Tanzania hajawahi kuwa na amani. Amani bila haki ni uongo
@AbdallaMwagora-sm1rj12 сағат бұрын
Bila mapambano serekali ya umoja wa kitaifa Zanzibar isingepatikana,.
@faridiathumani311413 сағат бұрын
Mpaka hapo watangazaji nanyie mmekubali kuwa polisi ni wauwaji tarehe 23 wanaweza kuuwa zaidi tena hazarani?
@AlexcpetroCpetro15 сағат бұрын
CCM watatumaliza wahunii kabisa
@usembiphonedar56328 сағат бұрын
@@AlexcpetroCpetro Tukatae utumwa huu na huu tayari tunaingia kuongozwa kidkteta kigaidi! Amkeni tuikatae ccm na vibaraka wake wote! Watanganyika ni muda wa kuchagua Rais Mtanganyika na kura zilindwe! Ila naona hawa wamejoandaa kupora uchaguzi kwa nguvu zote! na hata kukamata watu na kuua watu!!!
@NuruLutembeja-h1r14 сағат бұрын
Kwa hiyo ninyi watangazaji mnaunga mkono upuizi wa unaofanywa na Hii Selikari,endeleeni sasa,yakiwafika mtajua.
@usembiphonedar563212 сағат бұрын
Machawa mnachambua magazeti kichawachawa! Hovyoooo kabisa! Mnaongelea polisi kuua watu kwa risasi na kuweka vionjo vya kichawachawa! Kwa nini msiweke vionjo vya kuonyesha kwamba maandamano ni haki ya wananchi kikatiba na yanastahiri kufanyika kwa Amani huku polisi wakilinda Amani ya wananchi??? Mko bize kuchombeza kwa uchawa kwa habari za kutisha wananchi!
@EstherSamwel-vk4wb10 сағат бұрын
Inaumiza saana😢kama wanawapa sifa mapolisi badala ya kukemea uchawa tu
@maftahmusa95134 сағат бұрын
wewe tumia akili hebu chukua mfano mwachiwe muandamane na polisi iweke ulinzi mpaka mwisho wa maandamano yenu hayo maandamano ndio yatazuiwa wasiojulijana kutoteka watu na kuuwa ? nchi yeyote inayoshinda kwa nguvu za maandano jua polisi na jeshi la inchi hiyo wamechoka na huo utawala kama bado jeshi na polisi wanatumikia nchi mtasagwa kama mbu.
@charlesnyamiti317212 сағат бұрын
Hii nchi Ina watu wa hovyo Sana, watu wasio na uthubutu wa kusema kweli na kukemea maovu bila kujali yamefanywa na nani! Nchi hii inahitaji Kina Mbowe na Kina Lisu wengi zaidi ili kusafisha na kuondoa uchafu wa kiutawala na matumizi mabaya ya vyombo vya Dola! Kuna wakati ninakubaliana na Ukweli kwamba "Amani haiji ila kwa ncha ya Upanga" Bila kuheshimu uhuru na haki za watu kuna siku nchi hii watawala wataiingiza katika machafuko makubwa!
@NuruLutembeja-h1r8 сағат бұрын
Kaka uko sawa kabisaaa.
@NuruLutembeja-h1r8 сағат бұрын
Tunahitaji watu wanaojua matumizi sahihi ya akili zao kama wewe.
@floramsacky39296 сағат бұрын
Maandamano ya nini Mimi naandamana maandamano ya Ekaristi Takatifu maana yananosogeza karibu na Mungu, mengine tumshukuru MUNGU
@AbdallaMwagora-sm1rj12 сағат бұрын
Hata ukiwa kimya bado utakufa tuu,hata mzee ali kibao hakuna aliyemjua tulikuja kumjua alipo kufa wazo la Lipumba siliungi mkono.
@MiriamAbdallah11 сағат бұрын
My brother umenena point,hatujui Kesho ni wewe au mimi tutafuata
@MICHAEL.C.E.O.4Gnga10 сағат бұрын
Point broo
@saidnassormohammed958910 сағат бұрын
Nakupigia CUF tulifia Zanzibar yetu
@hazolemwashemele430812 сағат бұрын
WAPUUZI WATATU
@NuruLutembeja-h1r8 сағат бұрын
Wapeleke mahakamani hao wapuuuzi watatu,ili wewe ambaye si mpuuzi usije ukaambukizwa upuuzi wao.
@sebastianmmasa516313 сағат бұрын
Wananchi wanapigania nchi na haki sio chama! Wale wa CUF walikuwa wanapigania nchi sio chama
@Steve-q8m12 сағат бұрын
Bila kupigiwa kelele nchi na uongozi uliopo hawatabadirika Tania zao za udikteta
@mathiaszakaria705211 сағат бұрын
Lipumba ashaua chama hana jipya
@FrancisThomas-jc8wq14 сағат бұрын
Haki ndiyo inazaa amani
@fabby11812 сағат бұрын
Chadema Wana haki na wanalia hawana Amani wanawezatekwa muda wowote wakapotezwa, kwahiyo ni Bora waachwe waandamane kuliko kushindana nao. Wapi tayari kwa lolote
@CharlesMlaponi-h6z13 сағат бұрын
Watu wanapaswa kufahamu "Watu wafikiri zaidi"
@fatmafatu112814 сағат бұрын
We hando nikibararaka wa ccm usitishe watu ccm wamezoea kuuwa watu na kuwateka
@DanielSinavangi9 сағат бұрын
Sio Ando pekeake ata zembela pia
@rahimahamad10163 сағат бұрын
Mashauriano miaka zaidi ya sitini wamekalia viti hawaondoki, watungaji katiba ni wale wale, wanatuletea viongozi waovyo tu kila siku. Police wa Bara ndio wanatumwa siku zote. Zanzibar 1995 na 2001 waliokuja ni police wabara. hawa police nimagaidi lazima tuundamane miaka 60s hatuna mabadiliko ya haki kwa raia. Watanzania tuundamane.
@jongosalehe103614 сағат бұрын
Maandamano ni haki ya kikatiba kabisa ila inavyochukuliwa sindoilivyo hata kenya wanatushinda kwa democracy
@ameirzapy131813 сағат бұрын
Kenya bado sana😂, walipewa hiyo haki ya maandamano ila kinyume chake walichokifanya ni kinyume sana, watu waliharibu kila😂 kitu hapa utasema wanatushinda ?
@DennisAnthony-j5y14 сағат бұрын
Heriiiiiiii
@ahmedsultan856110 сағат бұрын
Sio wamekufa semeni waliouliwa
@harounali90577 сағат бұрын
Dj hapendi uchambuzi wa magazet kalala nyuma ya desk
@aediayumgo854612 сағат бұрын
Ndiyo waambieni wakina mage kimavi😮😊
@isumailparadiso207410 сағат бұрын
Machafuko hayawezekani hap tanzania labda kenya
@derrickmsa850510 сағат бұрын
Hando huyu uchawa ni too much!
@BoniphaceManyama-y2s2 сағат бұрын
Hawa ndio watu wa habari do!! Watu walikufa kwa kutete taifa lao na haki za watoto wao siyo uhau wa chama .ndio maana Leo hii ccm hawataki kukubaliana na ukweli na wameshindwa kuelewa nyakati badala yake wanaforce na kuleta machafuko , Ninyi watu wa habari mnavyoanalys insue muwe na ueledi uliotukuka ,Kumbuka , UKIWA DHAIFU UTAKUWA CHAWA
@jumamustapha825412 сағат бұрын
Hakuna serikali hata moja duniani inayowe kuridhia kuchezewa na kikundi cha baadhi ya watu, ulisema chadema inatetea wananchi ni uongo. Kuna acr, ccm, cuf n.k. hatutaki upumbavu wao.
@CharlesMaghembe12 сағат бұрын
For every action there is equal but opposite reaction.
@EdwardBalloho11 сағат бұрын
𝔫𝔞𝔲𝔠𝔥𝔲𝔨𝔦𝔞 𝔪𝔲𝔲𝔫𝔤𝔞𝔫𝔬😢😢
@nyamarungujr78348 сағат бұрын
Kama wasojulikana hawajulikani sasa haya mazungumzo ni mapatano baina ya nani na nani cz issue kubwa ni utekaji umekithiri asa kidogo nawaza kwamba hayo mazungumzo yatamalizaje utekaji? Na kama mazungumzo ndio njia yakumaliza utekaji asa chadema wanazumgumza na nani cz anaetakiwa kuwepo mezani na chadema kutokomeza hili swala upande mwingine uo ambao ndo hao hawajulikani! hapa ndo utajua wasojulikana kwanini hawajulikani. Nafikiri njia bora iwe kukaa na kupanga njia bora ya kulikabili hili swala na japo lina viashiria vyakisiasa ila tuweke siasa pembeni viongozi wetu wakae pamoja viongozi wa nyanja zote zakiusalama na zingine ikiwemo io yakisiasa tushirikiane kwa njia yoyote bora iliishe maana mambo yamekua mengii sana.😢
@florencejohn64273 сағат бұрын
Hawa wapuuzi leo wamejadili hii issue kiwoga na unafiki mwingi. Na hawataki kujiuliza maswali ya msingi kama kwanini serikali ikataze maandamano ya amani? Mbona yale yaliyooita waliruhusu kwanini haya wakataze? Sababu ni nini? Pia haya maandamano sio ya chadema, ni ya wapenda haki na amani wote, japo yameitishwa na chadema. Na chadema wanasema haina haja kuogopa kuumizwa au kufa kwenye maandamano kwa sababu adhabu wanazopata huko mtaani hazina tofauti na zile labda watakazopata kwenye maandamano(wanatekwa, wanateswa na hata pengine kuuawa). Wanajiuliza kuna adhabu kubwa kuliko kuuawa?
@danielndam59978 сағат бұрын
Hakuna mtu anae fia chama watu tunafia haki hatakama chadema itapotea lakini haki yawatu kuishi ipatikane
@kandecharlessanduku15399 сағат бұрын
HAKUNA SHIDA BILA KUFA HAKUNA HAKI
@DavidKagulu3 сағат бұрын
Wacha tukafe tuwaokoe mapunguani Kama nyie mnaoitetea utawala wa kidhalimu
@DavidKagulu3 сағат бұрын
Cuf wamebaki wasaliti,nyie waandishi kama mafala hamjui kwamba asilimia 90ya wanachama wa cuf walihamia act
@reginas183211 сағат бұрын
Kwa nini mnakimbilia kwenye maandamano???? Waachie vijana wetu . nyie hamfai kabisa hata kwa dawa.
@AdamCheze14 сағат бұрын
Maulid Ww Hauna Upande Kwel
@JansanMokiwa13 сағат бұрын
Hawajafia chama wamefia nchi yao
@derrickmsa850510 сағат бұрын
Yani wewe Hando huoni shida zilizopo nchi hii?
@DanielSinavangi9 сағат бұрын
Ando mshamba sana
@omarmsuya24594 сағат бұрын
Kwaiyo unataka zizidi au? Raha gn unayotaka zaid ya aman achanj ovyo ovyo pia semen na njaa zenu rizika unachopata
@FatumaSaid-t4r10 сағат бұрын
Mimi Chadema kindakindaki.ushauri wangu tusiandamane.wametuzamilia.tutaonana ktk masanduku ya kura tu.
@florencejohn64273 сағат бұрын
Ovyooo. Kura unapiga ya nini wakati unajua atakayetangazwa hata kama hujamchagua? Unaamini sanduku la kura kwa mazingira ya tume ya uchaguzi vyombo vya dola vya Tz? Unaota mchana kweupe.
@OmmyJames-xn7ji15 сағат бұрын
LABDA WAANDAMANE KWENYE MITANDAO 😢😢😢😢😢SACCOOS WAMECHEMSHA DAKIKA 90 HAWAZIWEZI
@NuruLutembeja-h1r14 сағат бұрын
Wewe kama unaona ni upuuzi,tuache tuliotayari tuandamane tumechoka kutekwa,kuuwawa,ghalama za maisha kupanda unyanyaswaji.Siku yakikufika utaelewa.
@khaalidcheo538314 сағат бұрын
@@NuruLutembeja-h1rtunakusubilia paleeee.ila usisaau kubeba nafamilia yako kwenye ayo maandamano yenu.
@khaalidcheo538314 сағат бұрын
😂😂😂
@OmmyJames-xn7ji13 сағат бұрын
@@NuruLutembeja-h1r MAANDAMANO HAYASAIDII UNGEENDA KWA MCHUNGAJI AU PALOKO ANGEKUFANYIA MIUJIZA 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@NuruLutembeja-h1r13 сағат бұрын
@@khaalidcheo5383 kwa sasa utacheka kwa kuwa hatuna ukobozi wa kifkra,siku tukipata ukombozi wa kifikra hauta Cheka Bali utafurahi.Nivyema tukabadilika na si kujikinai katika mbawa za kuitwa wanyonge wakati tunateseka.