mashaAllah ustadhi wewe ni doctor ., mashaAllah nimepata mume mwema mwenye hizi sifa ulizosema mungu aniwekee mume wangu inshaAllah 🥰
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
Maashallah Allah awadumishe
@lkshmykomar54722 жыл бұрын
Amina Yarab alamin
@hasnaally17132 жыл бұрын
Mashallah hungera mama
@user-pj8ed9kn6g2 жыл бұрын
Mashaallah habbity Allah awadumishe kwenye ndoa yenu🤲🤲
@alhamdulillah57962 жыл бұрын
Amiin Allah atuekee waume zetu na atulinde na hasad, amiin.
@evelynejuvenary26312 жыл бұрын
Wow ujumbe wa moto huu... Mimi ni mkristu lkn umenikonga moyo wangu Sana.... Mwenyezi Mungu akutunze Sana 🙏
@HalimaSaidi-jo9ng5 ай бұрын
Swadakta Allah akulinde kwakilajambo
@goldenqueen44842 жыл бұрын
Sauti ya Othman Michael imefanana sana na ya Othman maalim ....kuitofautisha ni uangalie kuskiliza tu nafkria n yule mwengne ..Mashallah Allah awaeke miaka mingi inshallah mashekhe wetu .....Tuna jifunza umu umu kw hutba zenu ..JAZAKHA-ALLAH KHERY ❤❤
@sitiabubakar28922 жыл бұрын
Yaani Kwa audio nashindwa kuwatofautisha
@goldenqueen44842 жыл бұрын
@@sitiabubakar2892 umeonaeee 🥰
@fatmakhalef34502 жыл бұрын
Mashaa Allah kabisa sana tena
@khaashfarfarid42212 жыл бұрын
Jmn naomba no yake sh othmn
@bintykigan92852 жыл бұрын
Sana tena
@salmahanai36012 жыл бұрын
shekhe umeupamba.moyo wangu kwa maneno mazuri maashaallah
@hasnatyoficial60562 жыл бұрын
Daaah hii imenigusa sanaa nimegundua mume wangu anatoka na mdogo wangu wa kuzaliwa nae hakiyamungu roho imeniuma kupita kias na nasema kutoka moyoni namchukia mdogo wangu na mmewangu ad siku ntakayo kufa Allah anisamehe
@fatmakhanii16762 жыл бұрын
Pole sana msameh japo hutokua nae karibu Allah nawe atakusameh pengine ni mtihani tu huo ulompitia binadam hatujakamilika inauma sana
@rehemasoud78052 жыл бұрын
Msamehe sanaa na muombe mungu akuepushie na hilooo
@mealisuleiman40202 жыл бұрын
Msamehe mdogo wk ni shetwani amempitia hata yy mwenyewe yuwa juta kutenda hicho kitendo
@fatmakhanii16762 жыл бұрын
@@mealisuleiman4020 kabisa
@ismailowino28662 жыл бұрын
Subhanallah,pole sana ukhty.Mimi naelewa unachopitia ila wasamehe wote kwa maana hii chuki itakuumiza nafsi.
@dismassamwel71302 жыл бұрын
Hii elimu nzuri nimeipenda sana,hakuna kitu chenye mtihani kama ndoa au mahusiano,yanahitaji subra na msaada wa MUNGU
@salumkifan36372 жыл бұрын
Nkweli kaka
@georgetavalentine46862 жыл бұрын
Mafunzo mazuri 👏👏👏 though am a Roman catholic
@user-ws9ek8dj5n2 жыл бұрын
Asalaam alleykum warahmatulah wabarakaatuh MAASHA ALLAH TABARAKA ALLAH sheikh wetu kipenzi #othmanmichael kwa kila ilmu tunayo pata kupitia kwako MWENYEZI MUNGU akupe uzima na maisha marefu,ummah mzima atupe maskizano,uaminifu,mapenzi,kuongozana,atuongoze katika swiratal mustakeem na atujaalie mwisho mwema Amiin ya Rabbil Allamin
Hakika wanawake tunatakiwa tujue nini ndoa,upi uzito wa ndoa na mume ni kitu gani..Allah atujaalie ndoa zilizo jaa mawadat,sakina.atufanye wenye kuridhika,na tuwe tulizo kwenye macho yao,tusio na waume Allah atujaalie,na walio kwenye ndoa ziwe zenye kheri.darsa zuri mashallah
@shefumasanja-wn6lj9 ай бұрын
Asante
@arafakassela53982 жыл бұрын
Yani nampenda shekhe Othman kwajiri ya Allah akuweke zaid iliuzid kutuhelimishe
Mashaalla mashaallah sheikh Othaman unamafunzo mazuri sana .yaret ingekuwa nusu ya watu wanafuata basi uhasama na ugonmvi ndani ya nyumba usingekuwepo mungu akubarik.mungu akupe uzima wa afya.hata usemaji wako sheikh wewe mtaratibu sana.nampa hongera sana mkeo.mungu awajaazie kila lenye kheri na nyinyi ameen
@omarchoro59362 жыл бұрын
Allah akujalie kher
@hamidaasiimwe42662 жыл бұрын
Asalaam Aleykum sheikh Othman Asante kwa yote. na utuwombe kwa Allah, tufiko kwako mashalla
@zainabmaulidi98462 жыл бұрын
MASHA ALLAH sheikh wetu Allah Akujalie umri mrefu wenye kheri tuzid kunufaika
@taybahnasoro60492 жыл бұрын
Allah aniongoze niwe wa kulizika kwa mume wangu inshaallah na ndoa yetu iwe mpya kila iitwayo leo na niwe mke mwema yarrabi mwenye busara aman na upendo na huruma pia kwa mume wangu
@SleepyGalaxy-nw5of7 ай бұрын
Subhanallah shukran sheikh napenda mawaidha yako course yananipa ujasiri na Aman ya moyo wangu mungu akubarik🙏
@mariamyoyote81722 жыл бұрын
Shukran shekhe jazaka'Allahu kher minal dunia wa akhera 🙏🙏ujuwe shekhe hivyo unavyozungumza napata fikira ya kuolewa niishi Kwa mapenzi mema na mume wangu lkn bado Allah ajanipa na nipo kazini wallah naogopa pengine nikaingia kufanya Mambo mabaya kabla ya ndia kwasababu hivyo unavyozungumza namna bakiluishi Kwa upendo kunakitu kinanijia na ninaogopa lkn itabidi nianze kufanya Ibaada na kuomba utulivu na kujizuia haya matamanio ninayo yahisi ya Allah nifanyie wepes katika Hilo pia shekhe niombee shukran shekhe balakaallahu fihiii
@reemareemo26982 жыл бұрын
Pora ata ange mpiga tuu asira ziishe
@tawaqthabith16892 жыл бұрын
Inshallah mola akujalie
@ismailowino28662 жыл бұрын
Masha'allah, jazakallahu khayr Sheikh.Yaani hii darsa imenigusa mahali duh!
@D_beauty1Ай бұрын
Ya Allah nahitaji msamaha wako yarasulallah 😭nifanye niwe miongoni mwa waja wema na wake wema wenye kuifata dini na kuzipenda na kuziheshim ndoa zao inshaallah 🤲🤲Allahumma ameen
@aishahamadi92612 жыл бұрын
Maashallah umetujeja Sana ustadh ndoa nyingi zinayumba kwasababu ya uzinifu Ila Allah atuongoze katika njia zilizonyooka na ftatilia nikiwa uganda
@sabraabdilnasir88262 жыл бұрын
Nikweli kabisa uwoga hawana watu wala imani
@monicawanza99112 жыл бұрын
Am a Christian but listening to you teaches me alot 👌,am even dating a Muslim soon to funga nikha😊
@rahmatahmed18712 жыл бұрын
MashaAllah karibu katika uislam mammy
@aaa64sa132 жыл бұрын
MashaAllah!!!
@mariamjack94712 жыл бұрын
Mungu atupe mwisho mwema inshaallah
@khadijaangore44082 жыл бұрын
Masha Allah tabaraka Allah. karibu kwa dini ya haki.❤❤❤❤💞💞💞💞💞😘😘😘
@yussuphsultan14002 жыл бұрын
Mashaaa Allah....Allah sw akufanyie wepesi....ingia Kabisa kwenye uislamu Ili ujifunze na ujue jinsi ya kuomba dua jambo lako liwe jepesi Kwa idhni yake
@alhabsialooshi93152 жыл бұрын
Mashaallaaa shekh alla ukupe mwisho mwema ila mm mumewangu aliniacha kwatara3 mpigo ila nashukulu na baba yangu alikua mcha wangu alinipa somo na sikuweza kushawishika kurudiana tena mpaka leo hii ninamiaka10 sijaingia kishawishi kuludi kwake
@asmaasmi90192 жыл бұрын
MashAllah tabaraka rahman jazaaqa Allah kher
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
Allah Akujaalie umri wenye heri nawe uwwmrefu uzidi kutuelimisha. Allah atujaalie tuwe wasikivu na tusiyoolewa Allah atupe Mumewema lnshallah🤲
@mamakebiasha48072 жыл бұрын
Amin yarab
@azizadjumadazuu2731 Жыл бұрын
Maa shaa Allah sheikh wetu tunanufaika na mafunzo yako!!! Allah akujaze kheri
@sharifaabdi95012 жыл бұрын
Kwa kweli yote ni mitihani ya dunia2 hiyo Allah atujaalie minalfaidhina.Pia shekh wetu kipenz tunaomba dua kutoka kwako Allah atuepushe na mabalaa mazito kama hayo na pia atujaalie katika waja wema inshaallah
@mahmoodalghefeili53702 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏
@zainamkwizu29422 жыл бұрын
Napenda sana mawaidha yako umenibadilisha sana shekh mungu akupe umri mrefu wenye amali njema
@AMI-ip1lx2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂Apo Kwenye Honey Honeyy Honeyyyyyyyyyyy😂😂😂😂😂😂Nimecheka Mie Ila Nimependa Inapendeza
@lkshmykomar54722 жыл бұрын
Mashallahu shukuran shehe wetu Allah atuhfadh na maas ya zina
@saadahydar71062 жыл бұрын
v ýcyuucyyuyyyyyyyyyû cuu7uyy7yu77777uu7u7uu7uuuuuuu7c7777777777777777777777777777777777777777777vvv777777777777777777777777uuu
@saadahydar71062 жыл бұрын
u juuuuvuuuuuuuu u
@najuf80212 жыл бұрын
Allah akuhifadhi kwaajili yetu shekhe mchanganyiko ule wamafuta ALHAMDULILAH umenisaidia
@rahmamohammedmohammed79872 жыл бұрын
Nambie namie huo mchanyiko dawa ya nini
@matikamwagilomwagilo5312 жыл бұрын
Shekhee othmani m.mungu akujaalie kila la kherii ameeen
@bintimossisaidi14432 жыл бұрын
Amiin
@owuorsharon21772 жыл бұрын
Nimeguswa sana na mfunzo yako inshallah mungu akujalie
@UncleChenShoushan2 жыл бұрын
Allah aniepushe siwezi uwa mimi sheikh kasema kweli mwenyezi mungu amjaze kheri
@Tv-dl4qj2 жыл бұрын
MashaAllah sheihk wetu Allah akupe umri mrefu
@irenelaizer47892 жыл бұрын
Masha Allah my Allah protect you sheikh nimjifunza kitu pamoja sijaolewa ila Allah anijalie mme wa hivyo hakika nitamjali
@shabaniomary62352 жыл бұрын
Sheikh, alhamdulil laahi, Allaah akujaze zaidi ilmu,nakuomba tuletee kisa cha Dhulqarnaini kwa urefu.
@aminataramio82542 жыл бұрын
Shukran cheikh wangu mungu akulipe kilishikuwa cha kheri kwako
@khalfansuleiman62062 жыл бұрын
MAASHAALLAAH SHEIKH WANGU ALLAAH AKUZIDISHIE KILA LA KHERI NA AKUKINGE NA KILA BALAA
@abubakaryrajabu-fb5sdАй бұрын
Inshallah
@anetiarsen70612 жыл бұрын
A aleykum Asante kwa maneno yako matam
@KadirMamito18 күн бұрын
Subuhanallah
@saumusanjiama69912 жыл бұрын
Shukran sana ustadhi Allah tuepushe na mitihani hio yarrab
@nurazain66162 жыл бұрын
Shkhe othman napenda sana mawaidha yako nishkhe mwenye hakma sana allha akuhifadhi
@adamdengu3382 жыл бұрын
Mashaallah inatakiwa Subira zaidi ktk dunia hii . Na tuliambiwa tuisha nawe kwa makini wanawake . Lakini yanafikanga mwisho na Allah anakuonnyesha yote .
@mamakebiasha48072 жыл бұрын
Amin
@MA-kh2lr2 жыл бұрын
Subhanallah... Allah atunusuru na vizazi vyetu yaarab.. Ameen.
@mamakebiasha48072 жыл бұрын
Amin yarab Amin thuma Amin
@omaryramdhani98232 жыл бұрын
ماشاءالله حياك الله أحسن الحياة وطول العمر
@aishamunga66672 жыл бұрын
Mashaallah. Mashaallah Allah akupe umri na uzidi kutufundisha. In sha Allah. Shukran
@user-tq4fi6lg9z4 ай бұрын
Mashaalah somo zur allah akupe kher shekh
@khmysnassry87332 жыл бұрын
Kweli kbx ustadh
@azizatimimi71472 жыл бұрын
Allah Akupe afya na umri uzidi kutuelemisha kwa mawaidha
@gracealexander1450 Жыл бұрын
MUNGU AKUBARIKI SANA SHEKHE KWA UJUMBE HUU NIMEJIFUNZA KITU KIKUBWA MNO AMEEEEEEN
@ramlati76462 жыл бұрын
Mashaallah ,ahsante sheikh nimekua nikiishi na kidonda kubwa moyoni sababu ya mume wangu kunicheat ,mda mwingine nlikua natamani nimchome ata kisu au nimfate yule mwanamke na nimue ama nimnunulie wajambazi walahi maana ilikua tukio la ajabu sana kuongopewa na mume akikukukula pesa na hawara huku wewe unaangaika na watoto walahi,mungu anisamehe ,amekua akiniomba msamaha lakini wapi mimi hufikiria hilo jambo ni kama jana, Thanks for the teachings,nimejifunza kusamehe
@janethkibambo36132 жыл бұрын
Pole, Mungu akupe neema ya kusamehe
@ramlati76462 жыл бұрын
@@janethkibambo3613 Inshallah, ahsante daa
@ashafujo35062 жыл бұрын
Kisa kizur mashallah, mungu atupe subrah na nyoyo za huruma na mapenz ya kwl, mungu atuepushe na Hali hizi
@saumkhalifan77002 жыл бұрын
Assalamualaikum sheikh nnaswali tafadhali je ukiwa umeolewa na umepoteza hisia huna hamu na yule mume unapaswa kufanyaje
@julesngama25082 жыл бұрын
Haaaaaaaa Nihatari sana Ndugu yangu, bwana Yesu wali muuliza kitu gani tuna weza kuwapa taraka wake zetu . Akajibu mwakizini njo muna ruhusiwa kuwapa taraka
Jazzaka llahu kher shekhe Mungu akupe umri mrefu na akulinde na kila hasad nakupenda shemela wangu
@mwinyisaumu2 жыл бұрын
Subhana Allah tuombee Sisi mabinti tupate rizki Za ndoa tunusurike Na zinaa
@saidjumanne64522 жыл бұрын
Asante Sana othuman Michael kwa dawa safi mwenyezi mungu akuzidishie maisha maref ilituendelee kupata dawa nzr amen
@rehemamkumbo67462 жыл бұрын
Safi sana shekh barikiwa kwa mafundisho mazuri mwenyezi mungu akujalie kheri
@alhajjngoliomahmud66572 жыл бұрын
Jazakallahu khair kwa mafunzo. Mzuri Sanaa
@janeongala6684 Жыл бұрын
Am christian bat I like the wey you talk god blessed you shehe
@mwanasitisalim36062 жыл бұрын
Nimejifunza Mambo makubwa na muhim usiku huu Asante sana
@janethmushi53592 жыл бұрын
Walah umenigusa moyo wangu shehe barikiwa
@piliramadan875 Жыл бұрын
Mashaallah Masha Allah
@yasalaam5902 жыл бұрын
Mashaallah hayo mafundisho kwakweli ni muhimu mno ndoa skuiz ni nyingi hazina mapenzi bali ndoa skuizi zina machozi ubabe ruu kwenda mbele subhana llah inshaallah kwa mawaidha haya wawe ni wenye kuzingatia amiin
@rukialugenja11832 жыл бұрын
Masha allah nimejifunza meng allah akiuzidishie kher insha allah
@aishaselemani65742 жыл бұрын
Shukran ya sheikh Allah atukinge na uzinifu
@aminaabas24352 жыл бұрын
Masha Allah tabaraka Allah mungu akupe kila LA kheir
@zainabusingirankabo74872 жыл бұрын
Ma sha ALLAH tabarakallah asante sana Muheshimiwa
@yassirhamed99052 жыл бұрын
Allahu barick sheikh wetu uzidi kutupa elimu
@zaza86252 жыл бұрын
Asante cheikh wetu umetufunza mengi
@paulinashangali18062 жыл бұрын
Kisa kizuri sana
@abdaladelo371 Жыл бұрын
Mashaallh barakallah fiyka shekhe wangu
@muawiyakawere3942 жыл бұрын
Mola akubariki sheikh!
@MA-kh2lr2 жыл бұрын
Choka mimi na hawa wanaume.. 🤦♀️
@aflahabdula40842 жыл бұрын
Choka voo ila dawa yao mdogo wangu nikuwapotezeya mimi mume wangu kanifanyia mengi sana mpaka nikajiuliza kwa nini au kwa vile nimetuliya ila sasa nawaleya wanangu tu simuulizi akitoka wala akiingia au anarudi wapi nafanya ule wajibu tu sinahabari na yeye mpaka anajiuliza
@cishahayoali11362 жыл бұрын
Asante sheikh kwa kutuzinduwa!
@ashajuma18222 жыл бұрын
Shukran jazakallahu kheir.. Allah akuhifadhi sheikh
@twahambonde40952 жыл бұрын
Shida ya wanaume hawawezi kumsamehe wakisalitiwa ila ndio wanaongoza kwa usaliti......Yarabi tuweke mbali na zinaa
@victornzembi34722 жыл бұрын
Am fridah a Christian nimeipenda mafunzo yako barikiwa sana
@agreychitime20582 жыл бұрын
Shehe nimekuelewa unafundisha vizuri sana ubarikiwe mno
@Emedroadtocanada2 жыл бұрын
karbu katika uislam frida
@ladymoretaboraprincess6190 Жыл бұрын
Alhamdulillah,,Ahsante 🙏🙏🤝
@user-zj8ul2tp4t2 ай бұрын
Assante shehe ujumbe umenipendezeya🎉 mashallah
@philipsenge22222 жыл бұрын
Mashauri mazuri kabisa,ila wanawake ni wabaya sana,ni kuishi ishi tu kwa kupitiza muda,ila wao siyo watu wazuri
@MA-kh2lr2 жыл бұрын
mwanamke anapenda emotional support... hata tu ile kusaidia watoto sometimes.. ukiwa nyumbani kaa na family yako.. mwanaume akiwa nyumbani kulala asema kachoka. kwani wanawake hawachoki?? ulezi. pia ni kazi kubwa sanaa ya watoto.
@hildaaloyce80432 жыл бұрын
☑️☑️☑️☑️☑️☑️
@zakatyzakaty1426 Жыл бұрын
Ni kweli
@sashoright6496 Жыл бұрын
Umegusa panapotakiwa kabsaaa
@janemusomba9632 жыл бұрын
Good teaching thank you God bless you..
@user-pq7yb8fp6d9 ай бұрын
Mwenyezimungu akujalie Kila Lilo la kher uzid kutufunza
@lorraineatieno65442 жыл бұрын
Masomo ya kiislamu👌mashallah..licha ya mimi kuwa mkristo. Nafaidi maana naishi karibu na msikiti. Mafunzo mazuri.
Aki naskia nmeguzwa mahali,mungu akuongoze uzima uzidi kutuelemisha
@priscillahsirya65442 жыл бұрын
Asante shekhe kwahili somo lako
@anastaziamathayo71022 жыл бұрын
Mashallah,hongera kwa somo zuri
@gloryarcard31442 жыл бұрын
🥰🥰🥰nimeipendah osters mungu akubariki ila cyo kwa wanaume wa sikuizii yaan toka nimeolewa cjui zawad yake yaan yote uliyoyaongea hajawah hata kuyafanya🥰🥰🥰nicheke tuu ila n shidah
@hezronochanja98222 жыл бұрын
maneno mazuri bana
@mwanaheriwande26822 жыл бұрын
MashaAllah mungu atuhifadhi
@aichasaifoufal4692 жыл бұрын
Sheihk namuomba Mwenyezi mungu akujifazhi amin ♥️♥️♥️🙏