Рет қаралды 92
Mkuu wa idara ya Lugha na Stadi za Mawasiliano Chuo Kikuu Mzumbe Dkt. Johari Hakimu akitoa maelezo kuhusu kazi za idara hiyo pamoja ma maandalizi ya Kuelekea Maadhimisho ya Siku ya kiswahili duniani (MASIKIDU) yatakayofanyika Dar es salaam.