No video

Makundi ya watu na tabia zao (Sangwini, koreliki, melankoli na fregmatiki)| Mwl Helman John

  Рет қаралды 26,707

Helman John

Helman John

4 жыл бұрын

Watu duniani wamegawanyika katika makundi makubwa manne. Kila kundi Lina tabia zinazo tofautiana na zile za kundi lingine.
Unapofahamu kuhusu Jambo Hilo inakusaidia kuishi na watu vizuri.

Пікірлер: 43
@marianmartin7483
@marianmartin7483 3 жыл бұрын
Safi sana brother, somo hilo nalifahamu vizuri sana. Hongera sana. Mimi pia haiba yangu sawa na yako. (MELANKOLI)
@user-kn3ll6ju8b
@user-kn3ll6ju8b Жыл бұрын
💪 I am a sanguine, najijua vizuri Tu, me ni mkorofi Sana hasa nikimkopesha mtu alafu akate kunilipa, nakuwaga na mihemko ya over confidence. Ila me ni mkarimu Sana na napenda story na watu (mcheshi) yaan nipo social.
@helmanjohn6261
@helmanjohn6261 Жыл бұрын
Wow. Bila shaka hiyo imekusaidia kuweza kuishi na watu vizuri
@user-kn3ll6ju8b
@user-kn3ll6ju8b Жыл бұрын
Naomba kujua, ili niishi vizuri kwenye mahusiano na ndoa, haiba gani natakiwa kuolewa nayo?! Ikiwa mm ni sanguine.
@helmanjohn6261
@helmanjohn6261 Жыл бұрын
Naomba utafute kitabu changu cha haina ya mtu na jinsi ya kuhusiana naye, nimezungumzia hilo kwa kina.
@user-kn3ll6ju8b
@user-kn3ll6ju8b Жыл бұрын
Sawa ahsante.
@patrickkyakwe5706
@patrickkyakwe5706 11 ай бұрын
But kwann umetaje udhaifu tu wakati Wana uwezo wao binafsi
@ephraimibrahimu3157
@ephraimibrahimu3157 Жыл бұрын
Umetisha mwl helman john
@JohnsonMapunda-ql8bh
@JohnsonMapunda-ql8bh Жыл бұрын
Korelick merankoli
@ShangweSylus-nf6we
@ShangweSylus-nf6we 10 ай бұрын
Mbona sangwini umempondea sana bro yaan hadi uongozi hutaki apewe mmh itakuwa una x wako sangwin wew😂
@stanfordchimola6913
@stanfordchimola6913 Жыл бұрын
Good
@ndamezerevocatus1078
@ndamezerevocatus1078 Жыл бұрын
Mwl umefundisha vyema but darasa Lina mapungufu kidogo
@vanitete2399
@vanitete2399 10 ай бұрын
Muda pengine ulikua sio rafiki jambo jema nikua MUNGU ametupatia utashi kila mmoja wa kupokea mambo na kuya elewa pia hata kufundisha au kuelewa sasa basi ujumbe ameufikisha ila sasa tunatamani na wewe uitumie hii opportunity kufundisha masomo mbali mbali
@tusajigwe7491
@tusajigwe7491 6 ай бұрын
Yule naibu waziri wa afya ni sangwini
@elibarikilukasimakala5534
@elibarikilukasimakala5534 Жыл бұрын
All about psychology
@aquilineanthony1115
@aquilineanthony1115 11 ай бұрын
Mbona mie nipo kote kotekote
@ambrosedede2477
@ambrosedede2477 9 ай бұрын
Mbona mimi kama magroup yote manne kuna vitabia vipo kwangu. Kwa mujibu wa maelezo yako, nimeshindwa kujipambanua maana kila group nipo
@fabianisozy-yk8qy
@fabianisozy-yk8qy 6 ай бұрын
Yes. Huwez kuwa kweny kundi 1 asilimia 100 unawez ukawa huku na huku
@liannsambu7264
@liannsambu7264 10 ай бұрын
Nafikiri uwa wanachanganya kundi , mie najiona kwenye makundi 2 zaidi na siyo tabia ya kundi moja , Najiona melankoli na koleric
@mrsdeborahurio
@mrsdeborahurio 9 ай бұрын
Uko Sawa, hakuna mwenye kundi moja ila moja inakuwa na nguvu!
@daudmwasampeta9910
@daudmwasampeta9910 2 жыл бұрын
Uko. Vizuli
@TumainielKitundu
@TumainielKitundu 11 ай бұрын
Nisaidie jina la kitabu boss
@helmanjohn6261
@helmanjohn6261 11 ай бұрын
HAIBA YA MTU NA JINSI YA KUHUSIANA NAYE.
@teacherdenniskauga1720
@teacherdenniskauga1720 Жыл бұрын
Sir this lesson is from which subject or unit? I really like it
@user-ym6hd7xh3g
@user-ym6hd7xh3g 9 ай бұрын
Psychology
@josephgeorgematiku1064
@josephgeorgematiku1064 9 ай бұрын
Mwalimu tuanaomba ungeweka namba zako za simu ili tuweze kupata mawasiliano ya jinsi ya kupata kitabu.
@helmanjohn6261
@helmanjohn6261 9 ай бұрын
0657572523 Tuma sms WhatsApp
@KaumbyaTibenda
@KaumbyaTibenda 11 ай бұрын
😂😂😂😂😂mm sangwin hajaacha hata chembe
@yasminsalim291
@yasminsalim291 Жыл бұрын
Im flegmatic man 😂😂😂😂
@helmanjohn6261
@helmanjohn6261 Жыл бұрын
Wow
@teacherdenniskauga1720
@teacherdenniskauga1720 Жыл бұрын
Kindly translate this terms into Kiswahili
@teacherdenniskauga1720
@teacherdenniskauga1720 Жыл бұрын
Into English please
@anoldpotentin2446
@anoldpotentin2446 2 жыл бұрын
Hichi kitabu chako nakipataje
@helmanjohn6261
@helmanjohn6261 7 ай бұрын
Unaweza kukipata Kwa kutumiwa kwenye simu au kwenda dukani kama upo DSM endapo Bado hujakipata. Bei yake ni Sh 7000
@thobiasmwinuka2869
@thobiasmwinuka2869 Жыл бұрын
Nataka.kitabu.shs?ngapi?
@helmanjohn6261
@helmanjohn6261 7 ай бұрын
Kitabu ni shilingi 7000
@helmanjohn6261
@helmanjohn6261 7 ай бұрын
Kitabu ni shilingi 7000
MITIMINGI # 327 HISIA ZA MELANKOLI NI THABITI
19:46
MITIMINGI ONLINE TV
Рет қаралды 10 М.
#MAKUNDI MANNE YA WATU  #3- SIKU YA 9
18:23
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 10 М.
Kind Waiter's Gesture to Homeless Boy #shorts
00:32
I migliori trucchetti di Fabiosa
Рет қаралды 6 МЛН
MITIMINGI # 329 MADHAIFU YA MELANKOLI
17:10
MITIMINGI ONLINE TV
Рет қаралды 9 М.
Dr. Chris Mauki: AINA 3 ZA WATU. Je, wewe ni nani katika hawa?
10:44
MITIMINGI # 328 PRINCIPLES 2 KORELIKI ANAZOZITUMIA KTK UONGOZI
16:52
MITIMINGI ONLINE TV
Рет қаралды 6 М.
Jinsi ya Kuishi na Watu Wenye Haiba Mbalimbali 16.02.2016
44:09
Channel ten
Рет қаралды 77 М.
Ishi Katika Uwezo Wako Wa Kipekee Sehemu Ya Kwanza
17:27
Joel Nanauka
Рет қаралды 105 М.
Inawezekana Kufikia Malengo Yako Usikate Tamaa   Joel Arthur Nanauka
23:06
Kind Waiter's Gesture to Homeless Boy #shorts
00:32
I migliori trucchetti di Fabiosa
Рет қаралды 6 МЛН