Mungu wangu wa kweli na haki naomba uwapumzishi mahali pema peponi amina.
@jamesmussa2602 Жыл бұрын
Huyu ndiye aliyekuwa Mh.Benjamin W.Mkapa also known as Ben wa CCM. Mwenyezi Mungu umpe Pumziko la amani popote pale katika maisha yake mapya pamoja na ndugu zetu wengine. Amen
@JumaMtonga4 ай бұрын
Kumbe toka zamani ccm walikuwa wanafanya siasa safikabisa mungu azidi kukidumisha chama cha ccm
@brownmwakipesile73572 жыл бұрын
Shujaa, mahili, kiongozi Benjamin William Mkapa nitakukumbuka daima, upumzike kwa amani, Raha ya milele uumpe ee Bwana na mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa amani amen🤲🙏.
@Kenyan_Duke5 ай бұрын
Daah!!Hata Rais wangu wa Kenya mwendazake Moi alihudhuria
@suleimanikirassahassan97115 ай бұрын
Kumbukumbu nzuri safi sana Tbc
@jamesk22125 ай бұрын
Namuona Mzee wetu Kenya Daniel moi
@saadibraahim8561 Жыл бұрын
Namuona mzee moi wote wapo wamekufa dunia ni mapito tufanye mema
@Kenyan_Duke5 ай бұрын
ila Mseveni ndo bado
@erickimathi69315 ай бұрын
R.i.p Benjamin William mkapa
@ernestmpembela2885 Жыл бұрын
Tuwaenzi kwa Mema yao namkumbuka alipambana na mfumko wa bei kwanza miaka kumi mfumko haukutisha
@raphaelmwamakimbula9642 Жыл бұрын
Benjamin William Mkapa(Beni),dah!😭
@berachahvalleys Жыл бұрын
Kumbe records mnazo. Haya tuwekeeni siku Mwl Nyerere anakabidhi Madaraka kwa Mzee Mwinyi
@miltonjohn97795 ай бұрын
Unaulizwa usenge
@donaphertv72292 ай бұрын
Grandpa ❤❤❤ rst easy
@adamzuberi940 Жыл бұрын
R i p mkapa kwa kutuvusha pare rufiji dah
@gabrielmoses68602 жыл бұрын
See you on the next life Ben!!
@minaside67174 жыл бұрын
Pumzika kwa aman mh Mkapa
@cletusmwanauta9798Ай бұрын
Kumbukumbu nzuri
@EdghaMoses-js8lj5 ай бұрын
Rest in peace
@mohammedrashid2906 Жыл бұрын
Safi sana
@charlesbulayi4095 Жыл бұрын
MKAPA alikuwa kiongozi shupavu sana
@loishiyesamwel1374 Жыл бұрын
Mzee MKAPA ni Nembo kubwa ya Nchi yetu. Ameacha alama, Sijui wengine wataacha alama zipi.
@Nufaila442 Жыл бұрын
Mercedes Benz ☺☺
@thomasgogomoka640411 ай бұрын
Endelea kupumzika kwa amani Hayati Benjamini mkapa
@mussadaudi62159 ай бұрын
Hii nch walah nitawaenz marais watatu tu,,jk Nyerere,,mkapa na jp-maghufur ,,
@hmmarjabi42838 ай бұрын
Kwa sababu ni makafiri wenzako
@severinpascal6514 Жыл бұрын
😥😥😢
@Nyanda5065 ай бұрын
Museven lipo tu mpaka leo na halina aibu😂😂😂
@erickdanielkasindi5645 ай бұрын
ha😂
@abdulshaferi3053 Жыл бұрын
Kifo hakina huruma
@johnmathenge34062 жыл бұрын
Pumzika mzee wa Afrika BWM.
@amanikudeli52972 жыл бұрын
R i p benja
@mudiomari3007 Жыл бұрын
Ah tumetoka mbali
@davidocholla85205 ай бұрын
❤😂😢😅😊🎉😮😂😊😂😂😊
@leonidaspaulo15265 ай бұрын
Mwanga WA milele umpe ewe bwana apumzike Kwa amani
@gosbertrwezahura3645 Жыл бұрын
Napenda sana adabu ya jeshi. Pumzika kwa amani Rais Ben Mkapa.
@brytonmnyama6562 Жыл бұрын
Apumzike nyinyi kwel mikundu uyo sasa yupo motoni muwaji mkubwa uyo
@gosbertrwezahura3645 Жыл бұрын
@@brytonmnyama6562 Pole sana ndugu. Naona una hasira. Huenda ulipata matatizo wakati wa uongozi wake. Pole sana.
@miltonjohn97795 ай бұрын
@@brytonmnyama6562 alikufira nn
@user-oy5st7sf1i28 күн бұрын
Tumepoteza jembe
@bahatiisaimbega1149 Жыл бұрын
wewe kakuwambia nan kuwa kapswa mwaka2000 usiwe unatuma tuma
@TamuzaKale Жыл бұрын
Unayumba wewe. Term yake ya pili ilikuwa 2000. Unabisha nini?
@double8boy802 Жыл бұрын
mhula wa pili n kweli
@burhanimahmoud89855 ай бұрын
This man is mwehu wallah sass term yake ya pili ni lini😂😂😂😂😂