Yan zebuu anacheza part ya Sheila Nora part ya zebuu n muli part ya Norah much love ❤❤
@gracekayumba-z9l7 күн бұрын
Muly ndo alitakiwa achukue part ya Sheila kweny last card aliwez
@NzalambiNdoroNzalambiNdoro7 күн бұрын
Kabisa
@GloryMichael-l8m6 күн бұрын
Kbsaaaaa
@debbykemmy3 күн бұрын
❤❤❤❤
@BarakaMisalaba-f7w8 күн бұрын
Nimegundua kiwa mna like kwa lufahamiana . But syo vzr me nalike kila m2
@DonMooFILMES_Express8 күн бұрын
@@BarakaMisalaba-f7w 😁😁😁 watu wanatafuta like kwa nguvu sana. Hivi mtandaoni hapa watu wanafahamiana kweli? 😁 Wewe sema naomba like hata 10000 utapewa tu sio uanze malalamiko. Unazani watu tunakaa mtaa mmoja mpaka tufahamiane 😁✌
@Muna-en4yq7 күн бұрын
😅@@DonMooFILMES_Express
@DonMooFILMES_Express7 күн бұрын
@@Muna-en4yq😂 ndugu yako anamatatizo sana 😂
@QwerQwer-p8x7 күн бұрын
Kwani like huwa mnapelekaga wapi tusije kuishia kutazama tu movie bira kupata mihera😂😂
@HafswaSalim-m1x5 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@ZuberBakali7 күн бұрын
Wangap tunaangalia albastni tukiwa kitandani❤ love u so much
@elizabethkatoko88677 күн бұрын
nani mwingne ame ona hio swag y zebu😂😂❤
@gweremuhidini42048 күн бұрын
Wakwanza mim leo kama unawakubali Tim kp weka like 😂
@happynessdaudi15978 күн бұрын
Tunao angalien saiv kitandani gonga like🎉🎉🎉
@gracekayumba-z9l7 күн бұрын
We here 😊
@kwizeracedrick-p6u7 күн бұрын
❤❤❤❤❤
@PeterLawison6 күн бұрын
Ndio huyo dada wakazi anajuwu sili
@PeterLawison6 күн бұрын
😅😅😅😅
@ElishaYaredi-k3n5 күн бұрын
🎉🎉
@PatrickRuwa8 күн бұрын
Kp Mungu akubariki pamoja na familia yako kazi nzuri sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@UmmatMohammad-hk4nv7 күн бұрын
Dahhh movie ni nzur san hii kulik movie nyingn kp tunaomb dakik ziongezw na isichelew san ❤❤
@babynaash8 күн бұрын
Hiii movie ni Kali sanaaa Karata Zinapangwa zinapangika mchezo unacheza unachezeka hatarii mnoooo❤❤❤❤❤
@Frank-l2k7 күн бұрын
Aki hii kazi Iko vizuri sana na ndio maana napenda sana kuangalia movie zenu surely, basi jaribuni angalau Kila siku tupate albastin Aki mm nimependa sana kazi yenu na huu mchezo uko vizuri juu naona kunaendelea mzee atakuwa na shaka na kisai 😂😂😂😊😊 ama mwaonaje ndugu zanguni
@JasminMamy8 күн бұрын
Jamani kifokinasonga tusisahau kumuabdu mungu kumukabizi maisha yetu nakuomba mwisho mwema
@allymwashambwa59208 күн бұрын
Amen
@CatherinePanyako8 күн бұрын
Amen 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@metrinenyakoe17647 күн бұрын
Ameeen
@fatumasophu58557 күн бұрын
Amiin inshaalah
@alimaalimassi75257 күн бұрын
Amen kweli nikumuomba mungu adupe mwisho mwema
@AnitherNyari8 күн бұрын
Waliogundua Albastini ni bonge la movie tofauti na ilivyoanza gonga likes hapa familia ya Kp🎉🎉
@BeatriceMussa-y4b7 күн бұрын
Yaani kp michezo yake ni noma alafu ni ya hatari... Ila ni salama❤❤
@ManJokah7 күн бұрын
Tek five now brother the big story u are touching all the way profetionall ecter and king of story and script
@franktodory8 күн бұрын
kweli kabsa ww ni haki yako ya msingi kupata elimu ila mimi sio haki yangu kupata ela aya wait apo 😂😂😂😂😂😂 likoma 🙌🙌
@NanaNadine-k3y7 күн бұрын
KP asante kazi nzuri mungu akubariki.nakutakia kula la kheli.rakini jitaidi uwe unawai kutupa vitu🔥🔥🔥🔥💯
@JosephWanga-q1g8 күн бұрын
Kp ni hatar kwa plan na mipango kila move ni kali 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@MillyYulemmoja7 күн бұрын
Kisai kula chuma hicho na bado,, nesi/ muli ako na ww pamba tu pamba,,, hongera sana mr aquino though hatujui jina lako kamili🎉🎉🎉🎉
@MariamAnania-l5d8 күн бұрын
KP jitahindi kuwahisha maan unachelewesha sana nasimuliz ni nzuri sana
@RamlahVukendi8 күн бұрын
Tunao itizama tukiwa tume lalia mgongo gonga lake hapa nawapenda sana nyote djamani❤❤
@FarajaNchamike8 күн бұрын
Kp mm nakupenda Yani duuuh bt zebuu usinitoe meno mwenzio ni mzuka wa movie albastin inawaka sana aisee
@anitakerubo94297 күн бұрын
Safi sana kp mtu moja unasumbua akili za watu wengi😂😂😂
@wemakorogwe69006 күн бұрын
Hongeren kwa kaz nzur hakika tunainjoy,msituchelewesheee sass
😂😂😂chizi na husahau njia ya kwa likoma hk kp wew😅😅
@bukoselalydia26238 күн бұрын
I love you so much kp wa qino much love from Uganda ❤❤❤
@ShafiiRashid-x9m8 күн бұрын
Shida yenu hua mnachelewa kutoa vipande vyenu hivyo bas hupelekea kupoteza ladha kuen chap bas❤❤❤
@AnnahAnifa-z5y7 күн бұрын
Lazima wachewele kwasababu wanatowa movie ya likoma ,jini kisilani lazima wachirikiane wanatowa pia ya kisai patapotea ndo waje watowe hii ya kp lazima wachewele ila tuwe wavumilivi ili waendele kutupatia vitu vzr
@Baba_ZEBUU6 күн бұрын
Asante kwa kutusaidia kujibu Hilo Asante kwa kutuelewa@@AnnahAnifa-z5y
@PrecideSni-n5v7 күн бұрын
Kp ww nimtu wakwanza unajua andika film tanzania kwakweli unaongoza kbxaa unastaili kubeba tuzoo🎉yaani sijawai ona film zinakuambovu wew nimuhimu saana katika wana Tz woteee🎉ningelikua niko ndani yawene kamati wa Tz ningesema ili ata mwene hajui kazi zako apate kujua🎉🎉ila sawa vitendo tu vitaongeya🎉nasisi huku Burundi tunakupendaa saana🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Asia-dq3rt6 күн бұрын
1 kp 2 dubu tz hvi viumbe vinajua sana kuandika story m/ mungu atawainua
@gloiregloirekamirigado7 күн бұрын
Kali iyi kweli... nawapenda saaaana aquino familly 💪🎉🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🙏🙏❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@PaulMasinde-ly9rn8 күн бұрын
😂😂😂kp is in pain banaa 😂😂
@mankinishee8 күн бұрын
Hongereni Sanaa 🎉🎉🎉🎉kwa kuvaa uhusika wenu
@FatmaKassim-y2b8 күн бұрын
Kp mupo juu.tunawakubali sana huku znz
@SitikNjama7 күн бұрын
Upo sawa kaka kp n daa zebuu Allah abariki Kaz y mikono yenu inshallah.... Nawapenda nyote team kp n zebu chukuen maua yenu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@ShufaaNassor-j3j8 күн бұрын
Na me leo sio wa kwanza lkn ni wamwanzoni jamn japo 👍 kdg