No video

KAMA USHAAWAHI SALITIWA NA MUME AU MKE DAWA YAKE SIKILIZA HII

  Рет қаралды 569,551

OTHMAN MICHAEL ONLINE

OTHMAN MICHAEL ONLINE

Күн бұрын

Пікірлер: 464
@husnaameen9309
@husnaameen9309 2 жыл бұрын
mashaAllah ustadhi wewe ni doctor ., mashaAllah nimepata mume mwema mwenye hizi sifa ulizosema mungu aniwekee mume wangu inshaAllah 🥰
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
Maashallah Allah awadumishe
@lkshmykomar5472
@lkshmykomar5472 2 жыл бұрын
Amina Yarab alamin
@hasnaally1713
@hasnaally1713 2 жыл бұрын
Mashallah hungera mama
@user-pj8ed9kn6g
@user-pj8ed9kn6g 2 жыл бұрын
Mashaallah habbity Allah awadumishe kwenye ndoa yenu🤲🤲
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 2 жыл бұрын
Amiin Allah atuekee waume zetu na atulinde na hasad, amiin.
@evelynejuvenary2631
@evelynejuvenary2631 2 жыл бұрын
Wow ujumbe wa moto huu... Mimi ni mkristu lkn umenikonga moyo wangu Sana.... Mwenyezi Mungu akutunze Sana 🙏
@HalimaSaidi-jo9ng
@HalimaSaidi-jo9ng 5 ай бұрын
Swadakta Allah akulinde kwakilajambo
@goldenqueen4484
@goldenqueen4484 2 жыл бұрын
Sauti ya Othman Michael imefanana sana na ya Othman maalim ....kuitofautisha ni uangalie kuskiliza tu nafkria n yule mwengne ..Mashallah Allah awaeke miaka mingi inshallah mashekhe wetu .....Tuna jifunza umu umu kw hutba zenu ..JAZAKHA-ALLAH KHERY ❤❤
@sitiabubakar2892
@sitiabubakar2892 2 жыл бұрын
Yaani Kwa audio nashindwa kuwatofautisha
@goldenqueen4484
@goldenqueen4484 2 жыл бұрын
@@sitiabubakar2892 umeonaeee 🥰
@fatmakhalef3450
@fatmakhalef3450 2 жыл бұрын
Mashaa Allah kabisa sana tena
@khaashfarfarid4221
@khaashfarfarid4221 2 жыл бұрын
Jmn naomba no yake sh othmn
@bintykigan9285
@bintykigan9285 2 жыл бұрын
Sana tena
@salmahanai3601
@salmahanai3601 2 жыл бұрын
shekhe umeupamba.moyo wangu kwa maneno mazuri maashaallah
@hasnatyoficial6056
@hasnatyoficial6056 2 жыл бұрын
Daaah hii imenigusa sanaa nimegundua mume wangu anatoka na mdogo wangu wa kuzaliwa nae hakiyamungu roho imeniuma kupita kias na nasema kutoka moyoni namchukia mdogo wangu na mmewangu ad siku ntakayo kufa Allah anisamehe
@fatmakhanii1676
@fatmakhanii1676 2 жыл бұрын
Pole sana msameh japo hutokua nae karibu Allah nawe atakusameh pengine ni mtihani tu huo ulompitia binadam hatujakamilika inauma sana
@rehemasoud7805
@rehemasoud7805 2 жыл бұрын
Msamehe sanaa na muombe mungu akuepushie na hilooo
@mealisuleiman4020
@mealisuleiman4020 2 жыл бұрын
Msamehe mdogo wk ni shetwani amempitia hata yy mwenyewe yuwa juta kutenda hicho kitendo
@fatmakhanii1676
@fatmakhanii1676 2 жыл бұрын
@@mealisuleiman4020 kabisa
@ismailowino2866
@ismailowino2866 2 жыл бұрын
Subhanallah,pole sana ukhty.Mimi naelewa unachopitia ila wasamehe wote kwa maana hii chuki itakuumiza nafsi.
@dismassamwel7130
@dismassamwel7130 2 жыл бұрын
Hii elimu nzuri nimeipenda sana,hakuna kitu chenye mtihani kama ndoa au mahusiano,yanahitaji subra na msaada wa MUNGU
@salumkifan3637
@salumkifan3637 2 жыл бұрын
Nkweli kaka
@georgetavalentine4686
@georgetavalentine4686 2 жыл бұрын
Mafunzo mazuri 👏👏👏 though am a Roman catholic
@user-ws9ek8dj5n
@user-ws9ek8dj5n 2 жыл бұрын
Asalaam alleykum warahmatulah wabarakaatuh MAASHA ALLAH TABARAKA ALLAH sheikh wetu kipenzi #othmanmichael kwa kila ilmu tunayo pata kupitia kwako MWENYEZI MUNGU akupe uzima na maisha marefu,ummah mzima atupe maskizano,uaminifu,mapenzi,kuongozana,atuongoze katika swiratal mustakeem na atujaalie mwisho mwema Amiin ya Rabbil Allamin
@adijarashidi1426
@adijarashidi1426 2 жыл бұрын
Waaleykum ssalam warahmatullahi wabarakatuh AAmin 🤲
@user-ws9ek8dj5n
@user-ws9ek8dj5n 2 жыл бұрын
@@adijarashidi1426 Amiin ya Rabbil Allamin
@rahmatahmed1871
@rahmatahmed1871 2 жыл бұрын
Waleikum Msalam warahmatullah wabarakatu habibty
@kisunaomar3138
@kisunaomar3138 Жыл бұрын
Hakika wanawake tunatakiwa tujue nini ndoa,upi uzito wa ndoa na mume ni kitu gani..Allah atujaalie ndoa zilizo jaa mawadat,sakina.atufanye wenye kuridhika,na tuwe tulizo kwenye macho yao,tusio na waume Allah atujaalie,na walio kwenye ndoa ziwe zenye kheri.darsa zuri mashallah
@shefumasanja-wn6lj
@shefumasanja-wn6lj 9 ай бұрын
Asante
@arafakassela5398
@arafakassela5398 2 жыл бұрын
Yani nampenda shekhe Othman kwajiri ya Allah akuweke zaid iliuzid kutuhelimishe
@mamakebiasha4807
@mamakebiasha4807 2 жыл бұрын
Kabisa Amin
@KadirMamito
@KadirMamito 18 күн бұрын
Alhamdhulillah sheikh
@neemaneema6825
@neemaneema6825 2 жыл бұрын
Nimefulahi.sana Kumsikiliza.uyu.shee.nampenda.san Mungu.amuweke.milele.siku.moja Aje.atatuwe.matati.nyagu🙏
@fatemafatema4780
@fatemafatema4780 2 жыл бұрын
Mashaalla mashaallah sheikh Othaman unamafunzo mazuri sana .yaret ingekuwa nusu ya watu wanafuata basi uhasama na ugonmvi ndani ya nyumba usingekuwepo mungu akubarik.mungu akupe uzima wa afya.hata usemaji wako sheikh wewe mtaratibu sana.nampa hongera sana mkeo.mungu awajaazie kila lenye kheri na nyinyi ameen
@omarchoro5936
@omarchoro5936 2 жыл бұрын
Allah akujalie kher
@hamidaasiimwe4266
@hamidaasiimwe4266 2 жыл бұрын
Asalaam Aleykum sheikh Othman Asante kwa yote. na utuwombe kwa Allah, tufiko kwako mashalla
@zainabmaulidi9846
@zainabmaulidi9846 2 жыл бұрын
MASHA ALLAH sheikh wetu Allah Akujalie umri mrefu wenye kheri tuzid kunufaika
@taybahnasoro6049
@taybahnasoro6049 2 жыл бұрын
Allah aniongoze niwe wa kulizika kwa mume wangu inshaallah na ndoa yetu iwe mpya kila iitwayo leo na niwe mke mwema yarrabi mwenye busara aman na upendo na huruma pia kwa mume wangu
@SleepyGalaxy-nw5of
@SleepyGalaxy-nw5of 7 ай бұрын
Subhanallah shukran sheikh napenda mawaidha yako course yananipa ujasiri na Aman ya moyo wangu mungu akubarik🙏
@mariamyoyote8172
@mariamyoyote8172 2 жыл бұрын
Shukran shekhe jazaka'Allahu kher minal dunia wa akhera 🙏🙏ujuwe shekhe hivyo unavyozungumza napata fikira ya kuolewa niishi Kwa mapenzi mema na mume wangu lkn bado Allah ajanipa na nipo kazini wallah naogopa pengine nikaingia kufanya Mambo mabaya kabla ya ndia kwasababu hivyo unavyozungumza namna bakiluishi Kwa upendo kunakitu kinanijia na ninaogopa lkn itabidi nianze kufanya Ibaada na kuomba utulivu na kujizuia haya matamanio ninayo yahisi ya Allah nifanyie wepes katika Hilo pia shekhe niombee shukran shekhe balakaallahu fihiii
@reemareemo2698
@reemareemo2698 2 жыл бұрын
Pora ata ange mpiga tuu asira ziishe
@tawaqthabith1689
@tawaqthabith1689 2 жыл бұрын
Inshallah mola akujalie
@ismailowino2866
@ismailowino2866 2 жыл бұрын
Masha'allah, jazakallahu khayr Sheikh.Yaani hii darsa imenigusa mahali duh!
@D_beauty1
@D_beauty1 Ай бұрын
Ya Allah nahitaji msamaha wako yarasulallah 😭nifanye niwe miongoni mwa waja wema na wake wema wenye kuifata dini na kuzipenda na kuziheshim ndoa zao inshaallah 🤲🤲Allahumma ameen
@aishahamadi9261
@aishahamadi9261 2 жыл бұрын
Maashallah umetujeja Sana ustadh ndoa nyingi zinayumba kwasababu ya uzinifu Ila Allah atuongoze katika njia zilizonyooka na ftatilia nikiwa uganda
@sabraabdilnasir8826
@sabraabdilnasir8826 2 жыл бұрын
Nikweli kabisa uwoga hawana watu wala imani
@monicawanza9911
@monicawanza9911 2 жыл бұрын
Am a Christian but listening to you teaches me alot 👌,am even dating a Muslim soon to funga nikha😊
@rahmatahmed1871
@rahmatahmed1871 2 жыл бұрын
MashaAllah karibu katika uislam mammy
@aaa64sa13
@aaa64sa13 2 жыл бұрын
MashaAllah!!!
@mariamjack9471
@mariamjack9471 2 жыл бұрын
Mungu atupe mwisho mwema inshaallah
@khadijaangore4408
@khadijaangore4408 2 жыл бұрын
Masha Allah tabaraka Allah. karibu kwa dini ya haki.❤❤❤❤💞💞💞💞💞😘😘😘
@yussuphsultan1400
@yussuphsultan1400 2 жыл бұрын
Mashaaa Allah....Allah sw akufanyie wepesi....ingia Kabisa kwenye uislamu Ili ujifunze na ujue jinsi ya kuomba dua jambo lako liwe jepesi Kwa idhni yake
@alhabsialooshi9315
@alhabsialooshi9315 2 жыл бұрын
Mashaallaaa shekh alla ukupe mwisho mwema ila mm mumewangu aliniacha kwatara3 mpigo ila nashukulu na baba yangu alikua mcha wangu alinipa somo na sikuweza kushawishika kurudiana tena mpaka leo hii ninamiaka10 sijaingia kishawishi kuludi kwake
@asmaasmi9019
@asmaasmi9019 2 жыл бұрын
MashAllah tabaraka rahman jazaaqa Allah kher
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
Allah Akujaalie umri wenye heri nawe uwwmrefu uzidi kutuelimisha. Allah atujaalie tuwe wasikivu na tusiyoolewa Allah atupe Mumewema lnshallah🤲
@mamakebiasha4807
@mamakebiasha4807 2 жыл бұрын
Amin yarab
@azizadjumadazuu2731
@azizadjumadazuu2731 Жыл бұрын
Maa shaa Allah sheikh wetu tunanufaika na mafunzo yako!!! Allah akujaze kheri
@sharifaabdi9501
@sharifaabdi9501 2 жыл бұрын
Kwa kweli yote ni mitihani ya dunia2 hiyo Allah atujaalie minalfaidhina.Pia shekh wetu kipenz tunaomba dua kutoka kwako Allah atuepushe na mabalaa mazito kama hayo na pia atujaalie katika waja wema inshaallah
@mahmoodalghefeili5370
@mahmoodalghefeili5370 2 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏
@zainamkwizu2942
@zainamkwizu2942 2 жыл бұрын
Napenda sana mawaidha yako umenibadilisha sana shekh mungu akupe umri mrefu wenye amali njema
@AMI-ip1lx
@AMI-ip1lx 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂Apo Kwenye Honey Honeyy Honeyyyyyyyyyyy😂😂😂😂😂😂Nimecheka Mie Ila Nimependa Inapendeza
@lkshmykomar5472
@lkshmykomar5472 2 жыл бұрын
Mashallahu shukuran shehe wetu Allah atuhfadh na maas ya zina
@saadahydar7106
@saadahydar7106 2 жыл бұрын
v ýcyuucyyuyyyyyyyyyû cuu7uyy7yu77777uu7u7uu7uuuuuuu7c7777777777777777777777777777777777777777777vvv777777777777777777777777uuu
@saadahydar7106
@saadahydar7106 2 жыл бұрын
u juuuuvuuuuuuuu u
@najuf8021
@najuf8021 2 жыл бұрын
Allah akuhifadhi kwaajili yetu shekhe mchanganyiko ule wamafuta ALHAMDULILAH umenisaidia
@rahmamohammedmohammed7987
@rahmamohammedmohammed7987 2 жыл бұрын
Nambie namie huo mchanyiko dawa ya nini
@matikamwagilomwagilo531
@matikamwagilomwagilo531 2 жыл бұрын
Shekhee othmani m.mungu akujaalie kila la kherii ameeen
@bintimossisaidi1443
@bintimossisaidi1443 2 жыл бұрын
Amiin
@owuorsharon2177
@owuorsharon2177 2 жыл бұрын
Nimeguswa sana na mfunzo yako inshallah mungu akujalie
@UncleChenShoushan
@UncleChenShoushan 2 жыл бұрын
Allah aniepushe siwezi uwa mimi sheikh kasema kweli mwenyezi mungu amjaze kheri
@Tv-dl4qj
@Tv-dl4qj 2 жыл бұрын
MashaAllah sheihk wetu Allah akupe umri mrefu
@irenelaizer4789
@irenelaizer4789 2 жыл бұрын
Masha Allah my Allah protect you sheikh nimjifunza kitu pamoja sijaolewa ila Allah anijalie mme wa hivyo hakika nitamjali
@shabaniomary6235
@shabaniomary6235 2 жыл бұрын
Sheikh, alhamdulil laahi, Allaah akujaze zaidi ilmu,nakuomba tuletee kisa cha Dhulqarnaini kwa urefu.
@aminataramio8254
@aminataramio8254 2 жыл бұрын
Shukran cheikh wangu mungu akulipe kilishikuwa cha kheri kwako
@khalfansuleiman6206
@khalfansuleiman6206 2 жыл бұрын
MAASHAALLAAH SHEIKH WANGU ALLAAH AKUZIDISHIE KILA LA KHERI NA AKUKINGE NA KILA BALAA
@abubakaryrajabu-fb5sd
@abubakaryrajabu-fb5sd Ай бұрын
Inshallah
@anetiarsen7061
@anetiarsen7061 2 жыл бұрын
A aleykum Asante kwa maneno yako matam
@KadirMamito
@KadirMamito 18 күн бұрын
Subuhanallah
@saumusanjiama6991
@saumusanjiama6991 2 жыл бұрын
Shukran sana ustadhi Allah tuepushe na mitihani hio yarrab
@nurazain6616
@nurazain6616 2 жыл бұрын
Shkhe othman napenda sana mawaidha yako nishkhe mwenye hakma sana allha akuhifadhi
@adamdengu338
@adamdengu338 2 жыл бұрын
Mashaallah inatakiwa Subira zaidi ktk dunia hii . Na tuliambiwa tuisha nawe kwa makini wanawake . Lakini yanafikanga mwisho na Allah anakuonnyesha yote .
@mamakebiasha4807
@mamakebiasha4807 2 жыл бұрын
Amin
@MA-kh2lr
@MA-kh2lr 2 жыл бұрын
Subhanallah... Allah atunusuru na vizazi vyetu yaarab.. Ameen.
@mamakebiasha4807
@mamakebiasha4807 2 жыл бұрын
Amin yarab Amin thuma Amin
@omaryramdhani9823
@omaryramdhani9823 2 жыл бұрын
ماشاءالله حياك الله أحسن الحياة وطول العمر
@aishamunga6667
@aishamunga6667 2 жыл бұрын
Mashaallah. Mashaallah Allah akupe umri na uzidi kutufundisha. In sha Allah. Shukran
@user-tq4fi6lg9z
@user-tq4fi6lg9z 4 ай бұрын
Mashaalah somo zur allah akupe kher shekh
@khmysnassry8733
@khmysnassry8733 2 жыл бұрын
Kweli kbx ustadh
@azizatimimi7147
@azizatimimi7147 2 жыл бұрын
Allah Akupe afya na umri uzidi kutuelemisha kwa mawaidha
@gracealexander1450
@gracealexander1450 Жыл бұрын
MUNGU AKUBARIKI SANA SHEKHE KWA UJUMBE HUU NIMEJIFUNZA KITU KIKUBWA MNO AMEEEEEEN
@ramlati7646
@ramlati7646 2 жыл бұрын
Mashaallah ,ahsante sheikh nimekua nikiishi na kidonda kubwa moyoni sababu ya mume wangu kunicheat ,mda mwingine nlikua natamani nimchome ata kisu au nimfate yule mwanamke na nimue ama nimnunulie wajambazi walahi maana ilikua tukio la ajabu sana kuongopewa na mume akikukukula pesa na hawara huku wewe unaangaika na watoto walahi,mungu anisamehe ,amekua akiniomba msamaha lakini wapi mimi hufikiria hilo jambo ni kama jana, Thanks for the teachings,nimejifunza kusamehe
@janethkibambo3613
@janethkibambo3613 2 жыл бұрын
Pole, Mungu akupe neema ya kusamehe
@ramlati7646
@ramlati7646 2 жыл бұрын
@@janethkibambo3613 Inshallah, ahsante daa
@ashafujo3506
@ashafujo3506 2 жыл бұрын
Kisa kizur mashallah, mungu atupe subrah na nyoyo za huruma na mapenz ya kwl, mungu atuepushe na Hali hizi
@saumkhalifan7700
@saumkhalifan7700 2 жыл бұрын
Assalamualaikum sheikh nnaswali tafadhali je ukiwa umeolewa na umepoteza hisia huna hamu na yule mume unapaswa kufanyaje
@julesngama2508
@julesngama2508 2 жыл бұрын
Haaaaaaaa Nihatari sana Ndugu yangu, bwana Yesu wali muuliza kitu gani tuna weza kuwapa taraka wake zetu . Akajibu mwakizini njo muna ruhusiwa kuwapa taraka
@MubaASaguth
@MubaASaguth 7 ай бұрын
mashanlaa sheykh mola azidi kukuweka akupe umri mrefu namuomba anllaa anipe Subra
@saidesalimo9032
@saidesalimo9032 Жыл бұрын
🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿não dormo bem ate ouvir sua voz em mawaidha
@user-ws9ek8dj5n
@user-ws9ek8dj5n 2 жыл бұрын
Amiin ya Rabbil Allamin sheikh
@yanaclaudine8066
@yanaclaudine8066 2 жыл бұрын
I'm Christian but u make me cry. May God akupe maisha malefu
@rahmatahmed1871
@rahmatahmed1871 2 жыл бұрын
Assalam Aleykum warahmatullah wabarakatu....JazakAllahu kheri yaa sheikh
@MohammedAli-rh5si
@MohammedAli-rh5si 2 жыл бұрын
Jazzaka llahu kher shekhe Mungu akupe umri mrefu na akulinde na kila hasad nakupenda shemela wangu
@mwinyisaumu
@mwinyisaumu 2 жыл бұрын
Subhana Allah tuombee Sisi mabinti tupate rizki Za ndoa tunusurike Na zinaa
@saidjumanne6452
@saidjumanne6452 2 жыл бұрын
Asante Sana othuman Michael kwa dawa safi mwenyezi mungu akuzidishie maisha maref ilituendelee kupata dawa nzr amen
@rehemamkumbo6746
@rehemamkumbo6746 2 жыл бұрын
Safi sana shekh barikiwa kwa mafundisho mazuri mwenyezi mungu akujalie kheri
@alhajjngoliomahmud6657
@alhajjngoliomahmud6657 2 жыл бұрын
Jazakallahu khair kwa mafunzo. Mzuri Sanaa
@janeongala6684
@janeongala6684 Жыл бұрын
Am christian bat I like the wey you talk god blessed you shehe
@mwanasitisalim3606
@mwanasitisalim3606 2 жыл бұрын
Nimejifunza Mambo makubwa na muhim usiku huu Asante sana
@janethmushi5359
@janethmushi5359 2 жыл бұрын
Walah umenigusa moyo wangu shehe barikiwa
@piliramadan875
@piliramadan875 Жыл бұрын
Mashaallah Masha Allah
@yasalaam590
@yasalaam590 2 жыл бұрын
Mashaallah hayo mafundisho kwakweli ni muhimu mno ndoa skuiz ni nyingi hazina mapenzi bali ndoa skuizi zina machozi ubabe ruu kwenda mbele subhana llah inshaallah kwa mawaidha haya wawe ni wenye kuzingatia amiin
@rukialugenja1183
@rukialugenja1183 2 жыл бұрын
Masha allah nimejifunza meng allah akiuzidishie kher insha allah
@aishaselemani6574
@aishaselemani6574 2 жыл бұрын
Shukran ya sheikh Allah atukinge na uzinifu
@aminaabas2435
@aminaabas2435 2 жыл бұрын
Masha Allah tabaraka Allah mungu akupe kila LA kheir
@zainabusingirankabo7487
@zainabusingirankabo7487 2 жыл бұрын
Ma sha ALLAH tabarakallah asante sana Muheshimiwa
@yassirhamed9905
@yassirhamed9905 2 жыл бұрын
Allahu barick sheikh wetu uzidi kutupa elimu
@zaza8625
@zaza8625 2 жыл бұрын
Asante cheikh wetu umetufunza mengi
@paulinashangali1806
@paulinashangali1806 2 жыл бұрын
Kisa kizuri sana
@abdaladelo371
@abdaladelo371 Жыл бұрын
Mashaallh barakallah fiyka shekhe wangu
@muawiyakawere394
@muawiyakawere394 2 жыл бұрын
Mola akubariki sheikh!
@MA-kh2lr
@MA-kh2lr 2 жыл бұрын
Choka mimi na hawa wanaume.. 🤦‍♀️
@aflahabdula4084
@aflahabdula4084 2 жыл бұрын
Choka voo ila dawa yao mdogo wangu nikuwapotezeya mimi mume wangu kanifanyia mengi sana mpaka nikajiuliza kwa nini au kwa vile nimetuliya ila sasa nawaleya wanangu tu simuulizi akitoka wala akiingia au anarudi wapi nafanya ule wajibu tu sinahabari na yeye mpaka anajiuliza
@cishahayoali1136
@cishahayoali1136 2 жыл бұрын
Asante sheikh kwa kutuzinduwa!
@ashajuma1822
@ashajuma1822 2 жыл бұрын
Shukran jazakallahu kheir.. Allah akuhifadhi sheikh
@twahambonde4095
@twahambonde4095 2 жыл бұрын
Shida ya wanaume hawawezi kumsamehe wakisalitiwa ila ndio wanaongoza kwa usaliti......Yarabi tuweke mbali na zinaa
@victornzembi3472
@victornzembi3472 2 жыл бұрын
Am fridah a Christian nimeipenda mafunzo yako barikiwa sana
@agreychitime2058
@agreychitime2058 2 жыл бұрын
Shehe nimekuelewa unafundisha vizuri sana ubarikiwe mno
@Emedroadtocanada
@Emedroadtocanada 2 жыл бұрын
karbu katika uislam frida
@ladymoretaboraprincess6190
@ladymoretaboraprincess6190 Жыл бұрын
Alhamdulillah,,Ahsante 🙏🙏🤝
@user-zj8ul2tp4t
@user-zj8ul2tp4t 2 ай бұрын
Assante shehe ujumbe umenipendezeya🎉 mashallah
@philipsenge2222
@philipsenge2222 2 жыл бұрын
Mashauri mazuri kabisa,ila wanawake ni wabaya sana,ni kuishi ishi tu kwa kupitiza muda,ila wao siyo watu wazuri
@MA-kh2lr
@MA-kh2lr 2 жыл бұрын
mwanamke anapenda emotional support... hata tu ile kusaidia watoto sometimes.. ukiwa nyumbani kaa na family yako.. mwanaume akiwa nyumbani kulala asema kachoka. kwani wanawake hawachoki?? ulezi. pia ni kazi kubwa sanaa ya watoto.
@hildaaloyce8043
@hildaaloyce8043 2 жыл бұрын
☑️☑️☑️☑️☑️☑️
@zakatyzakaty1426
@zakatyzakaty1426 Жыл бұрын
Ni kweli
@sashoright6496
@sashoright6496 Жыл бұрын
Umegusa panapotakiwa kabsaaa
@janemusomba963
@janemusomba963 2 жыл бұрын
Good teaching thank you God bless you..
@user-pq7yb8fp6d
@user-pq7yb8fp6d 9 ай бұрын
Mwenyezimungu akujalie Kila Lilo la kher uzid kutufunza
@lorraineatieno6544
@lorraineatieno6544 2 жыл бұрын
Masomo ya kiislamu👌mashallah..licha ya mimi kuwa mkristo. Nafaidi maana naishi karibu na msikiti. Mafunzo mazuri.
@annwambui9920
@annwambui9920 2 жыл бұрын
Mashallah asante sanah nimejifunza mengi
@mwanatumusalim5602
@mwanatumusalim5602 2 жыл бұрын
asantee usitadh maneno yako matamu kweli unikumbusha zama zangu lkn haikua rizk 😭😭😭😭🙏🙏
@totopilly1892
@totopilly1892 2 жыл бұрын
Mashallah maneno Mazur shukran
@mwanakombosaid6081
@mwanakombosaid6081 2 жыл бұрын
Mungu akujaze heri ustadh
@user-mi9bz5gy2u
@user-mi9bz5gy2u Ай бұрын
Aki naskia nmeguzwa mahali,mungu akuongoze uzima uzidi kutuelemisha
@priscillahsirya6544
@priscillahsirya6544 2 жыл бұрын
Asante shekhe kwahili somo lako
@anastaziamathayo7102
@anastaziamathayo7102 2 жыл бұрын
Mashallah,hongera kwa somo zuri
@gloryarcard3144
@gloryarcard3144 2 жыл бұрын
🥰🥰🥰nimeipendah osters mungu akubariki ila cyo kwa wanaume wa sikuizii yaan toka nimeolewa cjui zawad yake yaan yote uliyoyaongea hajawah hata kuyafanya🥰🥰🥰nicheke tuu ila n shidah
@hezronochanja9822
@hezronochanja9822 2 жыл бұрын
maneno mazuri bana
@mwanaheriwande2682
@mwanaheriwande2682 2 жыл бұрын
MashaAllah mungu atuhifadhi
@aichasaifoufal469
@aichasaifoufal469 2 жыл бұрын
Sheihk namuomba Mwenyezi mungu akujifazhi amin ♥️♥️♥️🙏
@bintimossisaidi1443
@bintimossisaidi1443 2 жыл бұрын
Amiin
@amoursaid9843
@amoursaid9843 2 жыл бұрын
shukran shekh
CHOZI LA MWANAMKE LINAFUNGA MIKONO - SHEIKH OTHMAN MICHAEL
40:20
Dr. Chris Mauki: Ukiyaona haya, hata kama unampenda, mwache aende
10:14
Get 10 Mega Boxes OR 60 Starr Drops!!
01:39
Brawl Stars
Рет қаралды 18 МЛН
👨‍🔧📐
00:43
Kan Andrey
Рет қаралды 11 МЛН
Mama anayedai ametumwa na Yesu apambana na sheikh Hassan kariuki
39:12
Salim Daawah Kenya TV
Рет қаралды 678 М.
KAMA HAUMFANYII MKEO MAMBO HAYA WE SI MME BORA KWA MKEO ] SHEIKH OTHMAN MICHAEL
1:23:20
Get 10 Mega Boxes OR 60 Starr Drops!!
01:39
Brawl Stars
Рет қаралды 18 МЛН