FRIJI BOVU:WACHAMBUZI WAMEVULIWA NGUO NA CHAMA WOTE MTATEMBEA UCHII HAMTAAMINI

  Рет қаралды 33,967

SPORTS MAX

SPORTS MAX

4 күн бұрын

KWA HABARI NA MATANGAZO
TUPIGIE SASA
0753393036 CALL
0625466848 WHATSAPP

Пікірлер: 26
@user-bc2wd1sq3k
@user-bc2wd1sq3k 2 күн бұрын
Kweli chama si mwamba tu wa lusaka!na tanzania pia,sasa inatakiwa tuunganishe lusaka na dar,tupate tupate jina moja kisha tumpe chama.
@GOLDIANEDRICK-sm6xk
@GOLDIANEDRICK-sm6xk 2 күн бұрын
Lusadar
@kulthumally1854
@kulthumally1854 Күн бұрын
Huna lolote fala we leo unajitoa unawaja wenzio maneno yanakutoka mengi kwa aibu
@BenjaminiPastiani
@BenjaminiPastiani 2 күн бұрын
Kaka una jitetea sana kama umeandika kubali tu yaishe acha mambo mengi
@malietamalieta9658
@malietamalieta9658 2 күн бұрын
sai unaenda kupoteza tu uchambuzi wako ulikua Bora vip fei kipnd anaachana na yanga akufanya usaliti dube ndo anaonekana msaliti na uku yanga ulikua adi kimataifa @mfalme wa soka? usifate usimba na uyanga ama kiki utaaribu ubora wako
@user-mg1yl2rl8s
@user-mg1yl2rl8s 2 күн бұрын
Huyu nae dishi limeyumba😂 eti mo akiamua aamue mara ngapi??? Kaamua na ameshindwa kufika dau...mara njoo Dubai mara namtuma mtu Lusaka. Jana pia watu wamemsubiri airport lakini wapi😅😅 Shida tajiri kutoa hela hadi aombe kwa ndugu zake😂😂😂😂
@sittamwigulu8395
@sittamwigulu8395 2 күн бұрын
Huna akili hata kidogo 😅😅
@WestonMbuba-ff4jk
@WestonMbuba-ff4jk 2 күн бұрын
Azam hawafanyi kiprofeshno. Wangefanya kiprofeshno wasingefanya uhuni waliofanya kwa Fay
@comsmkemwa2671
@comsmkemwa2671 2 күн бұрын
Nyie wachambuzi wote mpk mnatia kinyaa....!! Friji bovu wewe mwnyewe umeshasema mara nyingi kuwa Chama Yanga kishasaini !acheni upumbavu
@NdayishimiyeEvelyne-ws6ts
@NdayishimiyeEvelyne-ws6ts 2 күн бұрын
Pasco fei hajawakosea yanga kwani si azam waliyoyafanya yanga ndo waungwana juu fei amatolewa bure
@fredrickipembe8188
@fredrickipembe8188 2 күн бұрын
Baazi ya wachambuzi wanahalibu soka letu wanazitia joto timu na wachezaji wakati wa usajili
@jumannemsengi2195
@jumannemsengi2195 2 күн бұрын
Ila FEI naye aliwasaliti wepi???? Mbona ni mulemule😅😅😅
@KasukuluMwenbungu
@KasukuluMwenbungu 2 күн бұрын
Unatafuta kazi kwa mo dewj
@LetasKomba-br1xh
@LetasKomba-br1xh 2 күн бұрын
Mtakua waongo hatutawaangalia kwenye media zenu
@EstomiMoshi
@EstomiMoshi 2 күн бұрын
Mshabiki wa Simba hiyu
@allymtunge5530
@allymtunge5530 2 күн бұрын
😅😅😅 hy kweli huyo friji
@AlfredMwakabana
@AlfredMwakabana 2 күн бұрын
Hivi mwandishi wewe umekosa kazi kumhoji huyo ana hana taaluma ya uchambuzi
@evaristgaspa6074
@evaristgaspa6074 2 күн бұрын
Chama akibaki Simba atajuta mbereni ataanza kuchareweshewa maripo yake kwssababu warikuwa hawamtaki ira wamemchukua
@user-iz2jq8vk7l
@user-iz2jq8vk7l 2 күн бұрын
Tofautisha R na L then nd uandike maana naona kama mganga ajae, wakat bado ww kijana
@bonifacealphonce490
@bonifacealphonce490 2 күн бұрын
Watu mmeanza lini kuwa wanajumu?Nini kinafanya useme atacheleweshewa malipo akibaki simba hali hajawahi fanyiwa hivyo wapi atawahishiwa?Maadamu yuko simba na hajawahi kucheleweshewa hapo ndio kwenye uhakika kwingine nikubeti tu.
@kassidpandu866
@kassidpandu866 2 күн бұрын
Huyo ni Mtu mbona Majeruhi sana na Hamusemi ukweli wachambuzi?
@mwanangusana
@mwanangusana 2 күн бұрын
😂😂😂😂😂 atapelekwa kwenda kutubiwa ....
@user-gs2ir3bg4j
@user-gs2ir3bg4j 2 күн бұрын
Awezi kwenda yanga kwani yanga wanadaiwa na wachezaji pesa kibao
@user-mg1yl2rl8s
@user-mg1yl2rl8s 2 күн бұрын
Sasa wakidaiwa yeye Chama yanamhusu vipi?
@LUIAABDALAJAMALDINELUIA
@LUIAABDALAJAMALDINELUIA 2 күн бұрын
wandishi wa tz ni wajinga sana
@simonmbai8140
@simonmbai8140 2 күн бұрын
Uwa hukumbuki unaongea nini
DOCTOR MO ASTUSHWA NA USAJILI MUKWALA/AMPA FEISAL WELCOME
18:21
Maximum Tv Online
Рет қаралды 14 М.
OMG😳 #tiktok #shorts #potapova_blog
00:58
Potapova_blog
Рет қаралды 4,1 МЛН
когда повзрослела // EVA mash
00:40
EVA mash
Рет қаралды 3,4 МЛН
1❤️
00:17
Nonomen ノノメン
Рет қаралды 4,5 МЛН
AHOUA JEAN CHARLES
4:22
Thierry Djodjo
Рет қаралды 21 М.
OMG😳 #tiktok #shorts #potapova_blog
00:58
Potapova_blog
Рет қаралды 4,1 МЛН