Hii ni kweli kaka, kitu kama hujakikamilisha huwez kukisahau kamwe muda wote utakikumbka, kama mm hapa kuna kitu nakiwaza mda wote sababu sijakikamilisha Asante kwa SoMo zuri❤️💪💪
@anandepallangyo41773 жыл бұрын
Kaka wewe ni wa muhimu sana alooo your the best
@anastasiamainaministries27003 жыл бұрын
Wow naskiziza 2020...nimependa Sana kutoka kenya
@hassanovajunior69724 жыл бұрын
My best Mentor of all the time JOEL may god bless you Bro #SeeYouatTheTop 🙏🙏
@erikalutevele8362 Жыл бұрын
Mungu wetu azidi kukutunza zaidi maana toka nilipoanza kukusikiliza nimekua mtu wa tofauti sana yaani mpaka najishangaa mwenyeye
@esthermichael32214 жыл бұрын
Barikiwa Sana Joel kwa kazi nzuri naona mabadiliko makubwaaaa mnoo katika maisha yangu Japo Kuna sehemu kidogo ambayo bado unanisumbua cjapata muafaka wa wapi nianzie
@salmabanga89623 жыл бұрын
Barikiwa kwa elimu nzuri
@veronicamnubi90853 жыл бұрын
Asante sana kwa mafundisho mazuri ya maamuzi kwa sehemu kuu tatu za maamuzi nimepati kitu kikubwa sana
@alfredodhiambo44733 жыл бұрын
Nmefurahia mafunzo yako kuna mengi najua sasa naomba mungu azidi kukupea iyo hekima let God use you to heal broken hearts
@daudkwalu3563 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mkuu kwa kuendelea kuiishi ndoto yako...Nakushauri unayesoma comment hii baada ya clip hii search clip yake tittle aliipa "Nguvu Iliyoko Katika Maono" hautajutia muda wako
@kahwaanacleth55645 жыл бұрын
Kuna kitu kikubwa sana nimejifunza, hasa kupitia athari za kukosa furaha, husabibisha kushuka kwa kinga ya mwili, pale unaposhambuliwa na mgonjwa ya ajabu, na pengine unaweza kwenda hospitali kila mara kupima na kujikuta huna ugonjwa wowote wakati wewe unajisikia hoi. MATOKEO YAKE PIA HUWAZA TOFAUTI, AIDHA UMEROGWA AU IMANI ZINGINE TOFAUTI, PIA UWEZO WA KUJIAMINI HUPUNGUA. Ahsante sana Nanauka coach wangu ,napenda sana maomo yako na nafatilia sana. Nataka niwe mwanafunzi wako katika ile coaching programme, naomba utaratibu wa kujiunga.
@jacksonkidawile1475 Жыл бұрын
Huyu mwamba ruge mtupu kasoro jina tu 🤝🤝🤝🤝 nakubali kaka madini yako yana penya ubongon kwangu
@gindupeter91635 жыл бұрын
Ukweli katika maisha yangu yamekuwa ya kubahatisha yani sizingatii wajibu wangu ahsante sana
@trillhappybeautypoint98743 жыл бұрын
Kaka Mungu akuinue kwa viwango vya juu sana coz nafatilia sana masomo yako na ninasonga mbele.
@suleshkasim43223 жыл бұрын
Mamb dada uko sehem gan dada
@johampangala12093 жыл бұрын
Leo umeniponya magonjwa yoteee. Nilikuwa sijui hii chanel thanks bro.
@coachsportif95334 жыл бұрын
Asante sana Nanauka kupitia wew leo maisha yangu yapo mazuri ndani ya ufaransa na kila siku nakusikiliza wew kabla ya kutoka kwenye miangaiko.. Hakuna mtu wa kunichezea akili yangu
@joelnanauka4 жыл бұрын
Japhet Paul hongera sanaaaa
@adrianthobias2965 жыл бұрын
Huo ndo ukweli wa maisha.Asante sana.'Furaha ni mtu na mazingira yake.
@godzidendera3027 Жыл бұрын
Like za kutosha kama unamkubali huyu jamaa
@anordgodibless13613 жыл бұрын
Mungu akubariki Kaka mafundisho yako ni tiba tosha
@felisteravija19014 жыл бұрын
Ur my hero bro,kilasiku unaongelea maishayangu nashukuru mungu kukuweka ili unitibu mm.mungu akubariki na akuzidishie
@aidansemmanuel85465 жыл бұрын
Brother ur a teach of life.
@nkakenychannel28312 жыл бұрын
MUNGU aendelee kukutunza kaka umefanyika msaada mkubwa sana kwenye maisha yangu
@johampangala12093 жыл бұрын
Ahsante sana ubalikiwe
@amnasalumu75346 жыл бұрын
nashukuru sana maana unibadili kimtazamo kila siku
@kpetres28724 жыл бұрын
Nilitumia week mbili na sehemu nahangaika kumbembeleza mtu anikopeshe bila mafanikio, nilivoskiliza hapa TU nikajua maisha yangu yananihusu mmi kuyangaikia,, Leo hii nakwambia nachoma chapati na watu wametoa mwitikio naingiza kipato😥😥😥😥
@ibraahkria5157 Жыл бұрын
Nakubali xana
@ibraahkria5157 Жыл бұрын
Nimejifunza sana
@selemanramadhan3279 Жыл бұрын
Tunajifunza Sana bro!!
@ShemsaKombo2 күн бұрын
Asante kwa ushauri wake mzur
@grantmwakyusa19613 жыл бұрын
Mentor #Joel thank you for your mentorship,, I am going to practice and live by doing this.
@HassanHassan-qo2yu3 жыл бұрын
Nakuaminia bro Sana kaz nzuri
@charlesoputi710111 ай бұрын
Watching it again and again be blessed brother joel @kenya
@msikitiibrahimu19905 жыл бұрын
thanks u so much my brother nmejifunza mengi sana kupitia wewe mungu akubark sana
@rahmahussein40196 жыл бұрын
Powerful speech , thank you bro .
@brhchannel66186 жыл бұрын
Thanks I learn something from you brother.
@safinabambanya30654 жыл бұрын
The concept is very helpful.. thank you brother you have awaken my mind
@yassinlisa61683 жыл бұрын
Nafurahi sana kusikiliza kwa Kiswahili 😊
@msonjojeuri5006 Жыл бұрын
1wajibika na maisha yako 2zingatia kufanya jambo muhimu kila siku 3jifunze kudeligate majukumu 4 mind reprogramming 5 sikiliza na usome kitu cheney kina kupa furaha
@SengusAbihudi12 күн бұрын
Mungu akutie nguvu ili uendelee kuwafundisha na wengne
@davidandrewmarius34546 жыл бұрын
umekuwa Furaha sana Na naamini Kupitia mafundisho yako Nitafanikiwa Zaidi#Joel Nanauka love You so much Brother..Naomba Mwongozo Naitaj kunzisha Biashara
@joelnanauka6 жыл бұрын
David Andrew Marius ahsante david;pamoja sana
@davidandrewmarius34546 жыл бұрын
+Joel Nanauka aksante sana Barikiwa mno mno Sana'a..Naomba mwongozo Nianzaje biashara wazo nalo
@angeltairo68836 жыл бұрын
My mentor paster God bless you
@ericsaul41866 жыл бұрын
Yet another great educational talk. Big up Joel -:)))
@judithmbwilo74705 жыл бұрын
Thanks so much brother, nimejifunza kitu kipya leo!
@magrethjoseph5893 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kaka angu
@joshuakaminyoge49544 жыл бұрын
Joel nanauka kuna siku nitakushuhudia kubadili Mindset na maisha kwa insparation zako Mungu akubariki
@sarahmhina43595 жыл бұрын
Safi sana brother Joel, nimefurahi sana kusikia mafundisho yako. Mungu akubariki sana kwa kazi nzuri. Naamini umeokoa roho za watu wengi kwa hiki unachokifanya. Da! Be blessed bro
@gadafibinthadei6023 Жыл бұрын
asante sana kaka
@athumanikigolo87533 жыл бұрын
Hongera cna kk
@felisterabed74364 ай бұрын
Ukweli mtupu jisemee be blessed Kaka
@clearvisionbusinessacademy12894 жыл бұрын
Very educative . Excellent
@enockkagomba12614 жыл бұрын
Thanks my mentor be blessed
@JamedJames5 ай бұрын
Big up broo, tns for tell us on how we can time time before time time us more tns
@zulferabour6075 жыл бұрын
daaaaaah yan n kwel kbsaaaa lkn kuptia ww nmejfunz meng wallah......nkpnd w kaka...mungu akupe umr mref uzd kutufundshaaaaaaaa
@emmanueljohn33872 жыл бұрын
Asante sana kk umenielimisha sana Mungu azidi kukubarik
@niccohgordon41255 жыл бұрын
nimefutilia clip zako chache broo nimegundua wewe ni mwana falsafa mkubwa sana na utazid kuwa mkubwa zaidi duniani, mungu aendelee kukupa nguvu na afya ili kizazi kichojaribu kupitia clip hizi kifaidike zaidi. nimeanza sasa kukufuatilia kaka. stay blessed forever broh.
@joelnanauka4 жыл бұрын
niccoh gordon Ameen nashukuru sana
@dorcusmo68172 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana
@margueritnyingani88445 жыл бұрын
Also let them know that it's important to start the day with prayers and reading the bible.
@alphoncemtola974 жыл бұрын
God bless you joel
@ibraimoissiaca60583 жыл бұрын
How If I'm not Christian ? You have say to submit to God only
@etiennekwizera87623 жыл бұрын
This one is too important. Japo ni ngumu kwa vijana, ila ni muhimu kwa kuwa ndani ya Biblia, kitabu kitakatifu, yote tunayoyatufuta yamwo ndani
@violethndowo-fr3rcАй бұрын
Nakushukur kakaang mana unatusaidi weng
@joelllemi78493 жыл бұрын
kwakwel kaka nimekuelewa sana be bless
@catherineandrew7392 Жыл бұрын
Wewe n chaguo la mungu kbsa
@aminathoya42656 жыл бұрын
Shukrani kwa mafundisho mazuri yenye faida maishani
@ellysilwani92874 жыл бұрын
Asante kaka kwa Elimu hii..
@Tom-1717 Жыл бұрын
Nakufatilia pia nakuelewa sana nafanyia kaz maneno yko ipo siku ntakufata mbele ya macho yko
@kambonajoseph9242 жыл бұрын
U really talk truthful in all God bless u
@a.p.monlinetv35614 жыл бұрын
Asante sana bro Unatusaidia sana katka mambo mbalimbali
@merykyungai25514 ай бұрын
Professional always we love you
@eddymama70366 жыл бұрын
ur absolutely perfect
@inocentkaiza87913 жыл бұрын
Broo nimekubali hiyo point yakukosa furaha maranyingi napokuwa kazin uwa napoteza uwezo wakufanya kazi zangu kwakukosa furaha
@majaranyonyo21253 жыл бұрын
Vizur xn brother
@jenisanga22813 жыл бұрын
My God bless u
@francisdaimon77056 жыл бұрын
Hakika mungu akubarik kwan umekua baraka sana kwangu
@joelnanauka6 жыл бұрын
Francis Daimon Ameen nashukuru sana
@NuruNuruh-kc2ff10 ай бұрын
Nashukuru nanauka ume ni motivate sana
@fikikenya14013 жыл бұрын
Very helpful
@geofreykomba10075 жыл бұрын
Elimu nzuri, big up Mr.
@hammerQ9545 жыл бұрын
Asante sana bro joel🤜🤛
@sumafrank44276 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kwa mafundisho haya mazuri
@lidyampazi81674 жыл бұрын
Asante kaka, mungu akubariki sana, naamini nimejifunza kitu kutoka kwako
@ramadhanalmashamza3458 Жыл бұрын
Asante sana kaka mungu akubariki your the super hero
@robertshemaonge60005 жыл бұрын
nashukuru sana kwa kutupa iman ya maisha
@mariamogelasanayohana74423 жыл бұрын
asate sana tukopamoja kwakirakipidi unacho kito nakufatilia san
@sheilachemutai59712 жыл бұрын
Asante sana Joel umenifunza mengi mungu akusaidie
@mariamatiku56342 жыл бұрын
Powerful speech bro
@michaeltimoth3662 жыл бұрын
Golden hour....I will work on this one
@richmahegah77406 жыл бұрын
safi xana brother coz unatufundisha mambo mengi sana,
@aminaibrahim36563 жыл бұрын
Uko vzuri Mr Joel Nanauka nice talk
@joelkilasi13816 жыл бұрын
Mr Joel nanauka amenibadilisha vitu vingi sana katika maisha yangu kwanza mindset yangu
@joelnanauka6 жыл бұрын
Ahsante sana wajina,nafurahi sana kusikia hivyo
@araphaiddiy7662 жыл бұрын
Yani kaka nakufatilia kila nikiamka nakufatilia najikuta napata nguvu kuisaka pesa kuweka akiba na kupunguza matumizi yangu MUNGU akubariki
@elishatitus21114 жыл бұрын
GOD bless
@shawingideon56765 жыл бұрын
God bless you brother
@ntiruvakureismael7173 жыл бұрын
Hiiiyo example yakuwapa wengine watu majukumu nisawa ila mbona watuwsligeuka
@shideashidea55705 жыл бұрын
Joel Mungu akubariki sana maana hekima hii n kubwa sana kutufundisha yale ambayo yanatupa Nuru ya kusonga mbele
@alicempuya52382 жыл бұрын
Unanibariki Sana, na wewe Mungu akubariki
@hunterjungle6343 Жыл бұрын
Shukran brother
@nextcomin47527 күн бұрын
Appreciated
@mosimgeni20865 жыл бұрын
point taken brother we will be together at the top
@janethandrea872 жыл бұрын
Kaka Asante sana yaan nimejifunza nafanyia kaz
@christelle96903 жыл бұрын
God bless you sir
@johnsonemmanuelbenedicto20383 жыл бұрын
Asante saana s6jui nikulipe nini dhaa aise mungu akuongezee kipaji
@assamwakasanga35706 жыл бұрын
Asante San kak Joel Arthur nanauka huwa tapata hamasa ya Kufanya Vitu zaidi na zaidi
@joelnanauka6 жыл бұрын
Assa Mwakasanga ahsante Asa naamini utafika mbali
@assamwakasanga35706 жыл бұрын
Amin Kaka Joel Arthur nanauka..
@malalezengo44056 жыл бұрын
hongera sana nanauka wetu mwalimu wamaana sana umenibadilisha sana
@gindupeter91635 жыл бұрын
Nashukuru Sana kukujua naimani umenisaidia pakubwa Sana! Of course I will be there for you and I don't want to go back in my life !
@rizikimoshi47985 жыл бұрын
nashukuru bro kwa masomo yako hakika mungu hatakulipa
@tonygabriel51125 жыл бұрын
nakuelewa sana, mentor wangu
@basamtz86746 жыл бұрын
Napenda sana nakukubari Sana kaka
@virgosixthemoon9652 Жыл бұрын
Amazing education
@victoriajacob6182 Жыл бұрын
Naamini kupitia inspirations zako nitafanikiwa na nitaleta ushuhuda.
@kasigahamisi3543 жыл бұрын
Kweli
@asyamaulidi78576 жыл бұрын
Maneno yako Ni sahihi Kaka Joel Wala hayahitaji marudio kwani yanaeleweka vizur Sana Ubarikiwe na mungu bila Shaka wewe Ni chaguo la mungu kwa Tanzania yetu