KUNA MTU ANATUMIA NYOTA YAKO PART 1

  Рет қаралды 128,826

Josephat Gwajima RudishaTv

Josephat Gwajima RudishaTv

Күн бұрын

Пікірлер: 140
@kapendabdm4777
@kapendabdm4777 2 жыл бұрын
Asante Sana prophète nimesikiavi zurisana amen
@lynnfavour4335
@lynnfavour4335 4 жыл бұрын
Amen Bishop asante kwa fundisho nzuri ila nitarudishaje nyota yangu maana nimefanya kazi kwa mda mrefu lakini sijafanya maendeleo na pesa napokea lakini zapotea tu sioni jinsi zinatumika naomba maombi yako
@teresamokeira4042
@teresamokeira4042 2 жыл бұрын
Mtumishi, Mungu akuongezee nguvu ya kuokoa na kuwaondoa toka mikono ya wachawi
@isaiahtui1539
@isaiahtui1539 2 жыл бұрын
2021 watching
@sureboyofficial6473
@sureboyofficial6473 2 жыл бұрын
BASI WAZUNGU WANACHUKUA NYOTA ZETU
@francismalera7863
@francismalera7863 5 жыл бұрын
Baba Gwajima Wanirudishie Nyota Yangu Leo Kwa Jina La Yesu Mimi Ni Mama Jamani Bwana Yesu Nitetee na Watoto Wangu
@marynduta9378
@marynduta9378 4 жыл бұрын
Kwell mmi ni Mary kutoka Kenya nairundi kwa jina la yesu
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 3 жыл бұрын
Amina Francis wajina Wa baba yangu kumbe ngwajima uyo kiboko nilikuwa namsikia wanamsifia
@Esther-w1l
@Esther-w1l Жыл бұрын
Mchungaji kuna mtu huniambia kila wakati nimpee nyota yangu na mimi huku maisha yangu haendelei tangu nimjue yeye .Maombi yangu kupitia Nabii wa Mungu naomba nyota yangu ikaweze kurudi katika jina la yesu.
@jossyngumbi1916
@jossyngumbi1916 4 жыл бұрын
Nyota yangu imeonekana kwa jina la Jesu Ameeen asante Baba Barikiwa
@carolinenakirutimana1559
@carolinenakirutimana1559 Жыл бұрын
Wakristo nao ni wacawi wanajificha kwenye kanisani kwa siri. Hiyo ni w kweli Mchungaji
@janemuthoni7307
@janemuthoni7307 Жыл бұрын
Mimi nilipewa urembo Sana lakini nyota ya ndoa anty yangu na uncle yangu waliimba lakini kutoka Leo nyota yangu itarudi katika Jina LA yesu kristo 🙏🙏
@EllyJacksonAkyoo-op7jc
@EllyJacksonAkyoo-op7jc Жыл бұрын
Mtumishi arusha tumekumisi jamani
@ErnestNkeshimana-y7k
@ErnestNkeshimana-y7k Жыл бұрын
Safi sana.We love you so much Bishop.May God bless you
@annienanjala8593
@annienanjala8593 7 жыл бұрын
ubarikiwe mchungaji umenifunza mambo yenye sikuwa, laana za familia, kuvunja laana za udogo, kanisa langu, huwa wanasema hakuna uchawi, lkn Mimi najua kuna uchawi, aki mungu akubariki sana, nko Nairobi
@veronicamsigwa5046
@veronicamsigwa5046 3 жыл бұрын
Napoke nyota yangu kulud kwajina LA yesu nabalikiwa saan naitwa vero kutoka buza naitaj msaada wako zaid
@barnabasjames2293
@barnabasjames2293 Жыл бұрын
Aminaa
@preciouslissahparis1352
@preciouslissahparis1352 Жыл бұрын
Namfuata huko huko alipo
@juddieemma32
@juddieemma32 2 жыл бұрын
Amen
@gracependo4438
@gracependo4438 5 жыл бұрын
🤦‍♀️😀!!EXCELENCE BABA ASKOFU GWAJIMA KUNA WATU WAMEZALIWA NA NYOTA KUTOKA KWA MUNGU ☝️🎁!!NIMESHUHUDIA HII !!KTK LIFE YANGU KTK UTABIRI WA KUJIRUDIA!! NA WATUMISHI MBALIMBALI TANGU NIKIWA BINTI NIMEBARIKIWA KAMA MALKIA WA MBINGUNI 🎁☝️⭐️LAKINI WATU AMBAOWAMEKUWA WAKIJARIBU KUROGA NYOTA ⭐️☝️🎁YANGU WAMEKUWA WAKI CATCH WILD 😜😨!!KUCHSNGANYIKIWA AKILI 😨!! 🤦‍♀️😀🙏GOD HEAVEN NETWORK IS NOT AVAILABLE!!TO AMAZING GRACE DAUGHTER OF GOD ☝️💃💪
@beatricemwamini2044
@beatricemwamini2044 Жыл бұрын
Amen.
@gracependo4438
@gracependo4438 5 жыл бұрын
🤦‍♀️😀💪💪💪💪..LET THE TRUTH MADE EVERYONE FREE!!WAMBIE UKWERI BABA GWAJIMA!!
@petrowaya9749
@petrowaya9749 8 жыл бұрын
be blessed alot
@nadegeotshudi8376
@nadegeotshudi8376 Жыл бұрын
Mutumishi wa Mungu unisamehe kuna siku nili kuhukumu nikizani kama nawewe una tumiya nguvu za ngiza kama wengine kumbi nili njidanganya nilipo kuona una fanya mukutano na mwengine Mutumishi wa Mungu baye nina juwa amemuasha Mungu akifanya kazi na shetani basi nilipo waona wote muki tumika pamonja nikakuhukumu nawewe bila kukuombeya niulize Mungu. Ila sasa nimesha juwa ukweli kuku husu wewe kama ni Mutumishi wa Mungu wa kweli nakuomba unisamehe na Mungu wambinguni ani samehe
@masterkey536
@masterkey536 Жыл бұрын
Hata mimi nilikuwa simuamini huyu gwajima ila hivi sasa namwamini
@TitusKasonga
@TitusKasonga 11 ай бұрын
Ubarikiwe na BWANA, Mungu wa mbinguni Akusamehe bure.
@Patience.67
@Patience.67 7 ай бұрын
He is a true man of God
@paulmadundo8084
@paulmadundo8084 3 жыл бұрын
kwa ufafanuzi wa mambo uko vizuri baba, hadi last adoptor anaelewa unachotaka kuelezea
@pereskisimba4312
@pereskisimba4312 Жыл бұрын
Asante kabisa mchungaji kwa hilo🙏
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 3 жыл бұрын
Sisi tulikuwa tunasoma na Daniel yeye alikuwa anaongoza, tu a kafaulu paka akaja fanya Kazi bank
@preciouslissahparis1352
@preciouslissahparis1352 Жыл бұрын
Ameeeen ameeen
@JOHN-ut6ej
@JOHN-ut6ej 5 жыл бұрын
I mean
@jemaaloyce8096
@jemaaloyce8096 2 жыл бұрын
Amen
@EllyJacksonAkyoo-op7jc
@EllyJacksonAkyoo-op7jc Жыл бұрын
Ameeeeeeeeen
@annajustine5104
@annajustine5104 5 жыл бұрын
Bishop natamani sana uje huku Arusha kwenye viwanja vy Relini
@vailethsamwel883
@vailethsamwel883 5 жыл бұрын
mbeya unakuja lini jamani
@sonkokenyaartist
@sonkokenyaartist 2 жыл бұрын
Amen
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 3 жыл бұрын
Ndio wengine safar tu Mara America Mara china
@alicegatumu5362
@alicegatumu5362 2 жыл бұрын
Nauniombe meno inauma
@ashrafhashim1882
@ashrafhashim1882 4 жыл бұрын
mim Niko na matatizo,hayo cna raha nilikua mwislamu nikawa mkristo maneno pia Yana Nipa moyo
@EllyJacksonAkyoo-op7jc
@EllyJacksonAkyoo-op7jc Жыл бұрын
Nataka nyota yangu lrudi kwa jina la yesu
@tumainipallangyo776
@tumainipallangyo776 5 жыл бұрын
Ubarikiwe baba
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 3 жыл бұрын
Ndio utawala, pia kwentu ipo ndugu zetu wengi viongoz paka agostino Ramazan na maaskofu wapo John Ramazan wengi. Nyota ya uomgoz hata mimi ninayo
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 3 жыл бұрын
Kaka yangu na yeye walimchukulia angekuwa mbal
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 3 жыл бұрын
Ndio akil ya darasan haviusian wanasemaga, hivyo
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 3 жыл бұрын
Shangaz zangu hivyo hivyo wana nyota ya kutafuta, pesa
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 3 жыл бұрын
Ndio somo linaniusu mimi kachukuwa kwel nyota yangu mtu live kachukuwa Maji ya mikono yangu kaogea roho imeniuma
@erickkabila2615
@erickkabila2615 3 жыл бұрын
Mchungaji mimi na kufuata hapa Congo RDC nataka namba ya ko ili nipate kukupigiya ubarikiwe
@neemasemkuyu2999
@neemasemkuyu2999 2 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana baba angu, Asante kwa neno linalohuisha mifupa mikavu
@davidmidunga7690
@davidmidunga7690 5 жыл бұрын
shetani hana mamlaka.yesu nipiganie nipatekurejeshewa nyota yangu
@davidmidunga7690
@davidmidunga7690 5 жыл бұрын
mtumishi wamungu,naitaji maombi yako ili nipate kurudishiwa nyota yangu yakazi nayandoa.nimeoa zaidi yawanawake watano nakila ninayefunga naye ndoa.hutoekatu baada yakazi yangu kuharibika.nimachungu sana kwakua wanapoondoka,hunibebea kila kitu kwanyumba.hadinina sasa ninaishi maisha ya kuchanganyikiwa.ninayo imani yote yanaenda kuisha kwa jina la yesu
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 2 жыл бұрын
Masharki ya Kati watu wake ndo walikuwa wanaongoza kwa maasi na ndo maaana mitume wengi walitokea huko
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 3 жыл бұрын
Nimeibiwa majuzi sijui kama itakuwa wameanza kuitumia
@beatricemwamini2044
@beatricemwamini2044 Жыл бұрын
Amina Kubwa! Naomba nyota yangu na ya mume wangu zilizo ibiwa na maadui wetu zirudishwe Kwa Damu Ya Mwana Kondoo Kristo Yesu.
@masterkey536
@masterkey536 Жыл бұрын
Ni kweli mchungaji wangu nakupenda sana
@rogatienmubyula2513
@rogatienmubyula2513 Жыл бұрын
Bwana Yesu Kristo aiangaze nyota yangu iwavute walio wengi kunijia. Amen
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 3 жыл бұрын
Namba Zako mchungaj
@hezekiajacob6903
@hezekiajacob6903 Жыл бұрын
May God bless bishop J.Gwajima.
@josephboniface7506
@josephboniface7506 3 жыл бұрын
Gwajima# My Father...!!!@" Really loving you"🙏🏿
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 3 жыл бұрын
Kumbe nowa ndo nuu
@adrophinamwanguse1510
@adrophinamwanguse1510 11 ай бұрын
Nyota yangu iludi kirahisi kwa jina la yesu
@festoerasto5673
@festoerasto5673 5 жыл бұрын
Kama kila mtu ana nyota yake ni kwanini ,mtu asitumie ile ya kwake kufanikiwa ,
@goodneighbour1280
@goodneighbour1280 Жыл бұрын
Kuna watu wanataka nyota za elimu ila hawanq
@mecktemba8937
@mecktemba8937 5 жыл бұрын
Baba unanibariki sana,... Unanifafanulia neno linaniingia kwenye mishipa ya ufahamu wa moyo
@emanuelandronicus2574
@emanuelandronicus2574 2 жыл бұрын
Somo hili ni sensitive sana baba nakuelewa sana na umeniponya sana kwa somo hili
@alicegatumu5362
@alicegatumu5362 2 жыл бұрын
Miombee nirikuwa nakasi na sai Sina kitu nauombee mtoto ana fugana kivua niombee nivate fesa
@josephjulio6112
@josephjulio6112 3 жыл бұрын
Neno linaingia Hadi kwenye damu
@gracependo4438
@gracependo4438 5 жыл бұрын
💃💪🗣☝️I AM NOT PHATOM GRACE !!LIKE GWATELOOP WOMAN SAID!!I I AM CHILD OF GOD ☝️WHO CHOOSEN IN KINGDOM OF GOD ☝️!!
@jescalucas8744
@jescalucas8744 6 жыл бұрын
baba asante nimekuelewa na ninakufatilia sana naomba unikumbuke kwenye maombi mke wangu anasumbuliwa na ugonjwa wa majano anaishiwa damu mara kwa mara baba sema neno tu atakuwa sawa anaitwa jeska Lucas
@mektridadeogratias7512
@mektridadeogratias7512 5 жыл бұрын
Nyota yangu ludi kwa jina la yesu
@preciouslissahparis1352
@preciouslissahparis1352 Жыл бұрын
Mchawi haruki leo
@magangiralucas6516
@magangiralucas6516 2 жыл бұрын
Uko vizuri Askofu
@EllyJacksonAkyoo-op7jc
@EllyJacksonAkyoo-op7jc Жыл бұрын
Amen
@rithersospeterkati7957
@rithersospeterkati7957 2 жыл бұрын
Amen Amen Baba.
@josephboniface7506
@josephboniface7506 3 жыл бұрын
Since Day# One Gwajima# ahsanteh.🙏🏿
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 3 жыл бұрын
Baba ngwajima watu wanakupenda sana
@annahayasanday7174
@annahayasanday7174 4 жыл бұрын
Ameeeen
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 3 жыл бұрын
Na ni mchapa kazi mimi na kaka yangu
@RabiaIddi-ci2uz
@RabiaIddi-ci2uz 11 ай бұрын
na wewe mtumishi nyota yako ni ya utumishi achana na mambo ya siasa ya una una karama ya utumishi
@bakariomary5781
@bakariomary5781 2 ай бұрын
Nyota ya uongozi hiyo ina maana anaweza kuongoza kwenye eneo lolote 😊
@adrophinamwanguse1510
@adrophinamwanguse1510 11 ай бұрын
Ameeeeniii baba
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 3 жыл бұрын
Ndio kila mtu Ana nyota yake nalijuwa hilo wanasemaga hivyo
@Soni-lt6oi
@Soni-lt6oi 2 ай бұрын
Amen 🙏
@chalesnguyaine9991
@chalesnguyaine9991 4 жыл бұрын
Kakobe ndo anapinga nyota mikufu
@edinahkemuntomainya6551
@edinahkemuntomainya6551 3 жыл бұрын
Nyota yangu itarudi Leo kwa jina la yesu
@Patience.67
@Patience.67 7 ай бұрын
Asante baba
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 3 жыл бұрын
Kwel mchungaj nimeligunduwa hilo uku kutokana na mazingira nilipo muda sijaenda kanisan na ndo mana nilikuwa nataka Kuja, na biblia
@lazaruskevo3599
@lazaruskevo3599 3 жыл бұрын
Ameen Ameen Halleluuuyha
@adammdoloadammdolo5194
@adammdoloadammdolo5194 Жыл бұрын
Amee
@sharifatabook4697
@sharifatabook4697 5 жыл бұрын
Mungu nikumbuke hii kifungo ya zamaaani Mungu aishikie maombi yangu
@dorcasatieno7884
@dorcasatieno7884 4 жыл бұрын
Amen
@carolinetalam5832
@carolinetalam5832 5 жыл бұрын
Naitaka nyota yangu kwa Jina la yesu Amen
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 3 жыл бұрын
Watu ni wengi
@helenotieno8483
@helenotieno8483 3 жыл бұрын
Hallelujah
@farajakiula4162
@farajakiula4162 2 жыл бұрын
Amina amina
@euniceeunice7680
@euniceeunice7680 5 жыл бұрын
Mungu nikumbuke mwanao
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 3 жыл бұрын
Ni kwel kipawa wanaita
@cecymndeme9728
@cecymndeme9728 3 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🏼
@emmahmunyao158
@emmahmunyao158 6 жыл бұрын
Amen Baba Gwajima I get you loud and clear and my star is coming back to me from where it had been taken in Jesus mighty name
@annmukai1367
@annmukai1367 5 жыл бұрын
Amen amen baba gwajima, nashukuru mungu nyota yaku imerudi kwa jina la yesu
@lydiamakenge5613
@lydiamakenge5613 Жыл бұрын
Mungu afungue nyota yangu amen warudishe uwezo niliopewa namungu
@akikimadeleine6134
@akikimadeleine6134 5 жыл бұрын
Amen
@lolguy-x9n
@lolguy-x9n 5 жыл бұрын
mazito haya. hayaeleweki haya. kama kukalia chapati za mapenzi
@hatamimnimempendabulejaman1596
@hatamimnimempendabulejaman1596 3 жыл бұрын
Ndio mimi napendwa kila napoenda, na nasaidiwa yani nilipewa nyota kali sana uyo Aliyeiba ameona
@AlexisCongera-so4mi
@AlexisCongera-so4mi 11 ай бұрын
Bwana wangu Yesu Kristo aiangaze nyota yangu na wanaoitafuta wakauriwe mbari
@radsonkarithkagwa8206
@radsonkarithkagwa8206 4 жыл бұрын
Pastor live long.
@EllyJacksonAkyoo-op7jc
@EllyJacksonAkyoo-op7jc Жыл бұрын
Warudishe nyota yangu naza watoto wangu kwa jina la yesu
@glorymirisho4472
@glorymirisho4472 3 жыл бұрын
Baba
@berthachacky797
@berthachacky797 7 жыл бұрын
ahsante sana Kwa somo zuri,barikiwa Sanaa mtoto wa Mungu.
@daudimwanyonga460
@daudimwanyonga460 7 жыл бұрын
amina sema tupone baba asikofu
@florencendatila9183
@florencendatila9183 5 жыл бұрын
Amina
@francismalera7863
@francismalera7863 5 жыл бұрын
Wapigwe huko huko!!!!!!! kwa Jina la Yesu
KUNA MTU ANATUMIA NYOTA YAKO PART 2
31:03
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 83 М.
NYOTA YAKO INAKUTAMBULISHA - PASTOR SUNBELLA KYANDO
27:08
Pastor Sunbella Kyando
Рет қаралды 6 М.
🍉😋 #shorts
00:24
Денис Кукояка
Рет қаралды 3,6 МЛН
Как мы играем в игры 😂
00:20
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 3,3 МЛН
MAOMBI YA KUVUNJA VIFUNGO VYA KISHETANI Ep 2/5 - Bishop Dr Gwajima
1:01:20
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 83 М.
REV: Adam Hajji. SOMO LA NYOTA SEHEMU YA 1
24:36
Montana Online (AGAPE MINISTRY)
Рет қаралды 18 М.
kuna watu awakufai Leo Ila kesho watakufaa , ishi na watu vizuri
2:51
UFUFUO NA UZIMA MTWAPA
Рет қаралды 2,5 М.
NYOTA YANGU SEMINA |DAY TWO| - PASTOR SUNBELLA KYANDO
30:29
Reality of Christ Church
Рет қаралды 6 М.
KUWAANGAMIZA MAKUHANI WA KICHAWI PART 1
39:55
Mahanaim International Plc
Рет қаралды 46 М.
GWAJIMA | "MIMI NIKIONGEA JAMBO NAWEZA KUBADILI UPEPO SASA HIVI" MOTO UMEWAKA SASA
29:01
MAGONJWA YA KUTENGENEZA part 2 Bishop Gwajima
21:05
Josephat Gwajima RudishaTv
Рет қаралды 47 М.
Nyota Yako Ina Thamani | Maombi Ya Kuombea Taifa | Pastor Tony Osborn
21:11
Pastor Tony Kapola
Рет қаралды 146 М.