KKKT KIMARA KATIKA NJIA YA INJILI OFFICIAL VIDEO

  Рет қаралды 216,544

KKKT KIMARA KWAYA KUU sauti tamu

KKKT KIMARA KWAYA KUU sauti tamu

Күн бұрын

Пікірлер: 122
@emanuelsamwel999
@emanuelsamwel999 2 ай бұрын
My first day and i fell in love with this song ❤️ Proud to be Christian Wale wa 2024 tujuane hapa
@beatricemvungi
@beatricemvungi Ай бұрын
🎉🎉🎉
@AnnieMankya
@AnnieMankya 8 ай бұрын
This song reminds me of my mama, Tutaonana asubuhi iliyo njema mama angu..endelea kupumzika kwa amani
@revinmlay5031
@revinmlay5031 5 ай бұрын
Apumzike Kwa Amani.
@ellenmlay4203
@ellenmlay4203 23 күн бұрын
Same here, rest easy mama😢​@@revinmlay5031
@oscarmatapila6937
@oscarmatapila6937 3 жыл бұрын
Daaah machozi yanatoka kwa furaha kumbukumbu za zamani sanaaaaa mbarikiwe mnooooo
@DanielShekfu
@DanielShekfu 8 ай бұрын
Wameomba vizuri,na kuonyesha maisha ,mengine baada ya ulimwengu huu,unaochakaa kwa haraka I ❤it
@angelbenjamin7326
@angelbenjamin7326 Жыл бұрын
Nice song, huu wimbo naupenda sana nakumbuka kipindi nikiwa primary my Aunt alikuwa mwimba kwaya, walikuwa wanashindana kuimba na huu wimbo ulikuwa kila kwaya lazima waimbe, basi alikuwa ananichukua tunaenda kwenye mashindano na tunarudi na ushindi, Get well soon my Aunt, umenikumbusha mbali sana, Tembea na Yesu upone Aunt yangu
@happykimaro7783
@happykimaro7783 Жыл бұрын
Amina
@agustinokimaro1483
@agustinokimaro1483 Жыл бұрын
Ata mm mamaangu alikua ni muimbaji wa kwaya wakiimbaga hii nyimbo nakumbuka mbli cn
@pascalrweyemamu4351
@pascalrweyemamu4351 9 ай бұрын
Mm nilikuwa katika Safu ya waimbaji chini ya mwalimu MSUYA.. cant imagine nilikuwa ndio nimemaliza std 7... Niliimba sauti ya 4
@brantywilson1347
@brantywilson1347 6 ай бұрын
Yes! Ulikuwa ndo wa kuingia....hatari sana
@christineireri2272
@christineireri2272 Жыл бұрын
Can't get enough of this song. Very uplifting. God bless this choir.
@joycemhando7380
@joycemhando7380 2 жыл бұрын
Wimbo wangu pendwa 🙏🙏
@donkipps5124
@donkipps5124 10 ай бұрын
This song reminds me my experience as student at AGAPE LUTHERAN JUNIOR SEMINARY. Best school for our kids and tanzanian youth generation at large. 🔥
@catherinemossi4598
@catherinemossi4598 9 ай бұрын
I was coming here to comment the same 😆. Long live the memories and the learnings we got from Agape🔥
@jamessungu-h7d
@jamessungu-h7d Жыл бұрын
Wimbo huu ulikuwa ukiniamsha kila Alfajiri kupitia Redio Tumaini nikiwa kidato cha nne na tano 2003-2005 Pugu Sekondari. Tangu wakati nilipousikia sijawahi kuuchoka. Mungu atubariki.
@festourugu1476
@festourugu1476 Ай бұрын
@yudamwakatobe338
@yudamwakatobe338 Жыл бұрын
This song reminds me much about my good past life while I was at Yombo Lutheran church early in year 1997
@emanuelsamwel999
@emanuelsamwel999 2 ай бұрын
The year i was born 😁
@El9a
@El9a Жыл бұрын
Huu wimbo ni wa Kinabii, ni wa Kimbingu, namtukuza Mungu kwaajili ya hufuma yenu Watumishi. Mungu Awawezeshe Duniani mudumu katika furaha ya Bwana na milele katika Ufalme wake... Nawapenda, Nimependa sauti na Ujumbe tangu nilipokuwa mdogo miaka 5-7 hadi leo Miaka 27 huu wimbo bado ninaupenda. Leo nmeuona machozi ya furaha yamekuja. Hakika Injili ni uweza wa Bwana Uletao wokovu, Tuingie katika njia ya Injili na tukaze Mwendo.
@lawarencemacheta7326
@lawarencemacheta7326 3 жыл бұрын
Kitambo sana RTD huu wimbo kila jumapili sa nane /tisa ulikuwa unapigwa na John Kamoyo
@gabbyymunga563
@gabbyymunga563 3 ай бұрын
Hapa mtoe version mpya tena kali kama hii big up
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA 2 ай бұрын
Wimbo mtam wa enzi na enzi...mpaka nimekuwa mtu mzima leo,nilikuwa nikiusikiliza niko mdogo ukipigwa nyumbani kwetu na wazazi wangu,MUNGU NI MWEMA hadi leo nainjoy
@allanngowi9015
@allanngowi9015 Жыл бұрын
Wow ! Just WOW !! Sweet memories !
@DeoMrema-k1q
@DeoMrema-k1q 8 ай бұрын
Mungu nisamehe dhambi zangu
@webijacktan6668
@webijacktan6668 2 жыл бұрын
This song never fades up l have been listening to it for many many years it is always new:
@JoshuaHilgath
@JoshuaHilgath Ай бұрын
Hii nyimbo kila siku ni mpya ninapoisikia hongereni sana Mungu awabariki
@emelineukashu4962
@emelineukashu4962 3 жыл бұрын
Great memories. As I can see my Dad singing nice n happily. God bless you all.
@elizabethmwakajilaayo6707
@elizabethmwakajilaayo6707 Жыл бұрын
I miss my dady tooooooo😢😢😢😢
@emanuelsamwel999
@emanuelsamwel999 2 ай бұрын
​@@elizabethmwakajilaayo6707😢
@TheoGiyan
@TheoGiyan Жыл бұрын
Well nmeutafuta sana huu wimbo ghafla tu nimeupata, nostalgia.
@justinekigomboa
@justinekigomboa 9 ай бұрын
😂❤Barikiwa
@ekassertive7079
@ekassertive7079 2 ай бұрын
Huu wimbo haujawahi kuchuja leo,sasa na hata kesho na mtomdogoo
@charlesmindolo6062
@charlesmindolo6062 3 жыл бұрын
Classic song 2021 naipenda
@benjaminmichael1099
@benjaminmichael1099 2 жыл бұрын
Jina la bwana libalikiwe milele AMINA 🙏🙏🙏
@ngusekisu6746
@ngusekisu6746 2 жыл бұрын
Nawapenda bure Wana wa Mungu mwema Mmeimba vizuri sana
@abdalahelihazina512
@abdalahelihazina512 11 ай бұрын
Nice song, nakumbuka miaka nikiwa kijana,hakika kutembea na Yesu Kuna faida,
@alicenyabate8148
@alicenyabate8148 3 жыл бұрын
Tutafikia lini furaha yake bwana barikiwa wanakwaya
@gloryaizaki8922
@gloryaizaki8922 Ай бұрын
Naupenda sana🎉
@joelynassarynassary7257
@joelynassarynassary7257 4 ай бұрын
naupenda mnooo
@rutarutahindurwa2080
@rutarutahindurwa2080 Жыл бұрын
Kweli kila jambo lina wakati wake... Mungu ni Mwema Wakati Wote.
@stephenmlay385
@stephenmlay385 2 жыл бұрын
In lovely memory of my late father who passed away 15 years ago.......he used to love this song
@pilipilimanga2619
@pilipilimanga2619 2 жыл бұрын
I never get enough of this peace. It was well articulated.
@adrianjungu8360
@adrianjungu8360 5 ай бұрын
Hakika Mungu ashukuriwe kwa wema wake
@bakarijessemnaya3019
@bakarijessemnaya3019 3 жыл бұрын
Kwa kweli m'barikiwe MNO. Nyimbo zenu zinabariki sana. Album zinapatikanaje....DVD
@joelmomanyi4925
@joelmomanyi4925 3 жыл бұрын
May the Lord God bless you so much for the good work you are doing
@blessedtumaini516
@blessedtumaini516 Жыл бұрын
Ninaingia furahani mwake Bwana Haleluya Amina..
@rodgersgasper7006
@rodgersgasper7006 2 жыл бұрын
Always loved this song, classic one with good memories. Ninatembea imara 2022
@DoreenPonda
@DoreenPonda Жыл бұрын
Wow ❤❤❤
@geofreykaaya1003
@geofreykaaya1003 Жыл бұрын
Hongereni sana Kwaya ya KKKT - KIMARA.
@jackjacob9264
@jackjacob9264 3 жыл бұрын
Barikiwa kwa nyimbo zenu nzuri zenye utukufu.
@clarachediel2039
@clarachediel2039 7 ай бұрын
Daaah moyo wangu umeruka ruka
@ChristerShao
@ChristerShao 9 ай бұрын
Gene unakumbuka wimbo wetu huu tuliimba sana.
@ruthmikindomikindo
@ruthmikindomikindo Жыл бұрын
Hongreeeen sana watumishi wa mungu
@BelinaMwaipungu
@BelinaMwaipungu Жыл бұрын
Nabarikiwa mno na huu wimbo
@angelmmary6799
@angelmmary6799 10 ай бұрын
Nipo hapa 2023 still nikiuskia napata tabasamu haswa
@user-ge5kp5hw9o
@user-ge5kp5hw9o Жыл бұрын
Huu wimbo unanikumbusha mbali Sana baba yangu alicheza kwenye harusi ya dada yangu kwa furaha Sana Basi tukienda sehemu yoyote tukiusikia lzm tumkumbuke baba alivyokuwa anacheza kwa madaha na furaha kwa kushuhudia harusi ya binti yake lkn kwasasa wote hawapo duniani dah pumzika kwa amani baba yangu Sylvester Robert Mushi na dada yangu Evelyn Sylvester Mushi🙏🙏🙏
@cutemoshi9028
@cutemoshi9028 Жыл бұрын
Pole sana dear
@davidnchoji
@davidnchoji 2 жыл бұрын
I really love this song❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@justinekigomboa
@justinekigomboa 9 ай бұрын
Nakumbuka St.Andrews Magomeni na Magomeni Lutheran (Mviringo)❤
@roggermwakyanjala3586
@roggermwakyanjala3586 8 ай бұрын
As we navigate towards the end of times foretold by the prophets, we shall Miss the purity of everything, including the purity of the Gospel songs, since everything is contaminated, everything.
@emmanuelngewa8894
@emmanuelngewa8894 2 жыл бұрын
blessed are those who sing the song of praise like this
@safarimallya4536
@safarimallya4536 6 күн бұрын
Asante Mungu
@georgembwale826
@georgembwale826 3 жыл бұрын
Mlitisha sanaa hongeleni
@GabrielMbwambo
@GabrielMbwambo 3 ай бұрын
NAFURAHI SANA WAPENDWA
@rubenasajile439
@rubenasajile439 2 жыл бұрын
2022 still listening
@tuzonyava8306
@tuzonyava8306 8 ай бұрын
Kwa sana namuona Brian Decon sasa kipindi icho tuna amini huyo ndio Yesu weee hunitoi kwenye rel😅😅
@emanuelsamwel999
@emanuelsamwel999 2 ай бұрын
Ndiyo ni Brian Decon katika kuwakilisha jinsi Yesu alivyofanya kazi yake. Hakika aliigiza vema uhalisia wa Yesu kiasi cha kutuaminisha yeye ndiyo christ mwenyewe 😊😅
@juliusamani4002
@juliusamani4002 5 ай бұрын
Those days at Mwika Sec❤
@janethjkavishe589
@janethjkavishe589 Жыл бұрын
Zamani sana nikiwa primary Kila siku upendo radio walikuwa wakiupiga
@LucasNkwamah
@LucasNkwamah 11 ай бұрын
Atari sana hii pini
@daud8785
@daud8785 3 жыл бұрын
Safi kabisa, Mungu awabariki Sana
@happymsaki1720
@happymsaki1720 Жыл бұрын
Nakumbka mbali sana hizi nyimbo ni hazina
@gracejapheth3476
@gracejapheth3476 2 жыл бұрын
Yani huwabarikiwa sana na huu wimbo. Mbarikiwe waimbaji.
@Dotto19
@Dotto19 6 ай бұрын
My favourite song
@salamamasegedo3640
@salamamasegedo3640 Жыл бұрын
Nakumbuka kurasini st Maurice
@lilianmkelewele7489
@lilianmkelewele7489 2 жыл бұрын
Mungu awabaliki kwa ujumbe mzuri
@angelmmary6799
@angelmmary6799 8 ай бұрын
2024 this song🤲🤲🤲
@DoriceInnocent-bc6df
@DoriceInnocent-bc6df Жыл бұрын
Be blessed always
@aishayahaya5119
@aishayahaya5119 3 жыл бұрын
Hakika naipenda hii nyimbo
@thagondale9041
@thagondale9041 8 ай бұрын
2054 still a hit
@blandinasamwely6288
@blandinasamwely6288 3 жыл бұрын
Mbarikiwe sana Kwaya Kuu Sauti tamu
@hauleshadrack5879
@hauleshadrack5879 2 жыл бұрын
Mungu awabariki sana ,nimekumbuka kipindi kile
@justinekigomboa
@justinekigomboa 9 ай бұрын
Kabisa ndugu🎉
@georgebruno916
@georgebruno916 2 жыл бұрын
Mbarikiwe sana
@BuckleRebecca-n3k
@BuckleRebecca-n3k 16 күн бұрын
Ken Shoal
@musandyamkama3886
@musandyamkama3886 9 ай бұрын
Good song
@eliabuelisantemziray5908
@eliabuelisantemziray5908 3 жыл бұрын
Mungu awabariki sana
@secelelamatonya3179
@secelelamatonya3179 Жыл бұрын
Namkumbuka marehem mke wa mwalimu wangu JANI wa Tumbi primary, mama neema, hata siku alipokwenda kufanyiwa upasuaji alituaga akiimba wimbo huu, hakuamka tena baada ya operation, kila ukiimbwa kamwe siachi kumkumbuka, bado nakupenda sana kipenzi huko uliko, maana nawe ulitupenda sana ulipokuwa duniani, Rest in peace dear
@reysohelman7315
@reysohelman7315 2 жыл бұрын
I like this song😍😍
@erickmariki1313
@erickmariki1313 2 жыл бұрын
Vijana wa ukwata walikua wakiimba hii nyimbo mpaka vinyweleo vinasimama
@estasiashiringa1038
@estasiashiringa1038 Жыл бұрын
❤❤2023
@estasiashiringa1038
@estasiashiringa1038 Жыл бұрын
❤❤
@EmmanuelAyo-l1u
@EmmanuelAyo-l1u Жыл бұрын
Ni wimbo uliotungwa na kuimbwa kwa akili!
@justinekigomboa
@justinekigomboa 9 ай бұрын
Sana❤
@magrethfrank9294
@magrethfrank9294 2 жыл бұрын
Nyimbo yangu pendwa
@mpaleandrew7424
@mpaleandrew7424 3 жыл бұрын
Ziko wapi hizo sauti tamu Sasa? Warithi wapo?
@reginaldswai3804
@reginaldswai3804 3 жыл бұрын
wapo karibu siku uje ututembelee usharikani
@hosianajumbe4356
@hosianajumbe4356 3 жыл бұрын
Nabarikiwa sanaaaa
@siyaminja8169
@siyaminja8169 3 жыл бұрын
2021 ❤
@Kwelihukuwekahuru
@Kwelihukuwekahuru 3 жыл бұрын
Manyama kwani Mungu aliumbia wasabato peke yao uimbaji mbona hiyo siyo ladha ya kisabato ulitakiwa umpe Mungu utukufu siyo kuipa sabato utukufu
@victoriamalogo4587
@victoriamalogo4587 3 жыл бұрын
Umeona ee kwa kweli MUNGU anasitahili atukuzwe
@amirayubu7013
@amirayubu7013 2 жыл бұрын
Amen
@fanueltarimo509
@fanueltarimo509 Жыл бұрын
Good
@marryadolph4634
@marryadolph4634 Жыл бұрын
Zuur
@thagondale9041
@thagondale9041 8 ай бұрын
Lyrics please
@ayoubbajuta4427
@ayoubbajuta4427 2 жыл бұрын
mwenye audio volume 11 anisaidie
@subiramihayo1305
@subiramihayo1305 Жыл бұрын
@norbertseho
@norbertseho 2 жыл бұрын
lyrics za huu wimbo napata wapi???
@lalashowimunisi3566
@lalashowimunisi3566 2 жыл бұрын
Amen
@DanielShekfu
@DanielShekfu 8 ай бұрын
wameimba
@sarikokiagape7685
@sarikokiagape7685 3 жыл бұрын
🙏
@mosesmanyama1773
@mosesmanyama1773 3 жыл бұрын
Ninyi ni wasabato ila bas tu
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 2 жыл бұрын
Yaan sijuiagi mnashida gani Wasabato. Mpe Mungu utukufu
@juliethkipeja4791
@juliethkipeja4791 2 жыл бұрын
Huo ndio uimbaji halisi wa Kkkt na ndio maaana ya kwaya kuu
@lutheranhours6610
@lutheranhours6610 Жыл бұрын
@@juliethkipeja4791 hakika dada Julie hio ndo maana halis ya Kwaya Kuu
@eliahmsuya3392
@eliahmsuya3392 3 жыл бұрын
P
@amirayubu7013
@amirayubu7013 2 жыл бұрын
HUU WIMBO KWA SIKU NAUSKILZA MARA 7 YAAN UNANIFNYA NAISHI KWA AMANI SNAA MLITISHA SNAA MUNGU AWABARKI SNAA AMEN KINANDA KIMETULIA KWNYE MOYO SNAA
@wallesmdoe9164
@wallesmdoe9164 Жыл бұрын
asante nimeitafuta sanaaaa kzbin.info/www/bejne/ml6WnISFiLxghKucttps://kzbin.info/www/bejne/ml6WnISFiLxghKucttps://kzbin.info/www/bejne/ml6WnISFiLxghKs
@salamamasegedo3640
@salamamasegedo3640 Жыл бұрын
Nakumbuka kurasini st Maurice
@estasiashiringa1038
@estasiashiringa1038 3 жыл бұрын
❤️
Tabata Mennonite Choir - Getsemane (Official Video)
8:08
Africha Entertainment
Рет қаралды 1 МЛН
Bwana Vuta - KKKT Kwaya Kuu Ya Umoja Wa Muhimbili
8:21
Kwaya Kuu Ya Umoja Muhimbili
Рет қаралды 69 М.
Я сделала самое маленькое в мире мороженое!
00:43
Кушать Хочу
Рет қаралды 4,7 МЛН
"كان عليّ أكل بقايا الطعام قبل هذا اليوم 🥹"
00:40
Holly Wolly Bow Arabic
Рет қаралды 11 МЛН
Сюрприз для Златы на день рождения
00:10
Victoria Portfolio
Рет қаралды 2,3 МЛН
怎么能插队呢!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:12
火影忍者一家
Рет қаралды 32 МЛН
KISHINDO CHA WAKOMA (OFFICIAL VIDEO) - NJIRO SDA CHOIR
6:32
Njiro SDA Church
Рет қаралды 14 МЛН
Zumbe Yesu aghambae
5:09
MG STUDIO TZ
Рет қаралды 31 М.
Umsihi mwanao Yesu Maria - Lyrics
4:40
Sing and Praise the Lord
Рет қаралды 93 М.
Nasikia Raha - Heavenly singers tanzania
7:56
Gospel Tanzania
Рет қаралды 174 М.
Nani anaye jua & Ulimwengu huu by Injili Family Choir International [Official video]
8:59
Injili Family Choir International
Рет қаралды 62 М.
Naomba nifungulie by kkkt kimara choir
5:12
High Calling
Рет қаралды 50 М.
KWAYA YA UMOJA - NINATAKA KUINGIA [TUMWABUDU MUNGU WETU (154)] (KKKT WAZO HILL)
9:43
KKKT - DMP USHARIKA WA WAZO HILL
Рет қаралды 188 М.
Jicho la Tatu -  Kwaya ya Ukombozi KKKT Msasani
8:54
Ukombozi Choir
Рет қаралды 1,1 МЛН
Я сделала самое маленькое в мире мороженое!
00:43
Кушать Хочу
Рет қаралды 4,7 МЛН