KUMEKUCHA ! Hashimu Rungwe AIBUKA "KUNA MTU ANAITWA WAZIRI MWIGURU NCHEMBA " hayajaanza leo / BAJETI

  Рет қаралды 11,199

MwanaHALISI TV

MwanaHALISI TV

Күн бұрын

🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+)255 692 318 213
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...

Пікірлер: 51
@sophiemsuya6507
@sophiemsuya6507 3 ай бұрын
Mzee kanichekesha kweli. Wenye hela ndefu ndio wanaotumia vitu vyote bure, wanyonge waendelee kuchangia wakubwa zao. Nyumba bure, magari bure, mafuta bure na matumizi ya juu sana. Mungu awaguse watukumbuke na sisi, wasije tokewa na yale ya Lazaro na tajiri jamani.😢😢😢😢
@GilbertGombeye
@GilbertGombeye 3 ай бұрын
Kulikuwa na adabu walikuwa wanamjua Mungu sikuhizi hakuna Mungu ni waizi na umjomba
@prochesytesha8040
@prochesytesha8040 3 ай бұрын
Mkuu mzee wangu upo vzr
@GilbertGombeye
@GilbertGombeye 3 ай бұрын
Kila kitu ni maliyako wanakopa kwenye benki muda mrefu ndugu zao ndio wanafanyakazi sehem nzuri tanapa bandarini uwanja wa ndege
@albertbunyinyiga7581
@albertbunyinyiga7581 2 ай бұрын
Mzee huko vizuri
@jarnskorelly464
@jarnskorelly464 3 ай бұрын
Lakini kweli tulipata chakula bure
@peterjosephat6685
@peterjosephat6685 3 ай бұрын
Ile bure iliyokuwa wanapata wananchi wote sasa imeamia kwa wakubwa wa serikali wanyonge wananyonywa
@MgonjaFide
@MgonjaFide 2 ай бұрын
Mnyonge anyongwe na hakiyake iliwe
@Aziz-p6s
@Aziz-p6s 2 ай бұрын
Nyerere angejua bora angeiba kama mobutu congo
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 2 ай бұрын
😂😂😂 haya Mzee wa Ubwawa
@AmaniMwankili
@AmaniMwankili 3 ай бұрын
Mzee inchi hii imeshindikana
@kaaakwakutuliaa5179
@kaaakwakutuliaa5179 3 ай бұрын
mwiguru hafai
@MasterOil-qm6vw
@MasterOil-qm6vw 3 ай бұрын
Ni kweli hata madaftar wazazi walikua hawanunui yapo madaftar ya bendera ya tanzania daftari walikuta shuleni wewe waenda t
@lovenessvisent9408
@lovenessvisent9408 2 ай бұрын
Hawa ndio watu wa kuwahoji sasa sio yuvisisiem mimi nawalaumu wandishi wa habari tafuteni habari za kina sio za juu juu asant kwa chakula cha akili ,sisi nitahitaji elimu tu ya kujitambua mengine huja yenyeweeee
@SKY-fk3fz
@SKY-fk3fz 2 ай бұрын
Kweli wao kila kitu bure, mpaka matibabu bure lakini maskini alipe
@allyhasani3750
@allyhasani3750 3 ай бұрын
Mzee mkweli
@leokamil6284
@leokamil6284 3 ай бұрын
Kweli kabisa baada ya vita ndio likaanza balaa la hali ngumu
@leokamil6284
@leokamil6284 3 ай бұрын
Kweli Viwanda vyote kwisha kilimo kilikuwepo sukari ,ngano Basutu ,nchi imekwisha mpaka mashamba ya mkonge nayo kwisha .
@jeisawaya7638
@jeisawaya7638 2 ай бұрын
Hii ng’ombe kumbe bado iko mzeee Muhuni hawa ndiyo walifaidi huduma ya taifa ila hawana shukurani ila naona kama mwehu fulani
@noelnjementi8511
@noelnjementi8511 3 ай бұрын
Msomi kbs
@marandoruzali1946
@marandoruzali1946 3 ай бұрын
Na ukweli umo
@samsonsamwel8782
@samsonsamwel8782 3 ай бұрын
Leta muendekezo
@Aziz-p6s
@Aziz-p6s 2 ай бұрын
Mzee sani
@TrustElbashil
@TrustElbashil 3 ай бұрын
Uko vizuri mzee wapashe
@shd12m55
@shd12m55 3 ай бұрын
Ukigombea saivi namii ntakupigia kura ili nile ubwabwa😂
@jeisawaya7638
@jeisawaya7638 2 ай бұрын
Waandishi hakuna tanzania hojini watu wenye akili timamu munahoji watu walio changanywa na maisha matokeo ndiyo hayo hakuna tulicho pata kweli una akili iliyo sawa unaenda kumhoji rungwe kweli muna iangusha tasnia ama mna nia ya kum dhalilisha Mzee wa watu aonekane hivyo
@lovenessvisent9408
@lovenessvisent9408 2 ай бұрын
Duu pole ila mm naamini umemuelewa Mzee ila hutak kuwa mkweli,pole kama ni kweli hujaelewa maana huna akil
@emilianchibinda82
@emilianchibinda82 3 ай бұрын
Miaka ile baada ya uhuru wananchi walikuwa wachache Ni kweli shule za bweni tulipewa kila kitu bure hadi 1978 tulitangaziwa miezi 18 ya kufunga mkanda hali iliyoendelea.
@allyhasani3750
@allyhasani3750 3 ай бұрын
Tukiwa weng uzalishaji no mkubwa
@remigusluambana9880
@remigusluambana9880 3 ай бұрын
Watu wachache vipi,inatakiwa uchumi uwe directly proposional na population,punguza hayo mashangingi mashangingi na matumizi hapo pana hela
@zengomikomangwa9264
@zengomikomangwa9264 3 ай бұрын
Mzee toa sera zako. Ilitujue unachopendekeza ilitujue kama ni realistic
@KenedyThabiti
@KenedyThabiti 3 ай бұрын
Namkubari sana huyu mzee
@VictaDaudi
@VictaDaudi 3 ай бұрын
Haaaa haaaa haaaaa😊😊😊😊😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂 duuuu hatari sanaaaaa
@noelnjementi8511
@noelnjementi8511 3 ай бұрын
Rugwe azeeki kbs yupo
@AlfaSaa-j4h
@AlfaSaa-j4h 2 ай бұрын
Kiongozi wa fedha hafai kibaka na fisadi John alimtimua
@noelnjementi8511
@noelnjementi8511 3 ай бұрын
Nimependa anakofia nzur sn anajuwa kuvaaa
@bernardjohn8788
@bernardjohn8788 3 ай бұрын
Uchaguzi umekaribia. Wameibuka
@FrederickThadeo
@FrederickThadeo 3 ай бұрын
Mzee ubwabwe ccm hata ugali wanatowa machozi watakupa wali umezeeka piga siasa za ukombozi siyo za kichawa
@ramadhanishabani807
@ramadhanishabani807 2 ай бұрын
Shida watanzania wengi mafal
@kichenjekichenje2072
@kichenjekichenje2072 3 ай бұрын
Mtangazaji mbona umekomalia sn ubwabwa 😂😂
@Aziz-p6s
@Aziz-p6s 2 ай бұрын
Ndo maisha
@jeisawaya7638
@jeisawaya7638 2 ай бұрын
Mkafanya kila njia wewe na nani
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 3 ай бұрын
One of the difficulty in Africa leadership is about mostly out Africa politician prefer much this wait education show PhD bachelor diploma and so on but take even they sun to oversize question mark me as the abdala ahamedy is this education getting Africa seem education getting wait skin on my sense l said no l don't think so why seem education pasonol getting to Russian or chaina or western citizens are quaghty difference PhD in Africa fighting for pasonol life and extended family not pablic but wait skin leadership fighting with pablic economy this are different education between wait and we black education
@bilid4128
@bilid4128 2 ай бұрын
😂😂😂😂
@knight6757
@knight6757 3 ай бұрын
😂
@chapaboyclassic3907
@chapaboyclassic3907 3 ай бұрын
🤣🤣🤣
@aliyageorge6794
@aliyageorge6794 3 ай бұрын
Mzee mnafiki!
@peterjosephat6685
@peterjosephat6685 3 ай бұрын
Mnafiki niwew
@elioimer8423
@elioimer8423 3 ай бұрын
Watu wa ccm ukisema kweli mnafiki ….. anachosema mzee Rungwe kwa sababu tulikuwako wakati ule tuliyaona na ni kweli. Nina uhakika anachosesa mzee ni mnafiki kazaliwa juzi hayajui. Yote haya na uchumi wa nchi ya Tz kwa ujumla kudidimia , ilitokana na vita vya Kagera ni sio vinginevyo. Mpaka leo tumefunga mikanda.
@AbdulmujibAhmed
@AbdulmujibAhmed 3 ай бұрын
We mzee midevu inakutia wazimu kanyoe
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 ай бұрын
Mzee wa Ubwabwa wewe kula ruzuku tu huna lolote
WARIOBA AFUNGUKA KUHUSU MARIDHIANO/"NI MAZUNGUMZO TU SIO MAPAMBANO"
6:04
规则,在门里生存,出来~死亡
00:33
落魄的王子
Рет қаралды 27 МЛН
GIANT Gummy Worm Pt.6 #shorts
00:46
Mr DegrEE
Рет қаралды 114 МЛН
Fahamu vipengele vyenye ukakasi Sheria ya Usalama wa Taifa
28:05
SIRI HII YA YUSUFU IKUSAIDIE KUFANIKIWA KILA SIKU
33:24
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 37 М.
规则,在门里生存,出来~死亡
00:33
落魄的王子
Рет қаралды 27 МЛН