KWA HABARI NA MATANGAZO TUPIGIE SASA 0753393036 CALL 0625466848 WHATSAPP
Пікірлер: 26
@user-bc2wd1sq3k2 күн бұрын
Kweli chama si mwamba tu wa lusaka!na tanzania pia,sasa inatakiwa tuunganishe lusaka na dar,tupate tupate jina moja kisha tumpe chama.
@GOLDIANEDRICK-sm6xk2 күн бұрын
Lusadar
@kulthumally1854Күн бұрын
Huna lolote fala we leo unajitoa unawaja wenzio maneno yanakutoka mengi kwa aibu
@BenjaminiPastiani2 күн бұрын
Kaka una jitetea sana kama umeandika kubali tu yaishe acha mambo mengi
@malietamalieta96582 күн бұрын
sai unaenda kupoteza tu uchambuzi wako ulikua Bora vip fei kipnd anaachana na yanga akufanya usaliti dube ndo anaonekana msaliti na uku yanga ulikua adi kimataifa @mfalme wa soka? usifate usimba na uyanga ama kiki utaaribu ubora wako
@user-mg1yl2rl8s2 күн бұрын
Huyu nae dishi limeyumba😂 eti mo akiamua aamue mara ngapi??? Kaamua na ameshindwa kufika dau...mara njoo Dubai mara namtuma mtu Lusaka. Jana pia watu wamemsubiri airport lakini wapi😅😅 Shida tajiri kutoa hela hadi aombe kwa ndugu zake😂😂😂😂
@sittamwigulu83952 күн бұрын
Huna akili hata kidogo 😅😅
@WestonMbuba-ff4jk2 күн бұрын
Azam hawafanyi kiprofeshno. Wangefanya kiprofeshno wasingefanya uhuni waliofanya kwa Fay
@comsmkemwa26712 күн бұрын
Nyie wachambuzi wote mpk mnatia kinyaa....!! Friji bovu wewe mwnyewe umeshasema mara nyingi kuwa Chama Yanga kishasaini !acheni upumbavu
@NdayishimiyeEvelyne-ws6ts2 күн бұрын
Pasco fei hajawakosea yanga kwani si azam waliyoyafanya yanga ndo waungwana juu fei amatolewa bure
@fredrickipembe81882 күн бұрын
Baazi ya wachambuzi wanahalibu soka letu wanazitia joto timu na wachezaji wakati wa usajili
@jumannemsengi21952 күн бұрын
Ila FEI naye aliwasaliti wepi???? Mbona ni mulemule😅😅😅
@KasukuluMwenbungu2 күн бұрын
Unatafuta kazi kwa mo dewj
@LetasKomba-br1xh2 күн бұрын
Mtakua waongo hatutawaangalia kwenye media zenu
@EstomiMoshi2 күн бұрын
Mshabiki wa Simba hiyu
@allymtunge55302 күн бұрын
😅😅😅 hy kweli huyo friji
@AlfredMwakabana2 күн бұрын
Hivi mwandishi wewe umekosa kazi kumhoji huyo ana hana taaluma ya uchambuzi
@evaristgaspa60742 күн бұрын
Chama akibaki Simba atajuta mbereni ataanza kuchareweshewa maripo yake kwssababu warikuwa hawamtaki ira wamemchukua
@user-iz2jq8vk7l2 күн бұрын
Tofautisha R na L then nd uandike maana naona kama mganga ajae, wakat bado ww kijana
@bonifacealphonce4902 күн бұрын
Watu mmeanza lini kuwa wanajumu?Nini kinafanya useme atacheleweshewa malipo akibaki simba hali hajawahi fanyiwa hivyo wapi atawahishiwa?Maadamu yuko simba na hajawahi kucheleweshewa hapo ndio kwenye uhakika kwingine nikubeti tu.
@kassidpandu8662 күн бұрын
Huyo ni Mtu mbona Majeruhi sana na Hamusemi ukweli wachambuzi?
@mwanangusana2 күн бұрын
😂😂😂😂😂 atapelekwa kwenda kutubiwa ....
@user-gs2ir3bg4j2 күн бұрын
Awezi kwenda yanga kwani yanga wanadaiwa na wachezaji pesa kibao