Watu wanatumika kama majini😢😢😢😢 watanganyika tumeumizwa sana na haya madude😢😢😢
@khamis91872 ай бұрын
Kweli bongo bahati mbaya!!! 🔥yani ni fire...
@MiriamAziz-z5t2 ай бұрын
WEWE RPC NA RCO MMETUMIKA NA UMEKUBALI KUTUMIKA....NA UNADHANI WATANZANIA NI WAJINGA. CHADEMA WAPELEKENI WOTE HAO POLISI MAHAKAMANI....WAFUNGULIENI KESI KWA MAKOSA MBALIMBALI.
@kamandamlimaog34302 ай бұрын
Hapo hakuna kosaa la askari kwenda mahakaman Sema kikubwaa huyoo kamanda katumia busara sanaa apo angetakiwa kuingia ndani ya ukumbi wa kikao na kuwachukua tuu kwa mujibu wa kanuni zake za arresting
@MilloWamilonga-ft8ir4 күн бұрын
@@MiriamAziz-z5t chagadema ndio nani wewe? Hicho sio chama ni sacoss ya makengeza Mbowe, hawana jipya na wampeleke nani polisi?
@driss49572 ай бұрын
CHADEMA PUNGUZENI UNYONGE, WATAWACHEZEA HAWA MPAKA MTAKAPOWAONYESHA NGUVU YA UMMA KWA VITENDO.
@RamadhanAlly-cf7du2 ай бұрын
Kweli kuna wakat tupunguze unyonge huu ni upuuziiii
Ko ww unahisi wafanyaje kama unataka wauliwe wadanganye
@nasrikhoja96642 ай бұрын
Unawasemea watu ww umejificha
@bahiyalumelezy30162 ай бұрын
@RamadhanAlly-cf7wachuuze tu
@EmanueliWildausoni2 ай бұрын
Hv polisi wetu wana shda gani hv ukimkamata mtu kuna shda gani kumwambia kosa lake kama P G O inavyosema?? Yani shida ni ipi??? Mbona polis wetu wana mambo ya hovyo hv yani manyota kibao lakin hawana busara kabisa shda ni ipi
@geofreychitamu3662 ай бұрын
Matumizi ya akili tafsiri yake tumeipata.hao askari ni four years for faiting for food. F F F F.
@RamadhanAlly-cf7du2 ай бұрын
Ni police wa hovo aana yani hawajielew
@gm0032 ай бұрын
Very sad, Vijana tuchukue UJASIRI WA CHIEF MKWAWA. tumalizane na hawa polisi wa ccm!!
@DennohKelvinАй бұрын
Acha mdomo mtandaoniii jitokeze kawaonyeshe hizo action zako cowward mkubwa unaropoka mtandaoni jichunguze kwanza siasa mwachie lisu tafuta pesa
@gm003Ай бұрын
@DennohKelvin Just wait, time will surprise you, ukiwa usingizini...Daudi alikuwa pekeyake, jiulize ktk vita zake aliua watu wangapi. Tz tusisubiri jeshi, JWTZ hawatoingilia hii vita, kwa sabb hata wao wanamjua adui wa nchi yetu, ccm! Tutaelewana tu, very soon!! But never say hatujawa alert ⚠️
@JacksonGodifreyАй бұрын
😂😂😂😂😂 ushauli mfano umeenda kazini kwako umeludi umekula ugar wako ukalla Kuna shida??
@MageAwe-hl5zb2 ай бұрын
Ee Mungu katika hili usimame wewe mungu mwenye haki
@SarahShao-jw1up2 ай бұрын
Tunachomwomba MUNGU, zama za wapumbavu zipite. Tanganyika MUNGU hatatuacha. Ukombozi wetu umeshapatikana. Tuendelee kumlilia MUNGU.
@HadijaJoseph-d1g2 ай бұрын
Huyo afande kwanza anadhalau ilitakiwaapigwe kweli jeshi ya polisi hatuna Hilo nijeshi la chama tawala
@MilloWamilonga-ft8ir2 ай бұрын
@@HadijaJoseph-d1g una uhakika??
@engisack96102 ай бұрын
Imani bila matendo imekufa nafsini mwake mtu' Tanzania hamjawahi kua na ujasiri kama wakenya
@MilloWamilonga-ft8ir4 күн бұрын
@@engisack9610 ili iweje baadae?
@mfalmekaitaba24252 ай бұрын
CHADEMA kuna vichwa aisee🎉
@matalo05512 ай бұрын
Afande ababwabwaja tuu ...kana kwamba hajui taratibu za kumkamata mhalifu ...Mimi na degree yangu ya darasa la saba naona anafadhaika sana kwa kuwa anakiuka katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ndio anaongea akiwa hajiamini.....
@BraxedaDomina-xn4zc2 ай бұрын
@@matalo0551umeonaee
@MilloWamilonga-ft8ir2 ай бұрын
@@matalo0551Huna ulijualo kaa kimya hayakuhusu. Au na wewe ni chagadema?
@abdulmelele73222 ай бұрын
@@MilloWamilonga-ft8irNdiyo wale wale hao😅😅
@YusufuAbas20 күн бұрын
The rpc is so humble 🎉🎉
@SimoneNyangaАй бұрын
Mwanangu akiwa polisi nampa laana
@kamalabuberwa20012 ай бұрын
Huyu Kantimbo ndo alimtesa Mbalikiwa, mungu atamuandalia nafasi yake
@nuhhumwakanyamale47712 ай бұрын
Kabarikiwa ndio nani, Wewe haujabarikiwa?
@shadracknyese3307Ай бұрын
Mbalikiwa mwakipesile
@nuhhumwakanyamale4771Ай бұрын
@@shadracknyese3307 Ungemalizia bangi kwanza ndio u comment, Ona Sasa unachoandik Utadhani unachati labour 😂😂😂😂
@mengindegeya27802 ай бұрын
Aaaaaaa kumbe huyo ndiye kantimbo alie simama kwenye kesi ya mbarikiwa badala ya mhusika mwenyewe!!!!!!!!!!
@ramadhaniharuna5441Ай бұрын
Yaani huyo RPC anaonekana ni mnafiq mkubwa sana, Ongea yake tu inaonyesha kuna maagizo.
@jalaryababilasi15622 ай бұрын
Ndo maana mim nilikataa kuvaa hayo mavazi utapata rahana buree😂😂😂😂
@nasrikhoja96642 ай бұрын
Huna vigezo bana mgonjwa wa figo
@mosesjohnswilla99262 ай бұрын
Unfit wew
@PherollanceErnest2 ай бұрын
Lissu is very sarcastic, anadeal na hawa wapuuzi kwa akili sana.
@kamandamlimaog34302 ай бұрын
Mpuuzi nanii sasa nduguu mazungumzo nimeyaskia yapo sawaa hakunaa mtuu aliyedilii na mwenzake
@zakariapaulowiliamuwiliamu18402 ай бұрын
Tulia ameshawapa hela hawa 😅wanabwabwaja tu ndio maana hawaelew wanacho fanya
@deborahmgedzi6322 ай бұрын
Mungu Baba Mwenyezi Atusaidie. Tunataka Amani na imoja, Upendo wa ndugu
@Mrmohadi.OFFICIAL2 ай бұрын
Polic mnatia aibu sana mnatumika vibaya sana poleni😢
@noelsanga68532 ай бұрын
Form 4 failure wengi wapo humo
@TNgwale-eu3xl2 ай бұрын
Umenena mengi maana walifeli fm 4 ndio wakaingizwa humo kama kimbilio la waliofeli
@JoshuaSabu-r2p2 ай бұрын
Mmmh yakweli hayo watu wanaelimu zao ndg@@TNgwale-eu3xl
@jumaseifally63372 ай бұрын
@@TNgwale-eu3xlwewe unaelim gani
@philemornmutta15972 ай бұрын
Polis polis polis
@AbdallaMwagora-sm1rj2 ай бұрын
Maaelekezo Toka juu huu ni unyanyasaji na ubaguzi wa kichama.mbona ccm walikongamana Zanzibar hakukua na figisu kama huo.
@danielishigita24232 ай бұрын
Wanafiki hawa wanashindwa kuthibiti uhalifu wanahangaika na chadema
@sebastianthadeus52702 ай бұрын
Tanzania ni nchi ya hovyo sana###!!KATIBA MPYA ,###
@RamadhanAlly-cf7du2 ай бұрын
Kabsa tena sana mm nawachukia sana ccm ni chama cha hovo sana askar hii nchi wanatumika vibaya sana tena sana hii ni kuwapga skumoja ili wawe na adabu
@promramson14782 ай бұрын
@@RamadhanAlly-cf7duhujanizid mm kuwachukia aiseeeee
@MilloWamilonga-ft8ir2 ай бұрын
@@sebastianthadeus5270 chagadema yenyewe haina katiba mpya. Makengeza tangu arithi chama hadi leo yeye ni mfalme tu aibu
@kalikenyadominicus2394Ай бұрын
@@MilloWamilonga-ft8irkwa hiyo unaridhika na hii katiba😅
@AsungaSteven2 ай бұрын
Sisi watanzania hatuki chama bali tunahitaji viongozi sahihi watakayeweza kuongoza watu vizuri.
@gabrieljohn64222 ай бұрын
Ambacho hujui ni kwamba Jamuhuri ya muungano wa Tanzania kiongozi lazima atokane na chama cha siasa.
@AliphonceMartina2 ай бұрын
@@gabrieljohn6422nikweli 🙏 ndugu yangu tatizo tukitaka haki zetu kwa kutegemea viama vya siasa chama tawala kinatumia nguvu za selikali kutunyanyasa na kuzuia maandamano
@illomowerner76902 ай бұрын
Pole AsungaSteven, katiba inawataka viongozi wote wa kuchaguliwa watokane na vyama vya siasa,..namna pekee ya ekebisha ni KATIBA MPYA ili tuwe na wagombea binafsi pia
@salomeshongola16972 ай бұрын
Kwa nini wasiweze?
@lukomanomaliki54422 ай бұрын
Kweli Chadema ni dude kubwa. Watu wanawatuma polisi wengi wadili na Chadema du.CCM hampati usingizi kwa ajili ya Chadema.
@geeva992 ай бұрын
Bongo kazi sana, yani muda wote ndio mjadala, b
@emmanuelpeter97442 ай бұрын
Waovu siku zote hujaa hofu na uoga, kwa uovu wao wamejaa hofu kwa nguvu ya vijana wa chadema 🙏🙏🙏
@bukurunestory35402 ай бұрын
Afande anaonekana ana hasira sana. Amejitahidi sana kuwa mvumilivu lkn wapi
@GabrielSky642 ай бұрын
😅😅😅 kabisa
@omarymnuru87462 ай бұрын
Kabisaa...katika kitu ambacho askari hapendi kukisikia ni neno subiri
@EdnaMbowe2 ай бұрын
Kumbe umeona na ww
@ChoroTesla2 ай бұрын
Hawafundishwi subira unakuta ana hasira zake binafsi
@jeremiahmwambalaswa5702 ай бұрын
Wanatakiwa kufukuzwa kazi washenzi saana hawa
@williammwaisunga34072 ай бұрын
CCM na serikal mnaichafua kabisa japo mimi ni mwana CCM.
@ndukulusudikucho_2 ай бұрын
who cares
@peterhelpeterluena91912 ай бұрын
Chadema na hasa viongozi wao wapuuzi sana
@youngsachafurniture54822 ай бұрын
Upuuuz wao nn Nyinyi ndio wapuuz kwa sababu mmeshika madaraka tangu ukolon na bado munaogopa chama ambacho kina wafuaz robo ya watanzania ni wapumbavu mnoo@@peterhelpeterluena9191
@aidankakulu3982 ай бұрын
@@peterhelpeterluena9191wapuuzi ni wazazi wako waliokunyima elimu
@abdulmelele73222 ай бұрын
@@aidankakulu398Sasa wazazi wake wamehusikaje hapo?Tambua hata wewe una wazazi ok
@RizwanAbdallah2 ай бұрын
Huyo RPC nikama kunamtu kamtuma ila ipo siku mungu atageuza wakubwa kua watt na watt watakua wakubwa
@HamadFakh2 ай бұрын
Hahahaha,stori za paukwa pakawa
@prophetislael5265Ай бұрын
Yan hapo polis yupo kazn katumwa hajatumwa anafuata shelia
@dominicksangu89342 ай бұрын
Haya yana onekana kabsa ni maelekezo toka juu lkn mjue hao sio Mungu yupo Mungu alie tufanya ote chin ya jua hili
@Khatib-xp6fp2 ай бұрын
Sijaona kazi waloifata mtihani sana
@leokamil62842 ай бұрын
Natamani niwaone nyinyi Polisi baada ya kustaafu, maana najua wengi wenu wanageuka omba omba
@robertphilip3852 ай бұрын
Watakua raia tu tenawatakua wanalalamikia serekali kama sisi raia
@margarethalyimo54752 ай бұрын
Tena sasa hivi wana stafishwa wakifika miaka 50
@michaelboniphace36852 ай бұрын
@@margarethalyimo5475 Acha uongo
@leokamil62842 ай бұрын
@@robertphilip385 Nafahamu baadhi yao waliostaafu wanatia huruma wengine wamejitia waokovu, shida waliyonayo huwezi kuamini ni wale walikua wakibweka hivyo na nguvu bila busara .Kuomba omba sasa na pia wanachanganyikiwa wengine ni walevi wa kutupa dhambi dhulma zinawatafuna.
@sylvestercameo62632 ай бұрын
@@margarethalyimo5475Kwa tabia zao hizi wanatakiwa kustaafu wakiwa na miaka 40.
@IsaacEliamini2 ай бұрын
Ukitoka huko nje ukidokolewa shauri yako😂😂😂😂
@matalo05512 ай бұрын
Mimi ni mwanachama wa CCM tangu nasoma chuo, ila kwa huu udhalimu unaofanywa dhidi ya upinzani Chadema....basi natangaza rasimi kujivua uanachama wa CCM na kadi yenu mkihitaji ntawarudishia, tena kuanzia sasa najiapisha juu ya udongo wa nchi yangu Mama Tanzania kuwa nitajiunga chadema......kama mwatenda haki kwanini mhofie vikao vya vijana? Mwataka vijana wasiwe na umoja muendelee kuwahujumu kwe mambo yao ya msingi kama ajira, maisha bora na siasa safi.
@aloycejames48622 ай бұрын
Karbu sana
@HamadFakh2 ай бұрын
Mpiga ngumi ukuta anaumiza mkono wake mwenyewe
@MilloWamilonga-ft8ir2 ай бұрын
Acha uongo wewe ni CHAGADEMA halisi
@stevenkatani30472 ай бұрын
Uyo ndo fara ahame2 Kwan ccm ile ile walihama akna rowasa sembuse uyo
@johngerald46772 ай бұрын
Polisi ni mbwa
@ebenezersumari54082 ай бұрын
Kweny haya maisha ukiwa na Msimamo kama Chadema lazima utoboe 🫡
@jtheophil54992 ай бұрын
Mbona unachagua vidagaaa ovyooooo... mimi nachukia sana mtu anayekanyaga Democrasia.Sipendi sipendi sipendi..
@YusuphKhelef25 күн бұрын
Askari ana busara ,
@billgussy60992 ай бұрын
Polis Tanzania msipo acha kutumika na ccm mtaendelea kushusha hadhi yenu mbele ya jamii ya watanzania na ya ulimwengu mzima
@SubiranTimo2 ай бұрын
Pole watanganyika
@ce-082 ай бұрын
Huenda wewe ni yule unayeishi kwenye koloni letu😅 tunalolitawala
@OmerSuley-gl7go2 ай бұрын
@@ce-08Koloni gani wakati Rais wa Tanganyika ni Mzanzibari sasa nani anatawaliwa? Nawapenda Watanganyika ila hizi kauli zenu za kujifanya nyinyi ni bora kuliko sisi Wazanzibari zinanifanya niwachukie sana
@ce-082 ай бұрын
@@OmerSuley-gl7go mkituita watanganyika unaona kawaida ungeanza kumkea huyo wakwanza kusema watanganyika sababu hakuna watanganyika bali Kuna watanzania bara na visiwani ningekuona kweli hupend mambo ya utengano ila umeiona Mimi kusema koloni kwakuwa yeye aliongea hivyo kusema watanganyika Ili kutukera watu wabara na Mimi nimemjibu Ili kumkera vile vile
@ce-082 ай бұрын
@@OmerSuley-gl7go kaa popote pale mtafute mtu anayetoka bara muulize wewe ni nani lazima atakwambia Mimi ni Mtanzania ila nyinyi ndyo mnaupenda kututia watanganyika sasa hicho kitu sisi hatuna na sisi kuwaita wazanzibar tunawaita sababu Zanzibar ni jina ambalo Bado linatumika lakini jina la Tanganyika halipo sasa nyinyi kwanini mlitumie km sio kutafuta utengano Kwan mnashindwa kusema watu wa bara au Tz bara
@MilloWamilonga-ft8ir2 ай бұрын
@@OmerSuley-gl7go tanganyika ndio nini? Mbona mpo mazwazwa hivi?
@gabrieljohn64222 ай бұрын
Sheria inataka mtu umwambie na watu wake wa karibu wajue tuhuma ni zipi?
@innocentkaduma58212 ай бұрын
Afande RPC kajitahidi sana mbele ya huo msitu
@evancykashaga65762 ай бұрын
Kwa kweli badosana siasa za chuku sana izi zitalifikisha taifa pabaya ipo siku mtayaona ayo
@dennisungonella2052 ай бұрын
Hivi polis wetu Elimu zao polis zikoje?
@Aziz-p6s2 ай бұрын
Wamesomea uselemala
@damsonwilson52022 ай бұрын
Yani Ukimsikiliza Afande Unashangaaa Uwezo wa kufikili wake Umekaaje Mimi Siwatetei Chadema Hila nashangaa uwezo wa kufikili
@allyfutto87632 ай бұрын
Duh zarne hizi watu wanafaidi sana mambo waziwazi mitandaoni Dunia inaonekana rangi zake ukweli unadhihiri kuhusu Maisha tunayo yaishi kupitia yanayojiri kwa nia ya maendeleo ya nchi na Dunia julma MIRINDIMO YAKE.
@JmotorsAutogarageАй бұрын
Mh lisu na mnyika na mbowe pamoja na lema pambaneni tukombowe nnchi yetu
@GoodluckTarimo-u3j2 ай бұрын
Dah hakika Kila mwenye akili polisi wetu tatizo kubwa kuliko tatizo lolote duniani
Muoga sana na Mnafiki sana, mimi Nasema ivi😊 Ajui kujielezea
@Missionary_work2 ай бұрын
Hivi huyu Afande ni Afande kweli??😂
@Aziz-p6s2 ай бұрын
Wakupavhikwa
@harshkirit67802 ай бұрын
Hawana akili
@MilloWamilonga-ft8ir2 ай бұрын
Mpigie cm umjue
@Elisha-zr8msАй бұрын
Safi sana nchi yetu Tanzania 🇹🇿 niyawote siyo ya police wapumbavu wanapambana nawema
@maonezinyagalu93932 ай бұрын
Daah! Tuna safari ndefu sana mamae!
@samrichard2902 ай бұрын
Kiukweli inaumiza sana😢 hii nchi alieturoga sijui ninani aosee😢😢 Mungu atusaidie na adili nawatu kama hawa asiwaache
@Nunshumutwafa2 ай бұрын
RPC alikuja kwa unyenyekevu wa hari ya juu rakini shida ya viongozi wa chadema wote ni wana sheria.
@rabsonchisumo66402 ай бұрын
Sheria inatumika police huwa wanatumia nguvu sana bila Sheria ndiyo shida ya plc wa Tz
@esterhezron61432 ай бұрын
We nawe utakuwa mmoja wao ww
@khatibalamin401Ай бұрын
Dharau ya hali ya juu kwa Jeshi letu la Polisi. Afande yuko humble sana❤
@johngasto41542 ай бұрын
Ishin vizur na raia mkistaafu Macje kudhalilika huku mtaan tu awaona wengi ohoo mim nilikuwa flan zen nahitaji msaada wa kitu flan acha wafanye vikao waandamane ikitokea wakafanya fujo hawawez kushinda na vyombo vya Dola apo ilikuwa ni akil tu waandamane zen wasimamiwe vilivyo
@BakariJuma-g9n2 ай бұрын
Tundu lissu kwenye Sheria ni Messi anajiamini sana aisee napenda sana kuwa kama uyu mtu ukiijua Sheria raha sana
@davidsosthenes44792 ай бұрын
Mungu wetu yuko pamoja nanyi Chadema, Kamwe hatawasahau.
@nasrikhoja96642 ай бұрын
Mtu kawa mstaarabu nyinyi mnamletea ngonjera daah afande anabusara sana
@oliviaseth46522 ай бұрын
Busara gani na watu wetu wana teswa
@mwambietv76142 ай бұрын
R P C mwenyewe anaonekana kama kapewa maelekezo tu anababaika tu yaan huu upumbavu na ujinga nchi hii utaisha lini?
@richardhosea88272 ай бұрын
Safi sana afande
@YunussefuNagawa2 ай бұрын
Mungu awalinde chad muikomboe nch
@RahmaMwamwezi2 ай бұрын
Mpaka hapo tunajua lengo lilikuwa ni kufanya maadhimisho yasifanyinyike na so vurugu walizozisemea ata kujieleza ni shida kumbe walijua mwenye makosa ni Mwaipaya na mwenzie sasa wengine walikosea nn
@richardnganya23112 ай бұрын
Maelekezo toka juu
@MfanoMfano-f8w27 күн бұрын
Ety Ngoja sisi tuwasubiri 😂 nchi hii 😂😂
@m.m.tvmbebamaono2 ай бұрын
Jamani polisi kumbukeni kuwa kazi nayoinamwisho na watarudi uraini na wakipanda kwa upanga watalipwa kwa upanga
@GabrielNtandu16 күн бұрын
Umewatuma wafanye hovyo yani mtu anapo onesha uvunjaji wa sheria n haraka kukamatwa una zuia askar asifanye kaz pia Afande kawa letea kawaida sana
@BahatiIsangu2 ай бұрын
People's power
@LidiaBenjamin-io9dzАй бұрын
Amejihami mapema kwa lisu ety sitaki kuingea na weee haaaha alijua moto wake
@jessemhally5385Ай бұрын
Hakuna marefu yasio na ncha,hakuna mwanzo usio na mwisho...pasipo na upendo amna Mungu...
@judithfrancey7068Ай бұрын
Ila kusema kwelu rpc na the other guy walikuwa wastaarabu, Lisu alikuwa stubborn na sidhani kama ni vibaya nkisema lissu na mnyika waliprovoke police
@hanskalou185214 күн бұрын
Askari amenyooka japo mkakati upo kukwamisha shughuli za chadema Ila ingekuwa hao ni wahalifu alikiwa anatekeleza majukumu yake kiweledi sana
@mrishoamani-tz8qpАй бұрын
Duh kwakweli Hii nchi yetu duh mpaka naogopa aseeee
@JmotorsAutogarageАй бұрын
Mama samia Raisi wa jamhuri watanzania tunaomba haki ipatikane ktk nchi yetu mbona watanzania tunauwawa je tunatakiwa tukaishi wapi mama etu
@NassormsuruzyaRupia2 ай бұрын
Nanukuu wimbo wa mitego ""wy mungu ulimchukua john mapemaa kama ikikupendeza chukuwa na awaa 😂😂😂😂
@reginas18322 ай бұрын
Acheni kutumika nyie police mtaalaaniwa na vizazi venu
@dennisungonella2052 ай бұрын
Polis wetu wanakosa busara na utulivu, wao wanawaza nguvu zaidi
@onesmomnyeke34772 ай бұрын
Iyo ni busara tosha
@emakoresahili2 ай бұрын
Lissu "Ukitoka Nje uko kwenye Ufalme wake" Hahahahaha hatari sanaa...Jamani mambo gani haya lkn
@phinaphina32012 ай бұрын
Afrika ina mzaa sana yani. Hatutawahi kuendelea.
@jacobelias18342 ай бұрын
Mimi kiufupi sijamuelewa huyu police zaidi ya kuleta vurugu na kuwapotezea mda watu ambao wana vikao vyao kwa mjibu wa sheria inaboa sana
@julianobihabansi4000Ай бұрын
Hawa chademo ni wapuuzi sana, Ingekuwa ni mimi navikamata vyote kwa nguvu, Askari wananyanyasika sana, wanadharaulika kwa sababu ya vipuuzi kama hivi
@josephdimosopantaleomadegh759929 күн бұрын
Apo awo police wamejitaidi sana kuoneaha busala ila chadema nao walitakiwa wawe na busala ila lisu ameoneaha busala apo mwishoni usha uli wangu acheni siasa waachie nchi afu tuone baada ya miaka mitano itakuaje wakiwa wenyewe
@andrewsamwel22802 ай бұрын
Nidhamu mbovu sana ya Jeshi la Polisi wameonesha Kwa Chama, wamejidharirisha sana. Ila sishangai ndo mambo ya amri hayo yanavyokuwa
@kapingageorge76352 ай бұрын
Askar anaasimamia sheria ambayo hajui anasimamia nin kuna kaz kubwa aisee
@prophetislael5265Ай бұрын
Lakn mm naona hapo mwenye busala nipolis maana yeye yupo kazi anatumiwa au katumwa hausian lakn katumia hekima shida ya chama changu chachadema kwasababu tunaitaka nch tunaona hata tukikosea tupo sawa na tunawazarau sana polis Kwenye mpila ukisha amin lefa anapendelea hata akiwa sahii utasema anapendelea
@rabsonmichael9720Ай бұрын
Aya mambo yanatia hasira sana,huyu polisi hata aeleweki anachokiongea.
@nsodyaphilimon91532 ай бұрын
Tatizo chadema ni wadumavu mbona afande n mtaratibu??
@AdamLeyan2 ай бұрын
Mungu ibariki chadema kunasiku watakuwa chin yenu
@ErastoNzibonera2 ай бұрын
Akuna democrasa
@RayNittu2 ай бұрын
Nimeipenda ya mnyika, kwamba hawawezi kuzungumza na mwalifu mbele ya jumuiya. Kwahyo mwiz alikamatwa kwenye jumuiya,polic anawaambia wanajumuiya watoke ili tumhoji mwiz akiwa peke yake..
@isaackmwakapala8663Ай бұрын
Hii nchi uhuru uko mbali sana.
@giftotaru58082 ай бұрын
Wanazungukaaaaaaaaaa Mungu mtakatifu akasimame na wote wanaonyanyasa wanapigania haki aman na mambo ya kwelii
@KajokaTanzaniaАй бұрын
RPC na Lissu wako very hamble sanaaa nimewapenda.
@JosephMwaitete26 күн бұрын
Jamani kwa nini watu wanapenda kujifanya wajuaji?
@ernestmbago8482 ай бұрын
Nchi inaraha sana jamani maana natokwa na machozi kwa kinachoendelea nchini
@richardhosea88272 ай бұрын
Afande Nkantimbo mtu safi
@bensonfikirini41122 ай бұрын
Ila hii nchi daaah...!!!
@dicksonkilupa22582 ай бұрын
Kama mtu ana kosa mlisubiri hapo ndp mmkamate mtu? Ili kuharibu kikao?
@suratibrahim64172 ай бұрын
Rpc alikuwa mwerevu sana...sijui nini kilitokea nyuma ya pazia