Nakukubali sana kaka wengi wameamua kuisaliti timu kwa matumbo yao na uchawa kwa mwekezaji. Simba hatuna mwekezaji, ni wajanja wajanja tu. Mo aachie waje wengine.
@silvanuskisinza43034 ай бұрын
Kocha uko vizuri simba imeuzwa kwa mabeberu wanyonyaji wasiojua mpira. Tutapata taabu sana tuombe huruma ya Mungu waturudishie timu yetu tutembeze bakuli.
@venantnyiriri674 ай бұрын
Mwenda nakukubali sana kaka, nikweli mashabiki na wanachama wa Simba hatujielwi.
@shyneafya24684 ай бұрын
Dah nimefurahii sana kuona mwanachama kama huyu mzee kwakweli nimependa i wish ningekuwa kwenye media ningeongea ukweli mtupu wanamuogopa MO. Shida inaanzia hapo
@MenruphKahimba4 ай бұрын
Nakukubali sana mwenda wanasimba wote tungekuwa km Mzee mwenda simba tungefika mbali sana maana viongozi wangetueshimu wanachama na kutusikiliza
@user-js7lr8vr9i4 ай бұрын
Huyo mo niwakufukuza anatumaliza kama kunahasara kwanini hasiachie timu huyo ni mnyonyaji tu
@vumiliamgendi1484 ай бұрын
Kweli kaka tusaidie yule muhindi ni mpumbavu sana atuachie timu yetu
@briantafari92244 ай бұрын
Mzee Mwenda ndio sauti 🇰🇪
@AminaMsimbe4 ай бұрын
Unanichekesha sana kocha mwenda eti wapumbavu
@chemstry4094 ай бұрын
Mwenda nakukubali sana lakini UNCLE TOM OR THOMAS KIPESI' Hakuwepo alikuwa bado yupo Dar Young Africans...😂
@chemstry4094 ай бұрын
Pasuka Pasuka MZEE MWENDA....😂😂😂😂
@HamzaHeri4 ай бұрын
HUYO MTANGAZAJI HANA AKILI UNAMUELEZA UKWELI ALAFU ANAWEKA UTANI
@vumiliamgendi1484 ай бұрын
Watuachie tim yetu mbwa hao na mangungu hakuchaguliwa kajichagua mwenyewe hakuna lolote
Hongera sana kwa kutueleza ukweli ,mwenye akili na achukue ,mjinga aendelee kufungamana na mangungu
@ocaml86984 ай бұрын
Si Mangungu tu Mo ndy shida, huyu jamaa anaongea ukweli, Simba wanamuogopa Mo, "akijitoa" hiki ndicho wanachoogopa. Mangungu hana nguvu kwa katiba ya Simba, wenye nguvu ni Mo na Try again na hii itawatesa sana, ni ujanja ujanja tu. Wangepatika kumi kama huyu jamaa labda kuna kitu kingenyooka.😊
@onesmothimos26354 ай бұрын
Mm mtu yoyote ambae ana tetea maslai ya Simba nipo upande wake
@user-ox3ij7ki3t4 ай бұрын
Hata RAGE alishasema mashabik wa simba ni mambumbumbu na juzi kati tu hapa wakati wakijaribu kupitsha katiba yao mwenyekit aliwahita mashabik wa simba ni wapumbavu
@salumkunguge-zj4sq4 ай бұрын
😊0
@danielchamoto93764 ай бұрын
Mpubavu mwenyewe wew bwege. Ni heri utoe ushauri kuliko kutukana wenzako. Kama unaona mo hafai kadhamini wew hiyo team au tafuta mdhamini muweke ndegelesi
@chemstry4094 ай бұрын
Mzee Mwenda taratibu....😂😂😂😂
@user-px6ho3dp8j4 ай бұрын
Hongera kk
@FabianMichael-gu1is4 ай бұрын
Hahahah Yan Mzee nmefulahi San funguka bab angu
@husseinmpuruti13724 ай бұрын
Please kocha mwenda na GB64 ninawakubali sanaa hebu kwanza kutanani naye
@MenruphKahimba4 ай бұрын
Simba atuja pata Muwekezaji wa kweli simba tuna muwekezaji mjanja mjanja na tunaomba serikali isitoe nafasi ya kumpa MO DEWIJI timu naiomba serikali isimpe timu kabisa inaonekana simba itakufa kabisa na hii simba inaistoria ktk nchi hii haistaili kufa
@tajiribarua4 ай бұрын
2 Rashidi abdalah 6 lenye 10 Michel poul Gaga hakuwapo alikwenda yanga yeye na mogela
@saidmasoud90044 ай бұрын
MO aliikacha Simba miaka 3 ilyopita
@IdrissuHassan4 ай бұрын
Hata mimi siendi ukitak niiete Shabiki Mandazi, au Shabiki Chapati na maharage😂😂😂
@brunomchalla44394 ай бұрын
Wanachama hawajui haki yao kikatiba. Wanao uwezo wa kumn’goa Mangungu kwa kura za maoni (veto). Ukweli ni kwamba bila uongozi huo kuangushwa Simba itabakia kushuka daraja.
@sikujuahamisi72524 ай бұрын
Big up
@emmanuelthomas10784 ай бұрын
😂😂cc Wananchi hii ndo burdaaaaaaaani yetu🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@luganomwaipopo19874 ай бұрын
Nimekubali kocha mwenda sisi ni Makolo!!!! 😢😢😢
@DenisiSanga4 ай бұрын
Kweli kaka tumechoka kama na ni mbabaishaji atuachie timu yetu Bora tujue hatuna tajiri kuliko haya tunayo pitia
@careenkijonjo98334 ай бұрын
Mzee mwenda Nakukubali sanaaaaaa
@mussalimbe66734 ай бұрын
Wewe ndiye mpumbavu na watoto na mkeo na baba Yako na mamako
@jimmymnuano71654 ай бұрын
Kaka yangu hebu fuatilia maana ya neno kabla ya kulipuka kwanza. Hebu mtafute babu au bibi wa Kizaramo jaribu kumuuliza ni nini maana ya Kolo au Makolo. Kolo ni mmoja na Makolo ni wengi
@mussalimbe66734 ай бұрын
Huyu jamaa nilijua lengo lake
@yunusimchala65694 ай бұрын
Ww muongo namba 3 alicheza Rashidi Abdala ndie aliepigwa chenga na bori zouzou na kuandika bao la pili