kumbe ni kitenge? ana ujasiri wa ajabu hongera kitenge
@ziakaitala22216 жыл бұрын
Kweli nimemuona Maulid mtoto wa mzee kitenge ndo aliemtoa yule jamaa mwenye mguu wa kuku
@jumaazitto27676 жыл бұрын
@@ziakaitala2221 Grwksezxvbmktey
@ziakaitala22216 жыл бұрын
@@jumaazitto2767 Juma mbona umeandika maneno yasiyojulikana? Au yanatoka kwa mtu asiejulikana?
@Kimbururu5 жыл бұрын
Kitenge ni huyu nae atakua Usalama huyu
@dullabritish32775 жыл бұрын
Kitenge ni Usalama wa Taifa muda mrefu tu licha ya kuwa mwandishi bora wa habari Tanzania
@mosesjackson_tz3 жыл бұрын
Daaah hiki kitendo cha nape kufanyiwa ivo kimeniuma sana aisee.
@lilahchomba42814 ай бұрын
Hii opportunity ndio imemtoa Maulid kitenge. Baada ya hii kilichobaki ni history. Congrats to richest journalist 👏 🙌
@worldcup-zh5ci6 ай бұрын
Nanii yuko hapa baada ya kutenguliwa tena uwaziri na mama😢
@emmanuelgwaay47733 жыл бұрын
Nape Waziri tena ktk wizara ile ile...........ya Mungu mengi!
@eliudmkumbwa56812 жыл бұрын
Tuliorud kumchunguza maulid tujuane
@Gody3606 ай бұрын
🎉
@filbertnashon71605 жыл бұрын
Asiyejulikana anaoenekana HADHARANI 😀😀😀i'la serikali hawamuoni
@altonkanjolonga23805 жыл бұрын
uonevu ni jambo baya sana,ahsante Maulidi Kitenge kwa hili,mtu huyu alietoa bastola hadharani eti hajulikani.MUNGU IBARIKI TANZANIA.
@happyjohn58823 жыл бұрын
Kitenge ni TISS hahaaaa,MTU na nusu hyoo
@SaifatiBadi4 ай бұрын
Hii video ndio nimekua na na yeye ni wa system kitenge@@happyjohn5882
@ibrahimalisharif2755 жыл бұрын
Usafini tuna watu,hongela kitenge wetu
@eliyamahenge93826 жыл бұрын
Inaniuma sana kwa matukio haya Tanzania. I love my Country Tanzania... Mungu tusaidie
@bulayaconfidential72122 ай бұрын
Jamaa alitukosea sana, angemizaga show sahizi tusingekuwa na hii chawa ya kukataa starlink
@dismaskamanzi23655 жыл бұрын
Kea pembeniii kam umemuonAaa hamorAp gonGa Like twenDe saWaaaa.....hahahahha
@Mufti-g3x4 ай бұрын
Kitenge kuanzia hapo ndio tuluanza kukuogopa kwani wasuahili wanasema"Meno ya mbwaa hayaumani" ni hivyo tu hongera kitenge
@Daudi-pg8bw6 ай бұрын
Kama umemuona harmorapa wakat video inaanza gonga like😂😂
@queenkivuyo86016 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@shebbynzengula69936 ай бұрын
😂😂😂
@theprincejr14176 ай бұрын
Alikimbiaga huyo
@Gody3606 ай бұрын
Yuleeeeeeeeee
@AhmedAbubakari6 ай бұрын
Alikimbia mpka morogoro 😂😂😂
@NassorYusuph6 ай бұрын
Nape toka hapo watakumaliza hao broo
@yusuphsaid63005 жыл бұрын
pole nape..ninapopitia hii,sijui huwa nawaza nini....nchi yetu hii.!
@AbdulRahman-wx6iv6 жыл бұрын
Huyu ndie mtu asiyejulikana mpaka bunge tukufu linamjadili hi serikali yetu ya usanii.
@Movic5806 Жыл бұрын
Kama umemwona Harmorapa Gonga like
@mwalimu15203 жыл бұрын
Nimerudi baadaya ya Msiba ya JPM,
@allyhamissi58352 жыл бұрын
Utaharibu mambo bhwana
@David-j2k4w4 ай бұрын
Hii miezi ni migumu sana kwenye mambo ya chama
@ziakaitala22216 жыл бұрын
Jaman mnapokuwa madalakan fanyen huku mkijua kuwa cheo ni mapito na si dhamana
@iam_lasco3 жыл бұрын
Yan camera kushuka chin tu na kurud juu tena harmorapa hayupo😂😂🙌
@AbdulMichael-g4o6 ай бұрын
Nimecheka kisenge
@stivertz70144 ай бұрын
Uyu kitenge huyu mbn na yeye kama usalama hvi
@jandaboytzz27553 жыл бұрын
Huyu Gilbert Kalanje Alifaa Kufanywa Kitu Ambacho Kitabaki Kama Kumbukumbu Na Vizazi Vijavyo Wajue Kama Ni Kosa Kutoa Siraha Kama Alivo Fanywa Yeye
@mbwanarajab47563 жыл бұрын
Kwa Mungu kuna Kaz kubwa mno.. Hivi kweli alf tunasema tulikua mahali pazur , naamini tungeshuhudia Vifo vingne vingi zaid ya vile vya viroba. Kwa Mungu kuna kujibu huko
@shishismile19735 жыл бұрын
Ingelikuwa ni kenya uoneshe mtu mbuduki bila sababu angeshtakiwa, waulize judge aliye jiona mkubwa akaonesha mlizi wa supermarket gun alishtakiwa na judge akapoteza job na akalipa mlizi faini ya nusu million
@vivianlenard36186 жыл бұрын
Maulid mbabe sana aisee, hiv sasa ni kweli angempiga risasi adharani vile au? hawa watu wanatambua kweli ka uongozi unapita tuu na baadae anaweza akatawala huyo huyo nape labda hivi wataweka wapi nyuso zao au ndio mtahama nchi?
@issaabdi91293 жыл бұрын
Kwani ni mbali si sasa hv yuko ktk mashakani ya mauwaji.
@hassanbukambu9316 ай бұрын
Unatii order ya mamlaka ya wakati huo akija kuwa kiongozi nae atahitaji watu ka wewe ambao wakigaiwa amri hawalembi.kila mtu na nafasi yake maisha mzunguko.
@raphaelsamwel26406 жыл бұрын
Huyo mbwa ana bahati kama ningekuwepo huyo mshamba asie jua hata kutumia bastola ningemng'oa pumbu!! Angemleta alie mtuma!!!
@yassirkipemba78896 жыл бұрын
RAPHAEL SAMWEL
@petermarco95596 жыл бұрын
ha ha ha ha ha,naona wtz tumeshavulugwa
@twentyfours36525 жыл бұрын
Unafirwa wewe
@mohammedmhina39734 жыл бұрын
@@twentyfours3652 nn sasa hk mkuu
@ibrahimally64557 жыл бұрын
DAaaaaaaaaaahhh TZ cjui tunaelekea wap
@haliimomar16925 жыл бұрын
Hahahhaha Hermorapa Ameenda ndukii😷🤪
@peterkisanga80896 жыл бұрын
Hii ndo faida ya bao la mkono
@MakaveliErnest-sj1tr6 ай бұрын
mbn harmorapa kaona mguu wa kuku kala kona😅😅😂😂😂
@redmondmulilo48526 жыл бұрын
Ahe Nape wasijulikana ao wameonekana peupe alakini hawakamatwi wala hawakamatiki inchi sio salama kabisa bastora hazarani ni hatari tupu
@sylvesteralstides38856 жыл бұрын
Noma hiyo
@Eliya-vv1jp Жыл бұрын
Siasa ni mchezo mgum sana kuuelewa
@unclepwechnov13814 ай бұрын
Kitenge mtu wa idara otherwise asingeachwa kwa kuingilia kule.
@mwalimukashashadarant96765 жыл бұрын
Kwa maoni tu kitenge sio mtu mdogo maan sio kwa kumtuliza hvy jamaa
@farealapple79623 жыл бұрын
Uyu mwamba uwa ni usalama sema alivyokaa si rahisi kumjuwa
@bahatimalundi35933 жыл бұрын
Kawa waziri toa bastola na saizi
@j.i.t.a21314 ай бұрын
My lord Jesus Christ, where are we going
@johnkikene89066 жыл бұрын
Kitenge hapo nlikukubali sana
@yasinitwalika15652 жыл бұрын
kitenge kitenge kitenge mh....
@deomdolo50493 жыл бұрын
Hivi huyu jamaa aliyemtishiaga ataacha kazi au
@charlesabednego94243 жыл бұрын
Kitenge anastahili ukuuu
@ramadhanijohoiddi28996 жыл бұрын
Sawasawa tu ametengeza mwenyewe mfumo wa watu wasiojulikana pumbavu Zake
@ntegrity2776 ай бұрын
Huyu askari ana shule ndogo sana! Hawa ni la saba
@AllySibila6 ай бұрын
Hamorapaa akachimba😊
@decoderhealthusa3 ай бұрын
Hakutaka mambo mengi
@leonardemmanuel92495 жыл бұрын
Tunaipenda ccm ,msioipenda pambaneni na hali yenu
@nicholausyusti4068 Жыл бұрын
🤔
@SaifatiBadi4 ай бұрын
Ukiskia uchoko ndio huo😂 ndiomana mashoga wengi ni kama nyie
@josphatoyondi33765 жыл бұрын
huyo jamaa wa bunduki anabaswa kuwajishwa kazi kwa hafundishwa jinsi ya kutumia bunduki ,iweje watolea mwananchi bunduki ihali hajajihami ,? jamani mbona police wanakosa kumakinika, sisi twaunga mkono kwa kugemea hicho kitendo.
@Onesmoboyz6 ай бұрын
😂hamrapa alivo kimbia
@roi25543 жыл бұрын
2021 harmorapa alivyochomokaaa🤣🤣🤣🤣🤣
@ernestkiluti5986Ай бұрын
Uyu kitenge mmmh
@richardmassawe84162 жыл бұрын
Kitenge
@absm80846 ай бұрын
Huyo wa bastola bado yupooo
@jackzest4really1453 жыл бұрын
Mkichunguza huyo jamaa anayetaka kumpiga risasi nape msikilizen kwa Makin mwishon anavyomambia kitenge mkuu nimekuelewa nisamehe Sana hao jamaa wa mwisho walivaa sare wamekaa na kitenge ni Wazeee🤣🤣🤣🤣wa uswalamani
@dominicclassic80896 жыл бұрын
Nan kamwna Harmorapa akitoka nduki kam vil katolewa 🔫 yeye 😂😂😂😂😂😂
@brownjulius85145 жыл бұрын
Dominic Classic hamorapa nduki
@ansyfalesy14575 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
@mwaitukamwallah13006 жыл бұрын
Hiii dharau kweliii.
@amisamaurid18826 ай бұрын
Mtu kama nape sio wakufanyiwa unyama kama huu Tunduma tunalaani kitendo hiki😢😢
@JosephSimon-c7f5 ай бұрын
Kitenge ofsaaaa
@davidsalikoki63192 ай бұрын
Na wa kiluvya alivaa kofia ni kama mtu mmoja ivi
@piusmnanka27556 жыл бұрын
Hivi harmorapa alikuwa hajui kama nape siyo waziri tena....!
@jchuwatv18906 жыл бұрын
Mzeee wa bao la mkono
@herbethlukogela76573 ай бұрын
Ni wazi kitenge ni mtu wa system
@FathiyaMbaraka6 ай бұрын
Wangeuaga tu hii mbwa
@IdrisaAbdallah-pf4mw6 ай бұрын
Hakunaga polis mwenye akili timamu ukitaka uamin polis hawanaga akili utakuta wanatumia nguvu kubwa kwmy vitu visivyo hitji nguvu sasa hapo jiulize kwnn umtolee bastola mtu kama nape tena nape alimhurumia sana yn ningekua mm sasa hv hana kaz
@FridayMwassa6 ай бұрын
Unawaonea police kwasababu hawaji hapa kubishana, huyo siyo police acheni kuwalaumu police kwa kila jambo
@godwinkileo77025 ай бұрын
Wewe hutakiwi kuonewa huruma, tuliona ni vema wakati ule lakini kwasasa huna hoja tena, ndomana hujaweka press😅😅😅😅 mwizi wa kura zetu
Yule mbwa wa kutoa bastola afungwe kifungo cha maisha
@CharlesEvaristi6 ай бұрын
Mmmmh kwan kuna n?
@nelsonnyamle6 ай бұрын
Hapa kidogo atie hewa kwa chini
@radaonlinetv19223 жыл бұрын
Kuna mambo mengine xio haki unataka kumdhuru mtu ambae yuko huru wala hana nia mbya na Nchi yake. Hapa Serekali ilichemka! Wengi wametangulia lakini hayakutokea haya.
@philemonsnyanda94506 ай бұрын
Ange m tusua tuuu
@khamismgunya45199 ай бұрын
Kitenge pia ako na bunduki hapo kwa nyonga
@yuzotv4586 ай бұрын
hiiii ilikua kiki.
@ezramhapa38055 ай бұрын
Mpigane shaba mtajua wenyewe
@Freedom_fighters898 Жыл бұрын
‼️‼️SASA HUYO NAPE NA KITENGE WAKE WANAUZA NCHI MCHANA KWEUPE‼️ MAGU ALIKUWA KAISHA WASOMA HAWA MAGANG. Hawa si watu wazuri ni maadui wa Taifa letu‼️‼️‼️‼️
@EshaHamd-ed9yv10 ай бұрын
Bora muuwane nyinyi Kwa nyinyi CCM Kwa CCM maana hiyo ndio sera zenu
@alijumes35806 ай бұрын
Utukufu wa makufuli
@SostenesMabala-tt8pt6 ай бұрын
Marshall bana
@RashidHamis-kz1yd4 ай бұрын
kumbe maulid kitenge naww nisistim 1:40
@victorsospeter18156 ай бұрын
hii ilikuwa kiki wazee
@eddiemohamed90036 ай бұрын
2024 KUMBU KUMBU ZA SOGA ZA MWENDA ZAKE😔🚶
@selemankishema57806 ай бұрын
Enzi za ubabe
@BilaliBilaliamri6 ай бұрын
Mwandishi wa habari anaruhusiwa kuamlia ugomvi kwaiyo msishangae maulidy kitenge kuingilia kati
@MohdRashid-cu9qb6 жыл бұрын
Kwenye nchi za watu huyu Jamaa hana kazi ila nimefurahi maana huyu ni wa goli LA mkono
@amonamiri44873 жыл бұрын
Ungepiga risasi mbwa huyoo
@AbdulRahman-wx6iv6 жыл бұрын
Huyu naye jeshi la polisi limekosa kumtambua wakati nape mwenyewe anawajua