#IpoTv #Kitale #FundiBeka #StanBakora Director - Emilian Kobelo
Пікірлер: 277
@ndoanirahaonlinetv50312 жыл бұрын
ACHENI MCHEZO NA QURAANI ALLAH ATAWAPA MTIHANI HAMTASAHAU MNACHEKESHA WATU KUHUSU QURAANI. SHEKENI ADABU ZENU .NAMUOMBA ALLAH AWAANGAMIZE WOTE WANAOCHEZEA KITABU CHAKE
@idisaidi2872 жыл бұрын
Acha kuwalani bali waombeye dua kwa ALLAH awaongoze
@edrisalusonge41412 жыл бұрын
Washitqkiwe
@vibesonvibes91892 жыл бұрын
I'm a Tanzanian🇹🇿but to the honest, online support for the Tanzanians from Kenya🇰🇪 massively
@mohdzotv26762 жыл бұрын
Innah Lillah Wainnah Illah Rajjiun wallah sijapanda Hata kidgo kuona maeneo matakatifu ya Allah yanachezea kizemba kama hvyo
@michaelthobias99672 жыл бұрын
Maigizo
@allykazoa83242 жыл бұрын
Tofautisha Uhalisia na Maigizo
@aboubakariramadhani1121 Жыл бұрын
Ayo ni maigizo sio uwaĺisia
@ernesthenry9589 Жыл бұрын
Mungu anajipigania mwenyewe hahitaji msaada wa mwanadamu.. hayo maneno tu we usichokipenda kitu gani hapo?
@zidaneommie9112 жыл бұрын
Allah is the great, He is the creator of universe, He is beyond to human comprehension, Mungu ni mkubwa halinganishwi na na kiumbe chochote, tuyatamke maneno yake aliyotuteremshia kwa heshima na utulivu na si kuyafanyia mzaha, Wallah ogopa siku ambayo huyu uliemfanyia mzaha dunian ndie mfalme na Hakimu wa siku ngumu ya kuhesabiwa cku ya mateso.. May Allah grant us goodness and be among those have achieved your mercy on the day of judgement
@mkudesimbaoriginal20272 жыл бұрын
Yani hadi Mm mwenyewe Nimecheka wallah 🤣🤣
@kadogorimwinyi14662 жыл бұрын
Hahahahahaahah
@neemazee18642 жыл бұрын
Mkude wa mchongo 😂😂
@atukuzwesanga49822 жыл бұрын
😂😂😂😂😂🙌🏼🙌🏼 jinga sana
@atukuzwesanga49822 жыл бұрын
Jina la move
@hamidayanga82242 жыл бұрын
Ila wewe nizaidi ya chizi😂😂😂
@saurijafary35812 жыл бұрын
Inalillah wainnailah raj hoon daaah 😭 bro japo mi ni shabiki ako umezingua sana Quran sio ya kuifanyia mazaa hivo tafadhali
@rashidomary54882 жыл бұрын
Haifai kichezea Quran kama hivyo ni kosa kubwa kisheria Tubia kwa ALLAAH
Khatarii hii eti ustadh kageuka afande..mbona mtihanii huu hahahahahaha
@farajially36602 жыл бұрын
Uwo ni mzaha na maneno ya Allah tena mnajifaharisha kwa watu muombeni Allah msamaha
@kisangageorgethomasi28302 жыл бұрын
Apo ww umekwazika nn
@azzanalzakwani74742 жыл бұрын
Musichezee quran tukufu ndiyo muongozo wa watu wote
@sirpurkinje28362 жыл бұрын
Ni Muongozo wa wapagani na wachawi na waganga na siyo watu wote.
@snsonlinetv84322 жыл бұрын
@@sirpurkinje2836 kijana acha matusi tafadhal
@salomekamande20582 жыл бұрын
@@sirpurkinje2836 Naomba rudia tena kakangu
@eliyalorry65132 жыл бұрын
Qurani siyo muongozo Wa watu wote.
@azadinzunda43272 жыл бұрын
Umekosea Sana kusema mwongozo wa watu wote sio kwamba wote wanaamini vile unavyo amini
@ibraahph2 жыл бұрын
Umeuwa baba kitale tambatiada abilaha habiu watabba 😂😂😂
@moshiomarymnyeda89072 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ostazi kachimba 🤣🤣🤣🤣🤣
@mussamadua1079 Жыл бұрын
😂😂😂kazi safi ilammekosea kitukimoja dua huainaandaliwa mazingira maalum yakusomewa siikilamahali nyiimmesomea mbele ya sinki lachooo kitale wemuislam qur'an inakanunizausomaji siihivyo ulivyofanya ingawa unatuburudisha nakutuelimisha ilachunga mipaka nakanuni kaka
@abbaskaizer10102 жыл бұрын
Mzaha kwenye Qur- aan mnatangaza vita na Allah na mtaharibikiwa .Acheni Mara moja please!!
@saidabdurahman96312 жыл бұрын
Innaa lillah wainnaa ilayhi raajiuun achen kufanya mzaha na quran kitale 😭😭
@kilimanjaro77international262 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁😁
@chrissjoel77522 жыл бұрын
🚮🚮🚮 Mzaha gani sasa
@petercharles3787 Жыл бұрын
Mmmh!! Unafiki upi ss
@hemednassor23622 жыл бұрын
STANLEY Swala haifungwi ivo inakua mkono wa kulia upo juu wa keshoto
@chrissjoel77522 жыл бұрын
Waislamu bana sasa wamechukia hata video za Comedy khaaaaaaaa 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
@saidomari0012 жыл бұрын
Masha Allah alhamdulillah
@mahfoudhjuma48332 жыл бұрын
Innalillah nusra ya Allah ni ushindi
@RockCityTV Жыл бұрын
Nimependa jinsi mwamba alivyomaliza hii inatufundisha jambo moja kubwa sana kiukweli. Vipigo vya maisha havimaanishi kwamba hatuijui dini.
@saidmzee8792 Жыл бұрын
Mazinge Mnazini
@jonathanmj93742 жыл бұрын
Kitale wee noma bro
@samubosco83012 жыл бұрын
Hahaha 🤣😂😂😂😂
@elbarrey33052 жыл бұрын
Msiyaaambatanishe maneno ya muumba ktk upumbavu wenu TAFADHALI 🙏🙏
@maalimshabanionlinetv71052 жыл бұрын
Ombeni msamaha kwa allha mmezifanyia istizai Aya za allha
@abuumkota5505 Жыл бұрын
daa nikweli kabisa
@meisaryboom43782 жыл бұрын
We need to enjoy ...but to use de beautiful words of Allah as comed not good... Seriously we love your content.. infact carefully on this
@abubakarmpole40002 жыл бұрын
Subhallah mzaha ya Qur'an?😭😭😭
@KmHn-qq4gi9 ай бұрын
Pore sana kitare nimwizi
@deakins.z7793t2 жыл бұрын
Hayupo 😂😂😂😂
@sarahomary36152 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Dah
@tungozamswahilijk46562 жыл бұрын
Ostaz usitoe mimba yangu
@salumhamisi6401 Жыл бұрын
Yaarabi wasamehe kwakuzitumia ayazako vibaya
@ntakandibitela28582 жыл бұрын
Kaka kazizako nzuri ila mzaha kwenye Qroan achakabisa
@shadadiswalehe39972 жыл бұрын
Hawa wapumbafu wanachezea maneno ya ALLAAH
@tungozamswahilijk46562 жыл бұрын
Ndo ya kajala na majizo
@anciscus2 жыл бұрын
angalia kaka kama tunaweza kufanya kazi mimi na wewe
@magariabdallah80662 жыл бұрын
Shehe wa mchongo kabisa umesoma allhamdulilah vizur ukaleta duwa ya kiswahili tena 🤣🤣🤣
@ommymehmed88802 жыл бұрын
duwaa inasomwa kwa lugha yoyote na Allah anaipokea.
@andrewfrancis60792 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@bonnyngowo75672 жыл бұрын
Msihofu kutumia neno la Mungu kuwafundisha watu.Sisi Wakrìsto imetusaidia sana.Dont discourage these yòung comedians please 😭
@sirpurkinje28362 жыл бұрын
😂😂😂 quran haiwezi kuponya. Ndo maana mtu kasomewa lkn mauzauza bado yamo,
@abdulhalim38402 жыл бұрын
Wew kwa akili zako kwel kuna alie soma kuran apo kuran yasomwa ivo ustadhi gan na rasta chunga san na quran awo wote wacheza msaha tu ila shaur Yao. ila elewa hakun ponyo yoyot ila ni quran pekee
allahu akbar kwel leo maneno ya mungu leo yamekua comedy
@youngweezy3846 Жыл бұрын
Ila kitale anajuaa bhanaaaaaaaa😁😁😁😁😂😂et afande
@TaufiqhHamisi7 ай бұрын
maneno
@adammgana36332 жыл бұрын
Igizo zuri lakin msiichezee qur an kwan ni kitab kitaka tifu kuna watu walitolewa main kwa sabab ya quran ,kuna wat walipoteza meno sababu ya quran mtume mwenyewe pia mfano mzuri sasa mm na wewe tunapokuwa twaichezea inakuwa siyo vizuri Kwenye maisha haya hakuna mkamilifu tutubie kwake kwa Allah maadam tupo hai atapokea toba zetu
@TLANDA_BG_932 жыл бұрын
Aminaa😂
@asclassic5042 жыл бұрын
🙌🙌
@saidburuji9984 Жыл бұрын
Kwa kweli kama ni waislam muombeni sana msamaha mola wenu kwa sababu kama mnafanya comedy Quran sio comedy Quran ni muongozo wenye kutakiwa kuzingatiwa
Nyinyi fanyeni tu mambo mengne lakin c mzaha na Quran tukufu saw iyo ni Quran nikitabu kisichomua na shaaka ndsni yake hakika niuongofu ndani yake
@idriskinye11902 жыл бұрын
Kitare ayah hizo kumbuka hilo
@jamalmohamed3400 Жыл бұрын
Hap.ndugu mumeanguka....hii sio sawa ...kuafnya mzaha na Quran sio sawa
@rehanijuma14212 жыл бұрын
Kitale kisha staafiru pia usirudie tena kutumia kuurani illa nimeipenda shoo yako noma unatisha ustazi kajikata fasta 😁👍pia kumbe muislam mzuri tuu dini unaijuwa sheh wangu leo mimecheka sana wewe noma broo
@coastermahenge89102 жыл бұрын
Kitale wewe nomaaaaaa
@fathimamct2322 жыл бұрын
Shekhe kakutana na jini linalojuwa kisomo😂😂😂😂😂
@SAyosk982 жыл бұрын
Amina🤣🙏🙌
@aboujanomarion61212 жыл бұрын
Jamani hiyo Quran mumesoma nimaelezo sio dua sijaskia dua hata Moja hapo lolz
@gobacktv2742 жыл бұрын
Go back tv ligi ikianza tu Tunatangazapaka iishe sasa Fanya kuSUBSCRIBE sasa hivi ili uwe mmoja wa wana Go back Tv, hiki ndo kijiji chetu et
@SAyosk982 жыл бұрын
Eti Bwana Afande🤣🤣
@MuhammadHamisi2 ай бұрын
wahuni wakubwa akili zenu mavi
@headboyclassic81872 жыл бұрын
Watanzania sasa kwa comedy mnakoelekea ni kufuru, fanyeni comedy mfurahishe watu lkn msiichezee Qur'an, Qur'an ndio mwongozo
@PauljazmenElMichel10 ай бұрын
Kk mkubwa kitale
@PauljazmenElMichel10 ай бұрын
Kk mkubwa kitale
@luciafrank44062 жыл бұрын
Hahaaaaaaa ostazi usitoe mimba yngu
@oliverjalah16622 жыл бұрын
Stan
@neemairadukunda21132 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mbavu zangu❤️🇧🇮🇧🇮❤️
@sharomapesataiga2462 жыл бұрын
Buradha kitale na kukubali sana sana ile kindaki ndaki natamani miwe na mimi mchekeshaji mkubwa sana sana
@aishaibrahim56072 жыл бұрын
Kwakuandika buradh kweli utatuchekesh
@BADAWY5752 жыл бұрын
Ww kitale na kuanzia leo ctizami video zako mjinga ww ,unafanya comedy na Qur'an, utajilani mjinga ww mpumbavu
@zuhurayasini47172 жыл бұрын
🤣🤣
@mrcally.2 жыл бұрын
Hahahaha 😂😂😂😂😂😂😂
@TALLUBOY2 жыл бұрын
duh umeuwa
@JRN26122 жыл бұрын
Haifai kufanya mas'hara na Qur-an, na nyinyi mnajiita waislamu.
@Cambarada2 жыл бұрын
Hiiiiii kasoma Tabatiada kweli😂😂😂
@alfanahmed87482 жыл бұрын
mbona mwaleta mzaha na quran, kama mwatengeneza filamu za kechekesha musiingize quran ndani yake, quran ina maneno mazito mno, mnatakiwa kufanya istighfar ili ALLAH awasameh
@INFANI-SPORT-TV2 жыл бұрын
aaaaaaAcha😍
@engineerkhamis92752 жыл бұрын
Kuwani Makini na Maneno matukufu ya Qur-an, Allah hadhihakiwi hivo. Turejee Qur-an 20:124-127
Unamkuta huyu nae Kuna wakati anajinadi na kujifaharisha kua ni muislam Akisahau kua waislam wakweli hua na heshima na adabu na mambo ya muumba (mungu) ikiwemo maneno yake (Qur an) Waislam tubadilike kwan mpaka yafanyiwe mzaha mambo ya dini ndio watu watacheka? Tubadilike Mimi Wewe Yeye Wote kwa ujumla Tuache kufanya mambo ya ki Iman Sehemu ambapo hayastahili kuwepo Ahsante .
@hyahasisihussein66662 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
@SamirBSam2 жыл бұрын
🤣🤣😂😂isotope mimba yangu
@Qadablah28 күн бұрын
Iptv Tanzania
@NiyonkuruMussa-t5l6 ай бұрын
Jamani acheni kuchezea Quran
@bilemoha57532 жыл бұрын
Hawa wana chezea qurani, ooy c fizuri jamaa
@louisemaska14152 жыл бұрын
Eti hayupo
@abbaskubecha77862 жыл бұрын
Hhhhhhhh
@abdirizakhtuke28822 жыл бұрын
Kitale , hii iwe ni mara ya mwisho kufanya istazai na Quran , kufanya kosa si kosa ila kurudia kosa ni kosa. Ni wafanyao makosa adhabu ni wajibu kwao , ni adhabu ipi utakutana nayo hilo litatagemeana na wakati.
@kombom3352 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 msenge kabisa hili kitale
@juliusgodfrey9820 Жыл бұрын
Kitale kuna movies yako natfta siioni
@izahakageorge95732 жыл бұрын
kitale si mnthu wamba(ni mtu hatali)Tz inajivutia kua na kitale .....!!!