Amen Bishop asante kwa fundisho nzuri ila nitarudishaje nyota yangu maana nimefanya kazi kwa mda mrefu lakini sijafanya maendeleo na pesa napokea lakini zapotea tu sioni jinsi zinatumika naomba maombi yako
@teresamokeira40422 жыл бұрын
Mtumishi, Mungu akuongezee nguvu ya kuokoa na kuwaondoa toka mikono ya wachawi
@isaiahtui15392 жыл бұрын
2021 watching
@sureboyofficial64732 жыл бұрын
BASI WAZUNGU WANACHUKUA NYOTA ZETU
@francismalera78635 жыл бұрын
Baba Gwajima Wanirudishie Nyota Yangu Leo Kwa Jina La Yesu Mimi Ni Mama Jamani Bwana Yesu Nitetee na Watoto Wangu
@marynduta93784 жыл бұрын
Kwell mmi ni Mary kutoka Kenya nairundi kwa jina la yesu
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
Amina Francis wajina Wa baba yangu kumbe ngwajima uyo kiboko nilikuwa namsikia wanamsifia
@Esther-w1l Жыл бұрын
Mchungaji kuna mtu huniambia kila wakati nimpee nyota yangu na mimi huku maisha yangu haendelei tangu nimjue yeye .Maombi yangu kupitia Nabii wa Mungu naomba nyota yangu ikaweze kurudi katika jina la yesu.
@jossyngumbi19164 жыл бұрын
Nyota yangu imeonekana kwa jina la Jesu Ameeen asante Baba Barikiwa
@carolinenakirutimana1559 Жыл бұрын
Wakristo nao ni wacawi wanajificha kwenye kanisani kwa siri. Hiyo ni w kweli Mchungaji
@janemuthoni7307 Жыл бұрын
Mimi nilipewa urembo Sana lakini nyota ya ndoa anty yangu na uncle yangu waliimba lakini kutoka Leo nyota yangu itarudi katika Jina LA yesu kristo 🙏🙏
@EllyJacksonAkyoo-op7jc Жыл бұрын
Mtumishi arusha tumekumisi jamani
@ErnestNkeshimana-y7k Жыл бұрын
Safi sana.We love you so much Bishop.May God bless you
@annienanjala85937 жыл бұрын
ubarikiwe mchungaji umenifunza mambo yenye sikuwa, laana za familia, kuvunja laana za udogo, kanisa langu, huwa wanasema hakuna uchawi, lkn Mimi najua kuna uchawi, aki mungu akubariki sana, nko Nairobi
@veronicamsigwa50463 жыл бұрын
Napoke nyota yangu kulud kwajina LA yesu nabalikiwa saan naitwa vero kutoka buza naitaj msaada wako zaid
@barnabasjames2293 Жыл бұрын
Aminaa
@preciouslissahparis1352 Жыл бұрын
Namfuata huko huko alipo
@juddieemma322 жыл бұрын
Amen
@gracependo44385 жыл бұрын
🤦♀️😀!!EXCELENCE BABA ASKOFU GWAJIMA KUNA WATU WAMEZALIWA NA NYOTA KUTOKA KWA MUNGU ☝️🎁!!NIMESHUHUDIA HII !!KTK LIFE YANGU KTK UTABIRI WA KUJIRUDIA!! NA WATUMISHI MBALIMBALI TANGU NIKIWA BINTI NIMEBARIKIWA KAMA MALKIA WA MBINGUNI 🎁☝️⭐️LAKINI WATU AMBAOWAMEKUWA WAKIJARIBU KUROGA NYOTA ⭐️☝️🎁YANGU WAMEKUWA WAKI CATCH WILD 😜😨!!KUCHSNGANYIKIWA AKILI 😨!! 🤦♀️😀🙏GOD HEAVEN NETWORK IS NOT AVAILABLE!!TO AMAZING GRACE DAUGHTER OF GOD ☝️💃💪
@beatricemwamini2044 Жыл бұрын
Amen.
@gracependo44385 жыл бұрын
🤦♀️😀💪💪💪💪..LET THE TRUTH MADE EVERYONE FREE!!WAMBIE UKWERI BABA GWAJIMA!!
@petrowaya97498 жыл бұрын
be blessed alot
@nadegeotshudi8376 Жыл бұрын
Mutumishi wa Mungu unisamehe kuna siku nili kuhukumu nikizani kama nawewe una tumiya nguvu za ngiza kama wengine kumbi nili njidanganya nilipo kuona una fanya mukutano na mwengine Mutumishi wa Mungu baye nina juwa amemuasha Mungu akifanya kazi na shetani basi nilipo waona wote muki tumika pamonja nikakuhukumu nawewe bila kukuombeya niulize Mungu. Ila sasa nimesha juwa ukweli kuku husu wewe kama ni Mutumishi wa Mungu wa kweli nakuomba unisamehe na Mungu wambinguni ani samehe
@masterkey536 Жыл бұрын
Hata mimi nilikuwa simuamini huyu gwajima ila hivi sasa namwamini
@TitusKasonga11 ай бұрын
Ubarikiwe na BWANA, Mungu wa mbinguni Akusamehe bure.
@Patience.677 ай бұрын
He is a true man of God
@paulmadundo80843 жыл бұрын
kwa ufafanuzi wa mambo uko vizuri baba, hadi last adoptor anaelewa unachotaka kuelezea
@pereskisimba4312 Жыл бұрын
Asante kabisa mchungaji kwa hilo🙏
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
Sisi tulikuwa tunasoma na Daniel yeye alikuwa anaongoza, tu a kafaulu paka akaja fanya Kazi bank
@preciouslissahparis1352 Жыл бұрын
Ameeeen ameeen
@JOHN-ut6ej5 жыл бұрын
I mean
@jemaaloyce80962 жыл бұрын
Amen
@EllyJacksonAkyoo-op7jc Жыл бұрын
Ameeeeeeeeen
@annajustine51045 жыл бұрын
Bishop natamani sana uje huku Arusha kwenye viwanja vy Relini
@vailethsamwel8835 жыл бұрын
mbeya unakuja lini jamani
@sonkokenyaartist2 жыл бұрын
Amen
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
Ndio wengine safar tu Mara America Mara china
@alicegatumu53622 жыл бұрын
Nauniombe meno inauma
@ashrafhashim18824 жыл бұрын
mim Niko na matatizo,hayo cna raha nilikua mwislamu nikawa mkristo maneno pia Yana Nipa moyo
@EllyJacksonAkyoo-op7jc Жыл бұрын
Nataka nyota yangu lrudi kwa jina la yesu
@tumainipallangyo7765 жыл бұрын
Ubarikiwe baba
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
Ndio utawala, pia kwentu ipo ndugu zetu wengi viongoz paka agostino Ramazan na maaskofu wapo John Ramazan wengi. Nyota ya uomgoz hata mimi ninayo
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
Kaka yangu na yeye walimchukulia angekuwa mbal
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
Ndio akil ya darasan haviusian wanasemaga, hivyo
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
Shangaz zangu hivyo hivyo wana nyota ya kutafuta, pesa
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
Ndio somo linaniusu mimi kachukuwa kwel nyota yangu mtu live kachukuwa Maji ya mikono yangu kaogea roho imeniuma
@erickkabila26153 жыл бұрын
Mchungaji mimi na kufuata hapa Congo RDC nataka namba ya ko ili nipate kukupigiya ubarikiwe
@neemasemkuyu29992 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana baba angu, Asante kwa neno linalohuisha mifupa mikavu
@davidmidunga76905 жыл бұрын
shetani hana mamlaka.yesu nipiganie nipatekurejeshewa nyota yangu
@davidmidunga76905 жыл бұрын
mtumishi wamungu,naitaji maombi yako ili nipate kurudishiwa nyota yangu yakazi nayandoa.nimeoa zaidi yawanawake watano nakila ninayefunga naye ndoa.hutoekatu baada yakazi yangu kuharibika.nimachungu sana kwakua wanapoondoka,hunibebea kila kitu kwanyumba.hadinina sasa ninaishi maisha ya kuchanganyikiwa.ninayo imani yote yanaenda kuisha kwa jina la yesu
@lifeinmiddleeast81792 жыл бұрын
Masharki ya Kati watu wake ndo walikuwa wanaongoza kwa maasi na ndo maaana mitume wengi walitokea huko
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
Nimeibiwa majuzi sijui kama itakuwa wameanza kuitumia
@beatricemwamini2044 Жыл бұрын
Amina Kubwa! Naomba nyota yangu na ya mume wangu zilizo ibiwa na maadui wetu zirudishwe Kwa Damu Ya Mwana Kondoo Kristo Yesu.
@masterkey536 Жыл бұрын
Ni kweli mchungaji wangu nakupenda sana
@rogatienmubyula2513 Жыл бұрын
Bwana Yesu Kristo aiangaze nyota yangu iwavute walio wengi kunijia. Amen
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
Namba Zako mchungaj
@hezekiajacob6903 Жыл бұрын
May God bless bishop J.Gwajima.
@josephboniface75063 жыл бұрын
Gwajima# My Father...!!!@" Really loving you"🙏🏿
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
Kumbe nowa ndo nuu
@adrophinamwanguse151011 ай бұрын
Nyota yangu iludi kirahisi kwa jina la yesu
@festoerasto56735 жыл бұрын
Kama kila mtu ana nyota yake ni kwanini ,mtu asitumie ile ya kwake kufanikiwa ,
@goodneighbour1280 Жыл бұрын
Kuna watu wanataka nyota za elimu ila hawanq
@mecktemba89375 жыл бұрын
Baba unanibariki sana,... Unanifafanulia neno linaniingia kwenye mishipa ya ufahamu wa moyo
@emanuelandronicus25742 жыл бұрын
Somo hili ni sensitive sana baba nakuelewa sana na umeniponya sana kwa somo hili
@alicegatumu53622 жыл бұрын
Miombee nirikuwa nakasi na sai Sina kitu nauombee mtoto ana fugana kivua niombee nivate fesa
@josephjulio61123 жыл бұрын
Neno linaingia Hadi kwenye damu
@gracependo44385 жыл бұрын
💃💪🗣☝️I AM NOT PHATOM GRACE !!LIKE GWATELOOP WOMAN SAID!!I I AM CHILD OF GOD ☝️WHO CHOOSEN IN KINGDOM OF GOD ☝️!!
@jescalucas87446 жыл бұрын
baba asante nimekuelewa na ninakufatilia sana naomba unikumbuke kwenye maombi mke wangu anasumbuliwa na ugonjwa wa majano anaishiwa damu mara kwa mara baba sema neno tu atakuwa sawa anaitwa jeska Lucas
@mektridadeogratias75125 жыл бұрын
Nyota yangu ludi kwa jina la yesu
@preciouslissahparis1352 Жыл бұрын
Mchawi haruki leo
@magangiralucas65162 жыл бұрын
Uko vizuri Askofu
@EllyJacksonAkyoo-op7jc Жыл бұрын
Amen
@rithersospeterkati79572 жыл бұрын
Amen Amen Baba.
@josephboniface75063 жыл бұрын
Since Day# One Gwajima# ahsanteh.🙏🏿
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
Baba ngwajima watu wanakupenda sana
@annahayasanday71744 жыл бұрын
Ameeeen
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
Na ni mchapa kazi mimi na kaka yangu
@RabiaIddi-ci2uz11 ай бұрын
na wewe mtumishi nyota yako ni ya utumishi achana na mambo ya siasa ya una una karama ya utumishi
@bakariomary57812 ай бұрын
Nyota ya uongozi hiyo ina maana anaweza kuongoza kwenye eneo lolote 😊
@adrophinamwanguse151011 ай бұрын
Ameeeeniii baba
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
Ndio kila mtu Ana nyota yake nalijuwa hilo wanasemaga hivyo
@Soni-lt6oi2 ай бұрын
Amen 🙏
@chalesnguyaine99914 жыл бұрын
Kakobe ndo anapinga nyota mikufu
@edinahkemuntomainya65513 жыл бұрын
Nyota yangu itarudi Leo kwa jina la yesu
@Patience.677 ай бұрын
Asante baba
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
Kwel mchungaj nimeligunduwa hilo uku kutokana na mazingira nilipo muda sijaenda kanisan na ndo mana nilikuwa nataka Kuja, na biblia
@lazaruskevo35993 жыл бұрын
Ameen Ameen Halleluuuyha
@adammdoloadammdolo5194 Жыл бұрын
Amee
@sharifatabook46975 жыл бұрын
Mungu nikumbuke hii kifungo ya zamaaani Mungu aishikie maombi yangu
@dorcasatieno78844 жыл бұрын
Amen
@carolinetalam58325 жыл бұрын
Naitaka nyota yangu kwa Jina la yesu Amen
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
Watu ni wengi
@helenotieno84833 жыл бұрын
Hallelujah
@farajakiula41622 жыл бұрын
Amina amina
@euniceeunice76805 жыл бұрын
Mungu nikumbuke mwanao
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
Ni kwel kipawa wanaita
@cecymndeme97283 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏🏼
@emmahmunyao1586 жыл бұрын
Amen Baba Gwajima I get you loud and clear and my star is coming back to me from where it had been taken in Jesus mighty name
@annmukai13675 жыл бұрын
Amen amen baba gwajima, nashukuru mungu nyota yaku imerudi kwa jina la yesu
@lydiamakenge5613 Жыл бұрын
Mungu afungue nyota yangu amen warudishe uwezo niliopewa namungu
@akikimadeleine61345 жыл бұрын
Amen
@lolguy-x9n5 жыл бұрын
mazito haya. hayaeleweki haya. kama kukalia chapati za mapenzi
@hatamimnimempendabulejaman15963 жыл бұрын
Ndio mimi napendwa kila napoenda, na nasaidiwa yani nilipewa nyota kali sana uyo Aliyeiba ameona
@AlexisCongera-so4mi11 ай бұрын
Bwana wangu Yesu Kristo aiangaze nyota yangu na wanaoitafuta wakauriwe mbari
@radsonkarithkagwa82064 жыл бұрын
Pastor live long.
@EllyJacksonAkyoo-op7jc Жыл бұрын
Warudishe nyota yangu naza watoto wangu kwa jina la yesu
@glorymirisho44723 жыл бұрын
Baba
@berthachacky7977 жыл бұрын
ahsante sana Kwa somo zuri,barikiwa Sanaa mtoto wa Mungu.