwa baka huyu na wanafanya niumasikini na ujinga tu nadhani mh
@rastheunique2 ай бұрын
My poor country Tanganyika😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@godwinkasaizi8822 ай бұрын
Mkitoka tu kwenye Reli hatuwasikilizi, MUENDELEE hapohapo
@davidkawesa35942 ай бұрын
Police Yasu mwenyewe aliwambiaga police 10 kwa 1
@ladislausriwa77682 ай бұрын
Nguvu kiasi! Inapimwaje?
@elvisoscar99122 ай бұрын
Katika media nafiki ni hii apa bongo yan awaipendi chadema we fatilien utagundua 😂😂😂
@MosesMgala-qx3bb2 ай бұрын
Wasaf I tunawapenda achanen na hiyo maada
@faustinedeogratias43372 ай бұрын
Upendo gani sasa huo, mnawapenda kwa sababu zipi?
@Eliaskasanya-hm5yk2 ай бұрын
Wangeacha vijana wakae wazungumzie mambo yao na kama hao viongozi wa kisiasa walikuwa wanania ya kuzungumza na wananchi wangetafuta siku nyingine
@clauschaula20502 ай бұрын
Polisi tunawalani sana kama mliwapiga Viongozi wa chadema.Kwa hili waziri wa ulinzi jihudhuru mara Moja.Huu ni unyama kabisa.
@DicksonMagesa-l5g2 ай бұрын
Waongo hao semeni mavi 8 yanawadumbua
@JumaMwakyambiki2 ай бұрын
PONGEZI nyingi kwenu kwa kuwajibika ipasavyo kama waandishi.
@RamaKimbeu-tw4po2 ай бұрын
NDUGU KIPONDO SIO TANZANIA TUU MPAKA ULAYA KIPONDO KIPO AMERICA KIPONDO KIPO HIVI HAMSIKILIZI MABO YA NJE YANAVYOKWENDA HUKO?
@directortwicep30282 ай бұрын
Tusichekee haya mambo Tusipo kua makini Tz civil war itatokea maana itafika muda Raia watachoka kunyanyaswa Tuombe saana Mungu atuepushe kwa hili😢
@daudimaembe33602 ай бұрын
Si wanategemea police?
@wekezauchumi74402 ай бұрын
Tii sheria bila shuruti hakuna aliye juu ya sheria@@daudimaembe3360
@festinamwakipale39192 ай бұрын
Tusilahisishe tu polis hawana chama.hata spite chadema polis watabaki.vilevile wananchi tupevuke wanasiasa baadhi wanapandikiza chuki wanaongea.vibaya sana ccm chadema acheni sisi ni.watanzania harafu mm siasa ni vita ya bila.sababu yaan.watanzania hatupendani.tunatamkiana maneno mabaya hivi siasa ina.lengo.gan.duniani.siasa.ni.nyoka.yenye.sumu watanzania tuwe macho@@daudimaembe3360
@paulseleman06042 ай бұрын
Hapo ndo mhimili wa bunge pia unatokea msisahau na rais wa ,ila inasikitisha sana huu ubaguzi utatumaliza kwani walishindwa kulinda mkutano wakaona wapate night allowance na kusafirisha hao watu c wanalipwa maisha magumu ndg zangu mh
@RawsonNkini2 ай бұрын
Bado hata nyie waandishi wa habari mtapigwa ngoja tuu utaona maana wengi niwanafiki
@GabrielSky642 ай бұрын
Sisi Raia hatuongei afadhari ukimbizwe na chui ila sio.police wa Nchi akukamata
@husseinkonz51922 ай бұрын
Mtu anakaa Moro unapelekwa arusha 😊😊
@priscairene46052 ай бұрын
Wamepigwa?
@AliceGoldson2 ай бұрын
Hao jamani waamuue liability wafaidike
@isakhamisi89232 ай бұрын
Huyu awadhi hafai kabisa alikuwa hivi hivi alipokuwa Zanzibar lazima awajibishwe.
@Aziz-p6s2 ай бұрын
Ukiona mbwa juu yamti ....
@zephanialuangwaeliatosha97232 ай бұрын
@@Aziz-p6snasubiria wamalizie😅
@expeditormwalyu2 ай бұрын
KUMBE KAZI NDIO IENDELEE ILEEE NA INAENDELEA
@Faridkhalid-z3p2 ай бұрын
Hili jamaa mbona halijui kutangaza aisee
@lumeaaniceth63912 ай бұрын
Vichaaa wamepewa nch
@AllanLyombile2 ай бұрын
Nchi ya Libiya ilikuwa salama na kuwa na maendeleo makubwa kwa muda mrefu,lakini wananchi walinyimwa kabisa haki na uhuru, hivyo chuki na hasira ndio chanzo cha wananchi kushawishiwa na maaduwi wa nje, leo Libiya ile pale tunaiona, NI NANI ALAUMIWE?
@wekezauchumi74402 ай бұрын
Nani alikwambia walinyimwa uhuru acha uongo
@flova70222 ай бұрын
@@wekezauchumi7440we jammaa mbona umekaza mkanda Sana mnatumika vbya
@festinamwakipale39192 ай бұрын
Walaumiwe.wanaoshabikia mipira wanakataa kumcha Mungu
@zephanialuangwaeliatosha97232 ай бұрын
😂mbona kama mmelifurahia Sana ndugu watangazaji
@JoshuaNgolela-pi3nh2 ай бұрын
jeshi la polisi ni la ccm sio letu tusidanganyane hii nchi kila kitu ni cha wana ccm ila chadema na wapinzani wengine na sisi tusio na chama chochote atuna chetu hii nchi
@ShamsiKasoma-fn4cl2 ай бұрын
hiki sasa ndio chombo cha habar co vingine vipovipo tyu maaana ya muandishi ni kujitoa sadaka kwajili ya nch au raia
@CEO94942 ай бұрын
JOSEPH MBILINYI ANATAFUTA KIKI ANAKESI KWA RPC AMEMTOA MTOTO WA WATU MIMBA KAMPA KILEMA ANATAKA KUFICHA MADHAIFU YAKE KWENYE CHAMA.....CHADEMA SUGU NI MBABAISHAJI ANAKWEPA KESI YA JINAI INAYOMKABILI.....RPC NA RCO ANGALIA HILI SWALA
@joselinejonathan88182 ай бұрын
Wee mama mtu mzima ovyo, kwani hilo lilikuwa linahusiana vipi na mkutano kwa watu wote? Wee kenge tuu
@mitanakadorho23562 ай бұрын
Jameni ndugu zangu, tusilewe amani bali tuzingatie kwa njia na garhama zoote, Lissu, Mbowe na CHADEMA wao ni nani kuitafutia taifa leo fujo na vurugu?
@zedekiahjulius62 ай бұрын
Fujo zipi kila kitu kiko kikatiba kufanya mikutano ipo kisheria sio hisani katiba inaruhusu
@PeterMahona-zd3oz2 ай бұрын
Bola wanajeshi mtusaidie vibalaka hivi wanatuonea watanzania yani nikimkuta asikali anapigwa nitafulahi na mimi namuongezea kumdunda
@pueblo1482 ай бұрын
Mmeanza kurudi ktk akili zenu.wengine tulishaachaga hata kuwasikiliza ambavyo mmejifanya vilaza .Sasa mmeanza kutufanya kuwakumbuka kuwa mpo
@AbbySalum-yq7lc2 ай бұрын
Kitenge kwani ulizani jeshi la polisi ni wauguzi au wachungaji,ninyi mlitaka waubiri neno
@francissimwinga-gb2vd2 ай бұрын
Hata yeye atashughulikiwa tu hata uparesheni wa rohoni tutamshughulikia
@WillKilulya2 ай бұрын
Wanajeuri sana hao jamaa,Polisi wametumia guvu kiasi kuwakamata.
@wekezauchumi74402 ай бұрын
Sahih kabisa...Tii sheria bila shuruti..no one is above the law
@hamidkololeki50092 ай бұрын
Wapigwe tu wanajifanya wako juu ya sheria
@DeodathChinyamba2 ай бұрын
Si kweli kila mtu ana haki ya kufanya kile anataka ila asivunje sheria
@wekezauchumi74402 ай бұрын
Na kama amevunja sheria anatakiwa afanywajwe??
@SundaySteven-bz4yq2 ай бұрын
Sasa hivi tutaanza kutembea na marungu kwe mikutano maana uonevu umezidi
@JeremiahMwalukosya-eh5nf2 ай бұрын
Uko sahihi polisi nikikosi kazi cha ccm
@wekezauchumi74402 ай бұрын
Tii sheria bila shuruti..no one is above the law
@wekezauchumi74402 ай бұрын
@@JeremiahMwalukosya-eh5nfTii sheria bila shuruti..no one is above the law
@JeremiahMwalukosya-eh5nf2 ай бұрын
@@wekezauchumi7440 Sheria ipi waliovunja ningekuwa naongea na binadamu wakaida ningesema kitu ila sababu naongea nabinadamu nusu mtu acha nishie hapahapa
@FeisalDoctor-wr8ws2 ай бұрын
@@wekezauchumi7440sheria gani uyozungumzia ww cc tunkujua ww ni kibaraka cha ccm na ushoga unajitahid San kukomment ushalipw tyar😂😂
@Alute-son20032 ай бұрын
Ninyi ni waandishi kweri kweri
@generosennko83432 ай бұрын
Ubaya ubwela miyangu. Uuwwiii!!
@TWENZETUEDEN2 ай бұрын
Labda walikuwa wanasumbua kitii Sheria bila shuruti ??
@ramadhanmahongole92932 ай бұрын
Watii Sheria gani? kuonea chadema kila siku ndo sheria au? ushawahi kuona ccm wana zuia mikutano na matamshi ya ccm? shame on them
@davidntowanga77172 ай бұрын
Polisi
@epafraditopajenga46502 ай бұрын
KTK JAMBO LA KUJIFUNZA WOTE MUNGU DHURUMA HAPENDI KUIUIMIZA NAFSI YA MWEZIO KWA KUMPIGA KWA KUMUUONEA TUJIFUNZE Na Nchi Zenye Vurugu Kizazi Chote Mpaka,Sasa Walianza Hivi,Mungu Aisaidie Nchi Hii.
@jackhans77082 ай бұрын
Ebwana hata ulaya ukileta uzushi maafande wanakurukia vilevile,hawa jamaa wanatafuta shari,lakini hapa sio kenya 🤔unachezea halafu sana tu.
@Zenny892 ай бұрын
Kesi ya Binti inaendelea kuzimwa Tena Taratibu😆
@ProsperUlungi2 ай бұрын
Yule malaya watu hatupotezi muda kumfuatilia malaya😂😂
@IssaTayari2 ай бұрын
Hii nch
@Aziz-p6s2 ай бұрын
Nusu nch
@HiteshkumarDhirajlal-nh3ly2 ай бұрын
Yaani nyinyi,sijui ni wanahabari gani,mna makelele sana au ndio style yenu ya utangazaji? Maadili hamna kabisa.
@estachengula39022 ай бұрын
Polis tz hawana weledi na kazi zaoo
@SYLIVERIOKILIMILA2 ай бұрын
Mtavishwa sketi nyinyi
@Kabeya4102 ай бұрын
Kitenge na wote hapo kumbukeni Lipumba alivunjwa mkono akaibiwa na saa yake mpaka leo mnashangaa kuvunjwa miwani, watu walipigwa Zanzibar polisi waliwapiga watu hovyo mtu kafunga mlango dukani mlango unavunjwa anatolewa nje anapigwa na kuvunja baiskeli na piki piki rudini maktaba.
@Mrmohadi.OFFICIAL2 ай бұрын
Polisi wanatumika vibaya sana
@wekezauchumi74402 ай бұрын
Tii sheria bila shuruti hakuna aliye juu ya sheria