Niseme ukweli huyu Raisi wetu anapendeza Sana kwa watu wake wala tusidanganyane kabisa hivyo basi sote tuseme MUNGU MBARIKI RAISI WETU Magufuli UMPE AFYA njema
@yt-nu4tm4 жыл бұрын
Kwa kweli inafurahisha kumwona na kumsikia.
@dhahajongo90494 жыл бұрын
itachukuw zaid ya miaka mia kumpta huyu mzee wte magu
@issangyabertha57414 жыл бұрын
Pole baba
@roi25544 жыл бұрын
sina hamu na rais mwingine tena Kwasababu magufuli tuu ananitosha hao wengine bra bra wanasiasa ah ah MUNGU IBARIKI TANZANIA,MBARIKI NA KIONGOZI WETU PENDWA JPM
@ActionUpdateworldwide24 күн бұрын
2024??
@maikopaulmaiko19004 жыл бұрын
Mzee anajikaza2 lkn kaumia sana, pole baba
@jabarmalid53934 жыл бұрын
Kweli asee hasa naona anakumbuka wakati Akiwa Waziri. Wakajenga ili daraja.
@chiefmahucha68474 жыл бұрын
@@jabarmalid5393 ila kweli I see... Nouma sana mwanangu. Ila Usiseme "ili daraja" sema "hili daraja"
@respiciusrogsev94 жыл бұрын
TAZAMA MAKOMBE MAKUBWA YANAYOSHINDANIWA CHUO KIKUU (gusa link👇👇👇 kutazama) kzbin.info/www/bejne/pHzOlmVvhZuJlac
@simonnkane25634 жыл бұрын
Magufuli ongoza mileleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee baba
@shadracksospeter5363 жыл бұрын
Tutakukumbuka Raisi wetu Magufulii😥😥😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@dhahajongo90494 жыл бұрын
itachukuwa zaid ya miaka mia kumpta raisi kma magu
@teddykanondo57534 жыл бұрын
MHESHIMIWA MAGUFULI CHAPA KAZI ILA MCHUNGE SANA MUSIBA ANAKUCHAFULIA JINA LAKO NCHINI NA KIMATAIFA. MATAMSHI YAKE HAYANA TIJA KWA KATIBA NA USTAWI UTAWALA WAKO. MROPOKAJI SANA.
@kibajetihassan62184 жыл бұрын
Daa uyu raisi ndio anaifaidi Tanzania yake sio wengine ofisini tuuuuuuuuuii
@videozaaj10694 жыл бұрын
Sure man
@kelvinjohn68514 жыл бұрын
Toka na wewe. 😁😁😁😁😁😁
@mbarouknassor91464 жыл бұрын
Ila mzee me napenda da way unavyowachangamsha hata hao walinzi wako
@muharamiesther59083 жыл бұрын
Daah Mungu awe nawe Hayati Rais JPM katika makao ya milele mbinguni!!!
@yarimapoly63614 жыл бұрын
May God c to strengthen ad protect u DR john magufuli this is the kind of President we need in Africa not the looters, ur doing well sir keep it up
@marrymosha36184 жыл бұрын
Kaumizwa sana yaan Hadi ajaamini ,imebid tu apige picha ila kiroho kinamuuma ,, Mungu akutie nguvu raisi wetu, sote tumeumia kwa kifo hiki
@ains11224 жыл бұрын
Very right, that's what I wanted to say, umentangulia kauli, imemuuma Sana magufuli kifo cha mwenzie
@salumabdallah66804 жыл бұрын
Hii ilikua kabla mkapa hajafariki
@jumannesaid48734 жыл бұрын
Pole my president bado huamini kilichotokea. Amini tu kua mzee mkapa atunae tena. ishi katika hilo kama ulivyotusii kuiishi covid 19
@zenj19864 жыл бұрын
Rais wa watu. Rais makini. Rais mwenye hekima. Yaani kila nikiona Habari ya Mzee ni lazima niiangalie. Rais wangu. Mungu asante kwa Neema hii. Tuvanye tuwe waja wa kukushukuru daima.
@zozohmeed55464 жыл бұрын
Amen
@ALIMOHD-bk9lr4 жыл бұрын
Mr President is very simple man akijadili na wasaidizi wake. Mungu akuwekee udumu INSHALLAH tufaidike na HEKIMA zako
@KS-iw7qv4 жыл бұрын
Yaani mpaka inapendeza..... Rais mpole yupo SOCIAL sana anazungumza na walinzi wake na ku-share ideas kama marafiki tu.... Marais wajao wajifunze mengi hapa..... Hizi ndio tabia za watanzania.... TO BE SOCIAL...... Nianaaamini hata hawa walinzi wake wana-enjoy sana with this man
@bundukitv13224 жыл бұрын
Tunaendelea na simulizi yetu ya bwana aliyepitia mazingira ya kuwa TEJA (Mla unga)👇👇 kzbin.info/www/bejne/eGrUYn6uZstqiaM
@emmanuelntalima1717 Жыл бұрын
A living President 💓
@jei_maimu69574 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣HAPA KWA KWELI CCM OYEEEE... SAWA BAAABAAAA TUKOMESHEEE
@janeyoj82284 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@mohamedidrisa41924 жыл бұрын
Ni kweli yani kaumia sana mueshimiwa
@lucymbonde4404 жыл бұрын
Hakika Rais umefanya jambo la maana sana kujionea mwenyewe hali ya kusini. Tunaimani na wewe
@felisterchimtunga70114 жыл бұрын
Tatizo la watani wangu wa kusini uchawi mwingi hadi viongozi wanakimbia🤣🤣🤣🤣 maana akija kiongozi mzuri mnataka kumjaribu na vibuyu vyenu maendeleo lazima yachelewe coz mtu akiondoka anakosa hamu ya kugeuka nyuma🤣🤣🤣🤣🤣 watani bhana
@michaelluhinda2604 жыл бұрын
Samahani sana kwa usumbufu ila please nikuombe ki2 ila samahani sana sana huwenda ukapuuzia ila naomba unisaport ndugu yako nakuomba U subscribe You Tube channel yangu nakuomba 🙏🙏👇👇👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻 kzbin.info/door/QMxKxHnhZi0Fr3Hr8X_sbw
@chrismassawe3264 жыл бұрын
Daa kweli mzee hiki kifo cha mzee mkapa kimekuumiza hakika
@jambo37514 жыл бұрын
Amepiga picha nayeye!😄 Alitwambia wazaramu tutapiga picha za harusi kwenye flyover za ubungo😄 Na yeye sasa zamu yake kumtania mtani wetu na ni Rais wetu mpendwa Mungu ampe afya na nguvu ya kuliongoza taifa letu.