My first day and i fell in love with this song ❤️ Proud to be Christian Wale wa 2024 tujuane hapa
@beatricemvungiАй бұрын
🎉🎉🎉
@AnnieMankya8 ай бұрын
This song reminds me of my mama, Tutaonana asubuhi iliyo njema mama angu..endelea kupumzika kwa amani
@revinmlay50315 ай бұрын
Apumzike Kwa Amani.
@ellenmlay420323 күн бұрын
Same here, rest easy mama😢@@revinmlay5031
@oscarmatapila69373 жыл бұрын
Daaah machozi yanatoka kwa furaha kumbukumbu za zamani sanaaaaa mbarikiwe mnooooo
@DanielShekfu8 ай бұрын
Wameomba vizuri,na kuonyesha maisha ,mengine baada ya ulimwengu huu,unaochakaa kwa haraka I ❤it
@angelbenjamin7326 Жыл бұрын
Nice song, huu wimbo naupenda sana nakumbuka kipindi nikiwa primary my Aunt alikuwa mwimba kwaya, walikuwa wanashindana kuimba na huu wimbo ulikuwa kila kwaya lazima waimbe, basi alikuwa ananichukua tunaenda kwenye mashindano na tunarudi na ushindi, Get well soon my Aunt, umenikumbusha mbali sana, Tembea na Yesu upone Aunt yangu
@happykimaro7783 Жыл бұрын
Amina
@agustinokimaro1483 Жыл бұрын
Ata mm mamaangu alikua ni muimbaji wa kwaya wakiimbaga hii nyimbo nakumbuka mbli cn
@pascalrweyemamu43519 ай бұрын
Mm nilikuwa katika Safu ya waimbaji chini ya mwalimu MSUYA.. cant imagine nilikuwa ndio nimemaliza std 7... Niliimba sauti ya 4
@brantywilson13476 ай бұрын
Yes! Ulikuwa ndo wa kuingia....hatari sana
@christineireri2272 Жыл бұрын
Can't get enough of this song. Very uplifting. God bless this choir.
@joycemhando73802 жыл бұрын
Wimbo wangu pendwa 🙏🙏
@donkipps512410 ай бұрын
This song reminds me my experience as student at AGAPE LUTHERAN JUNIOR SEMINARY. Best school for our kids and tanzanian youth generation at large. 🔥
@catherinemossi45989 ай бұрын
I was coming here to comment the same 😆. Long live the memories and the learnings we got from Agape🔥
@jamessungu-h7d Жыл бұрын
Wimbo huu ulikuwa ukiniamsha kila Alfajiri kupitia Redio Tumaini nikiwa kidato cha nne na tano 2003-2005 Pugu Sekondari. Tangu wakati nilipousikia sijawahi kuuchoka. Mungu atubariki.
@festourugu1476Ай бұрын
❤
@yudamwakatobe338 Жыл бұрын
This song reminds me much about my good past life while I was at Yombo Lutheran church early in year 1997
@emanuelsamwel9992 ай бұрын
The year i was born 😁
@El9a Жыл бұрын
Huu wimbo ni wa Kinabii, ni wa Kimbingu, namtukuza Mungu kwaajili ya hufuma yenu Watumishi. Mungu Awawezeshe Duniani mudumu katika furaha ya Bwana na milele katika Ufalme wake... Nawapenda, Nimependa sauti na Ujumbe tangu nilipokuwa mdogo miaka 5-7 hadi leo Miaka 27 huu wimbo bado ninaupenda. Leo nmeuona machozi ya furaha yamekuja. Hakika Injili ni uweza wa Bwana Uletao wokovu, Tuingie katika njia ya Injili na tukaze Mwendo.
@lawarencemacheta73263 жыл бұрын
Kitambo sana RTD huu wimbo kila jumapili sa nane /tisa ulikuwa unapigwa na John Kamoyo
@gabbyymunga5633 ай бұрын
Hapa mtoe version mpya tena kali kama hii big up
@sir_ENOCKMACHA2 ай бұрын
Wimbo mtam wa enzi na enzi...mpaka nimekuwa mtu mzima leo,nilikuwa nikiusikiliza niko mdogo ukipigwa nyumbani kwetu na wazazi wangu,MUNGU NI MWEMA hadi leo nainjoy
@allanngowi9015 Жыл бұрын
Wow ! Just WOW !! Sweet memories !
@DeoMrema-k1q8 ай бұрын
Mungu nisamehe dhambi zangu
@webijacktan66682 жыл бұрын
This song never fades up l have been listening to it for many many years it is always new:
@JoshuaHilgathАй бұрын
Hii nyimbo kila siku ni mpya ninapoisikia hongereni sana Mungu awabariki
@emelineukashu49623 жыл бұрын
Great memories. As I can see my Dad singing nice n happily. God bless you all.
@elizabethmwakajilaayo6707 Жыл бұрын
I miss my dady tooooooo😢😢😢😢
@emanuelsamwel9992 ай бұрын
@@elizabethmwakajilaayo6707😢
@TheoGiyan Жыл бұрын
Well nmeutafuta sana huu wimbo ghafla tu nimeupata, nostalgia.
@justinekigomboa9 ай бұрын
😂❤Barikiwa
@ekassertive70792 ай бұрын
Huu wimbo haujawahi kuchuja leo,sasa na hata kesho na mtomdogoo
@charlesmindolo60623 жыл бұрын
Classic song 2021 naipenda
@benjaminmichael10992 жыл бұрын
Jina la bwana libalikiwe milele AMINA 🙏🙏🙏
@ngusekisu67462 жыл бұрын
Nawapenda bure Wana wa Mungu mwema Mmeimba vizuri sana
@abdalahelihazina51211 ай бұрын
Nice song, nakumbuka miaka nikiwa kijana,hakika kutembea na Yesu Kuna faida,
@alicenyabate81483 жыл бұрын
Tutafikia lini furaha yake bwana barikiwa wanakwaya
@gloryaizaki8922Ай бұрын
Naupenda sana🎉
@joelynassarynassary72574 ай бұрын
naupenda mnooo
@rutarutahindurwa2080 Жыл бұрын
Kweli kila jambo lina wakati wake... Mungu ni Mwema Wakati Wote.
@stephenmlay3852 жыл бұрын
In lovely memory of my late father who passed away 15 years ago.......he used to love this song
@pilipilimanga26192 жыл бұрын
I never get enough of this peace. It was well articulated.
@adrianjungu83605 ай бұрын
Hakika Mungu ashukuriwe kwa wema wake
@bakarijessemnaya30193 жыл бұрын
Kwa kweli m'barikiwe MNO. Nyimbo zenu zinabariki sana. Album zinapatikanaje....DVD
@joelmomanyi49253 жыл бұрын
May the Lord God bless you so much for the good work you are doing
@blessedtumaini516 Жыл бұрын
Ninaingia furahani mwake Bwana Haleluya Amina..
@rodgersgasper70062 жыл бұрын
Always loved this song, classic one with good memories. Ninatembea imara 2022
@DoreenPonda Жыл бұрын
Wow ❤❤❤
@geofreykaaya1003 Жыл бұрын
Hongereni sana Kwaya ya KKKT - KIMARA.
@jackjacob92643 жыл бұрын
Barikiwa kwa nyimbo zenu nzuri zenye utukufu.
@clarachediel20397 ай бұрын
Daaah moyo wangu umeruka ruka
@ChristerShao9 ай бұрын
Gene unakumbuka wimbo wetu huu tuliimba sana.
@ruthmikindomikindo Жыл бұрын
Hongreeeen sana watumishi wa mungu
@BelinaMwaipungu Жыл бұрын
Nabarikiwa mno na huu wimbo
@angelmmary679910 ай бұрын
Nipo hapa 2023 still nikiuskia napata tabasamu haswa
@user-ge5kp5hw9o Жыл бұрын
Huu wimbo unanikumbusha mbali Sana baba yangu alicheza kwenye harusi ya dada yangu kwa furaha Sana Basi tukienda sehemu yoyote tukiusikia lzm tumkumbuke baba alivyokuwa anacheza kwa madaha na furaha kwa kushuhudia harusi ya binti yake lkn kwasasa wote hawapo duniani dah pumzika kwa amani baba yangu Sylvester Robert Mushi na dada yangu Evelyn Sylvester Mushi🙏🙏🙏
@cutemoshi9028 Жыл бұрын
Pole sana dear
@davidnchoji2 жыл бұрын
I really love this song❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@justinekigomboa9 ай бұрын
Nakumbuka St.Andrews Magomeni na Magomeni Lutheran (Mviringo)❤
@roggermwakyanjala35868 ай бұрын
As we navigate towards the end of times foretold by the prophets, we shall Miss the purity of everything, including the purity of the Gospel songs, since everything is contaminated, everything.
@emmanuelngewa88942 жыл бұрын
blessed are those who sing the song of praise like this
@safarimallya45366 күн бұрын
Asante Mungu
@georgembwale8263 жыл бұрын
Mlitisha sanaa hongeleni
@GabrielMbwambo3 ай бұрын
NAFURAHI SANA WAPENDWA
@rubenasajile4392 жыл бұрын
2022 still listening
@tuzonyava83068 ай бұрын
Kwa sana namuona Brian Decon sasa kipindi icho tuna amini huyo ndio Yesu weee hunitoi kwenye rel😅😅
@emanuelsamwel9992 ай бұрын
Ndiyo ni Brian Decon katika kuwakilisha jinsi Yesu alivyofanya kazi yake. Hakika aliigiza vema uhalisia wa Yesu kiasi cha kutuaminisha yeye ndiyo christ mwenyewe 😊😅
@juliusamani40025 ай бұрын
Those days at Mwika Sec❤
@janethjkavishe589 Жыл бұрын
Zamani sana nikiwa primary Kila siku upendo radio walikuwa wakiupiga
@LucasNkwamah11 ай бұрын
Atari sana hii pini
@daud87853 жыл бұрын
Safi kabisa, Mungu awabariki Sana
@happymsaki1720 Жыл бұрын
Nakumbka mbali sana hizi nyimbo ni hazina
@gracejapheth34762 жыл бұрын
Yani huwabarikiwa sana na huu wimbo. Mbarikiwe waimbaji.
@Dotto196 ай бұрын
My favourite song
@salamamasegedo3640 Жыл бұрын
Nakumbuka kurasini st Maurice
@lilianmkelewele74892 жыл бұрын
Mungu awabaliki kwa ujumbe mzuri
@angelmmary67998 ай бұрын
2024 this song🤲🤲🤲
@DoriceInnocent-bc6df Жыл бұрын
Be blessed always
@aishayahaya51193 жыл бұрын
Hakika naipenda hii nyimbo
@thagondale90418 ай бұрын
2054 still a hit
@blandinasamwely62883 жыл бұрын
Mbarikiwe sana Kwaya Kuu Sauti tamu
@hauleshadrack58792 жыл бұрын
Mungu awabariki sana ,nimekumbuka kipindi kile
@justinekigomboa9 ай бұрын
Kabisa ndugu🎉
@georgebruno9162 жыл бұрын
Mbarikiwe sana
@BuckleRebecca-n3k16 күн бұрын
Ken Shoal
@musandyamkama38869 ай бұрын
Good song
@eliabuelisantemziray59083 жыл бұрын
Mungu awabariki sana
@secelelamatonya3179 Жыл бұрын
Namkumbuka marehem mke wa mwalimu wangu JANI wa Tumbi primary, mama neema, hata siku alipokwenda kufanyiwa upasuaji alituaga akiimba wimbo huu, hakuamka tena baada ya operation, kila ukiimbwa kamwe siachi kumkumbuka, bado nakupenda sana kipenzi huko uliko, maana nawe ulitupenda sana ulipokuwa duniani, Rest in peace dear
@reysohelman73152 жыл бұрын
I like this song😍😍
@erickmariki13132 жыл бұрын
Vijana wa ukwata walikua wakiimba hii nyimbo mpaka vinyweleo vinasimama
@estasiashiringa1038 Жыл бұрын
❤❤2023
@estasiashiringa1038 Жыл бұрын
❤❤
@EmmanuelAyo-l1u Жыл бұрын
Ni wimbo uliotungwa na kuimbwa kwa akili!
@justinekigomboa9 ай бұрын
Sana❤
@magrethfrank92942 жыл бұрын
Nyimbo yangu pendwa
@mpaleandrew74243 жыл бұрын
Ziko wapi hizo sauti tamu Sasa? Warithi wapo?
@reginaldswai38043 жыл бұрын
wapo karibu siku uje ututembelee usharikani
@hosianajumbe43563 жыл бұрын
Nabarikiwa sanaaaa
@siyaminja81693 жыл бұрын
2021 ❤
@Kwelihukuwekahuru3 жыл бұрын
Manyama kwani Mungu aliumbia wasabato peke yao uimbaji mbona hiyo siyo ladha ya kisabato ulitakiwa umpe Mungu utukufu siyo kuipa sabato utukufu
@victoriamalogo45873 жыл бұрын
Umeona ee kwa kweli MUNGU anasitahili atukuzwe
@amirayubu70132 жыл бұрын
Amen
@fanueltarimo509 Жыл бұрын
Good
@marryadolph4634 Жыл бұрын
Zuur
@thagondale90418 ай бұрын
Lyrics please
@ayoubbajuta44272 жыл бұрын
mwenye audio volume 11 anisaidie
@subiramihayo1305 Жыл бұрын
❤
@norbertseho2 жыл бұрын
lyrics za huu wimbo napata wapi???
@lalashowimunisi35662 жыл бұрын
Amen
@DanielShekfu8 ай бұрын
wameimba
@sarikokiagape76853 жыл бұрын
🙏
@mosesmanyama17733 жыл бұрын
Ninyi ni wasabato ila bas tu
@hellendaniel38092 жыл бұрын
Yaan sijuiagi mnashida gani Wasabato. Mpe Mungu utukufu
@juliethkipeja47912 жыл бұрын
Huo ndio uimbaji halisi wa Kkkt na ndio maaana ya kwaya kuu
@lutheranhours6610 Жыл бұрын
@@juliethkipeja4791 hakika dada Julie hio ndo maana halis ya Kwaya Kuu
@eliahmsuya33923 жыл бұрын
P
@amirayubu70132 жыл бұрын
HUU WIMBO KWA SIKU NAUSKILZA MARA 7 YAAN UNANIFNYA NAISHI KWA AMANI SNAA MLITISHA SNAA MUNGU AWABARKI SNAA AMEN KINANDA KIMETULIA KWNYE MOYO SNAA