Mpaka Home MAISHA YA RAYVANNY NA JUMBA LEKE LA KIFAHARI UTAPENDA

  Рет қаралды 1,721,625

Mbengo Tv

Mbengo Tv

Күн бұрын

Пікірлер: 494
@jacquelinemuthina
@jacquelinemuthina Жыл бұрын
Congratulations rayvanny, napenda ur songs, from Kenya 🇰🇪🇰🇪
@fancyngeno2745
@fancyngeno2745 2 жыл бұрын
Hii sauti ikuje Kenya bigup for the lady voice
@adetonahsounkoura8038
@adetonahsounkoura8038 3 жыл бұрын
Wonderful and congratulations to Raavanny. That is à fruit of Diamond. Nice
@yessekindi4625
@yessekindi4625 2 жыл бұрын
Mtangazaji humjui BIG Notorious!! Duuuuh
@mutheriannah2562
@mutheriannah2562 Жыл бұрын
That background is very neat,,,,, rayvanny keep it💞💞,,
@florafaustine4637
@florafaustine4637 3 жыл бұрын
NI HERI UWE NA MALI LAKINI UNAMJUA MUNGU PIA VINGINEVYO KUNA MAISHA BAADA YA HAYA.
@fatumasaleh8048
@fatumasaleh8048 3 жыл бұрын
Kabsa
@emmamombo7149
@emmamombo7149 3 жыл бұрын
Yes
@rehemathoya8754
@rehemathoya8754 3 жыл бұрын
Sikujui Flora lakini wazo lako zuri sana
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 3 жыл бұрын
Mbona umekata tamaa
@mhamdahmd7758
@mhamdahmd7758 3 жыл бұрын
Kabisa
@sebas-wl5sp
@sebas-wl5sp 2 жыл бұрын
Wow that's great end hot 🔥 Rayvanny you're the best
@classicvisiononline8334
@classicvisiononline8334 2 жыл бұрын
Sio Dj Choka uyoo ni Ncha Kali wa Clouds Fm
@RENNYRennyClassic
@RENNYRennyClassic 4 ай бұрын
Naitwa Renny Classic kutoka mwanza naomba sorppot kwa kakangu Rayvanny
@athumanmbululo3980
@athumanmbululo3980 3 жыл бұрын
Wanachoniuzi ni kimoja tu,,, utasikia mjengo wa fulani,, kumbe amepanga,,
@ndaganoanastazia2658
@ndaganoanastazia2658 3 жыл бұрын
Kwani anakaa bure? Ao analipa kodi? Huku ulaya ukilipa tu kido ni nyumbani kwako hata police pila kibali hufungue mlango….. upooooooo? So ni mjengo wake…..🤣🤣🤣🇫🇷🇮🇹🇧🇪
@saudah4455
@saudah4455 3 жыл бұрын
Mh jmn
@lulually5209
@lulually5209 3 жыл бұрын
Sasa mjengo wake au next levo mbona sielewi
@ndaganoanastazia2658
@ndaganoanastazia2658 3 жыл бұрын
@@lulually5209 utaelewa tu ukiamka usingizini 🤣🤣🤣🤣🤣
@emmamombo7149
@emmamombo7149 3 жыл бұрын
Mm pia huwa nauthika mjengo wa fulani kumbe nyumba ni yakupanga
@emmykisigelile4412
@emmykisigelile4412 2 жыл бұрын
Meneja kumbe pia ww n muigizaj nakupata kwenye binadam wabaya ya kitale big up bro
@dinnoallex129
@dinnoallex129 2 жыл бұрын
Daaa nimejikuta naipenda hii tv kisa story ya van boy🙌🙌🙌🤣🤣
@paulocheia432
@paulocheia432 3 жыл бұрын
Chuiii só teu fã numero 1
@AliceMunyau-k4s
@AliceMunyau-k4s 2 күн бұрын
Congrats rayvanny next level❤
@denniswaihenya3870
@denniswaihenya3870 3 жыл бұрын
I love his songs .big up 🍾🍾
@GodfreyOmondi-b6v
@GodfreyOmondi-b6v Жыл бұрын
Bigup bro we love ur songs
@bitunimtunguja3666
@bitunimtunguja3666 2 жыл бұрын
Nakukubali dada mbona juzi sijakuona uwanjani mwanasimba mwenzangu
@laveritetv4729
@laveritetv4729 2 жыл бұрын
Na kupenda Rayvany ku toka congo ❤❤❤
@medardsalama
@medardsalama Жыл бұрын
Rayvanny nimsani mzuri Sana anatshapa muzik muziri abakipajibhisho
@sylivestermwasile4203
@sylivestermwasile4203 3 жыл бұрын
Mjengo wakifahali kivip wakati hyo ni lekod label yake sasa au kainunua nyumba hamuoni pale juu NEXT LEVEL MUSIC ( NLM) au mnashobo
@mbezzoprince9462
@mbezzoprince9462 3 жыл бұрын
Sasa hio lebo imebandikwa juu ya mti😂😂😂😂😂😂
@009biafra8
@009biafra8 3 жыл бұрын
Kwahyo hapo nn kinakutatanishaa
@mamumiyaskitchenvlogs5858
@mamumiyaskitchenvlogs5858 3 жыл бұрын
Huwa Tuzo hazishikwi una Zoom tu. Be professional usiguse guse vitu
@teresamorara5407
@teresamorara5407 3 жыл бұрын
Congratulations ❤❤❤
@cynthiakimongo5763
@cynthiakimongo5763 Жыл бұрын
Weeeuh I really love this guy
@thekartelAfrican
@thekartelAfrican 2 жыл бұрын
Duuh hujawai niangusha vanny natamani nifike nest level music make tumetoka mbali xana
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 3 жыл бұрын
Wabongo kwani L na R mnashindwa vp kuzitofautisha?
@abuukamanda.s.mkenga6687
@abuukamanda.s.mkenga6687 3 жыл бұрын
Mi mwenyewe wananiuzigii c jui tatizo linakuagga wap
@aminajuma1435
@aminajuma1435 3 жыл бұрын
@@abuukamanda.s.mkenga6687 wanajitahidi kutaka kuongea kiswahili fasaha ndokinawashinda.
@binaljabirmshihirzanzibar8369
@binaljabirmshihirzanzibar8369 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@abuukamanda.s.mkenga6687
@abuukamanda.s.mkenga6687 3 жыл бұрын
@@aminajuma1435 aaiseee ani mi nakerwkaga kishenzi ani halaff m na n simpo haiihitaj hata kusoma saaaana kwa mwalim mi nakumbuka niliishia 7 lakn huu ujinga c uwezagg😭
@abuukamanda.s.mkenga6687
@abuukamanda.s.mkenga6687 3 жыл бұрын
@Salama Salama umeuaaaaaaa kinyamaaaani🤣 aaiseee
@etiennemanace1461
@etiennemanace1461 3 жыл бұрын
Rayvanne nimukili Sana nasema ukweli kwakwetu Congo DRC unasikika sana kaka
@YugenMhapa-xj8hn
@YugenMhapa-xj8hn Жыл бұрын
Waooo next level music
@009biafra8
@009biafra8 3 жыл бұрын
Rayvanny tumeona na Hongera sana tunaomba mtupeleke upande wa pili kwa HAMOKINYESI naskia yy record label yake n kama store ya vyakula 😆😆
@damianjeremia3821
@damianjeremia3821 2 жыл бұрын
Hivi anatuzo kweli
@ezekiellakindi9919
@ezekiellakindi9919 2 жыл бұрын
Akili una wewe
@009biafra8
@009biafra8 2 жыл бұрын
@@damianjeremia3821 Hamokinyesi hana tuzo yyte kwa mziki gan kwanza mpaka timamu wampe tuzo?
@009biafra8
@009biafra8 2 жыл бұрын
@@ezekiellakindi9919 HAMOKINYAA
@sebamjema5614
@sebamjema5614 3 жыл бұрын
Ukuta mzima hakuna picha ya YESU wala MTUME hakika mali na vyote ni vyakupita MUNGU tusamehe hatujui tulitendalo
@farajachengula9227
@farajachengula9227 3 жыл бұрын
Kwani lazim hizo sanamu jamn kuweka ndan
@shynner1
@shynner1 3 жыл бұрын
Aisee kama unapicha ya mtume nitumie na mimi sjawahi kumuona
@kiya0910
@kiya0910 Жыл бұрын
Mashalahu amechezea tuzo😍
@highertours1287
@highertours1287 3 жыл бұрын
This reporter is the real Definition of a WINDBAG!!!
@mojaspesho6780
@mojaspesho6780 2 жыл бұрын
😂😂😂
@paparazipaparazi2540
@paparazipaparazi2540 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mbona unasema ukweli
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 2 жыл бұрын
oh jmni..sindo kuremba mambo jmni jirani au sio boss wangu
@mbuguslopez9290
@mbuguslopez9290 2 жыл бұрын
My favorite artist
@johannahakim8470
@johannahakim8470 3 жыл бұрын
Nyumba imejana mashetani tu hakuna ata Malika umoya anaweza ingiya
@RaphaelBaraka-vv9vw
@RaphaelBaraka-vv9vw Жыл бұрын
WE mjinga sana
@freadyjackson315
@freadyjackson315 Жыл бұрын
Chui 🐅❤❤ munyama mukall ravnnyn
@ChretienMucowimana
@ChretienMucowimana 7 ай бұрын
🎉 🎉 mimi nakupenda sana levyanny big up san
@user-yd8sp4es9n
@user-yd8sp4es9n Жыл бұрын
Ravnyn Chuiii 🐅kasha kuja macvoice dogo mukail❤
@farida4595
@farida4595 2 жыл бұрын
Pacha y kwnza ya nyumba. ( Ndan ) tofauti na hii tunayooneshwa ndan
@mtaliiedward5886
@mtaliiedward5886 2 жыл бұрын
Godless maisha ya laivan awesome 👍
@daudimesso3740
@daudimesso3740 2 жыл бұрын
iko p sana nakubali vany boy
@estherjoseph1380
@estherjoseph1380 2 жыл бұрын
Your good brother
@mistaantoine7168
@mistaantoine7168 2 жыл бұрын
Kaka diamond mungu akubariki
@kibirigeshafik6500
@kibirigeshafik6500 Жыл бұрын
Diamond we ni simba
@AliceMunyau-k4s
@AliceMunyau-k4s 2 күн бұрын
Congratulations to rayvanny
@aidanwilliam9637
@aidanwilliam9637 3 жыл бұрын
2:43 mtangazaji usitumie neno nakuonyesha sena nakuonesha, katika kiswahili sanifu neno kuonyesha ni kutoa onyo juu ya jambo fulani, tumia neno ONESHA badala ya onyesha.
@aloycesteven5998
@aloycesteven5998 3 жыл бұрын
Wabongo wengi hawajui kiswahili una kuta mtu anasema nyimbo yako inabamba sasa hapo anaongea nini
@aidanwilliam9637
@aidanwilliam9637 3 жыл бұрын
@@aloycesteven5998 nikiona mtu anakosea kiswahili napata shida kweli natamani hata nimcharaze bakora
@naimakombo4576
@naimakombo4576 3 жыл бұрын
@@aidanwilliam9637 hhhhhhhhh
@vincentmulwa9553
@vincentmulwa9553 3 жыл бұрын
Kwani kuna mtihani
@RamadhanClement-qq5es
@RamadhanClement-qq5es 3 ай бұрын
Nextrevo my zuc
@jestonelazaro6543
@jestonelazaro6543 2 жыл бұрын
DJ choka ahahahahahahah Dah bigup
@salamanauthar480
@salamanauthar480 2 жыл бұрын
K Mziwanda jifunze kutamka vizuri herufi R na L' maana unachanganya kwenye r unaweka l na kwenye l unaweka r'
@FrancisNyanchama
@FrancisNyanchama 5 ай бұрын
Nam namkubal hongera
@dangotesam9845
@dangotesam9845 3 жыл бұрын
Passion Java things. Akili Kichwani.
@CarolNdinda-u1g
@CarolNdinda-u1g Жыл бұрын
Lovely 🥰
@christinamarianusi4704
@christinamarianusi4704 2 жыл бұрын
Hongera Sana chui
@deodatusnchimbi7633
@deodatusnchimbi7633 3 жыл бұрын
nnchakali kawa dj choka vp bwana mwandishi
@supertal2943
@supertal2943 2 жыл бұрын
Mwandishi bhana.. Et Justine beibe😜😜
@davidmiracle9019
@davidmiracle9019 2 жыл бұрын
Ray vanny nakuoenda sana
@aminamarie2387
@aminamarie2387 3 жыл бұрын
Jameni munamkumbushiya miss paaaa
@STOICVISTA_
@STOICVISTA_ 2 жыл бұрын
Kazi safi mbengo TV Mwafanya kazisafi wazito 💥💥💥💥tuko pamoja
@rashidyadam2560
@rashidyadam2560 3 жыл бұрын
sio maik za singel 😂😂😂
@Aisha-q8d
@Aisha-q8d 10 ай бұрын
Mm nampenda Rajabu bre jamani nisaidieni jinsi ya kmpata 😢😢
@lejuspetaspetaboydancer
@lejuspetaspetaboydancer Жыл бұрын
Nakubali kak vay
@freadyjackson315
@freadyjackson315 2 жыл бұрын
Like back kuwa wakwaza macvoce ravnnyn nexti levo misic
@bankssmithofficial2245
@bankssmithofficial2245 2 жыл бұрын
Good
@josephwairimu6222
@josephwairimu6222 Жыл бұрын
Kumbe Rayvane ni Sonko
@francisjameswadira6917
@francisjameswadira6917 3 жыл бұрын
Huyu ni Ruben Ndege au NCHAKALI bhana ndio alie hisi kuwa vanny boy anajua
@assab3167
@assab3167 2 жыл бұрын
Unajua dada
@maryswende2155
@maryswende2155 2 жыл бұрын
Huyo kaka wa shati la draft kaigza maneno ya kuambiwa
@wahidaabeid5712
@wahidaabeid5712 2 жыл бұрын
Wa kwake au makofi manake wasanii matatizo
@elizabethfabian6661
@elizabethfabian6661 3 жыл бұрын
Utapendez zaid mjengo huo endap utaish na paula bro💟💗💖💞💞
@janewanjiku5673
@janewanjiku5673 3 жыл бұрын
Utapendeza kwa Fahyma na Jayden
@jescajulius8023
@jescajulius8023 3 жыл бұрын
@@janewanjiku5673 exactly
@donpjay9528
@donpjay9528 3 жыл бұрын
Heti best female artist hhhhhhhh
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 2 жыл бұрын
Hoo Wasanii Walinyonywa Wasanii Wazamani Walikua Wapenda Chini Sana Na Manguo Makubwa Kama Magunia Ndio Wanaozalisha Chuki Wanaona Aibu Kwasasa Wamebaki Hoi Vijana Wanafanya Mambo Makubwa Sana Wasanii Wengi Lakini wasanii Waliotoka Mikononi Kwa Daimond Wamekua Na Umaarufu Hata Kwa Walio Awana Pesa
@colinmhema530
@colinmhema530 3 жыл бұрын
Kodia ya ccm haionekani kwan yeye hakupewa?
@mohamedjumbe9309
@mohamedjumbe9309 3 жыл бұрын
Rayvan ni 💥💥💥💥
@runydababy1715
@runydababy1715 2 жыл бұрын
kwani gate haina rangi
@freadyjackson315
@freadyjackson315 2 жыл бұрын
Mkn zan ravnnyn ChuiiiNLM ogera zana Ravnnnyn nexti levo misic na ravnnyn Chuiii pambana sana NLM piga kasi lebo niyako pambana buro NLM
@MusicLover-xb4bf
@MusicLover-xb4bf 2 жыл бұрын
Apo kwa singeli hujafanya poa😂😂😂😂
@johnbernad3990
@johnbernad3990 2 жыл бұрын
We meneja wa vany boy ulimtoa kafala mwenzio kwenye tamthilia ya binadam wabaya
@faruhostllc1552
@faruhostllc1552 3 жыл бұрын
Eti Dj Choka. Endelea kushabikia mpira tu 😂😂😂😂😂
@joselynenininahazwe9401
@joselynenininahazwe9401 Жыл бұрын
Huy mutangazaji n dada au
@reganlenard5533
@reganlenard5533 2 жыл бұрын
Big up san
@staphanomajengo7048
@staphanomajengo7048 2 жыл бұрын
Uyu jamaa huu nimjengo wake anatisha sana situdio ndan
@daniellarebecca4080
@daniellarebecca4080 3 жыл бұрын
Huyu ripota ni mwanamke ama mwanaume
@barakatabdul3212
@barakatabdul3212 3 жыл бұрын
Ngoja hiyo Tuzo Uibwage" na kihere here chako🤣🤣🤣🤣
@khadijamohamed209
@khadijamohamed209 3 жыл бұрын
Mmealikwaa kuingia majumb y wtu
@009biafra8
@009biafra8 3 жыл бұрын
Rayvanny n Tajir na hatukani waliomsaidia lkn wamakonde maskini ila manenooooo
@dseven7094
@dseven7094 3 жыл бұрын
Kifaali wabongo na lugha
@serumichael615
@serumichael615 2 жыл бұрын
Ongela bro
@amoneverson9816
@amoneverson9816 2 жыл бұрын
picha za wazazi wake ajaweka
@gressmussa4874
@gressmussa4874 2 жыл бұрын
Nashangaa au so wamuhim kwake wazazi
@octaviankiwone4440
@octaviankiwone4440 2 жыл бұрын
mtangazaji mwenyewe kutangaza ujui tabu tupu
@زيتونتنزانيا
@زيتونتنزانيا 2 жыл бұрын
Wasanii pesa zina ishia kwenye nyumba zawatu
@devidmwakipunda1697
@devidmwakipunda1697 2 жыл бұрын
Kesho tuoneshenakwao alipozaliwa tupaone
@davidkingorimigwe
@davidkingorimigwe Жыл бұрын
Chui.noma😅
@aminaomary5567
@aminaomary5567 3 жыл бұрын
Safi sana mtangazaji tunajifunza kitu.
@sosbrayantbenjamin9701
@sosbrayantbenjamin9701 3 жыл бұрын
Mbona kama anamuiga dj fetty saut
@omarimbuchele8169
@omarimbuchele8169 3 жыл бұрын
Uyo sio dj chokA bana😂😂😂
@michaelrobertkibona6030
@michaelrobertkibona6030 3 жыл бұрын
Big up
@richgambi6694
@richgambi6694 3 жыл бұрын
Ongera sanaaa dogo
@samsowahassan4713
@samsowahassan4713 3 жыл бұрын
Nakubal san
@dominickjohn1128
@dominickjohn1128 3 жыл бұрын
Acheni uduanzi hata rubean ndege mnasema ni dj choka
@wazirijunior3343
@wazirijunior3343 3 жыл бұрын
Nauliza hiv kwa mfano akifukuzwa hapo WCB atapeleka wapi kwato zake🚶🚶🤣🤣🤣
@martinclassicboy9445
@martinclassicboy9445 2 жыл бұрын
jafari mgimba
@kiya0910
@kiya0910 Жыл бұрын
Hawa wakujifanya wanajua dini kuliko wengine huwa wabaya sana
@wilfredelimeleki4543
@wilfredelimeleki4543 3 жыл бұрын
kaa kama mwanamke we dada.Inaweza kuja kukugharimu badae ukiwa unataka mume wa kukuoa.Wanaume sisi tunapenda tukiwa na wanawake ndani asionekane kama umekaa na mwanaume mwenzio au msela mwenzio.Jiweke kama mwanamke kama unatazamia ndoa kwa badae
@norahmakrean525
@norahmakrean525 3 жыл бұрын
Shughulikia maisha yako, wacha kufuatilia lifestyle ya watu
@rizikiomar2925
@rizikiomar2925 3 жыл бұрын
ukwel siku soze unauma bt nikwel anaboa ajulikane tuu nimke au mume hovyoooo🤣🤣🤣🤣🤮🤮🤮🤮🤣🤣🇰🇪🇰🇪
@judiajudia3796
@judiajudia3796 8 ай бұрын
Iyo minywele Sasa Kama chiz vile
@KmHn-qq4gi
@KmHn-qq4gi 10 ай бұрын
Tunakupata sana keyi muzirgada
🍉😋 #shorts
00:24
Денис Кукояка
Рет қаралды 3,3 МЛН
escape in roblox in real life
00:13
Kan Andrey
Рет қаралды 84 МЛН
JAMBAZI SUGU LILIVYOULIWA
7:39
RobbyMedia
Рет қаралды 613 М.
KINGWENDU AJARIBU KUWA PATANISHA DAIMONDI NA KONDE BOY UTACHEKA SANA HII
7:44
Rayvanny Ft Diamond Platnumz - Tetema (Behind The Scene Part 2)
16:14