Hizi nyakati za mwisho kanisa linahitaji kiongozi kama huyu mwenye mafundisho kama haya Hakuna kulelewa ki mayai mayai Nimejifunza kitu kikubwa sanaa na nimeinuliwa kiakili na kirohooo Hakuna muda wa kupoteza mambo ni chap chap kwasababu kila mtu anamambo yake kipindi hiki cha nyakati za mwisho Asante sana apostle kwa somo hili 🙌🙏🙏 Mungu azidi kukuweka daimaa.
@mariapendael6262 жыл бұрын
Najinza Sana Apostle mungu akupe hekima zaidi wewe na familia yako
@joshuagodfrey36593 жыл бұрын
Daaaaah!!!! Hiii ndo injili
@SonofMajor13 жыл бұрын
Very powerful teachings indeed my Apostle. Ulindwe zaidi baba mlezi. Ahsante sana kwa elimu.
@exaveryndelwa2309 Жыл бұрын
Saafi sana kemea kanisa lipone pastor kizazi hiki ni kibaya sana kizazi cha uzinzi na ukaidi. Yesu alisema kemea kwa nguvu nimekupongeza sana unajua mtumishi bila hivyo uovu utaenea kanisani haiitaji kubembeleza ni nyakati za mwisho nyakati za hatari ndo Maana Paulo anasema 2Timotheo 4:2 Karipia kemea onya kwa uvumilivu wote asikuonee mtu na hao waliochoma nywele na na madawa na kujichora na wengine wamevaa nguo za mabega wazi na fupi sana wengine zenye ushawishi ni ushetani huo nao kemea wabadilike wanaangusha vijana
@jamesdioniz32433 жыл бұрын
Powerful teaching Man of God, Mungu akuongezee maisha marefu
@esthercharles22103 жыл бұрын
Kweli kabisa Apostle, asante sana kwa ufahamu huu wa kipindi hiki.
@edithalotto14813 жыл бұрын
Big up apostle, kemea, karipia, onya uko sahihi!
@tistarmalafyale16263 жыл бұрын
Pastor jaribu kukemea na aina ya mavazi ya wadada wa hilo kanisa wanavaa nguo za aibu sana
@eliasthomas1547 Жыл бұрын
Kemea kabisa mtumishi ubarikiwe.
@yusuphchankwa47592 жыл бұрын
Waoooh tunataka wachungaji kama hawa Mungu azidi kuwa nawe
@mgumuwakitaa22343 жыл бұрын
Babaaa mungu akupe maisha marefu
@sallygrace14953 жыл бұрын
Brother man of God Nataka niwe kwenye ukoo wako kwa jina la Jesus Christ🕆🙌🙏
@justinenjau79363 жыл бұрын
Wowww na sisi tunatamani ushiriki ibada pamoja na sisi. Kanisa letu lipo karibu kabisa na chuo cha ardhi kilicho karibu na mlimani city, ukiwa kama unaelekea makongo juu. Kwa mawasiliano zaidi piga namba hizi: +255717960901,+255767960901. Mungu akubariki sana
@jemimatumaini70263 ай бұрын
Amen Apostle
@upendomsuya47543 жыл бұрын
Mungu tusaidie kizazi cha ukaidi. Mtumishi wa Mungu endelea kusema nasi tupone.
@clinton31683 жыл бұрын
Huyo wa kurushia PASTER mtalemwa na huyo wa kurusha video nae DU Ahahhahaha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@happypeter43312 жыл бұрын
NAKUPENDA bule pastre
@josephndali95843 жыл бұрын
Thic is powerful teaching, be blessed Pastor
@emmanuellawton44412 жыл бұрын
Nimebarikiwa san
@neemahamis63993 жыл бұрын
Shalom chief unanibariki unatoa ujinga kimwili na kiroho nakuombea mtume wetu tanzania Mungu akusimamishe imara katika kizazi chetu nimecheka pia nimejifunza 😍 penda ECG
@marympemba18293 жыл бұрын
Mungu akuongezee miaka mingi
@ireneminja17213 жыл бұрын
Very true apostle ........ndo maan nakupend baba angu
@Churchofecclesia3 жыл бұрын
aaaah hpn aisee apostle😂😂😂
@sarahwawuda51643 жыл бұрын
I love this man of GOD,Mungu atusaidie tubadilike
@gloriamwanjali93713 жыл бұрын
Amazing preach
@doreennkya55243 жыл бұрын
Amen Apostle Mungu atusaidie tupone
@gabrielpott33253 жыл бұрын
4sure Apostle unacho kinena uko sahihi saana kaka hakika wanao soma maandiko wanaelewa unacho maanisha nakukinena ila kwawale hambao hawalisomi neno nakuto kulijua hakika hawata kuelewa kamwe wao wanaona unachekecha to ila hakika ukinenacho uko sahihi sana mtumishi barikiwa saana..🙏🙏
@denicejustinian6793 жыл бұрын
Na Barikiwa sana na mafundisho yako yananipa ujasiri sana na yananifungua Mungu akubariki
@hagulwamalishe81173 жыл бұрын
MUNGU akubariki sana baba mchungaji, umenena vyema, mwenye sikio na amesikia🙏🙏🙏🙏
@gairoone52882 жыл бұрын
Kweli nyakati za mwisho yani mimjfunza kt Yani wachungaji wachache wenye msimamo kama ww wengi wanashidwa kusema ukweli kwa ajili ya taamaa zao baba hongra Sana Mungu akuinue ongea ukweli heri ubaki na watu wawil ambao wanamskamo
@ngowiantony85523 жыл бұрын
Hua napenda sana biti ngumu ngumu ndo hua naelewa mungu akubariki mtumishi
@neyhmrs77042 жыл бұрын
Asante Mungu umetenda kwa baba angu
@shedrackgadiel72743 жыл бұрын
Ubarikiwe saana Mtumishi
@geophreyjoseph87383 жыл бұрын
Kweli kbs aisee, lete nondo zitujenge vizuri
@rachelpilos69643 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi nakukubali sana
@neemammbando58753 жыл бұрын
Ubarikiwe Apostle
@lanimadato76242 жыл бұрын
Mariam Benjamin nipo katari doha Ameen🙏🙏🙏🙏
@jacquelinenyange55493 жыл бұрын
God bless you Apostle
@pasteursamuelanicet91293 жыл бұрын
Amen Pastor
@atkamlowe53793 жыл бұрын
Barikiwa Pastor acha tupone
@gracekabigi96803 жыл бұрын
Barikiwa kwa mafundisho ya kuwajenga na kwa uwazi.Mungu akutunze.
@estherwambuies17823 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi 🙏🙏
@evalynerwegasira74853 жыл бұрын
UBARIKIWE MNO. NAOMBA NAMBA YAKO YA simu.
@rahabnkya82763 жыл бұрын
ASANTE SAAANA APOSTLE MUTALEMWA MIMI NINABARIKIWA MNOMNO NA MAFUNDISHO YAKO, NIKO MBALI KIDOGO NA MAHALI UNAPOHUBIRIA ECG LA SIVYO LAZIMA NINGESALI NANYI. MUNGU MUWEZA AZIDI TU KUKUPA AFYA NA MAONO YA KUTUJENGA NA KUTUBADILISHA WENGI. ASANTE SANA.
@justinenjau79363 жыл бұрын
Bwana asifiwe, asante kwa kumfuatilia mtumishi wa Mungu. Kanisa letu lina matawi mbali mbali nchini. Ninaomba upige namba zifuatazo kuwasiliana na mchungaji ambaye anaweza kukuonyesha mahali kanisa letu lilipo. 0717960901; 0767960901 atakuelekeza tulipo karibu na wewe. Tunakupenda na Mungu akubariki sana
@samsonmahwago983 жыл бұрын
Jamani hizi jumbe hazieleweki hata kidogo kwa waenda mbinguni hubirini utakatifu utakatifu utakatifu udunia dunia umezidi karibu tunaenda kutoa hesabu ya kazi tunayofanya acheni kufundisha faraja na mavituko someni Biblia na kuihubiri mbele iko hatari watumishi
@josephclemence44413 жыл бұрын
Wakola Omkama katonda akubele
@harakatilive87173 жыл бұрын
Amen chief,
@RoroRoserororo2 жыл бұрын
Amen
@danielaidan75762 жыл бұрын
Hiiii ndo yenyewe
@mpazielelisifa91873 жыл бұрын
Ubarikiwe kwa ujumbe
@lydiapeter8783 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣hili kanisa liko wapi kwa Dar I like it this
@linahjozhe29563 жыл бұрын
Makongo juu
@lydiapeter8783 жыл бұрын
Asante Linah unapanda gari za wapi ufike hapo nipe direction
@justinenjau79363 жыл бұрын
@@lydiapeter878 wowwww karibu sana Lydia, kanisa lipo njia ya kuelekea makongo juu, mbele kidogo ya chuo cha ardhi kilichopo karibu na Mlimani city. Ukishuka kituo cha mlimani city, kituo cha mabus yanayokwenda chuo, kuna bajaji ambazo ukipanda zinakuleta moja kwa moja ECG. Lakini usisite kutupigia kwa namba zifuatazo 0717960901; 0767960901 unapokwama. Mtumishi wa Mungu anakupenda na kama kanisa tutafurahi sana ukiabudu pamoja na sisi
@monicakatabi43063 жыл бұрын
Makongo juu
@AgnessNyansambo5 ай бұрын
A meeen Ameeeen
@dela788953 жыл бұрын
Mchungaji kemea kabisa mambo ya utofahuti na imani .Mungu akutie nguvu.
@msangodiesel31323 жыл бұрын
Watu hawajui tunabadilika Sana Bora unasema ukweli watakuelewa mbelini
@alimachitechi21073 жыл бұрын
WOOW MTUMISHIIII AMINA AMINA
@rehemamwabukusi11083 жыл бұрын
Your talking the truth apostle
@rosemarymallya44583 жыл бұрын
GODS GLORY🙌🙌TEACH US 🤲HEAL US🔥🤲THANK GOD FOR THE MAN OF GOD🙏
@priscalcharles83263 жыл бұрын
Katibu kukemea juu ya mavaz waendane na matendo
@ezekielrunde28813 жыл бұрын
Upo sawa mtume
@neyhmrs77042 жыл бұрын
AMEEEN
@juliethhouseofdesigns1472 жыл бұрын
Yaani acha tu baba sema tupone
@gmdecoration60443 жыл бұрын
Tume kula kiroho mungu atusaidie
@elizabethchales26633 жыл бұрын
Ubarikiwe apostle mung akubariki ivi katikat ya wiki kunakuaga na ibada
@justinenjau79363 жыл бұрын
Ratiba zetu za Ibada ni kama ifuatavyo jumapili tuna ibada kubwa inayoanza saa kumi na mbili asubuhi, kisha Alhamisi huwa tuna ibada za jumuiya jioni. Kwa maelezo zaidi piga namba zifuatazo 0717960901, 0767960901. Tunakupenda na asante kwa kumfuatilia mtumishi wa Mungu
@zakariaamon77053 жыл бұрын
Ubarikiwe
@paulwabegi94252 жыл бұрын
Hahahahaha,duu nilichelewa wap mie?
@janetfrancis71803 жыл бұрын
AMEN
@eliaichidoreen83793 жыл бұрын
Sema Apostle tupone. Hahahahaha am so proud kuwa ECG member.
@gabrielpott33253 жыл бұрын
Apostle napenda saana kukufatilia aiseee yani injili yako iko sawasawa saana mkuu yani huwa natamani saana kama ningekua napata upoko hapo kanisani kwako hvo balikiwa saana nawatu wako by Gabriel from comoro
@justinenjau79363 жыл бұрын
Bwana Asifiwe, Mungu akubariki sana kwa kumfuatilia mtumishi wa Mungu, anakupenda na anaomba kwa ajili yako. Tunaamini kwenye ulimwengu wa Roho hakuna umbali, na popote pale ulipo upako utakufikia. Karibu sana Gabriel
@margarethorgenes48743 жыл бұрын
Mhuuuuuuuuuuuu! Sijui 👉👉👉
@ellywajatelelli9163 жыл бұрын
Amen❤️🙏🇹🇿
@emanuelmoshama38993 жыл бұрын
Safi sana ,
@neemammbando17403 жыл бұрын
UBARIKIWE MTUMISHI WA MUNGU
@edinajossephatgeorg16123 жыл бұрын
Umenichekesha sana
@priencedamdoek5083 жыл бұрын
Nakuelewa sana Mtumishi I wish ningekuwa DSM
@justinenjau79363 жыл бұрын
Na sisi tunatamani pia, ila hakijaharibika kitu, kanisa letu lina matawi sehemu mbali mbali nchini. Piga namba zifuatazo kwa maelekezo zaidi +255767960901,+255717960901
@clinton31683 жыл бұрын
Injili ya leo TAMU sana
@clinton31683 жыл бұрын
Waambie waskie, wabadilike waende MBINGUN
@amosjeremiar80063 жыл бұрын
AMEEN APOSTLE
@morgankbh34513 жыл бұрын
Hakika Injili hii ndio inayopaswa kuhubiriwa nyakati hizi za mwisho.
@alimambabazi36663 жыл бұрын
Wewe ni kiboko pastor 🤣😂🤣😂🤣🤣😂
@hamurabani53863 жыл бұрын
Amina
@priscalcharles83263 жыл бұрын
Uko vizuri ila mavaz ya waumin sijayaelewa
@adoniaceisaya7003 жыл бұрын
Hahahaha
@elizabethmambai20723 жыл бұрын
Ameen
@edinajossephatgeorg16123 жыл бұрын
Upanga ni neno,
@pauloropian81163 жыл бұрын
🙏
@recholmichael23563 жыл бұрын
My lovery dady
@mwanashagladys4581 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂🤗🤗Amen🇰🇪
@juliankamugisha98863 жыл бұрын
Enjae ya kashanje, apostal nakuelewa......
@samsonmgonja40143 жыл бұрын
Wamezidi kudeka,wanaodeka wabadilike
@imanuelzakayo74723 жыл бұрын
Yaaaani sijaweza kucheka Kama kwenye hii video
@razalophilemon48222 жыл бұрын
At the moment I see you, isee the incoming president's prophet.
@jacklinejohn57273 жыл бұрын
Ni kweli
@FRANKREIGNERS2 жыл бұрын
Hehehehe 😂😂😂😂
@gracekagoma32313 жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@rosemarymallya44583 жыл бұрын
TEACH US THE TRUTH TO SET US FREE💪🔥DO NOT TOLERATE ITS END TIME SEASON🔥🙌🔥🙌
@happinessmwenda27733 жыл бұрын
Kweli mtumishi sema tupone.
@alimachitechi21073 жыл бұрын
HAHAHA HAHAHAAA
@basilisamsaka84693 жыл бұрын
Tangawizi pilipili. ........kichaaaa
@Churchofecclesia3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@Churchofecclesia3 жыл бұрын
😂😂😂
@alimachitechi21073 жыл бұрын
LEO LEO HOO
@gracekagoma32313 жыл бұрын
Time is money
@rehemamwabukusi11083 жыл бұрын
True my apostle, that's why nakupenda Sana apostle wetu, Hakuna cha kuona haya. Toa Ukweli