*Mr. Cosmas ako sawa kabisa. "Lazima tujifunze kuyaona mambo kwa jicho la tatu na upuuzi ukiwa kwa wingi unageuka unakuwa fact. Nature haijui ujinga na umaskini."*
@pauloropian2367 Жыл бұрын
Mungu awabariki wanasaikolojia wote duniani naipenda Sana fani hii
@ernestmatimba99642 ай бұрын
Taaluma iliyo connect kwenye Kipawa ni moto. Naunga mkono hoja
@aderiderkihupi7240Ай бұрын
Asante
@ndamezerevocatus1078 Жыл бұрын
Very nice umefundisha vizuri mno
@miriammwamanda656911 ай бұрын
Hongera sana mwl wangu Cosmas .mimi mama Anna mwanafunzi wako wa Msimbazi Montesory mwl uko juu sana.
@kadmc9124 Жыл бұрын
Nmepata mtu wa kuwa anamaliza mbs zangu 😢😢
@anathjuma68139 ай бұрын
Yeah...wao ndo tatizo...upuuzi ukikubalika na wengi unageuza kuwa facts...
@emmanuelmagise962511 ай бұрын
cosmass madulu, package yako iko vizur na updated
@kadmc9124 Жыл бұрын
Dah! Na mwandishi naye ni nondo .... Big up sana bro una madini.......
@stylishgenius9886 Жыл бұрын
Cosmas the genius man
@MariamKifaru11 ай бұрын
Nimepitia comments nyingi za watu hakika nyingi ktk hizo ni kuhusiano na mtangazaji kuongea sana..OK twende kazi,Iko hivi unapokuwa na vitu vingi kichwani swali huwa kama funguo kukufungua hivyo unapotoa somo hutoweza kuridhika kutoa jibu moja kwa muuliza,hivyo basi hii inaweza kusababisha kupoteza muda mwingi na kutoa hoja nyingi ktk swali moja,hali hii mtangazaji anaijua na ikumbukwe kuwa kipindi kina mipaka ya kimuda hivyo kwa faida yako msikilizaji ili upate mengi kwa muda mchache ni lazima muuliza maswali apime majibu yanatofit na akijiridhisha kuuliza mengine ill kuendana na mtiririko uliopo maana na yeye Ana muongozo wa maswali kulingana na kipindi hicho je? Mnataka akayaulize kwa nani au siku gani? Na je mnatambua kipindi kinasimamiwa na udhamini! Na je mnatambua kuwa hii sio semina bali ni meza huru?
@abrahammwambije2769 Жыл бұрын
Hongera Kaka mungu akuongezee kipaji zaidi
@thelivingwordchannel9027 Жыл бұрын
Safi sana Maduhu,classmate wangu Nyakato Secondary
@niceforymgaya2905 Жыл бұрын
Mtu aliyesoma taaluma inayoendana na kipaji chake ni moto wa kuetea mbaya.
@ndikumanaamuri35509 күн бұрын
Aca wee anakuwa ni balaaa
@ernestmatimba99642 ай бұрын
Upuuzi ukiwa mwingi unakuwa Fact
@malkavoice2570 Жыл бұрын
Mwandishi hajakosea anafanya kazi yake vzr zaidi endapo akiacha jamaa aongee bila maswali anstupoteza na yeye mwandishi pia
@kalengashoppingcenter11083 ай бұрын
😂😂😂🙏
@Mhandisi2008 Жыл бұрын
Ungekuta Niko zangu pale man city nacheza na halland.😂😂😂
@neyjohn923 Жыл бұрын
Hizo unazotaja sanguine melangolic choleric na phlegmatic hizo ni temparament sio personality.pesonality zipo tisa zikianza na perfectionist na kuishia na peace maker.
@queenandchill91 Жыл бұрын
Kabla ya kupinga au kukubaliana na jambo hebu jifunze zaidi kwa undani uelewe.
@otmarykiowi4132 Жыл бұрын
Na hiyo temparament ndiyo nini?
@IsraelKisaila Жыл бұрын
Upo SAHIHI kabisa
@work24onme Жыл бұрын
Holy Spirit, 🙏🏼
@ZebedayoLazaro-y3zАй бұрын
Mtangazaji anajibu maswali anayouliza mwenyewe. Hana emotional contol
@emanuelmaraki9758 Жыл бұрын
Mwachee mtangazaji aongee ili mgeni ajue anamjibu nn mkisema asiongee mnakosea
@justinechuwa13889 күн бұрын
Nimewaelewa hasa hasa, Kila mtu amezaliwa kufanya jambo fulani,hivyo ni lazima upalilie kile ulichoitwa kukifanya
@wilsong520 Жыл бұрын
Mtangazaji ana jikuta nondo badala ya kuacha mgeni aongee
@Joekwid9602 ай бұрын
Interview ni mahojiano ili kuwasilisha ujumbe kwa hadhira
@malkavoice2570 Жыл бұрын
Huyu mwamba akiingia Serikalini na asishikwe madikio wala akili akaitumia naturally anaweza kutufanya Tz Dubai ndani ya miaka 5 au 10 tu na tukaishi nayo miaka zaidi ya 1000
@noorbazaar9063 Жыл бұрын
Mbona Mama ameanza!!!
@malkavoice2570 Жыл бұрын
@@noorbazaar9063 mamaako au sio?
@noorbazaar9063 Жыл бұрын
@@malkavoice2570 Ndio.
@hamismabula9934 Жыл бұрын
@@noorbazaar9063 🤣🤣🤣
@YussufJumaHussein Жыл бұрын
Mtangazi unaongea sana mpaka unakera yani unamfanya m2 aongee machache wakati anamengi yakuongea
@salimkassim6020 Жыл бұрын
Mtangazaji unatakiwa kutangaza mpira sio interview you talk too much kuliko anaehojiwa,,,unazingua uliza swali moja acha mtu ajibu,,,angalia kwa wenzio utajifunza
@jilesjames7830 Жыл бұрын
Kweliiiiii kabisa anajifanya anjua saana
@elibarikilukasimakala5534 Жыл бұрын
Naunga mkono hoja 👆
@valeriamorand1881 Жыл бұрын
Exactly
@eliaelia8417 Жыл бұрын
Siyo kweli kila mtu nilazima ujiblandi kivyako
@HasmaHassan-u4u Жыл бұрын
Tatizo Anataka tumuone na yeye n nondoo kumbe anaaribu
@sypriannjole4865 Жыл бұрын
Host unaongea mno
@tinnahagustinolyelu4247 Жыл бұрын
Hili somo alishawahi kifundisha hayati dk miti mingi mellangoli swangini hivo
@noorbazaar9063 Жыл бұрын
Kufa kiume...?!!!
@samwelilucas1970 Жыл бұрын
Mtangazaji ni mjuaji
@MarthaKussaga-bk8ds5 ай бұрын
Natamani tuwasiliane
@zakariawafula3156 Жыл бұрын
Ni ukweli mtupu .Tuajie watoto kujifunza kulingana na talanta zao.
Mtangazaji, huyo ni mtaalam ndio mgeni wa kipindi. Muache atuelezee ufundi alionao. Unaongea sana mzee, unataka kutuonesha kwamba na wewe unajua au? Fanya kazi yako mzee
@franktiba1506 Жыл бұрын
Mtangazaji punguza kuongea tumsikilize mgeni ana madini mengi ila unatuchomea muda wetu
@christinainnocent3184 Жыл бұрын
Hayo anayoeleza huwa sisi walimu tunasoma kwenye somo au moja za course ya saikolokojia. Pia wanachukua degree za Physiology