No video

DUUH!! WAZIRI MKUU AWASHA MOTO "MNANIDANGANYA, HOVYO KABISA HAPA HAKUNA WATUMISHI HAMISHA''

  Рет қаралды 227,044

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Waziri Mkuu wa Jaamhuri ya Muungano wa Tanzania Kasimu Majaliwa ametoa Wiki mbili kwa Mamlaka ya Bandari Kigoma na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya kigoma kuhakikisha Bandari ya Kagunga na Soko la Kimataifa kagunga kunza kazi mara moja.

Пікірлер: 319
@christophermsekena616
@christophermsekena616 3 жыл бұрын
My next President Majaliwa Kassim Majaliwa
@mashakakitwana2824
@mashakakitwana2824 3 жыл бұрын
Agreed
@ilungarubwebwe3195
@ilungarubwebwe3195 3 жыл бұрын
Wazil mkuu piga kazi
@haridtk3199
@haridtk3199 3 жыл бұрын
@@mashakakitwana2824 extry next presdar
@stanleyfocas8250
@stanleyfocas8250 3 жыл бұрын
Yea
@ramadhanikasim7485
@ramadhanikasim7485 3 жыл бұрын
Katiba ailuusu angekua lais
@an6808
@an6808 3 жыл бұрын
Siku kama ya leo mwaka 2025, Mungu akikupa uhai, Majaliwa utakua Rais wa TZ,inshallah
@mwinukafundibombanjombe
@mwinukafundibombanjombe 3 жыл бұрын
Naunga mkono..nampenda awe Rais kam JPM atagoma kuongeza mda wake
@michaelmbata2263
@michaelmbata2263 3 жыл бұрын
Amina kubwa tumuombee
@edwinmmary8459
@edwinmmary8459 3 жыл бұрын
Yaani leo nimejikuta nakupenda bure Mh Waziri Mkuu Kassim Majaliwa. Ninahakikisha kukuombea afya nguvu na hekma ya mwenyezi Mungu ili uzidi kuwa na maamuzi sahihi.
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j 3 жыл бұрын
Huyu baba anatufuta machozi kabisa
@jamesshaw4011
@jamesshaw4011 3 жыл бұрын
safi kabisa Mr Prime minister say no to corruption we are so tired of it and government officials who are irresponsible
@twarqmaridadi2343
@twarqmaridadi2343 3 жыл бұрын
Kama kimombo hakiwezekani.usiandike braza
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 3 жыл бұрын
thats right!
@jamesthomas390jj
@jamesthomas390jj 3 жыл бұрын
Hapo bado JPM hajaanza kuzunguka. Si itakuwa balaa
@pamelauwera3830
@pamelauwera3830 3 жыл бұрын
Yaani natamani aanze nimemumiss kinoma
@andulilemwakihabha2048
@andulilemwakihabha2048 3 жыл бұрын
Ndio hapo sasa
@jamesthomas390jj
@jamesthomas390jj 3 жыл бұрын
@@pamelauwera3830 aseee sio ww tu. Karibia Tz wote tumemiss, hata wale ambao hawampendi huwa wanammiss hawawez kusema tu😂😂
@SalmaSalma-nb2cv
@SalmaSalma-nb2cv 3 жыл бұрын
@@jamesthomas390jj huwa anaanza mwez gn atamie nimemic kwel
@jamesthomas390jj
@jamesthomas390jj 3 жыл бұрын
@@SalmaSalma-nb2cv hahaha sijui, nadhan mpk mwaka kesho katikati hapo
@gilbertmariwa3830
@gilbertmariwa3830 3 жыл бұрын
Mumshukuru aliyekuja hapo ni mh. Waziri Majaliwa yaani angekuja JPM hapo meneja ungetumbuliwa kabisaaa
@beaugosseadam6831
@beaugosseadam6831 3 жыл бұрын
Subiri kitakachofuata baada ya PM kumaliza ziara zake.
@msetikebwasi6895
@msetikebwasi6895 3 жыл бұрын
@@beaugosseadam6831 Utumbuaji utafuata ndo huwa kanuni.
@mohamedpesambili9460
@mohamedpesambili9460 3 жыл бұрын
@@nationalbeautiful ni mkali lakin siyo mwamuzi wa mwisho
@abubakarimlyandi8966
@abubakarimlyandi8966 3 жыл бұрын
Milard ayo nakubal sana habar zako znakua nzuri na za uhakika ila naomba us unatupa na habar za michezo, mana Chanel zngne wanatupa habar za michezo za uongo uongo👏
@mossyfimbo3577
@mossyfimbo3577 3 жыл бұрын
Hivi unafikiri atapona huyo subiri jama atakuwa anamsikiliza waziri wake yaani ni wakuwafukuza tu hawa sio wenzetu hatuko nao safari moja
@akimmbwego797
@akimmbwego797 3 жыл бұрын
Yaani mnamdanganya PM hovyo sana nyie hata haya amna ondoa wote wajinga hao......mnapewa kazi alafu hamjui cha kifanya🤔
@hanialsalti671
@hanialsalti671 3 жыл бұрын
Safi sana wazir kazi nzuri
@temkezatv4381
@temkezatv4381 3 жыл бұрын
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI.
@johnlembo2955
@johnlembo2955 3 жыл бұрын
JPM ni mtu mzuri sana, hatakubali kuibadili katiba ili akae mpaka kifo. Kufanya hivyo ni kutengeneza mazingira kwa kiongozi atakayetaka kuwa dictator kufanya hivyo kiulaini
@athumaniomari2833
@athumaniomari2833 2 жыл бұрын
Ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU endelea kuwaongoza kumsimamia kumlinda na kuzidi kuimalisha afya yake waziri wangu mkuu
@mariamally1913
@mariamally1913 2 жыл бұрын
Nakupenda sana baba fanyakazi Kama makufuri nichietu kumbe inawatu tulioachiwa na jpm mungu Asante.
@brightbeatus8312
@brightbeatus8312 3 жыл бұрын
Asante waziri mkubwa, sina shaka ndiwe mrithi wa JPM
@barakastanny5859
@barakastanny5859 3 жыл бұрын
Big up mtendaji mkuuu wa serikali. Kwa kuona matumizi mabaya ya pesa za watanzania
@786schopetamiston9
@786schopetamiston9 3 жыл бұрын
Dah PM yupo vizuri jamani alafu mnasema government inawatesa leo nimeamin watumishi nyie ndiyo wa hovyo sana
@jacobletema3681
@jacobletema3681 Жыл бұрын
Mheshimiwa waziri Mkuu Majaliwa, mimi unanifurahisha mno sana, uwe rais urudishe uwajibikaji kama enzi ya Magufuli. Yaani kwa ufuatiliaji huu nakuombea uwe rais.
@kalumbugideon4159
@kalumbugideon4159 3 жыл бұрын
Huyu ndiye Waziri Mkuu wetu wa Tanzania anayejua kutafsiri Sera za Serikali kwa vitendo.....Ifikie hatua wabadilike Watumishi wa Umma.....
@allymkamba1054
@allymkamba1054 3 жыл бұрын
Watu wa namna hii wakichapwa mnasema wanazalilishwa kweli? Wachapwe sana mpaka wapate akili, hatuwezi kuwa na watumishi wa namna hii na wakati wanalipwa kwa kodi zetu.
@cellinamgale1361
@cellinamgale1361 3 жыл бұрын
Mh.waziri mkuu naomba utembelee Wilaya ya Mpwapwa
@haipo8949
@haipo8949 3 жыл бұрын
UNACHAPA KAZI BABA. UNAKWENDA FIELD NA C KUWATUMA WATU. UNGETUMA MTU HAPO ANGEKULETEA POSITIVE ANSWER. KUMBE KILA KITU NI NEGATIVE.
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 3 жыл бұрын
Mungu akutunze Rais ujaye,mwenye roho ya Magufuliiiiiii,nafarijika sanaaaaaaaaaa.
@aliysalimu5897
@aliysalimu5897 2 жыл бұрын
Mungu Akuweke. Uje kuwa. Rais. Wa Tanzania.
@axumsharkun924
@axumsharkun924 Жыл бұрын
Nakukubali zaid ya yule alieko madarakan mungu akulinde uje utuongoze inshaallah
@yahyachande3009
@yahyachande3009 Жыл бұрын
Watanzania ndio tunataka Rais wa Aina Kama yako mh waziri mkuu hongera Sana wewe ndio unastahili kuwa Rais wetu wa jamhuri ya muungano wa tanzania
@newbornhaule1635
@newbornhaule1635 3 жыл бұрын
wakichapwa viboko mnasema haki za binadamu sasa hivi wanavotumia vibaya pesa zetu sisi hatuna uchungu na kodi zetu hawa inatakiwa waachishwe kazi waajiliwe haki za binadamu
@amosmahona433
@amosmahona433 3 жыл бұрын
Salute kwako Mhe. Waziri mkuu
@mosescharles6311
@mosescharles6311 3 жыл бұрын
Nakuunga mkono waziri wangu piga kazi mungu yupo nawewe tuta kuombea piga kazi
@mgenditedisia5679
@mgenditedisia5679 3 жыл бұрын
Our next president
@marymfugwa847
@marymfugwa847 3 жыл бұрын
Unamdanganya mkuu! Nyumba nzuri lakini mnazitelekeza afadhali mnge wapa masikini wazitumie kwa mda kuliko kuzitelekeza.
@victorvenance1009
@victorvenance1009 3 жыл бұрын
My next President
@tofikinaftali4336
@tofikinaftali4336 3 жыл бұрын
Usiombe ukutane na majaliwa hakuwachi salama kuna wengine watapigwa makofi hadharani
@RioIpo
@RioIpo 3 жыл бұрын
Ana maswali magumu na sauti yake amazing
@kareemsukri3256
@kareemsukri3256 3 жыл бұрын
Next president
@esthernsami7732
@esthernsami7732 3 жыл бұрын
Sisi walala hoi tulikuwa hatuna pa kusemea. Tulizoea kudanganywa.Muda umekwisha. Tuko nyuma ya Raisi wetu na viongozi wetu.Lazima tubadilike.Hatuwezi kudanganywa kila wakati, Baadhi ya viongozi watoto wao wapo ulaya kusoma au Internatinal school kwa pesa ya kodi zetu. Tulikuwa hakuna Shule Afya wala barabara .Leo hii tunaona mabadiliko, lakini wapo wanaoturudisha tulikotokea. LOVE YOUR MOTHER COUNTRY. GOD SAVE OUR PRESDENT
@deusdeditswebe8930
@deusdeditswebe8930 3 жыл бұрын
PM.......💪💪💪
@alphoncembasa1775
@alphoncembasa1775 3 жыл бұрын
Duuuu. Najiunga na ccm haraka saaana
@reinaldagerodi1525
@reinaldagerodi1525 3 жыл бұрын
Fanya haraka
@alphoncembasa1775
@alphoncembasa1775 3 жыл бұрын
@@reinaldagerodi1525 Kwanza huyo mkurugenzi wa bandali afukuzwe haraka. Maana mzembe saaana. Yaani mpka wizri mkuu aende na viongozi wengine wapi. Pia mkuu wa mkoa , wilaya , mkurugezni kuweni makini na kazi zenu . Angalieni maeneo yenu. Ndio maana mmeteuliwa kuwakilisha serikari kuu .
@jeremiahzacharia7655
@jeremiahzacharia7655 3 жыл бұрын
Karibu
@jumahory3069
@jumahory3069 3 жыл бұрын
ktk waziri wakuu majaliwa nsmkubali sio pinda nimtendaji
@festohaule5968
@festohaule5968 3 жыл бұрын
Hapo Mkuu wa mkoa .Mkuu wa Wilaya.0.0..
@prettyh7509
@prettyh7509 3 жыл бұрын
Mashallah 🥰🥰🥰👍
@shabanmohamed1545
@shabanmohamed1545 3 жыл бұрын
Nampongeza sana mh.waziri mkuu ,wangi watumishi wa serikali wanayanyanyapaa majengo wanayopewa na serikali matokeo yake wanakuja huku mitaani kufanya nyumba ziwe na bei kubwa kwa wananchi wa kawaida.
@shantalismailhassan9878
@shantalismailhassan9878 3 жыл бұрын
Hovyo kabisa!
@babajoyce7955
@babajoyce7955 3 жыл бұрын
Amelala humu ndani jibu swali
@abdulseifmtuluma4484
@abdulseifmtuluma4484 3 жыл бұрын
Unaweza kujiharishia...😀
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 жыл бұрын
Ahsante sana MHE majaliwa kazi inaendelea
@vincentauxerbius7554
@vincentauxerbius7554 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂ofic haina hata kigoda kwa mhe waziri kassimu huyu moto unawaka watumishi mtapata tabu sana😋😋😋😋😋😋😂😂😂😂😂😂
@mossyfimbo3577
@mossyfimbo3577 3 жыл бұрын
Kama mtu huwezi kazi si uwachie wengine kuliko kutesa wananchi wanasubiri port ifunguliwe wao wameshakula pesa za kujengea hayo malengo sio ya billion 3 hayo ni wezi tu hao afukuze woote mbona watu wako wengi wanasubiri waitwe halafu unapata kazi unacheza na wizi juu
@mweyoms5548
@mweyoms5548 3 жыл бұрын
Jinsi hii nchi ilivyo na lundo la watendaji wazembe na wapiga dili,Rais JPM Waziri Mkuu Majaliwa wanalazimika kumeza HEDEX au DAWA TATU kutuliza maumivu ya kichwa kabla ya kulala.Wana kazi ngumu mno 'kuswaga' watu wanaojua wajibu wao lakini wanasubiri kusukumwasukumwa kama wanyama.Ni wizi na uzembe kila wanapokwenda.
@khalidali1130
@khalidali1130 3 жыл бұрын
Halafu watu wakitaka ajira wanasma hakna ajira wkt kunnmijitu inajfany wajira watendaj kumbe wanalala n kuamka tu hovyooo
@mr.machange1377
@mr.machange1377 3 жыл бұрын
Hii nchi madudu kwa mawaziri na makatibu na wafanyakazi wa ngazi za juu yametoka sasa yapo kwa wafanyakazi wa kawaida na ngazi za chini na kwa varangati hili yatatoka tz yote kila ofisi itasalim amri
@leonardkayolo7314
@leonardkayolo7314 3 жыл бұрын
Viongozi wengi wa Bongo wasiposimamiwa hawawezi kujisimamia, ni hovyo tupu
@kambiissa4465
@kambiissa4465 3 жыл бұрын
Ninakukubali sana Waziri Mkuu......hakika umewasaidia sana wananchi wa Kagunga walikuwa wanateseka
@khalidmohamed454
@khalidmohamed454 Жыл бұрын
Majaaliwa hongera sana mkuu
@magellasaid28
@magellasaid28 3 жыл бұрын
TUMBUAAAAAAA BABA WAPUMBAVU HAO, YAANI HAWAJUI SERIKALI SIO ILEEEE YA MZEE WA KUSAFIRI FUKUZA WOTEEEEEE
@manasemwakilasa5931
@manasemwakilasa5931 3 жыл бұрын
Mnamdanganya next Rais
@saidlucas1216
@saidlucas1216 2 жыл бұрын
Anafaa kuwa rais huyu kwa kweli %100
@godlema6104
@godlema6104 3 жыл бұрын
Walikuwa wakuweka ndani kwanza wajifunze
@khadijamzee6560
@khadijamzee6560 3 жыл бұрын
nga
@godlema6104
@godlema6104 3 жыл бұрын
@@khadijamzee6560 ndio unajuwa watuwengine niwasomi niwakubwa lakin awajui kujiongoza na kujiongeza mpaka wapelekeshwe
@rajaburajabu3963
@rajaburajabu3963 3 жыл бұрын
Ubarikiwe mkuu
@josephinanikwelimdacki3330
@josephinanikwelimdacki3330 3 жыл бұрын
Mungu akulinde
@godymwalyale8634
@godymwalyale8634 3 жыл бұрын
Kazi nzuri sana
@raphaelsegu2017
@raphaelsegu2017 3 жыл бұрын
Piga kazi baba Mungu akulinde tunakuombea watanzania
@papadimayo1chanel.747
@papadimayo1chanel.747 3 жыл бұрын
Mh. Kwani hamjui Kama siku zote huwa mnadanganywa na watumishi wenu?. Fukuza Mara moja hao, wapi vijana wengi tu hawana ajira.
@janethlupilli1117
@janethlupilli1117 3 жыл бұрын
This fire aise kwa maswal hayo ctak ajira serikalin
@user-dj7mw5rx5h
@user-dj7mw5rx5h 5 ай бұрын
Saluuut kwa waziri mkuu
@barakanestory3521
@barakanestory3521 Жыл бұрын
Huyu anafaaa kuwa Rais,wasimbanie,2025 karibu.Fukuza,hii nchi ukilegeza tu,wefikiria, kaja bush,klinton,Obama,Rais wa china,lakini mpaka Leo kuna mgawo wa Umeme? Shida ni usimamizi,wote wangekuwa kama waziri mkuu nchi ingesonga mbele.
@georgealoyce7280
@georgealoyce7280 3 жыл бұрын
Daaaa wenyewe uwezo wa kufanya kazi wapo mitaani wanaonyesha uwezo mitaani wasiokuwa na uwezo wapo serikalini wanaonyesha wanafanya madudu.naomba kazi hiyo mh.waziri mkuu
@leilatsangali3945
@leilatsangali3945 3 жыл бұрын
Kaz kaz safi sana baba
@capastapeter2173
@capastapeter2173 3 жыл бұрын
Jibu Analala au halali
@jemedarijuma8953
@jemedarijuma8953 3 жыл бұрын
Endeleeni kuwapendelea hawo hawo. Sekta ya elimu; walimu hamuwajengei nyumba wala ofisi bora hakuna. Billion of money wastage coz miaka mitatu hakuna walichozalisha ktk fedha mlizowekeza hapo.
@robinsonerasto8069
@robinsonerasto8069 3 жыл бұрын
Nlikua nasubir mtu apigwe kibao apo😂😂
@naamohamed9964
@naamohamed9964 3 жыл бұрын
😃😃😃😃harafu kama kilitaka kutoka kiende shavuni
@dullygooners974
@dullygooners974 3 жыл бұрын
Me nilidhani anapigwa kweli
@amriharuna4236
@amriharuna4236 3 жыл бұрын
Kama mimi
@athumaniomari2833
@athumaniomari2833 2 жыл бұрын
Ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU endelea kuwaongoza kumsimamia kumlinda na kuzidi kuimalisha afya yake raisi wangu na wasaidizi wake wote
@zefamange7281
@zefamange7281 3 жыл бұрын
KOMAA NAO WAZIRI WANGU. WALIZOA AWAMU YA NNE
@furahajonas7425
@furahajonas7425 3 жыл бұрын
Hapo saf
@emilyibraimo5032
@emilyibraimo5032 3 жыл бұрын
Sukumaa ndani
@maxmaizer4631
@maxmaizer4631 3 жыл бұрын
Nisha sema heri niwe fundi gereji sio kuwa mtumishi serikali awamu hii ya tano unaweza kunya .mbele ya alaiki tena mbere ya uyu mzee majaliwa 😂 bora ukutane na mag sio uyu
@adoratmwashinga89
@adoratmwashinga89 2 ай бұрын
Majaliwa akisimama Urais ntampigia kura nikiwa kenya
@charlesrwegalulila1069
@charlesrwegalulila1069 3 жыл бұрын
Good work from JPM
@munaahmed8499
@munaahmed8499 2 жыл бұрын
Akimaliza mda wake mama tu tunakuomba gombea urais na makam mchykue Ally happy mnajua kuikomboa nchi nyie kam alivyokuw marehe rais Magufuli
@mcheshcomedy5809
@mcheshcomedy5809 3 жыл бұрын
SAF SANA FUTURE PRESDENT 2025✍️✔️✔️✔️✔️
@twarqmaridadi2343
@twarqmaridadi2343 3 жыл бұрын
Lugha ya watu hii jaman..kiswahili mbona simple tu.future president
@mcheshcomedy5809
@mcheshcomedy5809 3 жыл бұрын
@@twarqmaridadi2343 Unateseka ukiwa wap Kwanza we 4m1??🙄🙄🙄
@twarqmaridadi2343
@twarqmaridadi2343 3 жыл бұрын
@@mcheshcomedy5809 sawa mm 4m1 ila nimegundua umezingua kimombo.sasa sijui ww hata la saba kama umefika
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 жыл бұрын
Kaza buti MHE majaliwa majengo yanaharibika wafukuze kazi hao baba waharibifu wa pesa za serikali
@feisalsalum1258
@feisalsalum1258 3 жыл бұрын
Sasa naanza kuiona Kigoma mpya
@mtopelamussa7440
@mtopelamussa7440 2 жыл бұрын
Kassim maajaliwa tunaombea uwendelee kupata nguvu zaidi
@errydeo8865
@errydeo8865 3 жыл бұрын
HAWA WATUMISHI HAWAKO SERIOUS ,TIMUA!
@musasabu6969
@musasabu6969 3 жыл бұрын
Mh.waziri mkuu Hawa watu bado hajaelewa mnataka nini wanafkili ni mda wa kbembelezana
@agustinorichadi1253
@agustinorichadi1253 Жыл бұрын
Safi sana mkuu
@ednamanji
@ednamanji 3 жыл бұрын
Jibu Swali analala hapa!!?? Huyu ana la la humu!!??
@ismailyusuph740
@ismailyusuph740 3 жыл бұрын
Yaani wakigoma mnakwama wapi..?.....kesho mnalalama Serikali haiwaangalii...!....Yaani ni uchawi tu...!
@ramadhanimasudi6904
@ramadhanimasudi6904 3 жыл бұрын
Hawa watumishi kiukweli wana roho ngumu hata ya kuua mtu! Yaan mpaka waziri anadanganywa mbele ya waandishi wa habari! Hii ni hatari sana kiukweli!
@juliusoscarngeze2515
@juliusoscarngeze2515 Жыл бұрын
Unafa hata kua mangufuli ajae
@salehejongo2799
@salehejongo2799 3 жыл бұрын
Majaliwa safiii hapa kazi tu.
@tatoorashedi1787
@tatoorashedi1787 3 жыл бұрын
Kaka ww ndio mboni yetu Tzmacho yetu kwako mungu akulinde na mafisadi isiwe kama...
@aliysalimu5897
@aliysalimu5897 2 жыл бұрын
2025. Baba Mungu. Akusimamie. Ujekua. Rais. Wa. Tanzania. Mimi binafsi. Yakukubali saan
@mugishamajeba9628
@mugishamajeba9628 Жыл бұрын
MUESHIMIWA SISI TUNAIMANI NAWEW TUNAKUOMBA SIKUMOJA UGOMBEE URAISI SISI WATANZANIA TUNAIMANI NAWEW URIPO TUPO MUCHANGOWAKO UNAONEKANA MUESHIMIWA CHONDECHONDE TUNAKUOMBA
@AbdulKarim-ep5te
@AbdulKarim-ep5te 3 жыл бұрын
Yupo
@esabelfadhili8432
@esabelfadhili8432 3 жыл бұрын
Alafu wamejengewa nyumba za kisasa kabisa hawakai jamaniii
@naamohamed9964
@naamohamed9964 3 жыл бұрын
Kaz kaz
@stevemwakisimba5986
@stevemwakisimba5986 3 жыл бұрын
Ukikutana na majaliwa ni bora ukutane na jpm huyu ndio rais ajae
@munimuni3365
@munimuni3365 3 жыл бұрын
Minaona urais wangepahuyu wazirimku
@latifsahib7110
@latifsahib7110 3 жыл бұрын
Kuna watu wana moyo wa chuma, yaan wanataka kumdanganya PM mbele ya vyombo vya habari...
@maswamills3161
@maswamills3161 Жыл бұрын
MH.iwe iwavyo 2025 chukua fomu BABA,CCM ikikuzingua vaa koti la chama chochote uzichote kura.hatuna haja na vyama kwa sasa tunamtaka Kiongozi Mwenye uchungu na pesa za walipakodi ,hakiliwi chama zinaliwa pesa.
@feisalsalum1258
@feisalsalum1258 3 жыл бұрын
Yaani kwa kigoma yapo majipu mengi sana yaani kama ndo hivi kichaka kinakuwa kisafi maana kilikuwa ni kichaka cha hovyo kabisa yaani nimefurahi
@selemani.matendo4091
@selemani.matendo4091 Жыл бұрын
Mzee. Majahaliwa. Unastahili. Kuwa.. Raisi. Wetu.. Hapo. Baadaye
@andulilemwakihabha2048
@andulilemwakihabha2048 3 жыл бұрын
Nyumba nzuri hivyo hawazitumii hapo Ni kuyatumbua tu haiwezekan selikari igharamie mahela mengi afu wapuuzi wachache wakwamishe malengo ya selikari ikiwezekana wawekwe ndani kabisa
@injili90
@injili90 3 жыл бұрын
😁😁😁😁😁Analala humu ? Analala humu? alikuja juZ analala humu😂😂😂
@otienookeyo1423
@otienookeyo1423 3 жыл бұрын
Nakuambia hii awamu na kwa vile tunamaliza kipindi chetu mbona mtakoma.
@malombemunyithya9341
@malombemunyithya9341 Жыл бұрын
Huyu mwamba mpaka Sasa ndio amebaki anaishi maisha ya mwendazake
天使救了路飞!#天使#小丑#路飞#家庭
00:35
家庭搞笑日记
Рет қаралды 89 МЛН
WHO CAN RUN FASTER?
00:23
Zhong
Рет қаралды 43 МЛН
Kids' Guide to Fire Safety: Essential Lessons #shorts
00:34
Fabiosa Animated
Рет қаралды 15 МЛН
天使救了路飞!#天使#小丑#路飞#家庭
00:35
家庭搞笑日记
Рет қаралды 89 МЛН