No video

KIVUMBI, WAZIRI MKUU ALIVYOMBANA MKURUGENZI NA MUWEKA HAZINA, AIAGIZA TAKUKURU "WACHUNGUZWE"

  Рет қаралды 44,592

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 173
@ismail-vf4zw
@ismail-vf4zw 11 ай бұрын
Rais ajaye, Naomba siku moja aje kuwa rais huyu waziri mkuu, namkubali sana na Mungu amlinde sana, maana huyu ndiye mwenye uchungu na fedha zetu, hapa kazi tuu👏👏👏👏👍
@kanoa645
@kanoa645 11 ай бұрын
Kwa mwendo huu kweli tunamuhitaji sana huyu
@jovintosssi3287
@jovintosssi3287 11 ай бұрын
True
@demicratia4071
@demicratia4071 11 ай бұрын
sssirmu tenaaa mhh
@avitusmichael5
@avitusmichael5 11 ай бұрын
Kabisa
@napster2558
@napster2558 11 ай бұрын
Kwa huu mwendo hawez kumpa urais wataogopa atawasumbua ad wao
@barakamsungu5260
@barakamsungu5260 11 ай бұрын
Majaliwa 🔥🔥🔥 yaani huu ndio uzalendo na uwajibikaji, safi waziri wangu na Mungu akubariki.
@abdallahselemani6423
@abdallahselemani6423 11 ай бұрын
Ndio maana Kwa Hali hii naunga mkono kubinafsisha bandari maana watanzania tumezidi wizi!!!!!
@Patrick-rf6ro
@Patrick-rf6ro 11 ай бұрын
Tunakupenda Sana Mheshimiwa Kassim Majaliwa, waziri Mkuu....piga kazi
@philberthmoses3794
@philberthmoses3794 11 ай бұрын
Hizi nyakati tumezimisi sana zinaitwa papo kwa papo R.I.P. JPM
@jovintosssi3287
@jovintosssi3287 11 ай бұрын
😭😭😭daa magu kweli hatutamsahau
@happylynguya3464
@happylynguya3464 11 ай бұрын
Magufuli angeota kumchagua huyu kuwa Makamu wa Rais, leo hii tungekuwa na Rais boooora kabisa. Majaliwa anachapa kazi huo ndio ukweli
@batilda4920
@batilda4920 11 ай бұрын
Watu Wanapiga ela tu!tunabamwa Sisi wajasiriamali ela wanakula tu watu kiulaini Sisi tunabamwa makodi kila kukicha😢
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 11 ай бұрын
Kwakweli inauma sana.
@Ommybabaa47
@Ommybabaa47 11 ай бұрын
Mollah akupe afya njema Baba majaliwa 🇹🇿🇦🇪
@fransicmushenyera9302
@fransicmushenyera9302 11 ай бұрын
huyu ndio waziri mkuu wa JPM tulie mzoea sijui alikuwa wapi sasa inayonyesha karudi asante mungu
@juliusmataso5773
@juliusmataso5773 11 ай бұрын
Badilisheni namna ya kuwapata Wakurugenzi na Wakuu wa idara. Tangazeni hizo kazi watu wafanye interview ili mpate watendaji wazuri lakini kwa kuchukua makada wenu mnawapa nafasi haya matatizo katika nchi hayataisha. Kuna watanzania wengi wazuri katika utendaji na usimamizi lakini hawapati fursa kwasababu sio makada wa chama. Badilikeni chukueni hatua.
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 11 ай бұрын
Na wewe kawe Kada ili upate hiyo nafasi
@ngumbosanga5359
@ngumbosanga5359 11 ай бұрын
Fukuza kazi wote kwanini mnawabembeleza au mpaka mpinduliwe
@kanoa645
@kanoa645 11 ай бұрын
Naam
@oscarkasalile3966
@oscarkasalile3966 11 ай бұрын
Mheshimiwa Waziri mkuu simamia ukweli na kuwatetea wananchi wako tunaanza kuwa na imani na wewe, hata wakikuchukia Sisi watanzania tuliowengi tunakuhitaji katika Taifa hili na tunakuamini.
@ndenengokimaro4502
@ndenengokimaro4502 11 ай бұрын
Safi sana ndg wazir mkuu keep it up
@jumamtunze3372
@jumamtunze3372 11 ай бұрын
GOOD kazi ni ufuatiliaje sio meza na mafaili tu ofisini
@mohddelo
@mohddelo 11 ай бұрын
Unatukumbusha enzi za magu safi sana
@radhiambwana3353
@radhiambwana3353 11 ай бұрын
Ifkie mahali watunz vifaa tiba wawe makamanda JWTZ kidogo wanauchungu na Nchi hivi vinavyofichwa sehem kesho kutwa vinaenda hospital binafsi vibovu vinaletwa hapo
@ndenengokimaro4502
@ndenengokimaro4502 11 ай бұрын
Safi sana ndg waziri mkuu keep it up
@allywilson4155
@allywilson4155 11 ай бұрын
Sukuma ndani wote hao mkuu
@greenwellnsyukwe4729
@greenwellnsyukwe4729 11 ай бұрын
Jamaniiii eeeeeeeee, Waziri mkuu umenipa Raha sana Mzalendo wa kweli, Over mkuu wa Mkoa msitaafu wa Tabora MWANRI.
@gabrielzakaria2810
@gabrielzakaria2810 11 ай бұрын
Me nakwelewa mzee kwanz ww una hofu ya mungu
@mwaiphamkuruto1087
@mwaiphamkuruto1087 11 ай бұрын
Watanzania hyu mwamba wenu anafaa kuwa Rais haya kazi kwenu sijasema mwaka gani lakin anafaa saana Maguu the 2nd
@saidymbiliko5567
@saidymbiliko5567 11 ай бұрын
Kwani kuwanyonga kabisa haiwezekani ili kupunguza watu wasiofaa.
@nailaomar4810
@nailaomar4810 11 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@josephatjordan2150
@josephatjordan2150 11 ай бұрын
@@nailaomar4810😂😂😂😂
@saidymbiliko5567
@saidymbiliko5567 11 ай бұрын
@@josephatjordan2150 au wewe unaonaje ndugu
@mikidadymohammedy7603
@mikidadymohammedy7603 11 ай бұрын
Ingekuwa vzr zaid
@emnanuelimtui1805
@emnanuelimtui1805 11 ай бұрын
Awa sifazao ni kulima matikiti sio uongozi
@victormushi6641
@victormushi6641 11 ай бұрын
mzee hao awakuelewi unaongea nini ukiwaona kama watu vile apo wanatamani ata ufe waendelee kuiba.. ni watu hatari sana hao.
@Yunis-hn9hn
@Yunis-hn9hn 11 ай бұрын
Watu wanaupiga mwingi nikimuona waziri mkuu namkumbuka baba Magufuli😢
@humaidalnaamani7859
@humaidalnaamani7859 11 ай бұрын
Mama hafai katika usimamizi anaonyesha ana kaa office ni tu😊
@aediayumgo8546
@aediayumgo8546 11 ай бұрын
Huyu alifaa kabisa kuwa Raisi semaCcm mtu kama huyu mjomba Kassim itakuwa ngumu hapo huyo mkurugenzi mweka hazina mkandarasi wana watu huko juu hata akiwatumbua atakuta wamehashiwa mikoa mingine na alishakutana nayo kamtumbua mtu Tabora kamkuta mpanda anaendeleza wizi hiyo ndiyoTz
@VailettyShigerla-fw2sg
@VailettyShigerla-fw2sg 11 ай бұрын
Mungu akuride majariwa
@FahmiAbdalla-oi8ed
@FahmiAbdalla-oi8ed 11 ай бұрын
AHSANTE MH WAZIRI MKUU KASSIM MAJAALIWA(BIG UP
@jumamasoud1188
@jumamasoud1188 11 ай бұрын
Mjomba me nakukubali sana yani siku ukigombea urais kura yangu lazima nikupe Inshaallah maana unapiga kazi
@andrewmwita119
@andrewmwita119 11 ай бұрын
Mzee wetu alipoa sana sijajua shida ilikuwa nini lakini anatakiwa awe hivi akipoa tunajisikia wanyonge kiasi kwamba tunamkumbuka BABA 😮😮.
@happylynguya3464
@happylynguya3464 11 ай бұрын
Kweli kabisa akifanya hivi tunapata faraja tunaona kweli baba Magufuli aliacha mtu.
@qasammamachinya4448
@qasammamachinya4448 11 ай бұрын
Asant asant sana mh
@ulaweboy9826
@ulaweboy9826 11 ай бұрын
We ngoja mungu pekee atalipa ameeen😢
@mohamedrashid9035
@mohamedrashid9035 11 ай бұрын
Hivyo vifaa vitaibiwa vyote hao wete ni wezi
@ksmally1985
@ksmally1985 11 ай бұрын
Hii nchi ni ya hovyo sana. Hiyo kazi ya usimamizi hata mtu wa darasa la Saba atasimamia.ila Hawa viongozi kuanzia mkurugenzi,mkuu wa mkoa mkuu wa wilaya hakuna kazi wanazofanya Hawa. Kazi ni kila pesa tu wa miradi.
@mohddelo
@mohddelo 11 ай бұрын
Weka ndani wnakula hela za wanyonge
@hezekiamtera3559
@hezekiamtera3559 11 ай бұрын
Tupeni kazi hizo.Wako wastaafu wenywe weledi na uzoefu ambao wanaweza kuwasaidia kama mtawahitaji.
@baloziubalozini5074
@baloziubalozini5074 11 ай бұрын
Hpo kwenye "WACHUNGUZWE" ndio huwa kuna haribu kula kitu,maana huwa inaishia juu kwa Juu,just some childish STUNTS
@mayaally2512
@mayaally2512 11 ай бұрын
Mkurugenzi wa jiji la arusha kafungwa miaka 20 hakuna mambo ya kuishia juu juu
@marthadaniel4904
@marthadaniel4904 11 ай бұрын
Hii Tanzania haiendelei kwa sababu watu sio wafanyaj kazi ni ujambaz tu
@husseinkarim6745
@husseinkarim6745 11 ай бұрын
Kuna kazi, pesa zinajenga majumba yao. Wanashindwa kusema pesa hakuna hapo zimeliwa zote.
@guyasidotto1198
@guyasidotto1198 11 ай бұрын
Tatzo ajira muhimu Kama hizi mnawapa watu kichama
@bigilimanyavani6818
@bigilimanyavani6818 11 ай бұрын
Na bado wilaya jilan hapo Kuna uhuni mwingi sana
@FilbertKalembe-fy4oq
@FilbertKalembe-fy4oq 11 ай бұрын
Mh hapa changalamacho hata mm nisie kuwa na elimu nimeshaona kuna wizi fedha hakuna zimeshaliwa
@FredMwamgogwa-td6ni
@FredMwamgogwa-td6ni 11 ай бұрын
Yaani zahanati inajengwa mwaka mzima 😅😅😅😅
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 10 ай бұрын
Degeree hizo..🤣🤣🤣....Bure kabisa , MAVICHWA BOKSI ...!..Vifaa mnashindwa hata kuvifunika NYLON...! Hao watumishi ni JINGA kabisa..Hela ipo lkn wamekaa tu kama MISHIPA , afadhali hata MSHIPA unaenda kushoto na kulia..!..PUMBAAAV sana
@ngendaniyeniyonkuru8826
@ngendaniyeniyonkuru8826 11 ай бұрын
Aisee Kigoma bado ni Shamba la bibi.🤦🤦🤦🤦🤦
@nasrahamadi7570
@nasrahamadi7570 11 ай бұрын
Kwa kubananisha huku mpaka waseme😂
@ImmaThelonewolf-bk2cx
@ImmaThelonewolf-bk2cx 11 ай бұрын
Wewe ndio kiongozi mkuu wa nchi hii huyo mwingine yupo tu na biashara zake za nchi
@nailaomar4810
@nailaomar4810 11 ай бұрын
Wezi mpaka wanaishiwa uongo wa kujibu duhhhhh hatari wameiba mpaka basi hahahaaaaaa
@salumoneustace4039
@salumoneustace4039 10 ай бұрын
sasa kama watendaji wenyew hawajielewi kwa hali ya kawaidaa Jpm aliwaitaa vilazaa DED, mtunza hazna, manunuzi wote wapo ofc moja lkn cha ajabuu wanapshana kauli... hao ni sehem ya watendaji wa serikali walowaklshaa wengne wapo wengi kulkoo maelezoo pesa znapigwaa kila kukichaa watz wanalia njaaa gharama za maisha zkoo juuu, maji tatzo , afyaa bado kisiki afu serikali inakuja na kuwatwishaa mzigoo watz kwa kulipaa kodi kumbee pesaa wapo waliozishkliaa kwa manufaaa yao binafc
@gracemwakibolwa7910
@gracemwakibolwa7910 11 ай бұрын
Mii nikajua hapo hapo unawafuta kazi walafi wakubwa hao kila mtu anaongea lake havieleweki.
@nitumesokoni3164
@nitumesokoni3164 11 ай бұрын
Hao wote wanaojichanganya wako chini ya Mkurugenzi, Mkurugenzi ni mteule wa Rais. Hapo angekuwepo JPM Mkurugenzi angekuwa hana kazi sahiz
@jovintosssi3287
@jovintosssi3287 11 ай бұрын
@@nitumesokoni3164 true jpm alikua hana maelezo mengi akijua wote wapgaji
@timboxlee919
@timboxlee919 11 ай бұрын
Fukuza hao Majambazi,hawa ndiyo wanafanya tumchukie Rais samia
@didasseveline9013
@didasseveline9013 11 ай бұрын
Waziri mkuu safi! Ila jitahdi ufanye mazoezi upunguze ktambi! Make tunakutegemea 2025! ( Mchaka mchaka)
@user-gy4vk1hh3x
@user-gy4vk1hh3x 11 ай бұрын
😅😅😅 Sawa kabisa ni rais ajaye huyu
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 11 ай бұрын
Hawa ni hatari sana.
@victormushi6641
@victormushi6641 11 ай бұрын
hatari kuliko kuuza bandari.
@arafaahmed3567
@arafaahmed3567 11 ай бұрын
Pesa zinaliwa tu
@wilbertjosephat1615
@wilbertjosephat1615 11 ай бұрын
Kwanza mkurugenzi anamuita mh naibu waziri mkuu😂😂
@alisalimo2861
@alisalimo2861 10 ай бұрын
Baba hao ndio wanaoturudisha nyuma mzee wanajali matumbo yao tuu
@emanuelkilangilo5585
@emanuelkilangilo5585 11 ай бұрын
Yan waziri mkuu naomba Mungu siku aje kuwa naye Raisi
@user-xu8sd1fg3i
@user-xu8sd1fg3i 11 ай бұрын
Safi sana muheshimiwa
@HashimTamambele-cz8be
@HashimTamambele-cz8be 11 ай бұрын
Watukumbusha mbli mzee
@ramadhaniyahaya7286
@ramadhaniyahaya7286 11 ай бұрын
Jembe wangu majaliwa nakuombea uwe juu zaidi ya hapo ila tatizo uko chini ya mamlaka ungekuwa juu ningechinja mbuzi
@user-gy4vk1hh3x
@user-gy4vk1hh3x 11 ай бұрын
😅😅😅😅 hata Mimi ningechinja ngamia
@shabanipanya1033
@shabanipanya1033 11 ай бұрын
Sasa hii itasaidia nini na wakati nchi haina raisi kelele tu za bure
@selemanimasatu2421
@selemanimasatu2421 11 ай бұрын
Ukitoka home uko kwenye V8 umekalia kodi zetu miradi haiendi unasubiri kustaafu ule mafao huo ni upuuzi piga bomu hapo.
@Uk0382M
@Uk0382M 11 ай бұрын
Dah watumishi wa serikali hamutuonei huruma walipa kodi. Sura zenu tu zinaonesha ni wezi na waongo kama watoto wadogo tu. Mnajikanyaga kanyaga tu.
@hamynas
@hamynas 11 ай бұрын
waziri mkuu nenda arusha jiji mkurugenzi na timu zake wanafanya hayo hayo ya kigoma tena wale wamezidi
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 11 ай бұрын
Dah! Nchi hii,,,!!!!
@victormushi6641
@victormushi6641 11 ай бұрын
sheria ya kwanza ya mwizi wa serikalini ni unyenyekevu na kufunga mikono na kuwa msikivu kinafiki. ukimpa kisogo umeisha anahamisha zote wala aibi.
@ramadhaniyahaya7286
@ramadhaniyahaya7286 11 ай бұрын
Jamani viongozi wengine hata aibu hawana nihatali mpaka wawe wanahukumiwa hapo hapo miaka 5 na kufatiliwa ana nini
@liverpoolfootballclub9985
@liverpoolfootballclub9985 11 ай бұрын
Kasim majaaliwa. Simamia haki. Siku ukitangulia mbele za haki MUNGU atakuuliza. Mamlaka ni majukumu mazito. Simamia haki mkuu.🇰🇪
@generosennko8343
@generosennko8343 10 ай бұрын
Asante waziri wetu mkuu. Tumekuona. Asante baba. Pambana na uzembe wote. Tusaidie baba. Msaidie sana mama rais wetu ktk ufuatiliaji wa karibu kama huo
@gracekaboigora189
@gracekaboigora189 11 ай бұрын
Mbona pesa zilishapingwa???
@user-mh5ve4ly9g
@user-mh5ve4ly9g 10 ай бұрын
Hii ndio afrca bhana
@williumteete2626
@williumteete2626 11 ай бұрын
Watakuwa hawajawagana sawa. Ndio maana wanapishana maelezo
@emnanuelimtui1805
@emnanuelimtui1805 11 ай бұрын
Nchi hii itafikia mahali mpaka bakora ndo watu waende
@alvinbenito5243
@alvinbenito5243 11 ай бұрын
Yaani waliojabidhiwa dhamana ya kusimamia serikali ni wazembe kupitiliza, matumbo mikubwa laini akili ndoto, kuanza wachunguzwe kama elimu yao inabidi hawa wazembe.
@godsankarabwe3641
@godsankarabwe3641 11 ай бұрын
Hapo mheshimiwa hujaenda kijiji cha samwa wamepunga pesa
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 11 ай бұрын
Cc wahali ya chini tutaabike nyie kuleni kwa ulaini nyie wenye nyadhifa zenu.
@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl 11 ай бұрын
Nalia mimi naona uchungu mimi tunalipa kodi kwanguv wat wazichezda koda zetu
@bujashidaniel5537
@bujashidaniel5537 11 ай бұрын
Hapo kwenye kuchunguza ndo huwa wanachekecha mamb yanaishia hapo hapo
@icclcharters3389
@icclcharters3389 11 ай бұрын
🤣Nnapocheka zaidi ni pale ambapo mkurugenzi wa manunuzi anaposema hajaona dokezo halafu viumbe waliokaa nyuma yake wamejishika mikono kama wanaheshima sanaa kwa waziri mkuu na watanzania kwa ujumla kumbe wanafki wakubwa!
@feisalboy6702
@feisalboy6702 11 ай бұрын
Namuomba mungu cku moja huyu majaaliwa awe raisi wa tz
@gracekaboigora189
@gracekaboigora189 11 ай бұрын
Pesa walishakopesha
@HashimTamambele-cz8be
@HashimTamambele-cz8be 11 ай бұрын
Ivi unaweza kupewa nafasi ya pale juu angalau miaka 5 tu
@vero57
@vero57 11 ай бұрын
Wanapedelea vitambi vyao tuu hao , hakili hakuna kabisa utawekaje vitu kama hivyo nyumba haijaishaa??? Waongoo tuu wote hao waziri mkuu majaliwa
@fredyfile623
@fredyfile623 11 ай бұрын
Hayo ndo madhara ya kupitisha wabunge na madiwani bila kupingwa ndo inasababisha mnakulana wenyewe kwa wenyewe bcz hakuna wakumnyooshea mwenzake kidole hivyo sishangai kwa mautumbo hayoo.
@marylaiser-db2tp
@marylaiser-db2tp 11 ай бұрын
Hii ni kero kubwa nchini
@albertbunyinyiga7581
@albertbunyinyiga7581 11 ай бұрын
Piga chini wajinga wajinga wote wana waalibia sifa serikali ya awamu ya sita
@eliazarinyakiema1969
@eliazarinyakiema1969 11 ай бұрын
Mh!
@demicratia4071
@demicratia4071 11 ай бұрын
zimeshaliwaaa😅😂
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 11 ай бұрын
Majaliwa uwe unatembea na difenda.
@charlesmakuri792
@charlesmakuri792 11 ай бұрын
Yanii watuhawa washugulikiwe hivi utawala wa wazungu sie hatuwezi sifurahii ila ndio tulivyo aibu tupu
@IbnuAlly-cg2gn
@IbnuAlly-cg2gn 11 ай бұрын
Sio maadili mazuri kuhojiana hadharani na kuvunjiana heshima au ndo siasa na kutaka umaarufu
@barakabusima
@barakabusima 11 ай бұрын
Heshima gani zaidi ya kutimiza wajibu....
@thieryniyonkuru5023
@thieryniyonkuru5023 11 ай бұрын
We Vipi heshima ya nini kwa washenzi hao😏😏😏
@modycadabra8721
@modycadabra8721 11 ай бұрын
Mwizi aheshimiwi kenge ww
@IbnuAlly-cg2gn
@IbnuAlly-cg2gn 11 ай бұрын
@@modycadabra8721 Lazima ujue kuwa hakuna binadamu asiyekosea kinachotakiwa ni kurekebishana kwa njia mzuri
@abdonmwombeki2383
@abdonmwombeki2383 11 ай бұрын
Acheni kuiba hela
@bujashidaniel5537
@bujashidaniel5537 11 ай бұрын
Mkurugenz ,, mkuu wa wilaya na mkuu wa mkoa xote n teuz za Rais ,majaliwa hana mamlaka ya kuwatengua ,,hapo sa hz angekuepo Rais kngeumana
@gracekaboigora189
@gracekaboigora189 11 ай бұрын
Mkuu pesa inajenga jumba. Burega
@AstonyMathayo-hn9th
@AstonyMathayo-hn9th 11 ай бұрын
Kiukweli ata mimi natamani ata kesho mama aachie kiti majaliwa akae maana ndie mtanzania ninae amini ata tunyooshea wapumbavu kwajili yamaendeleo yawatania
@Optionxll_Playz1
@Optionxll_Playz1 11 ай бұрын
Hivi sijawahi kufahamu ,Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa mkoa wanafanya kazi gani ? Mbona ni kama hawaitajiki sasa kama ni hali kama hii.
@josephmwalwanje4430
@josephmwalwanje4430 11 ай бұрын
Jembe iloo
@albertbunyinyiga7581
@albertbunyinyiga7581 11 ай бұрын
Uje ukague Barabara ya kutokea busweru kwenda shibura mbona wanasua sua na mbunge wa ilemela Mabula yupo tunataka kujua wanainchi cause hiko slow mno
@emanuelmoshama3899
@emanuelmoshama3899 11 ай бұрын
Mpaka kasema mh mkuu wa wilaya duuuuu
@habisnasalum-nz4zo
@habisnasalum-nz4zo 10 ай бұрын
Viongozi wakubwa wanafanya makwao tu
@bockerbocker8495
@bockerbocker8495 11 ай бұрын
Madhara ya kupewa nafasi Watu wasio na sifa ndiyo haya,nafasi zinakuwa za mchongo,hovyo kabisa na cha ajabu,kuna Mkuu wa Wilaya,Mkuu wa Mkoa,Mwaziri wapo,hovyo kabisa
@nitumesokoni3164
@nitumesokoni3164 11 ай бұрын
Tatizo hawa wote wanateuliwa na mtu mmoja ndugu yangu. Mkuu wa Wilaya au Mkoa hana sauti kwa Mkurugenzi maana wote wanashtaki kwa mtu mmoja
@teddygabriel5662
@teddygabriel5662 11 ай бұрын
Monitor, inazungumziwa x-ray
@bimumaulid1171
@bimumaulid1171 11 ай бұрын
UKIRUDISHA MIKE USIONDOKE WAPO WENGI MKUU
@SAHILSHAABAN
@SAHILSHAABAN 11 ай бұрын
Hakuna hayoni magizitu
Mohammad bin Salman: Prince With Two Faces
54:00
Show Me the World
Рет қаралды 4,9 МЛН
Little brothers couldn't stay calm when they noticed a bin lorry #shorts
00:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 19 МЛН
Yum 😋 cotton candy 🍭
00:18
Nadir Show
Рет қаралды 7 МЛН
WORLD'S SHORTEST WOMAN
00:58
Stokes Twins
Рет қаралды 201 МЛН
PRESIDENT RUTO SALUTES FRANCIS ATWOLI DURING HOMECOMING CEREMONY OF OPARANYA
9:38
Little brothers couldn't stay calm when they noticed a bin lorry #shorts
00:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 19 МЛН