Ni ukweli kabisa,iyo ili kuwa nyumba ya 50 cent,in Newyork,am visiting there on September, dreams come true
@errydeo88653 жыл бұрын
KITENGE UMENIANGUSHA!! YAANI KATIKA VITU VYOTE UNATUONYESHA GATE LA 'ILIYOKUA' NYUMBA YA 50 CENT?? FUKIN HELL..!!
@ibrahimngurungu56073 жыл бұрын
Unatuonyesha get unasema jumba yakhe hapo wafeli
@younglovedii10653 жыл бұрын
Samahani jmni mmi nilikua na ki2 ambacho ninakifikilia kalibia mwezi mzima ni kwamba nilikua nataka kuambia wasafi TV kitenge munaeka vipindi vyake hapa wasafi TV lkni kbla yayote vipindi anaanza Kuvieka kwenye account zake mbali mbali ambazo anazitumia kbla nyinyi wasafi TV hamja pata ata habali kwamba amesha Fanya hivo naweka kwenye kitenge TV KZbin a naweka kwenye Facebook yke anawe bobote ambapo a najua Ana account ssa nyinyi kma nyinyi wasafi media hamuoni kma Ana alibu kzi yenu au ndo mukataba wenu ulivo kma hataki bsi ashike njia mja ebana me naenda kwangu kwenye kitenge media au afate njia mja before Yakuekakipindi sehm yoyote akieke kwanza wasafi au ache kbsa kma King wa vipindi lil omy alivyofanya
@mcpaultv40283 жыл бұрын
Hii nyumba iko hapa Kenya 🤣 🤣🤣🤣
@selemanikassim70183 жыл бұрын
Wamekunyima kugusa hta geti ungeongea na mm kwanza shangazi yangu ndio kanunua huyo mwenyeji wako mwenyewe ka Google 🤣🤣🤣
@albertkarisa86203 жыл бұрын
Duh Zari alisema kweli. Hii hata ni habari gani jamani.
@mrgeorgeisdory52773 жыл бұрын
Yumba nyumbaaa la 50jumba la kush fahali jumba la 50 dhaaa bongo bhanaa 😂🤣🤣🤣🤣
@victorburser17173 жыл бұрын
Umeona eeeh yan upuuuz tu hapo cjui ndio katoa taarifa gan yan jumba jumba mala eeeh hili eeeh hili eeeh waliona yan nonsense tupu.
@mmassadieudonnengomoya86073 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣mi simwelew hadi sasa
@josamwilliam41053 жыл бұрын
Hawajui bando zimepanda
@mmassadieudonnengomoya86073 жыл бұрын
Wasafi Media anapost ujinga kweny account yake anapost vitu muhimu hii inamaanisha nini🤣🤣
@jumawaziri85013 жыл бұрын
nikajua utaingia ndani utuoneshe aaaahhh ktenge bhanaa miyeyusho saana saana
@khalidbalala77533 жыл бұрын
Leo ni April fool jamaa hhhhh
@alikibardc92293 жыл бұрын
Dah mmekosa kazi lakufanya kweli kweli😃
@biddii19723 жыл бұрын
😂😂😂😂😂kitenge unayumba bora ungekuja uku kimbiji kwetu ungetusaidia kutoa ata taarifa za matatizo wanayo pitia watu mana najua ww watizamwa na watuwakubwa ,viongoz mbali mbal sasa umeenda kwenyenyumba ya 50 cent 😂😂😂😂 nitengeee
@kwisa48993 жыл бұрын
He bought 8ml and sold 3ml ziro profit and all mone He donated to charity organization..
@JuliusGeorge-p3x Жыл бұрын
Umeanza kuzeeka vibaya KITENGE
@Jeshii.3 жыл бұрын
Waah so mme travel huko kote mkasimame nje na kutwambia hio nyumba iliuzwa 😂😂😂
@joezeno83 жыл бұрын
Ni kukosa habari
@stevelayda43123 жыл бұрын
Brother kajishusha kinoma 🤔
@joezeno83 жыл бұрын
@@stevelayda4312 kwakwali
@jamalowino7103 жыл бұрын
ndio nashangaa!!!!!!!!
@samwelibahebe44173 жыл бұрын
😂😂😂
@hhurbert2 жыл бұрын
Ila kitenge nakuheshimu sana brother hizi biashara umeanza lini
@2mbili13 жыл бұрын
MAN THIS IS A GATE NOT THE HOUSE... TANZANIANS THOUGH 😂😂😂
@wizpour87583 жыл бұрын
😅😅😅😂😂mgen kaishia nnje daah
@jumabashengezi14183 жыл бұрын
I live in new haven Connecticut
@rosegaston62263 жыл бұрын
Tumeshajua upo marekani Kaka. Jumba tu unarusha stim na Mb zangu. Rudi ITV
@monicahovda45243 жыл бұрын
Huko Marekani kwenyewe Wamejaa walala hoi Mpka, wasio na nyumba wanalala nje kibao, Kuna umasikini wa mpkaa kutupwa, hao weusi ndio usiseme, bora hata nchi kwetu.NA Sasa wameshajua Africa kumbe iko vizuri wanakimbizana kujaa huku, huko nyuma walikuwa wakisema ni jangle( Misituni)
@rosegaston62263 жыл бұрын
@@monicahovda4524 Bongo dili huwez kufa njaa kizembe kama unaakili. Ulumbukeni sana kuhusudu nje bila kua na dili la kufanya
@musafrancis35843 жыл бұрын
Mnatumalizia mb tu
@mmassadieudonnengomoya86073 жыл бұрын
🤣🤣🤣mbona sikuelewi ata kidogo hebu tueleweshe vizuri tukuelewa kitenge🤣🤣
@rutimarlon3 жыл бұрын
Si uingie ndani sasa
@munjy11tutorials3 жыл бұрын
Kitenge kulikuwa na haja gani kushika mic ya wasafi ambayo hujaiconnect na hiyo simu ilotumia kurecord hii video? Hiyo nyumba kabla ya kuwa ya 50 cent ilikuwa inamilikiwa na Mike Tyson alipofilisika ndio akamuuzia 50 na 50 kafilisika naye kauza kwa mwengine
@issasungura3522 жыл бұрын
Ingia ndani
@elvispapaa2 жыл бұрын
The presenter anajirudia rudia.
@ahadimahenge38456 ай бұрын
Mauridi kitenge sis wa tz tunanufaikavip. Na hiyo habari kwa mfano Kaka daaa,hapo umezingu😂😂😂
@mullamtupa91163 жыл бұрын
Bro apo umeferi bora ata ungenyamaza yani umeongea utopolo yani aina ata maana bora ata ungeenda kwa mfarume wetu ayati magufuli ungetuonyesha kaburi lake ungekua umebuni kitu kizuri sana dah 😀😀😀😀
@davidiminjeje1243 жыл бұрын
Hamna jipya
@official_bhachuri56843 жыл бұрын
Ingia ndani sasa
@malapakipochi33172 жыл бұрын
Kitenge hiii ndio hali halisi mnayopitia huko malekani...ugumu wa maisha unafanya hata uongee oungo..mara jumba la kifahari kumbe ni geti
@samwelibahebe44173 жыл бұрын
Kumbe mnaendaga marekan vijijini 😂😂😂😂
@leonardalphonce892411 ай бұрын
wa bongo bwan we jumba lako lko wap ssa vijana wetu huku tanzania wamesoma kazi hawapewi mnaenda kuchukua watu walio ajiriwa huko ulaya mnawaleta huku tanzania wanapewa kaz af unafkri watanzania niwajinga uwaonyeshe mijengo yawatu wakwako uko wap
@buffchinksmziray96813 жыл бұрын
Inatusaidia Nini kujua 50 cent kuuza nyumba yake. Au ndo kukosa habari MAULID
@masingamuhapa20263 жыл бұрын
Ivi izi chaneli nyengie hamunagi vitu vya kutuabalisha au.
@brightontv80193 жыл бұрын
Mbona tunaona getiiii siyoooo jumba
@miratishomary5263 жыл бұрын
Sasiungie ndan
@nassibuduma71623 жыл бұрын
Kaka mbona bado hamjui kutengeneza habari!.
@niyongendakosamuel46743 жыл бұрын
Wasafi mna mbwembwe sana mbona sasa huingii ndani mnajifanya wakubwa sana kumbe bado wachanga tuuuuu hatuna mda na mbwembwe zenu Bola milad ayo tv
@timbukwa97713 жыл бұрын
wabongo bhana, sasa hiyo inatusaidia ninii??
@mukambi32783 жыл бұрын
Labda sijui ka kuna muendelezo 😅 ila maelezo ya humu tu pia sijaona tija yake
@joezeno83 жыл бұрын
Kukosa habari
@KULKID3 жыл бұрын
DOPE
@krisongalax17363 жыл бұрын
Ingia ndani😂😂??!!
@komboomar82753 жыл бұрын
Sasa ndio nini hio acha ushamba Maulid nilifikiri utaingia ndani kumbe umeenda gate kalili kuomba omba ee
@mdl64633 жыл бұрын
Wewe acha kutudanganya Hilo jumba liko mwanza mbona. Ukimusikiza anavyoongea kuwa hiyo nyumba ilikuwa sio ya 50cent Ina maana mpka sasa ni mtu mwingine kwa nini useme ya 50cent km aliuza bado tu ya 50 acha kutudanganya iko mwanza hiyo tena igoma pale
@nathanjunior76942 жыл бұрын
Sema hilo ni gate ambayo 50 cent alikuwa anaingia kwenda nyumban kwake...
@anitakamene46563 жыл бұрын
Nice
@stevelayda43123 жыл бұрын
Me sijaona nyumba nimeona gate
@adijaniyonkuru97313 жыл бұрын
👍👍👍😍
@evaristjames98452 жыл бұрын
Hapo tunaona geti tu sheikh😂😂
@dankangodon34993 жыл бұрын
Jamani mm ndo sielewi kitenge mbona anatuonyesha geti🤣🤣
@mrperfect88523 жыл бұрын
Mbn kama hyo mike umeshika2😂😂😂 ukigeuka2 saut inapungua
@mukambi32783 жыл бұрын
Nembo yetu lazima ionekane😅
@mmassadieudonnengomoya86073 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@mickytv18633 жыл бұрын
Jumba likowapi 😂Si gate ilo au..?
@alimairakoze37843 жыл бұрын
😂😂
@_sivodesi3 жыл бұрын
Mbona akauza
@armanichicandow12253 жыл бұрын
jumba lenyewe liko wapi mbona tunaona geti tu. Hii media ya wasafi bado sana. Tujipange upya hatujafikia kiwango bali ni ushabiki tu ndo unatufanya tuisuport. lakini imezidiwa pakubwa sana na media nyingine kama 'Efm, choice, clouds, tbc fm, rfa, east africa radio, nk
@issarachidelidumbe96862 жыл бұрын
Tz kilakitu safi,umehelewa nini
@samuelnjoroge69123 жыл бұрын
I can only see the gate🤓 very measles program
@franklinkartel94993 жыл бұрын
Wasafi saa zengine hamna stori za kusema,heri mukakaa kimya sio kuchezea bundles za watu na vyenye sahii bunles zimepanda bei tz.
@alexkalonga36323 жыл бұрын
Ingia bro
@davisnitu8903 жыл бұрын
Sasa mzee kitenge hii Habari ina content iliokamilika kwel.... Unahaibisha Wasafi TV mzee baba
@mr.vionge3 жыл бұрын
Kitenge kamfata yule jamaa aliyesemwa na haji manara? 😅😂😂😂
@jesuskiswaili53513 жыл бұрын
Daaah ume kaa njee tu daaah
@vincentvin2113 жыл бұрын
Sijui hata kwanini nimeifungua, mmenipotezea bundle langu
@isayayohana63413 жыл бұрын
Uyu naee mtumzima ivo ana ongea nn sasa nyumba la 50 nyumba la 50 ndo nn sasa
@mukambi32783 жыл бұрын
😂😂😂
@nancykagera9197 Жыл бұрын
Ulitakiwa kusema hata ukiwasafi utaliona sio uki Google maana unataka brand nyengine while ww upo brand nyengine😂
@stevewaves67763 жыл бұрын
And how is this news ? Wasafi muache ushamba!!!
@benjaminnkinda99302 жыл бұрын
Hadisi hii ina tufundisha Nini ?
@enezermwafrica74432 жыл бұрын
Yaani Maulidi na Safari yote ya Marekani umeshindwa kuruhusiwa kupiga picha ya video ndani tukapaona du!!.. hii kali...!
@circletv74173 жыл бұрын
Kurikirana jali talent kids urebe impano nshya ukora like share subscribe and comment murakoze murakarama sura youtube channel ya jali talent kids
@shaddybmc83423 жыл бұрын
Ingia ndan
@eldonamascherano34113 жыл бұрын
Wabongo mnambwembwe nimejifkiri utaingia ndani unasimama ku get fujo nyingi namim naingia Portugal kwao na CR7 niongee kam wew hhhh