Mambo 5 Ya Kufanya Kila Siku Kama Unataka Kufanikiwa

  Рет қаралды 260,594

Joel Nanauka

Joel Nanauka

6 жыл бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 310
@jimmymbella997
@jimmymbella997 2 жыл бұрын
Hii ni kweli kaka, kitu kama hujakikamilisha huwez kukisahau kamwe muda wote utakikumbka, kama mm hapa kuna kitu nakiwaza mda wote sababu sijakikamilisha Asante kwa SoMo zuri❤️💪💪
@anandepallangyo4177
@anandepallangyo4177 3 жыл бұрын
Kaka wewe ni wa muhimu sana alooo your the best
@anastasiamainaministries2700
@anastasiamainaministries2700 3 жыл бұрын
Wow naskiziza 2020...nimependa Sana kutoka kenya
@hassanovajunior6972
@hassanovajunior6972 4 жыл бұрын
My best Mentor of all the time JOEL may god bless you Bro #SeeYouatTheTop 🙏🙏
@erikalutevele8362
@erikalutevele8362 Жыл бұрын
Mungu wetu azidi kukutunza zaidi maana toka nilipoanza kukusikiliza nimekua mtu wa tofauti sana yaani mpaka najishangaa mwenyeye
@esthermichael3221
@esthermichael3221 4 жыл бұрын
Barikiwa Sana Joel kwa kazi nzuri naona mabadiliko makubwaaaa mnoo katika maisha yangu Japo Kuna sehemu kidogo ambayo bado unanisumbua cjapata muafaka wa wapi nianzie
@salmabanga8962
@salmabanga8962 3 жыл бұрын
Barikiwa kwa elimu nzuri
@veronicamnubi9085
@veronicamnubi9085 3 жыл бұрын
Asante sana kwa mafundisho mazuri ya maamuzi kwa sehemu kuu tatu za maamuzi nimepati kitu kikubwa sana
@alfredodhiambo4473
@alfredodhiambo4473 3 жыл бұрын
Nmefurahia mafunzo yako kuna mengi najua sasa naomba mungu azidi kukupea iyo hekima let God use you to heal broken hearts
@daudkwalu3563
@daudkwalu3563 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mkuu kwa kuendelea kuiishi ndoto yako...Nakushauri unayesoma comment hii baada ya clip hii search clip yake tittle aliipa "Nguvu Iliyoko Katika Maono" hautajutia muda wako
@kahwaanacleth5564
@kahwaanacleth5564 5 жыл бұрын
Kuna kitu kikubwa sana nimejifunza, hasa kupitia athari za kukosa furaha, husabibisha kushuka kwa kinga ya mwili, pale unaposhambuliwa na mgonjwa ya ajabu, na pengine unaweza kwenda hospitali kila mara kupima na kujikuta huna ugonjwa wowote wakati wewe unajisikia hoi. MATOKEO YAKE PIA HUWAZA TOFAUTI, AIDHA UMEROGWA AU IMANI ZINGINE TOFAUTI, PIA UWEZO WA KUJIAMINI HUPUNGUA. Ahsante sana Nanauka coach wangu ,napenda sana maomo yako na nafatilia sana. Nataka niwe mwanafunzi wako katika ile coaching programme, naomba utaratibu wa kujiunga.
@jacksonkidawile1475
@jacksonkidawile1475 Жыл бұрын
Huyu mwamba ruge mtupu kasoro jina tu 🤝🤝🤝🤝 nakubali kaka madini yako yana penya ubongon kwangu
@gindupeter9163
@gindupeter9163 5 жыл бұрын
Ukweli katika maisha yangu yamekuwa ya kubahatisha yani sizingatii wajibu wangu ahsante sana
@trillhappybeautypoint9874
@trillhappybeautypoint9874 3 жыл бұрын
Kaka Mungu akuinue kwa viwango vya juu sana coz nafatilia sana masomo yako na ninasonga mbele.
@suleshkasim4322
@suleshkasim4322 3 жыл бұрын
Mamb dada uko sehem gan dada
@johampangala1209
@johampangala1209 3 жыл бұрын
Leo umeniponya magonjwa yoteee. Nilikuwa sijui hii chanel thanks bro.
@coachsportif9533
@coachsportif9533 4 жыл бұрын
Asante sana Nanauka kupitia wew leo maisha yangu yapo mazuri ndani ya ufaransa na kila siku nakusikiliza wew kabla ya kutoka kwenye miangaiko.. Hakuna mtu wa kunichezea akili yangu
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
Japhet Paul hongera sanaaaa
@adrianthobias296
@adrianthobias296 5 жыл бұрын
Huo ndo ukweli wa maisha.Asante sana.'Furaha ni mtu na mazingira yake.
@godzidendera3027
@godzidendera3027 Жыл бұрын
Like za kutosha kama unamkubali huyu jamaa
@anordgodibless1361
@anordgodibless1361 3 жыл бұрын
Mungu akubariki Kaka mafundisho yako ni tiba tosha
@felisteravija1901
@felisteravija1901 4 жыл бұрын
Ur my hero bro,kilasiku unaongelea maishayangu nashukuru mungu kukuweka ili unitibu mm.mungu akubariki na akuzidishie
@aidansemmanuel8546
@aidansemmanuel8546 5 жыл бұрын
Brother ur a teach of life.
@nkakenychannel2831
@nkakenychannel2831 2 жыл бұрын
MUNGU aendelee kukutunza kaka umefanyika msaada mkubwa sana kwenye maisha yangu
@johampangala1209
@johampangala1209 3 жыл бұрын
Ahsante sana ubalikiwe
@amnasalumu7534
@amnasalumu7534 6 жыл бұрын
nashukuru sana maana unibadili kimtazamo kila siku
@kpetres2872
@kpetres2872 4 жыл бұрын
Nilitumia week mbili na sehemu nahangaika kumbembeleza mtu anikopeshe bila mafanikio, nilivoskiliza hapa TU nikajua maisha yangu yananihusu mmi kuyangaikia,, Leo hii nakwambia nachoma chapati na watu wametoa mwitikio naingiza kipato😥😥😥😥
@ibraahkria5157
@ibraahkria5157 Жыл бұрын
Nakubali xana
@ibraahkria5157
@ibraahkria5157 Жыл бұрын
Nimejifunza sana
@selemanramadhan3279
@selemanramadhan3279 Жыл бұрын
Tunajifunza Sana bro!!
@ShemsaKombo
@ShemsaKombo 2 күн бұрын
Asante kwa ushauri wake mzur
@grantmwakyusa1961
@grantmwakyusa1961 3 жыл бұрын
Mentor #Joel thank you for your mentorship,, I am going to practice and live by doing this.
@HassanHassan-qo2yu
@HassanHassan-qo2yu 3 жыл бұрын
Nakuaminia bro Sana kaz nzuri
@charlesoputi7101
@charlesoputi7101 11 ай бұрын
Watching it again and again be blessed brother joel @kenya
@msikitiibrahimu1990
@msikitiibrahimu1990 5 жыл бұрын
thanks u so much my brother nmejifunza mengi sana kupitia wewe mungu akubark sana
@rahmahussein4019
@rahmahussein4019 6 жыл бұрын
Powerful speech , thank you bro .
@brhchannel6618
@brhchannel6618 6 жыл бұрын
Thanks I learn something from you brother.
@safinabambanya3065
@safinabambanya3065 4 жыл бұрын
The concept is very helpful.. thank you brother you have awaken my mind
@yassinlisa6168
@yassinlisa6168 3 жыл бұрын
Nafurahi sana kusikiliza kwa Kiswahili 😊
@msonjojeuri5006
@msonjojeuri5006 Жыл бұрын
1wajibika na maisha yako 2zingatia kufanya jambo muhimu kila siku 3jifunze kudeligate majukumu 4 mind reprogramming 5 sikiliza na usome kitu cheney kina kupa furaha
@SengusAbihudi
@SengusAbihudi 12 күн бұрын
Mungu akutie nguvu ili uendelee kuwafundisha na wengne
@davidandrewmarius3454
@davidandrewmarius3454 6 жыл бұрын
umekuwa Furaha sana Na naamini Kupitia mafundisho yako Nitafanikiwa Zaidi#Joel Nanauka love You so much Brother..Naomba Mwongozo Naitaj kunzisha Biashara
@joelnanauka
@joelnanauka 6 жыл бұрын
David Andrew Marius ahsante david;pamoja sana
@davidandrewmarius3454
@davidandrewmarius3454 6 жыл бұрын
+Joel Nanauka aksante sana Barikiwa mno mno Sana'a..Naomba mwongozo Nianzaje biashara wazo nalo
@angeltairo6883
@angeltairo6883 6 жыл бұрын
My mentor paster God bless you
@ericsaul4186
@ericsaul4186 6 жыл бұрын
Yet another great educational talk. Big up Joel -:)))
@judithmbwilo7470
@judithmbwilo7470 5 жыл бұрын
Thanks so much brother, nimejifunza kitu kipya leo!
@magrethjoseph589
@magrethjoseph589 3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kaka angu
@joshuakaminyoge4954
@joshuakaminyoge4954 4 жыл бұрын
Joel nanauka kuna siku nitakushuhudia kubadili Mindset na maisha kwa insparation zako Mungu akubariki
@sarahmhina4359
@sarahmhina4359 5 жыл бұрын
Safi sana brother Joel, nimefurahi sana kusikia mafundisho yako. Mungu akubariki sana kwa kazi nzuri. Naamini umeokoa roho za watu wengi kwa hiki unachokifanya. Da! Be blessed bro
@gadafibinthadei6023
@gadafibinthadei6023 Жыл бұрын
asante sana kaka
@athumanikigolo8753
@athumanikigolo8753 3 жыл бұрын
Hongera cna kk
@felisterabed7436
@felisterabed7436 4 ай бұрын
Ukweli mtupu jisemee be blessed Kaka
@clearvisionbusinessacademy1289
@clearvisionbusinessacademy1289 4 жыл бұрын
Very educative . Excellent
@enockkagomba1261
@enockkagomba1261 4 жыл бұрын
Thanks my mentor be blessed
@JamedJames
@JamedJames 5 ай бұрын
Big up broo, tns for tell us on how we can time time before time time us more tns
@zulferabour607
@zulferabour607 5 жыл бұрын
daaaaaah yan n kwel kbsaaaa lkn kuptia ww nmejfunz meng wallah......nkpnd w kaka...mungu akupe umr mref uzd kutufundshaaaaaaaa
@emmanueljohn3387
@emmanueljohn3387 2 жыл бұрын
Asante sana kk umenielimisha sana Mungu azidi kukubarik
@niccohgordon4125
@niccohgordon4125 5 жыл бұрын
nimefutilia clip zako chache broo nimegundua wewe ni mwana falsafa mkubwa sana na utazid kuwa mkubwa zaidi duniani, mungu aendelee kukupa nguvu na afya ili kizazi kichojaribu kupitia clip hizi kifaidike zaidi. nimeanza sasa kukufuatilia kaka. stay blessed forever broh.
@joelnanauka
@joelnanauka 4 жыл бұрын
niccoh gordon Ameen nashukuru sana
@dorcusmo6817
@dorcusmo6817 2 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana
@margueritnyingani8844
@margueritnyingani8844 5 жыл бұрын
Also let them know that it's important to start the day with prayers and reading the bible.
@alphoncemtola97
@alphoncemtola97 4 жыл бұрын
God bless you joel
@ibraimoissiaca6058
@ibraimoissiaca6058 3 жыл бұрын
How If I'm not Christian ? You have say to submit to God only
@etiennekwizera8762
@etiennekwizera8762 3 жыл бұрын
This one is too important. Japo ni ngumu kwa vijana, ila ni muhimu kwa kuwa ndani ya Biblia, kitabu kitakatifu, yote tunayoyatufuta yamwo ndani
@violethndowo-fr3rc
@violethndowo-fr3rc Ай бұрын
Nakushukur kakaang mana unatusaidi weng
@joelllemi7849
@joelllemi7849 3 жыл бұрын
kwakwel kaka nimekuelewa sana be bless
@catherineandrew7392
@catherineandrew7392 Жыл бұрын
Wewe n chaguo la mungu kbsa
@aminathoya4265
@aminathoya4265 6 жыл бұрын
Shukrani kwa mafundisho mazuri yenye faida maishani
@ellysilwani9287
@ellysilwani9287 4 жыл бұрын
Asante kaka kwa Elimu hii..
@Tom-1717
@Tom-1717 Жыл бұрын
Nakufatilia pia nakuelewa sana nafanyia kaz maneno yko ipo siku ntakufata mbele ya macho yko
@kambonajoseph924
@kambonajoseph924 2 жыл бұрын
U really talk truthful in all God bless u
@a.p.monlinetv3561
@a.p.monlinetv3561 4 жыл бұрын
Asante sana bro Unatusaidia sana katka mambo mbalimbali
@merykyungai2551
@merykyungai2551 4 ай бұрын
Professional always we love you
@eddymama7036
@eddymama7036 6 жыл бұрын
ur absolutely perfect
@inocentkaiza8791
@inocentkaiza8791 3 жыл бұрын
Broo nimekubali hiyo point yakukosa furaha maranyingi napokuwa kazin uwa napoteza uwezo wakufanya kazi zangu kwakukosa furaha
@majaranyonyo2125
@majaranyonyo2125 3 жыл бұрын
Vizur xn brother
@jenisanga2281
@jenisanga2281 3 жыл бұрын
My God bless u
@francisdaimon7705
@francisdaimon7705 6 жыл бұрын
Hakika mungu akubarik kwan umekua baraka sana kwangu
@joelnanauka
@joelnanauka 6 жыл бұрын
Francis Daimon Ameen nashukuru sana
@NuruNuruh-kc2ff
@NuruNuruh-kc2ff 10 ай бұрын
Nashukuru nanauka ume ni motivate sana
@fikikenya1401
@fikikenya1401 3 жыл бұрын
Very helpful
@geofreykomba1007
@geofreykomba1007 5 жыл бұрын
Elimu nzuri, big up Mr.
@hammerQ954
@hammerQ954 5 жыл бұрын
Asante sana bro joel🤜🤛
@sumafrank4427
@sumafrank4427 6 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kwa mafundisho haya mazuri
@lidyampazi8167
@lidyampazi8167 4 жыл бұрын
Asante kaka, mungu akubariki sana, naamini nimejifunza kitu kutoka kwako
@ramadhanalmashamza3458
@ramadhanalmashamza3458 Жыл бұрын
Asante sana kaka mungu akubariki your the super hero
@robertshemaonge6000
@robertshemaonge6000 5 жыл бұрын
nashukuru sana kwa kutupa iman ya maisha
@mariamogelasanayohana7442
@mariamogelasanayohana7442 3 жыл бұрын
asate sana tukopamoja kwakirakipidi unacho kito nakufatilia san
@sheilachemutai5971
@sheilachemutai5971 2 жыл бұрын
Asante sana Joel umenifunza mengi mungu akusaidie
@mariamatiku5634
@mariamatiku5634 2 жыл бұрын
Powerful speech bro
@michaeltimoth366
@michaeltimoth366 2 жыл бұрын
Golden hour....I will work on this one
@richmahegah7740
@richmahegah7740 6 жыл бұрын
safi xana brother coz unatufundisha mambo mengi sana,
@aminaibrahim3656
@aminaibrahim3656 3 жыл бұрын
Uko vzuri Mr Joel Nanauka nice talk
@joelkilasi1381
@joelkilasi1381 6 жыл бұрын
Mr Joel nanauka amenibadilisha vitu vingi sana katika maisha yangu kwanza mindset yangu
@joelnanauka
@joelnanauka 6 жыл бұрын
Ahsante sana wajina,nafurahi sana kusikia hivyo
@araphaiddiy766
@araphaiddiy766 2 жыл бұрын
Yani kaka nakufatilia kila nikiamka nakufatilia najikuta napata nguvu kuisaka pesa kuweka akiba na kupunguza matumizi yangu MUNGU akubariki
@elishatitus2111
@elishatitus2111 4 жыл бұрын
GOD bless
@shawingideon5676
@shawingideon5676 5 жыл бұрын
God bless you brother
@ntiruvakureismael717
@ntiruvakureismael717 3 жыл бұрын
Hiiiyo example yakuwapa wengine watu majukumu nisawa ila mbona watuwsligeuka
@shideashidea5570
@shideashidea5570 5 жыл бұрын
Joel Mungu akubariki sana maana hekima hii n kubwa sana kutufundisha yale ambayo yanatupa Nuru ya kusonga mbele
@alicempuya5238
@alicempuya5238 2 жыл бұрын
Unanibariki Sana, na wewe Mungu akubariki
@hunterjungle6343
@hunterjungle6343 Жыл бұрын
Shukran brother
@nextcomin475
@nextcomin475 27 күн бұрын
Appreciated
@mosimgeni2086
@mosimgeni2086 5 жыл бұрын
point taken brother we will be together at the top
@janethandrea87
@janethandrea87 2 жыл бұрын
Kaka Asante sana yaan nimejifunza nafanyia kaz
@christelle9690
@christelle9690 3 жыл бұрын
God bless you sir
@johnsonemmanuelbenedicto2038
@johnsonemmanuelbenedicto2038 3 жыл бұрын
Asante saana s6jui nikulipe nini dhaa aise mungu akuongezee kipaji
@assamwakasanga3570
@assamwakasanga3570 6 жыл бұрын
Asante San kak Joel Arthur nanauka huwa tapata hamasa ya Kufanya Vitu zaidi na zaidi
@joelnanauka
@joelnanauka 6 жыл бұрын
Assa Mwakasanga ahsante Asa naamini utafika mbali
@assamwakasanga3570
@assamwakasanga3570 6 жыл бұрын
Amin Kaka Joel Arthur nanauka..
@malalezengo4405
@malalezengo4405 6 жыл бұрын
hongera sana nanauka wetu mwalimu wamaana sana umenibadilisha sana
@gindupeter9163
@gindupeter9163 5 жыл бұрын
Nashukuru Sana kukujua naimani umenisaidia pakubwa Sana! Of course I will be there for you and I don't want to go back in my life !
@rizikimoshi4798
@rizikimoshi4798 5 жыл бұрын
nashukuru bro kwa masomo yako hakika mungu hatakulipa
@tonygabriel5112
@tonygabriel5112 5 жыл бұрын
nakuelewa sana, mentor wangu
@basamtz8674
@basamtz8674 6 жыл бұрын
Napenda sana nakukubari Sana kaka
@virgosixthemoon9652
@virgosixthemoon9652 Жыл бұрын
Amazing education
@victoriajacob6182
@victoriajacob6182 Жыл бұрын
Naamini kupitia inspirations zako nitafanikiwa na nitaleta ushuhuda.
@kasigahamisi354
@kasigahamisi354 3 жыл бұрын
Kweli
@asyamaulidi7857
@asyamaulidi7857 6 жыл бұрын
Maneno yako Ni sahihi Kaka Joel Wala hayahitaji marudio kwani yanaeleweka vizur Sana Ubarikiwe na mungu bila Shaka wewe Ni chaguo la mungu kwa Tanzania yetu
Njia 4 Za Kuongeza Thamani Yako Ili Ulipwe Zaidi
22:28
Joel Nanauka
Рет қаралды 45 М.
Василиса наняла личного массажиста 😂 #shorts
00:22
Денис Кукояка
Рет қаралды 10 МЛН
Increíble final 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja 2
Рет қаралды 113 МЛН
Survival skills: A great idea with duct tape #survival #lifehacks #camping
00:27
KUSUDI LA MAISHA YAKO - JOEL NANAUKA EPISODE 02
10:00
Family of Praying Women
Рет қаралды 8 М.
Jinsi ya kujiandaa kuwa mjasiriamali kabla ya kuacha kuajiriwa.
59:26
Personal Finance Hub
Рет қаралды 17 М.
TENGENEZA MAISHA UNAYOYATAKA - JOEL NANAUKA
16:51
Joel Nanauka
Рет қаралды 114 М.
Ishi Katika Uwezo Wako Wa Kipekee Sehemu Ya Kwanza
17:27
Joel Nanauka
Рет қаралды 104 М.
Namna gani unaweza kuongeza kasi ya kutimiza maono yako
26:17
Joel Nanauka
Рет қаралды 153 М.
Inawezekana Kufikia Malengo Yako Usikate Tamaa   Joel Arthur Nanauka
23:06
Василиса наняла личного массажиста 😂 #shorts
00:22
Денис Кукояка
Рет қаралды 10 МЛН