Hi bichau nimependa maneno yako. Mie mume wangu mashallah namfanyia kila kitu tunapendana alhamdulillahi. Nashkuru.
@rehemapitson25415 жыл бұрын
Asant kwaushauri
@فاطمةفايز-غ1غ Жыл бұрын
Mungu akuIdishie dada..mzikane
@esmarajabu57936 жыл бұрын
Nashukuru mimi mume wangu tunasaidiana kazi, na chapili namsikiliza sana
@divinemisenga98194 жыл бұрын
Umesha ongea mum nashukuru nipo kabisa 😂😂swahili la Tanzania hmm Atari kweli mie apa Congo nawafata 50/merci beaucoup
@فاطمةفايز-غ1غ Жыл бұрын
Nkiwa Na imani..Na Dini..Na subra katika ndoa basi siku zote mtaiona nzuri Na yenye furaha..
@rozaliaamedeus80687 жыл бұрын
nguvu ya kufanya hayo yote unapata kama mume mwenyewe anakujali, kukuthamini Na pia akiwa mume bora Na baba bora kwenye familia. Vinginevyo kiukweli hivyo vitu ni vigumu sana kuvitekeleza, mwanamke naye ni binadamu ana choka pia hata mashine nayo ina choka kama haipati service nzuri.
@mwanaidiramadhan39195 жыл бұрын
👍👍👍
@lauraabass10775 жыл бұрын
Haya maneno yamemaliza kila kitu. Ni kweli haswa.
@cestlaviecestlavie46065 жыл бұрын
Rosalie Amedeus umejibu kikweli na watacoka sana 😏
@rukiaswadaktaamanenokuntus31255 жыл бұрын
Nikweli
@fredygaye30625 жыл бұрын
Umenena mwaya
@aminam60356 жыл бұрын
happy chacha iko kitu hapo nimependa maneno kuntu bibie shukran jazila 😘
@abuyunusmohamed69613 жыл бұрын
bi chau umeeleweka vizuri
@tamimuinda12827 жыл бұрын
unajituma kweli lakini ndo michepuko haishiii....aah wakwende tuu
@joycejohn77547 жыл бұрын
Tamimu Inda na waende zao kabisa
@collinbetwel5967 жыл бұрын
Asante, mama. Kwa maelekezo mazuri.
@jescajulius80236 жыл бұрын
Tamimu Inda ,😁😁😁kiukwel ww km mm vile kiukwl nimekata tamaa maana unajituma zaidi ya mtumwa lkn bado t, chakufia nn wacha waende t
@shukranijoel3234 жыл бұрын
Jesca Julius 😂😂😂😂😂😂😂
@mariaemilian58396 жыл бұрын
Asante sana naamin ntaishi vzur kwenye ndoa, mungu awabark sana
@jescajulius80236 жыл бұрын
maria emilian,naona hujaolewa olewa uyaone
@TausiRajabu-s1m7 ай бұрын
Saa ngap ichi kipindi jaman
@Ash-rc8nd3 жыл бұрын
Utafanya hayo yote kama mke lakini Bado ataenda nje kwa Malaya. Mwanaume kiumbe dhaifu sana hata kaoa malaika bado atatoka nje kutafuta wengine
@ukhutfatumah1154 Жыл бұрын
Hatiya bint Omary Dada yangu nakupenda sna bi fatuma kutoka tabata matumbi
@faryatbaby9124 жыл бұрын
Kazi za nyumba kW sheria ya dini ni kazi zao Mkee kufanya n mapenz yKe Tumeolewa kustarehe nao,kuwazalia,na kuwapa utulivu kazi majukumu yao
@rozinageorge77015 жыл бұрын
Anajua kupika pia apike just Zima siyo mtoto
@josephinejumba9923 Жыл бұрын
great advice
@meedaafarai96775 жыл бұрын
Zilipendwa
@beatricemunisi37482 жыл бұрын
Kabisa upo sahihi
@alexandermutakha8822 жыл бұрын
Ubunifu na ujitume.
@lauraabass10775 жыл бұрын
Halafu Jamani msisahau kiislam hayo unayosema maa ni kazi ya mume mke pambo na kumpa haki ile ya chumbani mume.
@michaelalbertus86724 жыл бұрын
Laura Abass haujui unachosema na haujui dunia inatoka WAP na inenda WAP,chau wacharue hao wanawake hawajijui kabisa wanaona me kama kinyago
@nancyramos99445 жыл бұрын
Kwani yy kaoa mke aje kua mtumwa wake au kaoa mke awe staarehe yake ni hisani tuu tunafanya ila hatupaswi ata kufanya yote hayo. uwo utumwa kwelii😂😂
Hahaha hahaha ..farhat wanichekesha yaan hawa waarab ni waviv cjawah thubutu kwa yeyote hata cjui kama wanasafisha nyet zao maana wao kaz wanayoiweza ni kulala tu... Subhanallah.....
@emilyondari47962 жыл бұрын
Love is two way traffic,, mmoja akiregea kwisha!!!!!! Tatizo ni wanaume kutaka kubembelezea na anaona wanasumbua na hakusaidii kulea, apo atangoja!! Ni kuleana!! Wamama wer' busy na watoto, ata ufanye yote, kama ni WA kutafuta mipango ya kando atatafuta??
@husnamohamed92455 жыл бұрын
Alhamdulillahi mie na mume wangu tunasikilizana tuko ulaya kila kitu tunafanya pamoja.
@NS-ru1yf4 жыл бұрын
Hongera zidi Mshukuru Allah...hali ngumu huku
@taltal72144 жыл бұрын
Hongera mwaya mm nipo oman ila mh
@amina2044amin-zv2gh11 ай бұрын
😘😘😘😘👌👌
@biyamungu10217 жыл бұрын
ukosa sahihi b.chau lkn mmmh waume walowengi hawana shukuran hata,mwisho unakuwa kama mtumwa wa ndoa sasa,Naomba weka na jungu la waume maana wengi wamekuwa magube gube!
@jumasande71845 жыл бұрын
Mashallah nice
@zainababdullsadik12477 жыл бұрын
😂😂😂😂😂hawabebeki kama mafurushi ya mavi mbeee mgomngoni lakini hajui unafanya nini ndo kwanza anakuona mpumbavu linaenda kufanywaa ndondochaaa njeee wewe wala hawakuoni heeeeee looo bichau
@jacqueisaac43907 жыл бұрын
Ahmed Zenat mmh
@emaemasy6275 жыл бұрын
Hawa wanaume warioletwa naupepo wa kisul sur
@jemimahshimuli17866 жыл бұрын
Asante...funzo nzuri
@marrycheyo61475 жыл бұрын
Wanaume wengi awaliziki jamani wanaume wana macho kumi kidogo loooo tunavumilia sana
@maimunamohamed83705 жыл бұрын
Kwanza kidini mke hatakiwi fanyishwa kazi nyingi asichoke shuhuli ya kitandani isimshinde kwa uchovu.waume pia wafate sharia ya dini mke akae nyumbani tu
@hellennjenga52676 жыл бұрын
True 💕❤💋love you mum
@ashamwandu37814 жыл бұрын
Zamani siyo Leo,upumbavu Jaziband.Wafundisheni watu ujasiliamali siyo mambo ya wanaume,hamsini kwahamsini.mfulie ang'aare aende kwa mahawala zake, kweli akili Mali ,kaaa ujinga ,
@saumuidd5976 жыл бұрын
kipnd chake ni kzr Sana kinaelmisha nampenda Sana
@khadijakisingo79202 жыл бұрын
Unaweza kumfanyia hayo yote lkn mwisho wa cku akakuona mchawi tu unamroga😢
@zurufaseme8595 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa best hata mie limenikuta hilo Sina hamu naogapa sana
@aishaalmahri6 жыл бұрын
Uki jaliwa kuzaliwa mwanamke basi ndio usha jaliwa kuwa mtumwa, upuzi. Bibi afaa amwangalie bwana, lakini bwana pia afaa amwangalie bibi, wote wasaidiane. Kwani huyo mume ni disabled ama baby, haezi hata kuji chagulia nguo? Asalalaaa. Wacheni upuzi
@elinejackson68435 жыл бұрын
Tutimiziane wote sio mm peke angu🏃🏃🏃🏃🏃🏃
@aminaseha50432 жыл бұрын
Bi chau sawsawa Jambo la msingi
@hawamtambwa4027 жыл бұрын
asante kwa soma Dada umependeza sana hongera wadada wachache sana wanaokuwa hivyo
@mamymdogo41615 жыл бұрын
Bibi mapenzi zamani saii kizai zai
@aminabukenya2317 жыл бұрын
bi Chau ni mzee bt sauti bdo yaita jamani mashaallah
Eeeeeh!!😫 That's a lot to do. Thanks for the teaching though
@alhamdulillah57964 жыл бұрын
Ndoa ni mashirikiano na pasipo na mashirikiano hakuna ndoa. Kwa sabbu ndoa lazma iwe na jimai inahitaji nguvu na utulivu wa akili. Ssa kama mkeo humsaidii anachoka patakua na raha hapo si mashuzi tu nakukoroma kwa usingizi? Saidia mkeo ndugu yangu ufurahie ndoa yako.
@alhamdulillah57964 жыл бұрын
Ukitaka mke wa tracter wanawake hao siku hzi hamna. Utapita ukihesabu vyuo au ukizini nje mpaka uishie maradhi ulaumu mkeo kumbe wakulaumiwa ni ww. ACHA UBWANYENYE USAIDIE MKEO.
@lauraabass10775 жыл бұрын
Kabahatika kuishi nae yy kwa miaka mingi basi mama angu ndo kaona dawa hio. Mama hawa watu hata uwafanyeje kupenda kwao hakuna sababu, akikupenda haswa atakuafanyia yy mengine na kukusaidia bila kujali lakini akiwa na yake utamwabudu hivyo raha na kudekezwa ataenda mfanyia mwenginee na kila utakalofanya bado silo. Ushauri ni kwamba yapo ya kufanya na kusimamia kama mke ndani ya ndoa mfano unyumba, chakula n.k but mengine kinehe.
@fatmaalnabhani36094 жыл бұрын
Chai ya kulala haiwezekani, mke apike kabla pale ya kutoka hapo alfajiri.
@entertainmentfree3955 жыл бұрын
kilaaaa kitu mwanamke duuuh
@veroben41617 жыл бұрын
hela ndio kila kitu mapenzi ziada tu hao hawana maana
@damianmyovela48845 жыл бұрын
Nomasana
@margarethpolepole7438 Жыл бұрын
Wewe mwenyewe unaachika kila siku unamfundisha nani nenda zako
@umiy19717 жыл бұрын
mapenzi nipe nikupe kama hanifanyii na kwangu hapati kitu kwani na mie si mwanaadamu kama yeye. kuubwa mwanamke haisemi kama mie ndio mtumwa wake wanawake tunapenda kuwapa majichwa wanaume bila kujali nafsi zetu.
@pendohumphrey75886 жыл бұрын
umiy1971 wewe uliyaweza bi chau
@selestinalukas12296 жыл бұрын
Yeye unakuta hta hajali
@fatmafaridy54225 жыл бұрын
umiy1971 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@jenyjeremia52375 жыл бұрын
umiy1971 lingine ata ulipende VIP ata ujitahid VIP ndokwanza halina ata habali seee bora kushika 100
@mgeniali941 Жыл бұрын
Tumeskia mama lkn wambie wanaume watupe pesa yachakula kwanza wabahili utamfanyia ayo kweli
@ALAL-si7ji3 жыл бұрын
Asante Sana mama
@karembobaya94736 жыл бұрын
Shida nlikua kilakitu kinalemea sana wanawake...mtatuuwa jamani...aka! Mapenzi npe nkupe jaman ...npende nkupende
@jamilahassan936 жыл бұрын
Asantee mama
@NS-ru1yf4 жыл бұрын
Kwakwel manake mhh....
@queenmaa78927 жыл бұрын
mambo hayo yamepitwa na wakati coz saahii mume kz mke kazi...kitambo waume walikua wakifanya kz mke nyumba na wtt..
@murishoayubu75312 жыл бұрын
Habari.naombajina.lafilamu.yabicau.nasideboi
@brawnmenda90333 жыл бұрын
Jombi
@fatumahengo68496 жыл бұрын
mama pekupeku sawa kabisa maneno yako
@nadiakabamba73735 жыл бұрын
Tuna shukuru sana
@hamidaviolet10274 жыл бұрын
Je kwa wale walio safiri haswa nchi za mbili kutafta???
@dadyabduly4795 жыл бұрын
Ça c'est vraie maman vous avez raison.ukweli maman asante ❤❤💋
@karembobaya94736 жыл бұрын
Utapata mwanamme labda hana Kazi ...haezi ata kusaidia kilakitu niwewe....aka!...mwanamke amekondeona kisa shuhuli mwanamme amejinonea mishavuuuuu
@happnessedga6065 жыл бұрын
Mwanaume ata umfanyie vyote atatoka tuu nje mbaya zaid upate mlevi anakuja sa nane usiku
@alisaida4080 Жыл бұрын
Eeeh bichau weee...wapendeza
@pinkywinixmbugua50266 жыл бұрын
Wanawake jamani kila kitu weee kazi iko 😱😱😱😱
@esperencemwamba6979 Жыл бұрын
Wanaume hawaoni mateso yetu jamani
@victoriarwerengera48315 жыл бұрын
Bi Chau naona wanaume huwaelewi vema...na ktk mawaidha yako huwapendelea sana na kukandamiza wanawake......na kuwafanya watumwa wa wanaume..
@khadram54636 жыл бұрын
kwanza hio maji I always wondered, can't he carry the bloody ndoo ya maji.
@aishaalmahri6 жыл бұрын
Khadra M no he is disabled, haezi ku beba wala ku piga pasi! Hahaha
@kulway46694 жыл бұрын
Kweli
@shushu81053 жыл бұрын
Unafanya kila kitu ila micepuko kamayotetu sasa niko munin
@charlesmwita44873 жыл бұрын
Huyu mama kufanana Rose Muhando
@fatmafaridy54225 жыл бұрын
waume Wasikuhiz hawabebek kama mayai vinza likipasuka hapafai utamlea uleavyo ila atachepuka ataenda nje huko ndio atafanya kila kitu wanaume mmmmmh ctaki Mimi kumbeba MTU asie bebeka maana utajituma wenzio wanatumia nawana hudumiwa nakuthaminiwa wandan unabak kupauka had mfelej wamakalio😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏
@donatharaymond17215 жыл бұрын
Hawa viumbe hawa hawasomeki, ata ufanye nini atachepuka tu, kama una imani kama yangu, gonga like hapo
twayafanya ila waume wa sasa hivi hawayajui tena waume wengi ni vikela moyo mmmmmm
@eliezelshango73804 жыл бұрын
Duuuh
@firdauskhamis55047 жыл бұрын
Niukweli mtupu ila wengine hawabebeki utajishuhuliza juu yake lkn yeye hata hayaoni
@rehemanyamawi27907 жыл бұрын
swadakta ukhty lkn fanya kwa ajili ya Allah kwan radhi za waume zko pmoja na radhi za Allah asiporidhika yy Allah ataridhika na utapata malipo kesho akhera
@yasminabdulmajid41577 жыл бұрын
Rehema Nyamawi
@farhiyamuhidin65877 жыл бұрын
firdaus khamis
@salakudeli8306 жыл бұрын
ni kwel maisha yasasa n mangum
@jescajulius80236 жыл бұрын
firdaus khamis ,ndo hivo utashughulika km mtumwa lkn wap
@judithkhamis10765 жыл бұрын
Wanaume wengine Ni pasua kichwa sidhani Kam wanastahili kufanyiwa hayo
@jumamzonge17504 жыл бұрын
Judith Khamis Judith nicheck WhatsApp 0719370903
@trophainamagogwa99914 жыл бұрын
Jungu kuu hilo
@jenyjeremia52375 жыл бұрын
Bora nikulupuke niwaandae wanangu cyo lijanaume halina ata xhukulan ata ufanye VIP alaaaa
@nellyeusto51935 жыл бұрын
Jeny Jeremia hahahha mbona hasira hvo umetendwa?
@michimicho60696 жыл бұрын
Shsti ajui pale inakaaa mijiume ua afrika mofedhuli mm natokaaa ata sitaki kujua amelala amekufa
@cipladapretty86175 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@zuwenamazruiy92937 жыл бұрын
bi Chau anaongea ukweli jamani ukweli unauma ongea bi Chau na uchafu pia wanawake tujirekebishe
@trophainamagogwa99914 жыл бұрын
Ebu ujirekibishe kama hufanyi yakupasayo pole saana
@alhamdulillah57964 жыл бұрын
M'ke asienausaidizi uchafu lazima. Na sio uchafu tu na kitandani akilala km kazimia. M'ke ni mtu sio tractor? Wanaume wawasaidie wake zao wafurahie ndoa zao. Maisha ya siku hzi mapirika mengi mambo mengi na sio kama maisha ya zamani. Yy mwenyewe anafunza hapo na pengine kaachika na kuachika na tena, hatujui.
@gracemmanga63717 жыл бұрын
nawao wakijaliwa nawao wawajali wenzi wao jaman hawa wanaume mmmmmmmmmm pakashume
@rahmatumam3576 жыл бұрын
Huo uwongo sheria gani hio kumfanyia mume kazi za ndani ni sunnah S's mfanyikazi mke ukilala si unkua gogo waume hta ukiwabeba mgongoni watatoka tuu fyuuu sijisumbui mm
@aminaomar82297 жыл бұрын
nataka biashara yangu iishe mapema nikimwangalia yeye ntamaliza saangapi
@zainabbukari19107 жыл бұрын
Amina Omar 😆😆😆😆😆😆yn na huu ugumu wa maisha pengine hp mnadeni la kody
@نجمهالعلي-د5ض7 жыл бұрын
halloooo hpo chachaaaa hbr ndio hiyo daaa
@mapishinasherry76717 жыл бұрын
Amina Omar lol😂😂
@cipladapretty86175 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mohammedwemba14296 жыл бұрын
Asante kwa somo
@halpajordan71175 жыл бұрын
Daaah mi Nina mchepuko ananipenda kisa najua sana mapenz ila bado ana madem sijui kwann wanaume awaliziki
@cynthiandambuki93207 жыл бұрын
hizo ni stori tu,ni yeye anataka familia,atie bidii,as long as he is a grownup,akona akili ,na anajua anachotaka,na akifanye,ndoa ni yetu si yangu,afanye kulingana na akili zake timamu,mimi nitayafanya ya kwangu,nimfanyie hayo yote bado ataenda nje,pesa zake sipati,afadhali nijipe shughuli
@sihamjuma.mashallwah21337 жыл бұрын
Acheni kuwapaa wanaume oboc ht uwafanyaje na michepuko kibawo
@shabanially34606 жыл бұрын
acha ujeuri wewe
@aminaomar82297 жыл бұрын
angetaka kushuulikiwa angeniangalia pumbav
@mamymdogo41615 жыл бұрын
Hahaha
@najafa23276 жыл бұрын
Shukran sana bibi...
@irinendubi58136 жыл бұрын
Asante lakini wakuchepa ata umfanyie yote adi umebebe mgongoni kazi bure mola atusaidie
@leylahchesavio95514 жыл бұрын
Ila ni kwel lakn suluhu no kuisoma akili ya mwanaume uliy nay ukishalijua hlo usitafut ushaur kila mwanaume Ana tabia yak na kila kipind kinamapito chake na ww mwanaume badilika endana na akili ya mwenzako hp umeshind mtihan hakuna mwanaume asiy na tabia chafu Ila anauzur wake pia ww tafuta uzur wak uko wap then bembeleza uwepo kila sk
@RRr-of9ps4 жыл бұрын
Shida ya sisi wanawake dunahudumia wenye pesa was na pesa hatuwa angalii ambayo sio Sawa huyo also pesa ndio wako tuacheni wanawake hata kwa mungu haipendezi tuwahudumie waume zetu hata kama Hawana pesa
@ayshaaysha96506 жыл бұрын
JAMANI MBONA MATUSI KAMA HAMUTAKI ACHA KUANGALIA SASA KHALIBU WAPI HYO MAMA JAMANI HEBU MUOGOPENI MUNGU MNAOTOA MATUSI YANINI MNABEZA SIO VIZUR ANAELEMISHA ATAESIKIA ASIKIE ASIETAKA SILAZMA KUTIZAMA
@kitoghosande65646 жыл бұрын
Ukiona bango limechanwa basi ujue ujumbe umefika
@alhamdulillah57964 жыл бұрын
Wanaotukana sivzr lkn wanaomfahamisha wacha wamfahamishe asiwape vichwa wanaume ambao wanaume mwenyewe wa siku hzi siwale wa zamani. Na maisha ya sasa sio yale pia.
@aminkhalid61827 жыл бұрын
WANAUME WENGNE HAWASHARIFIKI HATA UKITAHIDI JUU YAO HATA HAWAJALI WANAVUNJA MOYO
@emmykennedy71897 жыл бұрын
Ole Kengeja
@ednamollel57697 жыл бұрын
Wengine hawabebeki wala hawaoni thamani ya mwanamke kwao
mijanaume mingine hakuzoea hivyo kudekezwa imezoa kelele kama jibwa la baa akija akwambia nimechoka kula hajiskii na hataki story kabla huja amka yy asha toka sa tisa usiku wanikome waume siku hizi kuna waume ama michipuko hata uka panua mguu ukagusa paa la nyumba na mauno yy hatosheki na malezi yako wakwende zao mm
@38wahida7 жыл бұрын
mama peku peku 😂 😂 😂 😂 nimecheka
@mamapekupekupilipilimuwash90167 жыл бұрын
waheeda aman mwenzangu haya nambie
@alphoncehassanfaruq44887 жыл бұрын
hatar hyo hahahah
@mamapekupekupilipilimuwash90167 жыл бұрын
Rahvvichandrahn Gopalmanggy hatari sana usiombe vikupate
@mamapekupekupilipilimuwash90167 жыл бұрын
Emmy Nyange haahahahahaahah
@macym575 жыл бұрын
Chai ya chupa au kibuyu ikikaa sana inanuka na sio fresh. chupa yabadilisha ladha ya chai.
@pilimashauz22794 жыл бұрын
Haya bi chau nitajitahidi
@boykaaledjoz54227 жыл бұрын
kwendrrrrrra zako changudoa, kaaba, Malaya Sura mbayaa kama Utaki kufa
@wahidashabaz59825 жыл бұрын
hayo unayosema yote ninayaona kwa mama angu kwa kumhufumia baba wangi na kiumri ni watu wazima sana Ila mimi pia nimeolewa ila mhhh nchoka mie kufua kupasi wtt usafi wa nyumba 😁