#IpoTv #Kitale #FundiBeka #StanBakora Director - Emilian Kobelo
Пікірлер: 282
@ndoanirahaonlinetv50312 жыл бұрын
ACHENI MCHEZO NA QURAANI ALLAH ATAWAPA MTIHANI HAMTASAHAU MNACHEKESHA WATU KUHUSU QURAANI. SHEKENI ADABU ZENU .NAMUOMBA ALLAH AWAANGAMIZE WOTE WANAOCHEZEA KITABU CHAKE
@idisaidi2872 жыл бұрын
Acha kuwalani bali waombeye dua kwa ALLAH awaongoze
@edrisalusonge41412 жыл бұрын
Washitqkiwe
@vibesonvibes91892 жыл бұрын
I'm a Tanzanian🇹🇿but to the honest, online support for the Tanzanians from Kenya🇰🇪 massively
@zidaneommie9112 жыл бұрын
Allah is the great, He is the creator of universe, He is beyond to human comprehension, Mungu ni mkubwa halinganishwi na na kiumbe chochote, tuyatamke maneno yake aliyotuteremshia kwa heshima na utulivu na si kuyafanyia mzaha, Wallah ogopa siku ambayo huyu uliemfanyia mzaha dunian ndie mfalme na Hakimu wa siku ngumu ya kuhesabiwa cku ya mateso.. May Allah grant us goodness and be among those have achieved your mercy on the day of judgement
Unamkuta huyu nae Kuna wakati anajinadi na kujifaharisha kua ni muislam Akisahau kua waislam wakweli hua na heshima na adabu na mambo ya muumba (mungu) ikiwemo maneno yake (Qur an) Waislam tubadilike kwan mpaka yafanyiwe mzaha mambo ya dini ndio watu watacheka? Tubadilike Mimi Wewe Yeye Wote kwa ujumla Tuache kufanya mambo ya ki Iman Sehemu ambapo hayastahili kuwepo Ahsante .
@abubakarmpole40002 жыл бұрын
Subhallah mzaha ya Qur'an?😭😭😭
@SamirBSam2 жыл бұрын
🤣🤣😂😂isotope mimba yangu
@moshiomarymnyeda89072 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ostazi kachimba 🤣🤣🤣🤣🤣
@joshuaeliakimumadehwa85932 жыл бұрын
kariiiiiiiíi nakbar san blooooo
@neemazee18642 жыл бұрын
Sio bloooo ni broo
@deegrotv32152 жыл бұрын
Kitaleee Mtt wa Mjini hahahahhahahahahahja😭😭
@RayyanRayyan-rt9cg2 жыл бұрын
Ashataghafirullah😂😂😂😂🙌
@mwamedypwemu61172 жыл бұрын
allahu akbar kwel leo maneno ya mungu leo yamekua comedy
@SAyosk982 жыл бұрын
Eti Bwana Afande🤣🤣
@tungozamswahilijk46562 жыл бұрын
Ostaz usitoe mimba yangu
@princemeddy55142 жыл бұрын
Aisee kitale katisha😀😀😀😀😀😀
@asdasd92532 жыл бұрын
Jamani tuweni makini namaneno ya Allah sioyakuchezea
@lazalonzo46072 жыл бұрын
Kitale noma wallahi 🤣🤣🤣🤣🤣
@jamalmohamed34002 жыл бұрын
Hap.ndugu mumeanguka....hii sio sawa ...kuafnya mzaha na Quran sio sawa
@saeed6942 жыл бұрын
Tusieke mzaha kwenye aya za quran Allah atusameh sote .
@SaraphinaSam-cw4gf Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kibititi hiki uku ostadh✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️
@adammgana36332 жыл бұрын
Igizo zuri lakin msiichezee qur an kwan ni kitab kitaka tifu kuna watu walitolewa main kwa sabab ya quran ,kuna wat walipoteza meno sababu ya quran mtume mwenyewe pia mfano mzuri sasa mm na wewe tunapokuwa twaichezea inakuwa siyo vizuri Kwenye maisha haya hakuna mkamilifu tutubie kwake kwa Allah maadam tupo hai atapokea toba zetu
@rashidomary54882 жыл бұрын
Haifai kichezea Quran kama hivyo ni kosa kubwa kisheria Tubia kwa ALLAAH
@Cambarada2 жыл бұрын
Hiiiiii kasoma Tabatiada kweli😂😂😂
@biommy67002 жыл бұрын
Pwahahaaa aaah kitale wewee, uniwachagi salama cku zote
@lumistarboy8499 Жыл бұрын
Mweu kweli kitalee
@jayvendee82952 жыл бұрын
Shekhe leo kakutana nacho 😂😂😂
@Qadablah5 ай бұрын
Iptv Tanzania
@bonnyngowo75672 жыл бұрын
Msihofu kutumia neno la Mungu kuwafundisha watu.Sisi Wakrìsto imetusaidia sana.Dont discourage these yòung comedians please 😭
Maneno ya mwenyezi mungu hayachezewi jamani ombeni msamaha kwa aliyewaumba
@munamuna48402 жыл бұрын
Jamani kumbe kitale anajua kusona quran
@YasiniJamaАй бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 daaaahh!
@NiyonkuruMussa-t5l11 ай бұрын
Jamani acheni kuchezea Quran
@juliusgodfrey98202 жыл бұрын
Kitale kuna movies yako natfta siioni
@TALLUBOY2 жыл бұрын
duh umeuwa
@rehanijuma14212 жыл бұрын
Kitale kisha staafiru pia usirudie tena kutumia kuurani illa nimeipenda shoo yako noma unatisha ustazi kajikata fasta 😁👍pia kumbe muislam mzuri tuu dini unaijuwa sheh wangu leo mimecheka sana wewe noma broo
@MuhammadHamisi7 ай бұрын
wahuni wakubwa akili zenu mavi
@PauljazmenElMichel Жыл бұрын
Kk mkubwa kitale
@fathimamct2322 жыл бұрын
Shekhe kakutana na jini linalojuwa kisomo😂😂😂😂😂
@JRN26122 жыл бұрын
Haifai kufanya mas'hara na Qur-an, na nyinyi mnajiita waislamu.