Рет қаралды 3,697
Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania CHADEMA kimetoa ufafanuzi baada kuzagaa taarifa iliyopotoshwa kuhusu kiongozi wake kusitisha maandamano ya Septemba 23. Zaidi msikilize Mkurugenzi wa Habari na Mambo ya Nje wa Chadema John Mrema akitoa ufafanuzi huo alipozungumza na Sudi Mnette.