Ubarikiwe sana mhe Majaliwa kumsikiliza huyo mwananchi umenikumbusha enzi ya baba yetu mpendwa wetu Magufuli barikiwa kiongozi wetu
@Combinemedia75699 ай бұрын
Am a kenyan but i congratulate the tz prime minister ,,,,,he has revive the magufuli era kudos PM am proud as an efrican thumb up majaliwa
@ilynpayne749110 ай бұрын
Daah hii nchi aisee😢😢😢 wananchi tuna fanywa kuwa kama wanyama tuna onewa mno😢
@josephlorri43110 ай бұрын
Utapewa kesi ya uchochezi, hata uhaini watakupa..
@ednaJF102810 ай бұрын
Yani ndo mana huwa naona nivigumu kweli kuishi huko kama hujazoea mana huwa kama hakuna sheria hata ukiwa na haki hakuna mtu anayekusikiliza kabisa mana kila kona rushwa imejaa so disappointed about our country 6:50 6:50
@maswamills316110 ай бұрын
Sana😭😭
@user-de2rg9kk7u10 ай бұрын
Huyu ndio kiongozi wa kweli shujaa Wanguuuu Wengine Siwatambui
@barakaabel48210 ай бұрын
Ni busara kusikiliza shida ya mtu!!!! Gud
@maswamills316110 ай бұрын
Baba kweli.🎉
@KaburuKimath-eu5nf8 күн бұрын
Kweli waziri mkuu unayo hekima kubwa sana na ni msikilizaji mzuri
@cleymmasi-ke5ly10 ай бұрын
R i p John pombe magufuli😭😭😭😭😭😭😭😭 jamani watanzania tunakukumbuka sana raisi wetu huyu ulie muacha nisije nikaongea sana nikajikuta sentro
@diyembarak55067 ай бұрын
Ndio ushaongea hivyo 😂😂😂
@nelsonnyamle10 ай бұрын
Mheshimiwa waziri mkuu msaidie huyo mtu kunawatumishi wenu wananyanyasa sana wananchi
@geraldmakalala609110 ай бұрын
Mimi nina kwambia hivi ,kuna watu wanajifanya Miungu watu, R.I.P Magufuli
@emmanuelndotela941210 ай бұрын
Kuna watumishi hawapo kwaajili ya kuwasaidia watu
@Ak-yaska10 ай бұрын
You see my friend it's you've presidential ambitions but never outshine your master ❤
Waziri wangu wa nchi yangu nakukubari sana kwa kazi zako Mungu akusimamie sana
@comsmkemwa26719 ай бұрын
Hapo hakuna utekelezaji ndgu, huyo ndio kishaachwa, na atakachokutana nacho hukoo atajutia maamuzi yake, hiyo ndio serkali ya ccm
@bertinkimati267410 ай бұрын
Ks mmeangalia vizuri kuna mpuuzi aliyeokota zile nyaraka zake na kuanzia kuzichana . Tazameni tena vizuri. Hii ilikuwa kukicha au kuharibu ushahidi wake. Angalia pale alipotoka risiti akazitupa chini aliyeokota akaanza kuzichana . Ilibidi wazuri apewe clip aitazame ataona watu wake anaozungula nao
@upendosanga920510 ай бұрын
Kweli anazichana jaman
@willegamba147910 ай бұрын
Duh ni kweli
@maniamba.tz_10 ай бұрын
Kweli hata mimi nimeona 😮😮😮
@gracemwakibolwa791010 ай бұрын
Namimi nimeona nimeahangaa sana anazichqna jamani roho mbaya sana sana.hongera sana waziri mkuu kwa kumsikiliza huyo baba.
@alexvenas269910 ай бұрын
Hapana jamani alikuwa anaziweka kwenye bahasha then zikawa zinafondoka,ukiangalia mkono wake wa kushoto ameshika bahasha ndogo anaziweka
@ibbyikh178810 ай бұрын
Mi kizazi utawala wa Nyerere jinsi navyona Tanzania inazidi kwenda chini ktk mandereo ktk sectors zote nchi aina heshima rushwa kila sehemu that is sucks system need to be fix. RIP magu.
@laurencemassawe910010 ай бұрын
Da Mungu atusaidie sana Waziri mkuu nakumba umsaidie uyu bwana anawatoto wanamtegemea
@EliasSimkonda10 ай бұрын
Kweli kuna jamaa abeokuta hizo risit na kuanaza kuzichana ,tafadhalini vyombo husika vimchukulie hatua za kisheria.
@maniamba.tz_10 ай бұрын
Nchi ngumu sana yani mtu analia mwingine anafuta ushaidi
@jurakijuraki887010 ай бұрын
Asante sana Mh Rais ajaye Mungu akutangulie nakukubali sana nakuheshimu sana pia nakuombea sana kiongozi wetu msikivu mwenye busara na hekima Mwenyezi Mungu akulinde PM
@maniamba.tz_10 ай бұрын
Apambane kwanza na uyo alichana nyaraka hapo
@maswamills316110 ай бұрын
Anaifanania Ikulu Majaliwa
@BGHaule9 ай бұрын
Huyu jamaa HAYUPO vizuri kiakili
@servantofalmightygoddranth251110 ай бұрын
Ili chizi apo pembeni na mkitambi wake linachana risiti, hii nchi John pombe Magufuli peke yake ndio aliiweza
@zainabwage465810 ай бұрын
Wanakataa kufanya kaz walizotumwa wamekuwa wala dhuruma za watu kesho kwa mungu sjui mutasema nn 😢
@gracekaboigora18910 ай бұрын
Tenda baba, Mungu akuwekee wepesi
@KhalidKhan-ud9cz10 ай бұрын
Tanzania Dar Esalam mzuri Sana kweli nakupenda sana kweli 💖💕💖💕
@user-sb2he7yi5v10 ай бұрын
Etty unaomba ulinzi😅😅😅😅😅😅
@denisrwegasila268810 ай бұрын
Huyo jamaa mwenye kitenge alikua anachana baadhi ya riziti wote mmemwona
@fahamumbava370210 ай бұрын
5:20 anachana risiti kupoteza ushahidi
@FatnaAlly-go7yt4 күн бұрын
Allah akulinde na akuhidadhi
@eliadaniel21610 ай бұрын
Mwenyezi Mungu amsaidie huyu bro kiukweli ukitizama na kusikiliza kwa pupa hutomuelewa ila ukweli wafanya biashara bahazi wanapata shida sana na kupolea hela kinguvu aisee inaumiza sana hii
@FatnaAlly-go7yt4 күн бұрын
Oooh allah jaalia amani dunia nzima❤❤❤
@johnmahu506010 ай бұрын
Jmn wafanyabiashara wanateseka e Mungu utuokoe na mfumo hu mbovu wa ccm Mungu aturehem
@juliusisack409010 ай бұрын
Ilaa apo angakuepo magufuli 😂 kuna watu wangekosa vibarua apo apo
@Nedjadist10 ай бұрын
Yaani Waziri Mkuu ana moyo wa kucheka ju ya hili?!
@dostovan514210 ай бұрын
Wanafanya show off ty
@juliusisack409010 ай бұрын
Waziri mkuu kasimu majaliw atakuja kua raisi wa inchi anafaa sana ❤
@johnsonsabanya586010 ай бұрын
Hakuna kitu hapo niwalewale chuma ni Magu tu rest in peace
This is the highest level of psycophancy like the type we had in Kenya during Moi"s one party KANU ERA.This man called Majaliwa is indeed a perfect examble.
@kazikazini104210 ай бұрын
Ya kwenu mmeyamudu?
@bertinkimati267410 ай бұрын
Kibaya zaidi hata wananchi wanaoangalia hawawezi kusema kuwa huyo mhuni anachana risiti zake.
@jonaskabonda74110 ай бұрын
😢😢😢😢
@ednaJF102810 ай бұрын
Yani Nashanga kweli hii wanajua human rights? Haki wanaonea sana sana
@Hasnspop10 ай бұрын
Alafu na usalama wa taifa kabisa ameingilia kuchana risit shida kweli kweli
@ednaJF102810 ай бұрын
@russiababawakutokomezaushoga ooh kumbe? so 😔 to see that. Hivyo na viongozi wengine wakamuacha tu achane? Hii ni unyanyasaji kabisa haki Hivi huwa wanasahau kazi yao ni kulinda raia na kuwasikiliza? Kila mtu yupo kwenye kiti kwa kujijari wao tu, sio kufanya kazi vizuri is very serious issue need to be changed and take care of their residents
@user-vh3yh2ec8r10 ай бұрын
Safi sana muheshimiwa ulinzi tu maana wt wamevurugwa wanaweza kumuua
@kassimrajabu780510 ай бұрын
Alafu Askari kaona jamaa anachana Receipts za jamaa
@maswamills316110 ай бұрын
Umeonae Mmmh hatariiii
@user-de2rg9kk7u10 ай бұрын
Huyu ndio Raisi wangu. Samia suluhu Hassan simjui Wala simtambui Ni MALAYA TU
@catherinenestory951410 ай бұрын
Kwa nini Majariwa asiwe Rais jaman ni kama Hayati magufuli kabisa
Rush’s imekithiri kila ofisi. Maafisa wengi hata ikili pia leseni, bado wanakudai rushwa za mamillioni wagawane.
@jacksonjamesndyabawe47110 күн бұрын
Watu Wana pata sana shida africa
@dostovan514210 ай бұрын
Solution ni katiba mpya
@Gracemima10 ай бұрын
Wazir mkuu, mbona unamuuliza maswali huku ukicheka Kama mzaa? Mtu ameoitia shida nyingi hivi? Tangu Samia kukataza mabango watanzania wasiokuwa na sauti wanatishwa na kudhulumiwa sana. Sio watanzania WOTE wana nguvu za huyu mtanzania kupigana mpaka akakufikia. Serikali iweke mpango wa wananchi kusikilizwa shida zawo. Wengine shida zawo zainaweza kutatuliwa kwa maagizo tu, lakini Rais kawaziba midomo kwa mabango. Nchi nyingine zinafuata haki, matatizo yawo hutatuliwa na Mbunge wawo, lakini wabunge wa Tanzania ni kupigania matumbo yawo tu. shida za wananchi hawashugulikii. Tanzania ilikuwa ya watanzania wakati wa Hayati Magufuli. Ni Rais ambaye watanzania hawatamusahau.
@ruthsebastian46339 ай бұрын
Magufuli pumzika kwa amani😢
@judicalosika76427 ай бұрын
Waziri mkuu amekisea sana kucheka Kwa kweli
@AbduraufuIbrahim-vm3ee10 ай бұрын
Mbn anatishiwa sasa 😢😢
@kdpretoria7809 ай бұрын
my future president ❤
@user-wu2yn1lb2e9 ай бұрын
Itakuwa jambo la maana sana kama mtarenda haki waziri Mkuu kasmu majaliwa mwananchi wako atendewe haki kwani nchi hii imekuwa ya matajiri hakuna anaye muogopa mungu
@BIGBOSS-hl3bu10 ай бұрын
Inaumiza sana
@anethjoseph45429 ай бұрын
Wengine huku tumelipa Tufungiwe mita tanesco ni mwezi sasa hali mbaya
@user-wb9gy2xx3p6 ай бұрын
Dakika 4:42 huyo afisa wa serikali anachana risiti za mlalamikaji alizotoa kama ushahidi wake mbele ya waziri mkui
@elizalutiga62878 ай бұрын
Aiseee
@davidmisiwa462210 ай бұрын
Waziri mkuu una sifa ya kuwa rais
@youthmediatv19 ай бұрын
Duh,kumbe kote shida
@kotadapotar509410 ай бұрын
Mtu Anasema Analala chooni yeye mavi mfatilizie warda waziri ulivyofatilizia mlala chooni 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@user-rj5xi1ui5w10 ай бұрын
Ama kwa hakika ngoma mbichi kabisa
@johnshauri313010 ай бұрын
Huyo mwenye shati nyekundu aliyeokota risiti za Mwananchi amemgeuzia Mhe.Waziri Mkuu mgongo huku akichana risiti za Mwananchi mlalamikaji naomba achukuliwe hatua ameshusha hadhi ya utumishi wa umma
@blandinamwarabu502510 ай бұрын
Hawezi chana haki ya mtu
@user-tg7vq3ty8p9 ай бұрын
Kuna risiti huyo ndugu alizidondosha lakini kuna ofisa ameziokota anazichanachana.
@bertinkimati267410 ай бұрын
Ali macho yako hayaoni au ndio umefika mwisho wa kuona ?
Hadi Mlinzi kacheka huyo alishika mic ya muongeaji sijui anajiona nani muache mtu aongeee yaisheeeeee Khaaaaa
@JoniEdu-nk7gr9 ай бұрын
Unyanyasaji huo wasaidie baba
@fatmaalhabs693910 ай бұрын
Na hao wanao kamba na kutuka sababu ya bandar pia kazi yao kuchukua rushwa
@ramadhanisalum389810 күн бұрын
Sasa uyo jamaa anachana lisiti daa izo lisiti jamaa amechana zoote mbele za watu
@kingfuture71479 ай бұрын
Kwanini waziri mkuu hajamaliza jambo Hilo hapo hapo hapa Kuna upigaji pembeni
@kassimrajabu780510 ай бұрын
Kuna jamaa kavaa shati la rangi nyekindu anachana Receipt za jamaa hapo😢😢😢daaah!!!
@ikramalmas703910 ай бұрын
Nime muona
@karimkassam57110 ай бұрын
Kweli jamaa hafai
@comsmkemwa26719 ай бұрын
Hakuna kitu hapo, hii aliifanya jpm tu,
@barakamusa898810 ай бұрын
Bahati mwenye nchi hayupo hapo ingejulika leo
@Mariam99-ld4gw10 ай бұрын
Wazir. Msaidie warda apatikane
@theteacherchance675010 ай бұрын
JALALU SULAIMAN SWALEHE
@ikramalmas703910 ай бұрын
Kuna jamaa kavaa shati jekundu anachana risiti
@FahmiAbdalla-oi8ed10 ай бұрын
HUYU ASKARI AU CJUI NANI(KWANINI AMECHANA RISITI ALIZOTOA MLALAMIKAJI?
@samwelimarwa526710 ай бұрын
Ujue vipngozi wakuu wa nchi wanadhamira ya dhati ya kuleta maendeleo;Waziri mkuu nenda wilaya ya Tarime kuna urasimu mkubwa sana;Bibi kikongwe mjane anyanganywa ardhi na vijana ktk ukoo huku voongozi wapo
@user-sh6ox4xb4f9 ай бұрын
Baba nenda shirati mkoa wa Rorya sokoni une mambo Tax za nyumba za sokoni.
@ziyadanyandwi290810 ай бұрын
Inasikitisha
@alumonkisinda457410 ай бұрын
watuhumiwa si wapo hapo peleka ndani huku upelelezi ukiendelea
@dorahy157910 ай бұрын
Maghufuli atatoa wapi tena?
@dn.n498310 ай бұрын
Mbona alikuwa anachana risti hata mimi nimeona kwa kweli Rais wetu mpendwa angalia hili sio kuvheka la kusikitisha wanachana risti mbele waziri hakuliona au mapolisi hawalioni this bad kwa taifa hata ukiwa polisi unafanya uruhusiwi
@dn.n498310 ай бұрын
Kweli aibu selikali mnabidi kusikiliza wananchi watawachoka watu wataka maendeleo wenhine warudisha nyuma
@philemoninaftari63599 ай бұрын
❤🎉
@aminatanzanya747510 ай бұрын
Nyarak zenyew hyo mpumbavu kazichn hii nchi maskin tunatesek sana
@mrjeyjamal628810 ай бұрын
Mheshimiwa majaliwa ni over the President big up Mr prime minister
@maswamills316110 ай бұрын
Atamani awe Raisi
@user-uy1qu5oo7y9 ай бұрын
Majaliwa Kasim nakuombea chukua form ya kugombea urais watanzania tumekukubali wewe utamubadili magu kufutamachozi ya watanzania
@BasumegeMbotwa-bo7td9 ай бұрын
Hela ya mkopo tena rushwa utalipeje malejesho?? Ndio maana wengi washindwa 🙏🙏