KWA HABARI NA MATANGAZO TUPIGIE SASA 0753393036 CALL 0625466848 WHATSAPP
Пікірлер: 16
@Sanjey-vp1fm4 күн бұрын
Inonga wa mwisho wa simba ni bora beki acheze g64 kuliko yeye, nimefurahi sana kuondoka istoshe hata chama pia naomba aondoke tu maana keshatujaza ujinga vichwani mwetu, aende tu.
@user-yh3dv2bl7u5 күн бұрын
Hakuna Asante iliyotuumiza walikuwa wanatuhujum nabado wengine tunashangaa bado wapo hatujui Kwann wanawachelewesha kupewa asante
@Sanjey-vp1fm4 күн бұрын
Mwamnyeto ackanyage pale msimazi
@FrankLeonard-wh5jm5 күн бұрын
Mboyoyo nyingi sana hamjui tu wtu tunavyo umia huku mtaa
@user-md7sd3hk6l5 күн бұрын
kaondoka mbape ndiyo maisha ya mpila
@khadijahussein52984 күн бұрын
@@user-md7sd3hk6lkweli kabisaa
@khadijahussein52984 күн бұрын
Kwakweli yaanii
@user-qe6xc4nm8u3 күн бұрын
Huyu jamaa anaongeaga Sana alaf nyingi ni pumba tupu
@UmayyaNkya-ze3ri5 күн бұрын
Ata mie kweli inonga cjaumia😅😅 kwan ligi inaanza lini jmn
@amourhaji13335 күн бұрын
Muongo Kisugu. Brazil SI Kwa Ronaldo de Lima. Akikuwa Ni Romario. Wacha Uongo.
@AndrewLikiti-yb2ws4 күн бұрын
Mwezi wa 8 mwaka huu 2024
@AndrewLikiti-yb2ws4 күн бұрын
Ligi itaanza mwezi wa 8
@BADAWY5754 күн бұрын
Hawa mm nawaita wanafiki alafu najiuliza kisha nakuta kumbe ni machizi au sijui ndio chawa.ukweli ni huu Enonga bakka wakati wa mwisho simba hakuwa na raha kulikua na uongozi usio watosheleza wajizaji wame surfer huo ndio ukweli .Swali huo uongozi ndio bado upo semeni ukweli simba yetu hatujijui mikuma nyie😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@sevelintino61815 күн бұрын
Wassliti dawa yao ni hiyo
@DavidMnanka5 күн бұрын
🤪🫡👏
@BADAWY5754 күн бұрын
Sasa anaongea inonga wakati uliopita na sasa hana hata uelewa wa mpira inonga profetional player .alikosa raha ya timu .timu lenu kama timu la ndondo kina per omar jobe na bado yuko sana simba kuna kiongozi mkubwa tu anagawa nae mshahara😂😂😂😂😂😂yani 😂😂😂😂😂😂😂friji langu bovu