No video

Jicho la Tatu - Kwaya ya Ukombozi KKKT Msasani

  Рет қаралды 1,130,695

Ukombozi Choir

Ukombozi Choir

Күн бұрын

Jicho la Tatu kutoka Kwaya ya Msasani KKKT iliwekwa wakfu na kuzinduliwa tarehe 8 Desemba, 2019

Пікірлер: 489
@user-dz2xr9bc6g
@user-dz2xr9bc6g 5 ай бұрын
Kama bado unaskiliza wimbo huu mpka 2024 gonga like apa❤
@nerryabel7512
@nerryabel7512 3 ай бұрын
Naangalia hii nyimbo may 2024,sifa na utukufu ni kwa Mungu wetu 🙏
@bxqueez5729
@bxqueez5729 Жыл бұрын
2023 tunaousikiliza huu ujumbee gonga like hapa twende kaziii
@cupcandymushi9126
@cupcandymushi9126 2 ай бұрын
2024❤❤❤
@upendoeliud6053
@upendoeliud6053 2 жыл бұрын
Inabidi niushike huu wimbo wote, nisala nzito sana nilikuwa sijausikiliza vizuri❤ alie andika huu wimbo Mungu azidi kumuinua, Juu.🙌
@MusaMseti
@MusaMseti Жыл бұрын
Jicho la tatu
@jaclinemoshi9851
@jaclinemoshi9851 2 жыл бұрын
Raise up your hand if your in love with this song like me💯❤
@mackiewilfredmguhi5859
@mackiewilfredmguhi5859 3 ай бұрын
Naangalia jinsi ya kuileta hii Kwaya Songea mwezi Septemba 2024 nina jambo langu.
@AngellaJoshua
@AngellaJoshua 3 ай бұрын
Mbarikiwe watumishi wa bwana wimbo mzuriii mnoooo😊 nabarikiwa sana kupitiwa huu wimbo.
@user-sb5mc3pf6j
@user-sb5mc3pf6j Жыл бұрын
Huu wimbo nakupenda Sana naomba kila wakat ad watoto nao wameushika nawakuta wanaimba huku wanacheza God bless them all
@FidelisEmmanuel-qv4nn
@FidelisEmmanuel-qv4nn 4 ай бұрын
Wapendwa katika bwana mnani bariki Sana mungu azidi kuwatumia na kuwafikisha viwango vingne ameniii
@neemamadimilo4479
@neemamadimilo4479 3 ай бұрын
Wimbo ni mzuri sana, nabarikiwa nao sana, Mungu awabariki sana waimbaji wote na watunzi
@estermillanzi
@estermillanzi 10 ай бұрын
🎉 naupenda sana huu wimbo❤ na pia nabarikiwa sana ninapousikiliza MUNGU awabariki wote
@matildachibuga
@matildachibuga 6 ай бұрын
Good song be blessed more ❤❤
@elizabethmanase1227
@elizabethmanase1227 4 жыл бұрын
Jaman natamani huu wimbo uwe na mamilioni ya watu katika views coz huu wimbo ni mzuri mno na unabariki hasa cc vijana tumesha potea sana😎😗😗😗
@quickyupdates880
@quickyupdates880 3 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana na wimbo huu kweli mungu anipe jicho la tatu
@freackyworldwide5488
@freackyworldwide5488 3 жыл бұрын
Nawapenda mnoooo yan sanaaaaaaa
@julianasingo6689
@julianasingo6689 3 ай бұрын
Wimbo umenivusha kwenye mengi asnte Mungu mbarikiwe
@christophermanko5670
@christophermanko5670 8 ай бұрын
Mnanibariki Sanaa Mungu awabariki Sanaa jmn!!!
@lameckmutemi2858
@lameckmutemi2858 3 жыл бұрын
Gonga like 2021 tunaozidi kusikiliza huu wimbo
@beatriceyosia1459
@beatriceyosia1459 Ай бұрын
Huu wimbo unanihusuu kama vile nliwasimulia hostiria ya maisha yangu, kisha wao kutoa wimbo, asanten sana nimepata nguvu ya kuzid kuomba zaid jicho la tatu.
@evelynemhina76
@evelynemhina76 4 жыл бұрын
Eeeh uyu dada anaeimba mungu naomba jicho la tatu ananikoshaaaaa
@wilfredmremi8274
@wilfredmremi8274 4 жыл бұрын
Nafarijika mno mno nisikiapo hizi sauti Mungu azidi kuwatumia katika huduma ya kulitangaza Neno lake kwa njia ya Nyimbo Barikiwa mno mno watumishi wa Mungu
@annajephta1584
@annajephta1584 4 жыл бұрын
Nimeupenda sana huu wimbo kweli Mungu atupe jicho la tatu Mungu awabariki sana kwaya ya ukombozi k kkt msasani
@happymjora3352
@happymjora3352 3 жыл бұрын
Jamani nipewe namm jicho la tatuu
@Leecii5
@Leecii5 4 жыл бұрын
Yaani hyu mkaka anayeimbisha anaweza kkufanya ukaimba kwaya bila kupenda🥰!!! Me nampendaaa jmani❤️
@neemakizigha6717
@neemakizigha6717 4 жыл бұрын
Mungu awabariki sana naawatie nguvu
@bettyephraim3429
@bettyephraim3429 3 жыл бұрын
Yaani naurudia sichoki jamani jicho l tatu
@marselinakinyagha8284
@marselinakinyagha8284 3 жыл бұрын
Truth
@aghatamaziku6173
@aghatamaziku6173 9 ай бұрын
Yaan kila mtu ndani kwangu anaimba wimbo huu...Mungu awabariki sana❤
@agneskoku1635
@agneskoku1635 2 жыл бұрын
Yesu naomba Jicho la Tatu ni wajue watesi wangu wote Zaidi ya hawa ninao waona Ili niweze kuwashukuru,
@yudambowe8916
@yudambowe8916 Жыл бұрын
Ninafarijika sana nikisikiliza huu wimbo Mungu azidi kuwabariki nyote
@samedward4211
@samedward4211 4 жыл бұрын
Nimewasikia leo clouds radio..Nimewapensa sana.. Siku hizi Kwaya zetu zinakua kimtazamo hasa kwa nyakati hizi tunahitaji kumkaribia Yesu namna hii.. Abarikiwe mtunzi wa wimbo.. Mbarikiwe waimbaji . Yesu asifiwe.
@evaristngurukizi3033
@evaristngurukizi3033 3 жыл бұрын
Huu wimbo naupenda kuusikiliza wakati wote. Bwana Yesu asifiwe.
@MagrethMpuno-no9rw
@MagrethMpuno-no9rw Жыл бұрын
Amina mungu azidi kuwabariki mtumike vema tumebarikiwa sana na mungu kupitia wimbo huu
@janethleonard6697
@janethleonard6697 Жыл бұрын
Jaman huu wimbo naupenda mnoo na Kila nikiusikiliza hata kama nilikuwa na msongo wa mawazo nakua na aman kupitia maneno yaliyonenwa humu ndan alikiwe sana mwandishi 🙏🙏
@ruthmuna1264
@ruthmuna1264 2 жыл бұрын
Munguuu kweli atusaidie tuone yaliyo mbele yetu jaman nmebarikiwa saaaana Mungu awainue
@catherinekilawila8363
@catherinekilawila8363 3 жыл бұрын
Bwana Yesu awatunze nmefurahi sana kuwasikia leo KKKT Kinondoni, Upendo endelea kusugua taji lako.👏👏
@furahinikisapi9987
@furahinikisapi9987 4 жыл бұрын
Huu wimbo ,,,,,,!!! Sina neno zaid ya kumuomba Mungu jicho La tatu.mbarikiwe mnoooooooo
@hidayamakunga8715
@hidayamakunga8715 3 жыл бұрын
Amen! Wabarikiwe sana
@jacklineminja1419
@jacklineminja1419 3 жыл бұрын
Aisee huyu dada anasauti... Mpaka nywele zinasisimka... Mungu awainue viwango vya juu zaidi...
@deborahlyelu8292
@deborahlyelu8292 Жыл бұрын
Yupi apo nimskie vizur
@MagrethMpuno-no9rw
@MagrethMpuno-no9rw 7 ай бұрын
Mungu awabariki sana Kwa ujumbe mwema Kwa njia ya uimbaji
@dynesdaud564
@dynesdaud564 Жыл бұрын
Mwenyezi mungu nipe jicho la tatu
@maymsigala8355
@maymsigala8355 4 жыл бұрын
Mbarikiwe sana, leo hii ndo nimewaona kwa mara ya kwanza via Upendo TV. MUNGU azidi kuwabariki na kuwainua. Mnaimba ujumbe mzuri, mko smart na mnaimba mkifurahia. Viwango viongezeke zaidi, na mzidi kutofautishwa. YESU awe Kiongozi wenu na kuishi maisha ya Utakatifu ili mzidi kumuimbia MUNGU mpaka mwisho.
@user-ez4no2sk4o
@user-ez4no2sk4o 5 ай бұрын
Wimbo huu hunipa utuliv ndani ya moyo wangu🙏🙏
@SuperSamboh
@SuperSamboh Жыл бұрын
Mko vizuri, utunzi,kumtukuvmza Mungu, classic
@elctelvdnyakatohospital5602
@elctelvdnyakatohospital5602 2 ай бұрын
Nabarikiwa saana kupitia huu wimbo
@user-mx3zl4mc9r
@user-mx3zl4mc9r Жыл бұрын
mungu awabariki sana tena sana kwa huu ujumbe
@jasminealvine3962
@jasminealvine3962 Жыл бұрын
Mungu awazidishie ilo jicho la tatu kwaajili ya kaz yake
@rosenyenyembe4698
@rosenyenyembe4698 3 жыл бұрын
Yesu Kristo naomba jicho la tatu
@HildaObeto
@HildaObeto Жыл бұрын
Ameen nikweli nisala kubwaa sana mtumishi
@SelinaPaschal-vq2iy
@SelinaPaschal-vq2iy Жыл бұрын
2023 still watching
@brysonmsuya3097
@brysonmsuya3097 4 жыл бұрын
Hongereni sana kwa wimbo mzuri sana Mungu azidi kuwabariki mkaendelee kuitenda kazi yake ya kuhubiri kwa njia ya nyimbo kwa nguvu na akili zenu zote.
@marselinadena7618
@marselinadena7618 3 жыл бұрын
Jicho la tatu. Nimetafakari sana ujumbe wa huu wimbo kwakweli aliyetunga Roho wa Mungu alimuongoza. Unapoomba jicho la tatu pia unatakiwa kuwa jasiri kwasababu sio vyote twaweza kuhimili pale tunavyooneshwa. kuna sehemu Mungu anatuvusha kwa namna ambayo kama tungeona huenda tungevunjika moyo ila Mungu alitubeba na kutuvusha. Asante Mungu
@aliceonesmo9618
@aliceonesmo9618 3 жыл бұрын
Hakika
@user-wm5us4no6y
@user-wm5us4no6y Жыл бұрын
Hiiii nyimbo ninzuri mno napenda nikiwa nausikiliza mda wote mbalikiwe
@irenemaganga9831
@irenemaganga9831 2 жыл бұрын
Mungu naomba jicho la tatu niweze kuona mengine zaidi haya ninayo yaona amen
@mangowiloveness443
@mangowiloveness443 Жыл бұрын
Mungu awabariki sana kwa sala hii ina ukweli ndani yake
@neywilly9817
@neywilly9817 3 жыл бұрын
Huu ni wimbo wa Familia yangu kila mmoja anaupenda na kuimba even my 3yrs son Mungu awabariki, ambariki mtunzi na aliyepata haya mafunuo.kwa siku 2mfululizo nausikiliza na umebaki moyoni mwangu.More Annointing to you Mkombozi Choir.
@pispaakim5123
@pispaakim5123 3 жыл бұрын
Kwa kweli huu wimbo umenisogeza mahali Fulani Mungu awabariki sana
@dickosngassomi4217
@dickosngassomi4217 3 жыл бұрын
zinatutengeneza.sana kiimani aiseee
@joyceelia8552
@joyceelia8552 3 жыл бұрын
Huu wimbo unanipa matumain katk majarb ambay napitia
@richardshembilu3292
@richardshembilu3292 6 ай бұрын
Huyu dada wa solo naomba namba zake
@salustianmlingi4716
@salustianmlingi4716 4 жыл бұрын
Kwaya mubarikiwe sana najifunza sana na kufunguka kiroho kupitia wimbo huu, jicho la tatu ni la muhimu nahitaji kuona Ewe Mungu tusaidie
@theodorymfuse4220
@theodorymfuse4220 Жыл бұрын
Aminaaaaa kubwa na mungu awabariki
@falijiubamba4155
@falijiubamba4155 2 жыл бұрын
Huu wimbo una ujumbe mzurii sanaa
@glorymbulu4645
@glorymbulu4645 3 жыл бұрын
Kiukweli hyu dada aliyesollo beti la tatu katuhalibia wimbo kabisa hajui kabisa bora tu wangesollo tu haw wawili! kiukweli wanautendea haki san mungu azindi kuwainua zaindi nitakuja kuwatembelea kanisani kwenu nawapenda mmeimba vizuri👏👏👏👏
@dorcaskinyangadzi5093
@dorcaskinyangadzi5093 4 жыл бұрын
Kwa mara ya kwanza huu wimbo nilipousikia upendo tv ukanibariki sana,🙏🏼 powerful song
@allanmuhutila4909
@allanmuhutila4909 3 жыл бұрын
mungu naomba unipe jicho la tatu kupitia wimbo huu na barikiwa sana nikiwa chuoni
@ev.nicksonkuyenga6900
@ev.nicksonkuyenga6900 4 жыл бұрын
Hongereni sana Vijana wetu. Mmetutoa kimaso maso wakristo. Tunamtukuza Mungu kwaajili yenu.💥
@josephanthony5952
@josephanthony5952 4 жыл бұрын
Barikiwa
@getrudapoul385
@getrudapoul385 3 жыл бұрын
Nyimbo hii inanikumbusha mbali Sana
@faustinaalphonce3141
@faustinaalphonce3141 4 жыл бұрын
Nimebarikiwa na ii nyimbo sana...Mwenyezi Mungu awabariki sana
@jemimahaloyce3668
@jemimahaloyce3668 4 жыл бұрын
Ndio nyimbo yangu kila niamkapo, mungu awabariki sana nyimbo nzuri imenibariki.
@dynesanyimike5655
@dynesanyimike5655 2 жыл бұрын
Vhv Vgg
@amidasinzoyiheba473
@amidasinzoyiheba473 4 жыл бұрын
Naomba jicho la tatu Yesu wangu nisije nikangukia Kwenye Shimo mbele yangu🙏
@brendachibura6040
@brendachibura6040 3 жыл бұрын
Jmn huyu kaka kanifanya nicheze kazini nusu kibarua kiingie moto Mungu awabariki sana🙏
@UlumbiGundula-cv9su
@UlumbiGundula-cv9su Жыл бұрын
Good song god bless you
@MerYEdga
@MerYEdga 10 ай бұрын
Amina sifa Kwa mungu wetu
@juliuskalawa7860
@juliuskalawa7860 3 жыл бұрын
Mungu naomba jicho la tatu, jicho la rohoni, ama kwa hakika wimbo huu umenigusa sana 🙏🙏🙏Ahsante Mungu🙏🙏🙏
@asimwedeus2419
@asimwedeus2419 3 жыл бұрын
Yani mnashawishi kwakweli nachelewa kulala nakuwa bsy na huu wimbo naupenda saana niamkapo nikisikiliza huu wimbo nabarikiwa siku mzima kiukweli mnashawishi watu tuingiie kwaya jmn msasani nawapenda saaana mungu awainue zaid kwa viwango vingine jamn hakika mmeimba na mungu awabariki saaana💪🙏🙏🙏
@tinielmmbaga8261
@tinielmmbaga8261 4 жыл бұрын
Mungu naomba jicho la tatu nione mengi zaidi ya haya yaliyojificha
@ceciliansemiwe8188
@ceciliansemiwe8188 4 жыл бұрын
Nimebarikiwa na wimbo huu hakika nahitaji jicho la tatu. Mbarikiwe sana Ukombozi kwaya
@christinangure6825
@christinangure6825 4 жыл бұрын
Nimeipenda ujumbe mzuri Mungu awakuze katika uimbaji wenu
@lukumaypendaeli1501
@lukumaypendaeli1501 4 жыл бұрын
Amen mbarikiwe jaman nabarikiw sana na huu wimbo jaman kwa jicho la tatu mimi ningeweza kuona mengi zaidi mbele yangu
@elangwa2707
@elangwa2707 4 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana na una ujumbe mzuri sana, yaani sichoki kuuangalia
@matildaramadhan1122
@matildaramadhan1122 3 жыл бұрын
Barikiwa San kaka
@labilyanga5549
@labilyanga5549 3 жыл бұрын
@@matildaramadhan1122 barikiwa mnoo
@joramwilson8400
@joramwilson8400 4 жыл бұрын
Mungu awabariki na Wasafi FM imenileta mpaka KZbin niwaone vizuri mko powa sana na Mungu awabariki kwa kweli mko pouwa sana maadhi fulani amaizing.
@annasarungi5848
@annasarungi5848 4 жыл бұрын
Huyo kijana wa mwisho kaua kabisa..amen wimbo unaujumbe nimebarikiwa
@alicealfred382
@alicealfred382 Жыл бұрын
Gonga like kama bado unaangalia mpaka 2022
@TheKaida23
@TheKaida23 4 жыл бұрын
Bwana Awabariki sana watukishi.... Mimi sio mzur sana kwa nyimbo za kwaya ila nilipowaona WASAFI TV nilipenda na hakika bwana amewapa karama ya kumtukuza... And for sure I will buy your album if any......
@christinapaul1859
@christinapaul1859 2 жыл бұрын
Mzur sana unanibarik maneno saut daaah
@thenestory1077
@thenestory1077 9 күн бұрын
Huyu dada solo ❤❤❤
@zacchaeusmirera5492
@zacchaeusmirera5492 4 жыл бұрын
Mungu naomba jicho la tatu niweshe kuona mbele
@franksamike174
@franksamike174 4 жыл бұрын
Ni hakika tunahitaji sana jicho la tatu ili tuweze kutembea katika njia impasayo kumpendeza Bwana Yesu. wimbo mzuri Mungu wawabariki
@veronicaipimilo3923
@veronicaipimilo3923 3 жыл бұрын
Jicho LA tatu,,,,,, mbarikiwe sana MUNGU awatumie ktk viwango vya juu zaid
@lightndosi5842
@lightndosi5842 3 жыл бұрын
Mnatisha Mungu awainue zaidi.
@dorkasiobed2846
@dorkasiobed2846 2 жыл бұрын
Mungu awainue zaidi watumishi
@wiza2309
@wiza2309 3 жыл бұрын
Wabarikkwe watunzi na waimbaji, nausikiliza huu wimbo sichoki, Neema ya Mungu iwe juu yao
@mercyrotich4484
@mercyrotich4484 Жыл бұрын
Wonderful song...watching it in 2023
@scholajames2078
@scholajames2078 4 жыл бұрын
Wimbo mzuri Sana mungu anipe jicho la tatu Kuna mengi yamejificha ndani yangu
@joycekyamba2634
@joycekyamba2634 3 жыл бұрын
Nione mengine kupitia jicholatatu🙏🙏
@mariamupessa720
@mariamupessa720 2 жыл бұрын
Mungu awabalik kwahudum nzuli ya mungu
@aminathatwahir8462
@aminathatwahir8462 4 жыл бұрын
Mbarikiwe sana kuwa mawakili wazuri wa Yesu kristo, wimbo una ujumbe mzuri sana kwa safari yetu ya wokovu. Pia nawapongeza mmevaa kiheshima. Mbarikiwe
@joycekyamba2634
@joycekyamba2634 3 жыл бұрын
Haleluya mungunaomba unipe jicholatatu 🙏🙏🙏
@matildaramadhani1647
@matildaramadhani1647 3 жыл бұрын
Mungu naomba jicho la tatu aibooooo ozaaa
@perrywanjiru2754
@perrywanjiru2754 4 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana Mungu naomba jicho la tatu katika Jina la Yesu kritso
@neemamcharo3797
@neemamcharo3797 4 жыл бұрын
Mbarikiwe sana wapendwa yaani watoto wangu wakiuona huu wimbo Upendo TV wanafurahi kweli hadi wajua kuuimba. Big up jicho la tatu
@jackyflavian9857
@jackyflavian9857 4 жыл бұрын
Nafarijika sana
@JacklineNkya-s3l
@JacklineNkya-s3l 28 күн бұрын
Naupenda sana Tena sana❤
@braymwela9958
@braymwela9958 4 жыл бұрын
Mungu awabariki sana,,,Mungu tunahitaji jicho la tatu ili kumshinda shetani
@prosperipyana1650
@prosperipyana1650 4 жыл бұрын
Jicho la 3. Siuchoki narudia kila muda kuangalia mbarikiwe sanaaa
@jescacharles718
@jescacharles718 4 жыл бұрын
Bonge la ujumbe
@neemamaisely308
@neemamaisely308 4 жыл бұрын
Huu wimbo sijawahi kuuchoka kiukweli Mungu wa mbinguni awabariki sana sana sana kazi yenu ni njema mnoo
@frankmathias1322
@frankmathias1322 4 жыл бұрын
This song jamani naupenda sana congrats sana. Huyu dada na kaka wawili wameutendea haki huu wimbo
@evansmushi9494
@evansmushi9494 3 жыл бұрын
Mungu awabariki kwa sauti nzuli na nyimbo za mafundisho kulingana na mazingira ya maisha,,,naomba mnisaidie kupata mawasiliano ya mtunzi /mwalimu wa kwaya yenu
@user-xe1gx5tn7l
@user-xe1gx5tn7l 8 ай бұрын
AMEN MBARIKIWE SANA
@neysteven4733
@neysteven4733 4 жыл бұрын
Nnaupenda san huu wimboña unanibarik san pongez kwen sichok kuusikiliza leo nmeangalia kutwa nzima
@aimanathomas7752
@aimanathomas7752 4 жыл бұрын
Mbarikiwe wapendwa
@leticiamahita2283
@leticiamahita2283 4 жыл бұрын
Mbarikiwe sana watumishi wa mungu. Hakika tunahiji tupewe jicho la tatu ili tuweze kuona yaliyo jificha.
@anethrogasian-es8zz
@anethrogasian-es8zz Жыл бұрын
Wimbo wangu tokea 2019 tafakari nzur Sana hii mtunzi hongera
@BabaEliTV
@BabaEliTV 2 жыл бұрын
An inspiration song to all Kenyans wakati huu wa uchaguzi, we make sober decisions in choosing our Leaders..Amen
@judithmasinga5190
@judithmasinga5190 Жыл бұрын
Hii inaleta maana ya kufanya kazi na mwenye kazi
@korogwepharmacy9323
@korogwepharmacy9323 9 ай бұрын
​@@judithmasinga5190❤
@abelpaul5235
@abelpaul5235 4 жыл бұрын
From Italy kwenye makao makuu ya Corona.nmebarikiwa sana na huu wimbo
@philemonpaul8014
@philemonpaul8014 4 жыл бұрын
abel paul makao makuu ya??????🤣🤣🤣
@lippinesshaule2334
@lippinesshaule2334 4 жыл бұрын
Kwakweli mungu anipe jicho latatu kwahaya majaribu ninayopitia nimefarijika mno
@agnesmdami7718
@agnesmdami7718 3 жыл бұрын
Yaaaniii cjui nisemejee nabarikiwa saaaana kwa nyimbo zenu zoteeee,,Mungu azid kuwainua ktk viwango ambavyo amevikusudia kwenu,pia hongeren sanaa kwa kupata mwalimu na mtunzi mzur wa nyimbo na waimbaj wake pia,,,Nawapendaa sanaaaaa
Ufunuo Choir  - Usisahau ( Live Performance )
9:33
UFUNUO CHOIR
Рет қаралды 5 МЛН
Unibariki - Kwaya ya Ukombozi KKKT Msasani
8:29
Ukombozi Choir
Рет қаралды 158 М.
7 Days Stranded In A Cave
17:59
MrBeast
Рет қаралды 94 МЛН
Matching Picture Challenge with Alfredo Larin's family! 👍
00:37
BigSchool
Рет қаралды 43 МЛН
黑天使遇到什么了?#short #angel #clown
00:34
Super Beauty team
Рет қаралды 47 МЛН
AIC Chang'ombe Choir (CVC)  - ELOHIM (Official Live Video)
7:29
AIC Chang'ombe Choir (CVC)
Рет қаралды 1 МЛН
NAKUSHUKURU MUNGU - UKOMBOZI KKKT MSASANI
8:55
Ukombozi Choir
Рет қаралды 137 М.
Neema Gospel Choir, AIC Chang'ombe - Burudani Moyoni (Official Video) 4K
7:04
Neema Gospel Choir
Рет қаралды 1 МЛН
Zakayo - Kwaya ya Ukombozi Msasani
15:51
Ukombozi Choir
Рет қаралды 20 М.
NIKULIPE NINI BWANA BY MUUNGANO CHOIR AICT IGOMA-MWANZA
10:45
Muungano Choir AICT Igoma Mwanza
Рет қаралды 814 М.
THE SURVIVORS GOSPEL CHOIR  Feat. JOEL LWAGA - KIHOME HOME. SKIZA CODE 5965646
5:07
The Survivors Gospel Choir (T)
Рет қаралды 1,6 МЛН
Neema Gospel Choir - Temporary
8:39
Neema Gospel Choir
Рет қаралды 2,1 МЛН
PRAISE TEAM TAG FOREST YA KWANZA - BWANA NIMERUDI TENA (FOR SKIZA SMS : SKIZA 6983105 TO 811)
6:39
PRAISE TEAM TAG FOREST YA KWANZA
Рет қаралды 8 МЛН
7 Days Stranded In A Cave
17:59
MrBeast
Рет қаралды 94 МЛН