Kumbe kweli hii inchi Bado inasheria za kikoloni kwahiyo bunge likiamuwa watanzania tuuwawe hakuna mahaka ya kusikiliza kesi wakati wanasema ni bunge la wanainchi
@mussamsuya85952 сағат бұрын
Sasa wabunge siwanatuwakilisha wananch wakiamua wao nisawa na?wananch
@yonasimion313058 минут бұрын
Mpina unayoyafanya ni ya kijasiri Sana jembe, tungekuwa na wabunge 10 kama wewe bunge lingenyoka. Pambana Mungu atakusimamia.
@Juma-e8l31 минут бұрын
Kaka viongoz wa kanda ya ziwa ni watu na nisu wanasimamia haki
@simongwandu73922 сағат бұрын
Mnawafaidisha mawakili
@bcozhenry26982 сағат бұрын
Kwani una akili ya kuona nje ya faida kwa Mawakili, faida kwa wananchi ni kubwa kiasi gani kwa wasioheshimu Katiba kwa sababu ya vyeo vyao?
@simongwandu7392Сағат бұрын
@@bcozhenry2698 kuna maisha baada ya mapambano Akikosa kura atakuwa na nani Na nyie acheni uchochezi
@donaldbenedict5761Сағат бұрын
Mahakama ni sehemu ya kupata haki kwahiyo hakuna sehemu nyingine kwa hiyo spika akiua atashitakiwa wapi maana bungeni wanatunga sheria tu nasiyo kuhukumu kazi ya kuhukumuau kutoa haki ni Mahakamani
@JamesKanyenda-y9yСағат бұрын
Akuna alie juu ya shelia.kila mtu apewe haki yake
@danielkansoСағат бұрын
Mhhh hii ndiyo nchi inayosimamia haki eti jaji amepata dharura katiba mpya ni muhimu sana maana watu wenye masilahi yao binafsi watatumaliza kwa katiba hii