Wayahuki walipinga amri ya ALLAH kutofanya kazi siku ya SABATO ndipo wakaadhibiwa kwa tamaa zao
Пікірлер: 66
@HassanJaphari-rx7jy10 ай бұрын
MashaAllah Namuomba Allah (s.w) aniongezee upendo wangu uzidi Kwa mtukufu wa daraja kipenzi chetu mtume Muhammad (s.a.w). Ameen
@mangashajunior24210 ай бұрын
Hadithi za kizee zisizo na maana mtume Paulo alionya tuziepuke....
@jumahamad372310 ай бұрын
Maaashallah Allah akulipe ujira ulio mwema Kwa darsa nzur
@AllyMtukah5 ай бұрын
Mashallah
@sabihaibrahim14310 ай бұрын
mpaka leo laana inawaandama
@ruweydaharith242910 ай бұрын
Mashallah tabarakal Allah
@maalimkaisitv838510 ай бұрын
mashallah Allah atuhifadhie sheikhe wetu
@user-rk2dd5kq2f4 ай бұрын
Mashallah ya rabbi akuzidishie elim
@ahmedmpimbi968410 ай бұрын
Allahu akbar, hv ni mimi tu ndio naona sheikh anasoma quran vizuri au?
@miskyabdillah745110 ай бұрын
Mashaalh hadithi za mtume Muhammad S.A.W zina ladha. Alhmdlh ❤
@AishaHassan-xy2yv10 ай бұрын
Mashaallah
@hamadtv29410 ай бұрын
Kumbe mayahudi wanabalaa toka zamani
@user-jj1sl7dd7p10 ай бұрын
Mashalha mashalha😊😮
@user-uq5zn3mq7c10 ай бұрын
Allah akuhifadhi shekh
@jimjam-xg7rv10 ай бұрын
Maa shaa ALLAH 💚💚💚💚
@AndulHida-hs5py10 ай бұрын
Masha Allah tabarak Allah kheri
@aminajumale680510 ай бұрын
Jazakallahu kheir ❤❤❤
@user-gi3mp8nf2v10 ай бұрын
Mashaallah mashaallah ❤❤
@fardoshnassor784710 ай бұрын
Mashalla Allah
@zakiaanwar67710 ай бұрын
MashaAllah
@mifunga341410 ай бұрын
Allahuakbar
@user-fj8kw6vt2v10 ай бұрын
Mashaalaa
@paschalcosmas609310 ай бұрын
Hizo Hadithi dah!...Mungu anajua
@adkajisi453610 ай бұрын
Wanafarijiana hatarii
@salimakida957 ай бұрын
Bado hamjasema
@chalokalunde942910 ай бұрын
Jamani acheni hadithi za uongo, hii si sawa na ile yà wanasayansi eti binadamu wote tulikua manyani.
@nassirhaji360810 ай бұрын
We acha usenge miongoni mwao
@user-sy3qw2zk1b10 ай бұрын
MUogopeni MUNGU.acheni hadidhi za uongo. Je mbona husemi kama haohao manyani ndio waliokula chakula kutoka peponi? Mana!
@nassirhaji360810 ай бұрын
We mtu acha upumbavu hukuambia walijua ndo asili Yao umeambiwa walikabisha Ahadi na wakaenda kinyume kwaiyo wakapewa Azabu kisilize icho kisa sio kichwa Cha habari
@nassirhaji360810 ай бұрын
So awo mayahudi ni ndugu wa manyani umenielewa hao wanatabia za kinyani ndio maana mpaka Leo wanawaandama ndugu zetu was palestina lkn ALLAH (s.w) eshaweka Ahadi kushinda kwao no Kwa mda mfupi na dhulma haidumu awo nakuahidi watakuja kupigwa wake wajiulize na watafutane
@mangofish907910 ай бұрын
@@nassirhaji3608hapana bwana ukishaumbwa binadam ndio umeumbwa binadam hio ni aya "mutashabihat" ktk quran iliposema "wakageuzwa manyani" haina mana waligeuzwa viwiliwili bali matendo yao na hivyo ndivyo hadi vizazi sasa vimendelea kuwa na tabia za unyama waunyani. Na kuna sababu kwanini ametajwa nyani. Kijana kasome hawa mashehe wetu elimu yao wamesomeshwa quran kwa upeo wa miaka 1, 4000 iliopita na wao wanapita mule mule tu hawana upeo wa kuleta tafakari juu ya baadhi ya tafsiri ktk quran.
@kibavumrisho349510 ай бұрын
Usilojuwa uliza uenda hata vitabu vingne muanivyo ipo hyo ulizeni uislam ni dini ya kusoma
@user-jv1ch4tr8q4 ай бұрын
Assalam aaleykum wa rakhmatullah wa barakatuh chekh naomba namba yako ya sim nina kitu nataka unisaidie kwakwel mana nimeshakosa lakufanya naona utanipa msaada
@muhammedbakari286710 ай бұрын
Hiyo haina shaka na ndio maana leo nibora kugonga binaadamu kuliko kima .tunayaona jozan pale..kumbe mikafir inajuwa kuwa ililaaniwa na Allah na ndio maana wanaupiga vita uislamu kila kina ya dunia eti kushindana na Allah ,huko ni kujidanganya ..moto wenye muako mkubwa unawasubir huko akhera..Allah atuepushe na adhabu zake..hizo azabu ziwafike hao awanai tetea ushoga na kuwauwa wapelestina kisa ni waislam
@janetmwende728010 ай бұрын
Muhammad alikufa na hatawai kuja tena,tunamgoja yesu mnaomkataa siku ya kiama,adhabu itawapata tu mhamed anahukumiwa na waislamu wezake
@mwassamwassa726410 ай бұрын
Mimi nadhani uislam ndiyo unapinga ukristo na uyahudi na Koran inasema piganeni na Wakristo na wayahudi na ndiyo maana nchi kama Saud Arabia, Pakistan, Kuwait wanaua Wakristo kwa hofu kwamba dini yao itakimbiwa
@user-rt1wf6se5f10 ай бұрын
Uongo wew unaekubaliana na ushoga sis syo wabaguzi
@muhammedbakari286710 ай бұрын
Anae kubaliana na waizirail au wamagharibi huyo ni shoga kama alivo sema Mungu wenu papa fransis kuwa Mungu wenu anakubaliana na ushoga kwahiyo ww ni miongon mwao ila jiandae na moto wa jahanam...
@zakariamalembela397410 ай бұрын
@@muhammedbakari2867Leo ndiyo nimesikia muislam akimtambua kama Mungu, pole sana ndugu fuatilia upapa ni nini na kwanini kuna madhehebu hayanaa cheo cha papa utaelewa, usiropoke kufru zisizopo.
@mousableus10 ай бұрын
Awus na fasaraji abul baba khalifa wa ma awus. ( mayahudi waligewuzwa Ma kima na manyani )
@sadiqselengu419710 ай бұрын
Nakuomba ukimaliza vipande vipande utupie kisa kizima kutoka mwanzo mpk mwisho
@mohammedali-qv2jo10 ай бұрын
we chalakulende hunaakili wao wenyewe hiyo hadisi wapingi wewe unapinga kwani kwa mungu kitugani hakiwezekani wewe tafuta elimu japokwenye bibilia yako
@user-gi3mp8nf2v10 ай бұрын
Ww vp mbn huweelewk
@muhammedbakari286710 ай бұрын
Ukweli utabak kuwa ukweli tu ..sasa kama wew umechukia Hawa mayahudi kuwa manyan badilisha hiyo uwageuze binaadamu tena kama ww kidume kweli😂😂😂😂😂😂😂..
@user-dc3bj8mv8s4 ай бұрын
Mataifa zaidi ya hamsini yakisram wamewashindwa mayahudi afu mnasema nini yie waisramu hamna maana mayahudi kiboko yenu wachache sana ila nimwimba kwa mwaisramu noma,
@listonjiwe346710 ай бұрын
Shehe wewe mwenyewe waarabu wanakuona nyani
@user-rt1wf6se5f10 ай бұрын
Tupo kweny Imani waarabu wote ndio wastaraabu sawa au weusi wote ndio wastaraabu sawa au wazungu wote ndio wastaraabu sawa!!!!
@abdallahhamisi4510 ай бұрын
Waarabu gani hao. Hata mimi na wewe imani hatuko sawa. Ila mtume wa Mwenyezi Mungu Mohammad SAW hayuko hivo
@zephaniamanembe692910 ай бұрын
Myahudi asili take ni mweusi na wewe ni myahudi usiyejitambua, mfalme suleimani anakili kua ni mweusi. Iweni na ufahamu, wimbo uliobola 1: 3
@abdallahhamisi4510 ай бұрын
😂😂😂😂 sasa umeandika nini. Kuwa mweusi na kuwa nyani kuna uhusiano gani. Ndugu wa kima na manyani ni wayahudi. Kwanza hao wayahudi wana wabagua wenzao wenywe asili ya Ethiopia. Kichwa kile
@TeddyMgen-zl3hp10 ай бұрын
Wadanganye wajinga wenzako
@Putin3319 ай бұрын
Mjinga mamaako
@idrisalimapema25399 ай бұрын
Twambie ww ukweli
@salimakida957 ай бұрын
Wajinga ni wale wanaouziwa jiwe la kiomoni wakaambiwa Lina upako 😂
@user-vh1ex6te2o6 ай бұрын
Mjingaaa ni wewe na huyoo aliyee kuzaa..
@lookmanlookman62976 ай бұрын
Huyo anaeipinga ni mfuasi wa lucifer make mngeambiwa ukweli kiasi gani mngepinga tu