Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 235
@anathjuma68137 ай бұрын
Waarab na wazanzibar hawajivungi,free soul...wachngamfu...Yani wakikuzoea wanaupendo sana...Ma Sha Allah
@nakundwamkubwe78238 ай бұрын
Mash Allah nimependa unavyo fanya ibada. Allah aendelee kukuongoza ktk imani..
@user-vj6qs8sv8i8 ай бұрын
Dadaangu mwanamke wa kiislam hatakiwi aoneshe mapambo yake na uzuri wake ila kwa Mahaarim zake na mumewe Jitahid ujiongeze stara na nywele zako zisionekane Nakupenda kwa ajili.ya Allah
@arafakiloli7498 ай бұрын
ALLAH akujaze kheri zaidi
@azizaaziza79968 ай бұрын
Assalaam allaykum warahmatullah naomba namba ya huyu.mama
@JanethMadios-oe5ue7 ай бұрын
Kwendraaaaaaa bwana weweeee ndo nyinyi mnajifanya wakamilifu sana toka uko
@ethanevans29717 ай бұрын
Hongera mama ..kwakweli nimefurahia hii mada na mama yupo vizuri katika presentation na pia kimalezi...huu ndio ukweli...mafunzo kwa vitendo.asante mama endelea hivyohivyo na mafanikio utayaona ....
@africa74798 ай бұрын
mashallah, una moyo mzuri..sasa jitahidi kuongeza stara...Allah atakusimamia zaidi mama angu kipenzi
@tanzcanmediatv44738 ай бұрын
Ipi nyingin
@africa74798 ай бұрын
@@tanzcanmediatv4473 kama wewe ni muisilamu basi huna haja ya kuuliza . ..kama sio muulize jiran yako mwisilam atakueleza.
@sinyooo65838 ай бұрын
@@tanzcanmediatv4473kichwa waz
@awatifsaleh74507 ай бұрын
@@tanzcanmediatv4473afunike nywele
@magrethmagonza1868 ай бұрын
Ni kweli nimependa japonica nipo mbali I can't imagine ukiingia humor ndani hongera shost❤
@fatmakhanii16768 ай бұрын
Mashallah ila huyo muandishi wa habari mpaka chumbani na una mume hiyo ni sehem ya faragha na kila siku unafundisha leo unamuingiza chumbani mgeni wa kiume tena
@annievibes87947 ай бұрын
Huyo kaletwa special aje aone na atuonyeshe umbea😂
@user-vv5nx7rw5g7 ай бұрын
Kwel hakupaswa aoneshe chumba Cha mumewe sio vzr
@rahmasuleiman93348 ай бұрын
Jamani mwanamke usafi shoga angu nyumba yang’ara na mama love wang’ara nimependa sana nyumba yako na usafi wako ❤❤❤❤❤❤❤
@nadyasalim79568 ай бұрын
kweli kwake kuzuri sanaa mashallah kusafiii
@VickKulekana-si1ib8 ай бұрын
Yani nimepapenda napendaga nyumba iwe nzur na Safi nilikuwa napenda kusafisha nyumba paka wananitania site
@VickKulekana-si1ib8 ай бұрын
Kawa mama paka ata usiku anaweka nyumba vizur vyombo anaosha
@SelemanMuhamed-ir5zl8 ай бұрын
Daaa adi raha Usafi wa maana nimependa❤❤❤❤❤❤
@user-ki4sg8yz9j7 ай бұрын
Usioneshe sana mazingira ya nyumbani kwako. Husda na pia wezi. Chumba chako cha kulala na mumeo ni mwiko.kuonesha hadharani
@aminaomary55676 ай бұрын
Ongera sana mpenzi wangu,nyumba yako nzuri sana.❤❤👍👍👍
@faridapandu75798 ай бұрын
❤❤❤ usafi muhim kweli mama
@aminaomary55676 ай бұрын
Kweli mpenzi wangu watoto wa kiume ni shughuli yaan,unasema wewe hadi unataka kulia.Mwisho unaingia mwenyewe kufanya usafi👍👍❤
@Lexerjoh7 ай бұрын
huyu kweli ni mwanamke kakupa na chai mashallah
@nadyasalim79567 ай бұрын
mashallah ❤
@Fear_Allah3948 ай бұрын
Maa shaa Allah hio nguo ya manjano mbivu nzuri sana
@abdulsimbarakiye41456 ай бұрын
Mama hongera sana wewe ni mzungu kichwani unaichi kama mzungu alhamdulillah. Pia wewe mama ni mtu wadini sana maisha Allah god bless you
@user-up2kg1wm9p7 ай бұрын
Masha allah. Mama love. Nimekupenda Sanaa
@AminaAhmed9998 ай бұрын
maa shaa Allah nyumba safii
@aishaamwalimu28878 ай бұрын
Nimependa Hivyo Viti Mie Nataka Aniuzie🙏
@utaani17 ай бұрын
Agizia dining table ya viti 6 zile refu UK, mimi nimenunua mbili moja kwa £600
@user-vv1te9fu8q8 ай бұрын
Hiyo imeenda mama lao mashaallah nyumba yang'ara km wewe mwenyewe
@user-kb3yg5jl1g8 ай бұрын
Mama weeee hutaki mkaza mwana wa kenya😂😂😂😂😂😂😂Masha Allah Masha Allah nimekupenda sanaa
@VickKulekana-si1ib8 ай бұрын
Haha ATA mimi nilikuwa nasema nimempenda yupo mcheshi kwel
@cdeleo93368 ай бұрын
Mama msafi sana 👌🏽👌🏽
@MwanaishaShattry8 ай бұрын
Usitaje majina ya watua uliowafunda. Sema tu nasinga wanawake na wanaume tunakuelewa. Nakupenda ni mwanamke unayejiamini
@faidhacute8 ай бұрын
Tuletee didaaa shaibu tufahamu mambo yake pia maana anatuinspire
@zuwenakabwe10178 ай бұрын
Tuko pamoja
@maryrich8 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@najathtemo39088 ай бұрын
Hatokubali yule mashauzi mengi😂😂😂😂
@fatimamohammed23328 ай бұрын
maashallah tabaraka Allah mama msafi sana
@AsmaSalim-rx4fb8 ай бұрын
Haya Leo wa mwanza na mimi naombeni like zang
@user-uj1bt7gq6n8 ай бұрын
Wa kwanza au wa mwanza 😀
@nahlahassan-fd6le8 ай бұрын
@@user-uj1bt7gq6n😂😂😂😂
@nadyasalim79568 ай бұрын
nimekupa habibi ❤
@SuleimanKhdija8 ай бұрын
@@user-uj1bt7gq6n wa mwaka😁
@HalemaHhhh5 ай бұрын
Nakupenda sana mamangu❤i wish ningekua karibu nawe
@user-ki4sg8yz9j7 ай бұрын
Hongera mjukuu wangu nakupenda sana. ❤
@zezenuvel76127 ай бұрын
Mamalove kungwi nimekupenda bure ❤❤❤❤
@user-wk1ix1gm1p8 ай бұрын
Mashaallah , msafi sana
@fatmabby00178 ай бұрын
Mashaallah ❤
@user-rj1gc5xk8k8 ай бұрын
Mama kungwi hongera yako 😂😂chukua 🎉🎉yko
@islam.with_juneyd7 ай бұрын
Allah atuhifadhi sote atuongoze katika njia ya haqi
@user-ox2uw9ds5o9 күн бұрын
Mama mzuri na ajipenda mashallah
@nadyasalim79568 ай бұрын
Mashallah Mama kwako kuzuri nakupenda sana ❤
@meowzna8 ай бұрын
Super MaMa😍 Masha'Allah🙏
@VickKulekana-si1ib8 ай бұрын
Ndio viti hivyo vimeingia navipendaga na hiyo milamgo naipendaga sana
@elenlazaro31927 ай бұрын
Huyo lastborn anapendwa sana😂😂😂 imagine at my 20 siko home😅😅😅😅
@sidikassim67598 ай бұрын
Siivyo mmangu unapndza kdgo kuliko kuvaa mikope ile na mboni wla hupendzi mma sio Siri lakni hvyo umpendza Mashala mmangu
@nasraabdul68787 ай бұрын
Napenda anavyoongea Uyu mama❤
@FatimaAli-of4gh8 ай бұрын
Hata mimi napenda mume tuwe mbali mbali aje akiondoka
@mariamdullazy81668 ай бұрын
Mmh sasa muda mwingine ukimuhitaj inakuwaje mi ndo najiuliza hapo inakuwaje
@FatimaAli-of4gh8 ай бұрын
@@mariamdullazy8166 Hee shoga angu ukishasema nayo roho yako kuwa wew mutakutana baada ya siku kadhaa fine tu
@ukhtyrayyan78848 ай бұрын
Hats mie napenda nando nipo hivo😅
@mariammnongo21498 ай бұрын
Hupend kufanya yale mambo yetu sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@FatimaAli-of4gh8 ай бұрын
@@mariammnongo2149 Hahahaaaa ndo kila siku? Si mukikutana ndio vitu vinanoga zaidi
@user-gj2mm3ko8m6 ай бұрын
Njoo Interview Kenya uje uone mama kungwi Bado sana yani Bado nguo Hapa 4,000$ tena nguo kaa 10
@glorianikiza39408 ай бұрын
Kwake pa safi kabisa
@officialbntrasool52238 ай бұрын
Nikishapata mume ntamfata huyu awe kungwi 😂😊
@nahlahassan-fd6le8 ай бұрын
Tena usje ukasahau ana mambo mazuri huyu utakuja kuenjoy kweny ndoa Yako sina vyakukueleza dear👌👌
@SululuZungu-kx8ws6 ай бұрын
Sema mwanangu salehe mmbea xn na mfukunyuku xn siku uje kwangu ufukunyue ukute nyoka uone vitu
Viti vizur na neza napendaga iyo ya mbele ya tv.makochi nayaonaga kwa wanapouza masofa kumbe sebulen yanapendeza ivyo
@OnlyRuky8 ай бұрын
Mashaalah ❤
@nicolenabintu25098 ай бұрын
Mama msafi sana , Akili zake zenyewe nyingi , Asante mama mrembo nime shukuwa jina la parfum 😂🌷
@Lexerjoh7 ай бұрын
yan ww kama mimi
@esterjames74077 ай бұрын
Mhh huyu mama kweli kungwi anajua mwanamke mazingira bibi wee ona kabla ajahojiwa amekula ndizi ili ata kama kunakaharufu mdomoni kaishe nimempenda bure ❤❤❤❤❤
@kamikazisalma52097 ай бұрын
Mansha Allah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@HeriethHaule-ct9gx6 ай бұрын
Hata ongea yake inaonekana tu anaupendo
@SharifaOm8 ай бұрын
Mm nampenda sana huyu mama
@ninaken71095 ай бұрын
Beautiful house tour...
@khadija57618 ай бұрын
Mashaallah❤❤❤❤
@lulushawaka62008 ай бұрын
Mashallah
@VickKulekana-si1ib8 ай бұрын
Tuko wengi anapenda kukaa nyumban kama mim
@nuruyusuph55628 ай бұрын
Mashallah msafi
@fatmakhanii16768 ай бұрын
Mmbona kama mmegeuza kwenye bei hongera wifi yetu tunakusubiri kwa ham
@lilianmkumbi677012 күн бұрын
MaashaAllah
@edyboyChamilion5 күн бұрын
KUNGWI SALAMU ZIMFIKIE NDOA YAKE IMEMSHINDA KAACHIKA NDIO KWANZAA ANA MIEZI 6 KWENYE NDOA HALAFU NI MM MM MAMA ETY YEYE MWENYEWE ANATAKA KUFUNDWA MPOO😂😂😂
@nasramduli50978 ай бұрын
Love u mama
@user-kp6lz7zs1wАй бұрын
Mama Love ❤️ kungwi ❤❤❤😂😂😂
@Ismail-kp7dxАй бұрын
Mama hongera
@zulfayusra87478 ай бұрын
Uyu mama kwake simple bt smart sana nmependa sana kwake vle amekueka
@VickKulekana-si1ib8 ай бұрын
Ndio ata Mimi nilitaka sema yupo simple Yani yupo Kama Mimi nyumban napendaga kuwe Safi nilikuwa nasafisha paka wananitania site
@user-rj1gc5xk8k8 ай бұрын
Mama kungwi umezidi chumba cha mke na mume n stara hata hao wifi zko hawatakiwi kuingia ila we mpk mitandaon hujafny vzr
@sikudhanimohammad76927 ай бұрын
Ametuonesha ili tujifunze.
@rukiaathumanathuman78757 ай бұрын
Masha Allah nice
@agathachughu8 ай бұрын
Mbona wachoyo ule kaketi kule mbona hamuna Karibu 😮😮😮😮😮😮😮
@minafadhil38378 ай бұрын
Mamaa msafi huyu
@VickKulekana-si1ib8 ай бұрын
Mama naye hivyp hivyo wanawe ndio marafiki zake
@user-pq5my4ih2v8 ай бұрын
Super mama
@kekiplus1andonly8 ай бұрын
Okay 🎉
@sinyooo65838 ай бұрын
Duu mama msafi huyu nitamuiga na mimi
@skymoontravel71405 ай бұрын
Usafi ni mtu kuzaliwa nayo unaweza kuiga ukaishiwa njiani😅
@sinyooo65835 ай бұрын
😂Apana bn
@VickKulekana-si1ib8 ай бұрын
Mimi mwenyewe nikiongeaga wananiambiaga inatakuwa ungekuwa MC
@user-kp6lz7zs1wАй бұрын
Mama niambie Uwo Ubani maalum niujue
@jamilamnetya62288 ай бұрын
Nampenda sanaa uyu mama
@nahlahassan-fd6le8 ай бұрын
❤❤❤
@w40587 ай бұрын
Mwanamke hufai kumsinga wanaume
@yusufuyasin23478 ай бұрын
Mi namtaka Allyyy😂😂
@rouhysaleh64218 ай бұрын
Sio aly ni alwiy
@subrynerysegerow13238 ай бұрын
Kungwi na mc nimeshapata bado mume sasa🤗
@maisalashea75327 ай бұрын
Hahahw😅😅
@munaashyahya10597 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@sarahsamson267 ай бұрын
Hahahahaa
@Boaz227 ай бұрын
Jamani natafuta nyumba kama hii ila nataka iwe ni chumba kimoja master na vingine vyote viwe hivi hivi, kama kuna dalali naomba jibu comment yangu tuchekiane ata kesho nakuja kulipia kodi
@TaarabChannel8 ай бұрын
Mpitie na kwangu jamani
@JescaMuyabi-ix8ly8 ай бұрын
Hongera
@sarahgaula22208 ай бұрын
Kajitahidi Sana
@MissRafikieliАй бұрын
Dola $9.99 sio dola 66.6$. No such thing. Kwahi ni around 26,153.67 TZ shillings.
@w40587 ай бұрын
User uko right kabisa
@marthahozza29647 ай бұрын
😀😀 mh jmni binadamu
@mombasa00767 ай бұрын
Ni upotezaji wa mda tu
@ashamavunde39138 ай бұрын
kwake pako vizuri na usafi anaujua
@faidhacute8 ай бұрын
Kuna watu wanaishi na kuna wasindikizaje 😂😂
@fettyrashid90428 ай бұрын
😂😂😂😂 Faidha
@munaashyahya10597 ай бұрын
Banae😂😂😂😂
@naturelle10978 ай бұрын
Maua mazurii
@SophiJeilan-vq5cp8 ай бұрын
Swala inakataza maovu jistiri nyelezako na mwiliwako dada
@jikonikwamamaSwaumu8 ай бұрын
Kungwi namuelewa
@mwapendosultan8878 ай бұрын
hii sasa ndio mana ya kungwi
@Kijijihomestead7 ай бұрын
Kamara mam hafai.....anatupa kizunguzungu.....tuliza kamera....kaa