Yaani tanguu nianze kuangalia vipindi vya hawa wajama sijapata hata like moja nipeni like moja tuu plz
@BundalaShija-yb4vo3 ай бұрын
Unataka like za nini kalale
@aminaabdalla-uo9zq3 ай бұрын
@@BundalaShija-yb4voAkalale voo😂😂
@ZakayoTv-media3 ай бұрын
😢😢😢😂
@numpefikimwaipopo3 ай бұрын
Sasa like we za nini wewe ndo utoe like Kwa wahusika
@aishawhite11073 ай бұрын
Uliwahi kutoa maoni yeyote??
@MagrethBernard-p2n3 ай бұрын
Mama zetu wanapambana kutulea katika maadili mazuri na kutuombea kwa Mungu ila tamaa zetu zinatufanya kukengeuka. vijana wenzangu hii movie inafunzo kubwa tujifunze
@NshomaSayi3 ай бұрын
tunaopenda kuangalia uku tunasoma comment gonga like KP one love❤❤❤❤
@MezaFrancico2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@MezaFrancico2 ай бұрын
Love❤ Amob e
@abubacarassanetoziy47473 ай бұрын
Ila mimi nipenda sana muonekano mpya WA sheishei kama wewe kama mm like hapo please
@GentilKakule-rd2pz3 ай бұрын
Kama wa mkubali sheishei gonga like zake hapa
@AbdallahAbed-jh8zj3 ай бұрын
❤
@marialumbanga3 ай бұрын
Huyu dada shei wa moto tembeaji yake kama mgambo wa jiji
@GentilKakule-rd2pz3 ай бұрын
Yaani we Acha tu, sheishei wa moto sana🔥
@PeterMakunyu-uz5et3 ай бұрын
Nice job,,,I like it... from Kenya 🇰🇪
@chadiaManirakiza3 ай бұрын
mimi wakwanza kutoka burundian naomba like hata moja bas❤
@Nzoyikorera3 ай бұрын
Tupo wengi frome burundi 😅😅😅❤
@deborahmidiburo35413 ай бұрын
🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@ShabanLamadhan3 ай бұрын
Vp
@AbdallahMpinga-p4m3 ай бұрын
Jaman sijawai ata kupata like moja nisaidien ata tano tu
@Mwamaisha3 ай бұрын
😂😂😂 nmependa iyoo sawa mm acha njitolee kukusaidia na like yangu maskini mpenziiiiiiii 🤣🤣🤣🤣
@dadaamwazewe12993 ай бұрын
wangap wanakubali hii PLAN B❤guys kazi nzur sana tumpeni Sheila mauwa yake kwakwel Sheila kila kazi unaendanana party yake❤❤❤😂
@MashaMbwana3 ай бұрын
Nyumba ndani nzr nje sasa 😊😊
@PaulChanda-er4wx3 ай бұрын
Mimi niwa pili, nipeni likes zangu please 🎉 Je suis à Lubumbashi en RDCongo
@HassanPilimo3 ай бұрын
Chukua hiyoo
@Africanchild-x6n3 ай бұрын
Congo kwa ambaje???
@Nyotajada3 ай бұрын
Ila sheila jamani kila sekita kanapendexaaa tu❤️🌹🌹
@MohammedyNanjega3 ай бұрын
Kwel kabisa😂
@ElizabethChalle2 ай бұрын
Uyu dada yuko pw
@PostineYesare2 ай бұрын
Binti likoma huyo like father like daughter❤😂
@usterbae3 ай бұрын
Wow nimefurahi sana kwa kutuletea part 3 anyway good job Mr kp na team yako for really mnajua San may God bless you all love you guys❤❤❤❤
@ChukuwaChako43 ай бұрын
Wakwanza Leo kp like zangu tupo pamoja sana
@Amena-z5r3 ай бұрын
Wow kp nimewahi tena jaman naomba like zangu plz alafu bila kusahau team strong wale wa 2025 January tujuane kwa comment nawapenda sana ❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@siliviaDali3 ай бұрын
Heri ww...mm n 2026
@aminanaima68992 ай бұрын
Yupoooooo
@JullianaEmmanuel-tm5xg3 ай бұрын
Sheila mmh Mungu akusamehe, ila n Kaz tu ucjar
@CollisBill-mu3zp3 ай бұрын
Style ya Kp ... Round hii iko Poa sana🥰🙏👍🙌
@shabaniathumani22843 ай бұрын
na tamani kuonana sheilah una nifurahishaga saana karibu simiyu
@timothy76153 ай бұрын
msijifanye hamjamiss suraj😅😅😅 mnipitie
@sadahamad61583 ай бұрын
Kuomba like tu kutoa maoni aaah 😂😂😂 ila kisai ujambazi unafaa kweli kazi nzuri sana washirika
@Lovekidoti323 ай бұрын
Ila KP movie zako ni movie ambazo ni za kutumia akili sana, wewe ni nouma
@Thedy-tp5ei3 ай бұрын
Kabisaaaa
@Gladys-2543 ай бұрын
Kabisaa ata enye ilimuangushà ni Ile ya sonaà😅
@Lovekidoti323 ай бұрын
@@Gladys-254 unaona last card imetumia akili kubwa, na wamangushi ni movie za kutumia akili achana na hizi movie nyingine ambazo story zao ni common
@JeanModero2 ай бұрын
Bonjour tuongee ki faratcha
@Sharifaliuma-gb3vt3 ай бұрын
Sheria hongera sana unastahili upewe maua yako 🎉🎉🎉🎉🎉
@AgnesyMakongo3 ай бұрын
Najua lazima kp atakuja kumpenda zebu mazima💪💪
@FitinaWilondja-m7c3 ай бұрын
Sheila ongera kwa ubora zaidi wa ujuz wa computer naona umefanya kazi nzur🎉🎉🎉🎉🎉
@salhamrishoi49433 ай бұрын
Move zenu nzuri saana zinamafunzo piya ila tafadhari naomba mmengeweka sauti ya kawaida na si hiyo yaani kama vikatuni wakati move ni yenye mafundisho mazuri 😊siyo kwa ubaya nawapenda saana ❤🎉
@Thedy-tp5ei3 ай бұрын
Zebuu ndo anaongea kama kitto alekebishe saut
@Gladys-2543 ай бұрын
@@Thedy-tp5ei ndo sauti ya mtoto wakitajiri siwajia wadekezwa😂
@salhamrishoi49433 ай бұрын
@@Thedy-tp5ei shida wametengeza sauti
@purityrehema5433 ай бұрын
Wakwanza leo naomba likes zangu kp na zebuu, 🎉🎉🎉🎉watching from 🇰🇪
@EdwardTz.3 ай бұрын
washaupiga tena jaman hawa jamaa nawakubali sana maana wanacheza kama pele
@NansiJuma3 ай бұрын
Carol from Uganda Sheila Niko am happy sana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@RAMSOJOSEPHAT3 ай бұрын
Yaani huu uyanya mm naukubar kama last card vile
@celestinkenga92123 ай бұрын
I see.sheishei.ukatili.umekupendeza.kwel
@mpeliibrahim3983 ай бұрын
Sheila unanifurahisha sana
@AugustinhoManyangaunitedboetz33 ай бұрын
Wp suraj
@BethshebaNgendabanka3 ай бұрын
Kp you are so intelligent bro ,my best actor in tz❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@EuniceVureze3 ай бұрын
Hii team ni noma wee Sheishei na Kp alaf Libozi uchizi na uganga una kufaa kabisa 😂😂😂😂😂
@PatrickJonh-s3l2 ай бұрын
Shey mwana harakati huru oya sio poah unyama sana ❤❤❤❤❤
@James-hb2gv3 ай бұрын
nampenda sana sheibshei jaman mwambyen jamess nampenda sana ety ❤❤❤ daa!!!
@zawadichengokatana47503 ай бұрын
Shei shei na kp hongereni sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@BiisheBugao3 ай бұрын
Yani shei shei waniacha hoi😂😂😂 mummy jamani kila ninapokuona muonekano wako...
@DM.22003 ай бұрын
Sheila nakuona mbali katika uigizaj keep it up! 🎉🎉
@BahatiKadenge-n5r3 ай бұрын
Mimi uyo kwa kp na zebuu tukiona nani atamshinda kisai 😂😂😂❤❤❤❤❤
@salomeIzaac3 ай бұрын
You guys .....walai mmebarikiwa...your acting are professional .kazi nzuri wadau
@philohmutua29683 ай бұрын
Wqaaa anaitwa shey shey❤❤❤❤
@edgarlaurian-d8w3 ай бұрын
FROM RWANDA ,, APPRECIATE 🎉💪💪💪💪SANA THIS FILM PRODUCTION,, GREAT ORGANIZATION 💪💪💪💪
@Africanchild-x6n3 ай бұрын
How is Rwanda
@ShaniLamay-ln6se3 ай бұрын
Jamn Mimi wakwanza kp njoo nipe like yanguuuu nawewe kama ni mpenzi wa hii movie usininyime likee❤
@ShaniLamay-ln6se3 ай бұрын
Ila kp jamn basi Muwe mnarusha Kila baada ya siku Moja mnachelewa tunakosa uhondo pliiiiiiz
@madymag69263 ай бұрын
Wow sheila weeeh Nakubali kazi zenu nizuri sana kp ❤❤❤💪💪💪
@BintiMweluhanga3 ай бұрын
Daaaah kp and shei shei penda sana nyinyi ❤❤❤❤❤❤kp na watu zako mungu azid kuwapa kipaji KP ukinyoa una pendeza sana🎉
@gaddafi473 ай бұрын
MISS SHEI SHEI 😂😂❤❤👊👊✌️✌️
@ellykaka23603 ай бұрын
LEO NIPEENI 100 TU REAL FUNS🙏🎤
@tumainigilbert3 ай бұрын
Sheila jasili kweli nakupenda juu unajiamiya kabisa
@MariaFilibert-wf3om2 ай бұрын
Basi hapa hawawezi kufika nimeipenda hiyo sheila
@gogoloveofficial56663 ай бұрын
Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI 🇧🇮
@Kono_well2 ай бұрын
Najua nimecjelewa sana ila hii movie imenibamba kuanzia themes had characters, nimependa sana mwonekano wa Sheila,,,,, af nilichogundua kwenye haya maisha elimu ndo ufunguo wa maisha,, bila elimu huwez kufanya chochote had kwenye kuigiza unahitaji high knowledge,🎉🎉🎉🎉🎉 congratulation kp wa aquino
@elizabethuwezo2903 ай бұрын
Hawa waigiza movie hii wanaonekana wasomi sana ❤❤
@kura.the.boy-3 ай бұрын
NAKUBALI SAN TEM KP HII KAZI KALI SAN 🎉🎉🎉 HONGERENI SANA
@kpwaaquino3 ай бұрын
Shukran Sana
@aliyahaji85123 ай бұрын
Thank you kb na zebun na all the team ❤❤❤❤4rm United Kingdom 🇬🇧 🇬🇧
@SharifuAlbughuli3 ай бұрын
Wangp wanasubir kuona couple ya kp n zebu ❤❤❤
@SHALIFUSHALIFU-id9ku3 ай бұрын
Kp please msijehalibu movie zenu kama wa2 furani mna2furahisha sana nazinafundisha movie zenu ila msijehalibu kuna movie ambazo za M2 furani huwezi kutizama ukiwa na wtt au ukiwa nawazazi wako niotopolo m2pu alocheza jitahidini muendelee hivi hivi asant
@MwanamisiBakari-xh3jo3 ай бұрын
Mwaomba like tu lkn kupongeza kazi y kp aaah
@KatotooKavishe-bw6tq3 ай бұрын
Ila Sheilla 😂😅 Nakupenda Hadi siyo vizuri yani❤❤
@jescambilinyi3 ай бұрын
Shei shei anajua mpaka anaboa kinoma aiseee amevaa uhusika kinoma
@Mwasivevo3 ай бұрын
Walahi kep WE noma❤❤
@AjuwaeTannu3 ай бұрын
Nakubal sana kp Kwa kazi nzuli
@Lastbornecadet3 ай бұрын
#kp waquino izi movie ndo tunazopenda ,msihegemee kwenye vitu vya manyokanyoka achieni akina clam , sisi tunapenda movie zisizo tabirika kinachofuata ,kama hii na last card ❤❤❤ much love from democratic republic of congo
@MilembeLugwila25 күн бұрын
Clam kafata nn kwenye hii comment😊
@ShimbaYohan-p1u9 күн бұрын
Kwel kabxa ❤❤❤
@CarolyneNyanchama-yk1gf3 ай бұрын
Leo hii Norah anasidiria hongera uko mrembo,,,halaf Sheila uko next level mashallah kazi yako Iko lit🔥I really love it keep it up guys en feel loved from 🇰🇪🇰🇪
@ZainaboAli70Zainabo3 ай бұрын
Mimi ni watatu naomba like zenu jamani
@MaryamSafi-vm6or3 ай бұрын
Wow shei shei yuko vzr san kaz nzur kp 🎉🎉🎉 mambo ni🔥🔥
@REHEMAOSCAR3 ай бұрын
Kp na zebuu naomba kua moja ya wasanii wako
@bayahamisi3 ай бұрын
Nmeingoja sana🎉🎉🎉 kaz zenu nzuri
@MwanapiliSidi3 ай бұрын
Sheishei WW Hauna baya❤❤❤😂😂
@salimasava113 ай бұрын
Zepuu kaa rada mwamba anakuja(KP)🎉🎉🎉🎉
@cristaezekiel10363 ай бұрын
Bonge moja la movie ya kwenda 🎉🎉🎉🎉
@amam2211-3 ай бұрын
Nimewahi leo kp kipengele hanacho kipenda love form kenya pesa kwanza kp
@Africanchild-x6n3 ай бұрын
Kenya Kwa ambaje??
@MercyWafula-x1x3 ай бұрын
Hivi mnaombanga like za kazi gan
@MrsDariya-y1j3 ай бұрын
KP ukatumia akili nyingi Sana hongera endelea kutuburudisha
@Leyla-n6x3 ай бұрын
Shey shey ww ni noma kabisa nimekupenda bule🎉🎉
@ShakiraIbrahim-e7c3 ай бұрын
Duh sheyshey we ni nyokooo hila xjakutukana
@ArodiahCharles-n7l3 ай бұрын
Wa 50 leo naomba like
@AishaNajib-n1f3 ай бұрын
Daah sijawai ona watu wenye akili kama ya sheishei mungu akupambanie ufike mbali
@MarieOlepa2 ай бұрын
Cheche uko sérieuse kinoma nimekupenda katika movies zote umecheza kwa hiyi umetisha kinyamaa😂 bzuuuu à toi checheee😅😅
@NancyOkumu-dc8np3 ай бұрын
Mimi WA kwanza nipeni likes zangu,,,,,nawatch nkiwa kenya
@RAM7_TZ3 ай бұрын
Jamani kazi Kali sana zaidi hata ya Ile LAST CARD, KP ni noma hii story ni level nyingine baba ila Sheila unajua sana daahhh nimeipenda hii movie mungu aniongoze nisikose hata epsd moja❤❤❤❤❤
@celinendikiminwe60533 ай бұрын
Da sheilla😂😂😂 hongela scène zote jamani unajuwa kuziheza dada uko na kipaji ❤❤
@reginajustini52713 ай бұрын
Kisai kanenepa adi kitambi 😅❤
@SakinaHassani-xm7ti3 ай бұрын
Chezea pesa wewe😂😂😂
@Bahati-wu4bs3 ай бұрын
Hujakuona deboz😅
@m.mmarckus62983 ай бұрын
Nayule mwenye kisura cha kitoto sijui yuko wapi😂😂😂.Suraji
@HadijaKanze3 ай бұрын
Congrats Sheila napenda unavokua sirious❤❤❤❤❤❤
@apolinemalungano91553 ай бұрын
😂😂😂😂 Sheila bwana eti huyu demu utamla na utampiga picha za utupu 😂😂😂
@Clyton5933 ай бұрын
Me naamin sheishei cio mwiz ni mpelez pamoj na diboz cio chinz ni mpelez Bali sheishei anashilikian na kp kuwajuwa waarifu
@rosemarenga8323 ай бұрын
At mm naisi ivyo
@PurityMwongeli-p9f3 ай бұрын
Sheyshey mjaja kweli
@jescambilinyi3 ай бұрын
Aiseee Kp unatumia akili nyingi sana kwenye movie zako aiseeee mpaka nakuogopa,wewe jamaa ni hatari mnooo
@JerryGebiyr-dv6jp3 ай бұрын
Kali sana 🔥🔥🔥
@Ngwanasamaka3 ай бұрын
Sheila unajua kucheza kweny pay ako jamn
@shabaniathumani22843 ай бұрын
wa kwanza
@Mahratshafi-jn3tq3 ай бұрын
Ila sheila kachangamka sana nyie kamsela kabisa😂😂😂 shei sheii umeweza uhunii dadangu ama mwaonajee na nyie😂
@samuelbaraza74473 ай бұрын
Aki shei shei amefiti his sehemu kabisa😂😂😂😂😂😂 nikiwa kenya 🇰🇪 ♥️
@allywazirikimweri13193 ай бұрын
Kabisa nilijua nimeona pekeyangu
@kutailass66713 ай бұрын
Upande wa mrembo pia yupo Norah yaan kitaeleweka tu😂
@NicolasAbdoul3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Acha akufundishe kutongoza
@celinandyamkama18212 ай бұрын
Nampenda sana Miss Shei Shei anavyoigiza yuko makini sana ❤
@LilianWanyonyi-d3k3 ай бұрын
Kp unapenda kuigiza vizuri sana nawapenda sana
@MeshlUwimana2 ай бұрын
Sheila kila kitu kaweza
@ZoazinaJohn3 ай бұрын
NIKIWA zangu huku huku Dar -tmk yombo kilakala full bando❤ namuona Norah Mara hii akiwa mwana IT anakwenda kuharibu mipango Mapema 😂. KP akili nyingi sanaaa..... Good job 🔥❤ wewe na TIMU yako endeleeni kutuburudisha. Dibozz Hana uchizi yupo kwa kazi maalum hapo mtaniambia