Congratulations rayvanny, napenda ur songs, from Kenya 🇰🇪🇰🇪
@fancyngeno27452 жыл бұрын
Hii sauti ikuje Kenya bigup for the lady voice
@adetonahsounkoura80383 жыл бұрын
Wonderful and congratulations to Raavanny. That is à fruit of Diamond. Nice
@yessekindi46252 жыл бұрын
Mtangazaji humjui BIG Notorious!! Duuuuh
@mutheriannah2562 Жыл бұрын
That background is very neat,,,,, rayvanny keep it💞💞,,
@florafaustine46373 жыл бұрын
NI HERI UWE NA MALI LAKINI UNAMJUA MUNGU PIA VINGINEVYO KUNA MAISHA BAADA YA HAYA.
@fatumasaleh80483 жыл бұрын
Kabsa
@emmamombo71493 жыл бұрын
Yes
@rehemathoya87543 жыл бұрын
Sikujui Flora lakini wazo lako zuri sana
@ndukulusudikucho_3 жыл бұрын
Mbona umekata tamaa
@mhamdahmd77583 жыл бұрын
Kabisa
@sebas-wl5sp2 жыл бұрын
Wow that's great end hot 🔥 Rayvanny you're the best
@classicvisiononline83342 жыл бұрын
Sio Dj Choka uyoo ni Ncha Kali wa Clouds Fm
@RENNYRennyClassic4 ай бұрын
Naitwa Renny Classic kutoka mwanza naomba sorppot kwa kakangu Rayvanny
@athumanmbululo39803 жыл бұрын
Wanachoniuzi ni kimoja tu,,, utasikia mjengo wa fulani,, kumbe amepanga,,
@ndaganoanastazia26583 жыл бұрын
Kwani anakaa bure? Ao analipa kodi? Huku ulaya ukilipa tu kido ni nyumbani kwako hata police pila kibali hufungue mlango….. upooooooo? So ni mjengo wake…..🤣🤣🤣🇫🇷🇮🇹🇧🇪
@saudah44553 жыл бұрын
Mh jmn
@lulually52093 жыл бұрын
Sasa mjengo wake au next levo mbona sielewi
@ndaganoanastazia26583 жыл бұрын
@@lulually5209 utaelewa tu ukiamka usingizini 🤣🤣🤣🤣🤣
@emmamombo71493 жыл бұрын
Mm pia huwa nauthika mjengo wa fulani kumbe nyumba ni yakupanga
@emmykisigelile44122 жыл бұрын
Meneja kumbe pia ww n muigizaj nakupata kwenye binadam wabaya ya kitale big up bro
@dinnoallex1292 жыл бұрын
Daaa nimejikuta naipenda hii tv kisa story ya van boy🙌🙌🙌🤣🤣
@@aminajuma1435 aaiseee ani mi nakerwkaga kishenzi ani halaff m na n simpo haiihitaj hata kusoma saaaana kwa mwalim mi nakumbuka niliishia 7 lakn huu ujinga c uwezagg😭
@abuukamanda.s.mkenga66873 жыл бұрын
@Salama Salama umeuaaaaaaa kinyamaaaani🤣 aaiseee
@etiennemanace14613 жыл бұрын
Rayvanne nimukili Sana nasema ukweli kwakwetu Congo DRC unasikika sana kaka
@YugenMhapa-xj8hn Жыл бұрын
Waooo next level music
@009biafra83 жыл бұрын
Rayvanny tumeona na Hongera sana tunaomba mtupeleke upande wa pili kwa HAMOKINYESI naskia yy record label yake n kama store ya vyakula 😆😆
@damianjeremia38212 жыл бұрын
Hivi anatuzo kweli
@ezekiellakindi99192 жыл бұрын
Akili una wewe
@009biafra82 жыл бұрын
@@damianjeremia3821 Hamokinyesi hana tuzo yyte kwa mziki gan kwanza mpaka timamu wampe tuzo?
@009biafra82 жыл бұрын
@@ezekiellakindi9919 HAMOKINYAA
@sebamjema56143 жыл бұрын
Ukuta mzima hakuna picha ya YESU wala MTUME hakika mali na vyote ni vyakupita MUNGU tusamehe hatujui tulitendalo
@farajachengula92273 жыл бұрын
Kwani lazim hizo sanamu jamn kuweka ndan
@shynner13 жыл бұрын
Aisee kama unapicha ya mtume nitumie na mimi sjawahi kumuona
@kiya0910 Жыл бұрын
Mashalahu amechezea tuzo😍
@highertours12873 жыл бұрын
This reporter is the real Definition of a WINDBAG!!!
@mojaspesho67802 жыл бұрын
😂😂😂
@paparazipaparazi25402 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mbona unasema ukweli
@jedidahbintidaudi82412 жыл бұрын
oh jmni..sindo kuremba mambo jmni jirani au sio boss wangu
@mbuguslopez92902 жыл бұрын
My favorite artist
@johannahakim84703 жыл бұрын
Nyumba imejana mashetani tu hakuna ata Malika umoya anaweza ingiya
@RaphaelBaraka-vv9vw Жыл бұрын
WE mjinga sana
@freadyjackson315 Жыл бұрын
Chui 🐅❤❤ munyama mukall ravnnyn
@ChretienMucowimana7 ай бұрын
🎉 🎉 mimi nakupenda sana levyanny big up san
@user-yd8sp4es9n Жыл бұрын
Ravnyn Chuiii 🐅kasha kuja macvoice dogo mukail❤
@farida45952 жыл бұрын
Pacha y kwnza ya nyumba. ( Ndan ) tofauti na hii tunayooneshwa ndan
@mtaliiedward58862 жыл бұрын
Godless maisha ya laivan awesome 👍
@daudimesso37402 жыл бұрын
iko p sana nakubali vany boy
@estherjoseph13802 жыл бұрын
Your good brother
@mistaantoine71682 жыл бұрын
Kaka diamond mungu akubariki
@kibirigeshafik6500 Жыл бұрын
Diamond we ni simba
@AliceMunyau-k4s2 күн бұрын
Congratulations to rayvanny
@aidanwilliam96373 жыл бұрын
2:43 mtangazaji usitumie neno nakuonyesha sena nakuonesha, katika kiswahili sanifu neno kuonyesha ni kutoa onyo juu ya jambo fulani, tumia neno ONESHA badala ya onyesha.
@aloycesteven59983 жыл бұрын
Wabongo wengi hawajui kiswahili una kuta mtu anasema nyimbo yako inabamba sasa hapo anaongea nini
@aidanwilliam96373 жыл бұрын
@@aloycesteven5998 nikiona mtu anakosea kiswahili napata shida kweli natamani hata nimcharaze bakora
@naimakombo45763 жыл бұрын
@@aidanwilliam9637 hhhhhhhhh
@vincentmulwa95533 жыл бұрын
Kwani kuna mtihani
@RamadhanClement-qq5es3 ай бұрын
Nextrevo my zuc
@jestonelazaro65432 жыл бұрын
DJ choka ahahahahahahah Dah bigup
@salamanauthar4802 жыл бұрын
K Mziwanda jifunze kutamka vizuri herufi R na L' maana unachanganya kwenye r unaweka l na kwenye l unaweka r'
@FrancisNyanchama5 ай бұрын
Nam namkubal hongera
@dangotesam98453 жыл бұрын
Passion Java things. Akili Kichwani.
@CarolNdinda-u1g Жыл бұрын
Lovely 🥰
@christinamarianusi47042 жыл бұрын
Hongera Sana chui
@deodatusnchimbi76333 жыл бұрын
nnchakali kawa dj choka vp bwana mwandishi
@supertal29432 жыл бұрын
Mwandishi bhana.. Et Justine beibe😜😜
@davidmiracle90192 жыл бұрын
Ray vanny nakuoenda sana
@aminamarie23873 жыл бұрын
Jameni munamkumbushiya miss paaaa
@STOICVISTA_2 жыл бұрын
Kazi safi mbengo TV Mwafanya kazisafi wazito 💥💥💥💥tuko pamoja
@rashidyadam25603 жыл бұрын
sio maik za singel 😂😂😂
@Aisha-q8d10 ай бұрын
Mm nampenda Rajabu bre jamani nisaidieni jinsi ya kmpata 😢😢
@lejuspetaspetaboydancer Жыл бұрын
Nakubali kak vay
@freadyjackson3152 жыл бұрын
Like back kuwa wakwaza macvoce ravnnyn nexti levo misic
@bankssmithofficial22452 жыл бұрын
Good
@josephwairimu6222 Жыл бұрын
Kumbe Rayvane ni Sonko
@francisjameswadira69173 жыл бұрын
Huyu ni Ruben Ndege au NCHAKALI bhana ndio alie hisi kuwa vanny boy anajua
@assab31672 жыл бұрын
Unajua dada
@maryswende21552 жыл бұрын
Huyo kaka wa shati la draft kaigza maneno ya kuambiwa
@wahidaabeid57122 жыл бұрын
Wa kwake au makofi manake wasanii matatizo
@elizabethfabian66613 жыл бұрын
Utapendez zaid mjengo huo endap utaish na paula bro💟💗💖💞💞
@janewanjiku56733 жыл бұрын
Utapendeza kwa Fahyma na Jayden
@jescajulius80233 жыл бұрын
@@janewanjiku5673 exactly
@donpjay95283 жыл бұрын
Heti best female artist hhhhhhhh
@awadhrajabu14032 жыл бұрын
Hoo Wasanii Walinyonywa Wasanii Wazamani Walikua Wapenda Chini Sana Na Manguo Makubwa Kama Magunia Ndio Wanaozalisha Chuki Wanaona Aibu Kwasasa Wamebaki Hoi Vijana Wanafanya Mambo Makubwa Sana Wasanii Wengi Lakini wasanii Waliotoka Mikononi Kwa Daimond Wamekua Na Umaarufu Hata Kwa Walio Awana Pesa
@colinmhema5303 жыл бұрын
Kodia ya ccm haionekani kwan yeye hakupewa?
@mohamedjumbe93093 жыл бұрын
Rayvan ni 💥💥💥💥
@runydababy17152 жыл бұрын
kwani gate haina rangi
@freadyjackson3152 жыл бұрын
Mkn zan ravnnyn ChuiiiNLM ogera zana Ravnnnyn nexti levo misic na ravnnyn Chuiii pambana sana NLM piga kasi lebo niyako pambana buro NLM
@MusicLover-xb4bf2 жыл бұрын
Apo kwa singeli hujafanya poa😂😂😂😂
@johnbernad39902 жыл бұрын
We meneja wa vany boy ulimtoa kafala mwenzio kwenye tamthilia ya binadam wabaya
@faruhostllc15523 жыл бұрын
Eti Dj Choka. Endelea kushabikia mpira tu 😂😂😂😂😂
@joselynenininahazwe9401 Жыл бұрын
Huy mutangazaji n dada au
@reganlenard55332 жыл бұрын
Big up san
@staphanomajengo70482 жыл бұрын
Uyu jamaa huu nimjengo wake anatisha sana situdio ndan
@daniellarebecca40803 жыл бұрын
Huyu ripota ni mwanamke ama mwanaume
@barakatabdul32123 жыл бұрын
Ngoja hiyo Tuzo Uibwage" na kihere here chako🤣🤣🤣🤣
@khadijamohamed2093 жыл бұрын
Mmealikwaa kuingia majumb y wtu
@009biafra83 жыл бұрын
Rayvanny n Tajir na hatukani waliomsaidia lkn wamakonde maskini ila manenooooo
@dseven70943 жыл бұрын
Kifaali wabongo na lugha
@serumichael6152 жыл бұрын
Ongela bro
@amoneverson98162 жыл бұрын
picha za wazazi wake ajaweka
@gressmussa48742 жыл бұрын
Nashangaa au so wamuhim kwake wazazi
@octaviankiwone44402 жыл бұрын
mtangazaji mwenyewe kutangaza ujui tabu tupu
@زيتونتنزانيا2 жыл бұрын
Wasanii pesa zina ishia kwenye nyumba zawatu
@devidmwakipunda16972 жыл бұрын
Kesho tuoneshenakwao alipozaliwa tupaone
@davidkingorimigwe Жыл бұрын
Chui.noma😅
@aminaomary55673 жыл бұрын
Safi sana mtangazaji tunajifunza kitu.
@sosbrayantbenjamin97013 жыл бұрын
Mbona kama anamuiga dj fetty saut
@omarimbuchele81693 жыл бұрын
Uyo sio dj chokA bana😂😂😂
@michaelrobertkibona60303 жыл бұрын
Big up
@richgambi66943 жыл бұрын
Ongera sanaaa dogo
@samsowahassan47133 жыл бұрын
Nakubal san
@dominickjohn11283 жыл бұрын
Acheni uduanzi hata rubean ndege mnasema ni dj choka
@wazirijunior33433 жыл бұрын
Nauliza hiv kwa mfano akifukuzwa hapo WCB atapeleka wapi kwato zake🚶🚶🤣🤣🤣
@martinclassicboy94452 жыл бұрын
jafari mgimba
@kiya0910 Жыл бұрын
Hawa wakujifanya wanajua dini kuliko wengine huwa wabaya sana
@wilfredelimeleki45433 жыл бұрын
kaa kama mwanamke we dada.Inaweza kuja kukugharimu badae ukiwa unataka mume wa kukuoa.Wanaume sisi tunapenda tukiwa na wanawake ndani asionekane kama umekaa na mwanaume mwenzio au msela mwenzio.Jiweke kama mwanamke kama unatazamia ndoa kwa badae
@norahmakrean5253 жыл бұрын
Shughulikia maisha yako, wacha kufuatilia lifestyle ya watu
@rizikiomar29253 жыл бұрын
ukwel siku soze unauma bt nikwel anaboa ajulikane tuu nimke au mume hovyoooo🤣🤣🤣🤣🤮🤮🤮🤮🤣🤣🇰🇪🇰🇪